PST TONY AVUNJA UKIMYA JUU YAKE NA NIFFER |MKE WANGU ALIKUEPO WAKATI NIKO NA NIFFER, MUNGU ANIADHIBU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 281

  • @sweeper9524
    @sweeper9524 2 місяці тому +14

    Asee,,kama Hekima ni vazi..basi limekufit vizuri pastor,,hayo maneno tu uliyoyasema ni hekima ya Hali ya juu..Be blessed so much

  • @SelpherAkala-ue2fr
    @SelpherAkala-ue2fr Місяць тому +1

    Mungu akuinue zaidi pst tunakupenda, kupitia kwako nasikia sauti ya Mungu.

  • @CharlesBett-jg5xj
    @CharlesBett-jg5xj Місяць тому

    I am Victor Osborn from Nakuru-Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪napenda pastor Tony sana, ni Baba wangu wa Kiroho na sipendi umbea Mwache Baba aenese upendo wa Mungu

  • @GloriousMshingwe
    @GloriousMshingwe 2 місяці тому +7

    Pastor Tonny MUNGU wetu ni mkuu sana....ipo sababu maalumu yawewe kuwepo Duniani.....ipo sababu ya wao kuzungumza juu yako kwa jinsi waonavyo......Umechaguliwa wewe ni wa kipekee sanaaa.....Acha waseme wamepewa vinywa na aliyekupa wewe kibali....MUNGU na akuwekeee mpaka kusudi lake litimieee ishi sana mtumishi ❤❤❤

  • @lucymsalila2436
    @lucymsalila2436 2 місяці тому +15

    The Best Pastor of this last dispensation especially kwa vijana ❤

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 2 місяці тому +28

    Mtumishi naomba ongea mara nyingi kiswahili,siyo wote tunajua English,nakupenda MUNGU aendelee kukusimamia, asante

    • @romanilyimo
      @romanilyimo Місяць тому

      Umesema kweli uzungu mwingi ata kama unata kusikia ujumbe wa neno la Mungu kupita Kwake unashindwa sio vzr kabisa anavyofanya kwa kweli.

    • @rhodasamwel2485
      @rhodasamwel2485 Місяць тому

      Kabisa, tunampenda ila tunapata tabu sana 😂😂😂

  • @salomemwamwaja1841
    @salomemwamwaja1841 2 місяці тому +8

    Mungu alivyo wa ajabu Mungu kainyamazisha kimya kimya kabisa na iwe ivyo milele wanapenda sana kuchafua watu wa MUNGU

  • @eliafileakyoo9972
    @eliafileakyoo9972 2 місяці тому +27

    Hizi hekima zinapatikana kwa Yesu tu❤

  • @neemamgowole5227
    @neemamgowole5227 2 місяці тому +20

    We don't care pastor.. Unayonifundisha naelewa na yananisaidia that's enough maisha yako mengine ni wewe na Mungu wako.. Keep teaching us pastor wazidi kutushangaa.. From 🇬🇧

  • @ChristinaAbraham-i6u
    @ChristinaAbraham-i6u 2 місяці тому +5

    Mungu akutie nguvu na ujasiri pastor wetu

  • @GodfreyMhela
    @GodfreyMhela 2 місяці тому +3

    YESU AMESHINDA!!!
    I LOVE JESUS####I LOVE PT

  • @GraceofGodTelevision
    @GraceofGodTelevision 2 місяці тому +10

    Pole sana Dady, najua jinsi unavyojisikia, najua maumivu hayo, neno langu kwako, Songa mbele ewe shujaa, Mungu yupo pamoja na wewe, achana na walioshindwa nenda na walioshinda.

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 2 місяці тому +1

      Hivi vidada vimalaya vinawaita mapastor dady😂😂

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 2 місяці тому

      ​@@lulanjamd3886vinakera😐

  • @Eshy-m9o
    @Eshy-m9o 2 місяці тому +1

    Mungu akubariki Pastor kwa kutopoteza muda na hao wa dunia hii nimependa ulivyosolve ni hekima ya Mungu peke yake ndio iko hivyo na kupitia hii nimemwona Mungu kupitia huduma yako aliyokupa Mungu. God bless you Pastor

  • @salomemrembo7482
    @salomemrembo7482 2 місяці тому +5

    Washindwe katika jina la yesu. Wacha mungu Hawafunge midomo milele..mungu hawape show!!!

