MAGUFULI AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI - "UNAFANYA UPUMBAVU, HUWEZI KUNIDANGANYA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 116

  • @issazakaria9704
    @issazakaria9704 5 років тому +50

    Safi sana JPM piga kazi mzee kama unakubali anachokifanya Rais wetu dondosha like yako hapa.

  • @monicawanza8779
    @monicawanza8779 4 роки тому +9

    i wish tungeweza pewa magufuli 1month Kenya ingenyooka

  • @smkinuthia6094
    @smkinuthia6094 5 років тому +3

    I wonder if President Uhuru and his Deputy watch such documentaries this is the proper leadership we need in Kenya.

  • @citizen250tv6
    @citizen250tv6 4 роки тому +2

    From Rwanda magufuzi rais wawanyonge penda sana

  • @jemedarikalimasi5754
    @jemedarikalimasi5754 2 роки тому +2

    Hakika mungu alitupatia chombo, bwana alitoa bwana ametwa jina la bwana lihimidiwe.

  • @priscamedadi1108
    @priscamedadi1108 4 роки тому +1

    100# uishiii kiongozi wangu mpaka frahaaa ya machozi hongera baba

  • @seifminal1890
    @seifminal1890 5 років тому +1

    Nakuombea uzima na uvumilivu rais wangu Mwenyez Mungu akupe kila lenye kher nawe 🤲👀

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 5 років тому +3

    Mkurugenzi yuko full conference big up sana

  • @gbbuku4714
    @gbbuku4714 5 років тому +7

    Ifikie time magufuli aeleweke jmn tutapata wap rais km huyu mweee mungu akulinde

  • @williamissaya8091
    @williamissaya8091 5 років тому +10

    Kuwa kiongozi sio mchezo ,wengine wakisha pata uongozi basi hufikiri in kubaki ofisini tu kumbe siyo, sasa mkuu wa nchi anawafundisha kazi wale waliozoea kawaida ya serikali zilizopita.

  • @fredrickbochela6509
    @fredrickbochela6509 4 роки тому +1

    Watu kama hawa hata mungu anawapenda hongera sn rais bigup

  • @jemedarikalimasi5754
    @jemedarikalimasi5754 2 роки тому +1

    Vizazi na vizazi vitapita lakini jpm, hutakuja kusahaulika ktk serikari ya tanzania, R.I.P BABA.

  • @godfreymushi13
    @godfreymushi13 5 років тому +4

    Nimempenda uyu mkurugenz ana confidence ya ela yote

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 5 років тому +2

      Confidence kwenye kufanya zero alafu unasema ya hela yote, kama anaconfidence alitakiwa akatae siku anapewa hiyo nafasi aseme mimi nina hela so sihitaji kazi hiyo, so hicho unachocomment ni sawa na coment ya mbumbumbu!!

  • @teophilmbalamwezi
    @teophilmbalamwezi 5 років тому +3

    Yaani, unaweza ukajuta kuwa kiongozi

  • @japhetnzunda99
    @japhetnzunda99 5 років тому +4

    Mungu akutangulie na ukupe nguvu

  • @evelynemachange5305
    @evelynemachange5305 4 роки тому

    Bora ukosee njia lakini siyo kukosea kuchagua kiongozi sahihi wa kukuongoza,nashukuru Mungu kunipa Rais sahihi wa kuniongoza.Mungu akubariki sana na kukupa afya njema kila itwapo siku

  • @unaonaniniplatform5244
    @unaonaniniplatform5244 5 років тому +5

    Kwa hali hii tunasema pole sana mkurugenzi

  • @benardobiri5523
    @benardobiri5523 5 років тому +3

    Nalilia kenya inchi yangu... Tungempata rais kama jpm tungekuwa mbali

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma7581 5 років тому

    Aiseee Kama Rais Ninae
    Mungu akubariki Rais wetu JPM 🇹🇿 Nakuombea sana

  • @modestusndunguru4638
    @modestusndunguru4638 5 років тому

    safi sanaa..... hapa kazi tuuuu... hatutaki ujinga.... ela za wananchi hizo.. zinapigwa.... mtakoma

  • @vascostanleymbisse4477
    @vascostanleymbisse4477 5 років тому +6

    Popularity vs Professionalism

    • @sharif-ismailshah597
      @sharif-ismailshah597 5 років тому

      What do you really mean ?

    • @vascostanleymbisse4477
      @vascostanleymbisse4477 5 років тому

      @@sharif-ismailshah597 The President is gaining more popularity in that society while the director's professionalism is despised and seen useless..

