polisi waliofanya kamatakamata Mbeya ni magaidi,wafunguliwe kesi ya kimataifa na wakafungwe geleza la Gwantanamo,sio polisi hao ,hilo jina la usalama wa Taifa lifutwe,hawa ni wahasi wa polisi.
Kwenye giza - nikimaanisha kwamba elimu yetu ya uraia na mengineyo ni mdogo kwa jumla - mambo mengi yanaweza kuharibika. Pole kwa wote walioumiwza na kikosi kilichotakiwa kuwalinda.
lissu Mungu akuongoze akupe nguvu zaid na msaada wa pekee cc tumechoka chama cha bunge la ndio bandali kuuzwa ndiooo wamasai kondolewa wao ndiooo hayana huruma hata kidogo yanashindana kwa vioyoyoz2 na mav8 ya dpwd
Lisu hiz tabu zote sasa za nini achana na siasa watanzania siyo watu maisha yetu ni magumu lakini hatutaki kuelewa kwamba upinzani umetuondolea tongotongo machoni
Kama ilikuwa ni maadhimisho ya siku vijana dukiaji ninyi viongozi wa kitaifa mlifuata nn . Mngewaacha vijana waongee mambo yao na ninyi kama mlikuwa na nia ya kufanya mkutano na maandamano mngepanga siku nyingine. Mlijitakia wenyewe huo mvutano
Bnafc mimi ccm lkn kilichofanyika nimekilaaani haswa Mungu mtakatifu aliejuu akasema nakutoa majibu juu ya wote waloshiriki huu unyama wa namna hii. Tanzania 🇹🇿 wte ni wamoja haki zote zinapiganiwa niza watanzania wte sion sababu yakutiana vilema wakati wote ss tunapita tutakufa na kila kitu kitabakia
wananchi tukiwakataa polisi ,sidhani hata kama mitaani watapita,labda watakuwa wa ofisini tu,nchi yetu hila za maagizo ya juu yanaumiza raia,hakutatawalika kama hali ni hii.
UVCCM NA BAVICHA WANATOFAUTI GANI WOTE NI WATANZANIA WAZALENDO WENYE HAKI YA KUJUA HATMA YA TAIFA LAO KIUCHUMI,KIDEMOKRASIA ,NA KISIASA PIA ,LKN MBONA POLICE INAGAWANYA WATU KWA KUWABAGUA?
Mungu akupe maisha Lissu chadema ije itawale nchi hii,ccm hovyo kabisa Kila ushenzi ni wao,kuteka,kutesa,kuua,wizi,dhuluma Kila aina ya ushetani,mkafie mbali!..
Nimekuelewa kiongozi number hao waliozuia ni vilaza walifeli shule maana hawajui sheria wanakurupuka tu.wachukuliwe hatua kwa kukurupuka Wakefield jela
EeMungu ingilia,kati kuliokoa,Taifa,hili'lililo vamiwa,najinamizi la hofu kwa watawala wa nchi hii kwani hikikinacho tokea ni,uthibitisho kwamba wanazima juhudi za watu wanao tetea maslahi ya Nchi na kutaka wao waachwe waendelee kudhurum haki za watu
Mbona wao ccm walifanya Kule Zanzibar Ninani Aliwazuwiya Ama Akinya Bata kaharisha Akinya kuku kanya Wache upumbavu hii nchi Sio ya ccm kama wanavyozani hiyapa nchi Niyawatanzania Alafu awapolisi hawa Wache kuchegamia upande mmoja
Mungu awakumbuke kujitolea kuikomboa Tanzania kwenye utawala wa mkoloni CCM na viongozi wake,wanajifanya ni wa milele ,Kwa ukatili huo watalipa mbele za mungu
April walimpiga dogo huko Kilimanjaro nilijua kafa wakamsweka kwenye ligari Lina tinted jeupe tulitafuta mwisho tukamkuta Boma Wilaya ya hai nikajua kafa tumemtafuta masaa 6 tunaoga matusi tu mwisho wakagundua Mi siwaogopi wakanifukuza Thanks to RPC wa Kilimanjaro wakamtoa dogo Imagine hujuani na watu dogo angekufa maana nae aliwapa mitama 😅😅maana aliona anaonewa all in All nchi inatisha
Idhini ya Samia mkuu wa majeshi, ya kuruhusu uovu huu wa matumizi makubwa ya rasilimali fedha na vyombo vya usafiri, ilikuwa akili? Au tunaongozwa na mamluki.
Mbona sioni Star tv? Itv? Au Kwanini huwa hawahudulii vikao vya Chadema?
msajili aisajili polisi tuijue kuwa nao ni chama cha siasa,polisi mmezidi.
Asante sana kiongozi Kwa taarifa Kwa uma wa wa Tanzania Kwa dhuluma ya haki ya kiasili na kikatiba iliyofanywa na PT.
Dah amakweli CHADEMA, mmefanyiwa ukatili, polen sana, nalaani kitendo hiki.
