Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hello guys. Naombeni mkaangalie interview ya wasafi weekend refresh jamaa kajikanyaga baadhi ya maneno aliowajibu maswali yenu na hapo ndipo mtajua kuwa ni mbabaishaji. 💯%
Binti huyo ana miaka 17 ndio katimiza hivo juzi birthday yake isitoshe nyie mmepewa miaka tofauti na waliopewa wasafi media sasa mujiulize mume hajui umri wa mkewe? Ndo mpate kufahamu katika maneno anayoongea 99.09 uongo
Huyu kaka muongo had kero kama kungekua na mashindano ya uongo, au ungobya angekua Champion, mwanaume wa hivi balaa tupu, wanawake tujifunze hapa tusiingie mkenge, hivi hachoki kuoa!??? Doh!
Diva na yeye aolewe ....mwanzo kama sisahawu na yeye alikuwa nasema ataolewa wenye kumfata ni wengi nihatari basi mwenzake kamtanguliya nishida aya mapenzi ya izi siku nimtihani.
Umaarufu. Alikuwa nao before. Ya kujulikana na diva umaarufu wakee. Shekh ABDULL. Ndio ulomfanya diva kumjuwa. So. MAMA ANGALIE VYAKUTOSHA SHEKH ABDULL
KUNGWI 12 ARE A PRESIDENT OF TANAZANIYA!"? KUNAWISHA MIKONO MUME NI CULTURES THE WAZEE WETU HIZO! ZAMANI MLIKUWA HAMNA TAPE WATER IN DINNING ONLY THEY USE POT TO PUT WATER N LET MEN WASH THE HANDS.
TOO MUCH LAGHAY THIS ABDULL RAZAQ! TOO MUCH ROGY N SNEACKY MAN N MAJESIFU MAN N PROUD MAN"! HE HAS TOO MUCH EGO"! IN HIS HEART"! HE IS TOO PROUD N KUJIDAI!"
Mimi ata umuowe nani aijalishi ila nampenda sana diva napiya diva ndiye aliyekuwangaza kwenye dunia usinge julikana sana ivyo bila diva mueshimu sana tena sana diva mbona kabla yakuwa nadiva mbona ulikuwa aujulikani sana ivyo wanaume wengine bwana awana ata shukurani jamani
@@SalhaMwampagatwa WANAUME WENGINE HATA UWAFANYIE WEMA WA AINA GANI! ATAZUNGUKA AKUFANYIE MABAYA NA MAOVU TUU"! UTAMSHUGHULIKIA UM DEVELOPES NA BAADAE AKISHAKUWA NA KIPATO NDIO ANAKUGEUKA ANAKUWA ADUWI YAKE WEWE ULOMFANYA ALAWA ANA UWEZO NA AKAWA MAARUFU!😫😩😢!
BUT FROM THE FIRST WIFE TO SECOND WIFE N THIS IS THE THIRD WIFE! JUST U GOT MARRIED WITH HER"! U NEED TO STAY WITH HER! N THEN IT WILL SHOW WHO U ARE" AFTER ALL"!
