KUPINGA MADAI YA KUITWA MRONGO NA MUSHRIK SAYYID JAFFAR AL BARZANJI NA BACHU NA POTE LAKE | USTAD…
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- KUPINGA MADAI YA KUITWA MRONGO NA MUSHRIK SAYYID JAFFAR AL BARZANJI NA BACHU NA POTE LAKE | USTADH SAID SHIRAZY NA BACHU
Allah akuhifadhi sheikh wangu sheikh said pamoja na wale walio kufundisha na wote walio shughulikia huu munaqasha..........wasia wangu mwambie aje Paige goti kweli kweli kwako sio kwa ustadh wako aliee kufundisha....nacho macho kodooooooooooo msaniiiiiii huyo kama ni kweli aseme sijui tu angeona mambo ambayo hajawahi yaona
Sheikh Saeed Hamna Kitu Huyo ni Sheikh wa Ubwa bwa, Hana Elimu Kabisa.
@@ussihamza-xn7bx acha ushabiki fuatilia
Allah akulinde na kuzidishie elmu Ustadh Said Omar
Yes amzidishie elimu,alionayo haitoshi kwa mijadala ya kidini.
Alikuwa mswahilii,,,c msomii wakuchanganua maswala ya diniii
Mashallah hoja isimamiwe lazima ujib kielim na hoja ya mada iliyopo athibitishe huo uongo wa barzanji thibitisha ..naona kama kweny mas ala ya Hadith hamna jambooo.. mgonjwa kapata dawa
Unajua watu wanakoseaa kitu kimoja labda napenda kusema kuwa labda hawajui Kwa sababu mtu anapokuja na shutma kumshutumu mtu kwanza anatakiwa alete ushahidii ya kwamba hizoo ni shutma za kwelii yaani aoneshe dalili ! Anachokifanya bachu yeye anatuhumuu kitu lakini dalili ya kutuhumu hanaa ndio maana mzozo unatokea hapooo ! Maneno ya sayyidna ABUU bakar anasema yule anaeleta tuhumaa lazima alete ushahidii kwanza kabla ya ya yule anaeshutumiwa au anetuhumiwaa ! Nisawa inawezekana kwenye kitabu Cha maulidi kinamakosaa Kwa sababu kile sio qur Ani ila lazima bachu kwanza athibitishe kwamba kweli kunamakosa ! Yeye anachokifanya bachu anasoma sentensi zilizomo kwenye kitabu tu kishaa anadai kuwa ni uwongoo na wakati Hana ushahidi ya kwamba ni ya uwongoo !
MashaaAllah. Tuache Ushabiki... sheikh said alikua amejiandaa kielim,na alikua na lengo la kumaliza huu mjadala kabisaaa..kielim...na ndio mana alikua anataka kila Nukta ijibiwe then ndio mjadala uendelee..sasa Bachu akawa hataki kumaliza Nukta...anakimbikimbia Tu...sasa Bachu alipaswa kujibu lile swali then waendelee kama Mwenzake alivyojibu na kukubari kwamba hadith ni dhaifu then akamuuliza swali ambalo Bachu akawa anarukaruka..ili waendelee..
Sheikh faadhil..... Allah akuhifadhi endelea kuwatoa vigogo wengine wengi tu kama ustadh said
Kigogo wa kupiga piano
@@samiinali1359HasbunaALLAH wa ne3mal Wakeel.
Vigogo waliosoma na wanaojua kumsifu Mtume (SAW) na kumtetea.
Ustadh Faadhil anaendelea kutoa vigogo MashaALLAH. 😊
Bora Ustaadh Mazinge na wenzie wanafanya kazi nzuri ya kuwaelimisha Wakiristo na kuwa Waislaam.
Kabisa
Sheikh bachuu Allah yahfadhak.ameen.
U nailed it.
Mmmh uyo mwanafunzi wa cbc
Bachu muongo
Bachu sio muongo....ila mafhum ya upinzani sio fasaha kufahamu.
Hao wamebashiriwa giza ,,hawaoni hakki,,Allah awaongoze waingie kwa hakki waache maulid
Allah akuzidishie hekima na elima shekh Sayd umeweza kumtuliza bachu ❤❤❤nakupenda kwa ajili ya Allah bachu hatumii elimu anatumia akili ake inavomtuma
Sheikh said alipigwa 3 bila
Hapana wewe unakichwa kibovu kuelewa nini mantik ya huu mdahalo.