    • @msovietimjamaa3017
      @msovietimjamaa3017 5 років тому +1

      Kweli Vasco una akilli Sana

  • @betsonbeatus7543
    @betsonbeatus7543 5 років тому +7

    Yaan nilitaman siku moja afike hapa maana hii wilaya wapigaji walikuwa ni wengi mno

    • @victorkwicha9237
      @victorkwicha9237 5 років тому +1

      Betson Beatus mh kazi kazi fanya yanayo kuhusu ukizingua unakuwa jipu

  • @yusufmohamed9843
    @yusufmohamed9843 3 роки тому

    Magufuli was not a joke mkurugenzi kakamatwa kashindwa kuongea kigugumizi mahesabu the man of wanyonge billions no market

  • @mirajikinuke9849
    @mirajikinuke9849 5 років тому +4

    Uyu ndo RAISI wetu...Atawale hata miaka 30

  • @hadijamahande2374
    @hadijamahande2374 5 років тому

    Hongera.baba.ubarikiwe.sana

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 5 років тому +2

    Kweli rais tunaye

  • @cldmichashukim5864
    @cldmichashukim5864 5 років тому +1

    bless up mr president this is a prove Magu is the man of the people.

  • @ricksonlyimo2662
    @ricksonlyimo2662 2 роки тому +1

    Pumzika kwa aman jemedali wetu vita umevipiga mwendo umeumaliza na iman hakika uliilinda vyema pumzika

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 5 років тому +3

    Safi sana Mkuu wa nchi 2020 kura yangu umepata kwa mara nyingine tena

  • @khadijamohamed6961
    @khadijamohamed6961 5 років тому

    Hatari sana baba

  • @militocalito7422
    @militocalito7422 4 роки тому +1

    magufuli twaomba uje kenya kwa miaka miwili pekee utunyoroshee taifa

  • @militocalito7422
    @militocalito7422 4 роки тому +1

    sisi kenya tulikosea wapi jameni😭😭😭

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 5 років тому +2

    Na kwakweli mimi nasikitika sana kuwa kutembelea hizi miradi midogo midogo ni lazima uende wewe raisi. Naomba chambua tena team ya wakuu wa mikoa na wilaya maana naona kuna tatizo katika huu mkoa na hii wilaya!!!

    • @williamissaya8091
      @williamissaya8091 5 років тому

      Alexander Kapinga ndugu yangu ndo hayo madudu unayaona akiwaachia hakutekezwi kitu rais anapowatembelea anachochea uwajibikaji ambao ulikuwa haupo toka huko nyuma kaka eeee! Kwa nini hamumuelewi raised jamani!

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 5 років тому +1

    Mkurugenzi jiuzuku umetia aibu Sana mpk sura inakusuta

  • @maximilianjoseph7896
    @maximilianjoseph7896 5 років тому +2

    Kama umesikia maternity leave naomba like

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 5 років тому +1

    Hata ningekuwa Mimi raisi nafikiri ningefanya hivyo

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 5 років тому +2

    Huu ni uongozi ambao utawafanya Watanzania wenye madaraka waamke na kuwatumikia walio wengi. Ubovu wa hawa wazembe na wezi unaanza kuonekana wazi kwa kila Mtanzania.

  • @sheikhmahmoud3127
    @sheikhmahmoud3127 5 років тому

    Daah magufuri rahaaa sanaaa

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 6 місяців тому

    Uyu ali kuwa rais wa Marais Dunia nzima

  • @masachihorticultureunitcol711
    @masachihorticultureunitcol711 5 років тому +4

    Kufanya kazi Marekani mpaka kurudi Tanzanzia. Mimi kazi za pressure sizipendagi

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 5 років тому +1

      Yaani ni katika watu ambao hawajielewi na huna akili kwa 100%. So what is kufanya kazi Marekani??

    • @masachihorticultureunitcol711
      @masachihorticultureunitcol711 5 років тому

      @@alexanderkapinga700 wewe ndio hujielewi yaani kuondoka USA kuja kufanya kazi Tanzania. Unafikiri Marekani ni nchi ya kawaida Ile ni superpower country. Ndio maana hata Rais kamshangaa

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 5 років тому

      Danford Mwabena
      Shauri yako kama hupendi kazi za pressure! Jitenge na utupishe au rudi huko marekani ukapigwe risasi na Askari wa kizungu.

    • @masachihorticultureunitcol711
      @masachihorticultureunitcol711 5 років тому

      @@machaggechacha3422 kwani Marekani maaskari wa kizungu wanawapiga watu risasi tuu bila kosa lolote lile

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 5 років тому

      Wewe unadhani kwa akili yako kufanya kazi kwenye super power nation na huku kusiko super power unadhan wapi kuna strees sasa. Fuatilia vizuri huwezi kwenda kimbumbumbu tu katika taifa kama lile na kingine wewe umezaliwa Tanzania unashadadia kufanya kazi katika nchi ya wenzako badala ya nchi yako, unadhangaza sana!!

