Achen kujiaibisha jamani.... Ivi hamjajua wanaume nyie.... Anaweza sema anakupenda adi akalia mbele za watu million na kumbe anakung'onga..... 😂 Mabint tafuteni pesa pendezeni muwalize hawa wapuuzi achen kujiaibisha
Jmn nyie haya mapenzi mm acheni nitafute hela mm nilikua na mahusiano km haya mm nikaamua kujitoa huu ni upuuuz watt wakike tunavofanyiwa dada tafuta hela
Team Jackie Tujuane 😅 I CAN’T WAIT 😹
Hawa wanamgombania nedi,, kumbe nedi yupo kwangu😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiii wee nawe muongo na wakati ned ninae mimi hapa tumelala🤸♀🤸♀🤸♀🤸♀🤸♀
Chizi kalogwa tena 🤣🤣🤣 mume wetu ameleta balaa
Kumbe lisa wa rapcha🤣🤣
Nedi anaupiga mwingiiii😂😂
@@nuruabraham3769 aweee hahaaaa kwahiyo nedi chawote😂😂😂 tutafte hela
Lil Ømmÿ Cräzÿ Øffïciål seen it
Kubababakeeh? 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Mr uk pole aiseee unaumiza kichwa sana bro
Achen kujiaibisha jamani.... Ivi hamjajua wanaume nyie.... Anaweza sema anakupenda adi akalia mbele za watu million na kumbe anakung'onga..... 😂 Mabint tafuteni pesa pendezeni muwalize hawa wapuuzi achen kujiaibisha
Umeonaeeee 😂😂😂😂😂
Kwakweli
Kweli kabisa 😆😆😆ulicho sema mi binafsi siwezi kugombana na mwanamke kisa mwanaume
Jmn nyie haya mapenzi mm acheni nitafute hela mm nilikua na mahusiano km haya mm nikaamua kujitoa huu ni upuuuz watt wakike tunavofanyiwa dada tafuta hela
Bora itafutwr hela tu
daa afu walivo wapumbavu wanaanza na neno baby wote😅😅
Akinipenda baba inatosha
Na utuoneshe uso safari hiii usitufichie tena huyo Ned
Wakuda mpo makini 😂😂😂
Kwa haraka haraka Jack anadanganywa mbona kwa Lisa mwanaume kashindwa kuongea na kusema tutakuja kuyaongea picha halisi anampenda neli
Umeonaeee
😂😂ata anavoongea nae tu unajua lisa anapendwa
Lisa Hamna kitu mwezio hamgandi ila nedy ndo changanoto wew na jackie wote mainnoncent
Mr uk mm nakupenda ww I love you🇰🇪
Kahaa tutafute hela mapenzi hakuna
I love you Mr uk 🇰🇪
Hv nyie hamna wazazi au walezi mbona mnajishusha thaman hvy jmn
mapenz shikamoo 🙌🙌🙌
Akinipenda Mungu Mwenyezi inanitosha kabisaaa
Wacha niendelee kusota oman mapezi kubabakoo viumbe kama wanaume sitaki kuwasikia😢😢😢
Useme hivyo jamn ni nitakuwa royal kwakk
Uuuuiiiii kudadeki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tujisotee zetu mwezangu na hivi tusha zoea kukaa bila nanii 😅aka
Nyie wadada hamna akili... Wazazi wenu wanajisikiaje mnagombania mwanaume.. Acheni ujinga tafuteni pesa mpendeze kama ipo ipo tu hao mwanaume watakuja mnamgombania huyo mmoja hamuoni hata haya... 😮
Alafu mwanaume anaoa anaetakaaaa😂😂😂😂
@@AgnethaIgnath 😀😀 wanaume hawa kama kinyonga...utakuta wanaemgombania anamtu mwingine kabisa 😁😁
Wanawake waking kabisa hawa.
Mr uky mbona unazikata kata izi fanya ziwe zinaisha kabisa
Yani mi nkishaona mwanaume anamtu mwngne cwezi Kuanz kumtafta cjui uyo Ex nmfahamu na move on sitaki maelezo mengi 😃
Munakosa byakugombania bashenzi nyi
Mmmh wanaume aisee
Jamnii uyo Nedy hajapatikana tu @mr uky
Duh wanaume na hapo ukute kuna wengine zaidi ya lisa na jack na kuna mpenz wakeee wa kumuoa
Yaaaani,Wanaoa wanaemtakaaa😂😂😂😂😂
Hapo mwanaume ndio wa kuamua anatakia kuishi na nani😂
Leta next hiyo kaka, una chelewa sana kupost story.... Tunashauku huku, uwe km wakenya wanafanya kazi mpk usiku.
