Why why why watu wanapigwa.Mungu simama mwenyewe mana ukisimama mwenyewe wewe Mungu unajibu kwa moto.Poleni sana viongozi wetu msichoke kuitetea nchi yetu Mana naye Mungu anawatetea
Sasa kwa nn aliondoka? Kwani alifukuzwa na mtu sikaondoka mwenyewe kwa kutaka kua kibaraka upuuzi mtupu halafu huyu huyu anakuja kumsifia yule anaedai aliondoka nchini kwa sababu yake wakati yupo hai alikua akimuita dikteta baada kufa anaenda kwenye kaburi lake anamuambia wewe ni jembe ujinga mtupu endeleeni kujazana ujinga huko vichochoroni lakin sisi tunataka serikali iheshimiwe na itiiwe
NIWAPE POLE ILA SERA ZA CHAMA CHA CHADEMA ZIMEWAISHIA SISI TUNATAKA MAPAMBANO YA HOJA SIO KUJA KUNISHAWISHI KWENDA BARABARANI KUANDAMANA JAPO KWA ELIM NDODO NILIO NAYO SIWEZI NINAFAMILIA INANITEGEMEA NA KILA SIKU NILAZIMA NITOKE KUWATAFUTIA MAISHA SIO KUANDAMANA MTAJIJUWA WENYEWE
Kwani hamna njiýa nyingine ya ku mwaga. Sera zidi ya kuandamana nyie hamna familia zinazo wategemea kila mkiandamana mwisho wa siku mnapiga kerere wenyewe usilalamike mnayataka wenyewe
Rudieni tena muone kazi nyie hamna sera sera yenu ni kuandamana haya andamaneni tena chukuweni baba mama wake madada kaka zenu mtangulie nao mtaishia kukong'otwa lakini nchi hamtaitawala ng'ooooo!!!
Ningekuwa mimi IGP,polisi wote ningewachukulia hatua kali,ikiwepo ya kuwafukuza kazi,na IGP kwasababu ameamua kuchezea amani ya Tanzania hastahili nafasi hiyo.
Inabidi mjiulize sana kwa nini? Ninyi tu Kila uchao Ni VIZURI MPIGWE ILI MUACHE KUTUKANA HOVYO TENA INGELIKUWA BUSARA MNGESHINDWA HATA KUTEMBEA ILI MUONE MAUMIVU MNAVYOWASHAWISHI VIJANA WAJITOE MUHANGA
Dah,kumbe tuna polisi wezi!..pumbaf mnaiba mpaka simu?!...polisi wote marafiki nafuta namba zenu sitaki mazoea,na wote mliotenda haya Mungu awalaani!..
Pole Sana kiongozi wangu
pole kamanda.wapo wanaharakati wanawapambania.
Dawa ya hao wadudu sungusungu itapatiana na mungu anayo.poleni sana makamanda.
Pole sana mr. Mnyika haya yote yataisha 2025 ni sana mungu yuko nanyi dhidi ya manyang'a poleeeeni wPiganaji wetu
Daaa pole sana
Ahsante Yesu alie atetea hata kuwa wazima ni Mungu tuu
Poleni sana makamanda.Mungu awatete. T upo nyuma yenu.
Ukijua kama wote tunapita uwezi kumfanyia ukatili mwenzako poleni sana
Poleni sana aisee!Nimetoa machozi.
Pole sana
Duuu poleni .Mungu nimkuuu atajibu yte yliowakuta.
Poleni sana Tanzania hii mungu tutetee
Why why why watu wanapigwa.Mungu simama mwenyewe mana ukisimama mwenyewe wewe Mungu unajibu kwa moto.Poleni sana viongozi wetu msichoke kuitetea nchi yetu Mana naye Mungu anawatetea
Mungu tumemweka pembeni kwa kusahau kuna mwisho wa kujibu tuyatendayo kwa wenzetu. Sote tuna pumzi ya Mungu!!!
Poleni sana wakuu mungu awatie nguvu
Pole ndo Tanzania yetu
Poleni sana na Mungu aendelee kuwainua hata YESU aliyapitia hayo hadi leo anatukuzwa🙏🙏
Poleni Sanaa ndugu zetu
Kauli ambayo sijaipenda uyo mnamuita makamu kasema huyu mama kwanza hajachaguliwa inaonyesha dharau polisi wapo vzr
Police wa bongo aisee, Bora wa ukoloni ingawa siwajui😢😢😢😢😢
Sasa kwa nn aliondoka? Kwani alifukuzwa na mtu sikaondoka mwenyewe kwa kutaka kua kibaraka upuuzi mtupu halafu huyu huyu anakuja kumsifia yule anaedai aliondoka nchini kwa sababu yake wakati yupo hai alikua akimuita dikteta baada kufa anaenda kwenye kaburi lake anamuambia wewe ni jembe ujinga mtupu endeleeni kujazana ujinga huko vichochoroni lakin sisi tunataka serikali iheshimiwe na itiiwe
Kweli kabisa
Mungu atajibu kwa wakati wake,wao waendeleze mateso kwa watanzania watetea haki.