@@sadih5333 uyo shekhe wako mwenye kichwa kizima angejibu swali chenga nn ww
Kwa nini mada ibadilishwe,,ni kwamba aliogopa hakki kubainishwa na kuwa matwarika mutafedheka
Nimependa hapo mwisho mlimsifu mtume atakaenuna na anune na kama dhambi tuacheni tumuachie Mungu ndie hakimu. Mashallah
Acha upuuzi wewe huwezi kufanya dhambi
Kuwa ni mwenyewe busara hakuna anaepinga kuswaliwa Mtume hata mmoja ila kuzusha kitu hakipo kwenye dini Wala sera Wala Hadith.. Aya ya mwisho ya Quran insaema hakika Leo nimewakamilishia dini yenu.... Iweje Leo aje sheikh asema huu ni mwezi mtukufu? wakati Quran haikutaja kwenye ash hurul hurum? Mbona akifariki baba au mama hatufanyi sherehe ya mazazi au birthday siku ya kuzaliwa kwako kwani Fatima na Aisha na vipenzi wote wa Mtume hawakuitambuwa siku ya mazazi ya bwana Mtume? Iweje sie ndio tufanye sherehe kwani sie twaweza kumpenda zaidi ya mkewe na mwanawe na maswahaba wake..? Tuweni na busara Allah kutupa akili tuzitumieni hakika kesho tutakwenda ulizwa hakukujilieni muonyaji? wabillahi Tawfiq
@@JabirHaji-vj2nf yaani mie mpuuzi sio sawa wewe mwerevu ushaingia peponi
@@sulekomesha2931 Mi nadhani kaka tusirushiane maneno haya hayana maana, kwa Mungu mbora ni yule anaejinyenyekeza zaidi kwake mimi na wewe hatumjui nani ila Allah anajuwa, hivyo cha muhimu tuzidishe kujinyenyekeza kwa Allah ili tukaipate pepo mana hakuna mwenye uhakika baina yetu, mi nadhani kama unahisi kumsifu mtume kwa maulid hakufai sawa hakuna tatizo ila mimi nahisi inafaa, hata mimi kwa upande wangu upigaji wa dufu siukubali ila kumsifu mtume tu nitaendelea tu nadhani tustahamiliane ndio muhimu.
@@JabirHaji-vj2nf naam wewe ni malaika hufanyi dhambi Mungu akuzidishie
Maashallah sheikh Said Allah akuhifadhi Kwa pamoja na walimu waliokufundisha
Sheikh said katulia sana Wallah
Hapa kawezwa vizuri sanaa
Said aulizwa suala mimba ya mtumi ilipoingia wanyama walizungumza hanajawabu .amebadilisha mada.nawakaanza ekting zao na kujipa ushindi hili jawabu nililingojea kwa sikunyingi wamefanya fujo na kuanza kulia kama mwanamke kumbe ana mambo yakitoto.hawa niwarongo nitaanza kusoma vitabu vakiwahabi hawa niwakweli waonekana wafuata mwendo wamtumi .kila kitu lazima kwa ushahidi.bachu shukran kwa kutuilimisha
Uhakika shekh hata hoja hana said omar
Wewe umekaa Darasani lakini muogope mungu yote haya yanahifadhiwa na utayakuta acha utani na elimu
Shekhe Said yupo sahihi kwa asilimia kubwa sana
Sheikh Saeed yuko juu sana
Alhamdulilah Alhamdulilah ushindi wa wazi kabisa umepata ust said ashirazy mungu akupe afya taam aamin
Kweli
Kabisaaaaaaa
Nani kasema ushindi ni wa Muhammad bachu
Labda amefunze kupiga piano😂😂😂
Said mambrui huna hoja hata moja kiswahili hujui huna elimu unatafta umaarufu tu bachu yupo sahihi kabisa unapotosha watu tu lkn allah akuongozeni nyote muijue hakki iko wapi
Wandawazim wapo wengi Kimberly. Kwan ukimsifu mtume unapata hasara gani
Shida kubwa ya watu wanaopiga matwari shida wana ugumu wa kuelewa mambo... Allah akuhifadh ustadh bachu
الله أكبر برك الله فيك يا أستاذنا سعيد
Wanao sapoti hoja za Said omar nyote akili zenu za zikaoimwe mental maana hamuna akili✍️ bachu yupo wazi bwana anaeleza kwa uwazi
Bachu ilkua ajibu tu kama clips zake ziloenea kuwa albarzanji Ni muongo Na ndio alipokwepa alikua kitakacho fuatia Kwa akili yako wewe labda muulize bachu ajua Zaidi Kwa Nini ameondoka
