MCHEPUKU ABANANISHWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 сер 2024
  • Dada alie chukua namba Ya mchepuko na kumtafutaa......

КОМЕНТАРІ • 148

  • @user-zs5en7oy1x
    @user-zs5en7oy1x 5 місяців тому +11

    Wanawake tunatakaga tu kujiumiza maana hawa wanaume kama wamezaliwa pamoja dada zangu tutafuten tu pesa maana

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 8 місяців тому +5

    Sema dada katumia njia nyepesi sana kumuondoa tanisha kwa bwana ake hapo hatamuamini tena😅😅😅

  • @user-vm5gq7ms8v
    @user-vm5gq7ms8v 5 місяців тому +6

    We jamaa sku ukipigwamie simoo 😂😂

  • @LeahPhilipo-kx8yn
    @LeahPhilipo-kx8yn Місяць тому +1

    Me naomb unifanyie challenge plz 🙏🙏🙏 San Niko arusha njiro nawaomba San plz mr.uky and kiredio nawaomba San

  • @MarryPatrick-kl2vk
    @MarryPatrick-kl2vk 2 місяці тому +4

    😂😂😂 mim jamn moyo wang chuma kudadeki 😂😂

  • @LatifaYusufu-eo9bz
    @LatifaYusufu-eo9bz 2 місяці тому

    Nimesomanae huyodada namjuwa vizuri nyegezi sec Mwanza yunus mm latifa

  • @godsfavour1603
    @godsfavour1603 3 місяці тому +7

    Mama yangu kevo amefika tz😅😅😅😅sasa kenya tumepumuwa waah kevo

  • @hamisaabdulhamid529
    @hamisaabdulhamid529 2 місяці тому +4

    Mwenye tatoo mmemwaribia tu kwa mabwana wengine kakosa amani

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 8 місяців тому +4

    Wanaume na pepo nisawa na maji na mafutaaaaa😊😅😅😅😅😅😢😢😢😂😂😂😂😂😂

  • @fatmahassan7467
    @fatmahassan7467 4 місяці тому +2

    Oya mtangazaji umemechi sana na tanisha

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 3 місяці тому +3

    Kasepa kajua kabisa nishaliwa dadeki

  • @niyukurininettejoshua5665
    @niyukurininettejoshua5665 8 місяців тому +5

    Jamaa kamchagua anayemtaka kwakujiongeza wauni tushaelewa🤣🤣

    • @user-kn8bm3kt1j
      @user-kn8bm3kt1j 7 місяців тому

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-qs2tq8ke1v
    @user-qs2tq8ke1v 8 місяців тому +8

    Wanaume mtafika mbinguni mmechoka kwa kwely😅

  • @liyloveonimakeuptv2400
    @liyloveonimakeuptv2400 8 місяців тому +2

    😂😂😂 this is men for you😂😂 men the will leave you in desert without water 😂😂 that it’s what happens to Tanisha.😂😂

  • @nghomanohosea9251
    @nghomanohosea9251 8 місяців тому +1

    Kiukweli kabisa mwanamke mweusi anashawishi Sana hata ukimtazama tena watamu Sana Hana pooza joto Kama lote,

  • @user-bi9lh1kk1i
    @user-bi9lh1kk1i 8 місяців тому +4

    Majina ya kevoo nishida san

    • @BeatriceDismas
      @BeatriceDismas 4 місяці тому

      Jaman watanznia wana mambo kila jina lina ttzoo

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 8 місяців тому +2

    Yan mm nnavyopenda minyamanyama huyo bonge nd cwezi kumpoteza na sio iko kimbaumbau cheupe

  • @rahmamsangi2190
    @rahmamsangi2190 3 місяці тому

    Ila wanaume 😅😅 nacheka km mazur wallah Duuuh🙌🙌

  • @daliahmachendenice8543
    @daliahmachendenice8543 8 місяців тому +2

    Pole tanisha

  • @MariumEzekiel
    @MariumEzekiel 3 місяці тому +3

    Namjua nimesoma nae hata jina lake sio hilo jaman,,watu tunafik mjini tunabadilisha majina duhh😂😂😂😂

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 8 місяців тому +5

    😂😂😂😂wanaume hapana niliacha ujinga wa kumfatilia baada ya kujuwa anatembea na bwana yangu

  • @Puxladen
    @Puxladen 5 місяців тому

    Aaah nimechoka kaulizwa mara ya kwanza unawqjua kasema ndio😅 mara ya pili kakataa hatua kumi😅