Poleni sana, hii ndiyo Tz nchi ya amani
Pole sana Mhe Mnyika. Hatuna cha kuwafanya hao watesaji.
Poleni sana sana. Mungu atawalipia. It so painfull kuwa na watu wakatili hivyo.
Pole mpendwa
Poleni sana nduguzangu munguatawajibia shida wenyemaishamagumu naelimundogo kwenyenchihii nipolic wakiwemo wanapelekeshwa kisaikologia acheni wanahalakati wafanyeyao ili nanyi mjekua namaishamazuri kamasisi
Wanao SEMA Mika apingwe ni wafuasi wa shetanii hizo sio tabia za mungu aliye hai watahukimiwa
Poleni sana niuwoga inawafanya wawasumbue amuna lingine wanaogopa mtafichua mambo Yao.
Tunatoa mitozo yote kumbe ni kwaajili ya kututesa watanzania ipo siku mtajibu mbele za mungu
AFADHALI MAKABURU WA AFRIKA YA KUSINI KULIKO SERIKALI YETU YA CCM!!!
Porojo hizo we unajua kipigo aliepigwa anakuagahivyo demokrasia ni mradi mpya wa wazungu wa kutugawa@@FrankMwakatundu-cu6bd
Mungu atajibu Kwa wakat
Pole kwa walioathirika na mkasa huu. Hela za walipakodi zinatumika sio kuwalinda raia lakini kuwaonea.
Pole sana kiongoz
Daa jmn mungu anaona kikombe kikijaaa machozi ya watu imeenda
Pole mnyika mungu ulinzi wa mungu uwe na wakati wore
Pole sana mungu anawaona hawa ccm
NIWAPE POLE ILA SERA ZA CHAMA CHA CHADEMA ZIMEWAISHIA SISI TUNATAKA MAPAMBANO YA HOJA SIO KUJA KUNISHAWISHI KWENDA BARABARANI KUANDAMANA JAPO KWA ELIM NDODO NILIO NAYO SIWEZI NINAFAMILIA INANITEGEMEA NA KILA SIKU NILAZIMA NITOKE KUWATAFUTIA MAISHA SIO KUANDAMANA MTAJIJUWA WENYEWE
Kweli kabisa
Shabani rashidi acha ujinga mbwa wewe unatumiwa nawajinga wenzako wa ccm takataka wakijaniwe
Kwani hamna njiýa nyingine ya ku mwaga. Sera zidi ya kuandamana nyie hamna familia zinazo wategemea kila mkiandamana mwisho wa siku mnapiga kerere wenyewe usilalamike mnayataka wenyewe
@@saidakiwale9227wajinga sana hawa kwa hadithi ndefu mahodari.wangeanzisha shule za kuwapigia hadithi chekechea wangetajirika zaid.
Nawapenda
Mungu aliye hai atasimama.
This is the reason now Mnyika decided to resign so he can live and be with his family.
Rudieni tena muone kazi nyie hamna sera sera yenu ni kuandamana haya andamaneni tena chukuweni baba mama wake madada kaka zenu mtangulie nao mtaishia kukong'otwa lakini nchi hamtaitawala ng'ooooo!!!
Poleni Sana
Poleni sana yanafanya madudu katika uongozi ndiyomaana hayajiamini yanatumia askali vibalavyao
Hao watesi Mungu awalipe Sawa Sawa na uovu wao, najuwa haki iko kwako Mungu .hawa watesi walipe Sawa Sawa na uovu wao
Nikuwamuvuzisha msalabani, iko sku haya yataisha msijali 😭
Poleeni wanachama ila siku nyingine sikilizeni maagizo na taratibu ,mnataka kutuandamanisha kwa faida yenu ruzuku hatujui mnazifanyia nini
Pole sana😭😭😭
Tz Bora muunge chama kimoja raia wajue mnaunga nyama vingi ikisha mnawapija mnawazalilisha lakin ipo siku watachoka
Pole
Nyinyi mnachonga sana watakuja kuwauwen shauli yenu
Kauli zinaeaponza hao
Nyamaza wewe
Pole sana Myika, hivi polisi kazi yenu ni nini?
Poleni sana makanda inaumana sana ivi mweshimiwa laisi anaona unyama huu yani watu wanateswaa kama majambazi 😭😭😭😭
Ashaleta wakoloni nchini,hafai kuwa kiongozi wetu Tena, labda watumie nguvu, Rais Gani !,watu wetu wakimchagua Tena ujue akili zao sio timamu
Mungu wangu tunusuru nahaya mambo yanayojitokeza hii nishida
Kweli Hawa Majamaa watu, wa storry sana
Pole Sana kiongoz wawatu
Inauma sana ushamba wa massm nchi hii. Lkn mwisho wao umefika.
Inauma sana jamani mmepata mateso makubwa sana,naamini mungu yupo,Tulia hajiamini uroho wa madaraka
Hatari sana
Poleni sana makamanda wetu
Tuko pamoja
Aiseee
Inauma sana
Hila mmejaliwa kusema uongo
Noma
Makamanda ikiwa mnaipigani haki katika kweli aminini MUNGU hatakawia atawalipa ujira wenu upesi
Poleni jamani
Pole. Kwani kwani hamna kazi Ya kufanya zaidi ya siasa?
