jeshi la ukrain lafanikiwa kuingia Urusi
Вставка
- Опубліковано 20 вер 2024
- Uchambuzi unaangazia hatua ya Jeshi la nchi ya Ukrain kuingia katika mji wa kursk ambao unapatikana Magharibi mwa nchi ya Urusi sambasamba na mashambulizi yaliyofanyika siku kadhaa zilizopita kaskazini mwa nchi ya mali ikihusianishwa na ushirikiano baina ya nchi ya Ukrain na vikosi vya Watuareg..........
#cloudsmedia #crownmedia #bbcswahilileo #wasafimedia #azamtvhabari #dwswahili @CLOUDSMEDIA @crownmedia @bbcswahili7924 @wasafimedia @azamtv
Nakubali mkubwa
👊✌️👍.
Pamoja sana ndugu mchambuzi
Hongera snaa mnukwaa kwa uchambuzi mzuriii
Kamanda unachelewa sana ao watu washauawa wote
Shukran mwalim upo vzr sana kwa uchambuz wako usiyo egemea upand mmoj.
Kaka Maulid sauti ipo chini sana
Abali zuri
Ticha uko vzuri sana,endelea kutuhabarisha walau nasisi tujue kinachoendelea huko mataifa ya magharibi
Asant
Urusi waongo hakuna NATO hapo.. walilala kazini
Sauti ipo chin sana
Wewe chambuzi kweli sio wachongo
❤❤❤❤
Mrusi kashindikana ukimvamia unatafuta kifo wamefyekwa wote
Bss jitahid kuricodi shm tulivu
Hiyo Ni speshoo mission ya NATO
Mwalim mm naswali moja tu nikuulize, km litakupendeza utanijibu, je nikwanini putin Asiwapige ukraini tu kwa nguvu kubwa na kumakiza vita ? Nikwanini anapigana pole pole na nahic km madui zake ndo wanapata nguvu sasa au hana uwezo wakuipiga ukraini na kuiteka kwa muda mfup?
Duuuh!! Vita ishakuwa biashara kubwa duniani
Hata wakiingia urusi sana sana wataenda kufanya ugaidi tu huko wamepigwa huko kwao wakapindue urusi?
Wew mambo yauchambuz mkuu uyawez unachoweza niplopaganda zakini tu ndicho unachoweza
Sauti ipo chini kdg
Wew bado ktk uchambuz unachoweza niplopaganda za kidini tu
UKIWA MUONGO NA MWISI KILASIKU UTAKOSA WAFUASI WAKWELI KAMA AMERICA NA WASHIRIKINAWENZAKE. URUSI ANAJIZOLEA WASHABIK MPAKA NDANI YA NCHIZAAO WA MAGHARIBI KWA UKWELIWAAO.
Yawezekana Huwa husomi comments za watu, sauti ipo chini kama inawezeka tafuta fundi akurekebishie sauti ya vyombo vyako! uchambuzi mzuri lakini we don't enjoy!
Wewe muongo kaka angalia aljazila unacho ongea ni tafauti kabisa
11:26 ww ndo humfahamu jamaa anaongelea uhalisia