KUPINGA MADAI YA KUITWA MRONGO NA MUSHRIK SAYYID JAFFAR AL BARZANJI NA BACHU NA POTE LAKE | USTAD…
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- KUPINGA MADAI YA KUITWA MRONGO NA MUSHRIK SAYYID JAFFAR AL BARZANJI NA BACHU NA POTE LAKE | USTADH SAID SHIRAZY NA BACHU
Wallah'hi tumenufaika sana kupitia sheikh saidi Allah akuhifadhi.
Amiina Yaa rabby.
Mashallah sheikh said pia bachu na viongoz hapa sasa tumejuwa elimu na maneno tu hongera sana sheikh said ntakuja kwako inshallah ikiwa ALLAH ameniafikisha nina jambo kubwa kwa ajili ya ALLAH sasa tutampenda mtume kuliko
Yaani Kwa akili ya kawaida ukisema twajadili urongo ndani ya bazanji si ndiyo aloandika ni mwongo?
Mashallah sbeikh wetu bachuu nomba Allah akuhufadhi za hysda za buna damu na akube umrii mrefuu tubate darsa yako na pia nakuomba kizazi tako awe kama wewe aruelimisha watoto wetu yarwbb
Kama kiswahili kuandika ni shida je kiarabu utawezana kweli nenda shule kwanza😭😭😭 Buna damu ndio nini sasa... Akube😭
Kwa kukimbia swali
Wallahi leo nimejifunzaa. Tusichezeee kabisaa na maulamaa. Maulamaa ndio waridh w mitume. Maulamaa na mashekh zetu tuwaheshimu sana
Yani leo masalafi wameonesha udhaifu mkubwa sana
Llq
Ee bwana ee mashaallah munaqsha inaendelea vizuri.sheekh siciid Allah akueke. Matwari yapashwe moto sana, Al sakiir waa kabiir waaingiye kwa safu...........pokeya salamu babu from somalia with one love and one heart ❤
Kwahy shekh lile swali alilouliza Bachu kuhusu wanyama kuwa walizungumza hiyo imekaaje je myama Gani aliwahi kusema?
Hawa vilaza ndo maulamaa sio au unakusudia maulamaa wapi
Mashaallah Sheikh BACHU umeleeweka vizuri sanaa
Asalaam Alaikum, Shukran For Organizing this Debate, Be Blessed Always
Waalaykum salaam warahmatullah wabarakaatuh
Sheikh bachuu ma shaa Allah,Allah yahfadhak.ameen
MAA SHAA ALLAH
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@@jambojambosafarisna kwann atumie hadithi dhaifu wakat hadithi sahihi zimejaa
Wallahi nimejifunza vingi kutoka Kwa sheikh said namuombea mwenyeezi mungu ajaaliee siku 1. Niwe miongoni mwa wakao mtembelea huko aliko nipo tz inshaallah nikijaaliwa kwenda
Wew Si ni walewale watu waulidi? Lazima umkubali huyo anayetetea uhongo wa Barazenji
Karibu Mombasa
Mlango u wazi
Shekh Said hongera sana mungu akuzidishie elimu
Pia sijuw upo maeneo gani ningeomba kuonana nawewe
Sheikh wetu Mohamed bachuu usiboteze timm yako kwa watu hawasikii nenda kwq famili yako wanakutamani ajili allah akuhifadhi sheikh bachuu yarabb
Shekhe wako anatia aibu. Sasa mpaka anajikojolea!! Wewe mpende lakini Siku ya Kiama utafufuka na kuulizwa peke yako na yeye peke yake. Hakuna "shekhe wangu huko". Mtu analeta uongo bado unamtetea tuu!!!! Sub-haanal-llah.
Bachu failed to answer the questions
@@husseinabdullahi7495 Yes brother. It is true. He even dodged and disappeared. Shame on him and his friends.
Shekh Said unajua sana❤❤❤ MashaAllah
اللهم أرنا الحق حقا وارزقنا اتباعه وارنا الباطل باطلا وارزقنا الاجتنابه
آمين
اللهم امين ياربي.
الهم ءامي
Mungu atuongoze kwenye haki ya sawasawa
Mashallah Ustadh Said.
Mashaallah Sheikh Bachu shukran
Allah awahifadh nyote .....mnahangaika ili kumfikia Allah mtukufu...Allah ndiye mjuzi zaid ya sisi....namuomba Allah awalipe malipo mema na awasamehe mkiwa mtakosea
Kwahy na wew wakubali kuwa wanyama walizungumza wakt mimba ya MTUME MUHAMMAD ilipoingia?
