Maktaba ya Vatican: Jumba lenye Siri za kutisha, yajue yaliyomo na kwanini yamefichwa hadi leo

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 167

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Рік тому +9

    Hapa Kuna kikubwa cha kujifunza kutokana na taarifa ,Allahmdulilah A m Muslim

  • @febrowizkindi
    @febrowizkindi Рік тому +7

    simulizi hizi ndo zinaitajikwa
    sauti la Sky Mashallah😍😍
    5/5 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @bonita329
    @bonita329 Рік тому +21

    Sauti ya sky naipenda unasikiliza story hadi unasikia raha☺️
    Big Love from Germany🇩🇪🙌🏼
    Vatican Roma italy utalii wangu wa kwanza kabisa nilianza kutembelea kwenye jumba la Vatican kwanza nilishangaa sana viongozi walio kufa maiti zao zinaishi kwenye jeneza la vioo na wamelala vizuri tu wima😬🧐
    kuhusu vitabu vinavyohusishwa na uchawi ni kweli vipo maktaba hizo tena uchawi huo unasoma tu nakufata maelekezo na uchawi unakuja live aswa huko UK na marekani kama vile tunavyoona kwa movies zao ni vitu vyakweli kabisa

  • @silvananjunwa7905
    @silvananjunwa7905 Рік тому +5

    Asante sana naubarikiwe,Katoriki Mungu azidi kuisamia Roho Mt.azidi kutusimamia tusitenguke kiimani.

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 19 днів тому +1

      ujinga, yaani mmetengana wote nyinyi madhehebu ambapo siyo maagizo ya KRISTO.

  • @manasekamnde5802
    @manasekamnde5802 Рік тому +8

    Yaani wakati wengine wanatuandikia habar za hofu ya Ebola na Corona sky anatutuliza na story nzuri Kama hz bro Mungu azid kukuinua

  • @noel3290
    @noel3290 Рік тому +13

    You should have a podcast talking about history and i will subscribe. By far the best story i have listened from you. I love history myself but the Roman Empire is just something else. Talk about their architecture someday. It’s believed they had heated floors way even before electricity. I wonder how the modern architecture is so basic

    • @josephsebe5857
      @josephsebe5857 Рік тому

      Yes please show that primitive jealous angry man. THAT ROMA WASN'T BUILT IN HIS BRAIN 🤣 THAT'S WHY HE BRING US STUPID THINGS.

    • @maggiestanley5552
      @maggiestanley5552 Рік тому

      😅

  • @avelinekafuru5146
    @avelinekafuru5146 Рік тому +3

    Imani, Tumaini na Upendo.
    Mungu ni UPENDO.

  • @crazy3462
    @crazy3462 Рік тому +1

    Sns br unajua sana napenda sana kaz zako endelea nakaz nzuri

  • @helenamwaipaja7749
    @helenamwaipaja7749 27 днів тому

    Inasisimua sanaaaa,ila bado Biblia tuliyonayo ina majibu ya maisha yetu,Maana Mungu wetu haokoi kwa wingi wala uchache,yanayosha tuliyoyasikia

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Рік тому +3

    Thank you SNS ❣️❣️❣️❣️

  • @amirclassic8326
    @amirclassic8326 Рік тому

    Safi Sana bro nakupata kutokea Canada🇨🇦🍁🍁🍁🍁👍👍👍🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦

  • @philiplenardsylvester6063
    @philiplenardsylvester6063 Рік тому +1

    Nimeipenda hii kinoma👏👏👏🇹🇿🇹🇿

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Рік тому +6

    Hapa sasa ndip mmenipata sns nime subscribe leo... asante sana Sky

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Рік тому +2

    Wafundishen uchawi mzul awa watu weus kama mkaa Mana wenzetu Wana uchawi mzul unao leta faida nasio kutiana hasara

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Рік тому +5

    Sauti kama ni tv bas zaidi ya HD

  • @sinaloa5698
    @sinaloa5698 Рік тому +4

    Bibilia ya kwanza original imefichwa humo piaa

  • @alexmwanioti6390
    @alexmwanioti6390 Рік тому +9

    Wanaoujua ulimwengu huu ndio wanaouendesha, kuna siri kubwa sana juu ya maendeleo ya dunia hii tunayoiona

    • @neemambotola1139
      @neemambotola1139 Рік тому

      Kweli Dunia Ina mambo mengi sana sisi tunaojifanya wajuaji ndo hatujui chochote..