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 5 років тому +1

    Mh aibu mwenzangu

  • @seifminal1890
    @seifminal1890 5 років тому

    Katoka marekan alafu anafanya kaz za.............. JPM MUNGU AKUBARIK🙏👀

  • @markbitta692
    @markbitta692 5 років тому +1

    Ninakukubali sana rais wangu, mimi naona tubadrishe kariba uyu rais aongeze miaka 30

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 років тому +1

    Ila mambo mengine jamani watumishi wa umma wanajitakia wenyewe, mwaka mzima unatengeneza soko.!!

  • @peteralfonce5848
    @peteralfonce5848 5 років тому

    NAMPENDA SANA RAIS WANGU

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 5 років тому +2

    Kama ulimuona yule jamaa aliyesema tumbua majipu gonga like alafu sema MAGU Oyeeeeeee!!!

  • @NOVATISIYAME
    @NOVATISIYAME 7 місяців тому

    Rip father africa

  • @kombuchahluckyMartin
    @kombuchahluckyMartin 5 років тому

    Good work

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 5 років тому

    Mungu alikuleta duniani uwe shujaa wetu tanaomba siku moja uje soko la ilala watu wanapiga sana aise

  • @abdallahmohameddaniel659
    @abdallahmohameddaniel659 5 років тому

    Mashallah mkuu mungu akulinde sisemi kitu sina cha kusema kabisa namuachia mungu unatosha

  • @abelyhokororo8622
    @abelyhokororo8622 5 років тому +1

    Huyo mzee anamwaga upupu aisee

  • @msuyafirst1370
    @msuyafirst1370 5 років тому +6

    Watanzania wanafiki sana ! Kelele nyingiiii huwenda hata wanachokipigia kelele hawakifahamu

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 5 років тому +1

      msuya first
      Nadhani watanzania wanapigia kelele wanachokifahamu na kukielewa. Wewe ndie bububu huelewi. Masikio na ufahamu wako ni kama ule wa kenge. Amka!! Kumkucha!!

    • @msuyafirst1370
      @msuyafirst1370 5 років тому +1

      @@machaggechacha3422 nakueleza wa Tz niwanafiki walio wengi. Kama hutaki basi kaka. Mimi mwenyewe nipo huko may be wewe upo private ndio maana

    • @msuyafirst1370
      @msuyafirst1370 5 років тому

      @@machaggechacha3422 halafu jifunze staha kaka matusi au kejeli hazina maana. Umeona nimetukana? Mungu akupe hekima

    • @herculesthepower1544
      @herculesthepower1544 5 років тому

      first wengi wanakimbilia kutoa matusi badala ya hoja. Mbona mkurugenzi kajibu kwa unasha tuu. Na majibu mengine tanatakiwa kukaa chini si kujibu ovyo ovyo na pili huwezi kubishana na mkuu ktk umati wa watu namna ile. Mkurugenzi nampa pole sana kwa kuitwa mpumbavu ana familia jamaa marafiki wafanyakazi wenziwe.

    • @modernfarming5938
      @modernfarming5938 5 років тому

      Usikute ww ndo huelewi

  • @stevenmsigala2612
    @stevenmsigala2612 5 років тому +2

    Njooo na mafinga mufindi huku najua kabisa utatuokoa sana

  • @seifminal1890
    @seifminal1890 5 років тому

    JPM😄😄😄😄 Mashallah Mungu akuweke na kukupa nguvu ktk uongoz wako unanifurahisha sn.

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 років тому

    Sasa fedha zinazotoka wizara ya fedha, zinafanya kazi gani?? Mkurugenzi hapa atakuwa amekoroga mwenyewe. Aibu yake sasa. Yaan watu wengine hawafai hata kwa bure..au wanakula hela??? Mkurugenzi huyu ameniacha hoi kweli..

  • @mwlmazingira8705
    @mwlmazingira8705 5 років тому +2

    kwenye maswala ya uwajibikaji hapo wakuu wa wilaya na mkuu wa mkoa husika nao pia sio wawajibikaji kikazi wanajifungia mjini wanaacha kuzunguka vijijini ili kuzitolea ufafanuzi kelo hizi hapo mkulugenzi ni kama ile hadisi ya aliekutwa na ngozi

