Ukisikia fungu la kukosa ndio hilo, hakuna kinacho sumbua hapo ni tamaa iliyopo ndani ya wadada wa siku hiz, uaminifu hakuna ukute mshikaji alijiweka hali ngumu ili aangalie upendo wa kweli upo wapi, ni bora ametumia njia hiyo japo inauma kwa Mwanamke ambaye ulikuwa unamuwazia kwenye future yako, lakini ni bora kujua uchafu wake mapema kulikoni maumivu ukiwa kwenye ndoa, Big up sana @kiredio kwa kufanya kazi kwa uaminifu,
Uko Sahihi kabisa kaka yani siku izi hakuna mapenzi ya kweli tena kama unavyosema jamaa kajimake kwa muda ili amnunulie demu wake gari lakin the end of the time mtu unategemea utatajwa kumbe dem anakuja mtaja mtu mwingine je kama angekurupuka na kumpa gari si ingekua ni pressure kila siku na ugomvi usioisha ndani ya nyumbaa dah ladies punguzeni tamaa jamani
Daaaaah nimeumia sana kama mimi ndio nimekosa hiyo gari, unaweza ukafa wallah. Daaah wanawake tujifunze kutulia hujui nani atakuja kukutoa kimaso maso. Uksikia fungu lakukosa ndio hii jaman.
Kiledio sijui nita kupataje wewe nikupe pongezi yan ninge kuwa na namba zako kila mwisho wa mwezi nakutumia mshahala kwakazi nzur yani nime fulahi sana huja kosea hata kidogo yani pongez kwako kaka 🤸🤸🤸🤸👍👍👍asante kiledio wee kiledio weweeee🙂🕺🕺
Hii ishu sio kiki huu ni uhalisia kabisa coz reaction za hawa watangazaji baada demu kuondoka is genuine, kwakweli hii mbini nimeipenda san ni rahisi kumjua gal anaekuchiti na asokua na mapenz kwako
Huyo ni Malaya mm ndyo maana wanawake weupe siwapendi coz wengi wao ni malaya siyo waaminifu rangi yao inawadanganya kwamba wao ni wazuri na hawanaga mtu mmoja yani ni malaya.
Inauma Sana..lakn kapata funzo lake,,tulia na mpnz 1tu hayo mambo ya kuruka ruka tuwaachie wasio na malengo ya kuwa future wife💞,,jamen tuacheni ss wadada wa udsm sio sote vicheche jamen malaya wapo kila sehem huyo asituchafulie wengine kila mtu na tabia yake.......Ila dah! Kakosa gar😂 +💔
Hongera kiredio kwa kazi nzur unayo ifanya watu wafunguk macho hakun ku cheatiwa tena maybe kwa wale ambao manapend wenyen kiredio uyu hapa anaraisisha kila tu honger ❤❤❤❤❤❤
Kutoka Kilwa,aisee ukusikia mtu ana Digree 10 ndo kama huyu Kiredio jiulize kama gari angelipeleka mwenyewe alishabugi pia kuwapanga alio watuma kua wasiseme nani katoa mpaka aseme mwanamke mwenyewe Gooooood Kiredio umetoa somo aisee
Inavoonekana huyo kaka alioileta hyo gar hpo anampenda huyo dada .. na huyo dada akipambana hyo gar inakuw yake 😂 xx ajifikirie hpo kwny kupamban na huyo sponsor wke😂😂😂
sasa kama umlfanya nae challenge nashindwaje kumjua nyie msitifamye watoto sisi mmeskia..japo mm ndo ningekua mzazi wa huyo binti kaul ingekua n bora ache vyet uko lkn bira gar asirudi nyumban 😂😊😂😊😂
Yan hata mm nilijua naweza sn ivo ikiwa wanaume wameshamtumia sn alafu ameishiwa t kupata hela ya Chipsi leo kashaoata gari mtego umemnasa mame inakwambia asa ukija huku uje na gari laaa sivyo huku ucje umbwa ww😂