Maashaallah shekhe bachu umechambua vizur sana ila imekua kama waislam nå wakristo,wakristo hawautaki ukweli japo uko wazi.hongera bachu na jopo lako
فاطر السموات والأرض عالم الغيب والشهادة.. أنت تحكم بين عبادك فيما كانوا فيه يختلفون💛📖
Manshaalah ihsan tv
Mashallah sheikh Muhammad Bachu Allah akuhifadhi umeshinda mashallah
Kashinda kitu gani.? Hana elimu
Mawahabi mumetengenezwa kuja kuuvuruga uislamu na waislamu na hii nidhimma mwaibeba
Rabby zidna ilman warzukna fahman
Amin
Maa shaa ALLAH 💚💚💚
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh hapa hakuna cha kufurahia bali ni aibu tupu kwetu sisi waisilamu. Waislamu kwa waislamu kubishana kama makufar subhanallah
kweli upo sawa
Kweli wallahy afadhali wamgetumia hio nguvu na pesa kufanya mijadala yakusilimisha watu😢 watu wazima wapigiana kelele na kubishana kama watoto
@@tanybobbyhomeactivities8013 Ndio uko sawa wametilisha aibu kusema kwelii walikuwa wasilimishe watu wangepata thawabu
@@tanybobbyhomeactivities8013sasa wewe huhusiki kusilimisha, kwani jukumu la daawa kapewa mtu maalum, mjadala huu ni muhimu sana ili tufahamu elimu
Km ndsn yke kuna riyaa, bc itakuwa ni wenyekuanhamia
Mawahabi hamna kituuuuu kasomeni tenaaaa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Mashaallah hakuna siku niliyo kua na furaha Kama yaleo na nimepata elimu kubwa Sana ukweli tutaendelea kupiga ubwabwa.
Hongera sana sheikh said umetuangazia njia iliyo kuwa na giza
Mashaallah bachu amejitahidi vizuri ktk kupekua vtbu Allah akuhifadhi.maghurafi haqi mtaijua
Shekh bachu Allah akuhifadhi... unapambania haqi vilivyo!
Mungu ambariki?(si afaulu mwanzo)😂😂😂😂😂
Inna lillah wainaa ilaihi raajioon
Walimu mmetukosea sana mnashindwa kuwa na subra ata ya kusikilizana jamni
Aaaah kimekuramba baba Mbona Tanga hukukimbia,swali rahisi wathapathaaapa!
Mnatutia aibu waislamu wenzenu tunaowaangalia. Yaani waislamu tunafika hapa? Subhanallah
Hii ni elmu sio ugomvi ... na kufunudishana ni mmoja wa kusogesha dini mbele
Si aibu ndo inavyotakiwa hasa wakae watoe hoja si kupingana kila siku na kutukanana
Ila dini hairuhusu muislamu kumuiaibisha muislamu mwenzie. Hawa wote ni viongozi wa dini, wakae wayajadili waje watuelezee. Sikuitana warongo wala mushrik.... NI AIBU KUBWA
@@hamisisalim8076 ni kweli kabisa tatizo wana kibri kila mmoja anajiona bora yeye au yeye ndie wa peponi na mwenziwe motoni
Bachu twakuamini weww n first 11 mbona swali lakuumiza kichwa wazunguka tu
Assalam aleikum haina faida kujadaliana kuna mengi yakufanya lakini mizoz faida yake mimi binafsi nawatia makosa kila mwenye kupanga na kushangilia mizozo ambayo hayalete faida kwa mujtama TUACHENI MIZOZO
Hii ni ilimu ww acha jazba
Wallahy tena
Waalaykum salaam warahmatullah wabarakaatuh
Hapana katika Mambo yanayopotosha ummah ni haya pia kwahiy lazima yarekebishwe
Wallahy abuu ahmad hana subra yeye akata watu maneno lakini haachi wengine waongea
Safi sana Muhammad Bachu
MUNAKASHA HUU NI WA MOMBASA SIYO TANGA BACHU MSANII WA ELIMU HANA ELIMU NDIYOMANA ANATISHA ANA LAZIMISHA NA JAZBA BADO MCHANGA BACHU
Sio udogo wa bachu ndio elim aliokua nayo muhim ufuate hakki sio kubwabwaja maneno 2 je alichokisema ni hakki au sio hakki
NAAM MADA NI UONGO ULIOPO NDANI YA BARZANJI
LAKINI JAMANIII MBONA TWAMINYANA SANA KWANI HATUMBUKI KUA NI QURANI TU NDIO KITABU AMBACHO KIMEKAMILIKA JAMANIIII
Sasa mbona watu wakifwate
Na umeongea point ndugu yangu tunabishania vitu ambavyo Allah anaweza msamehe mtu muda wowote tunaacha vitu vikubwa na vya maana
Swalluuu allllaaaa nnnabbyyyyy
Maskini bachu mungu amrahamu hadithi ishathibitishwa nimunkar Sasa anaitumia huitwA muongo kwaajili bachu amemuita barnji nimuongo ameitowa wApi hukmu hii
BACHUU JIBU SWALI PLEASE CAN YOU?
