A-Z PADRE mwanajeshi HENRY RIMISHO aweka MAZITO HADHARANI, CHUO KIKUU CHA ARDHI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 гру 2021
  • #HENRYRIMISHO #ARU #MWANAHALISITV
    Mwishoni mwa wiki iliyopita kulifanyika mahafali ya 15 ya Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) jijini Dar es Salaam.Miongoni mwa wahitimu katika mahafali hayo ni Padre wa Kanisa Katoliki, Henry Rimisho alihitimu shahada ya uzamivu (PhD).
    MwanaHALISI TV limefanya mahojiano na Padre Rimisho na kuzungumzia njisi alivyopelekwa nchini Cuba, Kenya, Sudan na mavazi ya kijensi alikoyapata.
    Amegusia mchezo wa Simba na Yanga wa 11 Desemba 2021.
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
    🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

КОМЕНТАРІ • 274

  • @abuelolongavida7261
    @abuelolongavida7261 2 роки тому +16

    This is a serious man....he knows more that what he tells, big up father!!

  • @claraachok2319
    @claraachok2319 Рік тому +8

    we really miss you here in south sudan father, i hope you are still a militray father. we are really proud for the service you did to us here in Rumbek. our president is still giving example of your service. if you were still here you would have been given a rank of major general in the military

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 роки тому +11

    Fr Rimisho....wenye wivu wajinyonge..hyo ndo baba lao...🙏❤️🎩🎓🙏

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 2 роки тому +22

    Hongera sana Dr Henry. Umekuwa mfano mzuri sana kwa TZ.
    Huyo mwandishi ana maswali ya wivu binafsi na wala hayajengi

    • @kenybenjiz7850
      @kenybenjiz7850 2 роки тому +2

      Mwandishi ni kanjanja
      Tanzania waandishi sahvi ni wa ovyo
      Washazoea kureport habari za umbeaumbeq

    • @edinaikunda1259
      @edinaikunda1259 2 роки тому

      😃😃😃wandishi makanjanja sana

    • @bensonlucas7607
      @bensonlucas7607 2 роки тому +1

      Siyo maswali ya wivu ni maswali mazuri sana na ndiyo yaliyotufanya tupate historia nzuri ya mpiganaji na mtumishi wa Mungu.hawa watu huwa ni muhimu sana vitani na wanatumika sana sana

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 2 роки тому +3

    Dah!!!! Itoshe kusema, Mungu azidi kukubariki🙏🙏 kuna mengi natamani kuyasikia kutoka kwako, naamin kabsa yapo mengi Sana hatujayaskia na kuyafahamu kutoka kwako...stay blessed Dr.

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Рік тому +2

    Ongera sana Fr Rimisho, Mungu azidi kukupigania nakukubariki,hakika Mungu anakutumia kimwili na kiroho,na Barikiwa sana na utumishi wako.🙏

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 2 роки тому +13

    Congrats Fr Dr Rimisho for hard working you faced.

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 2 роки тому +8

    Waoo tunajifunia kuwa nawe Congratulations Rev Dr

  • @rosenjau1091
    @rosenjau1091 2 роки тому +6

    Mtangazaji hayupo makini kabisaa..kazi hamfai Sema kwakuwa anamuhoji padre ndiomaana anamvumilia..hongera Sana padre wetu umekuwa mfano wa kuigwa barikiwa🙏🙏

  • @MaaneML
    @MaaneML 2 роки тому +19

    Brilliant Fr. Dr Henry Rimisho. This is what is called determination and working hard. Keep it up my brother. ❤️❤️🌷🌹🌷💐💐🌺🌺🌺

  • @shau78
    @shau78 2 роки тому +19

    kutokuwa na familia kulimsaidia sana Padri kwenye kazi zake nyingi na nzito alizofanya. hongera sana Padri

  • @PoorClaresMyanga
    @PoorClaresMyanga 2 роки тому +5

    I was so blessed to meet this man of God.

  • @elvisurio4095
    @elvisurio4095 2 роки тому +4

    Hongera sana Father Herny, ila mwandishi hana weledi wakuuliza maswali. Mwanahalisi Tv waandae wandishi wenu vizuri

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 роки тому +4

    Tyk Baba Rimisho.Hongera sana kwa kuamaliza....Mungu akulinde daima 🙏.

