Kiukweli sometimes sis wanawake tunazingua sanaa coz ya hapoo mtu wa kudilii naye ni mwanaumee wako siyo mwanamke mwenzioo ila kiukweli inabidi tuwe tunatuliza kwanza kichwà kama nyie wanawake wawili mkae chini mpige tukio boy au vip siyo wanawake kugombanaa huu siyo muda wa kugombana wanawake kwa wanawake ila kikubwa ni mwanamke kudili na mwanaume wakoo
Hivi nyie wanawake mnaodhani mwanamme ni wa mwanamke mmoja, nani aliwajaza huo ujinga.? Mwanaume ameumbwa mtafutaji asie na mwisho mpaka kufa kwake. Wewe mwanamke ndo unapaswa kubaki na mume mmoja maana we ni mpokeaji.
@@madammbago9787 sina muda wa kubishana na kiumbe mpinga amri za Mungu. No wonder mlikuwa sababu ya Adam kutolewa bustania ya Eden. Mmeanza kupingana na amri za Mungu, Mimi nani msinipinge.
Na wanawake weusi walivo watamu jmn hv mnahangaika nn nahayo mapapai yenu? Zamda maskin hana mambo mengi hata hahahahahaha nacheka km mazuri,nani kamwona Tanisha anavotetema miguu mpk kutembea kushindwa nusu aanguke maskin
Wanawake tunatakaga tu kujiumiza maana hawa wanaume kama wamezaliwa pamoja dada zangu tutafuten tu pesa maana
Sema dada katumia njia nyepesi sana kumuondoa tanisha kwa bwana ake hapo hatamuamini tena😅😅😅
We jamaa sku ukipigwamie simoo 😂😂
Me naomb unifanyie challenge plz 🙏🙏🙏 San Niko arusha njiro nawaomba San plz mr.uky and kiredio nawaomba San
😂😂😂 mim jamn moyo wang chuma kudadeki 😂😂
Nimesomanae huyodada namjuwa vizuri nyegezi sec Mwanza yunus mm latifa
Mama yangu kevo amefika tz😅😅😅😅sasa kenya tumepumuwa waah kevo
😂😂
😂😂😂😂
Mwenye tatoo mmemwaribia tu kwa mabwana wengine kakosa amani
Wanaume na pepo nisawa na maji na mafutaaaaa😊😅😅😅😅😅😢😢😢😂😂😂😂😂😂
Oya mtangazaji umemechi sana na tanisha
Kasepa kajua kabisa nishaliwa dadeki
Jamaa kamchagua anayemtaka kwakujiongeza wauni tushaelewa🤣🤣
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Wanaume mtafika mbinguni mmechoka kwa kwely😅
😂😂😂😂😂😂kw kwel
😂😂😂 this is men for you😂😂 men the will leave you in desert without water 😂😂 that it’s what happens to Tanisha.😂😂
Kiukweli kabisa mwanamke mweusi anashawishi Sana hata ukimtazama tena watamu Sana Hana pooza joto Kama lote,
Majina ya kevoo nishida san
Jaman watanznia wana mambo kila jina lina ttzoo
Yan mm nnavyopenda minyamanyama huyo bonge nd cwezi kumpoteza na sio iko kimbaumbau cheupe
😂😂😂 dah
😂😂😂😂nmecheka
Ila wanaume 😅😅 nacheka km mazur wallah Duuuh🙌🙌
Pole tanisha
Namjua nimesoma nae hata jina lake sio hilo jaman,,watu tunafik mjini tunabadilisha majina duhh😂😂😂😂
Unamjua mchepuko au mke
@@VannyPascal mke😂😂
😂😂😂😂wanaume hapana niliacha ujinga wa kumfatilia baada ya kujuwa anatembea na bwana yangu
😂😂
Aaah nimechoka kaulizwa mara ya kwanza unawqjua kasema ndio😅 mara ya pili kakataa hatua kumi😅
Mhhhh ya Kenya sasa tupo nayo BoNgo
Miak 2 yotee hiyo mim ningemovie one
Daah natamani Zamda aone comment yngu anichek, she's a wife material
Duuh majina ya kevoo🙌🙌
Kelvin
Hila we Mr uk utafika mbinguni umechoka
Na kiredio wake
😂😂😂😂😂😂 etii ana matatoo mengiii
Zamda mama apo apakufai ..
Jaman zamda pole mwaya duuh we n mrembo achana nae uyo bwana
Asa Mbona kaondoka na yeye jmn
Leo ndo nimeamini haya ni maigizo coz namuelewa vizuri huyo dada
Kudadek ujue anajua mzagamuano
Mbona kama huyo mchepuko kwenye picha mzur live mbaya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Salut
Mbona uishi uishi Hadi mwisho jmn 😂😂😂😂
Wanaume pepo mtaisikia tu😅😅
Nakpnd
Uchomvamishi tu ss unuhoji mtu alafu unaemuuliza yupo hp nia yk nn ndiodangaji
Next
Pat 2 please
Ivi watu wanawezaje kupokea cm ngeni😅😅😅Yan me unaweza pga mpk ukakoma
Bonge mwezangu unapendwa mwaya asa huyo mwezangu na mie anaonekana ana mabwana wengi kihelehele pooo afu uje uombwe msamaha umpe tena aendelee kukuchezea 😅😅😅
Na uyo tanisha anaonekana ana maringo na dharau ndo mana kevoo ameona hapo ni bora asave kwa chaupole zamda
Wanaume bwana
😂😂😂😂😂 mm sinaga mda wakufatilia ata km mume wng atajijua mwenyw
Jamn shda nn kujizalilisha khee😅😅😅😅kwani hakun alternative
😂😂😂 siku ya kuambiwa simfahamu unakula ndimu nzima nzima😺..