Jamani Kuna watu Wana bahati iv mm nipate mtu wa kunipa gali bdo nachet kama ameweza kununua gali ni bingo anampa ila Wanawake muwe na uruma na wanaume jaman
Unapokuwa na neema hueezi kujua kuwa unayo neema mpka inapoondoka hy neema ndipo unakuja juta kuwa ulikuwa na neema kwahy Siku zote awali ni awali hakuna awali mbovu. Tamaa na Ujinjga mara zote ni majuto
kwenye dakika ya 5:15 dada alikua anamkana jamaa, alianza kusema ssssssss alaf yaaah inamaana kwenye mahesabu kichea chake alitaka kusema simjui lakini ndani ya iyo sekunde akaona akubali tuu😅😅😅
Ukisikia fungu la kukosa ndio hilo, hakuna kinacho sumbua hapo ni tamaa iliyopo ndani ya wadada wa siku hiz, uaminifu hakuna ukute mshikaji alijiweka hali ngumu ili aangalie upendo wa kweli upo wapi, ni bora ametumia njia hiyo japo inauma kwa Mwanamke ambaye ulikuwa unamuwazia kwenye future yako, lakini ni bora kujua uchafu wake mapema kulikoni maumivu ukiwa kwenye ndoa, Big up sana @kiredio kwa kufanya kazi kwa uaminifu,
Uko Sahihi kabisa kaka yani siku izi hakuna mapenzi ya kweli tena kama unavyosema jamaa kajimake kwa muda ili amnunulie demu wake gari lakin the end of the time mtu unategemea utatajwa kumbe dem anakuja mtaja mtu mwingine je kama angekurupuka na kumpa gari si ingekua ni pressure kila siku na ugomvi usioisha ndani ya nyumbaa dah ladies punguzeni tamaa jamani
Dah kweli Nimecheka sana yaani dem unashindwa kumjua boi wako mwenye hela
Hahaha huyo atakuwa nao wenye hela kibao....😅
Hakika ila Si wakumpa gari ila udsm 🙌🙌😂
Dah imekatika kama umeme!!??
Umalaya umezidi kashajiona mzuri kila bwana wake akome😂😂😂😂😂
Daaaaaaaah uyo mwanake hatari malaya uyo hafai kbs 😂😂😂😂😂😂😂😂😂, kiredio hongera sana unafanya kazi vzr sana
Daaaaah nimeumia sana kama mimi ndio nimekosa hiyo gari, unaweza ukafa wallah. Daaah wanawake tujifunze kutulia hujui nani atakuja kukutoa kimaso maso. Uksikia fungu lakukosa ndio hii jaman.
Pole sana kama ni wew kwer
Na hakuna atakae kuja kukununulia gari aiseee,
😂😂😂😂uyu mtangazaji eti kumamake daaaaa amejisahahu kama Kuna camera
Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni Beni jamaniiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyu demu anaachwa na wote
Katika kazi zako hiiii ndio nimeikubal sana 🎉
Yote Tisa inshallah kumi mapenzi shikamoooo
daah huyo manzi anaweza kwenda kujinyonga ebu mfuatilieni 😂😂😂
Hahahahah
Afe kabisa
😂😂😂😂kwakwel apewe ulinzi
Malaya ajinyongi bado kuna sponsor mzee apo😂😂
Bora age mapema ili asituachie mbegu mbaya ya unafki wake,,
Hamupendi ndo maana kataja jina lingine nakuondoka ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂clip hiyi nipeipenda duuui wadada wadogo mambo makubwa
😂😂😂 nmeipenda hiyo kwanza mapenzi shikamoo
Mbona sisi waaminifu atupati bahati hizi🎉🎉🎉🎉
😂😂😂🤣🤣
USIKUTE BENN NDO ANAMLETEAGA SANA AHADI ZA UWONGO ZA KUMNUNULIA GARI ILA HUYU DADA USHUHUDA HUU HADI KWA WAJUKUU😂😂😂
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣 kwanza siku yake imeshaharibika dadeq zake
Fact.