  • @naomipieter4627
    @naomipieter4627 8 місяців тому

    Mhhhh ya Kenya sasa tupo nayo BoNgo

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py 8 місяців тому +1

    Miak 2 yotee hiyo mim ningemovie one

  • @JamalManzi
    @JamalManzi 2 місяці тому +1

    Daah natamani Zamda aone comment yngu anichek, she's a wife material

  • @user-mf1gm8cx9c
    @user-mf1gm8cx9c 8 місяців тому +1

    Duuh majina ya kevoo🙌🙌

  • @user-xf1si9vd1j
    @user-xf1si9vd1j 5 місяців тому +1

    Hila we Mr uk utafika mbinguni umechoka

  • @BarkixSeiph
    @BarkixSeiph 4 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂 etii ana matatoo mengiii

  • @user-jg3ek6ot3u
    @user-jg3ek6ot3u 8 місяців тому +1

    Zamda mama apo apakufai ..

  • @praxedantale7817
    @praxedantale7817 8 місяців тому +1

    Jaman zamda pole mwaya duuh we n mrembo achana nae uyo bwana

  • @user-wk5km6di9c
    @user-wk5km6di9c 8 місяців тому +2

    Asa Mbona kaondoka na yeye jmn

  • @officialludahtz8152
    @officialludahtz8152 3 місяці тому

    Leo ndo nimeamini haya ni maigizo coz namuelewa vizuri huyo dada

  • @zahirimaulidi4702
    @zahirimaulidi4702 2 місяці тому

    Kudadek ujue anajua mzagamuano

  • @FadhilaSalim-uy6jq
    @FadhilaSalim-uy6jq 2 місяці тому

    Mbona kama huyo mchepuko kwenye picha mzur live mbaya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-rb3ct9gk6m
    @user-rb3ct9gk6m 6 місяців тому

    Salut

  • @user-hb7oh7fg4z
    @user-hb7oh7fg4z 8 місяців тому

    Mbona uishi uishi Hadi mwisho jmn 😂😂😂😂

  • @PendoUrasa
    @PendoUrasa 8 місяців тому +2

    Wanaume pepo mtaisikia tu😅😅

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 місяці тому +1

    Uchomvamishi tu ss unuhoji mtu alafu unaemuuliza yupo hp nia yk nn ndiodangaji

  • @user-bb7lc9td6o
    @user-bb7lc9td6o 5 місяців тому

    Next

  • @rosemaryrenatus8064
    @rosemaryrenatus8064 8 місяців тому

    Pat 2 please

  • @husnagel
    @husnagel 3 місяці тому

    Ivi watu wanawezaje kupokea cm ngeni😅😅😅Yan me unaweza pga mpk ukakoma

  • @angolina1768
    @angolina1768 8 місяців тому

    Bonge mwezangu unapendwa mwaya asa huyo mwezangu na mie anaonekana ana mabwana wengi kihelehele pooo afu uje uombwe msamaha umpe tena aendelee kukuchezea 😅😅😅

    • @prezgal8869
      @prezgal8869 8 місяців тому

      Na uyo tanisha anaonekana ana maringo na dharau ndo mana kevoo ameona hapo ni bora asave kwa chaupole zamda

  • @innocentcareen818
    @innocentcareen818 7 місяців тому

    Wanaume bwana

  • @pilishazycounterog8200
    @pilishazycounterog8200 7 місяців тому

    😂😂😂😂😂 mm sinaga mda wakufatilia ata km mume wng atajijua mwenyw

  • @jescachandarua5898
    @jescachandarua5898 5 місяців тому

    Jamn shda nn kujizalilisha khee😅😅😅😅kwani hakun alternative

  • @tedytitus7205
    @tedytitus7205 8 місяців тому +1

    😂😂😂 siku ya kuambiwa simfahamu unakula ndimu nzima nzima😺..

  • @user-vt4fr9ng8x
    @user-vt4fr9ng8x 5 місяців тому

    Huyu mdada black beauty mie namfahamu namuonag mwanza

  • @user-cr6fc7nt8k
    @user-cr6fc7nt8k 2 місяці тому

    Akuna mwanaume wa mwanamke mmoja jaman tulieni tu kama uwez kaa na mwanaume basi kaa single

    • @sophiemtitu9921
      @sophiemtitu9921 2 місяці тому

      Hakuna mwanamke wa mwanamme mmoja in case you do know

  • @jescamkemwa9462
    @jescamkemwa9462 3 місяці тому

    Hao wakina kevoooo

  • @AngelTitus-sq7et
    @AngelTitus-sq7et 8 місяців тому

    Kevooo anaweza kula hta kilema😂

  • @angelshonza8236
    @angelshonza8236 2 місяці тому

    Yaaani hivi unajua jamaaa anamtu na bado ukaamua kuendelea nae your not ok in mind yaaan unampendaje mtu Kiasi hicho

