Ndugu yangu ya Mungu mengi mimi siku moja nilimkuta huyu baba anajitamba istgarm na mke wake anatutangazia mganga mtu asimguse mume wake mafufu atamuua nikatia neno kuhusu mashalove jamaa akaniblock sasa leo nacheka hapa sina mbavuu
Hii manara TV haina muda mrefu kufungiwa. 1) inakosa maadili 2)mahojiano hayo na kurushiana maneno machafu. 3)manara mwenyewe badala ya kusuluisha ndio anazidi kuchochea 4)pia kutaja majina ya celebrate wasiohusika pia ni makosa. Namengine mengi. TV hii isipokua na maudhui mazuri bro manara utaikosa hii online TV yako
Mm sipendi Kucoment ila nimeelewa kuwa Masha Anajutia Kuwa na Mafufu ila Mafufu anampenda Sana Masha Pia Ako na Wivu mnoo juu ya Masha Hvy tu tu Ndio mana Mara Kumbuka Mara JB Mara hv hvy tu yaan
Hpa wengi haelewi huku kuhojiwa ni km ku shoot sinema ckuizi hpa yte ni malumbano ya kirongo n kiki tu video inatungwa watazamaji wengi hawaelewi mbn manara anachchea
Nimecheka mpaka nimepasuka jino ama kweli Kuna watu wanapendana uyu wivu uyu nae wivu 😅😅amazing Sana mafufu na mashalove mungu awape miaka 100000 wote
Jino lipi
Hee nilikuwa sijaangalia na mimi jino langu lishapasuka hahahaaa
Mjomba manara kwa mara ya kwanza umeniacha hooii much love from Kenya 🔥🔥🔥🔥🔥
Duuuuh jaman mafufu mmekutana wote nyau na paka
😀😀😀nimecheka sana jimmy anampenda sana masha na anawivu balaa😂 sema tu masha mwenyewe akili zake anazijua mwenyewe
😅😅😅😅
😂😂😂
Ila jimmy gentleman 👌😍kachukua glass kaficha chini ya kiti👌👌 anajua hasira zetu wanawake za hapohapo😂
MANALAAAAAAA MANALAAAAA KWA HII UMENITOA STRESS ZA MIAKA YOOOOOTE😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndugu yangu ya Mungu mengi mimi siku moja nilimkuta huyu baba anajitamba istgarm na mke wake anatutangazia mganga mtu asimguse mume wake mafufu atamuua nikatia neno kuhusu mashalove jamaa akaniblock sasa leo nacheka hapa sina mbavuu
😂😂😂😂
@@lydi791 maaha love bonge la cheche
The Big Interview👍 Nimemaliza Stresi zote kwa kicheko🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 THIS IS BEST INTERVIEW OF ALL TIME
😂😂
😀😀😀😀 Masha we kiboko
Hii ni interview kali ya milele iliowahi kutokea 😂😂😂😂
The best interview ever
TV namba 1
Anae subili rushaina na manara kuojiwa kama ivi gonga like
Sema brother Mafufu unamaneno sana yani wasije waka jikany’aga warembo unaletea shobo masela
Kha hadi dunia ije kusimama tutaona mengi Mungu atusaidie sana
Nyie hii manara TV imevamiwa Hadi camera zimevunjika SASA tungoje jina kusikia Tu JB katajwa nikagundua tunachezwa ni filam hii💯💯💃💃🔥🔥
Yani
😂😂😂😂nawapenda sana nyote nimecheka sana ❤❤❤
🤣🤣
Mimi ni Mama hapo Masha anamponda sana Mafufu hapo yataisha nawatakaa sawa kabisa🤣🤣❤️🔥🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki kaka manara nimeongeza siku 😂😂😂😂😂😂 i love u masha
Sikiliza vizuri utasiki masha anamuita mafufu baby😂🙌
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jimmy anampenda Masha ndio maana wivu kibao.anaumia Sana kumbuka akiwa karibu.
Hapa nimeelewa kitu Jimmy wivu unamuuwa wallah
Ni kweli Jimmy anaona wivu
Kabisa
Usishangae ikawa kiki
Haji umekoma
Manara utakua umetukosea heshima sana mwendelezo usipokuwepo👌👼
😂😂😂😂😂
Hii manara TV haina muda mrefu kufungiwa.
1) inakosa maadili
2)mahojiano hayo na kurushiana maneno machafu.
3)manara mwenyewe badala ya kusuluisha ndio anazidi kuchochea
4)pia kutaja majina ya celebrate wasiohusika pia ni makosa.
