HOTUBA YA MWAMBA IBRAHIMU TRAORE NI YA KUWAKERA MABEBERU
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
Asante kapiteni ibhimu telaole mm nakuku bali sana kapiteni
Mungu Ibariki Africa Tunashukuru kupata kiongozi kijana na mwenye uchungu wakutetea bara rake la afrika safi sana kaka yangu Ibrahim mungu akulinde kwa kila jambo inshaallah
Vizuri sana huyu ni mtu kwelikweli like jaman
We,all black Africans appreciate him,may Almighty God protect him,,, Paul gitonga from Kenya🇰🇪
Viva. Traore ni kichwa nilicho jaa Mawazo ya maendekeo Africa.Mbegu ya kuikomboa Africa.
Shukran mchambuzi wetu
Shukran Traore Allah akulinde kila utapokuwa, ukuzidishie elimu, hekma, ushujaa na maono ya kuleta maendeleo nchini mwako na Afrika nzima inaona unachokifanya, viongozi wetu wengi mjifunze kutoka kwake,
Jamani mungu mlinde mtu yeyote anaempigania mwafilika maana nchi nyingi za aflika viongozi wengi ni vibalaka wa wazungu.
Watanzania tuna kukubali sana njoo tz
The right president of Africa. His excellency IBRAHIMU TRAORE❤❤❤❤ we are proud of this guy. 🇰🇪🥂
Wana AFRIKA wenzangu tuamkeni tusiitikie tena uchaguzi wa hawa tunaowachaguwa kila siku wakati niwasaliti wa AFRIKA yetu I❤ AFRIKA❤❤
Kuna muda machoz ya furaha hukutoka kwa kusikia maneno ya busara kutoka kwa kijana mdogo kama huyu mungu akulinde ewe mlomboz wa Bukinabe
Kweli kiongozi, majizi yanajaza matumbo yao tu
Allah bless him and Allah protect him from the enemy of Africa we still pray and make dua for him we want one day all African continent to be able to do things by himself Allah the way you protect Nabii Moses,Yusuf,yunus,Isa is some way we pray to protect Traoré from the enemy Ameen
Amin
Aamiiiiin
Hongera mtangazaji kwa kipaji ulichonacho cha utangazaji. Mungu bariki Rais huyo wa Afrika
Daaaaah! Huyu mwamba Mungu amlinde.
Saut ya mwana dada inayo elezea jambo la kishujaa kwa ushujaa hongera sana ukuu wa mwaAfrica
Mashaallaah Mashaallaah Allaah Akulinde Kaptein
Daa kivur cha mwamba magufuli Mungu akulinde mwamba
Acha usenge
Mungu akulinde mwamba
@@Clever-l8vusenge gani we mbwa kibaraka
@@Clever-l8vmsenge ni www
Magufuli mtupu tz tulipoteza kiongoz sahih like ibbra😢
Hongera sana Burkina Faso kwa maamuzi mazito na mazuri hakika Nawaombea Amani.
Big up Rais Troure
Mungu akuzidishie zaidi umri. Tunakiu ya viongozi wazalendo kama wewe, hakika Tunakuombea mema zaidi
Mungu ampe maisha marefu,japo viongozi wa aina him hawadumu ila Kwa uweza wa aliye juu atamlinda
Nimeipenda sana ii jamani nimelia sana 😭😭
Hata man nimejikita machoz yananitoka 😭😭
❤❤❤❤ewe mungu tunakuomba umlinde hyu raisi
Dada upo vizuri utafika mbali sauti nzuri sana naisi raha kukusikiliza❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Acha umalaya
@@ndayijeanclaude5094😂😂😂😂😂 eti anajipendekeza 😂😂😂😂
😂😂😂@@ndayijeanclaude5094
good mungu akulinde nakupenda african tuombe mungu tupate mzalendo mimi nimejitolea kujiunga na jeshi la Burkinafaso kama wakuja kunichua niko tayari niko kenya
Namm pia nikotayari kujiunga najeshi la bukinafaso
Good news Ibrahim Traore. Tunakuombea bro kwa Afrika yetu adui asikudhuru
Big up ibra,alahu barik ,,kupigana na adui njaa ndio mfano bora African
Mungu akulinde sana na akupe maisha marefu baba wa Africa na Dunia .big up
Hii kz wanaweza wanaume tuuu
We mwalimu wa neno la mungu. Huyu bibie umemtoa wapi mbona ni kisu kwa nyanja za habali❤❤❤❤❤
Mungu ana watu wengi sana
Shuja ibra nafurahi kwakumtanguliza MUNGU Hakika MUNGU hatakuacha
Unajua nchi za afrika zinatakiwa ziendeshwe na watu waliopitia jeshi kwakuwa zipo vitani na ukoloni, hivyo kunamhitaji kiongozi anaeongoza awe na roho ngumu kukabiliana na changamoto za magharibi na kujitegemea na kushirikiana kwa waafrika wenyewe. Alafu ndo ije iungane kuwa moja baada ya kujenga misingi imara ya kujitegemea.
