Mwanzo Mwisho Lissu Afunguka Kilichotokea Mbeya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 95

  • @mst1studio270
    @mst1studio270 2 місяці тому +1

    Mbona sioni Star tv? Itv? Au Kwanini huwa hawahudulii vikao vya Chadema?

  • @shakiru-y7g
    @shakiru-y7g 2 місяці тому +14

    msajili aisajili polisi tuijue kuwa nao ni chama cha siasa,polisi mmezidi.

  • @KuzenzaSangija
    @KuzenzaSangija 2 місяці тому +7

    Asante sana kiongozi Kwa taarifa Kwa uma wa wa Tanzania Kwa dhuluma ya haki ya kiasili na kikatiba iliyofanywa na PT.

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 2 місяці тому +1

    Dah amakweli CHADEMA, mmefanyiwa ukatili, polen sana, nalaani kitendo hiki.

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k 2 місяці тому +4

    Mipango ya Tulia ,Sasa dada huyo mbona ana roho mbaya ya kuzimu,alafu anajifanya ameokoka,huyo ni jehanamu TU,

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 2 місяці тому +1

    Huyo aliyekuja kufanya fujo,Chadema mshitakini mahakamani yeye Binafsi

  • @SleepyBacon-hy2lv
    @SleepyBacon-hy2lv 2 місяці тому

    heshima kwako prof Tundu Lossy...uwezo wako na akili zako tunachukua za mama plus majaliwa na bado hazitimiii..shikamoo kwako🌹🌹🌹

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 2 місяці тому +1

    Kura 1 aliyokosa mgombea kanda ya mbeya inaweza kulipwa na adhabu ambazo hazikuwahi kuwako duniani .

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 2 місяці тому +3

    Kuna ujinga mwingi unaendelea nchini kwetu.

    • @leothardngonya4842
      @leothardngonya4842 2 місяці тому

      Sasa unangoja nini? Na wewe leta ujinga wako ukione cha moto. Mnamtetea Mm Belgiji!!!!

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 2 місяці тому +5

    Poleni sana ila matendo yao yoooote Allah anayaona

  • @RutinikiGosbert
    @RutinikiGosbert 2 місяці тому +3

    Msajili tafazari sana tusajilie polisi kama chama cha upinzani tunaomba sana

  • @fabianmihafu697
    @fabianmihafu697 2 місяці тому +1

    Inaonekana ma RPC na Ma RCO hawakuwa na shida, ni huyu kiongozi wa operation ndiye ayeamuru unyanyasaji huo. Anyway yana mwisho. Poleni sana wahanga

  • @LwitikoLubalile
    @LwitikoLubalile 2 місяці тому +2

    Kiongozi sugu au mbilinyi mungu akuponye Alaska uludi kwenye kazi zako za kichama na kitaifa

  • @MasumbukoZuhumpa
    @MasumbukoZuhumpa 2 місяці тому +6

    Poleni sana

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 2 місяці тому +3

    Mungu atakupa njia lisu pigania haki hata manabii walipata. Vikwazo

  • @shakiru-y7g
    @shakiru-y7g 2 місяці тому +5

    polisi waliofanya kamatakamata Mbeya ni magaidi,wafunguliwe kesi ya kimataifa na wakafungwe geleza la Gwantanamo,sio polisi hao ,hilo jina la usalama wa Taifa lifutwe,hawa ni wahasi wa polisi.

  • @MelchizedekMajimbe
    @MelchizedekMajimbe 2 місяці тому +3

    Sihami Tanzania maana
    Ni nchi isio jaliiii haki kabisa
    😂😂😂😂😂😂

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 місяці тому

    Pole I sana msikate tamaa jihadharini na fitina za mtandao I ccm wanataka mhame chadema kuwebi makinibsana

  • @chaleschales7024
    @chaleschales7024 2 місяці тому +3

    Ipo siku atayajibu haya cdm mungu awasaidie

  • @daviddsouza735
    @daviddsouza735 2 місяці тому

    Kwenye giza - nikimaanisha kwamba elimu yetu ya uraia na mengineyo ni mdogo kwa jumla - mambo mengi yanaweza kuharibika.
    Pole kwa wote walioumiwza na kikosi kilichotakiwa kuwalinda.

