VUTA NI VUTE ILIOTOKEA WAKATI MJADALA UKIENDELEA, JANJA JANJA ZA KUKWEPA KUJIBU MASWALI. MUNAQASHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024
  • • VUTA NI VUTE ILIOTOKEA... #KHIDMATV

КОМЕНТАРІ • 170

  • @JeilaniAbdulkadir
    @JeilaniAbdulkadir Рік тому +18

    Alhamdulilahi nimepata faida kubwa sana katika munaqasha wajana baada yakusikia mara kwa mara,kuwa kumbe barzanji ni ukweli ila ilitumika hadithi dhaifu ...lkn hakuna uwongo kwa barzanji.
    Alhamdulilahi ...

  • @abuuzainab8581
    @abuuzainab8581 3 місяці тому +3

    Maa Shaa Allah ustadh Saidi

  • @JumaMaulid-g3y
    @JumaMaulid-g3y Місяць тому +1

    Ustadhi saidi nakupenda sana sheikh wng kwaajli ya Allah akuhifadhi

  • @KhamisBakar-ge4sp
    @KhamisBakar-ge4sp 3 місяці тому +3

    Masha Allah Ustadh Said❤❤

  • @SulhiaMohd
    @SulhiaMohd Рік тому +11

    bachu ni mdhaifu sana, kama angejua angemuacha sheikh said atoe ile khadith lakini akajikanyaga akasema yeye mwenyewe kwamba ni khadith dhaif sasa suali lilokuja limekuwa kubwa kwake mpaka ameharisha kwenye kiti

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Рік тому +16

    Hiyo ndio mombasa ya mambrui kitovu cha elimu

  • @basmabasma6287
    @basmabasma6287 Рік тому +5

    Sheikh bachuu Allah yahfadhak wu yitawil omrak.ameen
    You nailed it.

  • @DeiraKd
    @DeiraKd 5 місяців тому +5

    Iyo ime nikosha sana kuona bachu ame kosa jibu

  • @LibuDaudi
    @LibuDaudi Рік тому +7

    Huyo bachu ni mbabaishaji halafu huongea sana na mtu ambaye huongea sana huwanimbabaishaji.

  • @ShamimWanjiru-bm6ve
    @ShamimWanjiru-bm6ve 5 місяців тому +6

    Mambrui hio!!!!

  • @rashidsuleiman9253
    @rashidsuleiman9253 7 місяців тому

    Assalaam alaikum. Masheikh wangu nawapenda nyote kwa ajili ya ALLAH, ningetamani mkae chini wenyewe peke yenu mjadiliane haya mambo pasi na mavideo na mapicha na ndani yake pakiwa na staha kwa kila upande. mwisho mkubaliane mnayokubaliana na mkhitalifiane mnayokhitalifina na mkubali kukhitalifiana halafu uislamu usonge mbele

  • @MuhaMago-ce3bx
    @MuhaMago-ce3bx Рік тому +4

    Asante bachu kwa ujasir kuwatow watu ujinga

  • @Salimsaid-nk1qv
    @Salimsaid-nk1qv 6 місяців тому +1

    Mashaallah sheikh bachuu kwa kuamua kuondoka maana anaofanya nao munakasha hawelewi huenda elimu ndio tatizo

    • @abdiazizmohamed444
      @abdiazizmohamed444 5 місяців тому

      Swali ni dogo sana
      Je ukinukuu riwaya dhaifu kwenye kitabu chako kinaitwa utaitwa muongo?

  • @AbubakariGuzuye
    @AbubakariGuzuye Рік тому +8

    Bachu yupo sahihi ww shekh said toa ushahidi wa kielim so ubishi kuna watu wanakuskia wapate elimu # bachu allah akuhifadh unatoa elim hujaj kushinda nadhan nmeeleweka vzr

    • @omaryramdhani9823
      @omaryramdhani9823 Рік тому +1

      MNAMPA MOYO TU JAMAA YENU KAGARAGAZWA

    • @سعدياقوت-ت2خ
      @سعدياقوت-ت2خ 11 місяців тому

      Hakuna elimu kwenye mtandao acha ujinga kasome

    • @hassanisihaka910
      @hassanisihaka910 2 місяці тому

      Bach kushindwa kujibu swali la mustwalahal hadithi nyiee msiojuaa mustalahal hadithi mnaropoka.