Namengine mengi. TV hii isipokua na maudhui mazuri bro manara utaikosa hii online TV yako
Nilichogundua ni kuwa jimmy Bado anampenda sana Masha😂🙌
Mm sipendi Kucoment ila nimeelewa kuwa Masha Anajutia Kuwa na Mafufu ila Mafufu anampenda Sana Masha Pia Ako na Wivu mnoo juu ya Masha Hvy tu tu Ndio mana Mara Kumbuka Mara JB Mara hv hvy tu yaan
Hapana we huoni masha anasema awez kuachwa
Nitampiga kichwa uy😅😅😅 wakat umeshikwa !! Masha love oyeeeee❤
😂😂😂😂kampiga kichwa 😂😂😂
😂😂😂😂Masha kaona Kuna waamizi Anajishauwa kama anaweza kupigana kweli.
Manara mshike ivyo ivyoo, sikuogopii😂😂😂🤣🤣🤣 we Jimmy weeee huo ndo wivu sasa ulonao kwa masha 👌😜😃😃😃😃
Loo ramazan yote allah atupe mwisho mwema nitakutandika na maziwa yangu jamaani masha hm
Masha anasema ana wanaume zake wanajielewa yaani sio mmoja.
😂😂😂 Dah kweli wanaume tunapigwa mshikaki🔥🔥🔥
😂😂wakutosha
Nimecheka mpaka machoz🤣🤣🤣 Masha unapiga kichwa unaanguka mwenyewe , nawe mnyakyusa utikupilika ugwe halafu wanapendana hao
Hii interview sitaman hata iishe jaman hakuna part 3
😂😂
Hizi kiki hizi🙌🙌🙌🙌
Tunawataka tena jamani ebu walete tena kwa interview😄😄😄😄😄😄
Mbona kodi inaisha kesho kutwa unanifanyia jeuri🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Bro Haji Manara interview ijayo tunaomba umuite Rushaynah ufanye nae mahojiano itapendeza sana..😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😀😀😀🤣🤣🤣🤣
Hawa wanapendana Sana tena Sana mungu awabariki
Ni kweli mapenzi ya kweli ndo yalivyo. Wanapendana sana hawaa..😅
Ningekuwa manara huyu afande hana kazi.anatakiwa kufunza how to take care of clients.client anadondoka mpaka chini na ni mjamzito according to her
😂😂😂😂😂😂😂😂yani nimeipenda iyi mpaka imenitowa stress ya mwarabu 😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 ila Masha na mafufu wote akili zawo zinafanana
Alafu hawa ndugu
😹😹😹 Esmah Yuko Singali
Maxha😂🤣😅 kaxhindwa kufurukuta kwa mwamba😂
am sammy from zanzibar... axante warda kwa ku2xogeza manara tv tunainjoy xn xhoct🤣🤣🤣🤣
Umeweza sana ,manara
Manara mshike vivyo hivyo Wala simuogopi😂😂😂😂
Hapo mm nimecheka sana
Hahahaha huyu Dada amenichekesha jamani
Brother Manara piga interview na hawa kwa mwezi mara 20 tupate uhondo😂😂
😂😂😂
😅😅😅hhhhh
Aki
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅eti nitakupiga Tama la maziwa Masha bhana
Manara nilikuwa nimekukataa kutokana na shobo zako lkn kuanzia leo nimekukubali tena , hii blog umebuni sana
Kumbe brother Mafufu kashazoea kuona machozi ya warembo sopoa mpo wachache brother angalia kuliliwa pasi kuponze bro
😃😃😃😃😃😃😃 hizi ndio interview za kuongeza siku jamaniiiii
Masha anampenda sana mafufu hayupo tayari kuachika
MANARAAAAAAAAAA DAH! OK BRAZA HAPA UMEUA MCHANA NA USHAHIDI UPO!
😁😁😁natamani wangekuwa mke na mume ndo ingekuwa raha zaidi,,wamenifanya niongeze siku za kuishi walahi sijawahi kucheka hivi toka mwaka umeanza😁😁😁
imagene😅😅😅😅😅
Wanawake walojaatele ukenda kutafuta vichaa mtu unamkewo kazieno umalaya tu munawazalilisha wakezenu mtu kaka ndani katulia munapita mukiangaikatu nawawake wasojielewa wacha yakukute
Jimmy anampenda sana masha😂😂🙌🙌🙌🙌
sana 😂😂
Masha ndy anamuelewa jamaa xana
N vle tu masha hana akili
jimmy amelowa Kwa Masha na ana wivu hatar🤣🤣
Ndio
Yanii iyi Kali saana manara uko juu
Make kwanza ncheke🤣🤣😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂full comedy watu wanapendana zao😂😂😂
Hivi mmeona alivo binuka na kiti hahahahaaa
Hiii movie itakuwa kali sana
Kuanzia Leo nikiwa na stress nakuja hapa nicheke mpaka bas😂😂😂😂😂😂😂
L😂😂😂
Hahah walioona kichwa cha mkopo cha masha naomba like za kutosha ndugu zangu!!
