Habari zenu ndugu zangu wana sns mimi kwa majini naitwa Roja kutoka mkoa wa kigoma nataka siku moja mchambuwe kuhusu mashikika ya kijasusi kama vile CIA, MOSSAD, MI6, KGB Na kila moja na matukio ambayo wamewai kufanikisha nitashukuru sana ndugu zangu big up sana pia majukumu mema asante.
HENRY nimekubali xana umesimama ktk haki umetisha Leo Moja kati ya point muhimu ilonifrahisha mm ni kwamba umekubali na umethibitisha kwamba mungu ni mmoja .inawezekana ilikuwa c plan Yako kusema ivo Bali mungu kwa uwezo wake ameamua kukutumia kufikisha ujumbe kwa Wana SNS kuwa mungu ni mmoja .. tuendlee ulipoishia Yesu alikuwa anaenda kumuomba mungu ,,asa mungu ni Nan? All in all asanteee kwa kampan yko naamni ipo cku Allah atakuonesha njia sahihi na kupitia ww wengi pya wataweza kuongoka ❤❤❤❤
Yes ametisha sana ..mbali na kuwa ni Christian ila ameamini kuwa yesu ni mwanadamu aliumbwa na mungu mmoja ndiposa hata akikwama anaenda mlimani na kumilia muumba wake..wanaosema yesu ni mungu wanakufuru mno ila hawajui ukweli
Yesu ni Mungu katika mwili? Na alikuwa ameenda kumuomba Mungu aliyejuu, kwani hukuwahi kusikia kisa Cha Musa kutokewa na Mungu akiwa katika mfumo wa moto? So huwa mnashangaa nini kuona Mungu akijibadilisha akawa mwanadamu ili akamilishe mission yake kwamba mnahisi Mungu hana uwezo wakubadilika na afanye atakavyo yeye? Sisi Mungu wetu anauwezo huo maybe wenu hana
@@ninjaisma7983wewe ndio hujui ukweli na wewe sio mkristo na kama ni mkristo basi ni jina tu na wala husomagi Biblia, mbona imeelezea kila kitu kuhusu Yesu ambacho huelewi ni nini?
Nahisi wote watatu smaa Henry na ali kila mmoja ana quality na knowledge style yake ya kueleza lkn pia nahisi hakuna aliyekuwa anaeleza vizuri kuliko mwenzake kila mmoja ana quality yake 💯 big up sana
@@iddykivu050 Anaegemea kwenye uislam zaidi na chuki dhidi ya Israel, halafu anasema yeye ni mtu wa facts wakati analeta hisia za udini kuliko uhalisia
Kutokana na tension iliyopo na matokeo baada ya kulipiza kisasi, ikiwa Iran itashambulia kweli lazima itakuwa inafanya mandalizi ya kuweka ulinzi wa kutosha. Ukikimbiza mwizi lazima ukumbuke kufunga mlango. Ila ukimya wake unawaumiza vichwa madui zake kupita hata Hilo lipizi linalotarajiwa.
Shukra sana henry, kwa kutoa madin ya kutosha yan leo nimekua nikikuelwa sna maelezo ya unakipaji kikubwa cha kuunganisha matukio, Nakuombea sna kwa mungu ue muisalam inshalla
Nimejifunza tena kwamba uwongozi ni busala uvumilivu kutumia akili zaidi kuliko hisia kujishusha wakati mwingine nakujishusha sio ujinga unafanya ivyo Ili mambo yaende wakati mwingine..usitumie Sana nguvu, hekma,nakumtegemea mungu Sana Ili safari yako ya uwongozi or whatever ufike salama...Asante kaka Henry Kwa uchambuzi wako Yani naelewa mpaka naelewa tena Yan nazid kujifunza guys apo kwenye mdahalo uwo wa gps Wala sijutii bando langu kiukwel mana najifunza mengi Sana..na uwongozi sio mpaka uongoze nchi or majimbo noo..uwongozi nikujiongoza wewe kwanza vizur Kwakumuomba mungu nakumtegemea yeye na kuongoza na wengine pia..Yan kama dereva tu unaendesha Gali moja lakin unaendesha na watu wanaokuzunguka kwenye iyo njia...