    • @zeinabkamiwa5674
      @zeinabkamiwa5674 Місяць тому

      Wapi mtume kasherekeya maulid ama maswahaba

    • @walidhamed7835
      @walidhamed7835 Місяць тому

      Bachu Hana lake kusema kweli alipigwa kichapo

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs Рік тому +7

    Bachu wew ni mbabaishaji tu huwezi kujibu hata swsli moja wew ni msomi gani huna ilmu

    • @MahadaAdam-hb7hm
      @MahadaAdam-hb7hm 2 місяці тому

      Bachu,ni mbabaishaji katika dini anawatowa watu ktk dini anawapa makafiri njia ya kuudharau uislam.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Місяць тому

      ​@@MahadaAdam-hb7hmsio kweli

  • @cusmancabdullah7127
    @cusmancabdullah7127 Рік тому +8

    Walahi bachu ni vitisho tu kumbe

  • @lusitoally5623
    @lusitoally5623 5 місяців тому +3

    Wewe mwenyewe bachu hiZbi

  • @HakizimanaZainabu-f8d
    @HakizimanaZainabu-f8d 5 місяців тому

    Masheikh mnazililisha dini ya uislam ilitakiwa mkae chini peke yenu mrekebishane na sio kwenye mitandao ivi mnawapa picha gani wasiokuwa waislam Allah awaongoze

  • @ZaujiyatSuhfi-rl8sr
    @ZaujiyatSuhfi-rl8sr Рік тому +3

    Ama kwa hakika uislam hauna ujanja ujanja wala kupindisha mambo yote yamekamilika na ukileta ujanja utaumbuka tu

  • @mkude
    @mkude Рік тому +6

    Sheikh Bachu amedhihirisha uzushi uliomo kwenye kitabu Cha barzanji.hao wakaanza kuzungusha zungusha lakini imeeleweka vizuri sanaa

    • @mohdhilaly7900
      @mohdhilaly7900 Рік тому +1

      Ila uongo huo upo kwenye hadith sio barazanji waliosema wamenukuu hadithi dhaifu ila hadithi dhaifu ulamaaa ngani anasema ni uongo ? Ajibu bachu asilete ujanja

    • @Habib_Swaleh
      @Habib_Swaleh Рік тому

      ​@@mohdhilaly7900SAID KAULIZA SWALI AMBALO KWAMBA BARZANJI SI MPOKEZI WA HADITH KWAN ULAMAA WA HADITHI WANAMUHUKUMU MPOKEZI AU MATNI AU ISNAD YAANI CHENI KUANZIA ILIPOPOKELEWA LKN IMAM BARZANJI SI MPOKEZI WA HADITHI AMENUKUU AKAANDIKA NA KUSIMULIA KWA MASHAIRI.😇😇😇

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 11 місяців тому

      @@mohdhilaly7900 Ahal Al Bidaa

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 11 місяців тому

      Amedhihirisha kutia kasri akitia haraka amekanyagwa.ashaonekana elimu changa

    • @Lundege_Hips
      @Lundege_Hips 7 місяців тому +2

      Bachu yupo sahihi sana

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Рік тому +1

    "It is difficult to bring a fool into sense" - (Issa bun Maryam, Peace be Upon Him)

  • @abuuzainab8581
    @abuuzainab8581 10 годин тому

    Mackini bachu kasome mustwalahl hadeeth

  • @ahmedmattar4661
    @ahmedmattar4661 Рік тому +1

    Bachoro leo umepata Aibu unatukana watu leo mungu kadhihirisha kua wew unazoea matusi tu leo umepata mvwamba

  • @AbdillahAlly-q6j
    @AbdillahAlly-q6j Рік тому +4

    Bachu anategemea coment za wafuasi wake ili wamtie nguvu lakin safar hii umefeheka sanaaa janjajanja yooooote kwishaaa

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 Рік тому +1

      We Mjing nn

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 Рік тому

      Ushawaion bbak akicoment apa shenz kbx mtu anatia qauli z wanazuwon unalemba umalaya wako