Ben ni tapel maskini kamuaminisha dada wa watu😂
Kiledio sijui nita kupataje wewe nikupe pongezi yan ninge kuwa na namba zako kila mwisho wa mwezi nakutumia mshahala kwakazi nzur yani nime fulahi sana huja kosea hata kidogo yani pongez kwako kaka 🤸🤸🤸🤸👍👍👍asante kiledio wee kiledio weweeee🙂🕺🕺
maigizo yako mazuri kijana hongera unajua kuzipanga
Hii ishu sio kiki huu ni uhalisia kabisa coz reaction za hawa watangazaji baada demu kuondoka is genuine, kwakweli hii mbini nimeipenda san ni rahisi kumjua gal anaekuchiti na asokua na mapenz kwako
Duh umekosa ivi ivi hahah benny popote ulipo mpo wengi kwa uyu dada😂😂😂
Huyo jamaa alie shikilia kifeni hafiki mbinguni dah 🙌🏽🙌🏽 anampepea kabisaaaaaaa 😂😂
huyo ni mr uky kweli mbinguni hafiki huyoo
Huyo ni Malaya mm ndyo maana wanawake weupe siwapendi coz wengi wao ni malaya siyo waaminifu rangi yao inawadanganya kwamba wao ni wazuri na hawanaga mtu mmoja yani ni malaya.
Inauma Sana..lakn kapata funzo lake,,tulia na mpnz 1tu hayo mambo ya kuruka ruka tuwaachie wasio na malengo ya kuwa future wife💞,,jamen tuacheni ss wadada wa udsm sio sote vicheche jamen malaya wapo kila sehem huyo asituchafulie wengine kila mtu na tabia yake.......Ila dah! Kakosa gar😂 +💔
Kiredio msenge sana et Kumamae😂😂😂
Udism malaya wakutosha sana,Hongera kiredio rudisha gari langu yard kaka! Vijana tunajitolea sana kisa hizi nguruwe lkn hawanaga akili kabisa
Mbona usinipe mm nifate tu iringa
Pole sana
Nipende mm kaka😂😂😂😂
Si ujege huku baba
Kama ni wewe seriously polee sanaa kaka but Kila kitu huwa ni mipango ya Mungu amini katika yeye na atakupa mwanamke anae kustahili🙏🙏
Kuna la kujifunza kwa wanawake wasiotaka kutulia na mwanaume mmojaa😢❤
Sio mara zote bwana 😂
Mmh.kiredio honger sn njoo na huku ukomeshe wachepukaj jmn n ayb kw kwel
Hongera kiredio kwa kazi nzur unayo ifanya watu wafunguk macho hakun ku cheatiwa tena maybe kwa wale ambao manapend wenyen kiredio uyu hapa anaraisisha kila tu honger ❤❤❤❤❤❤
Hii ni "Big project"... Safi sana Bro... MADEM WAZINGUAJI MNOO 😂😂😂
Kutoka Kilwa,aisee ukusikia mtu ana Digree 10 ndo kama huyu Kiredio jiulize kama gari angelipeleka mwenyewe alishabugi pia kuwapanga alio watuma kua wasiseme nani katoa mpaka aseme mwanamke mwenyewe Gooooood Kiredio umetoa somo aisee
Umalaya kuoitiliza😂😂 kiredio safi sana ni shabiki wako omani
Daaàah kiredio umempa manz mtihan mmoja mwepes San na mgumu pia kakosa ndiga kizembe ivi. ivi 😂😂😂
Inavoonekana huyo kaka alioileta hyo gar hpo anampenda huyo dada .. na huyo dada akipambana hyo gar inakuw yake 😂 xx ajifikirie hpo kwny kupamban na huyo sponsor wke😂😂😂
Nimehisi mm roho imeniuma😢😢😢😢😢😢 ndio maana mm nakuaga na wanaume mmoja Tu hata usingizini ukiniamsha namtaja 😢😢😢😢kakosa ndinga naumia mm😂😂😂😂😂
😂😂😂 Unakuaga na WANAUME MMOJA?.. NDIO NYINYI NYOTE
Elewa neno wanaume 😂😂😂😂
Hahahah mbona kama keyboard imekusaliti vile "wanaume mmoja" au sio😂