Kaka Henry umepiga kwenye mshono...Yan inabidi tumuombe mungu kwakwel Ili atusaidie kwakwel Yan mada ninzur Sana ...Yan mungu nikila kitu inabidi tumuombe na kumtegea yeye ...mana hali itakuwa mbaya Sana kama ikitokea vita mungu atunusuru kiukwer...mana Leo mmechambua vizur Sana kwakuanguka Kwa uchumi mana madhara yatakuwa makubwa Sana kiuchumi kiukwer...kaka herny apo Kwa mungu na dj smaa na Ali apo mmepiga kwenye mshono...inabidi tumrudie mungu atupe maarifa na muongozo😭😭,,hali ni mbaya Sana yakidunia kwakwel..binadam tuache madhambi ya ufisadi na dhurma ni mbaya Sana Kwa mungu..mungu tuswamehe na utuongoze kwakwel ...
@@AlexGwihamstaharabu Huwa anacoment kistaharabu, dj sma Naye nibinadamu hawezi kuwa perfect Moja kwamoja so kama Kuna madhaifu eleza kwa njia yakumjenga, ila kwa namna ulivyoeleza kwanza unaonekana siyo mstaharabu, pili una lako moyoni inawezekana wivu, chuki or whatever, unamuitaje mwenzako takataka?
Akili ya dj smaa ni open mind ipo tayar kujifunza but tatizo ni elim yake ya dini, elim ya dini inakufunga akili usijifunze kitu nje ya dini yako😢😢mim ni mkristu but najifunza kwenye quran na kujifunza mungu nje ya vitabu
Iran nuwatu wa mahesabu Hawa pigi tu Mimi natamani wapige lakini naunga mkono wanachopanga hata ikiwa kwa kuacha kupiga Ili tufikie malengo mazuri zaidi
ukweli ni kuwa iran ikjaribu kufanya retaliation itakutana na kisago kibaya mno.. na huwenda uchumi wake ukaharibiwa vibaya sana.. na huo ndio ukweli..ila sio kama hao wachambuzi wanavyochambua.. nguvu walioipeleka marekani kisiwa cha cypras ni kubwa mno..
Ivi kwann siku Moja mkaingia kidini kidogo maana dj smaa Alisha tuahidi akasema Iko siku mtaingia kidini Zaid . Embu kaeni mtupe madini bana 😮 hivi vitu hatuvipati sehem ingine zaidi ya SNS
Hawajamaa niwaongo sana eti wa Iran hawaogopi kufa ...analysis zenu ni zawongo kwa uhakika Iran inaihogopa Israel wanajua nguvu za Israel nikubwa kuliko zao
Mungu yupi au wawa indi kwa utukufu gani Dunia ya sasa ashuke Malaika Gabriel wew unajua malaika Gabriel kma mjumbe wa nyumba 10, 10 majews they don't believe presence of God useme tena Mungu amtume Gabriel afrika tuwe tunasoma tuache kumezeshwa ujinga .
Yani hapa wachambuzi wote aly hanaweza zaid mbaka sasa sjajua hanaegeme upandegan kanyoka kalula uyo hanajua nini mahana ya habari sounaz unazi hambao hahuna mahana
Kuhusu prophecy zipo n zinatokea kwa stage n kikanda ila msiseme cc huku n cc huku hapana mumgu ni mmoja. Na anajua anacho waambia manabii wake. Kwa wanaoamini mungu wa kweli prophecy ni hizo hizo zinafanana tatizo ni ufahamu au ubinafsi wa watu..
Hujitambui wewe kila kitu kimewekwa wazi hapo hapana dini , ni kwa sababu umeona smaa akitoa maandiko ya Quran kidogo na kutafsiri. Jiroho lakusokota mbona hata maandishi ya bibilia yametolewa hapo?Bila shaka unaumwa.
Israel inawangojea hata wachukue Mwaka mmoja... wembe ni ule ule.... ukweli ni kuwa vita vikali vinakuja kati ya Iran na Israel pamoja na Lebanon pia.. lakini mshindi anajulikana tayari.... Iran pamoja na Lebanon watafanyiwa kitendo ambacho dunia nzima itabaki kukumbuka.. na itajulikana kuwa MUNGU wa Israeli ndiye MUNGU wa Majeshi
It's real Henry. Uko vizr Mr. Allah akuongoze zaidi..
Ally masoud, uko poa sana, big up to all the team
Nyie hivi mnazifutilia analysis za HENRY daah ni high level kwa kweli. Anavyoconnect hizi dots hadi raha. Keep it up MUINUKA❤️
Henry anajua sana tena sana.Sema hata Masubi Yuko vizuri sana kiuchambuzi na kubalance story.
