Tatizo divà anaumwa kisaikolojia anatakiwa aseme am Diva at work and am Diva at home I suppose to do this and that to my husband as a Diva and to be proud of lkn kulalamika kunfanya ajihisi anaonewa au anashuka kibrand
Yaan diva bwana chakula cha mmewako na wewe watu wawili tu unashindwa kumuandalia sasa ulijua ukiolewa mmewako ndio atakupikia mipangilio ya kazi yako nyumban kwako mpo wawili tu unashindwaje?
I'm a diva mpaka nyumban diva n kazin ukirud nyumban shika majukum yako A's a wife sasa kwahiyo life ya vyakula vya hotel unanunua ulitegemea abdul asioe???? Hata mm ningekua mwanaume ningeoa nikakuacha na hiyo akili yako ya I'm divaa diva ya nyoko
Huyu mwanaume hovyo kweli yani mi uniamshe usingizini nikqkupikie surely usinitanie km kuna kitu sikipendi nikuamshwa usingizi kbs coz hata mimi mtu akiwa amelala cpenda kumuamsha na pia divi im here you're twin pia sipendi kutwa nitu kidogo baada ya hao na wewe fanya mwenyewe km unataka kitu anasema amesoma dini dini haijasema mwanamke ni mtumwa bali ni utulivu wako ni pumbazo lako so ukitaka awe mfanyakazi wako ndio pale mwanamke anafanya kazi kutwa nzima tokea ulivyomuacha asubuhi na jion unamkuta hivyohivyo na kachoka analala km punda
Kama shida ni pete basi abdul ana shida ya iron deficiency yan upungufu wa madini ya chuma ndo maana silver inamletea shida na dhahab hataki kuvaa dini imekataa😂😂
diva ujui kutofaitisha nguo za kazin na za nyumban asa manyela umo umo mume atakushika wap upo ka unafanya kazi ya kujenga bala bal mwanaume anataka mwanamke yuko romantic kuanzia mavaz mpka maongezi sio nafikilia vibaya lkn abdul anaish na mubaba 😂
Hakuna mume hakuna mwanamme, Naona UFYOROTO AMKA ABDUL UNATIA AIBU WANAUME WENZAKO MKE HAWEZI KUTOA AIBU ZA MUME HADHARANI KISA DIVA WHO IS DIVA BY THE WAY, DIVA BONGOÒ
Media nyingi za kibongo habar zao kijinga, mara utaskia wema sepetu kajamba, mara diva kaachana na Nani. Mara diamond kazimia, tafteni habar za maana acheni kutumalizia bando na kutafuta Kiki, na kutafuta pesa za youtube
Kwani huyu Diva hajui majukumu ya mke, kuonja mkono wako, this is a must. Huo mkate utamfungisha choo. Kwani kuolewa uliona kupaka lipstick na kubadilisha mawigi??
Diva"i hope this is only a reality tv show""i hope so but if its real in real life?? mhhhh""That one,second don't you ever ask a man(yr husband) provocative questions like that on your dinner date((((out dinner date)))wooooow.as i said before i hope this is only for TV shows not in real life.
Hiyo dinner sasa inaitwa romantic ila kama kwa mganga yan giza jaman kwan walikosa hata taa zinazotimia betri au solar 😢diva nawe hebu move on huyu kaka ni hakufai jamani
Tatizo divà anaumwa kisaikolojia anatakiwa aseme am Diva at work and am Diva at home I suppose to do this and that to my husband as a Diva and to be proud of lkn kulalamika kunfanya ajihisi anaonewa au anashuka kibrand
Nawaza tu kwan kwenye ndoa uliingia kwa kutamani au???kweli diva sio mke ni wakupiga na kusepa😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Sura ya diva siielewag😂😂hanaga sura moja😅
😂😂😂 nikajua nimie tuu Bora aendelee na kuvaa miwani
Diva ana sura nzito sana na umri umeshaenda.
😅😅😅😅miwan inambeba😊
😂😂😂😂
@@alsam4881 ukiisikia kwenye redio sauti jina lake na ukimuoña ni watu wa watatu tofauti
Hakuna mke wala mume naona ukatuni tu😂
Wanaboa hasa uyu dada
hapo mwisho sijapenda😢 yan ningekua ni mimi ningempiga huyu mwanamke angerudi nyumbani wigi mkononi
Diva udiva wako utakuangusha sana kwenye ndoa..