  • @guledomary2812
    @guledomary2812 Рік тому

    Sky Walker.. we ni nomaa unajua kupanga matukio na kusimlia unafanya msikiliza sio tu kufurahia historia Bali pia kujifunza.. hakika hii SmS itafika Mbali Kwa ufanisi

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Рік тому +6

    Ukute hii maktaba imejaaa siri za kichawi tu hakuna zaidi cc kitabu chetu kimoja tu kinatosha

  • @j-ray4711
    @j-ray4711 Рік тому +4

    Knowledge nyingi zipo kwenye maandishi ambapo Kuna Siri nyingi zimefichwa.

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 5 місяців тому

    Irmao você é bom talentoso ❤❤❤

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 Рік тому

    Boss leo nimwkuelewa sana kwa be hii noma sanaa

  • @user-nv6wt3nx5h
    @user-nv6wt3nx5h Місяць тому

    Nyaraka nyingi waliiba kwenye nchi mbàlimbali...misri,Israel ni

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 Рік тому +17

    Sky kila siku huwa nakufiatilia sana ILA Leo ndo nimekuwa kwenye Top list yangu ya watu ninaowakubari Duniani coz mko pafect na mnauelewa mkubwa mno, ASA kwenye story ya maktaba ILA nakuomba umtafute Mtumish mmoja anaitwa bishop Aurelian ngonyani mwanathiologia naimani utamuuliza maswali mazuli kuhusu historia ya kanisa na dunia Kwa ujumla jamaa anajua na ana iQ ya juu

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Рік тому +9

      Asante sana Francis kwa pongezi na pia suggestion, tutalifanyia kazi

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Рік тому

      Yaani kila tunapozidi kuelewa mambo ndipo tunajikuta tuko kwenye mvurugano mkubwa sana, sasa je ?? Tunaelewa au tunajikoroga???

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Рік тому

      Je ?? Hizi dini zote hizi , ni hadisi ya kutengeneza au ni kweli ,,,mengi tumefichwa.lakini iko siku

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 7 місяців тому

      ​@@ezekieljacob5795dini ya kweli ni ukristo sababu inahushahidi WA kimaandishi kihistoria kisayanci na kithioligia

    • @dogojanja6235
      @dogojanja6235 6 місяців тому

      Ukitaka kujua dini Ya kweli ni ipi soma Yakobo 1. :27 ​@@francisjoseph1074

  • @Tina-ff4pr
    @Tina-ff4pr Рік тому +2

    Mwisho wao umekaribia

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Рік тому +8

    Walio kiona kitabu cha ngoswe PENZI kitovu cha UZEMBE gonga like yako.

  • @josephignas3988
    @josephignas3988 Рік тому +3

    Hata Bible ya kwanza original imefichwa humo yenye muongozo sahihi isiyochakachuliwa na yenye utabiri wa Mtume Mohammad kuwa ndiye atakayefata baada ya yesu (Issa) na ukweli tofaut na bible ya kileo upo humo ila wakristo wa leo hawajui jambo hilo na hivyo wamepotezwa tayari na utawala wa kirumi (kanisa catholic la leo)

    • @yusuphmwamlima2902
      @yusuphmwamlima2902 Рік тому

      Hakuna sir inayofichwa ya kidin humo
      Kunafichwa mambo yanayofanyika humo na baadhi ya viumbe vinavyo waongoza katika kutimiza mambo yao

    • @DeoKanyatta
      @DeoKanyatta Місяць тому

      Mmetoka ktk madam, mnaleta ukenge,nye zenu zi wapi?

  • @mamafaiza1720
    @mamafaiza1720 Рік тому +1

    Napendaga simuliziii

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 6 місяців тому

    Sauti nzuri

  • @mosespeter2508
    @mosespeter2508 Рік тому

    Mungu atusaidie sana

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Рік тому +6

    Sns nmekupongeza kwasababu umefuatilia kitu kilichokweli Rome empire ulifanya vitu visivyokawaida lkn pia ulipoungana serikali na Dini ulifanya kufuru ambazo ziliua zaid ya mamilioni ya waumin kikatili mno kuna agenda kubwa mno humo lkn pia hata freemasons waanzilishi wapo humo, na makundi makubwa ya sili Na mipango mipya ya Dunia na naamini hawataweza kuweka wazi mambo yao kwasababu watu watastaajabu mambo hayo