  • @josephinekabyemela9111
    @josephinekabyemela9111 Рік тому +1

    Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa vipaji anavyotoa kwa watu wake hongera padri Remisho

  • @vianemakarious6395
    @vianemakarious6395 2 роки тому +5

    Hongera sana father,tumia vipaji hivi kuilinda imani.

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 2 роки тому +11

    This is amaizing Father🌺🌺🌺🎉

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 роки тому +9

    Mungu akubariki sana baba yesu akupe nguvu zote

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 2 роки тому +17

    Mungu alikuchagua tangu ukiwa tumboni mwa mama yako. 😘
    Asante sana Father H. Mrisho kwa kuvitumikia vipaji vyako vyote kwa weredi na busara. I am proud of you Father Dr Mrisho ❤ 👏 ♥ 💙

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 2 роки тому

      Huo ni upumbavu mkubwa sana. Huwezi kuwatumikia mabwana wawili.

    • @roseeuphrase3853
      @roseeuphrase3853 2 роки тому +3

      @@elishakayagwa9371
      Huenda ni mpumbavu anayejitambua.
      Kuliko mpumbavu asiyejitambua!!

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 2 роки тому +4

    Mwandishi hovyo kabisa! Hapo angekuwa Millard tungemfaidi sana huyu Fr

  • @MaaneML
    @MaaneML 2 роки тому +7

    As you speak you look very wise and intelligent. Brilliant mind and brain. Bravo Fr Henry Rimisho. My home brother.

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 2 роки тому +5

    Hongera Sana padre unahistoria nzuri uliyopitia HATA uwezo WAKO wa NGUMU wa kikomandoo hiyo safi ..KWA kujilinda ..

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 2 роки тому +2

    Hongera Sana Fr. Dr Henry Rimisho

  • @neemarenaida6667
    @neemarenaida6667 2 роки тому +14

    Very proud to have a such Priest ,God bless you fr so that preach the word of God allover the world

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 2 роки тому

      Huo ni upumbavu kwani yanafaida gani kwa Mungu?

    • @neemarenaida6667
      @neemarenaida6667 2 роки тому +2

      @@elishakayagwa9371 kwani hilo neno lako ulilosema kwamba ni upumbavu ,kwa Mungu lina faida? Food for thought!!!!

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni 2 роки тому +6

    Hongera fr natamani kuwa kama ww pia nafarijika na kuwa fahari kuwa mkatoliki

    • @neemarenaida6667
      @neemarenaida6667 2 роки тому +2

      Safi ,ipo siku unalotamani Mungu atakujalia we amini tu

  • @fulgencendyamukama742
    @fulgencendyamukama742 2 роки тому +1

    Hongera sana Father kwa kipaji kikubwa ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu.

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 2 роки тому +17

    Wanao mfananisha na regnald mengi waje

    • @SalumKanju-ik1bk
      @SalumKanju-ik1bk 3 місяці тому

      hahaha we mshenz kwel hahaha aisee anafanana kweli na mzee mengi

  • @MorganMwaipyana-tz9vc
    @MorganMwaipyana-tz9vc 3 місяці тому

    ❤❤Hongera Sana Father, Nimefurahi kusikia Lyalamo Primary School ya Sr.Kibassa. Tosamaganga ❤

  • @GozbertAliseni-vp6kj
    @GozbertAliseni-vp6kj Рік тому +1

    Nawakubari
    .my.fr.wetu.kuwanamafuzo.yakijeshi.naukomando.nyinyi.nitaifa.kubwa.namunakuwa.wanyenyekefu.ogera.sanafrlindanchiyetu

  • @egonmatwiga9102
    @egonmatwiga9102 2 роки тому +4

    Hongera Baba kwa bidii zako mpaka kufkia hatua hyo

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 2 роки тому +13

    Hongera xana, nchi yako umeitumikia vyema. Naweza kusema ni miongoni mwa wazalendo wachache. Mungu akujalie maisha marefu.

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 2 роки тому

      Sema Mungu amjalie mwisho mwema,/maisha mareu yenye baraka maana anaweza kujaliwa maisha marefu ye dhiki/yasiyo na baraka.
      Aongeze CVs pia kwa kuusoma Uislamu kwania njema tu.