Hebu waulize maana wamekazania siasa lazima kuna ulaji ndio maana wanakubali kuvumilia yote haya wasitusumbue sisi shida zikiwakuta.
Ningekuwa mimi IGP,polisi wote ningewachukulia hatua kali,ikiwepo ya kuwafukuza kazi,na IGP kwasababu ameamua kuchezea amani ya Tanzania hastahili nafasi hiyo.
Wezi mpaka simu
Tuombe mungu wote waliofanya hivyo atawahukumu tu .
Poleni jmn
Ukweli watu wengi tumechoka na ccm kw vitendo vyao ,hawana ucha
Mungu kabisa.kila mtu aombe Dua atuondoshee watu hao
Kila kitu kina mwisho Mungu yupo watanzania ni tumekuwa kama wanyama
Poleni sana makamanda wetu
Chadema hacheni comedy. Tumia muda mwingi kunadi sera zenu kwa wanachi. Mnapoteza muda kwenye vuruguvurugu
Haya maccm makuma San .
Ndio maana wanaruhusu ushoga haya mafala
Acha usimbwa mbwa wa ccm we
Sasa wewe kuma la mama yako...iko wapi vurugu ya chadema?
Vulugu inaletwa na ccm kengewewe nyamatulo mabilingisu
we naww km shoga tuu asa unajiona naww umecoment kwy
Mtihani
what was the energy ratio between policemen vs CDM members during that event?
Msigwa kawatuma hao polisi ukiwa ccm raha sana
Alafu mnasema Tanzania kuna amani,Aman gani?
Yaani jeshi la polisi halina weledi ni kucheza na mali za serikali watanzania masikini mwisho upo
Iposiku mungu atatenda ktk inch hii
Mmekosea Nini kwanini umnyanyase binadam bila hatia. Mungu azidi kuwapigania
Poleni sana nchi yetu jamani inaelekea wapi?
Tanzania tunanyanyasika Sana ipo cku Mungu atawajibu wabaya wote
Poleni sana😂😂😂
Inabidi mjiulize sana kwa nini? Ninyi tu
Kila uchao
Ni VIZURI MPIGWE ILI MUACHE KUTUKANA HOVYO
TENA INGELIKUWA BUSARA MNGESHINDWA HATA KUTEMBEA ILI MUONE MAUMIVU MNAVYOWASHAWISHI
VIJANA WAJITOE MUHANGA
Adam rudawa ww ni nguluwe
@@KasongoRugina ikiwa mimi nguruwe wewe ni ngiri kabisaaa
Wewe adamu mkundu wa bibi yako ujui unachoongea
Adamu kenge yamtoni Tena nyangau Tena muwaji kibaka Tena kinyamkila kibundali kihona tena wewe wewe wewe sijuinikuambiaje ngoja nikuwache
Chadema nimti wenye matunda ndiyomana wanapigwa mawe umesikia kinyambulu wewe
Hao ndiyo majambazi ccm niwezi hawajiamini wanatumia nguvunyingi kweli mungu simwanada laitiagekuwa mwadamu sijui
Mhhh pole mheshimiwa
Pole kijana wetu lakini mungu ni mwema
Ao nimagaidy
Kauli ya mwisho ya mhe: Mnyika ina maana na uhalisia mno
Kwa nini CCM mikutano yao sio hatarishi😂😂😂
Poleni
Hii ndio Mbeya bhana, poleni sana
Jmn hiiTanzania Vita tutaiharibu wenyewe mbona ccm inafanya chochote wanacho take na hakuna chochote?
Jamani kwani hawa walikuwa majambazi au? Huu ni ukatili usiofaa, Mungu anawaona na malipo watayapata. Machozi yenu hayatapotea bure.
Kutumia polisi kwenye siasa ni mbaya sana, inazarisha chuki kwenye jamii
Eti nilipigwa sana. Si bora ungelifanya comedy ukafunga bandeji za uongo
Sugu yuko hoi ila anatweet 😂
Wafuasi wa Ccm hamna Akili Yani sijui mna akili za Namna Gani?
Yaani kuwa ccm ndiyo unadhani una maisha mazuri sana, pole
Watunzi wazuri wa hadithi za cheichei shangazi😂😂😂
Poleleni sana wote kwa mlkokutana nayo. Binadamu ana mfanyia binadamu mwenziwe hayo bila huruma?? Hawaogopi laana itatafuna uzao wao???
Hii nchi hii ikiingia kwenye machafuko ni jeshi la polisi
Dah,kumbe tuna polisi wezi!..pumbaf mnaiba mpaka simu?!...polisi wote marafiki nafuta namba zenu sitaki mazoea,na wote mliotenda haya Mungu awalaani!..
LISSU NI MGONJWA NA MLEMAVU MWENZANGU ANAACHA KUJIANGALIA HALI YAKE ANAJIWEKA KIMBELEMBELE
LISSU TULIA ULE PESA ULIYOCHANGIWA NA WASIOJIELEWA
Duh