Bachu hawzi jibu swal la hasiyekuwa fast eleven na ukwer hapo hakuna swali na Bachu alitangulia kuuliza kwanza kuwa wanyama walizungumza wakt mimba ya MTUME MUHAMMAD ilipoingia Hilo swali shekh Said amechemka hajibu kwanza
Naona kwa anavotaka bachu asisifiwe Sayyidna Muhammad SAW bora watu waache kabisa wafanye mengine
Mnafik mkubwa Yule bachu
Shkh bacho Ilihitajika ujibu Swali Kwa sababu unakataaje si Swali la kielim?
Wallah mungefanya makadara huu muhadharrra
Bachu kabachuliwa
Ahsante bachu unanipa raha
Mashekhe wallahi nyinyi mutakuja kukufurisha wamamuma wallahi sijuwe barizaji sijuwe mukhari tafazari muwachane nahicho kitambu chamawurindi tupiriya bari barizaji rekebisha kitambo wewe murongo rakini barizaji sisi wasomwi wana fuzi zenu twasema nini muna karirikisha mahari omali mahali Alli bini orama Ako wacha kucafuwa mutume wallahi sorry kwamengi mimi kijana kutoka burundi keny Tusije tuka kufuru wallahi mamuma suna turi jama ماريك
Alaa kumbe ktk huu mjadala Side ndo alokimbia swali yy ndo aloulizwa mwanzo aseme sanad ya ile hadithi munkar kisha aseme kwann ikaitwa munkar pengine kuna waongo waliohadithia au waliopokea io hadithi. Haaa kumbe hawa hawajielew kweli kisha wanasema sheikh Muhammad kakimbia swali
Ndio mkome mawahabi kutukana waislamu wenzenu wapuuzi wakubwa nyinyi
sasa ww wasema ktu usicho kifanya....watukana watu ksha wasema watu wakome
Yaani Maka na madina wa sijuwi mauridi mje mjuwe nyinyi
Ww ndo umekuja na matope kabisaa kwahyo maadam makkah na madina hawajui Kuna ulazima gani sisi tusijue maadam hatutoki kule
@@assadyabdull5146 jambo lolote ambalo mtume hakufanya ni makosa kuongeza kwenye dini kwasababu mtume Muhammad (s.a.w) kabla hajafa alisema ametukamilishia dini yetu. Sasa basi kuusu maulidi so mtume tu hata maswahaba wa mtume Muhammad (s.a.w) hawakufanya. Na hiyo maulidi ilianza miaka takribani 500 baada ya kufa Kwa mtume. Asa hapo Bachu anakosea wapi ikiwa hakuna kuongeza kwenye dini
Dah mawahabi weupe sanaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah hiii niqash kila siku naingilia nikifika kwa huyu bacho wallah namuonea huruma alivodhalilika hajui chochoteeeeee
Nenda ww unaejua
Makafir wanafurah sanaa iv mnazan Allah anapenda mnavy fanya
Watu mnangngana mbona jibu likowazi sheikh Mohamed bachu uposahihi huwezi kutoa fatwa kutegemea hadithi munkar jawabulake nini hapo kama si uongo
Tunasubiri itifaki ya wanawachuoni kwamba ukipokea hadithi dhaifu kwenye kitabu waitwa mrongo
Uislam umeanza lini kutegemea hadeeth dhaifu?
Elewa swali jibu swali
🎉kwani bachu anaenda wap mbona mjadala haukwisha kashaamka siaseme ukweli kua hajui mbona mwezie katulia kwenye kiti chake?
Masha Allah hapo kazi ipo
Uko sawa she said nakama huko sawa ekekukosowa irabu lakin hats irabu hakuna kosa
Jaafari albarazanzi ni murongo? tubaki hapo watu wamebadili mada juu kwa juu
hakuna watu wabishi km mawahabi Hao hata mkeshe ila mm naelimu yg dg mawahabi wangetangaza ndini wao wamekalia kupinga naulifi basi mtihani waallaah
Hapo swali ni Moja wanyama walizungumza wakatoa sauti? Walizungumzaje? Huu ndio uhongo unaozungmziwa hapo
Ingekuwa Bora zaidi mngejibu maswali na sio kurumbana na hao wapambe ndio wavurugaji .