Jamani tunaomba pati 2 plz
Ni icho kinyama tu ndo kinagombaniwa hivi😂
Daah,ila wadada Kuna mahali tunafeli
Mbona huwaleti sasa
Mwenzio akinyolewa we tia maji wanaumeeee
Yani huyo mwanaume hashtuk tu!!😢😢😢
Jack anadanganywaa
Mr uk usiachi iyikazi hata ufanyiwe nini maana unatusaidia sana sisi wanawake🤣🤣🤣
Acheni ujinga na uyo akimpigia cm atasema ivy ivy
Aibu naona mimi😂
Yaani,huu ujinga sijawahi fanya
au wafanye both team to scole
Chapekeako kaburi jamani pray part yako
😂😂😂 mapenzi nyoko
ILa ivi viumbe Atar shikam wanaume
Hao mademu wote wanachanganywa tu
Kama.majinga hv
Huyo mwingine si ndo anaitwa Christian yuko Mr right 😳😳 mbona sielewi hizi game 😮 huyo dada mweusi yupo pale Mr right
Ni kwel uyu mr uky mbona hatumuelewi
Kule anaitwa christina vp uku anaitwa Jack Lynn
Awa wahuni tu wanaigiza
Wanaigiza washenz hawa😂😂😂😂
Yann hz content za kutengeneza na huyo lisa ni happy nmesoma nae secondary dar sec😂
Mr Uk huwa ni dukani tu jmn😂😅
Mm siwezi pigana kisa mwanaume
Jamani Mimi binafsi sigobaii mwanaume ni namaliza shida yangu napita ivi watu wa chuga hatunaga kumngangania
Hao wadada wote niwarembo
Nakuunga mkono tutafute pesa tupendeze sokoni wateja kibao wewogopi
Nyie wanaume 😢😢😢
Mweeeh! Ushamba tyu mnagombania mwanaume kwani ana maajabu Gani au ana muone Kano nzur kuliko mwanaume gani
Wanamumeeee guyyyyyyyy😂😂😂😂😂😂😂mapensiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂
Mmh makubwa
Wadada wenzangu nendeni taratibu jamaniiii wanaume ndo walivyoooo
Ukifatilia sana,wanaume hua wanachagua wanawake wanaofananiana
ila wanaume Mmmhhh
Hiv nkiamzisha ufugaji wa mende unalipa,, maana mapenzi siyaelewi kabisa😂😂😂😂 nishauliwe
Mwenye t,shet ht akichaguliwa bado ataachwa tu kashachokwa ye ndo kigaga
Lissa anamuona mwezie kituko yey ajafikia levo ya x duh nauyo ned kimchakua jack lisa atazima 😂😂
Sasa huyo Chistina au Jack si angerudiana na ex wake aliyemfuata kwenye kipindi cha Mr Right anaitwa Chriss
Do that bro
YANI HUYU WANGU ASIJARIBU ATAONDOKA NA BOKSA TU😅😅😅WAKAISHI HUKO😅
Yaan wanawake wa skuhz sjui wapoje...badala mwanamke ndo ugombaniwe et ww ndo unagombania😂😂😂n ajabu sana hii
Kabsaa😂😂😂
Sensa imeonesha wanaume wako wachache😂
Wallah nawashangaa sana mm Sina mda uwo ila nashukur Allah mm ndio nagombaniwa wallah alfu mm nawaona kama mafala vile watoto wa Mama mkwe
@@AminaBakari-pf6up yan alaf tukiambiwa hatujielewi tunasema tunatukanwa
Wote ni bby , umu tu💔😂😂🙌🏾
kwani ned ndo mwanaume pekeakee 😂😂😂
Oooo o
Wa dad a tafuten kaz achen kugombania mwanaume
Wanaume shikamooo
Mje mnifanyie challenge mim na hela kwann inanisalitii😢😢😢
Kila demu ana mtu
Embu tusubir kumuona huyo kaka mwenyewe kwamana ni vituko😅😅😅
😂😂tafuteni pesa nyiye wana wake acheni ujiga
Wazazi Huwa hawazionii hizi interview jamanii
my best reaction kutoka Lisa ni dakika ya 1:20 mpaka 1:30 hahaha aliposikia ned wamerudiana na huyo mwingine na wana kama mwezi
Mapenziiiiii🙌🙌🙌
Jamani wanawake X harudiwi
Akirudiwa ni ndoa inafuata
Hicho chenye nguo ya mistar Mr right kimeshndwa kinarud kwa ex
Nyinyi wanawake washezi sana tafuteni pesa wachen ujinga
Kwakwel
Part 2 ya happy na mama yake unaitoa lin
Amezingua sana kwenye hii, ameipotezea sanaa aisee
Ety Jaman
@@zenaahmadebwa5910 kumbe wengi tunaisubiri
Kumbe bado watu wanawaamini wanaume???
Hata mimi nashangaa km mtoto
Yaan mapenzi ya siku hizi utakavyo kuja ndoivo utapokelewa😂😂 lakin siyo nikuamin ilo sahau
In suzibale's voice😂😂😂😂😂😂@@ZuwenaMohammed-fp4yv
😂😂😂😂😂😂😂😂wanaume ndo nini kwani......
Mwanaume mwenyew ndo huyo ifike mda mj8tambui
Ila lissah anaforce na akiitwa akija mm naamin atamchagua ex
Shida Yako huonyeshi miendelezo
Hyo nguvu ya kugombania mwanaume naitoa wap kwanza khaaa😅😅😅😅😅
Muda wakuwagombea wanaume mnautoga wapi tafuten kazi muwe bz acheni na mstapeli waiyo miili yenu
Nyote vinganga
Jack anaforce kupendwa aisee
Ex ndio anapendwa hvyo jack atulize komwe 😂
Tunataka tuone sura za hao wanaume visiran uky
Mnasema michezo ni afya endeleeni kuchezewa
I am very beautiful but I decided to be single,hizi. Pimbi. Zitatuua na. UKIMWI
Huyo mwenye nguo ya mistari si Christina alikuwa kwenye season 5 ya Hello Mr Right iliyoisha wiki tatu zilizopita mbona maigizo haya.🙄
Wanaume ni NYOKO 😂
Nyie nyieeee achen tu hela ngumu sio pow ila nashindw kuelew jamn kumbe wat wako seriously kias hiki kupambana na dume mhhhhh simooo mm mtoto wa mama😂
Duh 😢
muwe wawili tu
Ila lisah nakuonea huruma
Mtu anakuchiti halafu bado upo nae tu
Hivi hii inakuaga kwel au maigizo😅
Duh
Nyie wadada mtapumzika mkifa😂
jamn mwanaume ndo walivyo jmn hivo ni kujidhakilisha mi huo upuzi sifanyi kikubwa ananihudumiaa sihangaiki