Tazama 4:18 muone maajabu ya pasi ya maxi na mwendo wa boka. Alipiga pasi wakati wote wapo mstari mmoja akaitupa pasi ndizi na bado akaikuta 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️ What a pass,what a speed
Ila jamani tuwe wawazi Aziz ki ni zaidi ya coach mtarajiwa 😅reaction yake ni zaidi coach gamondi😅😅mi nampenda jinsi alivyo na uchungu na team copa zake hizi hapaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💚💚💚💚💛💛🖤🖤🖤🖤🖤🖤🖤🖤
@@chadi-v4v hv nyie ni washabiki wa soka au Wa timu? Hv katika Tanzania hii kuna beki Bora kumzidi mamnyeto...zimbwe jr??hapa Wa ndani Tu namaanisha...mamnyeto ni beki bora tena sana Sana haspocheza tu utaona pengo lake akiwepo team inaupiga mwing kuanzia nyuma na anakaba sana hapo sijmkataa baka ila mwamnyeto mtulivu sana ila haimbwi na ndio sbb hakosi namba watu wanasema mzito sio mzito bali ni asili ya watu warefu wenye mwili kwenye kugeuka ghafla tena ni mara chache Sana wanakua wazito hasipocheza mwamnyeto timu inapata shda kupiga pas nyuma na pia kuruka mipira ya juu na kunakua na kiongozi mmoja...kuhusu baka ni bora Sana ila mwamnyto ni zaid sema nyota hana mwingine mzur Sana job hlf ndio baka
Hii game,Yanga inaonekana walikuwa na hasira --- Dube anaweka,halafu yeye na Max wanaufuata Moira wavuni " hakuna muda wa kupoteza,wanaitaka game " safi sana.
Hata kama mimi ni shabiki wa Simba ila Kwa Yanga hii nina uhakika itafika mbali kama Viongozi wakiendelea kuwa na Mshkamano na Kuongea Lugha moja ktk usajili na jinsi wanavocop na Mashabiki wake ndio Inatokea INTERNATIONAL COMBO😊❤ VIVA WANANCHI #SIMBANGUVUMOJA #UBAYAUBWELA
Huyu kaka aliyejifunga ni beki mzuri sana, still ameokoa magoli mengi tu na anajituma. I hope club imsaidie ssijisikie vibaya, he is not bad at all, ni bahati mbaya tu, na kama haitoshi akapewa na kadi ya njano.
Sema azam sijui mnafeli wp highlights zinawashinda kuzipangilia vzr alaf low quality utasema imechukuliwa na cm isiyo na ubora mbn kwenye tv quality ni nzur kuliko za highlights
Azam huwa wanafanya ovyo mechi za Yanga kwa sababu ya wivu na chuki, fuatilia utaona, hata uzinduzi wa kitabu cha historia ya Yanga walihakikisha recording haitakaa iangaliwe tena
Asante Mungu,..asant my team mzize umeiva Baba💚💚💚
Alhamndulilah Kwa Timu hii M/Mungu ameijaalia uwezo mkubwa na namuomba M/Mungu aijaalie zaidi Inshaallah
Tazama 4:18 muone maajabu ya pasi ya maxi na mwendo wa boka.
Alipiga pasi wakati wote wapo mstari mmoja akaitupa pasi ndizi na bado akaikuta 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
What a pass,what a speed
Ila jamani tuwe wawazi Aziz ki ni zaidi ya coach mtarajiwa 😅reaction yake ni zaidi coach gamondi😅😅mi nampenda jinsi alivyo na uchungu na team copa zake hizi hapaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💚💚💚💚💛💛🖤🖤🖤🖤🖤🖤🖤🖤
Mtoto kautaka mtoto kautaka mtoto kautaka 😂😂😂Ila fei kawaponza wezake 😂😂😂LIKE 10 KAMA NA WEWE UNAIRUDIA HII MECHI 😂
Ila Boka unamoto baba weeeeeeeh 💚💛🧡
Yanga
Mimi nisimba ila nimenyenyua miko juuu Kwa utoporo kiukweli 😭😭
😂😂😂😂na bd
Mkisikia kuna kombe jingine msisite kutuambia #DaimaMbeleNyumaMwiko 💚🔰💛
@@MapozKando Hahahhahahah Ubaya Ubwelaaaa Kuuuuubaabaaabaaaaake
@@Basagamp4 Umesahau kidogo, ni "ubaya ubwege!".