Moja bila
Mtume wetu Muhammad s.a.w amesema,yatosha mtu kuwa muongo kusema kila anachosikia,Kama Hiyo Hadith ni ya Urongo,bas hata Barazanje anae Ni Muongo?
Mawahabbi ndiyo wamekuja na hii tabiya, mawahabi ni kundi la mashahidi wa Jehova
Tumeelewa swali unaweza liona dogo ila bacho kutumia saa 1 na hakujibu unajua ujanja ujanja una mwisho kategwa angeingia uwahabi ndiyo ungeishia hapo
Sheikh Abu Ahmad, wasema uongo namna hiyo na kila kitu kiko kwa record wazi wazi, huoni haya mtu mzima ww? aliolizwa swali ni Ustaadh Bachu na hajajibu
Huu ndo mnakasha wa elimu sio kama wale masheikh wengine kazi yao wanamponda Bacho kama bacho badala ya hoja kama hizi za sheikh Said mara mtoto mdogo mara hana elimu mara hajui angalau sheikh said hapa tunanufaika na kupata vitu
Wallah namkubali sana bachu maneno yake lakn watu wanamtus bure
Alitusiwa wapi lover boy yeye
hawa wote wapelekwe kupigana na mazayuni plz wahusika wa hii idhaa wachukue hatua
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
Bachu HUNA erim ila UBISHI tuu leo unaemwita second division atakugalagaza kama Sabas alivyokuvua JOHO
Bachu KUBALI ufundishwe na huyo uliyomwita kijana mdogo
Hii ni Riyadha fanya adab Bachu
Mlixhokifanya mwisho hapo kushindwa kuzuia hisia zenu inaonesha pande zote mbili mmekosa busara na ingefika mngegombar tunafundisha nn kwa watu wanao taman kuwa waislam
Just Imagine what their students go through 😢
Haya ushajibiwa ahsante shekh Muhammad bachu wambie ao wahuni
Sheikh wangu bacho huyu kijana saidi usije ukamsogelea tena atakuaibisha .unaweza mzania waovyoovyo lakini fani zote ziko kichwani mwake zinaogelea.sarfa nahau mantwiq balagha usuul mustwalh lhadith nk kaambali
Kuna minutes inetumika lakin imefeli. Mpuuz mmoja anatibua hali ya hewa mjadala unakufa watu wanaenda kujipanga upya
Mambo haya ni kama ikhtilafu za mwezi. Hawezi kupatikana mshindi.
Rai yangu kila mtu abaki na msimamo.wake na kuwe ni adabu masuala ya kutupa vitabu chini na kuitana warongo hayajengi ndugu zangu. Tukubaliane kutokubaliana ili tussonge mbele. Tuna chanamoto nyingi kama umma hatuna referral hospital, tuna university moja na inachechemea tutumie nguvu nyingi kwenye haya badala ya ikhtilafu.
Hapa suala lilikuwa rahisi saana angejibu tu istilahul Hadith yasema hivi kulingana na aqsaam Hadith munkar na watu wengi wangeelimika, Lakin bachu kwa kupindana kwake kukwepa kwepa suala alilijua hili kuwa mustwalahul hadiith wanavyuoni Wanasemaje kutokana na point zake, nukta zote au hoja zake Zote zingefuata msingi huo huo, Alhamdu Lillah Ustadh Said nimekuelewa vyema
bachu mbn unaznguk san c ujib t😂😂😂
Huyu bachu atandikwe viboko kwann anaachwa ?
Nacho we n mtoto nenda ukasome nahau kwa Sid Omar ulimwenguu huu elimu ya kiarabu bila nahau na balgha swarfa mantwik huwez fanya kitu ona wapata aibu faaailu pia humjui watafuta kiarabu Cha barza nje babako mbona alikuwa hasemi kitu barahiyan mbona ukithubtutu kasomeni kiarabu chenuovyoo elimu hamna bachu ushajifupisha umrii
Sasa kama ni urongo si itakuwa mwenye kuandika ni mrongo
Punda wakwanza we
Bachu kakimbia babake kenda mwenyewe Mombasa
Mtume muhammad s.a.w katuwachiya vitu viwili qur uani na sunna ss sijuwi mnalumbana nn hakuna ktk maimamu 4 ambae hajaazisha bidaa kila mtu ana bidaa zake kilichobakiya ni kumuabudu Allah ukweli wa kumuabudu japo dini inajengwa kwa misingi 4 ila haswa tushikamaneni na vitu 2
Wewe wenda kwa sanad,jawabu hujajibu,kwa sanad wenda kufanya nini?