Ni kheri ungekua unautumia nje ukiingia ndani unabaki getini
Atakwabwanae anamutishiya brand
Diva kutopika ama kutojua kupika anaona ni sifa 😊
Mbona kama movie alafu sielewi 😂
😂😂😂 ila wabongo.
Comments zenu zinafurahisha, kwani wamemikosea nini wapendanao hawa.
😂😂😂😂
Yaan diva bwana chakula cha mmewako na wewe watu wawili tu unashindwa kumuandalia sasa ulijua ukiolewa mmewako ndio atakupikia mipangilio ya kazi yako nyumban kwako mpo wawili tu unashindwaje?
Diva no need to force issues. Marriage life is not for you. Period!
😂😂😂 mbona izo features za bibi ni kama anajisema yeye, et sura nzito, shingo pana mgongo na tumbo havieleweki...ni yeye mwenyewe mbona😂
😂😂
😢😢😢Duuh aibu naon mim km mtoto vile
Paka maziwa unwasha lakutoa harufu njee 😂😂😂😂kweli mwanammke umepumbaa paka kuchemsha maziwa ujui wapiga nduru😂😂😂
Wewe ni mvivu dada sasa unataka ulivyokuwa peke yako na ukiwa na mume iwe sawa wewe ni mvivu
anataka tu kifo cha mende
Sasa movies hii ao mnatumalizia Bundle zetu??😅😅
Abdul razak...haujaona waswahili wenzako...mpaka.umchukue huyo mzungu
😂😂😂😂
wewe sio shekh wewe ni mganga uwezi kua shkh huna hadhi na ushekh usiukosee hishima
😂😂😂abdul razak anajua anachokifanya amna mke hapo😂😂
Aibuu jmn😢..
Ungesema2 mganga kaka mbona sisi tunakuelewa kabisa 😊hii sasa ndiyo maisha harisi siyo ile ya gigi🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂jaman, yan abdul anaonekana hayuko comfortable na hio gram😂😂😂.. mwanamke anatoa siri zote
Hata akitoa,,,lakini chini Abdul kashakufunua sana,,,Bora angekaa kimya maana wanaume wakiamua kutuumbua mmmh,,,ndoa sio mchezo
chai aweke mwenyewe hujafunzwa ww
Ni mzuri diva hamjawahi kuonana nae laivu afu msiwe mnakomenti komenti za kuumiza watu
Na hata hapa kwenye hii video, hana ubaya wowote
Kwa yote unavyo jieleza inaonekana hauko SECURED and PARANOID
Mwarabu wa kipilipili😂😂😂
I'm a diva mpaka nyumban diva n kazin ukirud nyumban shika majukum yako A's a wife sasa kwahiyo life ya vyakula vya hotel unanunua ulitegemea abdul asioe???? Hata mm ningekua mwanaume ningeoa nikakuacha na hiyo akili yako ya I'm divaa diva ya nyoko
💯💯
na tena wako wawili mume anatakiwa kupikiwa 😢😢namuonea huruma huyu kaka diva anaonekana mbishi sanaa
Hawa waliruka stage za ndoa😂
Kwamba? Akale kwa mama yake kwako? Et unapenda kuorder seriously?kwenda sokoni Sawa sasa ata kama ni malikia ndo usioshe vyombo? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yan vyakukoment haviishi .😂😂😂😂😂😂diva atar
Ni vile naandika nakuchoka huyu kazidi😁
@@MariamJuma-nj9fc 🤣🤣🤣
Camera imemkosea Diva.. she doesn’t look like that.