Mpira mzuri Sanaa jamani watani hongereni sana mpo vzr kweli naamini mtafika mbali sana
Afadhali wew umeliona hiliiii
Hii yanga naomba msimuuze ibra baca na diara wengine mbadala utapatikana tupambane wananchiiiiiii 💚💚💚💚💛💛💛💛💯💯💯💯
@@chadi-v4v hv nyie ni washabiki wa soka au Wa timu? Hv katika Tanzania hii kuna beki Bora kumzidi mamnyeto...zimbwe jr??hapa Wa ndani Tu namaanisha...mamnyeto ni beki bora tena sana Sana haspocheza tu utaona pengo lake akiwepo team inaupiga mwing kuanzia nyuma na anakaba sana hapo sijmkataa baka ila mwamnyeto mtulivu sana ila haimbwi na ndio sbb hakosi namba watu wanasema mzito sio mzito bali ni asili ya watu warefu wenye mwili kwenye kugeuka ghafla tena ni mara chache Sana wanakua wazito hasipocheza mwamnyeto timu inapata shda kupiga pas nyuma na pia kuruka mipira ya juu na kunakua na kiongozi mmoja...kuhusu baka ni bora Sana ila mwamnyto ni zaid sema nyota hana mwingine mzur Sana job hlf ndio baka
Wanayanga tukusanyike hapa 🔥🔥🔥🔥🥂
Dube ni yule mchezaje anakua kwenye position alafu ni hatari muda wowote. Alafu akifunga kama sio yeye vile.
Leo wakwanza nipeni like Zang wananchi twende saw
Hii game,Yanga inaonekana walikuwa na hasira --- Dube anaweka,halafu yeye na Max wanaufuata Moira wavuni " hakuna muda wa kupoteza,wanaitaka game " safi sana.
Azam wana onyesha jinsi azam alivyochapwa na mwananchi safi sana uzalendo huu
Ndo kitakachowakuta watu fulani trh 19,maana mdomo umezidi sana.
Ww ten@aa😂😂😂😂
Yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa ww huogopi 💛💛💚💚💪 azam aliingia kwenye mfumo mechi tamu hii 😂😂😂😂
Hata kama mimi ni shabiki wa Simba ila Kwa Yanga hii nina uhakika itafika mbali kama Viongozi wakiendelea kuwa na Mshkamano na Kuongea Lugha moja ktk usajili na jinsi wanavocop na Mashabiki wake ndio Inatokea INTERNATIONAL COMBO😊❤
VIVA WANANCHI #SIMBANGUVUMOJA #UBAYAUBWELA
Kabisaaa
Love yanga naipenda sn
Jamn naipenda yang milel
Yanga juuuuuuuuuj 😊
Yah! Standard mliyoiset Yanga kwenye soka hapa Tz ni kubwa mno. Wengine waache uongo na visingizio, wachukue kalamu na karatasi wajifunze. Basi!!!
Yanga keep on my lovely team
Yanga power
Yanga bingwa, ila boka ni mashine
Yanga🎉🎉🎉🎉🎉
Mzize kaivaa wakuuu
Anazidi kuiva.Yuko na wakali wengi kazi kwake kujinogesha
Huyu kaka aliyejifunga ni beki mzuri sana, still ameokoa magoli mengi tu na anajituma. I hope club imsaidie ssijisikie vibaya, he is not bad at all, ni bahati mbaya tu, na kama haitoshi akapewa na kadi ya njano.
Machampion yanga🎉🎉🎉
Dah! Hi game Wananchi walijua kunifurahisha jamani😂😂😂
Oohh❤
Usajiri wa yanga ni kiboko sana
Yanga bingwa💛🖤💚🔰
Chama mzee heee???????.😊
Kama umerudia kama mm nipe likes
Yanga wasipocheza mwili unauma yaan mi naangalia marudio kweli jaman😅😅😅kama na wewe unaangalia marudio october weka like hapa
Niko hapa leo😂😂😂
Naangalia leo kuijipanga na kesho 😂🎉🎉🎉🎉🎉
@@namdigumagwenge193 😀😀😀💚💛
Hata mm naangalia marudio😅😅😅😅
Sana ndugu
Chamaaaaaaa💛💛💛💛
Tunawaza club bingwa dunia ,sio Africa tena
Azam kautaka 😂😂😂😂 yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa 💚💚💚💚💛💛💛💪💪 pija kelele kwa yanga ake weuweee 🗣🗣🗣🗣
🎉🎉🎉🎉😂😂😂
Ila boka anashangilia safi sana❤😂😂
Sichoki kuiangalia hii mechi jamn😂ila fei ulikosea san kukata mauno😂
Mbona Azam awajaeka viuno vya feisal
Kale kagoli ka fei kalituuzi Sana, lkn hili jogoli la nne lomewauma mno makolo .. maana Alie assist wanamjua.... Tripo C mwamba waliesema n mzee. 😂
Hii, , match haichoshi kiukweeli 🎉🎉🎉
Au Yanga freemason 😢
Hapana ni chemistry mzuri tuu
Bado hamjasema na mtasema
Jamani, watu wanawekeza halafu bado mnashangaa???
Na nyie kueni Freemason
Nina mashaka
Ila chama😮
Assist ya chama mmeiona like zake hapa
Combination ya Chama na Mzinze itawasumbua sana wapinzani.