  • @claraMilanzi-xe5bt
    @claraMilanzi-xe5bt 2 місяці тому +63

    Bora umuhubir Yesu....😊 me nampenda sana Mwl. Mwakasege mambo kama hayo huwa hana mda wa kuyajibu

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 2 місяці тому +3

      Kabisa kabisa. Mwakasege anamjua Yesu

    • @gwamakamwasongwe8053
      @gwamakamwasongwe8053 2 місяці тому +4

      Vita sio vyake ni vya Bwana Efeso 6

    • @agapemahenge7731
      @agapemahenge7731 2 місяці тому +4

      Na sijawah ona kakutwa nayo. Nampenda sana Mwalim Meakasegr na mkewe Diana Mwakasege

    • @olivergwahemtse9930
      @olivergwahemtse9930 2 місяці тому +1

      Kabisa sema kabisa. Sema tena kabisa

    • @anajoycejames5250
      @anajoycejames5250 2 місяці тому +2

      Kabisa hata mm natamani pastor asijibu Kila kitu

  • @LucyLuciana-x5z
    @LucyLuciana-x5z Місяць тому

    Barikiwa sana pastor......tunakupendaaa🥰🥰

  • @mariakabonga2
    @mariakabonga2 2 місяці тому +3

    hapo ndipo mi najivuniaga Yesu umeshinda zaid ya uwazavyo na ujuavyo umemwaibisha shetani na huo ndio msuli wa imani barikiwa, mama tony usivunjike moyo mungu amewapa hiyo huduma lakini kumbuka kuna watu hawaifurahii, kama ilivyokuwa kwa masanja alisimama kiume na simama kumuombea mume wako na MUNGU wa mbinguni asiwaache wala kuwapungukia

  • @leahsamwel1931
    @leahsamwel1931 2 місяці тому +6

    Mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe...Yesu alitukanwa alipigwa mpka kuuwawa kwasababu ya kazi yake njema....the OSBORN's we moveeeeeee❤🎉

  • @NeemaSilayo-g7f
    @NeemaSilayo-g7f 2 місяці тому +1

    Songa mbele Mtumishi wa Mungu, mwangalie huyo aliyekuita na alichokuitia, vita IPO Kwa nafasi Mungu aliyokupa, Si wote watakukubali piga kazi Roho Mtakatifu atawashuhudia ya Mungu Yuko pamoja na wewe. Nakupenda Pastor, nakuelewa...

  • @billionaireoswardkanyala1307
    @billionaireoswardkanyala1307 2 місяці тому +21

    Sasa pastor we mwenyewe unaona kazi unayoifanya afu usiguswe amna itakuwa hujafanya kazi bado ukishakuwa juu lazima ujue unaangaliwa na wengi choxhote unachokifanya kitaonekana kwa ukubwa sana kwasababu uko juu so hayo yanayoendelea Mungu anajua ni saiz yako... songa mbele tu.

  • @bozeydayana4920
    @bozeydayana4920 Місяць тому

    Mmmmmh mungu atuhurumie.🙏

  • @chrissmichaelmashouda1726
    @chrissmichaelmashouda1726 Місяць тому

    God is good, hautatahayarika Sababu Mungu yu pamoja nawe...na wakristo sijui kwanni hua wanapenda kuona anguko la mchungaji yaani,... Mwl Mwakasege amesemwa sana vibaya ila Mungu amekua akimtetea na huduma yake iko strong sana, so na wewe pia utafanikiwa na utakua salama so please ikibidi acha tu hata ukaribu na huyo dada

  • @helicious9402
    @helicious9402 2 місяці тому

    Jesus... Tupe neno Mtumishi w Mungu

  • @MaryLaizer-zy6nm
    @MaryLaizer-zy6nm 2 місяці тому

    Pole sana Mtumishi wa Mungu, Mungu akupe amani moyoni mwako na katika familia yako usimpe adui nafasi kwa sababu unafanya kazi kubwa sana kwahyo lazima adui ainue vita na siku zote mti unaopigwa mawe ni uwe wenye matunda Songa mbele achana na walimwengu

  • @kabobajeanclaudenaftali6608
    @kabobajeanclaudenaftali6608 Місяць тому

    Amen amen amen God Bless you ❤❤❤

  • @ebenezermbena2894
    @ebenezermbena2894 2 місяці тому +2

    GOD BLESS YOU MAN OF GOD HIZI NDIO HEKIMA ZA MBINGUNI...YAANAI NIMEFURAHI ILIVYOJIBU NAJISIKIA RAHA❤

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangali 2 місяці тому +7

    Ur a Really mtoto wa MAJOR ONE💪

    • @eliasdaffie6436
      @eliasdaffie6436 2 місяці тому

      kumbe ni mtoto wa major one

    • @winnieexavery3304
      @winnieexavery3304 2 місяці тому

      Major 1 tena 😮😮😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳 I don’t want to believe this one!