    • @ernestlaiza1176
      @ernestlaiza1176 Рік тому

      @@alhaddajmohammed4768 unawashwa

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 2 роки тому +1

    Hongera sana father,
    Mungu akupe hatua nyingine zaidi

  • @abbakariissa7838
    @abbakariissa7838 2 роки тому +3

    Kwa mtu aliyesoma ardhi architecture anamjua huyu mkulungwa vizuri. Ana CV nzito zaidi aliyoieleza. 2likuwa tunamfaidi darasani.

  • @vfacilitator8398
    @vfacilitator8398 2 роки тому +23

    Tumuombe Padre ombi moja: Uandike Autobiography yako. Tutainunua wengi.
    Bahati nzuri, ukimtumia publisher wa kisasa utaweza kui publish kwenye lugha nyingi kwa wakati mmoja, k.m., Kiswahili, Kiingereza, Kihispaniola, Kireno, Kifaransa, n.k.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 роки тому

      Akiona ni Wazo jema

    • @vfacilitator8398
      @vfacilitator8398 2 роки тому

      @@trophywilson7211 Yule Father yuko vzuri. Haikosi ameshaisoma tayari na yuko anaifanyia kazi. Isipokuwa kwenye mashirika ya kiroho kutakuwa kuna taratibu zake ambazo itabidi azifuate na kuomba vibali kwa viongozi wake. Kwa upande wa jeshini pia mambo ya huko sio mambo ya kusimulia uraiani, labda kwa juu juu tu.

  • @toma634
    @toma634 2 роки тому +5

    Baba hongera sana ❤️🙏🏻

  • @wilbrodtungaraza6204
    @wilbrodtungaraza6204 6 місяців тому +1

    Hongera Sana Baba Rimisho

  • @hamadiacha2mwambamtalika272
    @hamadiacha2mwambamtalika272 2 роки тому +5

    Padre nimekusikiliza kwa kina ila sijakupatia jibu we noma na TANZANIA kiboko

  • @abdulibatenga7281
    @abdulibatenga7281 2 роки тому +4

    Nyerere alikuwa anaanda majasusi mapema sana wakiwa wadogo

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness 2 роки тому +1

    My Vice Rector at A.J Bukinda.
    Am very proud of you.

  • @emiliamulaki3600
    @emiliamulaki3600 2 роки тому +4

    Hongera sana Baba Padre.

  • @gregorydeus72
    @gregorydeus72 2 роки тому +1

    MillardAyo mchukue interview huyu padre tutaenjoy,huyu mwandishi hayupo vizuri,,,

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa9678 2 роки тому +2

    Hamko vizuri kwenye sauti ndugu zangu

  • @sirbaraka
    @sirbaraka 10 місяців тому

    Big up sana interviewer umehoji kisomi sanaaa congratulations 👏

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 10 місяців тому +1

    Irudishwe serikalini tena. Vijana wetu si wa Melalatu, wamellegea sana. Hawana uzalendo kabisa. Wako tayari kujiuza na kuuza nchi.

  • @usanifumaandishi7519
    @usanifumaandishi7519 2 роки тому +2

    Kulikuwa na maswali ya msingi sana kumuuliza huyu mwamba, Mtangazaji anauliza maswali ya kitoto tu

  • @josephatmakuka4860
    @josephatmakuka4860 2 роки тому +5

    Hakika ubarikiwe sana

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 2 роки тому +7

    Angekuwa Sheikh angeambiwa Gaidi

    • @shafiijuma2980
      @shafiijuma2980 3 місяці тому

      hakika

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 22 дні тому

      😂😂😂 gaidi na katambulishwa na mkuu wamajeshi?😂😂 Mnapenda kujistukia nyie😂😂😂

  • @andrewmsunga9425
    @andrewmsunga9425 2 роки тому +1

    Padr namkubali sana,

  • @gerfasiamwingira4827
    @gerfasiamwingira4827 2 роки тому +1

    Kuna kitu kizuri.sana nimekipata hapa kutoka kwa Padre

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 2 роки тому +10

    Ila mwandishi hujaweza kubadilika na mazingira jitahidi kutofautisha interview zako na namna ya uwasilishwaji wa habari yenyewe.. huyu unamuhoji kama imetokea tuu umemkuta njiani ukaanza kumhoji wakati ni mtu muhimu sana!