    • @kiatu
      @kiatu 5 років тому

      Mwl Mazingira Ni kweli

  • @jamilaomar9860
    @jamilaomar9860 5 років тому +3

    😁😁😁😂 duuh huyu magufuli

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 5 років тому +3

    poor recording

  • @austinegona1415
    @austinegona1415 5 років тому

    Huyu ndie rais anaye jituma kwa wanyonge

  • @emmanuelmollel3008
    @emmanuelmollel3008 5 років тому +1

    dah mzee anawakazia sana awa wapiga dili ad Uruma asee

  • @sekundambilinyi5450
    @sekundambilinyi5450 4 роки тому

    Mie jasho limenitoka

  • @John_sadick1
    @John_sadick1 5 років тому +5

    Hahaha haha 😂 😂 😂 😂 😂 tumbua majipu baba baaaaa wekaaa bariaaaa

    • @rehemakasebele6254
      @rehemakasebele6254 5 років тому

      Keystar John alifukuzwa mbozi uyo ngoja wamtumbue tena

    • @rehemakasebele6254
      @rehemakasebele6254 5 років тому +1

      Mtumbue tens huyo mkuu wa mkoa kam ulivomtoa Kule mbozi

  • @inginiakipirakipira1380
    @inginiakipirakipira1380 5 років тому

    Ew mwenyez mungu mbarki huyu mtu tujalie na ss zanzbr tupate raic mwenye akili kam huyu mana zanzbr ndo kula walafi kuliko ata huku

  • @neemajoseph9231
    @neemajoseph9231 4 роки тому

    Magufuli usiwaache hao watazoea

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 років тому

    Tundu ya yeo.

  • @ibrahimtatock5725
    @ibrahimtatock5725 5 років тому

    Mh raisi njoo na huku Babati vijijini hakuna tofauti

    • @drtobias_
      @drtobias_ 4 роки тому

      Tupatie namba yako ya sim ili tufanye kazi

  • @peterelisha1828
    @peterelisha1828 4 роки тому +1

    Hahahhah et tumbua majipu dah?

  • @suleimanbakar6097
    @suleimanbakar6097 5 років тому +1

    Mtakoma c mlikazana kuiba kura ili awe raisi?nafurahi sana

    • @lingwamalagila3003
      @lingwamalagila3003 5 років тому +1

      Uwe mwangalifu kwenye sms zako unaushahidi wa wizi wa kura

  • @KhatibuMsagati
    @KhatibuMsagati Місяць тому

    Mzee bc t'y mung mwenyew

  • @gidosalapion8222
    @gidosalapion8222 5 років тому +5

    Ufisadi kwetu umezidi, kama umemskia kijana gonga like😂😂😂

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 5 років тому

    Ila chamahajabu bukoba mjini haji cjui kwann

    • @abusaeed9037
      @abusaeed9037 4 роки тому

      Denise Promise usijali tuta kuja

    • @selector728
      @selector728 3 роки тому

      Siyo mahajabu sema maajabu

  • @rajabukheri8962
    @rajabukheri8962 5 років тому

    Kl os vp mag

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 4 роки тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 5 років тому

    Mheshimiwa Rais endelea na kazi bila kujali chochote na wala comments za kijinga kutoka kwa baadhi ya watu wachache wanaojifanya kujua lakini kumbe ni mbumbumbu wakutupwa maana mtu anafika level ya kusema eti marekani so what is marekani to development of our people!!!

    • @townhc2953
      @townhc2953 5 років тому

      0ngera rais wetu naamini mungu yupamoja nawe chapa kazi

    • @jennifermallya9648
      @jennifermallya9648 5 років тому

      Na wewe unajidai unajua kuongea sana, so you don't know what is marekani Google then you will get the answer......hapo unamuona mkurugenzi tu but hii kazi ina presha sana na pia sio kwamba hao waliotajwa ndio watendaji kazi hapo wapo watu wengi chini yao pia uwenda ndio wakwamishaji.

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 5 років тому

      @@jennifermallya9648 dada yangu mie sina Muda wa kuhangaika na Marekani nahaika na Tanzania ndio inayonihusu we kama uko concerned na Marekani kagoogle mwenyewe na ukiona vipi nenda huko kaishi huko. My deal is Tanzania with my president so still my point is valid what is marekani when it comes to my country development. Mi binafsi unafiki nafiki sitaki, sisi tunanchi kubwa yenye kila aina ya natural resources ni kwasababu ya kukosa viongozi au kuwa na viongozi wajinga ndio tumepiga mark time all that time. Saivi tumepata the right man he is dealing with his country sio kwenda kupiga picha na wanamiziki na kuzunguka kuomba misaada kwa mataifa mengine. We deal with our country.

    • @jennifermallya9648
      @jennifermallya9648 5 років тому

      @@alexanderkapinga700 but raisi amemuuliza ulifanya kazi wapi angejibu nini? Ilibidi aseme hapa Tanzania au ilibidi aseme ukweli ni wapi alifanya kazi....mbona watanzania tuna nongwa hivyo?

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 5 років тому

      @@jennifermallya9648 hujaelewa mpka mimi nikaongelea marekani tumetoka wapi hapo kwenye mjadala fuatilia vizuri

  • @hadijamahande2374
    @hadijamahande2374 5 років тому

    Hongera.baba.ubarikiwe.sana