MALISA AFANYA UNABII KWA MSANII HUYU, KILA ALICHOSEMA NI KWELI, HAWAJAWAHI KUONANA!
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2025
- MALISA AFANYA UNABII KWA MSANII HUYU, KILA ALICHOSEMA NI KWELI, HAWAJAWAHI KUONANA!
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Amen
anaongea na Mungu duhh wakristo hizi imani sio nzuri ni hatari
Siyo kuongea naye face-to-face.... Kuongea na Mungu kiroho
@@issayarashid9845 acha bangi kiroho ndo nin acha kudanganywa au kudanganya watu huwezi kua na mawazo kichwani ukasema umeongea na Mungu na
Tatizo mungu wenu haongeag sababu hayupo hai
Unasema kweli, lakini hacha hasira. @@yahayaallytv2852
Muongo huyo nabii,,,Edsoni ndiyo aliempa details za huyu dogo
Wewe unaweza kukalili vitu vyote ivyo usiongee usiyoyajua
Kuongea na MUNGU unaweza kuongea naye vizur tu lakin Kwa njia ya Roho sio kishikaji shikaji 🤤 na Tena HUWEZI ongea na MUNGU bila ya maombi (prayer) unaanza na maombi then MUNGU anaongea na wewe Kwa njia ya Roho . but issues kubwa ambayo wengi wanamind ni kuwa "nilimuona mungu USO Kwa USO "hapa ni balaa wengi watu wakristo wenye Imani Haba watanibishia na kunitukana .
Kuhusu issues ya kutabiriwa na manabii mimi mimi mimi sidanganyikiiiiiiiiiiiiii ng'o .
Hakika
Amen
Amen