Pastor Tonny MUNGU wetu ni mkuu sana....ipo sababu maalumu yawewe kuwepo Duniani.....ipo sababu ya wao kuzungumza juu yako kwa jinsi waonavyo......Umechaguliwa wewe ni wa kipekee sanaaa.....Acha waseme wamepewa vinywa na aliyekupa wewe kibali....MUNGU na akuwekeee mpaka kusudi lake litimieee ishi sana mtumishi ❤❤❤
We don't care pastor.. Unayonifundisha naelewa na yananisaidia that's enough maisha yako mengine ni wewe na Mungu wako.. Keep teaching us pastor wazidi kutushangaa.. From 🇬🇧
Pole sana Dady, najua jinsi unavyojisikia, najua maumivu hayo, neno langu kwako, Songa mbele ewe shujaa, Mungu yupo pamoja na wewe, achana na walioshindwa nenda na walioshinda.
Mungu akubariki Pastor kwa kutopoteza muda na hao wa dunia hii nimependa ulivyosolve ni hekima ya Mungu peke yake ndio iko hivyo na kupitia hii nimemwona Mungu kupitia huduma yako aliyokupa Mungu. God bless you Pastor
hapo ndipo mi najivuniaga Yesu umeshinda zaid ya uwazavyo na ujuavyo umemwaibisha shetani na huo ndio msuli wa imani barikiwa, mama tony usivunjike moyo mungu amewapa hiyo huduma lakini kumbuka kuna watu hawaifurahii, kama ilivyokuwa kwa masanja alisimama kiume na simama kumuombea mume wako na MUNGU wa mbinguni asiwaache wala kuwapungukia
Songa mbele Mtumishi wa Mungu, mwangalie huyo aliyekuita na alichokuitia, vita IPO Kwa nafasi Mungu aliyokupa, Si wote watakukubali piga kazi Roho Mtakatifu atawashuhudia ya Mungu Yuko pamoja na wewe. Nakupenda Pastor, nakuelewa...
Sasa pastor we mwenyewe unaona kazi unayoifanya afu usiguswe amna itakuwa hujafanya kazi bado ukishakuwa juu lazima ujue unaangaliwa na wengi choxhote unachokifanya kitaonekana kwa ukubwa sana kwasababu uko juu so hayo yanayoendelea Mungu anajua ni saiz yako... songa mbele tu.
God is good, hautatahayarika Sababu Mungu yu pamoja nawe...na wakristo sijui kwanni hua wanapenda kuona anguko la mchungaji yaani,... Mwl Mwakasege amesemwa sana vibaya ila Mungu amekua akimtetea na huduma yake iko strong sana, so na wewe pia utafanikiwa na utakua salama so please ikibidi acha tu hata ukaribu na huyo dada
Pole sana Mtumishi wa Mungu, Mungu akupe amani moyoni mwako na katika familia yako usimpe adui nafasi kwa sababu unafanya kazi kubwa sana kwahyo lazima adui ainue vita na siku zote mti unaopigwa mawe ni uwe wenye matunda Songa mbele achana na walimwengu
Kwani haufahamu nafasi ya maombi kwa binadamu. Maombi yanatumika ktk kila hali ,kutubu,kuomba uponyaji wa magonjwa, unapitia ktk huzuni au hali yoyote ya kukatisha tamaa ukiomba Mungu anakupa hekima, amani na kisha unavuka. Sasa unauliza maombi ya nini sasa? Unamaanisha nini
Usiwasikilize wanaotaka kukukatitisha tamaa, songa mbele na kazi ya Bwana wetu yesu christo. Atakushindia. Mimi nakushukuru kwa Maombi kutoka ktk madhabahu yako na ministry yako. Unawajibika kwa Mungu na familia yako, na watu unawahubilia . Ubarikiwe na bwana
Jaman achen ajitetee kila mtuu ana namana yake ya kupunguza maumiv ndan ya moyo wake...... Mwingine atalia, mwingine atapiga kelel, mwinginè atatakaa kukaa peke yakeee...... Obviously PT kaumia ndoo maan unaona anaongea sna mwachen aongeèe aseee mm namuunga mkono
Mimi nadhani Kwa nchi yetu hii sidhani kama Kuna watu ambao hawafahamu kuzungumza kiswahili, ni wachache sana ambao unakuta hawakifahamu kiswahili sema yeye anakaulimbukeni Fulani hivi. Especially asilimia kubwa ya watu wanaotumia mitandao hii wanafahamu zaidi kiswahili kuliko kingereza. Kusoma sio tija, wapo wasomi kabisa na degree lakini kuzungumza kingereza ni mtihani wanamung'unya maneno tu.