  • @MubaKamlete
    @MubaKamlete 2 місяці тому +1

    Poleni sana mungu ibariki Tanganyika

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 2 місяці тому

    lissu Mungu akuongoze akupe nguvu zaid na msaada wa pekee cc tumechoka chama cha bunge la ndio bandali kuuzwa ndiooo wamasai kondolewa wao ndiooo hayana huruma hata kidogo yanashindana kwa vioyoyoz2 na mav8 ya dpwd

  • @felistersnjani6252
    @felistersnjani6252 2 місяці тому

    Your freedom is coming

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 2 місяці тому

    Lisu hiz tabu zote sasa za nini achana na siasa watanzania siyo watu maisha yetu ni magumu lakini hatutaki kuelewa kwamba upinzani umetuondolea tongotongo machoni

  • @shakiru-y7g
    @shakiru-y7g 2 місяці тому +1

    pole sana

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 2 місяці тому

    Nenda kwenu.

  • @godfreykahabi1964
    @godfreykahabi1964 2 місяці тому +3

    Rais halali wa mioyo ya watanzania mhe Tundu Antipas Mugwahi Lissu

    • @DivNg27
      @DivNg27 2 місяці тому +1

      Kiukweli kabisa hawezi kua Rais wetu,labda kazi nyingne...Rais anaeunga mkono Ushoga hapana,hatumtaki.

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 2 місяці тому +2

      ​@@DivNg27 aliyewaambieni fanyaneni ninyi kwa ninyi wenye misuli kumbe alikuwa Lissu?😂😂😂

    • @ProsperReuben-fg6uh
      @ProsperReuben-fg6uh 2 місяці тому

      V​@@DivNg27mbona tunaongozwa na yule aliyesema wakubwa wafanyane ila watoto hapana huyo hukumsikia?

    • @RutinikiGosbert
      @RutinikiGosbert 2 місяці тому

      ​@@DivNg27wewe ndo shoga

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk 2 місяці тому

    Kama ilikuwa ni maadhimisho ya siku vijana dukiaji ninyi viongozi wa kitaifa mlifuata nn . Mngewaacha vijana waongee mambo yao na ninyi kama mlikuwa na nia ya kufanya mkutano na maandamano mngepanga siku nyingine. Mlijitakia wenyewe huo mvutano

  • @giftotaru5808
    @giftotaru5808 2 місяці тому

    Bnafc mimi ccm lkn kilichofanyika nimekilaaani haswa
    Mungu mtakatifu aliejuu akasema nakutoa majibu juu ya wote waloshiriki huu unyama wa namna hii.
    Tanzania 🇹🇿 wte ni wamoja haki zote zinapiganiwa niza watanzania wte sion sababu yakutiana vilema wakati wote ss tunapita tutakufa na kila kitu kitabakia

  • @SichivulaGevasi
    @SichivulaGevasi 2 місяці тому

    Poleni sana

  • @shakiru-y7g
    @shakiru-y7g 2 місяці тому +2

    wananchi tukiwakataa polisi ,sidhani hata kama mitaani watapita,labda watakuwa wa ofisini tu,nchi yetu hila za maagizo ya juu yanaumiza raia,hakutatawalika kama hali ni hii.

  • @SeverineMubezi
    @SeverineMubezi 2 місяці тому

    Zidi kuwa jasiri ili kutetea haki ya wanyonge

  • @JamesMwandoje
    @JamesMwandoje 2 місяці тому +1

    CCM juuu....🎉🎉🎉😂😂😂

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 2 місяці тому +5

    UVCCM NA BAVICHA WANATOFAUTI GANI WOTE NI WATANZANIA WAZALENDO WENYE HAKI YA KUJUA HATMA YA TAIFA LAO KIUCHUMI,KIDEMOKRASIA ,NA KISIASA PIA ,LKN MBONA POLICE INAGAWANYA WATU KWA KUWABAGUA?