    • @mkude
      @mkude Рік тому

      Bachu amedhihirisha Dunia kama yaliyomo kwenye kitabu Cha barzanji ni uzushi kwahiyo kwenye maulidi yanasomwa maneno yasiyokuwa sahihi na wamaulidi wakakubali ila wakaanza kuzungusha zungusha amjadili mtu yeye kasema hajadiliwi mtu tunajadili uzushi kwenye kitabu Cha barzanji

    • @iddimohamed254
      @iddimohamed254 Рік тому

      Mwenye kuelewa ashaelewa kka bachu ametufungua maskio...ni msomi kabsaaa

  • @thefoodshaikh811
    @thefoodshaikh811 Рік тому +2

    Uhai wangu wote sikudhani bachu atashinda home and away. Yaani Tanga ni majazi na mombasa ni munkar = uzushi wa maulidi.

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Рік тому

      Jaahili, unadharau majazi, had kwenye kuran majaz inatumik sana tu, km hujui ndgu yngu ulie jahili hukusoma shule Wala madrasa upo kiushabiki,
      Lugha ya mashairi km kilivyo kitabu Cha barzanji au kitabu chcht za barzanji lazima "majaz" kasome japo kidg Ili ucje kufa na ujinga wako ndg

  • @MohammedTahir-v8i
    @MohammedTahir-v8i Рік тому +3

    Tumeelewa kuwa maulid si ibada ni maslahi yawatu kwaajili yanjaa tu

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 Рік тому +1

    Mm ninacho kiona nikwamba kila mmoja ashike upande wake sisi wanadamu hatuwezi kuzuiya haya ispokua Kwa uwezo wa mungu

    • @Kalaharidesertstorm
      @Kalaharidesertstorm Рік тому +1

      Mambo ibainishwe kisha kila mtu ashike yake hakuna makosa wala hatulazimishi hata kurani ndio ina yo sema bainis há MAMBO na hicho ndicho bachu alicho dai thibitisha riwaya usiseme inaweza tumika 2 natayari mnajua ní munkar hadith

  • @AbdillahAlly-q6j
    @AbdillahAlly-q6j Рік тому +5

    Bachu jibu swali

  • @abdullaseifkhamis4277
    @abdullaseifkhamis4277 Рік тому +1

    Mashekhe mwatia Aibu Jambo hilo tu ndilo lawatoa mishipa wakati kuna mengi yadonwa na kuku. Nyote mwatakiwa Musome na Hekma

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 4 дні тому

    Uchache wa Ilmu ni fitna😮Bachu soma kijana 😂

  • @saidsobongo912
    @saidsobongo912 Рік тому +4

    Sufi ukimpeleka kwa dalili hajibu hata siku moja😅😅

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 Рік тому +2

    Bachu yupo vizuri tu lakn huyo said hamna kitu 😄😄😄

  • @maulidmaulid2106
    @maulidmaulid2106 8 місяців тому +3

    Muhammed bachu yupo sahihi kabisa.mtume akusherehekea siku yake ya kuzaliwa wala maswahaba awakusherehekea.maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...

  • @aliabdallah5183
    @aliabdallah5183 Рік тому +1

    Hamnakili mnaweka zogotu

  • @AminaAmina-pc5ke
    @AminaAmina-pc5ke Рік тому

    We festi lvn nashidwa nhwu

  • @abdulkarimukusaga3617
    @abdulkarimukusaga3617 Рік тому +5

    Sawa we said bachu kasema nyie niwazushi tuambie kama sio uowongo tuendelee na maulidi ukisindwa leo tunaacha maulidi

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Рік тому

      Usifanye punguani km mlitaka kujibiwa hoja zenu mlitakiwa kujibu mlichoulizwa alafu na hoja zenu c mngepata kujibiwa ttzo lenu nyny mnajiona nyny tu ndo mna Haki ya kuulizwa, kwani walokimbia ni akina nani pale, suali b. Km mngejibu shkh saidi angeondoka pale?
      Nyny mnataka mumtawale mtu mumuulize nyny tu masuala alafu la kwake kauliza mwanzo mnjifanya hakuna jibu kumbe hamjui chcht zaid ya kuropoka ropoka uhuni tu

    • @moringesokoine4614
      @moringesokoine4614 11 місяців тому

      Ni bora ya makafir kuliko hawa mawahabb kina bachu

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Рік тому +1

    😅Hawa ashabul ubwabwa
    Wabish na utoto mwinqi,
    Wameshindwa kuthibitisha
    Walichoambiwa badala yake nao wanauliza suali.
    Elimu ndoqo na ubishi tu.
    Kiufup wamejitekenya wenyew na kucheka wenyew.