Inaskitisha kuona mwanaume anakaa kujisifia ana hela ngapi na alivokua mnene ki pesa ndo maana akina elon musk, zuckerberg , cristiano ni ma tajiri coz wana focus on wanachokifanya ili watu wawasemee utajiri wao sio huyu mwanaume alobaki kuvaa skirt tuu, kama ww ni bingwa unavojisema kwnn unaishi nyumba ya kodi? Ushanichosha na your brags
Mtoto mdogo 😂😂😂divaaa afaaaa hukooo alikooo😂😂 kweli mange aaminiwe alisema mke wa abdull mjamzito 😂😂nyie mnao msifia abdull mzur labda uzur ni wa hiyo rangi tu 😂kwa hiyo kwao na mke wakat ataka kuolewa hakupelekwa kwa kungwi 😳😳mpka atafutiwe makungwi na mumewe? 🙄🙄
HIS COAT COLLER" DIDNT STALLE VERY GOOD" ITS BEND IT BOTH SIDE" IF!? THE WIFE WHO PUT THE COAT ON HIS BODY WHY!? SHE DIDNT SATLE THE 2 COLERS THE WAY IT HAS TO BE WITH IN PROPER WAY"
Mmm! Huyu kusema tu hodarii! Na kusifia. Ila ana mrusha Roho Diva! Mpuuzi hapo ulipo ninkwa ajili ya Diva nani alikuwa anakujuwa wewe? Acha kashfa na na zaa
ni kwei usiku bai kuudi nyuma kitu kingine weye ni mwanaume hata ukiowa wanawake miya hakuna shidi shida 2 niheshima weye ni mwanaume na utabaki kuwa mwanaume sheiya ya dini inasema itafikiya siku wanawake miya wanahitaji wawe na mwanamume umoja ila waitwe ni wake wamtu pole sana kaka umezaiishwa sana
Kumbe pesa unayo!! Kwa dida kila siku unalelewa. Na mara hii wakwe umewapata. Wanajua kutumia fursa. Na hawapotezi muda. Na hawataki mchezo. Halafu hako ka mkewe mbona km kajeuri flani? Mume hayuko romantic. Eti mke!!! Sio mke wangu😅😅😅 ticha wa mahaba huyo? Na bibie hawezi kusema haloo mume wangu!! 😅
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hello guys. Naombeni mkaangalie interview ya wasafi weekend refresh jamaa kajikanyaga baadhi ya maneno aliowajibu maswali yenu na hapo ndipo mtajua kuwa ni mbabaishaji. 💯%
Kuna kauli kasema hazini wala hana mchepuko naombeni muishi na hizo kauli maana soon kuna boom linakuja. Na huyo binti sio mixture chunguzeni vizuri.
Binti huyo ana miaka 17 ndio katimiza hivo juzi birthday yake isitoshe nyie mmepewa miaka tofauti na waliopewa wasafi media sasa mujiulize mume hajui umri wa mkewe? Ndo mpate kufahamu katika maneno anayoongea 99.09 uongo
Tujifunze kuombeana memaa Mimi naiombea hii ndoa khery inshallah.hasbunallah wanikmal wakeel 🤲🤲
Ht mimi nalikubali sana.
Huyu kaka muongo had kero kama kungekua na mashindano ya uongo, au ungobya angekua Champion, mwanaume wa hivi balaa tupu, wanawake tujifunze hapa tusiingie mkenge, hivi hachoki kuoa!??? Doh!
Dada mtangazaji maisha yako hujawahi kuona wanaume wazuri dar nn huyo anauzuri gani wa kusema mzuri. Tusimkufuru allah
Hivi mwanaume mweupe mwenye masifa nae anaitwa handsome
Shangaa na wewe shoga angu 😂😂😂 mzuri wa nyoko
ndio ni mzuri acha wivu
Uko wapi huo uzuri 🤔🤔🤔@@MwajSibonja-t5o
Umepata jina kwa ajiri ya diva akuna ambaye alikuwa anakujua muombe mungu diva akusamehe la sivyo mungu atakulipa
Inaonekana hajamov on bado anampenda diva...na inaonyesha anamrusha roho diva ndomana anafanya ivyo.. inaonyesha anamtumia uyo dada kwakumuumizia diva
@@jamilaathumani5481 yaani hilo nihakika sio unamjua misifa
Yani niwe na mtto mrito kama uyo bado nikikumbuke kizee cha akazi gan
Diva na yeye aolewe ....mwanzo kama sisahawu na yeye alikuwa nasema ataolewa wenye kumfata ni wengi nihatari basi mwenzake kamtanguliya nishida aya mapenzi ya izi siku nimtihani.
Kabsa😂😂😂😂
Mapema sana kusema ndugu zako wanampenda na alokupa umaarufu mshukuru sana diva.
Umaarufu. Alikuwa nao before. Ya kujulikana na diva umaarufu wakee. Shekh ABDULL. Ndio ulomfanya diva kumjuwa. So. MAMA ANGALIE VYAKUTOSHA SHEKH ABDULL
Kusema kweli sijawahi kuona limbukeni kama huyu mm.
ITS TRUE😅😂😂🤣😅 TOO MUCH LIMBUKENI HUYU"
KAMA ANAJUWA KILA KITU" KWANINI UKAMRUDISHA"?!
KUNGWI 12 ARE A PRESIDENT OF TANAZANIYA!"? KUNAWISHA MIKONO MUME NI CULTURES THE WAZEE WETU HIZO! ZAMANI MLIKUWA HAMNA TAPE WATER IN DINNING ONLY THEY USE POT TO PUT WATER N LET MEN WASH THE HANDS.