Bachu ni mbishi alobobea kwani akisema sijui ili afundishwe atakosa nn. Ushekhe si kufuga ndevu wee. Ajib swali half aone.. lkn anaona ataumbuka
Huo ni mtazamo wako baki nao mwenyewe
Kwa usanii MashaaAllah watu wa maulid wamebarikiwa sauti za usanii
Wenye macho mmekwisha ona na wenye masikio mmekwisha sikia haki imeonekana ila ushabiki bado umebakia
Kumbe ndio uwezo wa Bachu uo namba kufanya nae munaqas kwa mada yoyote anayoitaka muhim tufuate vitabu si porojo
Ust Bachu shukran uko sawa
Asanteen sana Wana twariika shaaqhaafu
Sina elimu yoyote na ninatamani siku moja nipate elimu na mimi lakini...Shekh bachu yuko vizuri sana....swali la shekh saidy liliulizwa bila uthibitisho wowote ilibidi atetee kwanza maadiko kisha ndo ajenge swali kwa usahihi lkn kaleta swali bila wa uthibitisho wa swali lake...sasa maana ya kusoma ni nini...na kwa nini kakubari kwamba ni mnkar nakati alikua hajaelewa ???...nafikilia shekh bachu katengenezewa mazingila ili aonekane hayuko na elimu juu ya hilo....na allah anajua zaidi🙏
Mambo yalivoenda sio Sawa ustadh saidi Hamna kitu ukweli usemwe next time tujipange kumueka mtu wa kisawasawa.
Wacha ufala bachu ajibu ki ilimu sio atoe kwenye kichwa chake
Bachu ndio hana hoja ya kujibu.
Bachu wacha kutuhukumia tunawaskiza nyote jibu swali maneno ni ya uongo au ni ya kweli sio kuruka huku na kule
Ila Muhamad bachu mjanja sana kumbe ndio mana Munaqasha wa tanga yule sabass alikwama. Sheikh sayyd amelifanyia kazi hilo sababu bachu hataki kujadiliana kiilimu bali kiakilia tu
Said wanikunbisha Raila aenda court na lorry zima la vitabu lakini hana ushahidi wowote
Someni masomo ya lugha kwanza Kisha muje mushindane .majahili wakubwa
Irrelevant comparison ....Raila anaingiya wapi hapa?
MashaALLAH Tabaaraka ALLAH Ustadh Said amekuja na vitabu kidogo katika vyengi mno. Lakini Bachu amekuja na kartasi nyengi kutoka google nafkir ama? 😂
Ibara tu zinatatiza mwataka kujadiliana kisha 😢
huyo amabae hakuja na lol la vitabu amejib kitugan zaidi ya kukubari kuwa barazanji inahadith thaifu maan yake nimaneno ya uwongo
Alikaririshwa kauli hii "mimi narudia pale pale😂😂😂" ili munaaqasha uonekane kitoto kwasababu ya utoto wake mwingi
Bachu mjanja hana majibu ila anatafuta jamaa ajibu mwenyewe
It was narrated that Ans bin Malik said:
"The Messenger of Allah (ﷺ) said: 'Whoever gives up telling lies in support of a false claim, a palace will be built for him in the outskirts of Paradise. Whoever gives up argument when he is in the right, a palace will be built from him in the middle (of Paradise). And whoever had good behavior, a palace will be built for him in the highest reaches (of Paradise).'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ الرَّحْمَنِ بْنُ إِبْرَاهِيمَ الدِّمَشْقِيُّ، وَهَارُونُ بْنُ إِسْحَاقَ، قَالاَ حَدَّثَنَا ابْنُ أَبِي فُدَيْكٍ، عَنْ سَلَمَةَ بْنِ وَرْدَانَ، عَنْ أَنَسِ بْنِ مَالِكٍ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ " مَنْ تَرَكَ الْكَذِبَ وَهُوَ بَاطِلٌ بُنِيَ لَهُ قَصْرٌ فِي رَبَضِ الْجَنَّةِ وَمَنْ تَرَكَ الْمِرَاءَ وَهُوَ مُحِقٌّ بُنِيَ لَهُ فِي وَسَطِهَا وَمَنْ حَسَّنَ خُلُقَهُ بُنِيَ لَهُ فِي أَعْلاَهَا " .
Grade: Hasan (Darussalam)
May Allah bless you brother Amin Amin Amin ya rabb best comment May Allah reward you Amin ya rabb
Bachu anaona aibu kwa hao anao wadanganya. Ndio maana kila mara awataja waliokuwa nje. Msanii tu
Bachu usijifanye msanii wa kusema hapo.
