BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" UA-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 213

  • @ZurehaMiraji
    @ZurehaMiraji 3 місяці тому +9

    Tatizo divà anaumwa kisaikolojia anatakiwa aseme am Diva at work and am Diva at home I suppose to do this and that to my husband as a Diva and to be proud of lkn kulalamika kunfanya ajihisi anaonewa au anashuka kibrand

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 3 місяці тому +10

    Nawaza tu kwan kwenye ndoa uliingia kwa kutamani au???kweli diva sio mke ni wakupiga na kusepa😂😂

  • @steveabel5819
    @steveabel5819 3 місяці тому +36

    Sura ya diva siielewag😂😂hanaga sura moja😅

    • @LevinaMiteo
      @LevinaMiteo 3 місяці тому +7

      😂😂😂 nikajua nimie tuu Bora aendelee na kuvaa miwani

    • @alsam4881
      @alsam4881 3 місяці тому +4

      Diva ana sura nzito sana na umri umeshaenda.

    • @shantellemwanakombo3703
      @shantellemwanakombo3703 3 місяці тому +2

      😅😅😅😅miwan inambeba😊

    • @sophynatch7327
      @sophynatch7327 3 місяці тому

      😂😂😂😂

    • @LevinaMiteo
      @LevinaMiteo 3 місяці тому

      @@alsam4881 ukiisikia kwenye redio sauti jina lake na ukimuoña ni watu wa watatu tofauti

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 місяці тому +11

    Hakuna mke wala mume naona ukatuni tu😂

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 місяці тому +4

    hapo mwisho sijapenda😢 yan ningekua ni mimi ningempiga huyu mwanamke angerudi nyumbani wigi mkononi

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 3 місяці тому +4

    Diva udiva wako utakuangusha sana kwenye ndoa..
    Ni kheri ungekua unautumia nje ukiingia ndani unabaki getini

    • @JOCENTE
      @JOCENTE 3 місяці тому

      Atakwabwanae anamutishiya brand

  • @zenaali8696
    @zenaali8696 3 місяці тому +3

    Diva kutopika ama kutojua kupika anaona ni sifa 😊

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen 3 місяці тому +6

    Mbona kama movie alafu sielewi 😂

  • @victormkello9575
    @victormkello9575 3 місяці тому +4

    😂😂😂 ila wabongo.
    Comments zenu zinafurahisha, kwani wamemikosea nini wapendanao hawa.

  • @MwajabuAhmed-po4me
    @MwajabuAhmed-po4me Місяць тому

    Yaan diva bwana chakula cha mmewako na wewe watu wawili tu unashindwa kumuandalia sasa ulijua ukiolewa mmewako ndio atakupikia mipangilio ya kazi yako nyumban kwako mpo wawili tu unashindwaje?

  • @Smokeylucas
    @Smokeylucas Місяць тому

    Diva no need to force issues. Marriage life is not for you. Period!

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 місяці тому +2

    😂😂😂 mbona izo features za bibi ni kama anajisema yeye, et sura nzito, shingo pana mgongo na tumbo havieleweki...ni yeye mwenyewe mbona😂

  • @KSJ6569
    @KSJ6569 3 місяці тому +4

    😢😢😢Duuh aibu naon mim km mtoto vile

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 3 місяці тому +2

    Paka maziwa unwasha lakutoa harufu njee 😂😂😂😂kweli mwanammke umepumbaa paka kuchemsha maziwa ujui wapiga nduru😂😂😂

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 3 місяці тому +3

    Wewe ni mvivu dada sasa unataka ulivyokuwa peke yako na ukiwa na mume iwe sawa wewe ni mvivu

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 місяці тому +1

      anataka tu kifo cha mende

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 3 місяці тому +4

    Sasa movies hii ao mnatumalizia Bundle zetu??😅😅

  • @EuniceOdegea
    @EuniceOdegea 3 місяці тому +2

    Abdul razak...haujaona waswahili wenzako...mpaka.umchukue huyo mzungu

    • @JOCENTE
      @JOCENTE 3 місяці тому

      😂😂😂😂

  • @athumanbakari-hy7xb
    @athumanbakari-hy7xb 3 місяці тому +2

    wewe sio shekh wewe ni mganga uwezi kua shkh huna hadhi na ushekh usiukosee hishima