And Abdul unatakiwa uweke mfanyakazi wa kupika ili Diva awe anarest na anapokua na wewe usimtume tume hapendi
Ni kweli kushikashika maji sana pete zinaharibika au ngozi zetu haziendani na madini fulani
What kind of a wife is this? 🤦🏾♀️
Brand 😂😂😂
Njoo nkufundhishe limbwata wewe😂😂😂😂😂kumbe bado njoo nikuoe bibiangu akupe miti 8
Ha ha haaaaaa,ha ha ha haaaaaaaaaaa.ntakufa kucheka .eti ile hela ulioiacha nimenunua chjps.uwe unanunua mkate .jmn😂😂😂😂
😂😂😂Yani wewe ucheki kama mimi nacheka mwenzako akili za diva nazipenda😂😂😂yani yuko vizuli na wala afeki maisha😂😂😂
yaani unjua umeolewa unasema hela aloacha umenunua chips hakunaga mwanmme bwege wa kuvumilia haya mambo asee
Sheikh gani mkeo Anavaa Mawigi tena mpaka jikoni
Masheikh wakina Othman Maalim, Nurden Kishki
Huyu mwanaume hovyo kweli yani mi uniamshe usingizini nikqkupikie surely usinitanie km kuna kitu sikipendi nikuamshwa usingizi kbs coz hata mimi mtu akiwa amelala cpenda kumuamsha na pia divi im here you're twin pia sipendi kutwa nitu kidogo baada ya hao na wewe fanya mwenyewe km unataka kitu anasema amesoma dini dini haijasema mwanamke ni mtumwa bali ni utulivu wako ni pumbazo lako so ukitaka awe mfanyakazi wako ndio pale mwanamke anafanya kazi kutwa nzima tokea ulivyomuacha asubuhi na jion unamkuta hivyohivyo na kachoka analala km punda
Jikoni na wigi😢
Ndoa gani hii 😮vituko tu. Sasa diva hujakuwa ukisikiliza wenye ndoa? Mbona mambo ya ajabu. Ata wazungu hawa behave namna hii.
Mwanamke mzee hujui kupika unaona sifa 🥱
Na boa
Good this was’nt bored for sure
Sasa mizagamua atakupaje unamnywesha chai😂😮
Kama shida ni pete basi abdul ana shida ya iron deficiency yan upungufu wa madini ya chuma ndo maana silver inamletea shida na dhahab hataki kuvaa dini imekataa😂😂
na dida hatak kumpikia japo dagaa😅 aengze madini chuma
Pete.ni.pambo.tuu..kwa.waislamu.ndowa.nikwenye.napsi.ya mtu..kupendana heshima.na kustahamili na kusaidiana
Mume anahaki ya kuoa mke mwingn ndoa ni mahaba diva sijuh anashida na akili
Sijambo lakujiuliza hana urafiki na akili kbs
😂😂😂😂😂 Una haki Ya Kuoa mke mwengine aisee 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 kwa style hii n Haki yakee
😂😂😂😂😂😂😂😂 kweli
Ndoa yako diva umeamua kuweka mitandaoni pole 🤐
Eti baba yake kamwambiya aweke miguu juu yameza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Imagine 😂😂😂
😂😂😂😂Ila diva
Huyo diva anaishi maisha feki sana ya mitandaoni, aende akalipe madeni ya watu anayodaiwa kwanza.
Atha serekali yadaiwa kwani yuaanza yeye madanii😏😏😏😏
matako ya diva ni kama bAmina za morogoro
😂😂😂😂😂dah
😂😂😂😂😂Nakupenda diva😂😂😂😂😂yani ata mimi😂 napenda kumtuma bwanaangu anachukia😂😂😂😂😂ila tunapendana sana😂😂
tafuta bwana michunusi imekuzidi sanaa
Ndo hata ham kiss akiingia mpaka amuombe 😂😂oooh baby
Pamoja na mapungufu yote ya diva hata mm nisingekubali kuamshwa usiku eti kupika chai😮 labda kama mgonjwa huyo mume
diva ujui kutofaitisha nguo za kazin na za nyumban asa manyela umo umo mume atakushika wap upo ka unafanya kazi ya kujenga bala bal mwanaume anataka mwanamke yuko romantic kuanzia mavaz mpka maongezi sio nafikilia vibaya lkn abdul anaish na mubaba 😂
Ndiomaana mumeo msumbufu sana ana majina mengi hivyo pekee yake😂😂😂😂
Hakuna mume hakuna mwanamme,
Naona UFYOROTO
AMKA ABDUL UNATIA AIBU WANAUME WENZAKO MKE HAWEZI KUTOA AIBU ZA MUME HADHARANI KISA DIVA WHO IS DIVA BY THE WAY,
DIVA BONGOÒ
Inabadilika badilika tokana na make up anayopaka
😂😂😂😂😂Ila diva😂😂😂😂eti nachemsha maziwa yanataka kumwagika😂😂😂😂😂nakupenda diva
Tulete Na Ya Gigymoney😂😅
Media nyingi za kibongo habar zao kijinga, mara utaskia wema sepetu kajamba, mara diva kaachana na Nani. Mara diamond kazimia, tafteni habar za maana acheni kutumalizia bando na kutafuta Kiki, na kutafuta pesa za youtube
In this reality show there is alot of talking than acting...people want to see what u do behind the gram not wat u say
Kwani huyu Diva hajui majukumu ya mke, kuonja mkono wako, this is a must. Huo mkate utamfungisha choo. Kwani kuolewa uliona kupaka lipstick na kubadilisha mawigi??