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 Рік тому +1

      Maskini wewe una mawazo ya kifara kweli

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Рік тому +1

      Shukrani sana Jackson

    • @jacksonngusi4122
      @jacksonngusi4122 Рік тому +1

      @@Expedito2512 njoo na reason usiende tu

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Рік тому +3

      @@SimuliziNaSauti kanisa limepitia mateso zaidi ya miaka Mia mbili likiteswa na makaisali WA Roman empire makaisali wamewauwa watakatifu na wakristo WA kweli , ILA mungu alivyowaajabu neno liliwafikia na wakaaminki na kua wakristo ulisoma katika ufunuo kuna kumbe za makanisa Saba ya kinabii kama Unaakili ukisoma na ukaelewa hizo jumbe utagundua kitu

    • @MethodRwekaza
      @MethodRwekaza 11 місяців тому

      ​@@francisjoseph1074k

  • @amour5535
    @amour5535 Рік тому +2

    Ngoja waje mm nasikiliza tu

  • @josephjulius3327
    @josephjulius3327 Рік тому

    Thanks for this dunia ina siri kubwa

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 4 місяці тому

    Your correct

  • @charlesdaniel6212
    @charlesdaniel6212 Рік тому +3

    Kaka hizi ndo vitu tunataka kusia

  • @user-ic1fs9bf1v
    @user-ic1fs9bf1v 10 місяців тому +1

    Nipe history ya Lilith mke wa Kwanza wa Adam ambae Kwenye Bible wameficha na kumuweka Hawa
    KISA CHA LILITH NA VITABU VILIVYOONDOLEWA KWENY BIBLE

  • @issasalum8544
    @issasalum8544 Рік тому +1

    naomba hiz simulizi zipewe JINA

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 11 місяців тому +1

    Humo ndiyo mna siri ya jinsi kanisa katoliki lilivyo badili sabato ya kibiblia ya siku ya Saba jumamosi na kuifanya siku ya kwanza ya juma jumapili kuwa badala ya sabato

  • @meekman1805
    @meekman1805 Рік тому

    Mimi naamini kuwa ni kweli hizo Maktaba zina siri nyingi ambazo hawataki kuzitoa.

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Рік тому +1

    Brother Sky ishu kama hizi jaribu kuelezea kiundani bila kuacha maana ya baadhi ya maneno ambayo hatuelewi. protestant ndio nini mfano🙋🏾‍♂️

    • @josephignas3988
      @josephignas3988 Рік тому +2

      Protestant ni makanisa yote tofaut na roman Catholic. Yaan makanisa yote nje na roman Catholic au yaliyo kinyume na catholic ndio yanaitwa "protestant" . Protestant ina maana ya mpingaji

  • @catherinemhagama7505
    @catherinemhagama7505 11 місяців тому

    Tumeipenda story hi ila itabidi. Nisome kwa kurudiarudia ndiyo nitaielewa vizuri zaidi. Nimeipenda story hi Ina mafundisho mengi mno

  • @maila561
    @maila561 Рік тому +2

    here we go👌

  • @francismwacha253
    @francismwacha253 Рік тому +9

    Aisee hii makala ndo pendwa kwangu.. nimeikubali mno kanisa lina hazina bhn na nahic kuna maandishi yale ambayo hayakuwekwa kwenye biblia yamo humu..

    • @frankjosephmush4530
      @frankjosephmush4530 Рік тому

      Kweli atamimi nasikiaga inavyosemekanaga mambo yote ayakuwekwa kwenye biblia

    • @hashimalsaadat4905
      @hashimalsaadat4905 Рік тому

      @@frankjosephmush4530
      Ikiwa Biblia Haijakamilika Basi Hata Ukristo Upo Nusu Bado Dini Haijajitosheleza

    • @sweetyjanne255
      @sweetyjanne255 Рік тому

      Sasa hao wanaoficha jamani kwanini wafiche maagizo ya Mungu??

    • @Mariamkimaro2024
      @Mariamkimaro2024 Рік тому

      @@hashimalsaadat4905 rafiki okoka acha ushabiki wa dini
      Yesu anakupenda mpatie maisha yako utajua ukweli usio ujua

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 Рік тому

      @@Mariamkimaro2024 kuokoka ndiyo nini rafiki soma BIBILIA vizuri

  • @kwilekesyakyamba3090
    @kwilekesyakyamba3090 Рік тому +1

    Unaweza sana historian na uwe upande uo uko kwingine waachie vijana

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 Рік тому

    Kilomita 85 hiyo Ni corido yenye shelf iliyo jaa vitabu Dooh!! Hakika Ni kubwa kwa kweli!