@@gotafostv7305SIo hata kanisani sio wote wanajua kiingereza aliyejibu hiv amekosea ni kama dharau hata yey SI Kila kitu anakijua Mungu atusamehe Kwa majivuno
Pastor ni Pastor tu hata uwe na Miaka miwili so Unatakiwa kuwa mtu mzima kiakili pia......Kaeni mbali na hao ma super star ukaribu uishie kwenye huduma za kiroho na sio urafiki, mnatuvuruga tunaowaamini na kuwaombea....Kueni acheni drama za mtandaoni😢😢😢
Elezea Yesu achana na masikini Wa akili kazi kuwaza ngono tuuu mi nakuelewaga sana unafundisha uchumi huyo dada anainspire wapambanaji wenye akili na wanaotaka kufanikiwa Mwanamke from zero to heroo
Kwa jinsi ninavyokufahamu kwa undani kiuhalisia usingetumia nguvu yoyote kujieleza au kuwapanga philosophically eti umuelezee Yesu au malaya mbaya upo MADHAHABUNI hiki kitu sio kizuri na ushauri wangu CAG is a pillar kwako jiulize Archbishop huwa anapataga huo muda wa kutega watu philosophically??
Kwanza had ye aamue hivi kwan wa kwanza peke yake?mange anamsema had Mwamposa mange anamsema hadi rahis tunakuomba ukae kimya tu maneno kwa maneno ni kelele lkn maneno na ukimya ndo jibu
Kila Jambo linaanziaga kiroho, prayer warriors na yeye alipaswa awe amelijua na angekuwa ana-prove ujumbe.. na hao Clouds Media akae nao kwa akili na kiroho mno na MUNGU amsaidie
Mungu aliposema kuishi na wanawake kwa akili sio tu mke hata hao wanawake waropokaji waongo waongo kama mange ... ishi nao hapa duniani kwa akili ... Achana naye YULE ALIYEKUCHAFUA ni kibaraka wa shetani . Mungu ata dili naye... maana vita ni ya BWANA WA MAJESHI.
Hivi watu mna nini? Kwnn tunahukumu watu kuhusu upuuzi ambao ni vitu vya ajabu ajabu as if nyie wahukumu ni wasaaafi na mmemkuta. Mxiiiuuuu. Pastor songa mbele Mungu ashughulike nao wazushi na watesi. Nakerwaaa na judges mimi
Asee,,kama Hekima ni vazi..basi limekufit vizuri pastor,,hayo maneno tu uliyoyasema ni hekima ya Hali ya juu..Be blessed so much
Mungu akuinue zaidi pst tunakupenda, kupitia kwako nasikia sauti ya Mungu.
I am Victor Osborn from Nakuru-Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪napenda pastor Tony sana, ni Baba wangu wa Kiroho na sipendi umbea Mwache Baba aenese upendo wa Mungu
Pastor Tonny MUNGU wetu ni mkuu sana....ipo sababu maalumu yawewe kuwepo Duniani.....ipo sababu ya wao kuzungumza juu yako kwa jinsi waonavyo......Umechaguliwa wewe ni wa kipekee sanaaa.....Acha waseme wamepewa vinywa na aliyekupa wewe kibali....MUNGU na akuwekeee mpaka kusudi lake litimieee ishi sana mtumishi ❤❤❤
The Best Pastor of this last dispensation especially kwa vijana ❤
Mtumishi naomba ongea mara nyingi kiswahili,siyo wote tunajua English,nakupenda MUNGU aendelee kukusimamia, asante
Umesema kweli uzungu mwingi ata kama unata kusikia ujumbe wa neno la Mungu kupita Kwake unashindwa sio vzr kabisa anavyofanya kwa kweli.
