Maajabu ya Papai ya Malkia F1 Inazaa Ndani ya Miezi Miwili Tu.
Вставка
- Опубліковано 19 лют 2021
- Kilimo cha papai kinafanyika maeneo mbalimbali ya Tanzania. Hata hivyo uchaguzi wa mbegu nzuri unaendelea kuwa ni changamoto kwa wakulima walio wengi.
Lakini pia utaaramu katika maandalizi ya mbegu, upandaji wa mbegu kwenye kitalu na hatimaye kupanda kwa utaaramu shambani imekuwa ni changamoto kwa wakulima.
Matumizi ya mbolea na madawa sahihi ni muhimu ili kuhakikisha mavuno yaliyo bora. Fuatilia video hii hadi mwisho ili kupata ujuzi mbali mbali. Kwa maswali na ushauri tuma ujumbe WhatsApp kwenda namba 0758447040. Tutakujibu na kutatua changamoto zote zinazokukabiri.
Tufatilie kupitia mitandao mingine ya kijamii:
Instagram: / katoto_inspirational_tz
Facebook: / sevelin.katoto
Naitwa john lesingo.naishi nchini kenya.ila nahitaji Masada nianzishe Kilimo hiki cha mipapai.nyumbani.tanzania.
Mimi na msada mbolea unaweka baada ya sik gp
Ahsante sana
Nashukuru sana kwa huduma yako nzuri mkuu. Naomba namba yako ya Simu nikupige ninahitaji msaada kidogo.
Mbegu znapatikana wap mm nipo kyela
Mbegu nyingi za papai siyo tamu,ni mbegu ipi ni tamu sana?
Mkuu soko la papai lipoje??
Kipimo cha mbolea?
Kaka naomba namba za cm tafadhali
0758447040
Huyo mtaaiamu wa Kilimo Cha Papai naweza kumwona wapi
Piga 0758447040