  • @yusuphmwamlima2902
    @yusuphmwamlima2902 Рік тому

    Tunaendeshwa na mifumo ya baadhi ya viumbe kwa kutimiza mambo yao. Humo kunatunzwa viumbe na taratib za hao viumbe ili kutimiza ujio wao wa kuwapumbaza viumbe binadamu

  • @eliudimwakasenga9754
    @eliudimwakasenga9754 Рік тому +1

    Nakubali kaka tunajifunza hakika

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 6 місяців тому

    Upuuzi tu, tutakuamin vip

  • @jamesimanwel5089
    @jamesimanwel5089 5 місяців тому

    Ni Siri Kwa wengine lakini sisi Waadventista wasabato tunaujua ukweli wote! Nabii Ellen White ameonyeshwa yote

  • @salamamshana1004
    @salamamshana1004 Рік тому

    Mengi yamefichwa kwenye hizo maktaba na kibwa zaidi ni kuficha UKWELI WA MAMBO..MAMBO MENGI YAMEPINDISHWA NA WATU WAMEFANYWA VIPOFU KWA KUTOJUA
    ILA MINGU NI MWEMA, KILA JAMBO LIMEWEKWA WAZI, INGAWA BADO WATU HAWAONI..

  • @azizbashir
    @azizbashir Рік тому

    PIA KUFICHA UKWELI WA KUJA KWA MTUME MUHAMMAD KWAMBA HATAKUJA NA KITABIRIWA YA YESU

    • @henrysizya239
      @henrysizya239 Рік тому

      Kwani ni aya au sura gani ndani ya kuraani inayosema Nabii Issa Bin Mariam alitabili ujio wa Muhammad?

  • @ZQTANZANIA
    @ZQTANZANIA Рік тому +3

    Nachokijua mimi na natamani wengine wakijue ni kuwa, endapo vatikan wataamua kufichua kila kitu kilicho kwenye hio maktaba basi naamini hakutakuwa na ukatoliki wala ukristo maana lisemwalo lipo na kama halipo laja.
    Nalo ni kwamba "dini ya asili na ya mwanzo tangia dunia kuumbwa ni UISILAMU" tuwe watafiti binafsi na tuwe wepesi kuukubali ukweli.

    • @abduljuma2214
      @abduljuma2214 Рік тому +2

      @ kheri Mombasa Toa ushahidi wowote wa kihistoria nje ya quran kwamba kulikuwa na uislam kabla ya nabii muhamad

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Рік тому +1

      Uislam ulikuja baada ya ukristu

    • @abdimohamed3953
      @abdimohamed3953 Рік тому

      @@abduljuma2214 umetoa hoja nzur

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 Рік тому

      Punda we Islamic imeanza lini acha kijidanganya Dini ya majini nyiye

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Рік тому

    Hii ndio *SIMULIZI NA SAUTI* SASA

  • @julianacellestine801
    @julianacellestine801 Рік тому +1

    Acha uongo.

  • @jamesimanwel5089
    @jamesimanwel5089 5 місяців тому

    Tafta kitabu cha Great Controversy( pambano kuu) kimeandikwa na Ellen. G. White kuna siri za upapa nying

  • @paskalimallya5294
    @paskalimallya5294 Рік тому +2

    💥☺️

  • @mwalimuwakiingereza241
    @mwalimuwakiingereza241 Рік тому

    Wanakula nyama au njama? Asante sana kwa ku share nasi habari nyeti

    • @franklachman8883
      @franklachman8883 Рік тому +1

      Njama. Ulimi hauna mfupa..naukakika alimaanisha neno Njama.

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 Рік тому

    Mambo ni mazito sana

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 4 місяці тому

    Nini: makitaba inakilomita 83!!!??

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 9 місяців тому

    Kilometa 83 mmmhh mbona parefu

  • @josephinematemba5100
    @josephinematemba5100 Рік тому

    Toa na simulizi ya Martin Luther pia

  • @francisjackson6524
    @francisjackson6524 Рік тому

    Kilometer 85.3!!!