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 3 місяці тому +4

    😂😂😂abdul razak anajua anachokifanya amna mke hapo😂😂

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 3 місяці тому +4

    Ungesema2 mganga kaka mbona sisi tunakuelewa kabisa 😊hii sasa ndiyo maisha harisi siyo ile ya gigi🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MariamJuma-nj9fc
    @MariamJuma-nj9fc 3 місяці тому +3

    😂😂😂jaman, yan abdul anaonekana hayuko comfortable na hio gram😂😂😂.. mwanamke anatoa siri zote

    • @Hapygideon
      @Hapygideon 3 місяці тому

      Hata akitoa,,,lakini chini Abdul kashakufunua sana,,,Bora angekaa kimya maana wanaume wakiamua kutuumbua mmmh,,,ndoa sio mchezo

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl 3 місяці тому +3

    chai aweke mwenyewe hujafunzwa ww

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 3 місяці тому +9

    Ni mzuri diva hamjawahi kuonana nae laivu afu msiwe mnakomenti komenti za kuumiza watu

    • @haskao77
      @haskao77 3 місяці тому

      Na hata hapa kwenye hii video, hana ubaya wowote

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 3 місяці тому +1

    Kwa yote unavyo jieleza inaonekana hauko SECURED and PARANOID

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 3 місяці тому +3

    Mwarabu wa kipilipili😂😂😂

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 3 місяці тому +2

    I'm a diva mpaka nyumban diva n kazin ukirud nyumban shika majukum yako A's a wife sasa kwahiyo life ya vyakula vya hotel unanunua ulitegemea abdul asioe???? Hata mm ningekua mwanaume ningeoa nikakuacha na hiyo akili yako ya I'm divaa diva ya nyoko

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 3 місяці тому

      💯💯

    • @aboudijaaboudija
      @aboudijaaboudija 3 місяці тому +1

      na tena wako wawili mume anatakiwa kupikiwa 😢😢namuonea huruma huyu kaka diva anaonekana mbishi sanaa

  • @ComfortMugo
    @ComfortMugo 6 днів тому

    Hawa waliruka stage za ndoa😂

  • @rehemapeter8621
    @rehemapeter8621 3 місяці тому +2

    Kwamba? Akale kwa mama yake kwako? Et unapenda kuorder seriously?kwenda sokoni Sawa sasa ata kama ni malikia ndo usioshe vyombo? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MariamJuma-nj9fc
      @MariamJuma-nj9fc 3 місяці тому

      Yan vyakukoment haviishi .😂😂😂😂😂😂diva atar

    • @rehemapeter8621
      @rehemapeter8621 3 місяці тому

      Ni vile naandika nakuchoka huyu kazidi😁

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 місяці тому

      @@MariamJuma-nj9fc 🤣🤣🤣

  • @boubabizo246
    @boubabizo246 3 місяці тому +1

    Camera imemkosea Diva.. she doesn’t look like that.

  • @ZurehaMiraji
    @ZurehaMiraji 3 місяці тому +1

    And Abdul unatakiwa uweke mfanyakazi wa kupika ili Diva awe anarest na anapokua na wewe usimtume tume hapendi

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 3 місяці тому +1

    Ni kweli kushikashika maji sana pete zinaharibika au ngozi zetu haziendani na madini fulani

  • @marieiradukunda9298
    @marieiradukunda9298 3 місяці тому +3

    What kind of a wife is this? 🤦🏾‍♀️

  • @Dawiti00
    @Dawiti00 3 місяці тому

    Njoo nkufundhishe limbwata wewe😂😂😂😂😂kumbe bado njoo nikuoe bibiangu akupe miti 8

  • @righitkileo
    @righitkileo 3 місяці тому +1

    Ha ha haaaaaa,ha ha ha haaaaaaaaaaa.ntakufa kucheka .eti ile hela ulioiacha nimenunua chjps.uwe unanunua mkate .jmn😂😂😂😂

    • @walizanasiri4963
      @walizanasiri4963 2 місяці тому

      😂😂😂Yani wewe ucheki kama mimi nacheka mwenzako akili za diva nazipenda😂😂😂yani yuko vizuli na wala afeki maisha😂😂😂