Mipango ya Tulia ,Sasa dada huyo mbona ana roho mbaya ya kuzimu,alafu anajifanya ameokoka,huyo ni jehanamu TU,
Huyo aliyekuja kufanya fujo,Chadema mshitakini mahakamani yeye Binafsi
heshima kwako prof Tundu Lossy...uwezo wako na akili zako tunachukua za mama plus majaliwa na bado hazitimiii..shikamoo kwako🌹🌹🌹
Kura 1 aliyokosa mgombea kanda ya mbeya inaweza kulipwa na adhabu ambazo hazikuwahi kuwako duniani .
Kuna ujinga mwingi unaendelea nchini kwetu.
Sasa unangoja nini? Na wewe leta ujinga wako ukione cha moto. Mnamtetea Mm Belgiji!!!!
Poleni sana ila matendo yao yoooote Allah anayaona
Msajili tafazari sana tusajilie polisi kama chama cha upinzani tunaomba sana
Inaonekana ma RPC na Ma RCO hawakuwa na shida, ni huyu kiongozi wa operation ndiye ayeamuru unyanyasaji huo. Anyway yana mwisho. Poleni sana wahanga
Kiongozi sugu au mbilinyi mungu akuponye Alaska uludi kwenye kazi zako za kichama na kitaifa
Poleni sana
Mungu atakupa njia lisu pigania haki hata manabii walipata. Vikwazo
polisi waliofanya kamatakamata Mbeya ni magaidi,wafunguliwe kesi ya kimataifa na wakafungwe geleza la Gwantanamo,sio polisi hao ,hilo jina la usalama wa Taifa lifutwe,hawa ni wahasi wa polisi.
Sihami Tanzania maana
Ni nchi isio jaliiii haki kabisa
😂😂😂😂😂😂
Pole I sana msikate tamaa jihadharini na fitina za mtandao I ccm wanataka mhame chadema kuwebi makinibsana
Ipo siku atayajibu haya cdm mungu awasaidie
Kwenye giza - nikimaanisha kwamba elimu yetu ya uraia na mengineyo ni mdogo kwa jumla - mambo mengi yanaweza kuharibika.
Pole kwa wote walioumiwza na kikosi kilichotakiwa kuwalinda.
Poleni sana mungu ibariki Tanganyika
lissu Mungu akuongoze akupe nguvu zaid na msaada wa pekee cc tumechoka chama cha bunge la ndio bandali kuuzwa ndiooo wamasai kondolewa wao ndiooo hayana huruma hata kidogo yanashindana kwa vioyoyoz2 na mav8 ya dpwd
Your freedom is coming
Lisu hiz tabu zote sasa za nini achana na siasa watanzania siyo watu maisha yetu ni magumu lakini hatutaki kuelewa kwamba upinzani umetuondolea tongotongo machoni
pole sana
Nenda kwenu.
Rais halali wa mioyo ya watanzania mhe Tundu Antipas Mugwahi Lissu
Kiukweli kabisa hawezi kua Rais wetu,labda kazi nyingne...Rais anaeunga mkono Ushoga hapana,hatumtaki.
@@DivNg27 aliyewaambieni fanyaneni ninyi kwa ninyi wenye misuli kumbe alikuwa Lissu?😂😂😂
V@@DivNg27mbona tunaongozwa na yule aliyesema wakubwa wafanyane ila watoto hapana huyo hukumsikia?
@@DivNg27wewe ndo shoga
Kama ilikuwa ni maadhimisho ya siku vijana dukiaji ninyi viongozi wa kitaifa mlifuata nn . Mngewaacha vijana waongee mambo yao na ninyi kama mlikuwa na nia ya kufanya mkutano na maandamano mngepanga siku nyingine. Mlijitakia wenyewe huo mvutano
Bnafc mimi ccm lkn kilichofanyika nimekilaaani haswa
Mungu mtakatifu aliejuu akasema nakutoa majibu juu ya wote waloshiriki huu unyama wa namna hii.
Tanzania 🇹🇿 wte ni wamoja haki zote zinapiganiwa niza watanzania wte sion sababu yakutiana vilema wakati wote ss tunapita tutakufa na kila kitu kitabakia
Poleni sana
wananchi tukiwakataa polisi ,sidhani hata kama mitaani watapita,labda watakuwa wa ofisini tu,nchi yetu hila za maagizo ya juu yanaumiza raia,hakutatawalika kama hali ni hii.
Zidi kuwa jasiri ili kutetea haki ya wanyonge
CCM juuu....🎉🎉🎉😂😂😂
UVCCM NA BAVICHA WANATOFAUTI GANI WOTE NI WATANZANIA WAZALENDO WENYE HAKI YA KUJUA HATMA YA TAIFA LAO KIUCHUMI,KIDEMOKRASIA ,NA KISIASA PIA ,LKN MBONA POLICE INAGAWANYA WATU KWA KUWABAGUA?
Poleni sana wanachama wa
M4C
Wala nchi ni ccm wanajikusanyia pesa na kuficha nchi za nje tunaachiwa umasikini. Mabadiliko lazima "lissu ww mkorofi unamwita mwenzio shost😂😂😂"
Mungu akupe maisha Lissu chadema ije itawale nchi hii,ccm hovyo kabisa Kila ushenzi ni wao,kuteka,kutesa,kuua,wizi,dhuluma Kila aina ya ushetani,mkafie mbali!..