  • @neemamabena-xx5er
    @neemamabena-xx5er 4 місяці тому

    Yani Mimi niwe ndiobtanasha Sina mda wakukaa hapo akati Sina uhakika wa kuchaguliwa Yani nazingua afu naondoka zangu sipo tayari kuachwaaa seh

  • @Lilian-le7dc
    @Lilian-le7dc 5 місяців тому +3

    Huu ni utoto mwanaume anachagua mtu wa kuwanae jaman ukiona readflag sepa jaman acha kujizalilisha mwanawake mwenzangu yeuwiiiiiiiiiiiiiii

  • @NasmaMfinanga
    @NasmaMfinanga 4 місяці тому

    Mh jamn 🤐🤐🤐

  • @Juliethbryson
    @Juliethbryson 24 дні тому

    Akina kevo mnamoto mbinguni

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 2 місяці тому

    Kwani kafunga nae ndoa

  • @user-eu9op8ie7p
    @user-eu9op8ie7p 8 місяців тому

    Tanisha 😢 pol

  • @msakadoobongeladada-uh3sk
    @msakadoobongeladada-uh3sk 8 місяців тому

    Sawa

  • @user-js4bu1jp7n
    @user-js4bu1jp7n 3 місяці тому

    Tatuu zimempoza nilitaka kusikia huwezi kuchaguliwa ukiwa mwanamke was ajabu hata uwe mweupe Kama mzungu

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 3 місяці тому

    Wanawake tutafete hela huu sio wakati wa kugombania wanaume

  • @elizabethaniseth4560
    @elizabethaniseth4560 8 місяців тому

    Pole zamda wetu ila wanaume watz kwakwer haya walishakosa nataman mfike njombe japo najua ningum

  • @user-ih6iv9hd8p
    @user-ih6iv9hd8p 8 місяців тому +1

    Bhana usipend post vitu nusu nusu unatutoa kwenye uwepo..ila wanaume 🙌🙌🙌🙌

  • @user-ky7ne4uo4f
    @user-ky7ne4uo4f 2 місяці тому

    😢we kevoo wewe unahatarii

  • @user-yz3eg6ge8z
    @user-yz3eg6ge8z 5 місяців тому

    Alafu atakae achwa na kevoo aje kwangu

  • @user-kn8bm3kt1j
    @user-kn8bm3kt1j 7 місяців тому

    😅😅😅😅😅tanisha mbn cimfahm😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @devothabishagazi9360
    @devothabishagazi9360 8 місяців тому +2

    Kwanza alisema imekuwaje wote wapo hapo,then anasema Tanisha mbona simjui😳😳😳fear men🏃🏃😤

    • @user-re8cp2if4j
      @user-re8cp2if4j 8 місяців тому

      Tanisha hatumjui bana mtu tattoo zote hizo tunamfahamia wapi😅

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 8 місяців тому

      ​@@user-re8cp2if4jhatumjui kbs😂😂

  • @khamismtaly3825
    @khamismtaly3825 7 місяців тому

    Ikopoa lkn unatuacha vby nini kiliendelea baada ya hapo

  • @NairathIddy
    @NairathIddy Місяць тому

    Mimi namtafuta huyu kaka mr uky nampataje?

  • @rehemamgata224
    @rehemamgata224 8 місяців тому

    Ulisikia wapi kunamwanaume anaishi na mpenzi 1 et

  • @mackysuphian
    @mackysuphian 8 місяців тому

    party two ya wale wengine bdo hauja post na kila siku wahusika wapo mliman jmn hiv ni kwel au maigizo??

  • @FAUSTAMBAGA
    @FAUSTAMBAGA 3 місяці тому

    kesi za kevoo sasa ni too much

  • @EvelinJuma
    @EvelinJuma 5 місяців тому

    Duuh 😢

  • @NeemaPatrick-jw9vv
    @NeemaPatrick-jw9vv 7 місяців тому

    Huyo si zamda jmn nae anabwana mmoja kumbe😅😅😅

  • @user-tc1tl1sg5i
    @user-tc1tl1sg5i 4 місяці тому

    Mr uk , i wish nimuone gf wako😄

  • @Evelinweek
    @Evelinweek 8 місяців тому +1

    Duuh

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l 2 місяці тому

    Ha ha ha ila zamda nimpole

  • @anithamsaki2040
    @anithamsaki2040 4 місяці тому

    Kiukweli sometimes sis wanawake tunazingua sanaa coz ya hapoo mtu wa kudilii naye ni mwanaumee wako siyo mwanamke mwenzioo ila kiukweli inabidi tuwe tunatuliza kwanza kichwà kama nyie wanawake wawili mkae chini mpige tukio boy au vip siyo wanawake kugombanaa huu siyo muda wa kugombana wanawake kwa wanawake ila kikubwa ni mwanamke kudili na mwanaume wakoo