  • @reginamluviji9405
    @reginamluviji9405 2 місяці тому

    yaani unjua umeolewa unasema hela aloacha umenunua chips hakunaga mwanmme bwege wa kuvumilia haya mambo asee

  • @Hamad10Salafi
    @Hamad10Salafi 3 місяці тому +1

    Sheikh gani mkeo Anavaa Mawigi tena mpaka jikoni
    Masheikh wakina Othman Maalim, Nurden Kishki

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 3 місяці тому

    Huyu mwanaume hovyo kweli yani mi uniamshe usingizini nikqkupikie surely usinitanie km kuna kitu sikipendi nikuamshwa usingizi kbs coz hata mimi mtu akiwa amelala cpenda kumuamsha na pia divi im here you're twin pia sipendi kutwa nitu kidogo baada ya hao na wewe fanya mwenyewe km unataka kitu anasema amesoma dini dini haijasema mwanamke ni mtumwa bali ni utulivu wako ni pumbazo lako so ukitaka awe mfanyakazi wako ndio pale mwanamke anafanya kazi kutwa nzima tokea ulivyomuacha asubuhi na jion unamkuta hivyohivyo na kachoka analala km punda

  • @aliciamwalimu582
    @aliciamwalimu582 Місяць тому

    Jikoni na wigi😢

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 3 місяці тому

    Ndoa gani hii 😮vituko tu. Sasa diva hujakuwa ukisikiliza wenye ndoa? Mbona mambo ya ajabu. Ata wazungu hawa behave namna hii.

  • @Bintimrembo-y1v
    @Bintimrembo-y1v 3 місяці тому +1

    Mwanamke mzee hujui kupika unaona sifa 🥱

  • @JosefatyAfonsojoseMponda
    @JosefatyAfonsojoseMponda Місяць тому

    Na boa

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 3 місяці тому +3

    Good this was’nt bored for sure

  • @Anna-jl2ie
    @Anna-jl2ie 3 місяці тому +1

    Sasa mizagamua atakupaje unamnywesha chai😂😮

  • @Juke995
    @Juke995 3 місяці тому +1

    Kama shida ni pete basi abdul ana shida ya iron deficiency yan upungufu wa madini ya chuma ndo maana silver inamletea shida na dhahab hataki kuvaa dini imekataa😂😂

    • @ummuwawili
      @ummuwawili 3 місяці тому

      na dida hatak kumpikia japo dagaa😅 aengze madini chuma

  • @TauhidaHaji
    @TauhidaHaji 3 місяці тому

    Pete.ni.pambo.tuu..kwa.waislamu.ndowa.nikwenye.napsi.ya mtu..kupendana heshima.na kustahamili na kusaidiana

  • @RutyNatalia-uu5uj
    @RutyNatalia-uu5uj 3 місяці тому +1

    Mume anahaki ya kuoa mke mwingn ndoa ni mahaba diva sijuh anashida na akili

    • @JOCENTE
      @JOCENTE 3 місяці тому

      Sijambo lakujiuliza hana urafiki na akili kbs

  • @bintabou828
    @bintabou828 3 місяці тому +5

    😂😂😂😂😂 Una haki Ya Kuoa mke mwengine aisee 😂😂😂😂😂😂😂

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 3 місяці тому +1

    Ndoa yako diva umeamua kuweka mitandaoni pole 🤐

  • @JOCENTE
    @JOCENTE 3 місяці тому +3

    Eti baba yake kamwambiya aweke miguu juu yameza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @alsam4881
    @alsam4881 3 місяці тому +2

    Huyo diva anaishi maisha feki sana ya mitandaoni, aende akalipe madeni ya watu anayodaiwa kwanza.