Uko vzur
Yuko vzr😅
Nimekuelewa kiongozi number hao waliozuia ni vilaza walifeli shule maana hawajui sheria wanakurupuka tu.wachukuliwe hatua kwa kukurupuka Wakefield jela
We lissu utaja kufa,punguza uhuni imesha zeeka
In Zambia opposition party leaders are arrested quite frequently but they are never beaten
Uzuri wa Tundukisu ni mkweli,check anavoongea ukweli kuhusu barua alizoandikiwa.Hongera sana Antipass Lissu.
MUNGU ni mwema, ipo ck tutafika
EeMungu ingilia,kati kuliokoa,Taifa,hili'lililo vamiwa,najinamizi la hofu kwa watawala wa nchi hii kwani hikikinacho tokea ni,uthibitisho kwamba wanazima juhudi za watu wanao tetea maslahi ya Nchi na kutaka wao waachwe waendelee kudhurum haki za watu
Lissu Hana tafauti na migunamiguna WA Kenya yeye hukimbilia ujerumani na miguna anakikia norway
Nchiii hiiii😢😢
Chukua piacha hapo hao viongozi wakubwa je?raia huku mtaani ipoje
Mbona wao ccm walifanya Kule Zanzibar Ninani Aliwazuwiya Ama Akinya Bata kaharisha Akinya kuku kanya Wache upumbavu hii nchi Sio ya ccm kama wanavyozani hiyapa nchi Niyawatanzania Alafu awapolisi hawa Wache kuchegamia upande mmoja
Hahaaa😂!..Mh lisu mwanaume akishakua shosti hafai kabisa!.
Mungu awakumbuke kujitolea kuikomboa Tanzania kwenye utawala wa mkoloni CCM na viongozi wake,wanajifanya ni wa milele ,Kwa ukatili huo watalipa mbele za mungu
Moto umewaka
April walimpiga dogo huko Kilimanjaro nilijua kafa wakamsweka kwenye ligari Lina tinted jeupe tulitafuta mwisho tukamkuta Boma Wilaya ya hai nikajua kafa tumemtafuta masaa 6 tunaoga matusi tu mwisho wakagundua Mi siwaogopi wakanifukuza Thanks to RPC wa Kilimanjaro wakamtoa dogo Imagine hujuani na watu dogo angekufa maana nae aliwapa mitama 😅😅maana aliona anaonewa all in All nchi inatisha
DHULMA INAENDA NA SHETANI HAKI NI YA MUNGU....TUTAONA MSHINDI NANI...HAKI INA TABIA YA KUCHELEWA TY...NA IKIFIKA HUDUMU MILELE..
Njamazatulia
Kumeanza kuchangamka sasa uchaguzi wa serikali za mitaa
Eti ccm itajenga nnchi kutuweka mambumbucha watanzania
Uonevu uwoo
Mnambwela. kaka.
Hiiiiiii imesha kuwa shida
Ccm wanafanya unyama sana na polisi wao
😢
Idhini ya Samia mkuu wa majeshi, ya kuruhusu uovu huu wa matumizi makubwa ya rasilimali fedha na vyombo vya usafiri, ilikuwa akili? Au tunaongozwa na mamluki.
Polisi mshafanya mengi kutetea ccm ahsant mliopata kikokotoo !!
Hatutapiga kura hadi haki zote ziwepo.katiba sio ya kubembeleza ni ya lazima.
Viongzi wangu mungu awape maisha marefu kwa kile kilichokwenda kutokea kwenye sherehe ya vijana dunia
Nawao wataenda pigwa na Allah makaburini kwao bado mda mchachetu
Lusu.poleni.sana.mu ngu.awe.na nyi.siku.zote.vyama.hass.chadema
Hao ni wauwaji kama wauwaji wengine,tukio hilo linashabiliana na mauaji.
Tuone hao watu wanachukuliwa hatua mahakamani mheshimiwa.
Dah huyu kantimbo mbarikiwa kashamtaja saaana.
Ndio kamanda ao mapolisi wafungweee jelaa
Hivi polis ni chama kipi cha siasa?
Pilisi = chama cha siasa
Hivi hiki chama msemaji ninani?maana huku mbowe huku lisu Yan sielewi
Mama yako anaweza kutufaa kuwa msemaji na atakacho kitaka atapewa!
mimi sina chama hila uonevu kama mtanzania siupendi,tuko kwenye zama za kishetani.
Turuhusu wakipate
WASAKATONGE😅😅
Tuvipige
Msikubali uwonevu , fanyeni ,tukio moja Dunia , ijue, Hivi mpaka lini,😢😢
Bingwa wa kulalamika
Umekipta ulichokuwa unakitafuta.
We mginga Bado ww sasa kupigwa nalaiyaaa
Wee mjinga xana kupigwa kwake kwako fulaha
Mbwa
Darasa Gani usiku kucha?