Yanga SC 4-1 Azam FC | Highlights | Fainali | Ngao ya Jamii 11/08/2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 330

  • @HusenMkoko
    @HusenMkoko 2 місяці тому +10

    Asante Mungu,..asant my team mzize umeiva Baba💚💚💚

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 2 місяці тому +10

    Alhamndulilah Kwa Timu hii M/Mungu ameijaalia uwezo mkubwa na namuomba M/Mungu aijaalie zaidi Inshaallah

  • @yoramswagala6715
    @yoramswagala6715 Місяць тому +7

    Tazama 4:18 muone maajabu ya pasi ya maxi na mwendo wa boka.
    Alipiga pasi wakati wote wapo mstari mmoja akaitupa pasi ndizi na bado akaikuta 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
    What a pass,what a speed

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 2 місяці тому +12

    Ila jamani tuwe wawazi Aziz ki ni zaidi ya coach mtarajiwa 😅reaction yake ni zaidi coach gamondi😅😅mi nampenda jinsi alivyo na uchungu na team copa zake hizi hapaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💚💚💚💚💛💛🖤🖤🖤🖤🖤🖤🖤🖤

  • @Shadia544
    @Shadia544 2 місяці тому +26

    Mtoto kautaka mtoto kautaka mtoto kautaka 😂😂😂Ila fei kawaponza wezake 😂😂😂LIKE 10 KAMA NA WEWE UNAIRUDIA HII MECHI 😂

  • @cchuwa6980
    @cchuwa6980 2 місяці тому +12

    Ila Boka unamoto baba weeeeeeeh 💚💛🧡

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 2 місяці тому +14

    Mimi nisimba ila nimenyenyua miko juuu Kwa utoporo kiukweli 😭😭

  • @MapozKando
    @MapozKando 2 місяці тому +6

    Mkisikia kuna kombe jingine msisite kutuambia #DaimaMbeleNyumaMwiko 💚🔰💛

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 2 місяці тому

      @@MapozKando Hahahhahahah Ubaya Ubwelaaaa Kuuuuubaabaaabaaaaake

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 2 місяці тому

      @@Basagamp4 Umesahau kidogo, ni "ubaya ubwege!".

  • @HassanPonera
    @HassanPonera 2 місяці тому +5

    Mpira mzuri Sanaa jamani watani hongereni sana mpo vzr kweli naamini mtafika mbali sana

  • @chadi-v4v
    @chadi-v4v 2 місяці тому +6

    Hii yanga naomba msimuuze ibra baca na diara wengine mbadala utapatikana tupambane wananchiiiiiii 💚💚💚💚💛💛💛💛💯💯💯💯

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 Місяць тому +1

      @@chadi-v4v hv nyie ni washabiki wa soka au Wa timu? Hv katika Tanzania hii kuna beki Bora kumzidi mamnyeto...zimbwe jr??hapa Wa ndani Tu namaanisha...mamnyeto ni beki bora tena sana Sana haspocheza tu utaona pengo lake akiwepo team inaupiga mwing kuanzia nyuma na anakaba sana hapo sijmkataa baka ila mwamnyeto mtulivu sana ila haimbwi na ndio sbb hakosi namba watu wanasema mzito sio mzito bali ni asili ya watu warefu wenye mwili kwenye kugeuka ghafla tena ni mara chache Sana wanakua wazito hasipocheza mwamnyeto timu inapata shda kupiga pas nyuma na pia kuruka mipira ya juu na kunakua na kiongozi mmoja...kuhusu baka ni bora Sana ila mwamnyto ni zaid sema nyota hana mwingine mzur Sana job hlf ndio baka

  • @CBCinspirations04
    @CBCinspirations04 2 місяці тому +4

    Wanayanga tukusanyike hapa 🔥🔥🔥🔥🥂

  • @phina8058
    @phina8058 2 місяці тому +13

    Dube ni yule mchezaje anakua kwenye position alafu ni hatari muda wowote. Alafu akifunga kama sio yeye vile.

  • @CharlesKahema-c9v
    @CharlesKahema-c9v 2 місяці тому +15

    Leo wakwanza nipeni like Zang wananchi twende saw

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Місяць тому +4

    Hii game,Yanga inaonekana walikuwa na hasira --- Dube anaweka,halafu yeye na Max wanaufuata Moira wavuni " hakuna muda wa kupoteza,wanaitaka game " safi sana.

  • @rlh-tz
    @rlh-tz 2 місяці тому +5

    Azam wana onyesha jinsi azam alivyochapwa na mwananchi safi sana uzalendo huu

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 17 днів тому +10

    Ndo kitakachowakuta watu fulani trh 19,maana mdomo umezidi sana.