    • @user-vh1xo2we9y
      @user-vh1xo2we9y 4 місяці тому

      Ni kweli unachosema but me naona kosa linatokana na pale ubapokuwa unamjua mke wake na ww unaenda tuu😢😅😅😅

    • @deborahthobias2126
      @deborahthobias2126 22 дні тому

      Na michepuko nd huwa inanguvu ya kujib hvyo

  • @dolphintv8772
    @dolphintv8772 8 місяців тому

    Apo uyo black ana pesa au uyo white mtamu kwahy sasa kila mmoja na nafasi yake

  • @annandajilo2831
    @annandajilo2831 8 місяців тому

    😅😅

  • @user-qc3lj4qx8k
    @user-qc3lj4qx8k 5 місяців тому

    Na wew alokujaza uo ujinga kwamba kuna mwanamke wa mwanaume mmoja nani?

  • @RACHELFESTO-pt6fv
    @RACHELFESTO-pt6fv 5 місяців тому

    Hzo tattoo lazima uchezewe tu, koma

  • @user-rb3ct9gk6m
    @user-rb3ct9gk6m 6 місяців тому

    5:01

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 8 місяців тому +16

    Hivi nyie wanawake mnaodhani mwanamme ni wa mwanamke mmoja, nani aliwajaza huo ujinga.? Mwanaume ameumbwa mtafutaji asie na mwisho mpaka kufa kwake. Wewe mwanamke ndo unapaswa kubaki na mume mmoja maana we ni mpokeaji.

    • @fauzenkassim8424
      @fauzenkassim8424 8 місяців тому +1

      Hakika unayosema tuvumiliane tu na subra ❤

    • @hamisahodari9229
      @hamisahodari9229 5 місяців тому +8

      Ebu Acha kua na mawazo finyu.....

    • @madammbago9787
      @madammbago9787 5 місяців тому +5

      Huo wako ni ujinga na nyie ndo wanaum wa hovyo kwan mwanamk han roho huo ni ufuska tu ulowajaa na laana

    • @abdulaziz703
      @abdulaziz703 5 місяців тому

      @@madammbago9787 sina muda wa kubishana na kiumbe mpinga amri za Mungu. No wonder mlikuwa sababu ya Adam kutolewa bustania ya Eden. Mmeanza kupingana na amri za Mungu, Mimi nani msinipinge.

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 5 місяців тому

      ​@@abdulaziz703amri upi😂😂?

  • @user-pv6kr1bm1e
    @user-pv6kr1bm1e 3 місяці тому

    😢

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 2 місяці тому

    Mi nisinge mtafuta

  • @MarySimoni-tz3fm
    @MarySimoni-tz3fm 5 місяців тому

    😂😂😂

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 2 місяці тому

    😂😂😂😂

  • @devothabishagazi9360
    @devothabishagazi9360 8 місяців тому +2

    Kevoooo 😅😅😅😅

  • @hildakipalile7749
    @hildakipalile7749 8 місяців тому +2

    Na wanawake weusi walivo watamu jmn hv mnahangaika nn nahayo mapapai yenu? Zamda maskin hana mambo mengi hata hahahahahaha nacheka km mazuri,nani kamwona Tanisha anavotetema miguu mpk kutembea kushindwa nusu aanguke maskin

  • @DavidDavid-wf5ug
    @DavidDavid-wf5ug 2 місяці тому

    Nyie wanawake acheni kuwalaumu wanawake ambao wanatembea na waume.zenu kuwa amekuchukulia yeye ametongozwa kama wewe ka mlaumu mumeo

    • @HasnaSawaid
      @HasnaSawaid 8 днів тому

      Dunia simamanipite ndomana sitakimapenzi tena

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr 8 місяців тому

    Watu mna moyo jamn Yani mwanaume tu ndo nimuangaikie hivy ten sio mme akwendreee

  • @LydiaStephano
    @LydiaStephano 8 місяців тому +2

    Mpenzi tuu ndo una mhangaikia hivyo😂😂😂😂 angekuwa mume

    • @Rogathe-Rogathe
      @Rogathe-Rogathe 8 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @jonsiamarcus5863
      @jonsiamarcus5863 8 місяців тому

      Shida sio mpenzi kunamagonjwa ndiomana unaona watu wanaangaika