Kweli kabisa
Hata wewe waweza hilo,, kujiconect tu
Wana GPS tulokua hatukosi gonga like hapa big up san
DJ SMA UNA UTULIVU SANA UNA FACTS, all masubi na henry pia wote mnajua sana , kazi nzuri sana 🔥🔥
Habari zenu ndugu zangu wana sns mimi kwa majini naitwa Roja kutoka mkoa wa kigoma nataka siku moja mchambuwe kuhusu mashikika ya kijasusi kama vile CIA, MOSSAD, MI6, KGB Na kila moja na matukio ambayo wamewai kufanikisha nitashukuru sana ndugu zangu big up sana pia majukumu mema asante.
Ally.... Unauwa Sana Hasa pale mitazamo yako inapokua tofauti kidgo na wenzio ndio inaleta mvuto Sana kwenye GPS🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Henry umeongea vizuri sana. Big up. Hope hii ndo itakuwa chanel pendwa kwa habari za ukweli na za uhakika. Big up for a whole team
HENRY nimekubali xana umesimama ktk haki umetisha Leo Moja kati ya point muhimu ilonifrahisha mm ni kwamba umekubali na umethibitisha kwamba mungu ni mmoja .inawezekana ilikuwa c plan Yako kusema ivo Bali mungu kwa uwezo wake ameamua kukutumia kufikisha ujumbe kwa Wana SNS kuwa mungu ni mmoja .. tuendlee ulipoishia Yesu alikuwa anaenda kumuomba mungu ,,asa mungu ni Nan? All in all asanteee kwa kampan yko naamni ipo cku Allah atakuonesha njia sahihi na kupitia ww wengi pya wataweza kuongoka ❤❤❤❤
Kweli kaka
Yes ametisha sana ..mbali na kuwa ni Christian ila ameamini kuwa yesu ni mwanadamu aliumbwa na mungu mmoja ndiposa hata akikwama anaenda mlimani na kumilia muumba wake..wanaosema yesu ni mungu wanakufuru mno ila hawajui ukweli
@@ninjaisma7983Kwaani kwenye uislam Mungu ana mwana?
Yesu ni Mungu katika mwili? Na alikuwa ameenda kumuomba Mungu aliyejuu, kwani hukuwahi kusikia kisa Cha Musa kutokewa na Mungu akiwa katika mfumo wa moto? So huwa mnashangaa nini kuona Mungu akijibadilisha akawa mwanadamu ili akamilishe mission yake kwamba mnahisi Mungu hana uwezo wakubadilika na afanye atakavyo yeye? Sisi Mungu wetu anauwezo huo maybe wenu hana
@@ninjaisma7983wewe ndio hujui ukweli na wewe sio mkristo na kama ni mkristo basi ni jina tu na wala husomagi Biblia, mbona imeelezea kila kitu kuhusu Yesu ambacho huelewi ni nini?
Wachambuzi makini sana. Mtume s.a.w anasema: Usitamani vita, vita ni jambo baya mno. Hapa pia napata kwao maarifa kutoka katika vitabu vya Mungu.
Thank you guys for the daily updates mungu awabariki
Maa Shaa Allah, reference nzuri kutoka katika vitabu
Mwinuka uko vizuri. Mungu muumba anatwambia hayatusibu majanga isipokuwa tumeyatengeneza kwa mikono yetu wenyewe.
dj sm uko vzr sana
Dj sma & Henry mko poa sana
Henry i salute you brother
Dj Sma ❤. Jana itakuwa bora kuliko leo. Mtu atatamani kufa kuliko kubaki hai. Nayaona sasa.
Henry we ni noma kwa kufikiria skutegemea kama unaweza kufikiria nje ya box namna hii
Safi sana sns kilasiku munamambo mazuri yakielimu na kadhalika big up kwa wote wa nne
Nahisi wote watatu smaa Henry na ali kila mmoja ana quality na knowledge style yake ya kueleza lkn pia nahisi hakuna aliyekuwa anaeleza vizuri kuliko mwenzake kila mmoja ana quality yake 💯 big up sana
Nawaelewa sana wana sns & ❤❤❤ ❤
Wanao muelewa Henry like hapa 🔥🔥
Hayo yakwenye maandiko mengi niyauongo.
We unaushahidi kuwa ni ya uongo au not manene matupu au niipi sababu AMBAYO wewe unasema hivyo?@@IbrahimTabu-qh9il
Wewe leta ya kweli unayoyajua.