WANAUME MMOJA ..it's plural 😂😂
We ni walewale wakina ..irine magari😂
Na ukute ndiyo aliyekuwa anamsomesha Dah! INAUMA SANA NIKIFIKILIA UAGA NALIA....😭😭😭😭😭
Yaani ndiyo kamaliza chuo alafu akili ziro hatari
Hio kmmk ya mwisho umesahau kuitoa mbonaa😅😅😅😅
Ndio mana mm surprise czitak hta kuziona kabsaaa 😄😄😄
Hapa hawezi sahau maisha yake yote wallah😅😅😅
#kiredio hii kityu sijawahi ona Kwene channel yoyote Toka niache kumiliki smart Leo ndo Kwa mara ya kwanza naona kwako big up broo
Ooh! Wana Fanya saana wa Nigeria mpendwa 😂😂😂
Kenya wamejaa kibao wakina kiredio wanavunja hadi ndoa za watu kiredio ameiga tu
Hujui kazi yako kijana unamkubalia kushika simu mbona
sasa kama umlfanya nae challenge nashindwaje kumjua nyie msitifamye watoto sisi mmeskia..japo mm ndo ningekua mzazi wa huyo binti kaul ingekua n bora ache vyet uko lkn bira gar asirudi nyumban 😂😊😂😊😂
😂😂😂😂😂
Ni uongo ni usanii
Yan hata mm nilijua naweza sn ivo ikiwa wanaume wameshamtumia sn alafu ameishiwa t kupata hela ya Chipsi leo kashaoata gari mtego umemnasa mame inakwambia asa ukija huku uje na gari laaa sivyo huku ucje umbwa ww😂
ametajwa BENNY wakacheka kwanza😂😂,,
Machaliii mbona waruwaru hvo manzese,,
Uskute ben ni mme wa mtu😅
Kaeni chin mle iyo keki 😂😂😂😂 na maua yenu😂😂
Aaah kumamakee msenge huyo ukute uyo beny ni mpiga tofali anaacha ndinga
Dah na unakuta mwana alikua yeye ndo boom mpaka anamaliza Chuo aise nimesikitika kama kiredio aisee 😔 kiredio kabaki kujilaumu Tu maskini dah.
umalaya mbaya sana aisee unaweza kupoteza vitu vingi
Yani kiredio kaumia utadhani yeye ndy alikuwa anapewa hilo gari😂😂😂
Hapana we kama mwanaume utahisi anachohisi mshua huko home au kazini anapambana kwa ajili ya huyo mwisho anadhihirsha alivhokua anamficha cku zote
Itakuwa mume wa mtu alafu awajazoeana we angemzoea asingebabaika
Mzee kiredio hivi hyo mishe unafanyia ngapi nkutumie doo afu uongee na mdada nione kama tuko wengi ama la boi
Huyo msichana hamtaki huyo jamaa ndo maana kaacha kila kitu na yeye anampenda ben😂
Ben mwenyewe ametajwa kashaka na yeye yupo Rehan
Ben mwenyewe utakuta muuni zaid yake😂
Ningekua mim najijua nnamabwana wengi ningeondoka ata singeotea
😂
Jamani umalaya uuu jamani apana kaaaa ebu nitulie na mume wangu pengine anaweza nijalibu kama Ivo bule😂
Ukute bro alkuwaga hajionyeshi anapesa mbele ya dem🤣🤣🤣kamtaja sponsor BEN ye hana huo mdaaa. Ndo ujifunze🙄
Mimi tokea jana nilijua tu lazima atakosa tu ikifikia time unaona kabisa mpaka mwanaume anajitoa ivoo anajua kabisa kitacho tokea
Haka kamalaya kanaongea... Aibu naona Mimi mamake 😂😂
Aaah weee moyo wangu mimi nimeumia kama ni mimi vile
Daaaaa ndo maana halisi ya uaminifu, adi moyo umepasukaaaa 💔💔💔
Wanaume na wanawake wote malaya tuu sikuizi, ubahatishe saana kupata mwenzi atakaetulia kwenye mahusiano
Mmmh kwan tamaa za waume wengi za nni mwanamke mzima
Oiiiii atafutwe aliyetoa ndinga afanyiwe interview...