    • @AmanaHussein
      @AmanaHussein 3 місяці тому +1

      Atha serekali yadaiwa kwani yuaanza yeye madanii😏😏😏😏

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 місяці тому +2

    matako ya diva ni kama bAmina za morogoro

  • @walizanasiri4963
    @walizanasiri4963 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂Nakupenda diva😂😂😂😂😂yani ata mimi😂 napenda kumtuma bwanaangu anachukia😂😂😂😂😂ila tunapendana sana😂😂

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 місяці тому +2

    tafuta bwana michunusi imekuzidi sanaa

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 3 місяці тому +1

    Ndo hata ham kiss akiingia mpaka amuombe 😂😂oooh baby

  • @WinfridaNdege
    @WinfridaNdege 3 місяці тому

    Pamoja na mapungufu yote ya diva hata mm nisingekubali kuamshwa usiku eti kupika chai😮 labda kama mgonjwa huyo mume

  • @JeskaMalebo
    @JeskaMalebo 3 місяці тому

    diva ujui kutofaitisha nguo za kazin na za nyumban asa manyela umo umo mume atakushika wap upo ka unafanya kazi ya kujenga bala bal mwanaume anataka mwanamke yuko romantic kuanzia mavaz mpka maongezi sio nafikilia vibaya lkn abdul anaish na mubaba 😂

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 3 місяці тому

    Ndiomaana mumeo msumbufu sana ana majina mengi hivyo pekee yake😂😂😂😂

  • @ramhuudulla8921
    @ramhuudulla8921 3 місяці тому

    Hakuna mume hakuna mwanamme,
    Naona UFYOROTO
    AMKA ABDUL UNATIA AIBU WANAUME WENZAKO MKE HAWEZI KUTOA AIBU ZA MUME HADHARANI KISA DIVA WHO IS DIVA BY THE WAY,
    DIVA BONGOÒ

  • @tanzaniawomenyouthempowerm267
    @tanzaniawomenyouthempowerm267 3 місяці тому +1

    Inabadilika badilika tokana na make up anayopaka

  • @walizanasiri4963
    @walizanasiri4963 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂Ila diva😂😂😂😂eti nachemsha maziwa yanataka kumwagika😂😂😂😂😂nakupenda diva

  • @UmmyMaabad-v2r
    @UmmyMaabad-v2r 3 місяці тому +1

    Tulete Na Ya Gigymoney😂😅

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 3 місяці тому

    Media nyingi za kibongo habar zao kijinga, mara utaskia wema sepetu kajamba, mara diva kaachana na Nani. Mara diamond kazimia, tafteni habar za maana acheni kutumalizia bando na kutafuta Kiki, na kutafuta pesa za youtube

  • @cellydimpoz.
    @cellydimpoz. 3 місяці тому

    In this reality show there is alot of talking than acting...people want to see what u do behind the gram not wat u say

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 3 місяці тому

    Kwani huyu Diva hajui majukumu ya mke, kuonja mkono wako, this is a must. Huo mkate utamfungisha choo. Kwani kuolewa uliona kupaka lipstick na kubadilisha mawigi??

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 місяці тому +3

    Kumbe anavipele na viini vya macho kama paka la Bar,sasa hiyo dini yenu na uchawi siwaelewagi

  • @shabanimpalazo2695
    @shabanimpalazo2695 2 місяці тому

    Ana mapungufu ya Akili sio mwanamke wa maisha ni mwanamke wa starehe

  • @HusnaMuhammed-yx8nl
    @HusnaMuhammed-yx8nl 3 місяці тому

    Wewe nae unachosha kila siku abduli amekuchoka hujiongezi

  • @Teddy_jones
    @Teddy_jones 3 місяці тому

    Huyu diva hajuw uyu mwanaume n muislam anaoa wake 4 my sister grow up your too big to this

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 3 місяці тому +1

    Diva umenene sana yaani umeharibika

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 3 місяці тому +1

    Diva ukimtizama kwa nyuma akitembea nikama mm tu😂😂😂

  • @AminKanefu
    @AminKanefu 3 місяці тому +2

    Ni nzuriii saaaanaaaaa mashallah

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 3 місяці тому

    Hivi huyu wakati anaolewa alikuwa ana expect nini….?au ndo anajua wazungu wanaishi hivi?
    Em mtafutieni passport yake ya kwanza akashangae dunia uko

    • @JOCENTE
      @JOCENTE 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @witnessmlay7415
    @witnessmlay7415 3 місяці тому

    Sasa Diva anamsema mwenzake sura nzito sijui hana shape, ye hajioni?😎

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 3 місяці тому

    Diva"i hope this is only a reality tv show""i hope so but if its real in real life?? mhhhh""That one,second don't you ever ask a man(yr husband) provocative questions like that on your dinner date((((out dinner date)))wooooow.as i said before i hope this is only for TV shows not in real life.