  • @youmoha8200
    @youmoha8200 Рік тому

    ngombe ina vichwa 3 n 5

  • @ShuhaybuomaryAbdullah
    @ShuhaybuomaryAbdullah 2 місяці тому

    Swaf swal zuur masuf wajibiw wao 2 wao kujb maswali hapn kupg mdom 2

  • @abduljecha7779
    @abduljecha7779 Рік тому +1

    Hapa kuna wengine wana utoto

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 Рік тому +3

    Hii niqash kiufup hakuna majibu ya kuwa barzanj maneno yake si uhongo, na hakuna hadith ya kuonyesha kuwa maneno ya barzanj ni ukwel, watu wa twarik wanakwep maswal, aisee namshukur Allah kunitoa ktk bidaa ya kukat viono

  • @HaroubShaaban
    @HaroubShaaban 11 місяців тому

    Sasa

  • @hamishijja4574
    @hamishijja4574 Рік тому +1

    Mmmh ostadhibachu yukovizury sana tenanamkubali

  • @mohamedrashid7864
    @mohamedrashid7864 Рік тому

    Moh bhachu kaangukia pua jmn doooo aibuuuuu .hodari kuuliza .yeye leo kaulizwa swali moja hoi taabani

  • @ShaabaniAyyubu
    @ShaabaniAyyubu Рік тому +2

    Twarika hamna kitu kwanza kanuni ya mjadala walikubalian kujibu kwa dalili zenye thabit mbna alikubali kuwa hadithi yake ni dhaifu hapo kwanza kwenye kanuni ya makubaliano saidi yupo nje alaf mbona shekh said mbna kajibiwa alaf na kam sio sawa alivyojibiwa mbna hajatuambia yeye sisi tulitaka faida lkn bado

  • @IsmailMohd-b5z
    @IsmailMohd-b5z Рік тому

    Bachu elimu yakupiga chenga halafu ubishi umeuweka mbele wasubua wtu2 kwnza kasome kaka halafu ndo uje mombasa heee?

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Рік тому

    HAO MAKHURSFI WANAJIFANYA HAWANAZO!!NA WAJINGA WENZAO WAWAUNGA MKONO WAJINGA WENZAO!!
    ACHENENI NA HAO MASUFI!!

  • @Habib_Swaleh
    @Habib_Swaleh Рік тому

    USIKOSE KUTAZAMA KHUTBAH YA JUM'AH YA SHEIKH BACHU NA JUMANNE ATAKUWA LIVE KUELEZA KITABU CHA BARZANJI MUNKAR YAKE KWA KITABU YAANI MAOVU YKE KUPITIA ALHAJAR TV AU UTAZIPATA BAADAE KWA CHANEL YA SHEIKH BACHU MPAKA KIELEWEKE NA WAELEWE UNASOMA NINI KATKA MAWLID MAANA WENGI HAWAJUI WANACHOKISEMA KWA MAWLID WALA TAFSIRI ZKE ABADAN.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Рік тому

    Hapa tu nimejifunza kwamaba kwemye usilam kuna baadhi ya watu wametia maneno yao na mawazo yao ili kuharibu Uislam na haya ndio yanatokea leo na mijadala mijadala isio na suluhisho

  • @saidinusura109
    @saidinusura109 Рік тому

    Maalim na wajina wangu Said kwa bahati mbaya anafanya mjadala wa kitoto sana.