Simpendi huyu baba jmn na nashangaa sn wanawake wanaona matukio yake kila siku Ila bado wakitokewa tu nahuyu baba hawakatai cjui kwann lkn naumia sn
Ni mganga huyo anawaroga aiseee
TOO MUCH LAGHAY THIS ABDULL RAZAQ! TOO MUCH ROGY N SNEACKY MAN N MAJESIFU MAN N PROUD MAN"! HE HAS TOO MUCH EGO"! IN HIS HEART"! HE IS TOO PROUD N KUJIDAI!"
LOVE IS BLIDE NEVER GOES BEHIND!
Sasa sie age go hatuna mbwembwe kwendraaaaaaa
Utakuja hapahapa utasema sasa bado
Diva wangu❤❤❤❤❤nakupenda
Yan nasoma comment nacheka sana😆😆😆😆watu wanavoponda et jamaa ana uzuri gan jmn achen makasirikobona Jamaa Bonge la HB mm mwenyewe namtaman balaa😘😘😘😘
😂😂😂 binasi simpendi huyo Kaka wallah mung anisamehehe t nihizi Tabia zake t
Jamani huyu kaka nimshenzi Jaman hana adabu hata kidogo Jamani 😢😢😢udhalilishaji huu😢😢 mambo yandani mtandaon
Mimi ata umuowe nani aijalishi ila nampenda sana diva napiya diva ndiye aliyekuwangaza kwenye dunia usinge julikana sana ivyo bila diva mueshimu sana tena sana diva mbona kabla yakuwa nadiva mbona ulikuwa aujulikani sana ivyo wanaume wengine bwana awana ata shukurani jamani
@@SalhaMwampagatwa WANAUME WENGINE HATA UWAFANYIE WEMA WA AINA GANI! ATAZUNGUKA AKUFANYIE MABAYA NA MAOVU TUU"! UTAMSHUGHULIKIA UM DEVELOPES NA BAADAE AKISHAKUWA NA KIPATO NDIO ANAKUGEUKA ANAKUWA ADUWI YAKE WEWE ULOMFANYA ALAWA ANA UWEZO NA AKAWA MAARUFU!😫😩😢!
Sio mbaya coz watu wengine wanaletwa kwenye maisha ya wengine kama daraja la kuvuka kuelekea ng'ambo ya mto 😂😂😂
Wambie mashalah mashalah mashalah usipigwe kijicho bule.. mwambie mashalah
Wewe hata ungekuja na matrilioni nisingekuozesha mwanangu, mwanamme mnyanyasaji unaongea ya mkeo na familia yake mtandaoni hufai hata kidogo
Kweli hata mimi ninavyomuona huyu kaka sio wale wanaume wanajua kupambana kama tapeli fulani hivi
Kweli kabisa ila wanaomuozesha hwaoni 😂
God will show you
Hana dada uyoo blessing
Huyu ni malaya km malaya wengine
Shida sio Kuoa kukanao SASA ndo kipengele
Mzee wa misifa tuko apa tunasubiria sio wakwanza huyo😂 ila ukitaka awe bora ujue kumuheshimu lasiivyo kutakuramba wambea tuko apa😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂 tunasubiria litakavo mramba😂😂😂
😂😂😂😂
Wewe ni shoo off ni mjinga sijawai kusikia
Inal ahdi kana masuula,tunakuombea heri ila kumbuka unaloliahidi kumbuka hawo ni mabinti wa watu na we unawako watachezewa,watatumiwa pia
🫣🫣🫣Poleeeee Divaaaaa yatapitaaaa nasi Twasubiri Diva Alete mzungu wake tumuoneeeee📢📢📢📢🗣️🗣️
Ni kweli anasauti ya kiume
Sema kila Kitu mtandaoni , mengine muwe mnaweka akiba mioyoni
Baba muongeaji huyu hapana👐😂
😅😅😅
Chumvi kwa wingi Jamaa noma🤣🤣
Hongera sana kaka angu kupata make sahii
Kabisa
Safiiiii hongeraaa sanaaaa 👏👏👏👏👏🤝💯💯💯💯💯🥳🥳🥳
Ukimwacha huyu bint Mungu atakuchukua.