Yaani hawa wasanii wamekubaliana kutafuta kiki kwa makusudi, Manara umejitahidi kuwachokonoa
Anampenda sana masha
Esmar yuko singer
Hpa wengi haelewi huku kuhojiwa ni km ku shoot sinema ckuizi hpa yte ni malumbano ya kirongo n kiki tu video inatungwa watazamaji wengi hawaelewi mbn manara anachchea
Kifua cha baunsa kaka mafufu mmenasa kwa masha yaelekea masha mtamu😅😅😅
Dah Bora ungejenga nyumba Masha kuliko ulivyonunua gari,usingeteseka kulipiwa kodi
Jimmy unawivu wewe😅😅 alafu hao unaowatag si wana wake zao jamani😅
Haya toweni hio filam itakuwa nzuri
Daaah wanahotembeaga na uyuu demu alooh sijuagi ataa
Hii top interview
Et niachane nimmalize hyu,jmn masha una mbwembwe sasa utamuweza mwanaume jmn
Manaraaaaa unaweza baba mbona umechelewa kufungua Manara TV 😄🤣😂
Manara aliye kufungiya anafanya sis tunapata raha kabisa
Weee wallah bongo nIpenda kwa hizi show ..jimmy mafufu my best actor
Mashaaaa jamani unaweza kupigana na mwanaumee 😭
😂😂😂😂😂😂😂 makubwa kweli
Manara nae alivyokuwa mmbea anapenda kweli hayo mambo😂😂
manara mshike hivyo simuogop😂😂😂😂
Manara inabidi uwe namabaunsa Ili kukusaidia kuwatenganisha watu kama hawa wakianza ugomvi la sivyo utapata hasara
Jimmy nakubali mzee baba ila uliuvamia mtumbwi wa vibwengo mzee uliyakanyaga sikiliza ushauri wa Shamsa Ford
Bugati bonge la interview kaka Mafufu 🔥😂😂🙌
😂😂 Kaaa uku we naniii Rapia
hela zako sasa tafuta zakooooo nawew ujifunze kutoa hizo elf tano tano😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana jinsi Masha alivyo anguka kutoka kwenye kiti
Yaani🤣
😂😂😂😂😂😂
Nimecheka sana duuu😂😂😂😂😂😂
Umetisha manara nimependa haya mahokiano
hii interview hakuna mwenye hatawarch hasicheke😂😂😂😂pambeee sana😅😅😅wote mume na mke wanye mipasho😅😅😅tupo nyonyoooo😅.big work manara😂😂😂😂
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Jamani punguza kuwaloga dawa uwafanye mwenyewe halafu unawatesa.
Manara mshike hivyo hivyo simuogopi 😂😂😂😂😂
Mkuki kwa Nguruwe, Hadji Manara nae apatanishwe na Rushayna live hapohapo Manara TV.
Bwana Hajji hapa ulipatikana sana
Daaah😂😂😂😂😂😂😂mshike ivo ivo simuogopi daaah
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Manara akikaa vibaya tu mafufu anaanza kusema naye anatembea nae
Mbona kama movie? ni mtazamo wangu tu hawawezi kuwa serious mbele ya kamera
Jimy kasema wallah 😂😂😂😂 mapenzi Shkamoo hadi mafufuw kasema wallah kasahau kusema yeau Kristo
myamba y juu kusini tupo apa
Mafufu bado anampenda saana Masha anashidwa kumuacha ila tuuu ataki kusema ukweli Wanaume bhana Duuuuuh
Mtihani kweli mafufu eti analiya labda unamfikisha kileleni vizuri wanawake wakitanzaniya mna mambo
Khaaaah nmecheka mie
Hajj weka bodyguards
Mmmmh jmn huyu Mafufu si alimkana Masha jmn🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Jamani nauliza hii action ni move au nikweli wapo serious?
ZA COMEDY
Mwamba wa nyanda za juu kusin si mchezo mashaa kasema hamuachi