Kabisa, tunampenda ila tunapata tabu sana 😂😂😂
Mungu alivyo wa ajabu Mungu kainyamazisha kimya kimya kabisa na iwe ivyo milele wanapenda sana kuchafua watu wa MUNGU
Haupo Kwa app ndo maana
Hizi hekima zinapatikana kwa Yesu tu❤
Asanteni kwa likes I've been surprised surely
We don't care pastor.. Unayonifundisha naelewa na yananisaidia that's enough maisha yako mengine ni wewe na Mungu wako.. Keep teaching us pastor wazidi kutushangaa.. From 🇬🇧
Mungu akutie nguvu na ujasiri pastor wetu
YESU AMESHINDA!!!
I LOVE JESUS####I LOVE PT
Pole sana Dady, najua jinsi unavyojisikia, najua maumivu hayo, neno langu kwako, Songa mbele ewe shujaa, Mungu yupo pamoja na wewe, achana na walioshindwa nenda na walioshinda.
Hivi vidada vimalaya vinawaita mapastor dady😂😂
@@lulanjamd3886vinakera😐
Mungu akubariki Pastor kwa kutopoteza muda na hao wa dunia hii nimependa ulivyosolve ni hekima ya Mungu peke yake ndio iko hivyo na kupitia hii nimemwona Mungu kupitia huduma yako aliyokupa Mungu. God bless you Pastor
Washindwe katika jina la yesu. Wacha mungu Hawafunge midomo milele..mungu hawape show!!!
Bora umuhubir Yesu....😊 me nampenda sana Mwl. Mwakasege mambo kama hayo huwa hana mda wa kuyajibu
Kabisa kabisa. Mwakasege anamjua Yesu
Vita sio vyake ni vya Bwana Efeso 6
Na sijawah ona kakutwa nayo. Nampenda sana Mwalim Meakasegr na mkewe Diana Mwakasege
Kabisa sema kabisa. Sema tena kabisa
Kabisa hata mm natamani pastor asijibu Kila kitu
Barikiwa sana pastor......tunakupendaaa🥰🥰
hapo ndipo mi najivuniaga Yesu umeshinda zaid ya uwazavyo na ujuavyo umemwaibisha shetani na huo ndio msuli wa imani barikiwa, mama tony usivunjike moyo mungu amewapa hiyo huduma lakini kumbuka kuna watu hawaifurahii, kama ilivyokuwa kwa masanja alisimama kiume na simama kumuombea mume wako na MUNGU wa mbinguni asiwaache wala kuwapungukia
Mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe...Yesu alitukanwa alipigwa mpka kuuwawa kwasababu ya kazi yake njema....the OSBORN's we moveeeeeee❤🎉
Songa mbele Mtumishi wa Mungu, mwangalie huyo aliyekuita na alichokuitia, vita IPO Kwa nafasi Mungu aliyokupa, Si wote watakukubali piga kazi Roho Mtakatifu atawashuhudia ya Mungu Yuko pamoja na wewe. Nakupenda Pastor, nakuelewa...
Sasa pastor we mwenyewe unaona kazi unayoifanya afu usiguswe amna itakuwa hujafanya kazi bado ukishakuwa juu lazima ujue unaangaliwa na wengi choxhote unachokifanya kitaonekana kwa ukubwa sana kwasababu uko juu so hayo yanayoendelea Mungu anajua ni saiz yako... songa mbele tu.