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben7618 2 місяці тому +13

    I'm so proud of pastor Tony a true man of God

  • @MwajumaMwakijolo-b5w
    @MwajumaMwakijolo-b5w 2 місяці тому

    Amen, Mungu akutangulie mtumishi wa Jehova aliyehai

  • @HappinessMasolwa-nm2to
    @HappinessMasolwa-nm2to 2 місяці тому +13

    Tony tony tony pasta achana na mitandao fanya kazi y mungu

  • @ReginaMapunda-v5j
    @ReginaMapunda-v5j Місяць тому

    Mungu akutetee❤❤

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096 2 місяці тому +1

    Kuweni na maarifa watu wa Mungu, sio mnashangilia Tu Kila kitu mwambie I Roho mtakafifu awaongoze

  • @everychildcounts7041
    @everychildcounts7041 2 місяці тому

    You are the hero man of God keep going, hata Yesu mwenyewe walimtupia mawe

  • @EddyMwangwale
    @EddyMwangwale 2 місяці тому +1

    Pastor tony barikiwa zaid

  • @Neema-qm9kk
    @Neema-qm9kk 2 місяці тому +39

    Mtumishi achana na mange.ingia kwenye maombi Mungu atakutetea.mambo ya kusingiziwa huwa yapo tu kuwa mtulivu achana nayo songa mbele .

    • @upendommbaga7070
      @upendommbaga7070 2 місяці тому +2

      Pastor wangu acha kabsa kumuongelea au kuongelea hilo suala maana unampa muda na ushindi... sisi tukaendelee na maombi acha MUNGU ndo atakutetea

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 2 місяці тому

      Aingie kuomba nn saa

    • @Neema-qm9kk
      @Neema-qm9kk 2 місяці тому

      Kwani haufahamu nafasi ya maombi kwa binadamu. Maombi yanatumika ktk kila hali ,kutubu,kuomba uponyaji wa magonjwa, unapitia ktk huzuni au hali yoyote ya kukatisha tamaa ukiomba Mungu anakupa hekima, amani na kisha unavuka. Sasa unauliza maombi ya nini sasa? Unamaanisha nini

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 місяці тому

    Usiwasikilize wanaotaka kukukatitisha tamaa, songa mbele na kazi ya Bwana wetu yesu christo. Atakushindia. Mimi nakushukuru kwa Maombi kutoka ktk madhabahu yako na ministry yako. Unawajibika kwa Mungu na familia yako, na watu unawahubilia . Ubarikiwe na bwana

  • @KatarinaKalisti
    @KatarinaKalisti Місяць тому

    Kabisa lina wadhungu tu nasikia wite nooo, yeeea

  • @olivergwahemtse9930
    @olivergwahemtse9930 2 місяці тому

    Some thing,to advice Mr. Pastor you are a really man of God , wachana na haya mambo , keep pushing ahead. Hasantakabradeshiyata.

  • @elijahsaro6611
    @elijahsaro6611 2 місяці тому +2

    I pray for you man of God haya ni mawimbi ya muovu

  • @MikeseOffice
    @MikeseOffice 2 місяці тому +3

    Let's go sir🤝

  • @ElineWilson-ou8wm
    @ElineWilson-ou8wm 2 місяці тому +2

    Mungu atadili tuu na hawo wanao mchafua mtumishi wa mungu

  • @Peterstanley-p4r
    @Peterstanley-p4r 2 місяці тому

    A true man of GOD..........PT

  • @pastorheri715
    @pastorheri715 2 місяці тому +3

    Pastor, kuna mambo ukijiambatanisha nayo tu, lazima uchafuke. Soma 1 Yohana 2:15 "usiipende dunia na mambo yaliyomo ndani yake". Pole sana

  • @zenamwaisaka
    @zenamwaisaka Місяць тому

    Short but clear

  • @JuliethJapheth-ov3kt
    @JuliethJapheth-ov3kt 2 місяці тому +2

    Naomba uzidi sana mtumishi.