Bachu jibu swali sisi tuko kwenye maulidi hapa twakuskiza ww saidi bakia hapo hapo n swali lako sheikh Aboud umenifurahisa na sheikh Muhammad wa swalihina bakia hapo hapo
Upo unasubr ubwabwa sio
Hii ndio kenya sio tanga
Maulidi ni bidah
Mwenye akili amewajuwa kuwa elimu yenu hamuna uwezo wa kujibu masuala ya Dk Muhammad Bachu . Allah amzidishiye Elimu bachu amin. Na nyinyi endeleyeni kupiga ngona nakufuata uzushi uzushi halafu mujipakaziye kuwa ni ahlusuna waljamaa kumbe ni ahlubidaa na ubishani tu ilasisi tunawafahamu sana kuwa ukweli hamuutaki ila munajuwa munazunguka bahari musoijuwa wapi imenda Allah awaongowe amin
Ww mpiga vinanda ni mbabaishaji tu utawadanganya Hao Hao tu sio sisi
Jaman hilli swali lishajibiwa labda museme hamjaridhika na majibu jawabu liko wazi kwa mwenye kuzingatia
Ahsante Sheikh wangu Muhammad Bachu kwa kutupatia elimu.
Hii ya said na Bachu kila channel ya masufi unaikuta… kama sheykh muhammad bin abdulwahhab angekuwa anameleta jipya kwenye kitabu chake tungeshawasikia. Hii ndio natija ninayopata hapa
Mdahalo ule wa Tanga ulikuwa vizuri sana, sheikh aliyepambana na sheikh bachu alikuwa na busara zake. Hawa wetu wa Mombasa busara hawana
Toka lini wakenya wakawa na busara
Ombasa ni hamaki
Kuuliza swali la kielimu ndio kutokuwa ustaarabu
Bachooo Kubalii ufundishwe hapo huwezi kabisaaaa
Wa kwanza kuuliza ni Bachu uthibitisho wa ukweli wa maneno ya wanyama kusema. Hola haikujibiwa Said akaja kukubali kuwa Hadith ni munkar au dhaifu. Akaulizwa aseme kama hadithi munkar au dhaifu yafaa kutumika? Hakujibu, kaja kauliza na kung'ang'ana kuhusu swali linalomuhusu Muhadith wakati Jafar si Muhadith.
Kwel mamb haya ni ukafiri waislm kw waislam kulumban tu haifai kwa kil mt na afanye anavyojua mwenyew mungu ndie kila kitu
umekuja huko kwa mjadala kwa ajili ya lengo usiamke eti mnapoteza mda hapa watu wataka jibu si vurugo na eti kujikakamua kwa mda eti mwapotza
mawahabi wlhi leo mmepatikana hadi mwakimbia kwa mjadala kaa hamwezi mungeseme kitambo
Maulidi hayana asli ya dini , maulidi ni haram na kuabudia makaburini pia ni haram. Sheikh Muhammad Bachu hakupata mtu wa kujadiliana nae. Huyo kijana hana elmu yoyote ilmu yake ni ya kushindana bila hoja
Mawahabi wamepoteana huko baada yakushindwa kujibu suali la ustadh yakaanza fujo😅😅😊
Wa kwanza kuuliza ni Bachu uthibitisho wa ukweli wa maneno ya wanyama kusema. Hola haikujibiwa Said akaja kukubali kuwa Hadith ni munkar au dhaifu. Akaulizwa aseme kama hadithi munkar au dhaifu yafaa kutumika? Hakujibu, kaja kauliza na kung'ang'ana kuhusu swali linalomuhusu Muhadith wakati Jafar si Muhadith.
Wahabi ina maanisha nini?
Sufi waingo
Sheikhe Muhammad Bachu hanalo leo
Baacha Leo kimeyakanyaga jibu Kwa hakika sio unaruka ruka Kam kunde jikon😅😅
Ajibu swali gani alilouliza said,wauliza swali lenye jibu tayari walijua alafu watarajia jibu kweli
Mashallah shekh bachu wafundishe mungu akuhifadhi
Hoja kumi na tisa zabaki hazijajibiwa.
Moja hajamaliza amekimbia