Au alikua na mabahasha wenye Hela wengi daah..😂
Duuuh kidada Kikware balaa dah 🙌🇶🇦
Mamake 😂
tatizo ni malaya sana anamabwana wengi asa apo alikuwa ajui na bwana gani aliemtumia gari
umetisha kiredio
Nliwambia nyie mtajavunja mahusiano ya watu na ndoa pia mumeona🤣🤣🤣😜😜
Duh shd sana
Yaan mungu anipe mwanaume kama huyo ningemuheshimu San jmn
Yn mwanangu ww Kiredio ni noma 😅😅
Eti mwanaume anakupenda na kukununulia Hadi gar anawapa kiredio akuletee😂😂
Hiyo nimeipenda
uhun mbay😂😂😂😂 kakos tako la nyani 😂
Uaminifu kitu cha msingi sna😂😂😂😂
Du! Hatari hapa uhakika wa wachumba umepatiwa dawa yake kiredio
Mm ndo ben na sikutaki tena 😂😂
😂😂msifanye hamjaskia kama kiredio katukana
Jamani Kuna watu Wana bahati iv mm nipate mtu wa kunipa gali bdo nachet kama ameweza kununua gali ni bingo anampa ila Wanawake muwe na uruma na wanaume jaman
Ben popote ulipo kumbe wew ndo unapendwa ungepeleka gar wajamen mdada ametoka amelooooowaaaa
Hakuna kuskitika kiledio iyo bonge la kazi yani ponge kwako kaka
Nimecheka ki KU###### "ETI KWENYE MA BOYFRIENDS ZAKO UNASHINDWA KUMJUA MTU MWENYE HELA MWANANGU"😂😂😂😂😂😂😂
Hiki kisa kifatilie vizuri unaambiwa huyo jamaa mwenyewe anaishi life la kawaida sana tu kama bwege halafu sio kwamba anamkwanjaa saaana
naomba part 2 yake kaka
😂😂😂 kazi nzuri kiredio 👏👏🔥🔥
Wadada mizinguo sana ,huyo ben hata hio gradu yake wenda hata hana mpango nayo ,
Aaaa sas mbona hua zinaishia njian broo tunatak tuone mpak destiny
Kaka achana na content zako zote, shikilia hapa hapa unafanya kazi ya kijamii 😂
Kiredio we noma nimekubali kaka Malaya kabisa huyo dada hapo kachanganyikiwa
Duh...waiz ni weng kwel
😀😀😀😀dah hii imeenda
Dash kafeli sana uyo dem
mpenzi wake kamtaja mpenzi wake 😂😂
Na kwa beni kashaharibu pia😂😂😂😂
Wadada muwage mnatulia khaaaa
Kuma make mademu wa sikuu izi daaaah😅😅😅😅😅
Unapokuwa na neema hueezi kujua kuwa unayo neema mpka inapoondoka hy neema ndipo unakuja juta kuwa ulikuwa na neema kwahy Siku zote awali ni awali hakuna awali mbovu. Tamaa na Ujinjga mara zote ni majuto
Kiredio umetukana apo mwisho😂😂😂
Et kiredio anachekelea Yuko sasa eeehh eheee kwaiyo daaah yeyeyeyee
Jina la movie tafadhali,
Amuwez kutuza sil za watu jamn
Eti kirediooo 😂😂😂😂 tamaaa mbaya sana
kwenye dakika ya 5:15 dada alikua anamkana jamaa, alianza kusema ssssssss alaf yaaah inamaana kwenye mahesabu kichea chake alitaka kusema simjui lakini ndani ya iyo sekunde akaona akubali tuu😅😅😅
Kusema kweli wadada tujifunze kitu 😂
Wadada wengine.. tupunguzeni Umalaya!
Kwani hawa wanaume wanaohonga magari huwa wanakutana na utamu wa aiana gani