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 2 місяці тому +7

    Yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa ww huogopi 💛💛💚💚💪 azam aliingia kwenye mfumo mechi tamu hii 😂😂😂😂

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 2 місяці тому +5

    Hata kama mimi ni shabiki wa Simba ila Kwa Yanga hii nina uhakika itafika mbali kama Viongozi wakiendelea kuwa na Mshkamano na Kuongea Lugha moja ktk usajili na jinsi wanavocop na Mashabiki wake ndio Inatokea INTERNATIONAL COMBO😊❤
    VIVA WANANCHI #SIMBANGUVUMOJA #UBAYAUBWELA

  • @FireboyFireboy-f1s
    @FireboyFireboy-f1s 2 місяці тому +2

    Love yanga naipenda sn

  • @MariamJaberi-g5y
    @MariamJaberi-g5y 23 дні тому +3

    Jamn naipenda yang milel

  • @stevendevid
    @stevendevid 2 місяці тому +3

    Yanga juuuuuuuuuj 😊

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 2 місяці тому +3

    Yah! Standard mliyoiset Yanga kwenye soka hapa Tz ni kubwa mno. Wengine waache uongo na visingizio, wachukue kalamu na karatasi wajifunze. Basi!!!

  • @WitinessKitomary
    @WitinessKitomary 2 місяці тому +3

    Yanga keep on my lovely team

  • @Toxic-d5y
    @Toxic-d5y 2 місяці тому +4

    Yanga power

  • @johbinm2b218
    @johbinm2b218 2 місяці тому +13

    Yanga bingwa, ila boka ni mashine

  • @IssaMuhamed-sg6np
    @IssaMuhamed-sg6np 2 місяці тому +4

    Yanga🎉🎉🎉🎉🎉

  • @barakasamson6356
    @barakasamson6356 2 місяці тому +5

    Mzize kaivaa wakuuu

    • @mawazochanya2081
      @mawazochanya2081 2 місяці тому

      Anazidi kuiva.Yuko na wakali wengi kazi kwake kujinogesha

  • @mariej6962
    @mariej6962 2 місяці тому +4

    Huyu kaka aliyejifunga ni beki mzuri sana, still ameokoa magoli mengi tu na anajituma. I hope club imsaidie ssijisikie vibaya, he is not bad at all, ni bahati mbaya tu, na kama haitoshi akapewa na kadi ya njano.

  • @KelvinA.Tarimo
    @KelvinA.Tarimo 2 місяці тому +4

    Machampion yanga🎉🎉🎉

  • @francistadayo1569
    @francistadayo1569 7 днів тому +3

    Dah! Hi game Wananchi walijua kunifurahisha jamani😂😂😂

  • @cytocromeoxidase8670
    @cytocromeoxidase8670 2 місяці тому +2

    Oohh❤

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 місяці тому +5

    Usajiri wa yanga ni kiboko sana

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 2 місяці тому +4

    Yanga bingwa💛🖤💚🔰

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 місяці тому +6

    Chama mzee heee???????.😊

  • @mamuumamuu7743
    @mamuumamuu7743 2 місяці тому +7

    Kama umerudia kama mm nipe likes

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz 24 дні тому +27

    Yanga wasipocheza mwili unauma yaan mi naangalia marudio kweli jaman😅😅😅kama na wewe unaangalia marudio october weka like hapa

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro1478 2 місяці тому +3

    Chamaaaaaaa💛💛💛💛

  • @AlfaMwasofu
    @AlfaMwasofu 2 місяці тому +3

    Tunawaza club bingwa dunia ,sio Africa tena

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 2 місяці тому +4

    Azam kautaka 😂😂😂😂 yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa 💚💚💚💚💛💛💛💪💪 pija kelele kwa yanga ake weuweee 🗣🗣🗣🗣

  • @ScholarMagreth
    @ScholarMagreth Місяць тому +4

    Ila boka anashangilia safi sana❤😂😂

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria Місяць тому +6

    Sichoki kuiangalia hii mechi jamn😂ila fei ulikosea san kukata mauno😂

  • @SaidiAyubu-of8zt
    @SaidiAyubu-of8zt 2 місяці тому +5

    Mbona Azam awajaeka viuno vya feisal

  • @johnmanase2874
    @johnmanase2874 2 місяці тому +5

    Kale kagoli ka fei kalituuzi Sana, lkn hili jogoli la nne lomewauma mno makolo .. maana Alie assist wanamjua.... Tripo C mwamba waliesema n mzee. 😂

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 9 днів тому +2

    Hii, , match haichoshi kiukweeli 🎉🎉🎉

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg 2 місяці тому +6

    Au Yanga freemason 😢

  • @pamelanyanduga5102
    @pamelanyanduga5102 2 місяці тому +5

    Ila chama😮

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 2 місяці тому +186

    Assist ya chama mmeiona like zake hapa

    • @aminaomari2312
      @aminaomari2312 2 місяці тому +23

      Combination ya Chama na Mzinze itawasumbua sana wapinzani.