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 Рік тому +1

      Bachu kakiri barzanji katumia Hadith munkar kakiri mwenyewe maanake kukiri maanake sanadi anaijua swali limeulizwa kama umekiri Hadith ya barzanji imetoka kwenye Hadith munkar swali jee Hadith munkar ikitumika kwenye sira jee wanazuoni wa Hadith wamekubaliana ikiwa Hadith munkar kaitumia jee mtu huyo ni muongo? Swali simple lkn bachu anajua akikubali au akikataa swali linalokujaa ni gumu zaidi ndio maana hakutaka kujibu sio hajui hakutaka kujibu makusudi anazungukaa lkn swali hajibu 😊 kakwama kabanwa vibaya😊

    • @youmoha8200
      @youmoha8200 Рік тому +1

      angelijibu angetolewa mahadithi nyingi ya dhaifu katika vitabu vya wanazuoni wakubwa..akina ahmad bn hambal na tirmidi na ibn majah na nisai..natija ingelikuwa hao pia na waringo?

  • @khadijacassim151
    @khadijacassim151 Рік тому

    Kwanini nyinyi watu wa bidah kumbe mmefahamu kwamba wanyama hawakuzungumza lakini mwawadanganya watu siku za maulidi kwamba wanyama walizunguza

  • @hosinali8164
    @hosinali8164 Рік тому

    Nyamaza huna lakusema ulishindwa kujibu uskut

  • @AminaAmina-pc5ke
    @AminaAmina-pc5ke Рік тому

    Huyo

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 Рік тому +2

    Leo nimeamin watu wa bidaa hawapendi kusoma, dj side kaulizwa swali naye anauliza kabla ya kujibu

  • @IbrahimAllyDulle
    @IbrahimAllyDulle 6 днів тому

    BACHU HAWEZI JIBU SWALI

  • @AbubakarShundi-og8ce
    @AbubakarShundi-og8ce Рік тому

    Swala la منكر hakukulisema شيخ سعيد kalisema huyo kijana anayejikweza dhidi ya Sheykh wa barazanji yeye Sheykh saidi alithibitisha tu alilo sema bachu alafu Sheykh said akauliza

  • @adamrajabu231
    @adamrajabu231 11 місяців тому

    WATU WATETEA UGALI WAO😂😂

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Рік тому

    Halaf nichokiona kwamba huu mjadala pia hamupo kutafauta ukweli mupo kwenye kushindana tu na kitu chengine kwamba lugha munazozitumia hazipendezi katika kufahamishana tukumbuke sisi ni waislam

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 5 місяців тому

    kiukweli kama ukimfuatilia jafar barazanji huwezi kumuita mzushi...utakuwa bado huna elimu na hukumfahamu...uwe umesoma mda gani ikawa unaelimu zaidi...soma zaidi elimu ni pana

  • @AbubakariGuzuye
    @AbubakariGuzuye Рік тому +2

    Kama n swali ameshindw bachu kujibu bas lijibu ww tupate elimu kama unajuw hatutak kushindan tunatak elimu

    • @khaliphaabubakar9466
      @khaliphaabubakar9466 Рік тому

      Bachi ndio anasema siku zote kuwa Barzanji ni muongo.Sasa ajibu hilo suala. Ndio au Hapana?

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 11 місяців тому

    Bachu janja janja nyingi leo amekamatwa

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498 4 місяці тому +1

    Backu kazidiwa

  • @jumajuma1324
    @jumajuma1324 Рік тому

    Ukishikamana na upuuzi wa barazenji unajitayaishia njia ya kwenda motoni mana unamzulia Mtume s.A.w na Mtume kasema atakae mzulia atayarishe makaalio yake na moto

    • @SaidaFankupi
      @SaidaFankupi Рік тому

      Hkna urongo wowoteee nyinyi hamna kitu😅😅

  • @amiryibrah
    @amiryibrah 2 місяці тому

    Jibu swali ulilo ulizwa

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs Рік тому

    Mawahabi hawafahamu kitu

  • @masudbasra566
    @masudbasra566 6 місяців тому

    Hamuna elimu yoyote munatafu sifa tuu

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 Рік тому

    حيت سئلوا
    wanapoulizwa au walipoulizwa

  • @swalehmohamed1590
    @swalehmohamed1590 Рік тому +1

    BACHO AJUA KUSOMA KITABU NA KUFASIRI LAKINI HAELEWI MAANA NA UNDANI WA ANACHOKISOMA

  • @rashidsimba3680
    @rashidsimba3680 Рік тому +1

    Bachu amepanic sana

  • @hidayaramadhani1833
    @hidayaramadhani1833 5 місяців тому

    Mwana wabachu ajielewi kabisa mawahabi someni mwatutia aibu

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 7 місяців тому

    Mashekhe wote muliopo hapo ktk mdahalo murudi kwa allwah
    mumlaani shetani
    Hapo nimegundua mumejawa na shetani kwenye nafsi zenu
    "Ushindani" na" kibri "
    Kila mtu kati yenu anataka awe bingwa
    Kwahiyo mumesahau ata malengo yaliyowaleta hapo