  • @AbigailBateyunga
    @AbigailBateyunga 7 місяців тому +2

    🎉Wafilp 1:6 Amen 🙏🇹🇿

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 роки тому +4

    Hongera sana hata kama umepandikizwa kazi ya Mungu ni usalama wa raia wake pia. Nani aliyesema padre hawezi kuwa manajeshi? Mungu akubarikibsana

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 9 місяців тому

    Safi sn mtumishi Mungu akubariki

  • @nelsonmataba1426
    @nelsonmataba1426 2 роки тому +1

    He knows more than he delivers....

  • @felisterkokuberwa5783
    @felisterkokuberwa5783 2 роки тому +1

    Hongera sana fr

  • @marthamsafiri3582
    @marthamsafiri3582 2 роки тому +3

    Talented &gifted Father, may God bless u 🙏

  • @bahatimwakasambala4666
    @bahatimwakasambala4666 2 роки тому +2

    Safi

  • @josephlupasha6228
    @josephlupasha6228 2 роки тому +7

    Wewe Mwandishi ni Mpumbavu huna ethics huyo anakuzidi Kila kitu unauliza maswali kipumbavu sana, lkn kwa vile unauliza msomi amekustahi tu.

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 2 роки тому +11

    Hawa wamangi ni wajanjawajanja! na huwa wakisoma wanasoma haswaa na akili wanazo pia. Za darasani na zakuzaliwa!

  • @katambisimon9840
    @katambisimon9840 2 роки тому +3

    Dr Henry yuko vzr, shida ni huyo mtangazaji hajajipanga,maswali yake hayako organized,anafanya interview isinoge

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 роки тому +1

    Father angeojiwa na Miradi Ayo tungeonjoi sana

  • @valeassenga2958
    @valeassenga2958 2 роки тому +1

    Duuu hongera sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 роки тому +4

    Kumbe masters na PhD jamaa amae someshwa na serikali aisee huyu sio mtu wa kawaida na ame faulu kwa kiwango cha SGR

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 2 роки тому +3

    Hongereni wachaga.Prophesas👌

  • @josephpetermaganga2907
    @josephpetermaganga2907 2 роки тому +1

    Hatari sana hii

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 3 місяці тому

      Hilio ndiyo kanisa katoliki...mwenye masikio na asikie..

  • @user-lv8on5ou1l
    @user-lv8on5ou1l Рік тому

    Congrats padre

  • @mussaandrew2083
    @mussaandrew2083 2 роки тому +2

    👏🏼👏🏼

  • @vfacilitator8398
    @vfacilitator8398 2 роки тому +11

    Tunakupongeza sana Padre! 👏 Kabla ya kusomea degree ya kwanza hapo Ardhi University, Padre tayari alisha hitimu degrees mbili. Kwa kufaulu degree yake ya tatu hapo Ardhi University, ina maana sasa ametimiza jumla ya degrees tano! Kweli anastahili pongezi nyingi. Wanafunzi wake watanufaika sana hapo chuoni. NB: Mahojiano haya yangeendeshwa na journalist mzoefu kama Millard Ayo, yangependeza zaidi, ila Padre amejitahidi sana kujibu kila swali kwa ufasaha na uvumilivu.

    • @adammwita3150
      @adammwita3150 2 роки тому

      Charles Hilal

    • @vfacilitator8398
      @vfacilitator8398 2 роки тому +2

      @@adammwita3150 Kweli, Charles Hilary yuko vzuri. Pia Gangana wa TBC anafanya homework kwa umakini. Millard Ayo naye. Nairobi yuko yule kaka mwenye Churchill Show, na pia Jeff Koinange wa Citizen, pamoja na yule kaka mweupe rafiki yake na Jeff. Siku za nyuma CNN walikuwa na dada Christiana Amanpour, alikuwa interviewer moto wa kuotea mbali. Interviewing ni kazi nzito, tusiichukulie poa. Wanaoifanya kwa makini inawabeba.