Mashallah sheikh Muhammad Bachu umeshinda Allah akuhifadhi
Allahuma Amiin
Sri ameshinda 😂
Ww mwehu amishida nn mnafik sema ukweli japo ni uchungu bachu asome
Amekimbia bachu kwenye kiti wee twarika sio mchezo
Mnafiki ni babako
Usilie umemtetea Mtume maa shaa Allah
Vitabu vilikua vya mngoja tu ajibu Bachu uwongo wake Na amelitambua Hilo angejuta yeye asema asomesha Na ust said amsomesha Yeye kila ibara arekebishwa tafsiri Yake
Ustadh said mungu ndio atakulipa inshaAllh
Bachu Allah akupe umri, kwa kuwafichua hao wamzushiao Mtume wetu, urongo leo umewanasa
Nyinyi masufi mwaka uu munazalilika bure bachu ni mwana chuoni mkubwa kwaiyo musikae nae kwenye TV nendeni mukasome kwake Zanzibar
Mwanachuoni anashindwa kujibu swali!
Ww bachu nani unawazimu na bachu wako mwanachuoni kakimbia
@@fikafikan8484 bachu amekuja kuwatibu mataira wanaume wanalegea kama majike
Masufi Sibirini jaannam kwa wizi wa vyakula vya mayatima
@@fikafikan8484km ww utaa kaa ikiwa mtu anshindwa kujenga hoja wala swali
Ukweli kama shekh said unataka kuisaidia umma ungejibu kwa sababu waumini twataka ukweli wa kitu na sio mtu kwani katika kitabu hazungumziwi mtu kinatizamiwa kile ambacho watu upoteshwa nacho hata mtume aliteleza kwa kuifanya halali kua haramu lakin Allah hakumuuhukum yeye ila alihuku kile alikifanya mtume
Shukran ma ust .
Nimesubiri huu mjadala kwa siku nyingi ila ningejua itakuwa utoto wa hivi nisingepoteza mda mwangu,huyu jamaa anaetetea maulid hana chochote
Em wew kama umeona hana kitu tuambie hukum yakusema kitu ni uongo imetoka kwa wapokeaji gan?
Bachu wawezakuwa umesoma unaelimu lakini ufahamu huna. Ndio maana wazee wetu walikuwa wanaomba dua hiv. Rabbanaa zidinaa ilima waruzuknaafam. Omba Sana dua hii na wenzako kama wewe ufahamu wenu mdogo sana mlichojaaliwa ni ubishi
Subiri khilafa ijee mutajua hamu jui
Huyo mwenye ufahamu alijibu nini zaidi ya kutapatapa? Vitabu vingi mezani na hajakisoma hata kimoja 😂😂😂
Asome kitabu chanini wakati kaswali Kidogo kahiyo hadith ya point yakwanza ya swali lake ameshindw asa huyo ulitaka asome nn
Swali lenyewe ni la kitoto
Auliza kuhusu mtumiaji wa hadithi Dhwa'iyf kuitwa muongo kwani huwa inatazamwa kauli ya mtu au mtu mwenyewe?
Alafu kwani huyu mtu (Barzanji) ni katika wapokezi wa hadithi Dhwa'iyf hadi tumhukumu kuwa muongo? Hatuna haja na Barzanji ila tunakosoa uongo aliyouandika katika kitaabu chake ili mtetezi wake alitetee kwa dalili
Mtu akizungumza uongo sio kwamba yeye maisha yake yote ni muongo kwamba ukweli wake wote utatoweka. Kinachozungumziwa hapo ni uongo uliomo katika kitaabu chake alichokiandika yeye.
Swali liko wazi ila kitoto kilikita na kuganda kukariri swali lisilo la msingi ili kitaabu cha Barzanji kisidhihirishwe uongo wake
Barakallahu fik ya habibi Sheikh said mola mlez akuweke sanaa katikaa hilo
Salaamun Aleikum
Hongereni kwa mjadala, ma sha Allah!
Ila inasikitisha, mtu anasema "nimekuja kumtetea barzanji" Qur'an iko wapi?? Qur'an inatuambia nini kuhusu hivi vitu. Ila alhamdulillah
Kama Allah ananavyosema .....