  • @AbdillahAlly-q6j
    @AbdillahAlly-q6j Рік тому +3

    Bachuuuu chaliiiii ukome kuwatukana wanazuoni

  • @Salimsaid-nk1qv
    @Salimsaid-nk1qv 7 місяців тому

    Nyie mashekhe wote hapo hamna elimu kama barzanji kaandika maneno ya uwongo si muongo?ina maana hadithi ndio inafanya maneno ya barzanji kuwa kweli? Acheni upuuzi wenu kuwadanganya waislamu

  • @MbwanaMakamba
    @MbwanaMakamba 3 місяці тому

    Tatizo la wahabi mwafata mkumbo bila elimu halafu pia hamuwasikilizi mashekh zenu

  • @abdallhabinmkasibayyat6657
    @abdallhabinmkasibayyat6657 Рік тому +1

    Leo umeaibika mno ndugu yangu bacho

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Рік тому +1

    Athibitishe wanyama

    • @سعدياقوت-ت2خ
      @سعدياقوت-ت2خ 11 місяців тому

      Kasome afa kuskiliza munakasha kapekue vitabu usomeshwe usiwe kama mjinga

  • @hafidhsalum-jp2mw
    @hafidhsalum-jp2mw Рік тому +1

    Ata na mie ningeshindwa sio bachu tu kwa kutumia hadithi za uongo kua ni ushahidi ndugu zenu mashia pia wanayoyasema wanatoa hadithi za uongo na kama itakua hivo basi hii dini kila mtu atatunga hadithi yake itumike kwrnye dini

    • @abubakarhussein2186
      @abubakarhussein2186 Рік тому

      Sio hadithi ya uongo ile ndugu ingekuwa ya uongo ingeitwa hadithi maidhuu

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 Рік тому

      Alhamdulillahi haqqi imeshazihir kuwa Bacho ameshindwa .
      Bacho alidai kuwa : katika barazanji kuna uwongo.
      Na dalili alioisimamia ni kwamba " hadithi iliotumika ktk kitabu ni (( munkar ))
      Akaulizwa : Jee kutumia hadithi munkar katika kitabu inapelekea kuitwa menye kitabu ni ((Muongo )).
      Au maneno hayo yatazingatiwa kuwa ni uwongo ??
      Lakin Bacho hakuweza kujibu mpaka mwisho wa mjadala . Alikuwa anakwepa kwepa .
      Leo imedhihiri : Ukosefu wa dalili kwa Bacho na kumsingizia lmam barazanj kuwa ni muongo. Amesema maneno hayo bacho bila ya dalili yoyote . bali ni kumtuhumu tu mwanachuoni .

  • @BILALKASSIM-ol6kk
    @BILALKASSIM-ol6kk Рік тому +1

    Bachu hujui kbxasssaaa elim yko niya sifa kabxaaaa ostz said ni faqih mkubw xn

  • @ayauii
    @ayauii Рік тому +3

    Watu wa twarika wababaishaji hawakujibu suala waloulizwa barazanji imeandikwa mimba ya mtume ilipiingia wantama walizungumza.wamebabaisha wametoka kwenye mada kisha.wameinuka wamemaliza.kwa sababu hawana jawab.( bachu ametufungua macho hatusimi tena maulidi wamezua tu Hawa

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Рік тому +1

      Muongo ww husomi maulidi Toka zamani ni mnafiki tu

    • @LifatMkali
      @LifatMkali Рік тому

      Sema wapi ni uongo. Wanqchopinga apo ni nadharia ni vip viumbe wa Allah kama ndeng, samaki n.k wanaweza kuzungumza. Na wakat huo huo wamesahau nabbing suleiman alikuwa anaongea na wanyama na pya nabii suleiman alisimamisha msafara wake kisa alisikia sisimiz akiwaambia wenzake watoke barabaran kuwa jesh la nabii suleiman litawakanyaga