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 2 місяці тому +6

      @@aminaomari2312 yaaan sanaaaa

    • @joycemmassi5046
      @joycemmassi5046 2 місяці тому +5

      Watajua. Hawajui

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 2 місяці тому +1

      @@joycemmassi5046 😂😂😂

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 17 днів тому +6

    Ukitaka kuwajua kuwa Yanga hawafai anza kuwafunga

  • @lidyamhova8528
    @lidyamhova8528 2 місяці тому +4

    Naiyoigopa hiii yanga mmmh

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 2 місяці тому

    Jamanii nazidiwa na furaha mim, Yanga hii mmmmh kisukari kinanihusu 🧡🧡🧡💚👌

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 2 місяці тому +5

    DUH!! HUO MTOBO WA GOLI LA NNE MMEUONA?! AMEMANULIWA KAMA ALIVYOMANULIWA KIPA WA SIMBA... 😂😂😂 MAMMAEEE

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 2 місяці тому +7

    Yanga hii mhmmm😂😂

  • @juliadade4621
    @juliadade4621 2 місяці тому +3

    Yanga ☑️☑️☑️☑️

  • @ezekielmkinga7773
    @ezekielmkinga7773 2 місяці тому +9

    Ili uifunge yanga inabd ufunge kwanza mdomo🤭

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 2 місяці тому

      Hata ukifunga mdomo unapigwa tu! Sana sana zinaweza pungua, lakini kipigo kiko palepale!

  • @swalehlikongo1512
    @swalehlikongo1512 2 місяці тому +7

    Mmi nagunduoa Kuna Siri Walid mzize aliambiwa na president saidi now analifanyia kazi since from south Africa Kuna balaa kubwa atalifanya

  • @IshaeryMwampyate
    @IshaeryMwampyate 27 днів тому +3

    Hii mechi naipenda sn 🤣🤣🤣🙌

  • @josephnyakunga9273
    @josephnyakunga9273 2 місяці тому +3

    Sema azam sijui mnafeli wp highlights zinawashinda kuzipangilia vzr alaf low quality utasema imechukuliwa na cm isiyo na ubora mbn kwenye tv quality ni nzur kuliko za highlights

    • @ianak4
      @ianak4 2 місяці тому

      Azam huwa wanafanya ovyo mechi za Yanga kwa sababu ya wivu na chuki, fuatilia utaona, hata uzinduzi wa kitabu cha historia ya Yanga walihakikisha recording haitakaa iangaliwe tena

    • @adhalkhrokhamis7433
      @adhalkhrokhamis7433 2 місяці тому

      Setti simu yko quality ya picha

    • @mariej6962
      @mariej6962 2 місяці тому

      Simu yako tu dear, quality iko vizuri hadi kiwango cha mwisho kabisa

  • @MustafaSaid-m4e
    @MustafaSaid-m4e 2 місяці тому +2

    Kweri yanga tamu🎉🎉🎉🎉

  • @mwanahawanyambi9440
    @mwanahawanyambi9440 2 місяці тому +1

    Asante team yangu Kila la kheri uongozi na wachezaji manara sijukuona ukicheza mziki wa furaha YANGA HII INAFUNGWAJEEE😂😂

  • @MossesiMosessilaizerlaizer
    @MossesiMosessilaizerlaizer 2 місяці тому +3

    yaan iyo ndy young afrcan wasipo kufunga wao utajifunga mwenyew 😂😂😂😂

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 2 місяці тому +4

    Dharau za FEI ndizo ziliwatia hasira wananchi na hiyo ndo tofauti ya mchezaji mwenye akili kama Dube ameifunga Azam alafu hajashangilia

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt 2 місяці тому +5

    Nyie hamuogopi Yanga hiiiiiii😅

  • @sadickworld3428
    @sadickworld3428 2 місяці тому +7

    Azam wauza ukwajuuu😂

  • @kaminambeho
    @kaminambeho Місяць тому +5

    Leo nimeirudia tena😂😂😂

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 2 місяці тому +5

    Hawa wachezaji wa yanga wako addicted tazama Aziz akiwa nje.

  • @KaombweIsmail
    @KaombweIsmail Місяць тому +6

    Hizi ndio match za kumuoneshaaa kachangaaa kanguuu

  • @MikidadiSalim-xk9dc
    @MikidadiSalim-xk9dc 2 місяці тому +1

    Respect for yanga...