Kama Uganda, Sudan na Rwanda
Ata hapa Tanzania 🇹🇿 tukipata rais kijana itakuwa good Sana wazee wanazingua
Traole you are ' Magufuli' the second - keep it up.
Mpk namkumbuka jpm magufuli allah akulinde Ibrahim traole
IBRAHIM TRAORE ni Jembe la Hayati Magufuli Mungu akulinde Baba
Natamani magufuli angekuwepo
Bg up young president (Ibrahim)
Wtz tumeona uzalendo laiti magu angekuwepo ACHA TU mungu amweke magu mahali pema ila mungu yupo kwa mnyonge na mwenye Raha tajiri Yuko na pesa one day god,,,,,,,,,,,
Afrika kungewaka moto mi nakuambia, hao washenzi wangetukoma
Ogera..sana...mungu..akubariki
Mjeda kama mjeda wajeda safi
Chuma kingine Africa mungu anatupenda
Jamani nimeguswa san ila Mungu isaidie Africa
Mungu amjalie maisha marefu Jemedari Uyo Na Moyo Wakuendelea Kutupambania🎉
Daah! Na broo Magufuli angekuwepo naamini wangekuwa marafiki wakubwa sana..... Lala salama Magufuli
He make us to remember His excellence Thomas Sankara
Mungu akujaliye maisha marefu nakutimiza ndoto zako kwa africa
Jamaniii ni uchungu sana ssante kwa uwepo wa ukuuwa mwafrika
Piga kazi bwa mdogo Kwa faida ya wananchi wako nakuku bari sana upo vyema mungu atakulipa hapa duniani na akhera mbinguni, safi sana
🎉kazirii hadi sautii hongera
Kijana ubalikiwe sana from 254 MUNGU akupee nguvu sana uwese kumbadilisha Africa
❤❤❤ AFRICA CONTINENT ❤❤❤ BURKINAFASO, NIGER, MALI ❤❤❤ ✊✊✊
Atakayejaribu tu kumuua Traore kufa na afe ee Mungu!
Oh praise God for granted gift Bukina faso real one man can know the truth and the truth can make free all people,hallelujah praise God Traore
Hivi ndivyo inavyopasa kiongozi wa kiafrika azungumze na kutazama mambo kwa mtazamo huu;hongera captain traore;MUNGU akubariki na kukulinda siku zote ili kuibadili afrika yetu.
Jembe la ukweli Afrika
Asante kwa wa panafricaniste wote. Mungu azidi kuwa na Raïs Capitaine TRAORE
Daaa! huyu ndiyo mzalendo wa kweli wa Africa, wengine ni wazalendo uchwala tu!😭😭😭
Dah!mungu tupe maguful mwingne bas aungane nahuyu mwamba tuwamalize hawa mabloila kubabake
Always GOD be with you to fulfill your need as leader of BURKINABE
I pray for you everyday my bro Mr president Traore Ibrahim
Jamaa na mkubali sana
mimi natamani ata leo IBLAHN aseme vijana wa africa ote mm nitakua no.1
I love this man and I will pray for him cpct Ibrahim traor keep on
Very fantastic and GOD bless Africa
Viva traure vivaaaaaa Mungu akulinde nakupenda sana
Hangekutana magu huyu africa ingekuwa paradise hii omba omba hatari kwelu usikubahii omba omba
God Bless a lot of years Ibrahim,man like this is very important
Thaore amekataa selikalii yake kununua magari ya kifahari, kanunua matrecta ili wakulima waongeze mazao nchi itoke kwenye umaskini, bongo watu wanakufa njaa wao wananunua V8,
Huyu ndie mkombozi wetu kwa nchi za afrika IPO haja kumuonbea Dua, yaa Rabi mpe uri mrefu azidi kufanya mambo zari katika taifa lake na mataifa mengine ya afrika, iwe mfano kwa viogozi wengine wa afrika.