Nimemuelewa sana henry
Dj smaa nakulubali sana unaakili na uwezo mkubwa sana wa ufahamu wa mambo so make sure pia uwezo huo utumie kwaajili ya keshoyako life after death
Leo mmerudi kwenye solution. Viongozi wakimrudia mungu na kuona maisha ya dunia sio kila kitu basi hata vita havina maana kabisaa
Big up guys, you're doing a great job. God bless you all🔥🔥🌹
Pamoja sana wakuu nawakubali sana
Dj sma ni mpuuzi. Ameegemea zaidi kwenye udini
Wewe Acha Uchoko Udini Upi DJ Smaa Anauleta Mpumbavu Wewe
@@iddykivu050 Anaegemea kwenye uislam zaidi na chuki dhidi ya Israel, halafu anasema yeye ni mtu wa facts wakati analeta hisia za udini kuliko uhalisia
Mko vizuri masubi unamaono ya logic and fact
You guys mmeulisha sana ubongo wangu
Kutokana na tension iliyopo na matokeo baada ya kulipiza kisasi, ikiwa Iran itashambulia kweli lazima itakuwa inafanya mandalizi ya kuweka ulinzi wa kutosha. Ukikimbiza mwizi lazima ukumbuke kufunga mlango. Ila ukimya wake unawaumiza vichwa madui zake kupita hata Hilo lipizi linalotarajiwa.
Wachambuzi Hongereni sana kazi nzuri
Smaa na Henry na ally mnafanya vema sana mna facts sana allah awazidishie illmu tufaidike
Dj Smat na kikosi chako ❤❤❤
Fact dj Sma
Dj smaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa we love you bro pia wana sns nawakubari woteeeee
Mpo vzr mabrother
Henry nakubali kazi
Big up sana SNS
Shukra sana henry, kwa kutoa madin ya kutosha yan leo nimekua nikikuelwa sna maelezo ya unakipaji kikubwa cha kuunganisha matukio, Nakuombea sna kwa mungu ue muisalam inshalla
Nimejifunza tena kwamba uwongozi ni busala uvumilivu kutumia akili zaidi kuliko hisia kujishusha wakati mwingine nakujishusha sio ujinga unafanya ivyo Ili mambo yaende wakati mwingine..usitumie Sana nguvu, hekma,nakumtegemea mungu Sana Ili safari yako ya uwongozi or whatever ufike salama...Asante kaka Henry Kwa uchambuzi wako Yani naelewa mpaka naelewa tena Yan nazid kujifunza guys apo kwenye mdahalo uwo wa gps Wala sijutii bando langu kiukwel mana najifunza mengi Sana..na uwongozi sio mpaka uongoze nchi or majimbo noo..uwongozi nikujiongoza wewe kwanza vizur Kwakumuomba mungu nakumtegemea yeye na kuongoza na wengine pia..Yan kama dereva tu unaendesha Gali moja lakin unaendesha na watu wanaokuzunguka kwenye iyo njia...
Kaka Henry umepiga kwenye mshono...Yan inabidi tumuombe mungu kwakwel Ili atusaidie kwakwel Yan mada ninzur Sana ...Yan mungu nikila kitu inabidi tumuombe na kumtegea yeye
...mana hali itakuwa mbaya Sana kama ikitokea vita mungu atunusuru kiukwer...mana Leo mmechambua vizur Sana kwakuanguka Kwa uchumi mana madhara yatakuwa makubwa Sana kiuchumi kiukwer...kaka herny apo Kwa mungu na dj smaa na Ali apo mmepiga kwenye mshono...inabidi tumrudie mungu atupe maarifa na muongozo😭😭,,hali ni mbaya Sana yakidunia kwakwel..binadam tuache madhambi ya ufisadi na dhurma ni mbaya Sana Kwa mungu..mungu tuswamehe na utuongoze kwakwel ...
Habari Mzur Sana.
Dj asma anajua mpaka kero🎉🎉
Unapewa kidonge bila maji ya kumezea😂🙌
Sma kabarikiwa sana uelewa,nadhani ni kwasababu pia ana juhudi za kujifunza
Hakuna mchambuz hapo udini umemkaa Sana tena habaranc story nitakataka kama wengine mchambuz orgnl haonesh dalili za kuwa upande
@@AlexGwiha maoni yako ninayaheshimu kaka.
Ila SNS tumebarikiwa Dj asma
@@AlexGwihamstaharabu Huwa anacoment kistaharabu, dj sma Naye nibinadamu hawezi kuwa perfect Moja kwamoja so kama Kuna madhaifu eleza kwa njia yakumjenga, ila kwa namna ulivyoeleza kwanza unaonekana siyo mstaharabu, pili una lako moyoni inawezekana wivu, chuki or whatever, unamuitaje mwenzako takataka?