    • @LifatMkali
      @LifatMkali Рік тому

      Na pya nabii nuhu aliwasikia chewa wakimsabihi mola wao

    • @SaidaFankupi
      @SaidaFankupi Рік тому

      Urongo we mnafik husomi maulid kisha Leo ndio wasema hivo

  • @mohamedimcheni2068
    @mohamedimcheni2068 Рік тому

    Bachu kasome

  • @AbubakarShundi-og8ce
    @AbubakarShundi-og8ce Рік тому

    Dogo kibri cha kutukana wanachuoni wacha kitakupeleka pabaya huna unacho kijua tafadhali wacha kutukana vipenzi vya Allah utalanika

    • @HemedSerious
      @HemedSerious Рік тому

      Eti wanalalamika kadhalilishwa bachu km hatoacha kuwatukana wenye elimu zao ataendelea kudhalilika bdo hajadhalilika aswa, ata thumni ya adab alokua nayo baba ake yy hana

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ Рік тому +5

    Bachu na ujanja wako wote leo ume pata janjaure
    Zile hoja zako za kupotosha wajinga leo hazipo tena
    Ume ulizwa swali dogo lime kushinda kujibu
    Shida yako ni little knowledge bro kasome mamburui

    • @safiasaidi3280
      @safiasaidi3280 Рік тому

      Mjinga huy nd amsomeshe bachu au? Mhh mwana wenu kaangukia pua

  • @MuhaMago-ce3bx
    @MuhaMago-ce3bx Рік тому

    Anaejuw ajibu ilitujuwe tusiojuw

  • @MUBKAM-th3ln
    @MUBKAM-th3ln Рік тому +2

    Hili jamaa jinga kweli Analeta mambo ya tarabu .... kwenye Mambo ya Elimu... Funny yako kuimba kaswida

  • @aliabdallah5183
    @aliabdallah5183 Рік тому +1

    Nyote hamnaakili

  • @SALEHKK864
    @SALEHKK864 Рік тому +2

    Mtoto wa bach ka shindwa kujibu tena arudu akasome

    • @bwagizoselemani8434
      @bwagizoselemani8434 Рік тому +1

      Hajashindwa kujibu sema kila mmoja anatetea hoja Yake bachu yupo sahihi sema tu hawez kuwabadilisha ispokua Kwa uwezo wa mungu Tu

    • @HassanKhamis-pz5hy
      @HassanKhamis-pz5hy Рік тому

      Shekh Bach achakuwasumbua watu

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Рік тому

    Mtume s,w,a ameondoka ametuachia kitabu na sunna sasa bachu yupo vema Bali huyo mwingine ni mtu wamaulid nandio hao Wenda wazee wao walikiwa wajiita mashariff.

  • @tahaddath
    @tahaddath Рік тому +1

    Hahaha bachu umefeli wewe huna elimu yeyote na mawahabi wenzako unaleta mambo ya ng'ombe fala w

  • @swalehmohamed1590
    @swalehmohamed1590 Рік тому +1

    BACHU AMEULIZA SWALI KISHA AKALIJIBU MWENYEWE KWA RIWAYA YA ABU NUEIM AKAULIZWA SWALI NA SAID JUU YA RIWAYA AKAKWEPA NA HUKU ATETEWA NA ABU AHMAD..

    • @mkude
      @mkude Рік тому

      Wewe itakuwa unatabu ya uelewa sanaa.bachu amedhihirisha kitabu Cha barzanji kina munakari dhaifu.hao wanazungusha zungusha wanataka Bachu athibitishe uongo sheikh Bachu amesema hatumjadili mtu tunajadili kilichomo kwenye kitabu Cha barzanji

    • @swalehmohamed1590
      @swalehmohamed1590 Рік тому

      @@mkude hhhhhhhhhhhh KILICHOMO NDANI YA BARZANJI KIMEANDIKWA NA MTU, UKITAJA KITU KINA ALOKIANDIKA UKISEMA NI CHA UONGO NA YULE ALOKIANDIKA PIA NI MUONGO, BACHU NDO ALOZUNGUSHA WATU NA PIA YEYE NA WENZAKE HAWANA UELEWA..AYA NI ZA MUNGU, HADITHI NI ZA MTUMI S. A. W MANENO YA BARZANJI NI YA NANI, HHHHHHHH, MBONA HAMUELEWI.