{ إِذَا زُلۡزِلَتِ ٱلۡأَرۡضُ زِلۡزَالَهَا (1) وَأَخۡرَجَتِ ٱلۡأَرۡضُ أَثۡقَالَهَا (2) وَقَالَ ٱلۡإِنسَـٰنُ مَا لَهَا (3) یَوۡمَىِٕذࣲ تُحَدِّثُ أَخۡبَارَهَا (4) بِأَنَّ رَبَّكَ أَوۡحَىٰ لَهَا (5) }
[Surah Az-Zalzalah: 1-5]
Hii ndo zalzalah. Sasa.... alhamdulillah nashukuru Allah kwa kuweza kushuhudia..... alhamdulillah. Najua ni mwanzo Tu ila alhamdulillah
Mashaallah shkh said mungu akubarik na akuhifadh bachu kagonga ukuta Hana ispokuwa kuongea t maneno Hana ushahid wala dalili ya msingi kabbisa
Bachuu ujanja huna hapo. Umebakia na ukaidi tu. Na ujeuri mwingi tu. Jibu suali bachu usiruke ruke hapo.
♥️♥️♥️♥️ hongera Ustadh Said, Umemuweza hadi anakuja kujisomea hapa.
Cheza na bachu wewe ka kimia
nyie waislamu kweli ?
Haki haijifichi. Hadiyth dhaifu munkari haitumiki acheni hoja zisizo na mashiko hii ni din
BACHU WAJA KEJELI JIBU HOJA. NAONA. USHASHINDWA. UMEBAKIA MIPASHO TU.
Alhamdulilah Bahar juu yabahari huwitwa maji maashaallah Hakika Allah ajalie wepesu katika uwislam
Bachu Jibu swali sio Mara Kuku,Mara ng’ombe Mara maziwa Mara mafuta ya taaa😂😂😂😂porojo nying maskin Ila umepata size yako siulisema wewe 1st class halaf naskia ulijikojolea 😂😂😂😂
Namshukuru m, mungu kwa kutudhiria ukweli tumefahamu mawahabi wamefedheheka kazi yao ni kupindisha haki lakini leo wamekiona
Wewe fala nini
Huyu sheikh wenu wa maulidi hana hoja kelele tu na ndio hali yenu.
Bachu hana lolote😂😂😂
Sheikh Said ameshinda mjadala kwa urahisi sana
Hivi sheikh said mbona umeshinwa kutetea uwongo uliopo kwenye barzanji
Hilo swali jepesi sana kwa mtu mwenye elimu ila ndugu yangu bachu bado ni mwepesi sana ktk elimu
Hilo si suali.. Bali ni mtego wa kutoweza kutetea ushirikina Wenu katika vitabu vyenu mkidai kuwa ni mapenzi ya mtume
Si swali hilo bali ni mtego wa shirk na uwongo.
@@muhammadgadham2321mtego gani? 😂 Kama BALBALA Bachu ameona mtego basi si autegue? Mbona ameshindwa kutegua ama ameona ameshindwa ki elimu?
Bacho Rudi madrassa ukasome. Tena ibtidaiya.
Ww ustadh said umetwaliisha na aboud na fadhili, hakujenga hoja hta moja khurafiyuna
Kwa maoni yangu: Huu mjadala haukiwa Kwa ajili ya kurekebishana na kupeana elimu. Ilikuwa ni mashindano mmoja amshinde mwenzake kama alivyowashinda wa kwanza na mwengine asishindwe akadharaulika na akadharirisha kundi lake. Kwa ujumla hakuna aliyekubali kuwekana Sawa katika dini. Allahu aalamu
Ni kwa kumuakfisha bachu asikufurishe wala kuwatukana wanazuoni kwa kujigamba
Sheikh Saeed Hoyeeee!!!
Sh Muhammad umejibu kielimu na kwauwazi kabisa ,sote tumeshuhudia kuwa huyu jamaa anaongea hovyo2 bila kujibu kwamsingi wakilimu ,analeta mihemko kutuchanganya waislam, lkn tumeshapata faida ,tunaelewa vyema kwahilijambo halipo kisheria wala kiakili tu zakawaida.
"nani anauwezo wakusikia wanyama kwakisemezana "
mimi kwahili tu nimerdhika na nimefaidika na wewe Sh Muhammad.
Allah akulipe kwajuhudi zako zakumtetea Mtume wetu na kutuelimisha sisi waumini inshaallah.
Amejibu nn mnafik ww hajajibu lolote muogope Allah mrongo kama bachu
ALLAAH ametunukulia vya kutosha kuzungumza kwa wanyama.....kasome Quraan alafu ndy ubaate.
Bachoo ngoma mzitoo
Mi mtu wa twariqa lakini Leo tulivoaibika ukweli usemwe,jameni
Ww twarika wawapi mnafik bachu ajibu kilimu hapa bachu ameshindwa kuthibitisha na watu kabla mjadala swali lolote likiulizwa liyolewe ushahidi kwenye quran hadithi wanazuoni bachu hajajibu
Kama Nimtu Nenda Kakae Kwenye Cha Sheikh Bachu Ujibu Maswali
Niulize mshindi anajulikana vp hapa?