Amiin
Mm siamn kama yeye anaweza bila msaada.wa putin waafrka inabd tujismamie wenyewe
Tanzania na sisi tunamuomba mungu tumpate kiongozi kama huyu magu ameenda tunamuomba tumpate kidume kingine
Namkubali sana uyu mwamba
Wapo wazungu wazuri pia, tuwe makini na tunachosema. Dunia ni Moja hakuna mzungu Wala mweusi. Mungu ametupa Dunia tufaidi na kila kiumbe haijalishi tunatokea upande gani mwa Dunia. Tutakua bado nyuma kifikra kama bado tutausema sana uafrika na uzungu. Tunategemea sote. Tupendane tusaidiane kama Mungu wetu anavotupenda. Mzungu angekua mchoyo sana Kuna vitu pia tusingekua navyo.Mungu tufungue akili waafrika tuache ubinafsi hatupendani ndio maana hatukuzi nchi zetu. Taore wewe ni rahisi wa Dunia. Isaidie Dunia sio afrika pekeake.
Machozi inaanza telemka kabsa.
Asante sister kwa usemuzi
Rip jembe Magufuli❤❤❤
Asante kwahotuba nzuli unapenda watu wanchi yako
Ipo siku moja Africa tutajikomboa
Magufuli watano ni Traore mmoja usicompare huyu malaika wa mungu na binadamu aliyewachoka wadhalimu waliomlea lile bunge alilopitisha kibabe Leo liko busy kupinga wananchi ile mahakama aliyoinyang'anya haki imekuwa kichekesho 😢😢
Tanzania🇹🇿 tunataka kiongozi ambaye ana vaa kombati lais katili juu ya mafidi wezi wanao usudi wazungu kama traole mungu tupemtusahihi Tanzanian🇹🇿 tulia mtumasikini Sisi ndio tunateseka asa ospitali ofice zauma mungu tupe lais katili kama mafuli
Kaka we kaa utulie tu. Lia juu ya komredi pombe magufuli😭😭😭😭😭
Kuvaa kombati tu hakutoshi Bali afanane na sifa za hilo kombati, hasa katika kiapo
❤Maashallah Allah awape nguvu kujikomboa
Allah akutunze zahd kamanda
Shujaa kweli kweli Mungu amlinde
Asante mwamba ibrahm traore
🫡🫡 mungu akulinde lbulahim
Kumtaja Magufuli na kumlinganisha na Traore Ibrahim mnakosea sana,, Traore ni damu nyingine ya kipekee,, traore ni uhuru, demokrasia,, ukweli na uwazi
Kabisaa kabsaa yani hata ukitaka kuongeaa kulinganisha tu unaona inakataaa kbsaa huyu ndo mzalendo kbsaa...mzalendo muafrica haswa
Huyu ni magufuli kabisa Mungu amlinde❤❤❤❤
Uyu dada awepo kila siku apa ukuu wamwaafraca jamani nimempenda bule
😮Jamaaa arushirushi mikono kama wanasiasa
Safi mze sumu.
Maasha'allah , speedup ibrahim traore
Kweli maamuzi sahihi sana
Mungu ampiganie
Nilichogundua nikwamba kumbe vijana ndo wanaleta maendeleo Iko hivi Nyerere alikuwa kijana ,mgabe alikuwakijana,samora ,tomasi Sankara jomokenyata,patris,Lumumba, nawengine wengi,walikuwa vijana kwahiyo Tanzania tusibweteke ,wapo kinampina nawengine wengi ukiangalia bungeletu linawazee wanaoongozwa na maneno kuwa wazeewalisema tubadikike watanzania tusipate haki mpakatuandamane
Hiyo ni point kubwa
Mungu akulinte baba wenye wanakuwinda washitwe kwjinalayesu
Yaan ww dada nimekuelewa sana
Kwanin wanashindwa kumuigaa jamaa ❤❤❤❤
Mungu akulinde
May God all mighty give him long life.🙏
Allah akulinde in shaa Allah
Daaaa😢😢 captain traore captain Thomas Sankara 🇧🇫 JPM
Mabeberu wapuuzi Sana Yaa Allah walaani na uwadhalilishe na uwaharibie kabisa
Mabeberu si wapuuzi hata kidogo la Hasha! Mpuuzi ni mimi na wewe tunaokubali huo Upuuzi wao