  • @dittosanga3358
    @dittosanga3358 2 місяці тому

    Poleni sana wanachama wa
    M4C

  • @emanuelymichael9759
    @emanuelymichael9759 2 місяці тому

    Wala nchi ni ccm wanajikusanyia pesa na kuficha nchi za nje tunaachiwa umasikini. Mabadiliko lazima "lissu ww mkorofi unamwita mwenzio shost😂😂😂"

  • @HemedKiama
    @HemedKiama 2 місяці тому +4

    Mungu akupe maisha Lissu chadema ije itawale nchi hii,ccm hovyo kabisa Kila ushenzi ni wao,kuteka,kutesa,kuua,wizi,dhuluma Kila aina ya ushetani,mkafie mbali!..

  • @suzanaherman
    @suzanaherman 2 місяці тому

    Uko vzur

  • @HadijaSelemn
    @HadijaSelemn 2 місяці тому

    Yuko vzr😅

  • @gililwise
    @gililwise 2 місяці тому +2

    Nimekuelewa kiongozi number hao waliozuia ni vilaza walifeli shule maana hawajui sheria wanakurupuka tu.wachukuliwe hatua kwa kukurupuka Wakefield jela

  • @WillisonMkumbo
    @WillisonMkumbo 2 місяці тому

    We lissu utaja kufa,punguza uhuni imesha zeeka

  • @sylvesterlombe6366
    @sylvesterlombe6366 2 місяці тому

    In Zambia opposition party leaders are arrested quite frequently but they are never beaten

  • @IsaacPhilemon-mt7bk
    @IsaacPhilemon-mt7bk 2 місяці тому +2

    Uzuri wa Tundukisu ni mkweli,check anavoongea ukweli kuhusu barua alizoandikiwa.Hongera sana Antipass Lissu.

  • @MasumbukoZuhumpa
    @MasumbukoZuhumpa 2 місяці тому +3

    MUNGU ni mwema, ipo ck tutafika

  • @gilbertalkado8105
    @gilbertalkado8105 Місяць тому

    EeMungu ingilia,kati kuliokoa,Taifa,hili'lililo vamiwa,najinamizi la hofu kwa watawala wa nchi hii kwani hikikinacho tokea ni,uthibitisho kwamba wanazima juhudi za watu wanao tetea maslahi ya Nchi na kutaka wao waachwe waendelee kudhurum haki za watu

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb 2 місяці тому

    Lissu Hana tafauti na migunamiguna WA Kenya yeye hukimbilia ujerumani na miguna anakikia norway

  • @momylaviel
    @momylaviel 2 місяці тому

    Nchiii hiiii😢😢

  • @dittosanga3358
    @dittosanga3358 2 місяці тому

    Chukua piacha hapo hao viongozi wakubwa je?raia huku mtaani ipoje

  • @AthumaniMikindo
    @AthumaniMikindo 2 місяці тому

    Mbona wao ccm walifanya Kule Zanzibar Ninani Aliwazuwiya Ama Akinya Bata kaharisha Akinya kuku kanya Wache upumbavu hii nchi Sio ya ccm kama wanavyozani hiyapa nchi Niyawatanzania Alafu awapolisi hawa Wache kuchegamia upande mmoja

  • @HemedKiama
    @HemedKiama 2 місяці тому

    Hahaaa😂!..Mh lisu mwanaume akishakua shosti hafai kabisa!.

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k 2 місяці тому

    Mungu awakumbuke kujitolea kuikomboa Tanzania kwenye utawala wa mkoloni CCM na viongozi wake,wanajifanya ni wa milele ,Kwa ukatili huo watalipa mbele za mungu

  • @asajileraphael1951
    @asajileraphael1951 2 місяці тому +3

    Moto umewaka

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 2 місяці тому

    April walimpiga dogo huko Kilimanjaro nilijua kafa wakamsweka kwenye ligari Lina tinted jeupe tulitafuta mwisho tukamkuta Boma Wilaya ya hai nikajua kafa tumemtafuta masaa 6 tunaoga matusi tu mwisho wakagundua Mi siwaogopi wakanifukuza Thanks to RPC wa Kilimanjaro wakamtoa dogo Imagine hujuani na watu dogo angekufa maana nae aliwapa mitama 😅😅maana aliona anaonewa all in All nchi inatisha

  • @driss4957
    @driss4957 2 місяці тому

    DHULMA INAENDA NA SHETANI HAKI NI YA MUNGU....TUTAONA MSHINDI NANI...HAKI INA TABIA YA KUCHELEWA TY...NA IKIFIKA HUDUMU MILELE..