  • @rosemaryismaily001
    @rosemaryismaily001 Рік тому +2

    Kwaiyo hiyo maktaba imehifadhi historia za wizi za kila pahal

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Рік тому +10

    Hakuna siri isipokua kuna uchawi wa kiwango chajuu. Kwakua siri kwaaslimia kubwa hufanywa na wachawi ili watu wangi wasijue namna wanavyouawa. Na bibilia ni moja ya wachawi Hao Hao ambao wameiandika na kutugawagawa vikundi ambavyo havielewani hata kwa jambo moja. Ukweli huwaunganisha watu, wangekua wameficha ukweli sote wangetuachia tujue. Lakini kwakua wameficha uovu na mambo mabaya ya viumbe kutoka kwenye sayari tofauti. Wanajua kua tukijua, kesho tutakua kama wao kwenye uchawi

    • @goodluckmsoka3660
      @goodluckmsoka3660 Рік тому

      Ndio maana inakuwa siri

    • @japhetrobert1728
      @japhetrobert1728 Рік тому +4

      Huo nimtazamo wako na fikra zako binafsi.

    • @shimbazakayo1058
      @shimbazakayo1058 Рік тому +1

      Maajabu umeweka profile picha ya harusi(umem-beba mke wako) baada ya kufunga ndoa kanisani

    • @piusnkwale
      @piusnkwale Рік тому

      @Barry, mimi nakuelewa haya mambo yana siri kubwa sana sio rahisi mtu kuelewa unless you go deeper spiritually ,

    • @aloyceisdory7855
      @aloyceisdory7855 Рік тому +1

      Chuki za kidin zitakuuwa tatizo upo kwenye dini amboyo historia yake inaanza kwa mchungaji alikua kibaka 😂😂😂😂

  • @bongonews6542
    @bongonews6542 Рік тому +1

    Makao makuu ya siri za freemason na devel

  • @pauloptatmosha8115
    @pauloptatmosha8115 Рік тому

    Your story needs to be supplemented with primary sources. Otherwise it is based on unproved accusations and thus it does not qualify to be called scientific. Provide primary sources please

  • @sarafinafranci8481
    @sarafinafranci8481 Рік тому

    Muongo sana.

  • @boscomtani1006
    @boscomtani1006 Рік тому

    Km 85.3?

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Рік тому

    😂😂😂nam hata mchana siwezi nikiwa peke yangu maana mmh

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 Рік тому +4

    Wakwanza Leo 🤪

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 Рік тому

    Tuletee mwendelezo

  • @henry1933
    @henry1933 Рік тому

    Doh

  • @mastaplan
    @mastaplan Рік тому

    Mkuu lete habari za ANNUNAK

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 Рік тому

    Maktaba ya Freemason

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 Рік тому +4

    Kuna Tofauti Kati ya SIRI na UZEMBE WA KUSOMA. (nyingi si siri za kufichwa bali ujinga wa kusoma ndo unafanya zionekane siri. Maana kuna baadhi yaliyosemwa kama siri na sns, ki uhalali si siri bali kuwa na knowlege kutoka kwa secondary sources kama si mbali kabisa na ukweli halisi. Kwa kutokuwa na primary sources imformation, SNS mmpetupigw chuma kizito"🙏🙏)... maana kuna ulivyoviita siri, na wakati watu wana ufahamu navyo miaka dahali ilopita. Chunguza zaidi wasaa mwingine🙏🙏

    • @josephsebe5857
      @josephsebe5857 Рік тому +1

      Mbuzi kimpigia zeze ndio kwanza ANAFIKIRI SASA FIMBO IMEKUWA BUYU RUNGU. 🤣

    • @mkaapwekekariakoo6417
      @mkaapwekekariakoo6417 Рік тому

      @@josephsebe5857 🤣🤣🤣🤣 kwamba wamepita kama hii comment haramu maana inahalalisha vilivyokwisha kuharamishwa na ulimwengu wa kupewa pongezi bila kutiwa hata hoja moja ya kuonekana kuwa kuna pahala ngumu kufikika bila kupongeza asiyekupa zawadi ya kukupigia meza za wabunge🤣🤣

    • @maalimseifk-gumuadui123
      @maalimseifk-gumuadui123 Рік тому +1

      Ujuaji ukizidi sana unakua ni upumbavu 🙌🏼Hilo ndo neno langu la leo

    • @mkaapwekekariakoo6417
      @mkaapwekekariakoo6417 Рік тому

      @@maalimseifk-gumuadui123 🤔🤔upumbavu nao ukizidi🤣🤣🤣🤣

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Рік тому

    Dunia yetu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Рік тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Рік тому +1