  • @abuuasii8487
    @abuuasii8487 Місяць тому +7

    Wanao mkubali ghalibu mzinga tujuane

  • @KelvinA.Tarimo
    @KelvinA.Tarimo 2 місяці тому +5

    Hamuogopiiiiiiiii😮😮😮

  • @Lucashunter-sr3qn
    @Lucashunter-sr3qn 2 місяці тому +7

    Nilicho penda mm baada ya fei tu dubeeee huyoooo yaan fai vs dubee mnasemaje

  • @sadickworld3428
    @sadickworld3428 2 місяці тому +4

    Afu mwambieni Feisal asiingie na matokeo kwenye mechi kama hiz

  • @ashasuweid6341
    @ashasuweid6341 10 днів тому +4

    Nikiwa na mwadho nakuja kuangalia marudio tu 😅😅😅😅

  • @alexshambutu5927
    @alexshambutu5927 2 місяці тому +7

    Huyu Boka ni jitu la hatari sana

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 місяці тому +5

    😂😂😂😂Azam they singing mtoto kautaka kubababake watuambie muda Bado vip tunawazee ama wanaume wa shoka ao B7fc na 🧁fc

  • @imanisekwao4268
    @imanisekwao4268 2 місяці тому +2

    💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @SAMWELSICHALWE-m1t
    @SAMWELSICHALWE-m1t Годину тому +1

    Mm nikuwangalia maludio tulivo wachapa yang

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 2 місяці тому +6

    MAUMIVU WANAYOPITIA MAKOLO SIO YA NCHI HII

  • @FatmaLyego
    @FatmaLyego 2 місяці тому +5

    Kuna vichaa wamesahau eti Azam kibonde. 😂😂😂😂 Kumbe Azam kibonde kama wao

  • @ZaaD31
    @ZaaD31 2 місяці тому +5

    😂Magoli ya Kurujuani 😂

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 2 місяці тому +5

    Chama ni mchezaji makubwa sio wakumdharau

  • @sadickworld3428
    @sadickworld3428 Місяць тому +2

    💚💛💚💛💪

  • @paraxedjoseph5174
    @paraxedjoseph5174 18 днів тому +3

    08/10/2024🙌💯

  • @FireboyFireboy-f1s
    @FireboyFireboy-f1s 2 місяці тому +2

    Sahh hiii yanga yamoto

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 2 місяці тому +3

    Azam na simba labda waanzishe Debora Cup ndo watashinda😂

  • @ShukuruLaurent
    @ShukuruLaurent Місяць тому +4

    Kila nikiangalia hii match nakumbuka Boka mikjmbio yake

  • @AkidaIbunjumaa
    @AkidaIbunjumaa 2 місяці тому +2

    Young Africans SC

  • @jangwanjaphet9400
    @jangwanjaphet9400 2 місяці тому +8

    Boka kakimbia Kam ng'0mbe katoroka zizini,

  • @yangacongosupporter6051
    @yangacongosupporter6051 2 місяці тому +5

    Yanga bingwa

  • @GoodluckAugustino
    @GoodluckAugustino 8 днів тому +1

    Tarehe 19 Kuna raia hawatahamin kitakachowakuta yanga ya moto sana Aseeee

  • @simeontwiyogohe2727
    @simeontwiyogohe2727 2 місяці тому +4

    Feisal alikatika kwa upwiru akaliwa uroda

  • @suleimanzimbwe373
    @suleimanzimbwe373 Місяць тому +4

    Hakuna Mechi nkiangalia napata machizi kwa furaha kubwa sana kama hii mechi ...mechi ya furaha ya ajabu

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 2 місяці тому +1

    ❤❤😊😊😊

  • @KhamisiHilali
    @KhamisiHilali 2 місяці тому +2

    Sio kujifunga tu Azam fc beki hazijipangi zikatika ovyo hakuna timu hapa inapotea pesa tu

  • @stephanmpangire4741
    @stephanmpangire4741 2 місяці тому +5

    Matokeo haya ni yale ya mechi yetu iliyopita dhidi ya Sanda FC 😂😅😊. Azam imeponzwa na Coastal Union 😂

  • @ConsolataGodfrey
    @ConsolataGodfrey 27 днів тому

    Sana tu ni coach

  • @ntihanabayojanvier1820
    @ntihanabayojanvier1820 2 місяці тому +3

    APRFC next week 😅😅😅

  • @NdekejaGibuyi
    @NdekejaGibuyi 2 місяці тому +2

    Yanga noma!

  • @Ommywhity7
    @Ommywhity7 2 місяці тому +3

    Mwamba chama kama chamaa balaaaaaaaaa

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 2 місяці тому +1

    Alhamdulillah,💚💛big congratulations to Dar young Africans

  • @CalvinmbiseMbiseCalvin
    @CalvinmbiseMbiseCalvin Місяць тому +3

    Hakika yang ni Bora