Jamaniiiiii 😜
REMEMBER U R A MUSLIM MAN! N GOD IS WATCHING U FOR ALL THOSE U DID N DO IT!
We jamaaa mvumilivu sana honger
Safi sana
HE HAS EGO N HE IS PROUD! BUT HE HAS KIND HEART❤ N CHARMING PERSON"! N NICE"
That ego now 😂😂😂
Mmmhh😂😂😂
Wake zake wote mafashonisti 😂😂😂😂 haya hongera mzee baba 😂😂😂😂 diva lete mzunguuu
😅😅😅
HE IS CHAKRAM BUT HE HAS NICE N GOOD HEART❤"
Hongera sana mabinti wa sasa wengi ndio tatizo lkn baadhi wako vizuri wanamuogopa allha
Anavyo jichekesha ovyo chefuuuu😏😏😏😏😏
Watu wanashindwa kutofautisha shekhe namganga huyu mganga
Huja move on 😅
HONGERA KAKA MUNGU AKUJALIYE 🙏🙏🙏
Bado mapema usimalize maneno 😅😅😅
Hongera zake
Upumbavu tu hamna vitu vya maana
Ni mapema sana kusifia kihivo mbona hata Yule ulimpa masifa? Muombe Mungu hawachelewi kubadilika Hawa wanawake
Huyu ni Mr misifa aliyempa chati ni Diva ila kamsahau huyu mkosa hisani
Kifupi huyu ni mnyanyasaji wa wanawake mshenzi huyu
@52:38 mins kweli ww tapeli tu unasema mambo yako ya pesa hupendi kuyaweka mtandaoni so hapo umefanyaje ? Huna lolote tapeli tu
Nampenda jamaa. Anajiamini namkubali sana.
Hongera kwa kupata wife Allah awabariki
Ila haya mambo ya mitandao yatakukosti baadae alafu mtowe sababu
hongera sana kaka
Hamna mume hapo😏
Ana uzuri gani acha kumpa kichwaa
Iwe wa mwisho Sasa bint mdogohuyo jaribu kuthamini wanawake na kuwastii pia
Mwanaume wa hiv kah kah😂😂😂diva hanaumia sema Bs tu
Ww unaitwa mume hebu bs be a gentlemen 39:01
Huyo Abdul ana miaka 45
Kaxiipo tutasikia mengi tu
Tuombeane afya tuone mengi dyadya
Mbona ile interview ya wasafi ulisema ana miaka 21 asa hapa unasema 20 tueleweje
Mmmmm
Mhhhh mbona km sikuamini vzr ktk hayo mazungumzo yako
Huyu anavituko wallah
Anashika sisawa kusema ANASHIKAGA saidia kuenzi kiswahili sanifu
Radhi za sabrina zinamtesa. Anawasimbulia wakwe, eti nawakodia sehemu nzuri. Dharau hizo. Ilikua usitamke hapo
💯💯Kweli akamuombe msamaha
BUT FROM THE FIRST WIFE TO SECOND WIFE N THIS IS THE THIRD WIFE! JUST U GOT MARRIED WITH HER"! U NEED TO STAY WITH HER! N THEN IT WILL SHOW WHO U ARE" AFTER ALL"!
She is not the third or tenth wife ....this guy has a list of women he married and divorced
Kumbe Kuna wanaume wenye sifa hivi🙄 utazan mwanamke🤣🤣
Hovyo kabisaa😂😂😂
MR MISIFA
MHM HAPA MUME DIVA HAKUNA BORA UMEMUACHA.MUNGU ATAKUPA MUME MWENYE KHERI NA WW
Huyu nae Mr misifa tuu
Sura
Ninamhurumia sana huyu binti mdogo generation Z jameni. Atawezana kweli na huyu mganga na historia yake ya wanawake??
Kweli huyu ni wa kawaida hana uzuri wowote
Nyie tunaoish na waarab like hawan hat izo mbwembwe😂😂😂😂
Si umesema anavaa ushungi? Sasa wanamshangaa nini?
Masifa tu ww mtoto wa matejoo arusha woooiiii
Kumbe huyu ni wa Arusha?
