Kilimo cha mapapai katika shamba la Kikwete (MAKALA YA SHAMBANI)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 січ 2018
  • Kutana na rais mstaafu, Jakaya Kikwete akiwa shambani mwake akitufundisha namna ya kuwa wakulima bora.
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 47

  • @user-qq2hl2co2h
    @user-qq2hl2co2h 19 днів тому

    Nice

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 місяці тому

    Ongera sana Mh.👍👍

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 років тому

    Masha Allah nice one

  • @user-qq2hl2co2h
    @user-qq2hl2co2h 19 днів тому

    Nataka kujifunza ma kuhusu kilimo cha papai

  • @ELIMUYAGIZA
    @ELIMUYAGIZA 5 років тому +3

    Inaitwa AWINO FARM.

  • @samuelpeterkaaya1211
    @samuelpeterkaaya1211 2 роки тому

    My president

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 4 роки тому +1

    Mashallah wallah

    • @tanzaniampyakaulimbiu3553
      @tanzaniampyakaulimbiu3553 Рік тому

      Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @TheAlman
    @TheAlman 5 років тому +1

    Miss you

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Рік тому

    huyu mzee nampenda sana. natamani kama arudie kuiongoza nchi yetu ya Tanzania nimemic utawala wake bora usio na ubaguzi wa vyama. watu walikuwa huru biashara zilfanyika maendeeo ya watu yalikua kwa kasi napia aliruhusu demokrasia ifanye kazi yake ile sera yake ya maisha bora kwa kila mtanzania tuliiona na hahika maisha tuliyafurahia

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 5 місяців тому

      Uko kama mm Rais Kikwete nampenda Sana enzi zake pesa ilikuwepo ukifanya biashara kidogo tu hela, ajira zilikuwepo. Mungu ampe maisha marefu Jakaya Kikwete.

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 5 місяців тому

      Enzi za Jakaya hakukuwa na visheria vingi vingi Mara ajira umri mwisho miaka kadhaa Kama inavyoonekana saivi mtu anaamka tu anatunga sheria yake ajira umri mwisho miaka 29 , wakati kwa mujibu wa sheria mwisho miaka 45 watu wanagawa makundi wengine wasipate ajira. Mh Rais mama Samia naomba uliangilie hili swala la umri iwe pale pale mwisho wa kuajiriwa miaka 45 , juzi Nimefurahi kuona Bunge limefuta kigezo cha jkt kwenye ajira maana nalo lilikuwa linanyima watu fursa, Tunaomba tena Bunge lifute hiki kigezo cha umri Mbona zamani watu waliajiriwa wakiwa wakubwa na walifanya kazi kwa weledi, tusinyimane fursa kila mtu ana haki ya kupata ajira kwenye nchi hii ni yetu sote, kutungiana visheria vingi haileti tija.

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 2 роки тому

    Chapendeza kilimo.

  • @zulekhabaksh686
    @zulekhabaksh686 4 роки тому

    Hongera rais msataaf Jk pambana mzee tutakufata

    • @tanzaniampyakaulimbiu3553
      @tanzaniampyakaulimbiu3553 Рік тому

      Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @kaishazabengesi2971
    @kaishazabengesi2971 4 роки тому +1

    Mheshimiwa unatupa matumaini ya ustaafu.

  • @material_liv4674
    @material_liv4674 5 років тому +1

    It's GMO

  • @James00Bong007
    @James00Bong007 5 років тому +1

    He is rocking some crazy jacket yo

  • @magnusnyamba6737
    @magnusnyamba6737 5 років тому +1

    HAKIKA NIMEMPENDA KIKWETE KWA KILIMO HIKI NINAFUATA NYAYO ZAKE NAANZA KIDOGOKIDOGO

  • @alexmakunga4484
    @alexmakunga4484 4 роки тому +1

    Namba zao

  • @dorothyannan131
    @dorothyannan131 6 років тому +1

    Aksante, nimeshawishika

    • @ibrahimrashid7559
      @ibrahimrashid7559 6 років тому

      Tutumieninamba

    • @neykokusimwa7335
      @neykokusimwa7335 6 років тому

      habari jamani hawa wataalam wanapatikana wapi nawahitaji sana

    • @florianmwaibabile5308
      @florianmwaibabile5308 6 років тому

      Natamani kulima project kama hii jamani watalaamu wako wapi?

    • @avax5717
      @avax5717 5 років тому

      wanakera manake hata hawatoi contacts wanasema tu kututia tamaa wenzao

  • @zainamuki7109
    @zainamuki7109 6 років тому +2

    anuani y hiyo kampuni nmb ya simu

  • @gonsalvamswaga6471
    @gonsalvamswaga6471 6 років тому +2

    nakukubali sana raisi wangu, naendelea kujifunza kupitia wewe

  • @queencharles4823
    @queencharles4823 5 років тому

    Hapo ata sielewi. Nahisi kichina.

  • @queencharles4823
    @queencharles4823 5 років тому +1

    I want to learn kilimo from begining. Yani kuanzia chekechea! Help me na!

  • @tanzaniampyakaulimbiu3553
    @tanzaniampyakaulimbiu3553 Рік тому

    Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @avax5717
    @avax5717 5 років тому

    Mbona hamtupi maelezo vizuri juu ya wafundishaji?

  • @eliakimsando2919
    @eliakimsando2919 4 роки тому

    Tunaomba mawasiliano ya wataalamu hawa

  • @shedrackbenjamin7917
    @shedrackbenjamin7917 5 років тому

    Saf

  • @saadsalum3253
    @saadsalum3253 5 років тому +3

    Kutoka kwenye kiti kikubwa mpk kuwa bwana shamba mhhhhh simchezoo bei gan mapapai

    • @caristapaul2161
      @caristapaul2161 5 років тому

      nataka eneo la pwani kwa ajili ya kilimo nitalipataje

    • @caristapaul2161
      @caristapaul2161 5 років тому

      no yangu ya simu 0754476485

    • @johnsonjoseph509
      @johnsonjoseph509 4 роки тому

      Kutoka kiti kikubwa hadi Bwana Shamba? Hahaha, unamjua mmiliki wa Oilcom, Halotel je?

  • @sirkivike5457
    @sirkivike5457 3 роки тому

    Mh

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 5 років тому

    kati ya mtunda nisiyo penda kula

  • @azaelkitange8427
    @azaelkitange8427 6 років тому +3

    hiyo kumpuni inayotoa mafunzo ya kilimo cha papai inaitwaje . . ., ni WINO farm au WHINO farm, msaada tafadhali

  • @goodlucktarimo2716
    @goodlucktarimo2716 4 роки тому

    Hakika mheshimiwa Kikwete unaakili nyingi sana,napenda sana stahili zako

  • @africadolimited6642
    @africadolimited6642 5 років тому +1

    Kama unahitaji mbegu za papai za kisasa za mda mfupi 0752972727