@@aminaomari2312 yaaan sanaaaa
Watajua. Hawajui
@@joycemmassi5046 😂😂😂
Ukitaka kuwajua kuwa Yanga hawafai anza kuwafunga
Naiyoigopa hiii yanga mmmh
Jamanii nazidiwa na furaha mim, Yanga hii mmmmh kisukari kinanihusu 🧡🧡🧡💚👌
DUH!! HUO MTOBO WA GOLI LA NNE MMEUONA?! AMEMANULIWA KAMA ALIVYOMANULIWA KIPA WA SIMBA... 😂😂😂 MAMMAEEE
Yanga hii mhmmm😂😂
Yanga ☑️☑️☑️☑️
Ili uifunge yanga inabd ufunge kwanza mdomo🤭
Hata ukifunga mdomo unapigwa tu! Sana sana zinaweza pungua, lakini kipigo kiko palepale!
Mmi nagunduoa Kuna Siri Walid mzize aliambiwa na president saidi now analifanyia kazi since from south Africa Kuna balaa kubwa atalifanya
Hii mechi naipenda sn 🤣🤣🤣🙌
Sema azam sijui mnafeli wp highlights zinawashinda kuzipangilia vzr alaf low quality utasema imechukuliwa na cm isiyo na ubora mbn kwenye tv quality ni nzur kuliko za highlights
Azam huwa wanafanya ovyo mechi za Yanga kwa sababu ya wivu na chuki, fuatilia utaona, hata uzinduzi wa kitabu cha historia ya Yanga walihakikisha recording haitakaa iangaliwe tena
Setti simu yko quality ya picha
Simu yako tu dear, quality iko vizuri hadi kiwango cha mwisho kabisa
Kweri yanga tamu🎉🎉🎉🎉
Asante team yangu Kila la kheri uongozi na wachezaji manara sijukuona ukicheza mziki wa furaha YANGA HII INAFUNGWAJEEE😂😂
yaan iyo ndy young afrcan wasipo kufunga wao utajifunga mwenyew 😂😂😂😂
Dharau za FEI ndizo ziliwatia hasira wananchi na hiyo ndo tofauti ya mchezaji mwenye akili kama Dube ameifunga Azam alafu hajashangilia
Nyie hamuogopi Yanga hiiiiiii😅
Azam wauza ukwajuuu😂
Leo nimeirudia tena😂😂😂
Hawa wachezaji wa yanga wako addicted tazama Aziz akiwa nje.
Hizi ndio match za kumuoneshaaa kachangaaa kanguuu
Respect for yanga...
Wanao mkubali ghalibu mzinga tujuane
Hamuogopiiiiiiiii😮😮😮
Nilicho penda mm baada ya fei tu dubeeee huyoooo yaan fai vs dubee mnasemaje
Saaaaaaaafiii
Hatariiiiiiiiii yan nipe nikupe
Afu mwambieni Feisal asiingie na matokeo kwenye mechi kama hiz
Nikiwa na mwadho nakuja kuangalia marudio tu 😅😅😅😅
Huyu Boka ni jitu la hatari sana
😂😂😂😂Azam they singing mtoto kautaka kubababake watuambie muda Bado vip tunawazee ama wanaume wa shoka ao B7fc na 🧁fc
💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Mm nikuwangalia maludio tulivo wachapa yang
MAUMIVU WANAYOPITIA MAKOLO SIO YA NCHI HII
Kuna vichaa wamesahau eti Azam kibonde. 😂😂😂😂 Kumbe Azam kibonde kama wao
😂Magoli ya Kurujuani 😂
Chama ni mchezaji makubwa sio wakumdharau
💚💛💚💛💪
08/10/2024🙌💯
Sahh hiii yanga yamoto
Azam na simba labda waanzishe Debora Cup ndo watashinda😂
Kila nikiangalia hii match nakumbuka Boka mikjmbio yake
Young Africans SC
Boka kakimbia Kam ng'0mbe katoroka zizini,
Umenifanya nicheke 😂😂😂😂
😂😂😂 hatariiiiiiiiii
Yanga bingwa
Tarehe 19 Kuna raia hawatahamin kitakachowakuta yanga ya moto sana Aseeee
Feisal alikatika kwa upwiru akaliwa uroda
Hakuna Mechi nkiangalia napata machizi kwa furaha kubwa sana kama hii mechi ...mechi ya furaha ya ajabu
❤❤😊😊😊
Sio kujifunga tu Azam fc beki hazijipangi zikatika ovyo hakuna timu hapa inapotea pesa tu
Matokeo haya ni yale ya mechi yetu iliyopita dhidi ya Sanda FC 😂😅😊. Azam imeponzwa na Coastal Union 😂
Sana tu ni coach
APRFC next week 😅😅😅
Yanga noma!
Mwamba chama kama chamaa balaaaaaaaaa
Alhamdulillah,💚💛big congratulations to Dar young Africans
Hakika yang ni Bora