  • @BlessMwangosi-mz8dw
    @BlessMwangosi-mz8dw 2 місяці тому

    Njamazatulia

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 2 місяці тому

    Kumeanza kuchangamka sasa uchaguzi wa serikali za mitaa

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda 2 місяці тому

    Eti ccm itajenga nnchi kutuweka mambumbucha watanzania

  • @rachelstephen3009
    @rachelstephen3009 2 місяці тому

    Uonevu uwoo

  • @Iddi-xw7vw
    @Iddi-xw7vw 2 місяці тому

    Mnambwela. kaka.

  • @paulmathias6328
    @paulmathias6328 2 місяці тому

    Hiiiiiii imesha kuwa shida

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu 2 місяці тому

    Ccm wanafanya unyama sana na polisi wao

  • @willymkapa-fb6bj
    @willymkapa-fb6bj 2 місяці тому

    😢

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 місяці тому

    Idhini ya Samia mkuu wa majeshi, ya kuruhusu uovu huu wa matumizi makubwa ya rasilimali fedha na vyombo vya usafiri, ilikuwa akili? Au tunaongozwa na mamluki.

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 2 місяці тому

    Polisi mshafanya mengi kutetea ccm ahsant mliopata kikokotoo !!

  • @shakiru-y7g
    @shakiru-y7g 2 місяці тому

    Hatutapiga kura hadi haki zote ziwepo.katiba sio ya kubembeleza ni ya lazima.

  • @LwitikoLubalile
    @LwitikoLubalile 2 місяці тому

    Viongzi wangu mungu awape maisha marefu kwa kile kilichokwenda kutokea kwenye sherehe ya vijana dunia

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 2 місяці тому +1

    Nawao wataenda pigwa na Allah makaburini kwao bado mda mchachetu

  • @evelina9621
    @evelina9621 2 місяці тому +1

    Lusu.poleni.sana.mu ngu.awe.na nyi.siku.zote.vyama.hass.chadema

  • @shakiru-y7g
    @shakiru-y7g 2 місяці тому

    Hao ni wauwaji kama wauwaji wengine,tukio hilo linashabiliana na mauaji.

  • @JuliasMwita-c2l
    @JuliasMwita-c2l 2 місяці тому

    Tuone hao watu wanachukuliwa hatua mahakamani mheshimiwa.

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 2 місяці тому

    Dah huyu kantimbo mbarikiwa kashamtaja saaana.

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 2 місяці тому

    Ndio kamanda ao mapolisi wafungweee jelaa

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 2 місяці тому

    Hivi polis ni chama kipi cha siasa?

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 2 місяці тому

    Pilisi = chama cha siasa

  • @QwakuHangu
    @QwakuHangu 2 місяці тому

    Hivi hiki chama msemaji ninani?maana huku mbowe huku lisu Yan sielewi

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 2 місяці тому

      Mama yako anaweza kutufaa kuwa msemaji na atakacho kitaka atapewa!

  • @shakiru-y7g
    @shakiru-y7g 2 місяці тому

    mimi sina chama hila uonevu kama mtanzania siupendi,tuko kwenye zama za kishetani.

  • @JosephatJoseph-eo8xj
    @JosephatJoseph-eo8xj 2 місяці тому

    Turuhusu wakipate

  • @AziCure
    @AziCure 2 місяці тому

    WASAKATONGE😅😅

  • @JosephatJoseph-eo8xj
    @JosephatJoseph-eo8xj 2 місяці тому

    Tuvipige

  • @IssaIra-j9u
    @IssaIra-j9u 2 місяці тому

    Msikubali uwonevu , fanyeni ,tukio moja Dunia , ijue, Hivi mpaka lini,😢😢

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 2 місяці тому

    Bingwa wa kulalamika

  • @askarikanzu1054
    @askarikanzu1054 2 місяці тому

    Umekipta ulichokuwa unakitafuta.

  • @QwakuHangu
    @QwakuHangu 2 місяці тому

    Darasa Gani usiku kucha?