Moyo waliopewa wanawake akipewa mwanaume hata kwa siku mbili tu lazima afariki, Ule uwezo wa kuvumilia maumivu ya kuzaa ndio ule unaowafanya wavumilie mambo wanayotendewa na wanaume.
kuambia mwanamuke ajiongeze ni shida sana kwasababu anaweza tafuta mume wakukusaidia. kumbuka Adam alivio acha eva aende kuleta chakula marahapo akatibulia Eden
@@mohamedsuleiman7215 we ujui unalolisema amini ninachokuambia Mimi akuna wa aina iyoh eti akuvumilie tuh Kisa anakupenda kwani sijui Kama kuna she anaweza kumpenda boy kiasi icho
kuambia mwanamuke ajiongeze ni shida sana kwasababu anaweza tafuta mume wakukusaidia. kumbuka Adam alivio acha eva aende kuleta chakula marahapo akatibulia Eden
Kaka unasema kweli mungu akutangulie kwa hiyo kazi
Ibrah ni mkweli asante Sana Kaka🙏😘❤️
Wambiee brother big up Kwa kazi nzur
Kaka kazi zuri mung akujalie uendelee ivo ivo
I am so much in love with your teaching 🥰...may God always keep you stronger for more teaching dear one 😊
Yaani wewe kaka mungu akuweke miaka mingi
Nikweli kaka wanaume wanajikuta wanajua kilakitu mungu abaliki kazi yamikomo yako 😍😍😍
Nikweli asante sana 🙏🙏🙏🙏
Naupenda kazi nzuri yako Abrah
😭😭😭😭😭Ni kwel kabisa Mwanamke anakubar matusi yote vipogo matesomanyanyaso ili ailinde tu ndoa yake lkn ipo siku atakuchoka
Thomas dangote nakubali sana ushauriwako
Maneno mazuri sana kweli 👍👍
Nakupenda bure Ibrah.wanifanya nijione wa thamani sana.
Waooo Ahsante san kak ibra kwa mafunzo yako nakubal yanaukwel kabisa hukoseag nakupenda kwaajil ya Allah 🙏🙏🙏
Jamani wanawake mungu azidi kutuzidishia uvumilivu 🙏🙏
jaman kama weww ni mwanamke na unapitia maumivu lakin unavumilia hebu gonga like
Kweli kabisa kaka
Ujumbe mzito sana Ibrah
Najifunza sana kaka Asante
Good brother
Am here 2022 still inspiring me ibra
Shukran 🙏🙏🙏
I like ua advice bro God bless u
Wooow ibrah hakika unamaneno yabusara Sana mungu akubariki bro
Twashukuru kaka kwa shaguri
Wanaume lazima wabandilike tuh round hii 😂😂😂🥰✌️
Wallah najifunza sna bro ibra shukra kwa ushauri 🇦🇪
Brother umenipa mafunzo mengi sana katika ndoa...ubarikiwe sana..
Wanaume Hawa ndo wanatakiwa kuishi nao kwa uvumilivu, mtu umuache ndani afu unataka ajiongeze akupikie 😂😂😂
Afadhali Kaka uwaambie labda siku moja wataelewa
Mungu amekujalia sana kakaangu balikiwa sana
MashaAllah uko vizuri kaka
Wow am happy for you,I love this video is nice
Asant kaka Mungu baba akuongezeye
Ibra upovizuli kwenye sanaha daha nitumie wassup nimezielewa sana sanaazako mungu akuongozee
Sawasawampekaka kamaya diamond
Ibrah kiukweli uko Na maneno ya busara may God bless you
Wow in love with this 😍🙏
Kweliii kabisaa kaka ibra
Asante kakaangu napenda elimu yako mungu akubariki
Nimekupenda bure ibrah
Ahsante mungu akuzidishie uzd kutuelmisha
We mkweli asante kwa ushauri wako
Ibraah daaaah kunywa sodaaa
Asante sanaa👏🙏
Nakubali blood
Kazi mzur kaka yang
Uyu kaka Ibrahim walahi uyu niwapeponi😢😢
Mimi sichoko kuangalia dahh asante bro
Sante twasukuru kwa kazi nzuri Kaka
To be continued
Thomas dangote nawakubalikaka mwambie huyokaka iliajue
Uko vizur sana
Duuu uko pw sana
Nakubal kaka the don
Asantee sana kaka kwaushauli
Good job
Imekaa poa sawa
Keep Moving👍
Asante sana
Mungu akulindee😘
Asantee
unaweza sana kaka
Hongera kwako Kaka ibrah
Hisia hazin expire date, zikiexpire kwako mwenzio ana ziupdate...nmependa hii kauli kaka unatisha😍
Asante kaka Mungu akubaliki
Ukweli kabisaa,mungu azindi kukuhinua
Nimekubali kaka big up sana
❤❤❤nakupenda
Maisha safari lakn duh
Wambie ao
Doooooh
Asante saana kaka mungu akulinde
Da nzur kwel
Nashkuru kwa kumpa ushaur mnzr hapo nikumfanya mwanamke kuwaza hata kuchepuka maana kamwambia ajiongeze mwanaume imara hastahil kutoa tamko kama hilo
Allah akusimamie kwa kila jambo kaka
Sahihi
Thanks co much
Fact bro
Wazo nzuri
Kwel kaka umeongea
Sku zote mwanamke akiwa na laki 1 na mme ako na elfu ni iyo elfu ndo iko kwa nyumba ya mwanamke haiesabiki
💪💪💪
Swadakta👍
Ukovizuri sana
🙏🙏🙏🙏kaka
Mambo
Mambokaka
💘💘💘💘
Me sikubaliani na ww kabisa akuna mwanamke mvumilivu in the word without money
broo...pole sana we ni mgonjwa unahitaji tiba.
@@mohamedsuleiman7215 we ujui unalolisema amini ninachokuambia Mimi akuna wa aina iyoh eti akuvumilie tuh Kisa anakupenda kwani sijui Kama kuna she anaweza kumpenda boy kiasi icho
@@mussalameck2166 inaonekana wewe upo bad refrence yako inakutesa katika mahusiano unaficha ukwel ila sawa usijal tunaongeya tu na kujifunza.
Unashauri Sana bro
Pat t my best
I wish men can understand that
Nijiongezeee kivipi yani ????
Mueshimiwe
Mambo
Nkwer wanawake ni wavumilvu xana tunavumilia meng
Kazi zuli kk
🙏🙏🙏💅
Umenena
Aslm alkm shabiki mpya
Ibrah wewe daaaah
Exactly
Nafurah xn maneno yak
Tufunze mengi kaka