It is well with you Pastor songa mbele
Mmmmmh mungu atuhurumie.🙏
God is good, hautatahayarika Sababu Mungu yu pamoja nawe...na wakristo sijui kwanni hua wanapenda kuona anguko la mchungaji yaani,... Mwl Mwakasege amesemwa sana vibaya ila Mungu amekua akimtetea na huduma yake iko strong sana, so na wewe pia utafanikiwa na utakua salama so please ikibidi acha tu hata ukaribu na huyo dada
Jesus... Tupe neno Mtumishi w Mungu
Pole sana Mtumishi wa Mungu, Mungu akupe amani moyoni mwako na katika familia yako usimpe adui nafasi kwa sababu unafanya kazi kubwa sana kwahyo lazima adui ainue vita na siku zote mti unaopigwa mawe ni uwe wenye matunda Songa mbele achana na walimwengu
Amen amen amen God Bless you ❤❤❤
GOD BLESS YOU MAN OF GOD HIZI NDIO HEKIMA ZA MBINGUNI...YAANAI NIMEFURAHI ILIVYOJIBU NAJISIKIA RAHA❤
Ur a Really mtoto wa MAJOR ONE💪
kumbe ni mtoto wa major one
Major 1 tena 😮😮😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳 I don’t want to believe this one!
I'm so proud of pastor Tony a true man of God
Amen, Mungu akutangulie mtumishi wa Jehova aliyehai
Tony tony tony pasta achana na mitandao fanya kazi y mungu
Mungu akutetee❤❤
Kuweni na maarifa watu wa Mungu, sio mnashangilia Tu Kila kitu mwambie I Roho mtakafifu awaongoze
You are the hero man of God keep going, hata Yesu mwenyewe walimtupia mawe
Pastor tony barikiwa zaid
Mtumishi achana na mange.ingia kwenye maombi Mungu atakutetea.mambo ya kusingiziwa huwa yapo tu kuwa mtulivu achana nayo songa mbele .
Pastor wangu acha kabsa kumuongelea au kuongelea hilo suala maana unampa muda na ushindi... sisi tukaendelee na maombi acha MUNGU ndo atakutetea
Aingie kuomba nn saa
Kwani haufahamu nafasi ya maombi kwa binadamu. Maombi yanatumika ktk kila hali ,kutubu,kuomba uponyaji wa magonjwa, unapitia ktk huzuni au hali yoyote ya kukatisha tamaa ukiomba Mungu anakupa hekima, amani na kisha unavuka. Sasa unauliza maombi ya nini sasa? Unamaanisha nini
Usiwasikilize wanaotaka kukukatitisha tamaa, songa mbele na kazi ya Bwana wetu yesu christo. Atakushindia. Mimi nakushukuru kwa Maombi kutoka ktk madhabahu yako na ministry yako. Unawajibika kwa Mungu na familia yako, na watu unawahubilia . Ubarikiwe na bwana
Kabisa lina wadhungu tu nasikia wite nooo, yeeea
Some thing,to advice Mr. Pastor you are a really man of God , wachana na haya mambo , keep pushing ahead. Hasantakabradeshiyata.
I pray for you man of God haya ni mawimbi ya muovu
Let's go sir🤝
Mungu atadili tuu na hawo wanao mchafua mtumishi wa mungu
A true man of GOD..........PT
Pastor, kuna mambo ukijiambatanisha nayo tu, lazima uchafuke. Soma 1 Yohana 2:15 "usiipende dunia na mambo yaliyomo ndani yake". Pole sana
Short but clear
Naomba uzidi sana mtumishi.
Piga kazi ya Mungu pst achana na watu wa ulimwenguni hao
Malibu mazuri sana pastor
Mnhuh naogopa kutamka neno juu ya watumishi wa Mungu but Mungu aturehemu sana
😂😂😂
Mungu azidi kukutunza.
Ingefaa Aweke siku ya ibada kingereza na Ibada kiswahili
Sio kiswanglish ibada zote
Aisee Noma Sana😂
piga kaz mtumish wa Mungu
Mtangazaji nmekuelewa sana
Mungu atakupigania
Mungu mwema
Good pastor
songa mbele kumtumikia bwana achana na mambo ya mitandaoni Pastor!