Aibu ipi ww mnafiki,swal kaulizwa anarekebisha swal ndio usomi gani sasa
Bachu kama ni sheh atoe ilmu nasio kurekebisha swal
Sheikh bachuuu achana na waabudu makaburi.Hao waache tu waendelee na shirk zao nasisi tutakuwa mashahid mbele ya ALLAH,hao watu wa twarika wakikana.
Kueni naakili hao wameleta swali ili kuilinda barzanji isijadiliwe mbona hawakuonesha usahihi . Wamejitungia swali lisilo namantik wakiwa nauhakika wataficha aibuzao.
Wacheni siasa mingi!!! The guy he’s right in his interpretation!
Confucius: The Chinese philosopher said "Real knowledge is to know the extent of one's ignorance,."
💉 sheikh mohammad umewatibu baraka llah fkah❤❤❤
Yani afadhali ya sabasi kigo kajitahidi kuliko huyu jamaa akajibu swali kwa khadithi dhaifu anataka dalili inayo thibitisha kwamba mtu anae tumia khadithi dhaifu kua ni muongo sasa ww ukisha tumia khadithi dhaifu wataka tukuiteje
Kazi yenuu kujisifia thu lkn nkiambiwa mutowe khadithi hakuna hii ndio kazi zenu tushajua kwamba wanyama walisema mimba ilipoingia yote hayo hamukujibu
Na kama sio taklif bachu kasome tena kuanzia alif
Naam Bacho bado mchanga mno !!
Ustadh Said i ulishibishwa na ukaiva kiilimu ,mbona huna milima yavitabu mbeleyako ,umeniosha Bila MAS hkara !!!
Imam Abu Hanifa said saying "I don't know is half of knowledge".
Sheikh nipe hii kwa kiswahili inshaalah nipate faida
@@faridhassan6834 Imam Abu Hanifa alisema, "Sijui ni nusu ya maarifa."
Huyu akusemesha bure shekh bachu.amekuelewa sana lkn ajifanya kua haelewi.
Mnahasira sana elimu hamna barzanji mnashindwa kuitetea
BACHO NA MAWAHABI NYOTE WANAFIKI MUNAPINGA SHEREHE YA MTUME KISHA MUNASHEREHEKEA KWA KUWA MUMEPINGA SHEREHE YA MAZAZI YA MTUME WANAFIKI SANA WALLAHI
Nyiny baada ya kufanya ya maana munabishana😊
Wallahi hata mm machozi yamenitoka kwa hio swala ya mtume hapo mwisho iliosomwa...kuona ni nani aliechezea akili zetu waislamu mpaka leo tunazozana eti huu ni uongo haiwezekani ili hali ipo ithbati ...Kudhoofishwa kwa hadithi haimaanish uhakika mtume (s.a.w) hakusema.
Tukumbuke atakae mtolea mtume salamu basi nae mtume huirejesha salamu hio
(Yaa Nabiy Salaam alaika)
Kwa usanii muko sawa
@@irshadabuhafsi6585 bila kusoma mtatuona sana wasanii ukiwa unajua kitu majibu n yamenyooka alaf heri kunyamaza kuliko kusema kitu usichokijua kwasababu unapotosha wengi angekuwa anajua majibu ya uongo huo angejibu lakin sas
Vitabu vyathibitisha kuwa hadithi ni Munkar na watetezi wake wathibitisha kuwa nikweli hadithi ni munkar lkn
Sh Said bado anataka sisi tuliokuwa hatujajikita katka hio Bahari tuamini kuwa kilichozalikana kutokana na hadithi Munkar nichasawasawa na huyo alokileta huku akijua kuwa analeta jambo kutokana na hadithi munkar tumuone kuwa nimtu wasawawa .
hii kwa wanazuoni wetu nyinyi mnatupotosha sio sawa.
Munkar ni munkar haifai kufatwa.
Tunarudi pale pale kwa said munkar ni wapi imesemwa ni uongo?
Bachu usitafute hifadhi ya dunia. Jibu hoja hukooo
Huyu kijana kaja kiubishi kajigamba saaana kuthibitisha kashindwa 😅😅😅
takbir
allahu akbar
Mbona hawa masufi ni waongo sana mbona watu tumeangalia live
Bachuuu juu Barzanje iko na hadhith dahifu na kwa hiyo tuweke kando.