  • @floridasimkonda1779
    @floridasimkonda1779 2 місяці тому

    Piga kazi ya Mungu pst achana na watu wa ulimwenguni hao

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 2 місяці тому

    Malibu mazuri sana pastor

  • @rachelmuhehe7789
    @rachelmuhehe7789 2 місяці тому

    Mnhuh naogopa kutamka neno juu ya watumishi wa Mungu but Mungu aturehemu sana

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 2 місяці тому

      😂😂😂

  • @shijacharles
    @shijacharles 2 місяці тому

    Mungu azidi kukutunza.

  • @petrokapinga2201
    @petrokapinga2201 Місяць тому

    Ingefaa Aweke siku ya ibada kingereza na Ibada kiswahili
    Sio kiswanglish ibada zote

  • @flashmextv
    @flashmextv 2 місяці тому +1

    Aisee Noma Sana😂

  • @annaBenkras
    @annaBenkras 2 місяці тому

    piga kaz mtumish wa Mungu

  • @francisngwale4567
    @francisngwale4567 2 місяці тому +1

    Mtangazaji nmekuelewa sana

  • @RebeccaMalale
    @RebeccaMalale 2 місяці тому

    Mungu atakupigania

  • @RebeccaMalale
    @RebeccaMalale 2 місяці тому

    Mungu mwema

  • @josephinelukweto6442
    @josephinelukweto6442 2 місяці тому

    Good pastor

  • @perpetuampita5018
    @perpetuampita5018 2 місяці тому

    songa mbele kumtumikia bwana achana na mambo ya mitandaoni Pastor!

  • @DadaKuona
    @DadaKuona 2 місяці тому

    Tumia kiswahili tunajua umesoma punguza swaga za kuzungumza tumia kiswahili acha ushamba

  • @eogratiuso5828
    @eogratiuso5828 Місяць тому

    Akili kubwa uwezo mkubwa hausumbuliwi na akili ndogo za wapenda Kiki. Safi sana Mtumishi.

  • @manpierre571
    @manpierre571 2 місяці тому +4

    Keep Provoking their reaction pastor mpaka waseme huyu ameshindikana 😂

  • @aminanchimbi-eb8ee
    @aminanchimbi-eb8ee 2 місяці тому

    daaah napenda san mahubir yk jamsn

  • @dstarclassic9490
    @dstarclassic9490 2 місяці тому

    Haleluya

  • @neemarwamugira1168
    @neemarwamugira1168 2 місяці тому +9

    mti wenye matunda hupigwa mawe,,ukifanya mazur usitegemee wattakusema mazur

  • @BeatriceDismas
    @BeatriceDismas 2 місяці тому +12

    Jaman achen ajitetee kila mtuu ana namana yake ya kupunguza maumiv ndan ya moyo wake......
    Mwingine atalia, mwingine atapiga kelel, mwinginè atatakaa kukaa peke yakeee......
    Obviously PT kaumia ndoo maan unaona anaongea sna mwachen aongeèe aseee mm namuunga mkono

  • @naomidavid6390
    @naomidavid6390 2 місяці тому +1

    Angekaa kimya n kumuomba Mungu wake siyo kila jambo linaloibuka mtandao ulitolee ufafanuzi ajifunze kupitia Mwamposa mbona hajibu chochote

  • @sesiliasalleko2013
    @sesiliasalleko2013 2 місяці тому

    Tony jifunze kiswahili sWa sawa unatuvuruga

  • @gabililta
    @gabililta 2 місяці тому +16

    Anajitetea sana pastor Angekausha tu kama hiyo ishu haina ukweli wowote

    • @janemwenda-ec2oh
      @janemwenda-ec2oh 2 місяці тому +4

      Kabisa Ilibidi ache kabisa

    • @DerickNgowi-mf5pe
      @DerickNgowi-mf5pe 2 місяці тому +1

      @@gabililta anatumia nguvu nyingi kwakingereza

    • @smavilifestyle2471
      @smavilifestyle2471 2 місяці тому +3

      Sasa amejitetea wapi jamani,si ametoa option ajielezee au amuelezee Yesu watu wamechagua Yesu na ameendelea na mahubiri

    • @pacificaredemptory6269
      @pacificaredemptory6269 2 місяці тому

      Kuna watu angewaacha njiani na kuwavunja imani

    • @manpierre571
      @manpierre571 2 місяці тому

      Mbona kama umekereka mzee, amefika hapo kwa jitihada alizofanya na neema aliyopewa na anachagua yeye nini aseme ...na Wala hajajitetea hapo

  • @enocklazaro8175
    @enocklazaro8175 2 місяці тому

    True identity of JESUS deciple. Yesu akisha mkubali Mtumishi wake hakuna wa kumtikisa.