Tumia kiswahili tunajua umesoma punguza swaga za kuzungumza tumia kiswahili acha ushamba
Akili kubwa uwezo mkubwa hausumbuliwi na akili ndogo za wapenda Kiki. Safi sana Mtumishi.
Keep Provoking their reaction pastor mpaka waseme huyu ameshindikana 😂
daaah napenda san mahubir yk jamsn
Haleluya
mti wenye matunda hupigwa mawe,,ukifanya mazur usitegemee wattakusema mazur
Jaman achen ajitetee kila mtuu ana namana yake ya kupunguza maumiv ndan ya moyo wake......
Mwingine atalia, mwingine atapiga kelel, mwinginè atatakaa kukaa peke yakeee......
Obviously PT kaumia ndoo maan unaona anaongea sna mwachen aongeèe aseee mm namuunga mkono
Songa mbele mtumishi wa Mungu....
Angekaa kimya n kumuomba Mungu wake siyo kila jambo linaloibuka mtandao ulitolee ufafanuzi ajifunze kupitia Mwamposa mbona hajibu chochote
Tony jifunze kiswahili sWa sawa unatuvuruga
Anajitetea sana pastor Angekausha tu kama hiyo ishu haina ukweli wowote
Kabisa Ilibidi ache kabisa
@@gabililta anatumia nguvu nyingi kwakingereza
Sasa amejitetea wapi jamani,si ametoa option ajielezee au amuelezee Yesu watu wamechagua Yesu na ameendelea na mahubiri
Kuna watu angewaacha njiani na kuwavunja imani
Mbona kama umekereka mzee, amefika hapo kwa jitihada alizofanya na neema aliyopewa na anachagua yeye nini aseme ...na Wala hajajitetea hapo
True identity of JESUS deciple. Yesu akisha mkubali Mtumishi wake hakuna wa kumtikisa.
Ongea kiswahili
Aiseee
Mtumishi tumia kiswahili zaidi may be kuna baadhi ya kondoo unawaacha njiani kwa kutoelewa neno.
Mpaka akatumia kingereza anawajua kondoo wake 😂😂😂 Akuna mchungaji asiyejua kondoo wake labda jisemee wew neo huelewi tukusaidie usitumie mwamvuli wa wengine😂😂
@@cletusbaraka2045sijajua kama umetumia nini kufikiri,kwani anaporusha hapa mtandaoni ,wote wanaelewa kiingereza?? ,ingekuwa anafanya ibada kanisani kwake na harushi mtandaoni huenda ungekuwa sahihi,lakini je na hapa mtandaoni wote wanaelewa kiiingereza??
Hapa anafanya hvyo kwa faida pia ya wasiojua kiswahil dear❤hopeful umeelewa
Mimi nadhani Kwa nchi yetu hii sidhani kama Kuna watu ambao hawafahamu kuzungumza kiswahili, ni wachache sana ambao unakuta hawakifahamu kiswahili sema yeye anakaulimbukeni Fulani hivi.
Especially asilimia kubwa ya watu wanaotumia mitandao hii wanafahamu zaidi kiswahili kuliko kingereza.
Kusoma sio tija, wapo wasomi kabisa na degree lakini kuzungumza kingereza ni mtihani wanamung'unya maneno tu.