  • @khamismwalim5604
    @khamismwalim5604 Рік тому +1

    Mjadala wa Ahlu Twariqa vs Mawahabi 1-0

  • @HuzaimaRamadhan-kb1wz
    @HuzaimaRamadhan-kb1wz Рік тому

    Tupe ushahidi kutoka kwa wana wazuoni kuhuxu barzanji, maana wewe hujafikia kua mwana wa zuoni,

  • @hindamir2008
    @hindamir2008 Рік тому

    Kalale umeshindwa kujibu waleta stori z kuku nabngombe

  • @HuzaimaRamadhan-kb1wz
    @HuzaimaRamadhan-kb1wz Рік тому

    Bachu tutajie mwanawazuoni alie thibitisha hojazako

    • @mkude
      @mkude Рік тому

      A.edhibitisha munakari dhaifu kwenye kitabu Cha barzanji kwahiyo mnasoma kitabu kwenye maulidi ambayo ni urongo ambayo hayajadhibiti Kwa mtume s a w

  • @ShamimMsofe
    @ShamimMsofe Рік тому

    Bachu kunywa maji shehe

  • @jambojambosafaris
    @jambojambosafaris Рік тому

    ua-cam.com/video/2iljhLEqQyw/v-deo.htmlfeature=shared
    Ujanja wa bachu wajulikana

  • @MbwanaMakamba
    @MbwanaMakamba 3 місяці тому

    Wahabi nyie endeleeni kupiga kelele kazi yenu ubishi tu ila hamna elimu kaeni chini mfundishwe msikurupuke mtaumbuka Sana inshaallah kwasabab pia mnaubinafsi ndani yake

  • @asifznz
    @asifznz Рік тому

    Jamma wa tarika said yeye hajali kwamba kitabu cha barzanji ndani munauwongo yeye anataka tu barzanji asiitwe murongo au muongo 😂😂😂😂😂sasa kitabu kime jaa uongo shirki kibao he doesn't mind what his people are reading is inauthentic he doesn't mind at all 😂😂😂😂😂people are going astray from the right path he doesn't mind 😂😂he wants people to not call jaffer barzanji a liar, kumekucha!!!!waafuasi wake wacha waende mtoni kwakufanya shirki lakini BARZANJI asiitwe MUONGO 😂😂😂yeye KASHINDWA kabisaaaaa kuitete kila kitabu cha BARZANJI Dahhhhh what loss,halafu anarukaruka eti kashinda,hoja hata moja haijajibiwa ,na yule jamma alova miwani anapokea simu za watu wakati mjadala unaendelea mwambie ashikilie hapo hapo😂😂😂😂😂halafu saidi anazugumza kalegeza mikono ,WEEEEEWE,😂😂😂😂😂Eti kashinda😂😂😂😂

  • @hassanmambomambo8442
    @hassanmambomambo8442 Рік тому +3

    leo bachu umeaibika ukome siku nyengine kutukana mashekh ona sasa ulivyo fedheheka watu wanaakili wewe si umemuita BARAZANJE kuwa ni muongo wewe? na video zako zipo leo wakataa ngoja zitaletwe ili watu wakujue kuwa wewe nikinyonga kujibadilisha rangi naleo umemuita Imamu albarazanje na Dua umemuombea ukome siku nyengine

  • @swalehmohamed1590
    @swalehmohamed1590 Рік тому +1

    BACHO HAJUI TAKHRIIJ WALA NATIJA YA TAKHRIIJ,

    • @youmoha8200
      @youmoha8200 Рік тому

      kusema kweli hana elimu kabisa...kasoma muqarar tu..yote yaonesha umuhimu wa kusomeshwa na ustadh

  • @AbubakarShundi-og8ce
    @AbubakarShundi-og8ce Рік тому

    Basi mjibu wacha kibri dogo