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 2 місяці тому +9

    Ongea kiswahili

  • @RebeccaMalale
    @RebeccaMalale 2 місяці тому

    Aiseee

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 2 місяці тому +22

    Mtumishi tumia kiswahili zaidi may be kuna baadhi ya kondoo unawaacha njiani kwa kutoelewa neno.

    • @cletusbaraka2045
      @cletusbaraka2045 2 місяці тому +1

      Mpaka akatumia kingereza anawajua kondoo wake 😂😂😂 Akuna mchungaji asiyejua kondoo wake labda jisemee wew neo huelewi tukusaidie usitumie mwamvuli wa wengine😂😂

    • @gotafostv7305
      @gotafostv7305 2 місяці тому +7

      ​@@cletusbaraka2045sijajua kama umetumia nini kufikiri,kwani anaporusha hapa mtandaoni ,wote wanaelewa kiingereza?? ,ingekuwa anafanya ibada kanisani kwake na harushi mtandaoni huenda ungekuwa sahihi,lakini je na hapa mtandaoni wote wanaelewa kiiingereza??

    • @happysakuya7394
      @happysakuya7394 2 місяці тому

      Hapa anafanya hvyo kwa faida pia ya wasiojua kiswahil dear❤hopeful umeelewa

    • @smartonlinetv5144
      @smartonlinetv5144 2 місяці тому +2

      Mimi nadhani Kwa nchi yetu hii sidhani kama Kuna watu ambao hawafahamu kuzungumza kiswahili, ni wachache sana ambao unakuta hawakifahamu kiswahili sema yeye anakaulimbukeni Fulani hivi.
      Especially asilimia kubwa ya watu wanaotumia mitandao hii wanafahamu zaidi kiswahili kuliko kingereza.
      Kusoma sio tija, wapo wasomi kabisa na degree lakini kuzungumza kingereza ni mtihani wanamung'unya maneno tu.

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 2 місяці тому

      ​@@gotafostv7305SIo hata kanisani sio wote wanajua kiingereza aliyejibu hiv amekosea ni kama dharau hata yey SI Kila kitu anakijua Mungu atusamehe Kwa majivuno

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 2 місяці тому +14

    Pastor ni Pastor tu hata uwe na Miaka miwili so Unatakiwa kuwa mtu mzima kiakili pia......Kaeni mbali na hao ma super star ukaribu uishie kwenye huduma za kiroho na sio urafiki, mnatuvuruga tunaowaamini na kuwaombea....Kueni acheni drama za mtandaoni😢😢😢

  • @ZawadiMadede-ft6ms
    @ZawadiMadede-ft6ms 2 місяці тому +1

    Ifike mahala hawa wanaojiita watumishi wa Mungu waachane na mitandao bhana
    Wao wenyewe ndo wanajisababishia maskendo yasomaana

  • @marwajuma8054
    @marwajuma8054 2 місяці тому

    Ww angalia hao wasaidizi eheee

  • @joyceallute6727
    @joyceallute6727 2 місяці тому

    Hekima ya Kimungu kabisaaa nimependaaaa pastor Tony ni mmoja tu😂😂😂😂😂

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 2 місяці тому +4

    Elezea Yesu achana na masikini Wa akili kazi kuwaza ngono tuuu mi nakuelewaga sana unafundisha uchumi huyo dada anainspire wapambanaji wenye akili na wanaotaka kufanikiwa Mwanamke from zero to heroo

  • @cleartzboy
    @cleartzboy 2 місяці тому

    Jaman uislam uko wazz

  • @josephwarioba5203
    @josephwarioba5203 2 місяці тому

    Kwa jinsi ninavyokufahamu kwa undani kiuhalisia usingetumia nguvu yoyote kujieleza au kuwapanga philosophically eti umuelezee Yesu au malaya mbaya upo MADHAHABUNI hiki kitu sio kizuri na ushauri wangu CAG is a pillar kwako jiulize Archbishop huwa anapataga huo muda wa kutega watu philosophically??