Kumbe anavipele na viini vya macho kama paka la Bar,sasa hiyo dini yenu na uchawi siwaelewagi
Ana mapungufu ya Akili sio mwanamke wa maisha ni mwanamke wa starehe
Wewe nae unachosha kila siku abduli amekuchoka hujiongezi
Huyu diva hajuw uyu mwanaume n muislam anaoa wake 4 my sister grow up your too big to this
Diva umenene sana yaani umeharibika
Diva ukimtizama kwa nyuma akitembea nikama mm tu😂😂😂
Ni nzuriii saaaanaaaaa mashallah
Hivi huyu wakati anaolewa alikuwa ana expect nini….?au ndo anajua wazungu wanaishi hivi?
Em mtafutieni passport yake ya kwanza akashangae dunia uko
😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa Diva anamsema mwenzake sura nzito sijui hana shape, ye hajioni?😎
Diva"i hope this is only a reality tv show""i hope so but if its real in real life?? mhhhh""That one,second don't you ever ask a man(yr husband) provocative questions like that on your dinner date((((out dinner date)))wooooow.as i said before i hope this is only for TV shows not in real life.
Tafteni vitu vya maana mtuletee acheni Kiki za kijinga na kupeana promo wenyew kwa wenyew, hamna zaid kutafuta pesa za youtube na viwers
Kwan media za habar c zipo ungeenda uko mijitu mengin kama misenge
Tumia microwave wew si diva bana 😅😅😅😅😅
Yaan umpige kisa hajapika wakat unaweza kupika mke sio mtumwa
Waislum wa buza ila naowajua mimi mmh
English kila wakati. Wakati kiswahili ndio lugha ya taifa
Diva mbaya bila mekap
Uyu diva avaa aje lkn?🤭
😂😂😂😂😂😂
Nibara
😂😂😂😂
Mbadilishe taratibu ataanza kupika na kufanya kila kitu
Sasa wedding ring...kwani wewe ni mkristo...ndio wenye kuvaa wedding.ring
Umesikia hapo wamesema walikubaliana au maskio machafu
Abdul wafanyishwa diet ya lazima😂
una ushekhe gani ww mpuuzi
Hapo kwenye dener nilivotoa macho khaaaaaaaa😊
Kumbe hii ndiyo Tz ok 👍
Mnitafute niwauzie yangu haichubuki haikwajuki
Mbona diva hafanani na picha? Shape sioni naona kitambi na uso kuvimba chunusi na wig zakukakamaa
Ila wewe😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Je mboni hujaziona 😂
Wigi lakukakamaa😂😂😂
Anasura ngapi jamani huyu binti
Ko hadi kupika na wigi😅😅
Hatimae sura 199 leo nimeona sura ya 200😂
Make up 😅😅😅😅
Bado kuna ndoa kumbe..!😮
Hiyo dinner sasa inaitwa romantic ila kama kwa mganga yan giza jaman kwan walikosa hata taa zinazotimia betri au solar 😢diva nawe hebu move on huyu kaka ni hakufai jamani
😂 wote hawafai bhn
Una dhani mume Lele mama😅😅😅mwanaume ni zaid ya mtoto,jitahid jitume kabla ujatumwa ndo mwanamke na ujue majukumu yako
Rihanna 😂😂😂😂
Diva😂ndio maana huwa hajiamin hajikubali alivyo
Ndoa gani iyooo jamanii😢
Ndo dini yako ilipokufikisha mungu akuongoze
sio mungu ni Mungu "MUNGU "
Mtu na