Wew ndy mdini sasa@@AlexGwiha
Amin yaarab
Akili ya dj smaa ni open mind ipo tayar kujifunza but tatizo ni elim yake ya dini, elim ya dini inakufunga akili usijifunze kitu nje ya dini yako😢😢mim ni mkristu but najifunza kwenye quran na kujifunza mungu nje ya vitabu
Sma na Henry huwa mnaufikishaji flan amazing same goes to Ally!!
Leo masubi katisha hongera
Henry Mwinuka 🎉🎉🎉🎉🎉
Iran nuwatu wa mahesabu Hawa pigi tu Mimi natamani wapige lakini naunga mkono wanachopanga hata ikiwa kwa kuacha kupiga Ili tufikie malengo mazuri zaidi
Ongeyeni .. Iran muwoga… uwezo wake mdogo sana. Israel ataendelea kumaliza viongozi wao..
Sns for better life 🙏💪💪
Pakej yangu pendwa kabisa hii adi nimekua mchambuz wamtaani kupitia nyinyi Allah awape elim nahekma zaidiiiiii
ukweli ni kuwa iran ikjaribu kufanya retaliation itakutana na kisago kibaya mno.. na huwenda uchumi wake ukaharibiwa vibaya sana.. na huo ndio ukweli..ila sio kama hao wachambuzi wanavyochambua.. nguvu walioipeleka marekani kisiwa cha cypras ni kubwa mno..
Nikwl u.s.a anajua atakacho kifanya baada ya hapo Irani lazima athink be4.
DJ Smaa, Nahisi Uchovu na Usingizi.
Umeongea point Sana Oscar Oscar
Mko vizuri ila DJ SMAAA NI FUNDI SANA WAKUELEWESHA MAMBO
Congole sana pia kwa Smaa na Mwinuka.
Iran amna kitu. Iran ni mke wa Israel…
💯💯💯💯💯💯
MUNGU BARIKI ISRAEL MILELE DAIMA
Mung Awezikuwabarikiwauaji
Inajua moto wa Israel
IwemotoaubaridiJina Allahlitabakikuwajuu
Watasua sua hata milele Mungu anapindua mawazo
Nipo hapa
Ivi kwann siku Moja mkaingia kidini kidogo maana dj smaa Alisha tuahidi akasema Iko siku mtaingia kidini Zaid .
Embu kaeni mtupe madini bana 😮 hivi vitu hatuvipati sehem ingine zaidi ya SNS
Ali Masubi ni Geneous sana Jamaa nilikuwa sijamuelewa mwanzo ila sasa jamaa nampa nyota zote
Na ndugu yangu MCHUNGAJI NASHUKURI UMESEMA UKWELI KBS dogo huyo wa upande wakulia kwangu ninae angalia hii vdeo BIG UP
Siku za mwisho huwezi zijua kama hujasoma alichosema mtume Muhammad s.a.w
Kaka Masubi marekan Uk israeli ufaransa nk ndio wanaoharibu Dunia kubar ukataeee
ESMA IKO KIIUSLAM SNA, lakin wengine wana state Facts na reality❤
Sasa Uislamu wa Smaa ni Nini Embu Tufahamishe
@@iddykivu050 ww jina lako nimeshanambia kwanini huoni anachokifanya
Niliwai kusema hiyo kama anavyo sema Henry apo kuwa kuna Taifa Dogo litaliangusha Taifa kubwa
Hawajamaa niwaongo sana eti wa Iran hawaogopi kufa ...analysis zenu ni zawongo kwa uhakika Iran inaihogopa Israel wanajua nguvu za Israel nikubwa kuliko zao
Tuambie wewe hata Israel inaelewa iran washaandaa mahandaki na tochi ya makopo ya mkojo
Ndiyo ata kwa dini ya kisilamu ilo jambo lipo ndilo anatumia wote magaidi
Mbonaawawezikupiganausokwausompakandege
Mko poa sanaaa wana, DJ smaaa plus henry madini sanaaa aiseee , ally mgodi sana pia shida huwa anapanic tu akiweka na smaaaaa
Hizi ni cku za mwisho, watu mrudieni, MUNGU wa kweli
DJ sma wewe ukikosekanaga huwa najiisi vibaya saana maana huwa unakuwaga na utulivu kwa kuongea point 👉
Henry umeongeza point z ukweli
Putin anafahamu kbs mmarekani akitaka kumla nyama ni sekunde tu. Anajaribu kuwa fair au anatishia nyau kwa zelensky ila hawezi kumchokoza mmarekani
Mmarekan pia hilo analijua fika kua Russia akiamua ni dakika
MbabeFirauniyukowapi
Leo naona mna mkumbusha ao mna wakumbusha wana CCM Allahmudulillah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🙏🙏
Nimeongeza points kadhaa kwa msemaji wa pili dhidi ya wakwanza...