    • @frankmsisi149
      @frankmsisi149 2 роки тому

      Kwa kweli, mwandishi wa habari anahitaji ku improve

    • @vfacilitator8398
      @vfacilitator8398 2 роки тому

      @@frankmsisi149 Ni kweli. Ukiangalia vyombo vya habari vya nje, kila project anatafutwa mdau aliyebobea kwenye maswali husika ndiye aisimamie. Kwa mfano, interview hii haki yake angeiendesha architect au padre au mwanajeshi mstaafu. Hapo ndio utaupata ufanisi wa huduma.

    • @vfacilitator8398
      @vfacilitator8398 2 роки тому

      @@adammwita3150 kwa mahojiano, TV interviewer mwingine wa Kenya ni Tony Gachoka. Yuko pia wa kike nikimkumbuka nitamuandika.

  • @emmadeprincetv6133
    @emmadeprincetv6133 2 роки тому

    Duh uko njema aise dr...💪💪
    but hilo vazi la kenya

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 2 роки тому +3

    Hiyo sare ni jeshi la nchi gani

  • @erickkalumuna329
    @erickkalumuna329 2 роки тому +4

    Blessed mind⛪🙏

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 2 роки тому +8

    Yani maswali ya uyo mwandishi,,,ni utazani amuuliza mtuumiwa au mtoto wajirani ambaye hajawai muona katika mtaa anae ishi na kuku weke akiwa ameibiwa,,,naitaji kujua Elimu ya uyo mwandishi

  • @MBATINOFILMS
    @MBATINOFILMS 11 місяців тому +1

    yes 😋😋😋

  • @giztony2009
    @giztony2009 3 місяці тому

    Aiseee! Huyu mtu nimeshindwa kumuelewa ila siyo kwa nia mbaya

  • @kennywilliam2466
    @kennywilliam2466 2 роки тому +1

    Kwa Huyomkatoriki kuvaa nguo za kijeshi hali yakuwa ni padre hongera ni nyingi sana na serikali imefumba macho kama haipo vile ila angekuwa shehe wangemjulisha na mbowe harafu utaskia serikali haina dini eenyi kizazi cha nyoka mungu awahurumie.

    • @drjbmsige4098
      @drjbmsige4098 2 роки тому

      tulia wewe ushaambiwa mafunzo ya kijeshi kapatia cuba tena akiwa na miaka 11, wewe ukiwa na miaka 11 si hata kamasi ulikuwa hujui kutoa??

    • @kennywilliam2466
      @kennywilliam2466 2 роки тому +1

      @@drjbmsige4098 nafurahi kuona kwamba umejibu hiyo ni uthibitisho kwamba hiyo ni pressure point na ujumbe umefika

    • @stanlaymanya687
      @stanlaymanya687 2 роки тому

      Kweli we jembe mikono enyewe ina sema

    • @nancychuwa4870
      @nancychuwa4870 Рік тому

      Ni kwa sababu ya tabia zenu za kuua na ugaidi

    • @issaathumani7610
      @issaathumani7610 Рік тому

      @@nancychuwa4870 bado na wewe ni miongoni mwa watanzania walionezeshwa sumu ya udini.

  • @bernkennedy49
    @bernkennedy49 2 роки тому

    Mwandishi wa habari ovyo sana...yan hauna hata Nidhamu

  • @muirurindichu8192
    @muirurindichu8192 2 роки тому +1

    Hongera padre.. karibu Kenya

  • @umikitira7212
    @umikitira7212 2 роки тому +2

    Wao uru the best hom

  • @sebastianriziki3536
    @sebastianriziki3536 2 роки тому

    Nc baba

  • @katambisimon9840
    @katambisimon9840 2 роки тому +3

    😂😂😂😂
    Mtangazaji anaonyeshwa thesis mbalimbali anabaki kushangaa tu,hajui kinachoendelea..
    Shule jamani..shulejamani...

  • @laurentkimbatummassy8075
    @laurentkimbatummassy8075 2 роки тому +1

    Born in 1969, 1984 kaenda Cuba after a year of training akarudi akiwa na 12 or 13 years of age..........