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 3 місяці тому

    Tafteni vitu vya maana mtuletee acheni Kiki za kijinga na kupeana promo wenyew kwa wenyew, hamna zaid kutafuta pesa za youtube na viwers

    • @yakfizahran4536
      @yakfizahran4536 3 місяці тому

      Kwan media za habar c zipo ungeenda uko mijitu mengin kama misenge

  • @edwardyessenessen8737
    @edwardyessenessen8737 2 місяці тому

    Tumia microwave wew si diva bana 😅😅😅😅😅

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 3 місяці тому

    Yaan umpige kisa hajapika wakat unaweza kupika mke sio mtumwa

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 місяці тому

    Waislum wa buza ila naowajua mimi mmh

  • @MuhamadiAli
    @MuhamadiAli 3 місяці тому

    English kila wakati. Wakati kiswahili ndio lugha ya taifa

  • @NanaNana-oe5ft
    @NanaNana-oe5ft 2 місяці тому

    Diva mbaya bila mekap

  • @marieiradukunda9298
    @marieiradukunda9298 3 місяці тому +2

    Uyu diva avaa aje lkn?🤭

  • @ZurehaMiraji
    @ZurehaMiraji 3 місяці тому

    Mbadilishe taratibu ataanza kupika na kufanya kila kitu

  • @EuniceOdegea
    @EuniceOdegea 3 місяці тому

    Sasa wedding ring...kwani wewe ni mkristo...ndio wenye kuvaa wedding.ring

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 3 місяці тому

      Umesikia hapo wamesema walikubaliana au maskio machafu

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 3 місяці тому

    Abdul wafanyishwa diet ya lazima😂

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl 3 місяці тому

    una ushekhe gani ww mpuuzi

  • @NaomiKasimu
    @NaomiKasimu 3 місяці тому

    Hapo kwenye dener nilivotoa macho khaaaaaaaa😊

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 2 місяці тому

    Kumbe hii ndiyo Tz ok 👍

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 3 місяці тому

    Mnitafute niwauzie yangu haichubuki haikwajuki

  • @dublea4118
    @dublea4118 3 місяці тому +6

    Mbona diva hafanani na picha? Shape sioni naona kitambi na uso kuvimba chunusi na wig zakukakamaa

  • @EuniceOdegea
    @EuniceOdegea 3 місяці тому

    Anasura ngapi jamani huyu binti

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri 3 місяці тому

    Ko hadi kupika na wigi😅😅

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 3 місяці тому

    Hatimae sura 199 leo nimeona sura ya 200😂

    • @Hapygideon
      @Hapygideon 3 місяці тому

      Make up 😅😅😅😅

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 3 місяці тому

    Bado kuna ndoa kumbe..!😮

  • @Juke995
    @Juke995 3 місяці тому +2

    Hiyo dinner sasa inaitwa romantic ila kama kwa mganga yan giza jaman kwan walikosa hata taa zinazotimia betri au solar 😢diva nawe hebu move on huyu kaka ni hakufai jamani

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 місяці тому

      😂 wote hawafai bhn

  • @zainabmohd6524
    @zainabmohd6524 3 місяці тому +1

    Una dhani mume Lele mama😅😅😅mwanaume ni zaid ya mtoto,jitahid jitume kabla ujatumwa ndo mwanamke na ujue majukumu yako

  • @Yamaguccilifestyle
    @Yamaguccilifestyle 3 місяці тому

    Rihanna 😂😂😂😂

  • @sund2553
    @sund2553 3 місяці тому +2

    Diva😂ndio maana huwa hajiamin hajikubali alivyo

  • @OfficialPachelie
    @OfficialPachelie 3 місяці тому

    Ndoa gani iyooo jamanii😢

  • @RAHMASULEIMAN-mh6ul
    @RAHMASULEIMAN-mh6ul 3 місяці тому

    Ndo dini yako ilipokufikisha mungu akuongoze

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 місяці тому

      sio mungu ni Mungu "MUNGU "

  • @saidgawawa
    @saidgawawa 3 місяці тому

    Mtu na