@@gotafostv7305SIo hata kanisani sio wote wanajua kiingereza aliyejibu hiv amekosea ni kama dharau hata yey SI Kila kitu anakijua Mungu atusamehe Kwa majivuno
Pastor ni Pastor tu hata uwe na Miaka miwili so Unatakiwa kuwa mtu mzima kiakili pia......Kaeni mbali na hao ma super star ukaribu uishie kwenye huduma za kiroho na sio urafiki, mnatuvuruga tunaowaamini na kuwaombea....Kueni acheni drama za mtandaoni😢😢😢
Sawa sawa
Wew unauhakika umekua zaid yake dear
Ifike mahala hawa wanaojiita watumishi wa Mungu waachane na mitandao bhana
Wao wenyewe ndo wanajisababishia maskendo yasomaana
Ww angalia hao wasaidizi eheee
Hekima ya Kimungu kabisaaa nimependaaaa pastor Tony ni mmoja tu😂😂😂😂😂
Elezea Yesu achana na masikini Wa akili kazi kuwaza ngono tuuu mi nakuelewaga sana unafundisha uchumi huyo dada anainspire wapambanaji wenye akili na wanaotaka kufanikiwa Mwanamke from zero to heroo
Jaman uislam uko wazz
Kwa jinsi ninavyokufahamu kwa undani kiuhalisia usingetumia nguvu yoyote kujieleza au kuwapanga philosophically eti umuelezee Yesu au malaya mbaya upo MADHAHABUNI hiki kitu sio kizuri na ushauri wangu CAG is a pillar kwako jiulize Archbishop huwa anapataga huo muda wa kutega watu philosophically??
piga KAZI tony watanzania tunakuelewa bado Sana
Sijawahi kucoment ila mchungaji nimekuelewa sana Mungu akuongeze zaidi
Napenda sana ukiongea kingereza pasta😅
Kwanza had ye aamue hivi kwan wa kwanza peke yake?mange anamsema had Mwamposa mange anamsema hadi rahis tunakuomba ukae kimya tu maneno kwa maneno ni kelele lkn maneno na ukimya ndo jibu
Mtumishi achana na hawa watu wameona unainuka wanataka kukuangusha. Bali hawapambani na wewe wanapamba na Mungu.
Bora umhubiri yesu vita vyetu si vya dam na nyama hata yesu ilizushiwa maneno lakini hakujibu kutoka 14:14 bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya
Ingia rohoni this is not ordinary
Kila Jambo linaanziaga kiroho, prayer warriors na yeye alipaswa awe amelijua na angekuwa ana-prove ujumbe.. na hao Clouds Media akae nao kwa akili na kiroho mno na MUNGU amsaidie
Amuwezi weza kumchafuwa mtumishi wa mungu ata mfike wapi wamuwezi weza mushindwe katika jina la yesu christo wanazareti aliye hai.
Mungu aliposema kuishi na wanawake kwa akili sio tu mke hata hao wanawake waropokaji waongo waongo kama mange ... ishi nao hapa duniani kwa akili ... Achana naye YULE ALIYEKUCHAFUA ni kibaraka wa shetani . Mungu ata dili naye... maana vita ni ya BWANA WA MAJESHI.
Minajivunia wew hakii
Mchungaji wangu me kila siku nakuombea uwe Tajir
Hekims kubwa sana
Achana na Visichana hivyo vihubirie wokovu tu basi
Mtumishi wa Mungu kumbuka wewe ni jalala kumbuka hilo, upaswi kuji chochote acha Mungu atawajibu mbona ni vema zaidi
Anajiabisha sana
Tupo nje ya muda mtumishi lete neno😂😂
Sasa we mtumishi wa Mungu unawezaje kwenda kufunga saluni, wakati masaluni sio mango wa Mungu, funguo makanisa kama kweli, mi sijamuelewaga
Masalon sio mpango wa Mungu kwani unataka tuwe wachafu?
Kama sio kweli ungekausha mtumishi
Shida ni kuchafuliwa
Mchungaji anaongea ngeli waumini hata wasioelewa wanashangilia 😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
mm kwenye hilo namshangaa sana huyu bishoo kwakweli.
Surely
Hivi watu mna nini? Kwnn tunahukumu watu kuhusu upuuzi ambao ni vitu vya ajabu ajabu as if nyie wahukumu ni wasaaafi na mmemkuta. Mxiiiuuuu. Pastor songa mbele Mungu ashughulike nao wazushi na watesi. Nakerwaaa na judges mimi
Hapo watumishi kiukweli ndani ya moyo wanawish awaelezee kinachojiri...ila unafki tuu😂😂
Kiburi kilimshusha shetanj