Nimeusikiliza huu mjadala ila inaonesha mabrui hana ushahi , Muhammad bachu anafafanua kila kitu ila watu wa maulidi wamebaki na ubishi
Hajajibu
Tukulize bachu kajibu nn kama ww sio mnafik toa jibu alilojibu mwisho kakimbia
Hapo hatutapata ufumbuzi sababu haqi na baatwil havikai pamoja hivyo ili yaishe funga mjadala haqi yenyewe inajipambanua
Sheikh Bachu nakuelewa sana huyo dogo hajui nini anazungumza kakalilishwa na masheikh zake ila ukweli tumeujua leo kwenye kitabu cha barzanji kuna uongo mwingi ambao hauna dalili za kielimu
Wacha wee kakimbia kwenye meza bachu mwenye ilimu hakimbi alikua ajibu sijui swali wacha unafik ww na bachu wako
Bachu leo kaonesha ni jinsi ana elimu kubwa kuliko hao watu wa twaliqa na nilichopenda zaid huyo ustaadh said kukubali kuwa hadithi zilizomo kwenye al barzanji ni uongo mtupu
Said nimuongo hana ajualo ni ekting tu kaja nayo
Nenda kajibu wewe
Nyinyi masufi ni watu hatar sana nyinyi ni wazulumaji wakubua sana,na mutapata moto wa jaannam
Muna subir watu wafiwe alafu munawaambia wakupikieni ubwabwa nyinyi masufi nyinyi mumuogope Alla
Nyie wawahabi mbon mnatabia chafu kama uyo bacho hapo kumuita imam Jafar barzanj muungo
@@hamicjuma1838 masufi tabia zao kama majibua
Kumbe huyu said omar hana hana hoja anaji babaisha tu kashindwa kujibu suali asipumbaze watu hana lolote mjinga mkubwa kupotezea watu muda tu
ربنا فغفر لنا ذنوبنا و كفر عنا سيآتنا وتوفنا مع الابرار🤲
فاغفر
Kasome tena saidi ndugu vitabu vyote ulivyovipanga hapo hata kimoja hukueza kutumia kutoa dalili kweli si kila asomae hunufaika na elimu soma tu uambiwe umesoma barzaji ni urongo utabaki kuwa urongo 4hrs umeshindwa kutetea hoja.pole sana kaka.
@Captainome 😂
MashaALLAH MOLA amzidishie ilumu na tawaadhu3 Ustadh Said.
Simba aliyezalikana na Masimba aka Ustadh Said Omar. 😊
@@alwysaggaf simba hata kitabu kimoja ameshindwa kufungua simba upi yupi huyoo.bora yule wa tanga alijitahidi kutia balba huyuu maiti kabsa
@@Captainomewwe ustadh said hawezi endelea mbele mpka huyo shekhe lako bachu aseme kuhusu Hadith munkaar, anahepa swali ili afwate anavotaka yeye , 😂😂
@@umarmuhammad6712 kumbe pia ww huelewe kilivunja munakasha.munauliza kitu ambapo hakipo kisha mataka majibu mbona hujajibu hoja akioitoa bachu.
@@Captainome Wa Tanga Sheikh Sabas alikua Simba na Ustadh Said pia ni Simba 🦁
Bachu ameshindwa sasa hakukua na dharura kuendelea kufungua vitabu tena (by the way amefungua angalia vizuri, ama macho yako na machozi? 😂)
Kumbe hivi ndivo wanavotudanganya watu wa twarika
Bachu bachu bachu weeee hhhh jibu swali 😂😂chuma kime kaza😂
Hati kujib swali yeye kazini kupekua vitu visivo sisi tupo huku inje twataka kupata elimu ila yuwaruka mada haendi na hoja tutamfaham vip
Bachu Chaliiiiiiiiiiii
{ وَفَوۡقَ كُلِّ ذِی عِلۡمٍ عَلِیمࣱ }
[Surah Yūsuf: 76]
Kila mwenye Elimu yupo wa juu yake
Bachu unabaleghe kiilimu Sisi twajua asili yenu Mlikuwa Mashia baba ako asingelihama kwenye Ushia wew ungekuwa shiya.
Babu yako kazikwa kishia na ndo maana
Sasa wamkufurusha baraza nje ,unakuwa mtovu wa Adabu kama mashia kumkufurisha Abbakari, Omary na Athuman
Kuwa na Adabu juu ya wana wazuon.
Bachuu very sharp
BACHU USHAKWAMA. USITAFUTE HIFADHI NJE YA MDAHALO
Kuanzia leo nakaa kando na vutabu vya maulid mpaka haya maswali ya bachu yajibiwe
Ukikaa kando ww ndy nn...utapunguza nn🤣
Ni covid 19 washirikina dunia nzima hawatajibu.