Mkitaka Mungu atume malaika Gabriel aifute iran ajaribu
Malaika Gabriel kwa taifa la LGBTQ 🌈😂😂😂think about it
inge kuwa Mungu ana penda ushoga basi watu wa Sodoma na Gomoro wa singe angamizwa, Sasa inakuwaje Mungu apende uchafu wa zioni😂😂😂😂😂
Mungu yupi au wawa indi kwa utukufu gani Dunia ya sasa ashuke Malaika Gabriel wew unajua malaika Gabriel kma mjumbe wa nyumba 10, 10 majews they don't believe presence of God useme tena Mungu amtume Gabriel afrika tuwe tunasoma tuache kumezeshwa ujinga .
We na mungu wako wa Israel mnafirwa
@@AFRICA_D669😂😂😂😂😂😂
Mnapenda kumtete Iran na Urusi kwakila hali
GPS. Global position sisteme
Kwa mtazamo wangu Irani hawezi shambulia moja kwa moja ila atatumia hezbula . Kwani urus yuko bize na ukraine
Mwinuka, hongera wewe na timu Yako,kiukweli nakosa tu mda wa kuandika comment za ngu!! Lkn nikitulia nitachambua.
Dj Smaa kafurahi sababu uyo mkiristo anajua yesu sio mungu nimeona anatingisha kichwa bana mungu atuongoze na zama izi za mwisho
Ali anujua sana mahana ya habari na uchambuz hongelea ktu hambacho kipo siyo unacho kipenda
Sky ebu siku walete wachokoz apo wana akil sana wale jamaa please mekuombaa tu bro
Kuwait
Yani hapa wachambuzi wote aly hanaweza zaid mbaka sasa sjajua hanaegeme upandegan kanyoka kalula uyo hanajua nini mahana ya habari sounaz unazi hambao hahuna mahana
Ally anajua sana kiuchambuzi maana anasimama katikati sana mwa habari.
1:14:20
Masubi on fire
Dj sma na wenzio bible inatabili anguko la urusi inauma sana lakini😢
Ukweli ni Mungu hamjaribu mtu ama kumpa mtihani….
Dj smaa nimdini akuna mchambusi apo
Hii scenario waitengenezee series
Kuhusu prophecy zipo n zinatokea kwa stage n kikanda ila msiseme cc huku n cc huku hapana mumgu ni mmoja. Na anajua anacho waambia manabii wake. Kwa wanaoamini mungu wa kweli prophecy ni hizo hizo zinafanana tatizo ni ufahamu au ubinafsi wa watu..
Endeleeni kujidanganya hapo studio na uchambuzi wenu wa upande mmoja Mungu atawashangaza soon
Hujitambui wewe kila kitu kimewekwa wazi hapo hapana dini , ni kwa sababu umeona smaa akitoa maandiko ya Quran kidogo na kutafsiri. Jiroho lakusokota mbona hata maandishi ya bibilia yametolewa hapo?Bila shaka unaumwa.
Haya mambo ambayo leo tunayaongelea,yalishasemwa kwenye kitabu cha "the clash of civilizations" by Samuel P Huntington
SO SAD
Hamkuwahi kuwa na kipindi kby lkn kwangu mm leo kama kungekuwa na malipo bx mm leo nigefilisika kbx yaleo ipo safii kbx niwapecongero
Henry Kissinger Alishakufa Kitambo at Age 100
Israel inawangojea hata wachukue Mwaka mmoja... wembe ni ule ule.... ukweli ni kuwa vita vikali vinakuja kati ya Iran na Israel pamoja na Lebanon pia.. lakini mshindi anajulikana tayari.... Iran pamoja na Lebanon watafanyiwa kitendo ambacho dunia nzima itabaki kukumbuka.. na itajulikana kuwa MUNGU wa Israeli ndiye MUNGU wa Majeshi
Achakumsingizia, Munguumemsoma Firauninaubabewakekaishia kuangamia
Dalili zilizotajwa mataifa makubwa yataangushwa hiyo ndio yenye uhakika