Hahahaha
Huyu mdada black beauty mie namfahamu namuonag mwanza
Akuna mwanaume wa mwanamke mmoja jaman tulieni tu kama uwez kaa na mwanaume basi kaa single
Hakuna mwanamke wa mwanamme mmoja in case you do know
Hao wakina kevoooo
Kevooo anaweza kula hta kilema😂
🤣🤣🤣
Dah🤣🤣
Yaaani hivi unajua jamaaa anamtu na bado ukaamua kuendelea nae your not ok in mind yaaan unampendaje mtu Kiasi hicho
Yani Mimi niwe ndiobtanasha Sina mda wakukaa hapo akati Sina uhakika wa kuchaguliwa Yani nazingua afu naondoka zangu sipo tayari kuachwaaa seh
Huu ni utoto mwanaume anachagua mtu wa kuwanae jaman ukiona readflag sepa jaman acha kujizalilisha mwanawake mwenzangu yeuwiiiiiiiiiiiiiii
Mh jamn 🤐🤐🤐
Akina kevo mnamoto mbinguni
Kwani kafunga nae ndoa
Tanisha 😢 pol
Sawa
Tatuu zimempoza nilitaka kusikia huwezi kuchaguliwa ukiwa mwanamke was ajabu hata uwe mweupe Kama mzungu
Wanawake tutafete hela huu sio wakati wa kugombania wanaume
Pole zamda wetu ila wanaume watz kwakwer haya walishakosa nataman mfike njombe japo najua ningum
Bhana usipend post vitu nusu nusu unatutoa kwenye uwepo..ila wanaume 🙌🙌🙌🙌
Mwenyew sijapenda hii
😢we kevoo wewe unahatarii
Alafu atakae achwa na kevoo aje kwangu
😅😅😅😅😅tanisha mbn cimfahm😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kwanza alisema imekuwaje wote wapo hapo,then anasema Tanisha mbona simjui😳😳😳fear men🏃🏃😤
Tanisha hatumjui bana mtu tattoo zote hizo tunamfahamia wapi😅
@@user-re8cp2if4jhatumjui kbs😂😂
Ikopoa lkn unatuacha vby nini kiliendelea baada ya hapo
Mimi namtafuta huyu kaka mr uky nampataje?
Ulisikia wapi kunamwanaume anaishi na mpenzi 1 et
party two ya wale wengine bdo hauja post na kila siku wahusika wapo mliman jmn hiv ni kwel au maigizo??
kesi za kevoo sasa ni too much
Duuh 😢
Huyo si zamda jmn nae anabwana mmoja kumbe😅😅😅
Mr uk , i wish nimuone gf wako😄
Duuh
Ha ha ha ila zamda nimpole
Kiukweli sometimes sis wanawake tunazingua sanaa coz ya hapoo mtu wa kudilii naye ni mwanaumee wako siyo mwanamke mwenzioo ila kiukweli inabidi tuwe tunatuliza kwanza kichwà kama nyie wanawake wawili mkae chini mpige tukio boy au vip siyo wanawake kugombanaa huu siyo muda wa kugombana wanawake kwa wanawake ila kikubwa ni mwanamke kudili na mwanaume wakoo
Ni kweli unachosema but me naona kosa linatokana na pale ubapokuwa unamjua mke wake na ww unaenda tuu😢😅😅😅
Na michepuko nd huwa inanguvu ya kujib hvyo
Apo uyo black ana pesa au uyo white mtamu kwahy sasa kila mmoja na nafasi yake
😅😅
Na wew alokujaza uo ujinga kwamba kuna mwanamke wa mwanaume mmoja nani?
Hzo tattoo lazima uchezewe tu, koma
5:01
Hivi nyie wanawake mnaodhani mwanamme ni wa mwanamke mmoja, nani aliwajaza huo ujinga.? Mwanaume ameumbwa mtafutaji asie na mwisho mpaka kufa kwake. Wewe mwanamke ndo unapaswa kubaki na mume mmoja maana we ni mpokeaji.
Hakika unayosema tuvumiliane tu na subra ❤
Ebu Acha kua na mawazo finyu.....
Huo wako ni ujinga na nyie ndo wanaum wa hovyo kwan mwanamk han roho huo ni ufuska tu ulowajaa na laana
@@madammbago9787 sina muda wa kubishana na kiumbe mpinga amri za Mungu. No wonder mlikuwa sababu ya Adam kutolewa bustania ya Eden. Mmeanza kupingana na amri za Mungu, Mimi nani msinipinge.
@@abdulaziz703amri upi😂😂?
😢
Mi nisinge mtafuta
😂😂😂
😂😂😂😂
Kevoooo 😅😅😅😅
Na wanawake weusi walivo watamu jmn hv mnahangaika nn nahayo mapapai yenu? Zamda maskin hana mambo mengi hata hahahahahaha nacheka km mazuri,nani kamwona Tanisha anavotetema miguu mpk kutembea kushindwa nusu aanguke maskin
Hiiiii kumbe
Nyie wanawake acheni kuwalaumu wanawake ambao wanatembea na waume.zenu kuwa amekuchukulia yeye ametongozwa kama wewe ka mlaumu mumeo
Dunia simamanipite ndomana sitakimapenzi tena
Watu mna moyo jamn Yani mwanaume tu ndo nimuangaikie hivy ten sio mme akwendreee
We pamoj na mm
Mpenzi tuu ndo una mhangaikia hivyo😂😂😂😂 angekuwa mume
😂😂😂😂😂😂
Shida sio mpenzi kunamagonjwa ndiomana unaona watu wanaangaika