Hahaha noma sana aiseee
TAMTUMILIYA KAMA HAJI MANARA ALIVOMTUMIYA YULE MKE WA MWISHO NA SIFA ZILIKUWA NYINGI ZANA AT THE END WAMEWACHANA.😢
Mimi mwanaume wa hivi apite kushoto sifa nyingi 😅
Hata kama ila hamuuingii mkeo
KAKA MUKE AMBAYE UTAMUPANGIYE MAISHA KAKA HONGERA 💯
Huyo jamaa akianza kumpenda mtu na mpaka akimpata kumuoa ni kumsifia tuuu na wakiachana ni mtihani.
Mfyuu
Nikweli mwanaume hawezi kusifiwa mzuri mwanaume riyajal
Huyo mama MTU mzima naev mtangazaji
Inaskitisha kuona mwanaume anakaa kujisifia ana hela ngapi na alivokua mnene ki pesa ndo maana akina elon musk, zuckerberg , cristiano ni ma tajiri coz wana focus on wanachokifanya ili watu wawasemee utajiri wao sio huyu mwanaume alobaki kuvaa skirt tuu, kama ww ni bingwa unavojisema kwnn unaishi nyumba ya kodi? Ushanichosha na your brags
Mtoto mdogo 😂😂😂divaaa afaaaa hukooo alikooo😂😂 kweli mange aaminiwe alisema mke wa abdull mjamzito 😂😂nyie mnao msifia abdull mzur labda uzur ni wa hiyo rangi tu 😂kwa hiyo kwao na mke wakat ataka kuolewa hakupelekwa kwa kungwi 😳😳mpka atafutiwe makungwi na mumewe? 🙄🙄
Jaman lipstick tena au mi ndo sijaskia😂😂😂😂
nilikua naitafuta hii comment, lipstick joined gafla😂😂😂
HIS COAT COLLER" DIDNT STALLE VERY GOOD" ITS BEND IT BOTH SIDE" IF!? THE WIFE WHO PUT THE COAT ON HIS BODY WHY!? SHE DIDNT SATLE THE 2 COLERS THE WAY IT HAS TO BE WITH IN PROPER WAY"
Mm nakuombea tu ubadilike kweli ili uwafumbee midomo
KWANINI MNAIRUDISHA HII INTERVIEW!? U DIDNT SHOW THAT SUNDAY U WENT TO HIS HOUSE!?? OR WHAT!? I FORGOT THE DAY!
Unamjaza tu
Mmm! Huyu kusema tu hodarii! Na kusifia. Ila ana mrusha Roho Diva! Mpuuzi hapo ulipo ninkwa ajili ya Diva nani alikuwa anakujuwa wewe? Acha kashfa na na zaa
ni kwei usiku bai kuudi nyuma kitu kingine weye ni mwanaume hata ukiowa wanawake miya hakuna shidi shida 2 niheshima weye ni mwanaume na utabaki kuwa mwanaume sheiya ya dini inasema itafikiya siku wanawake miya wanahitaji wawe na mwanamume umoja ila waitwe ni wake wamtu pole sana kaka umezaiishwa sana
Huyu mtoto naona hata kuoga nakuvaa hajui na abdul ndo anapenda hatoomba pesa wala nguo wala kiatu kupika na kusafisha nyumba huna kutoka
Kumbe pesa unayo!! Kwa dida kila siku unalelewa. Na mara hii wakwe umewapata. Wanajua kutumia fursa. Na hawapotezi muda. Na hawataki mchezo. Halafu hako ka mkewe mbona km kajeuri flani? Mume hayuko romantic. Eti mke!!! Sio mke wangu😅😅😅 ticha wa mahaba huyo? Na bibie hawezi kusema haloo mume wangu!! 😅
Maswali ya kimavi sana
Yaani kama familia ya huyo binti ndo imemshawishi ili aolewe na wewe basi hiyo familia nzima ni wehu hawana akili.
Huyu jamaa ni muongo na misifa mingi
Ashinde wapi Mr hndsom na hiyo minjino 😅😅
Unamsifia sana na ndio mwanzo 😂😂😂hata wengine umekua nao uliwasafu na saa hii nliacha..
Nyie ndo mnampa kichwa et handsome huyu uso mref kama bas
Huyu kaka ni muongo jamani yaani yule bint asiejua hata kuoga kawa mwana mitindo lini
Hahaha nimecheka kama mazuri.looo
😂😂😂binti kitamlamba sanaa
😅😅
Tena eti Ana drive mwenyewe had arusha kuona wazaxi khaaaa