  • @vhiedkc859
    @vhiedkc859 2 роки тому +1

    Mwandishi hovyo hovyo sijawai ona kabisaaa

  • @fredmbossa
    @fredmbossa 2 роки тому +1

    Shushushu gusa unase,,,,,,

  • @flaviusbenedict7513
    @flaviusbenedict7513 2 роки тому

    Haya mahojiano yamenifundisha uvumilivu hata mtu akikuuliza pumba wewe mjibu vizuri tu. Huyu Padri ni mtu wa kujivunia kwenye nchi yetu.
    Sijui wenzake alioenda nao Cuba wapo wapi aisee😅
    I hope they are doing great. Heshima kwenu

  • @tumainimoshy207
    @tumainimoshy207 2 роки тому +3

    Kama kuna namna ameficha mambo.
    Tuambie tu Padri

  • @mligosandrah7851
    @mligosandrah7851 2 роки тому +2

    Mtangazaji una maswali ya hovyo

    • @kenybenjiz7850
      @kenybenjiz7850 2 роки тому

      Sahv kuna tatizo kubwa la waandishi
      Huyo mwandishi anamuhoji padri utafikiri anamuliza maswali mondi konde au baba levo

  • @lastgospel706
    @lastgospel706 2 роки тому +4

    MWANDISHI FOOLISH SANAAAAAAAAA AACHISSHWE KAZI MAPEMAAAAAA MNOOO

  • @hono1232
    @hono1232 2 роки тому +4

    Huyu mpuuzi kabisa. Hana maadili na ni dhamu.nenda shule mwandishi

  • @malakimollel6044
    @malakimollel6044 2 роки тому

    Watu waende shule jamani..mwandishi wa habar jingajinga sana

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 3 місяці тому

    Kwa mwanajeshi kuwa mcha Mungu inawezekana kabisa lkn kwa polisi haiko vizuri bora mgambo.
    Na andiko lipo ukibisha waliambiwa polisi wasinyang'anye mtu Mali yake Wala wasimshtaki mtu kwa uongo na pia watosheke na mishahara yao .
    Luka 3:14

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 2 роки тому +2

    Hongera kamanda
    Ila naona mwandishi hayuko deep
    Yuko to shallow kichwani
    Kwa maswali anayouliza huyo mwandishi inadhihirisha tz waandishi
    Sahvi ni weupe

    • @francomwacha2262
      @francomwacha2262 2 роки тому +1

      Kuna media zingewah nafac hii interview ingekua impressive zaidi..

    • @kenybenjiz7850
      @kenybenjiz7850 2 роки тому

      @@francomwacha2262 exactly

  • @justinemwenda2292
    @justinemwenda2292 2 роки тому

    Watu hadimu sanaaa hawa

  • @anacretsindabaha9395
    @anacretsindabaha9395 2 роки тому

    Jesuit hili

  • @kulwamwakagali24
    @kulwamwakagali24 2 роки тому +2

    Muandishi anataka padre rumisha akubali kusema kama yeye ni jasusi..😂😂

  • @visensiakagombora6260
    @visensiakagombora6260 2 роки тому +3

    Mtangazaji anataka mumfahamu ndio maana anauliza maswali ya kina

  • @johnchuwa2888
    @johnchuwa2888 2 роки тому

    Naweza kupata namba yake?

  • @massoudsultan6149
    @massoudsultan6149 2 роки тому +2

    Perfect education /// sio comedy ya msukuma

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 роки тому

      Massoud pole sana jitahidi na wewe uwe kama msukuma unasumbuliwa na wivu aliyepewa kapewa ukitaka pambana na wewe kama msukuma

    • @carolsalvii281
      @carolsalvii281 2 роки тому

      Nakupongeza sana Ndg yangu kwa kuijua ngonjera ya Msukuma!
      Hamna lolote hapo kwa Msukuma, uongeaji tu sana! Mtu kuongelea suala la Msukuma sio wivu bali n ujasiri

    • @carolsalvii281
      @carolsalvii281 2 роки тому

      Uko sahihi kabsa Ndg yangu

  • @mzazi1467
    @mzazi1467 2 роки тому +1

    Mwandishi mbona hujui kuhoji asee😀wahoji kma kma polis.

  • @bensonlucas7607
    @bensonlucas7607 2 роки тому

    Safari ndefu sana lakini yenye mafanikio bila kukata tamaa.

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 2 роки тому +3

    Mtangazaji au mwandishi anaehoji ni hovyo kabisa , anahoji mtu wa maana kihovyo hovyo ..!!