    Sky ww ni msimuliaji bora kwa ss aisee

  • @ibnbaazalrufiji1468
    @ibnbaazalrufiji1468 Рік тому

    👍🇿🇦🇿🇦

  • @Lizy98067
    @Lizy98067 Рік тому

    🇨🇭🇨🇭🇨🇭🇨🇭

  • @pauloptatmosha8115
    @pauloptatmosha8115 Рік тому

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @duniamapitosotewamungu3467
    @duniamapitosotewamungu3467 Рік тому

    vitabu vyote hvy ambavyo vimo humo basi ukisoma kitabu kimoja tu ( Qur -Ann ) basi utakuwa umesoma vyote hvy

    • @thomaschambala1475
      @thomaschambala1475 Рік тому

      Ingekua hivyo hao wanaotafuta majibu kule maktaba s wangeenda kusoma hyo Quran

  • @isackhassan6551
    @isackhassan6551 Рік тому

    Ukweli siku zote humuweka mtu huru na hawa jamaa hawataki tuwe huru kifkra kwamwe.

  • @innocentivictor3078
    @innocentivictor3078 Рік тому

    Ombi kwann usiwe unaadisia wewe, story zote, unajua kwakweli

  • @aminaanab1071
    @aminaanab1071 Рік тому +7

    Wana ficha Siri kubwa ya juu ya yesu kumzunguzia mtume wetu Muhammad salallahu alehi wasalam

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Рік тому

      Ndio maana wanaficha mandishi kwa library

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Рік тому

      Hiyo ndio point 👉

    • @josephevaristi8923
      @josephevaristi8923 Рік тому +1

      Je itakuwaje kama wameficha ukweli kwamba huyo Yesu hakuwahi kuwepo Bali ni mtu wakubuniwa,?,ikiwa ni hvyo bado utakuwa na nguvu yakujitapa na uislam wako

    • @piusnkwale
      @piusnkwale Рік тому

      @@josephevaristi8923 kuna nguvu katika Yesu watu tumeshaprove ilo,soma biblia achana na mambo ya Siri haya hayakupeleki popote,biblia ndio msema kweli hawa wote Siri zao ni mambo ya giza tu

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Рік тому

      Mwenyewe unajichanganya uko kwa kitu wewe Mwenyewe huna Imani nacho

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Рік тому

    Hiyo SIRI ya nini kwenye kutangaza neno la MUNGU? Bac kuna tatizo kwa hali hiyo!!! Kuna mambo yasiyofaa, wanaficha ili watu wasijue!

  • @williamgideme2689
    @williamgideme2689 Рік тому +1

    Ndiyo mmuelewe ukristo kwa ujumla uko chini ya uongoozi wa ibilisi. Kanisa katoliki ndilloo lililobebaa uhaalifu mkuuu kkuhusu ukweli wa kinsi walivyyotendaa mambo yao kwa siri ilii wasisemmwee , majumba hayo ni makazi ya ibilisi. Hatta Mungu waao wa utatu alittengenezwa katika ad 325,, wakati wa Constattine

    • @pascalerick3525
      @pascalerick3525 Рік тому

      Nao wanataka uishie kujua hvyo ili ubaki mjinga siku zote

    • @HildaenosMwinuka-ej7zg
      @HildaenosMwinuka-ej7zg 7 місяців тому

      Pole hujui mambo mengi hata uislamu una mambo unafanana na Ukatoriki mbona kama ukristo ni uibilisi.

  • @josephsebe5857
    @josephsebe5857 Рік тому

    RONGORONGO ETI JUMBA KUBWA LINATISHA NA GOROFA ZA DUBAI NA SHANGHAI MBONA HUSEMI WEWE ACHA UJINGA. .KAWACHUNGE NGEDERE WASILE MIHOGO YA BIBI HUKO UWASEME NGEDERE NI WATU 🤣🤣🤣🤣

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Рік тому

    Msimulizi.unakosea sana unapotowa maelezo ya uwongo dhidi ya kanisa katoliki...wewe unajuwa zaidi kuliko wakristo wakatoliki ? Embu weka Udini pembeni wa kisabato...weka chuki pembeni / acha husuda na wivu usiyo na faida yoyote...usipotoshe ukweli kuwa uwongo..tubu hiyo dhambi..