  • @gmentertainmentcompany9353
    @gmentertainmentcompany9353 2 місяці тому

    piga KAZI tony watanzania tunakuelewa bado Sana

  • @amashamwankuga
    @amashamwankuga 2 місяці тому

    Sijawahi kucoment ila mchungaji nimekuelewa sana Mungu akuongeze zaidi

  • @gracengunga348
    @gracengunga348 2 місяці тому

    Napenda sana ukiongea kingereza pasta😅

  • @DorethMselem
    @DorethMselem 2 місяці тому +3

    Kwanza had ye aamue hivi kwan wa kwanza peke yake?mange anamsema had Mwamposa mange anamsema hadi rahis tunakuomba ukae kimya tu maneno kwa maneno ni kelele lkn maneno na ukimya ndo jibu

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 2 місяці тому

    Mtumishi achana na hawa watu wameona unainuka wanataka kukuangusha. Bali hawapambani na wewe wanapamba na Mungu.

  • @joycemakanyaga
    @joycemakanyaga 2 місяці тому

    Bora umhubiri yesu vita vyetu si vya dam na nyama hata yesu ilizushiwa maneno lakini hakujibu kutoka 14:14 bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya

  • @ChrisSiwale-kl8nv
    @ChrisSiwale-kl8nv 2 місяці тому +3

    Ingia rohoni this is not ordinary

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 місяці тому +2

      Kila Jambo linaanziaga kiroho, prayer warriors na yeye alipaswa awe amelijua na angekuwa ana-prove ujumbe.. na hao Clouds Media akae nao kwa akili na kiroho mno na MUNGU amsaidie

  • @Sheldonshorts39
    @Sheldonshorts39 2 місяці тому

    Amuwezi weza kumchafuwa mtumishi wa mungu ata mfike wapi wamuwezi weza mushindwe katika jina la yesu christo wanazareti aliye hai.

  • @elrachum3866
    @elrachum3866 2 місяці тому +2

    Mungu aliposema kuishi na wanawake kwa akili sio tu mke hata hao wanawake waropokaji waongo waongo kama mange ... ishi nao hapa duniani kwa akili ... Achana naye YULE ALIYEKUCHAFUA ni kibaraka wa shetani . Mungu ata dili naye... maana vita ni ya BWANA WA MAJESHI.

  • @LessaFocus
    @LessaFocus 2 місяці тому

    Minajivunia wew hakii

  • @StephaniaKasunga-g6t
    @StephaniaKasunga-g6t 2 місяці тому

    Mchungaji wangu me kila siku nakuombea uwe Tajir

  • @LinaKijuu
    @LinaKijuu 2 місяці тому +1

    Hekims kubwa sana

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 2 місяці тому +7

    Achana na Visichana hivyo vihubirie wokovu tu basi

  • @MaryjoyceTarimo
    @MaryjoyceTarimo 2 місяці тому

    Mtumishi wa Mungu kumbuka wewe ni jalala kumbuka hilo, upaswi kuji chochote acha Mungu atawajibu mbona ni vema zaidi

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 2 місяці тому +7

    Anajiabisha sana

  • @annawinstone9426
    @annawinstone9426 Місяць тому

    Tupo nje ya muda mtumishi lete neno😂😂

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096 2 місяці тому

    Sasa we mtumishi wa Mungu unawezaje kwenda kufunga saluni, wakati masaluni sio mango wa Mungu, funguo makanisa kama kweli, mi sijamuelewaga

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 2 місяці тому

      Masalon sio mpango wa Mungu kwani unataka tuwe wachafu?

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 2 місяці тому +4

    Kama sio kweli ungekausha mtumishi

  • @nataliaally6746
    @nataliaally6746 2 місяці тому

    Mchungaji anaongea ngeli waumini hata wasioelewa wanashangilia 😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 2 місяці тому

      mm kwenye hilo namshangaa sana huyu bishoo kwakweli.

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 Місяць тому

      Surely

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 2 місяці тому +2

    Hivi watu mna nini? Kwnn tunahukumu watu kuhusu upuuzi ambao ni vitu vya ajabu ajabu as if nyie wahukumu ni wasaaafi na mmemkuta. Mxiiiuuuu. Pastor songa mbele Mungu ashughulike nao wazushi na watesi. Nakerwaaa na judges mimi

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard6050 2 місяці тому

    Hapo watumishi kiukweli ndani ya moyo wanawish awaelezee kinachojiri...ila unafki tuu😂😂

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 2 місяці тому

    Kiburi kilimshusha shetanj