Bachu hana suali. Katakiwa ajibu hoja kashindwa. Wacha ujinga huo
@@user-ki4sg8yz9j hebu sikiliza vizuri bachu aliuliza swali mapema sana .wapi wanyama walitamka wakati mimba ya mtume ikiingia? Kuhusu ahdith dhwaifu bachu alitoa hadith ya Muslim kuwa hadith dhwaifu huwezi itumia
Sasa walikuwa wanajadili kuhusu yaliyomo ndani ya barzanj sio jaffar barzanji.
قراءة الكتب ليس بحجة؛"كمثل الحمار يحمل أسفارا "
Kusoma vitabu si hoja uelewa ni ndio hoja.
bachu kilichomponza 1 tu.. aliona yupo juu kielimu na hakuna anaemzidi kumbe ndio anaenda kuchemka!! bachu asome sana tena sana....angekua ana elimu sana na maarifa asingeweza kumshambulia said barazanji... inaonekana kuwa huyo barazanji mwenyewe hamjui angemsoma sana kisha akajua jamaaa alikua ana fani gani katika elimu ( kiukweli kabigwa kwenye mshono na hapa kachemka)
maana ya munkari kwanza ni nini? na kama sote twajuwa maana ya munkar sasa mjadala si kwamba lazima wanazuoni na ma ulama mpaka waseme. mtume wetu ashasema mwenye kusema chochote hakikutoka kwangu basi ataregeshewa mwenyewe. maadamu ni hadithi dhaifu au kama mlivo kubali munkari basi hapana mjadala maneno ya kuzungumza wanyama ilipo ingia mimba ya mtume.. jamaa mtume si wenu tu ni wetu sote na huu mjadala sio kutukanana..shukran Sana kwa Al Ihsan na Al Hajjri
Kama umekubali Hadithi ni Munkari basi mbona hataki kufuata Hukmu ya Hadithi ya kigawanyo cha Munkari?
Hadithi ya Munkari inakubalika katika masaael ya Seera au Mambo ya kheir kama alivoelezea Ustadh Said.
Lau kama Bachu anakataa hilo basi angetoa Dalili kuelezea kwamba Hadithi ya Munkari haitumiki na anyoitumia ni muongo (ama hata maandishi ya kitabu chake ni uongo- manake topic imebadilishwa juu juu )
Kuwa ni mwenyewe busara hakuna anaepinga kuswaliwa Mtume hata mmoja ila kuzusha kitu hakipo kwenye dini Wala sera Wala Hadith.. Aya ya mwisho ya Quran insaema hakika Leo nimewakamilishia dini yenu.... Iweje Leo aje sheikh asema huu ni mwezi mtukufu? wakati Quran haikutaja kwenye ash hurul hurum? Mbona akifariki baba au mama hatufanyi sherehe ya mazazi au birthday siku ya kuzaliwa kwake? kwani Fatima na Aisha na vipenzi wote wa Mtume hawakuitambuwa siku ya mazazi ya bwana Mtume? Iweje sie ndio tufanye sherehe kwani sie twaweza kumpenda zaidi ya mkewe na mwanawe na maswahaba wake..? Tuweni na busara Allah kutupa akili tuzitumieni hakika kesho tutakwenda ulizwa hakukujilieni muonyaji? wabillahi Tawfiq
Muhammed bachu mjanja Leo kanasaa kwenye tundu bovu😂😂😂 kama waswahili walivyosemaaa ndege mjanjaa hunasa kwenye tundu bovu😂😂😂😂
Elewa kwanza
Wapi alipo nasa au said ndio kanasa
Haki ww Ndio mjinga sanaaaa maana Hata huelewi kinachosema
Weww ndio mpumpavu unafata ushabikii tuu ! Kwanza hao mawahabii wenzenu hawamkubali Muhammad bachu ! Unataka kumteteaa kwahiyoo unayaona anayo yafanya ni sw ! Kutukana masheikh na wanazuoni wakubwaaaa! Wewe ndio mjingaa usojielewa unafuata mkumbo tuu panyaa wa kiwahabii weee
Ukitaka usitake Leo Muhammad bachu kapata kidumee kaamua akimbieee
Maalumat gn na jibu umeshindwa kujib.suala moja tu linakushinda .umefurukuta weeee lkn jamaa kakukomalia.. kwan hujui kujibu sijui ni moja ya elimu.. pole weee
Yaani watu wa twariqa ujanja ujanja said siungejibu hoja tu acha ujanja
Basi tuambieni hayo maneno ni kweli ama ya uwongo