Yoyote yule Atakae Soma comment hii Mungu ampe maisha marefu na amfungulie milango ya ridhiki na amfanyie wepes kwa kila jambo amiin inshallah🤲🙏,haya tunao taka kwenda kuivunja ndoa ya Tina ili lovenes awena kelvin tujuane❤❤❤
Wangp wamechukizwa n kelvin kumuona huyu Christine jmn mm sijapenda nngekua n uwezo nngeingia apa ndani nngemkomesha wifi yangu loveness jmn😂😂nawapenda nikiwa Riyadh 🇰🇪🇸🇦🥰
Walio furahia kumuona nyuki apa tujuane Kwa likes na tukisonga mbele Kwa mbele.....alafu wanao Amin kwmba Tina ataachna na Kelvin....na loveness kuingia kwnye penzi jipya na kevoo😅😅
Oyooo eee wanaoona kuwa hii movie kila siku inazid kuwa ya moto em like apa kama season flani ivi ya kihind love story daaah kelvin baba 🎉🎉🎉🎉🎉 Yako ayo
jmn mtu mmoja ajitokeze anisaidie kumwelewesha bibi kuwa hata ukifuta sms ya mpesa hela zake bado zipo maana amewaka kinyama anasema nimetoa hela kwenye simu.😭😭
JAMANI HIVI MBONA KAMA NIMEJICHANGANYA KUMUOA TINA??
Apo kweli bro umeyakanyaga
Tenaa sanaaa
Ukweli kabisa
Duuuuuuuh kelvin umejaaa kwenye mfumo sbiliii kuendeshwaaaaa Kam galiii😂😂😂😂😂😂😂
Saaaaana
Oyooooooooooooo wap team kelvin na loveness like nying kwangu Leo nimekuwa wa kwanzaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wakwanza from kenya jemenii nawaombeni like zenyu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Utapeleka wp like chukua😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@@MwaJuma-x3t ume jichanganyanya kwr
Tunaoamini ndoa ya kelvn na tina inakwenda kusambaratika tujuane kwa like jmn😂😂😂
Yoyote yule Atakae Soma comment hii Mungu ampe maisha marefu na amfungulie milango ya ridhiki na amfanyie wepes kwa kila jambo amiin inshallah🤲🙏,haya tunao taka kwenda kuivunja ndoa ya Tina ili lovenes awena kelvin tujuane❤❤❤
Tupo wengi Ila mambo mazuri hayaki haraka
Tuko hapa team kelvin
@@BimkubwaOthman ngoja ngoja yumiza matumbo 🤣🤣 jamani
@@JosephatJoseph-x9o twendeni sasa🤣🤣
kweli
Dah, waliochukizwa na kelvin kumjibu loveness like hapa
Imeniuma sana
Imeniuma sana
Mimi naona kamjibu ivyo kwa usalama wake maana akifukuzwa tena atanyanyasika na yeye yupo kwenye ndoa ni ngumu kumrudisha kama mwanzo
Alikua amemuona mamake nadhani
😂😂😂Tina nae kanaswa za mwizi ni kumi siku hizi
Wa kwanza kutoka Kenya nipeni likes zangu please guys 😮😮
Ambao hatupend ndoa ya kelvin na tina please like hapa tujuane,,,,❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nachukia tina
@@HellenMakana-f8y❤❤❤❤❤❤❤
Wakwanza mm nipe like zangu team kelvin❤❤❤
Wa kwanza leo naombeni like zangu cjawa kupata
Kevin ❤yaani saii una nafasi yakuongea na loveness jamani😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Jamani leo nimechelewa kw kweli lkn ombi langu nilile ndoa kuvunjika haraka iwezekanavyo km tupo wengi tumwage 🎉🎉🎉🎉kw like ❤❤🇰🇪🇸🇦
Team kelvin mzigo huu apa Kama munampenda loveness gonga like jamani from Mozambique 🇲🇿🇲🇿
Wangapi wako kinyume kelvin kumuowa tina mm wakwanza sijafuraiya❤❤❤
ᴍᴍ ᴘɪᴀ sɪғᴜʀᴀɪɪ ᴋʙxᴀ
Wote
Mm hapa😢😢
😢
Kwakweli Mimi Tina hapna mmh😢
Leo nimewai...
Mm wa kwanza kutoka msumbiji 🎉🎉..
Aliependezwa na hiii film kutoka halaka hivi gonga like hapa🙏🙏
🎉🎉🎉
Nikama leo mimi niwakwanza jamani team Saudi Arabia mnipee like ata moja leo 😅😅😅
Jaman leo mm wa kwanza naombeni like zangu
Mungu wangu kwanini nimeitaji jina ya laviness apa! Nani anakubali kyvene awe na dada wa kazi a weke like 5
🎉
@@DanielManuelMissa andika sawa na ww
Leo nmekuwa wa kwanza nipeni like zangu👏👏
Love Subra kitaeleweka tu
Love nakupenda timu love🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Leoo Nimewahiii💃💃💃,,,,, Tuko pamoja jamn mpk kielewekeee,,,,,Kam unamkubaliii Kelvin Gongaa likee hapaa👇👇❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉
LOVENESS LOVENESS you are the best l appreciate you big up sanah
Jmn ukweli candy nje na kuigiza na hata kuigiza Ni anaroho nzuri
Love nice ulishabugi mwanzo sasa ona unavyoteseka tena mnateseka wote na kelvin khan, unionee kama ukoma❤❤❤
Leo wa kwanza gonga like🇨🇩
Yan spendezw kabsa na kev anavyomfanyia love wang
Wakwanza from oman gonga like timu shangala
Kelvin na familia yake wataona moto Kwa kumkaribisha Tina kwenye nyumba hiyo 😂😂😂 kama unaamini yatapita gonga like mbili tu 😂😂🙌
Aca waone 😂nani aliwambia wamulazimishe kumuoa tina😂
Aaaah pameanza kuchangamka jmn masharti ya Denis nimeyakubali😂😂😂😂😂, Kev big up💪💪 bro❤❤❤
Nyinyi ombeni like lakin hamuoni vile kelvin amefanyia loveness😢😢😢😢 yani sijapenda kwa kweli😢😢😢
Sijpenda pia
Leo nimewahi wapi like zangu,,msiwe wachoyo jameni😂😂
TIMU LOVESSS TUDONDOSHE LIKE HAPA
Mm ndio mtu wa kwanza npe like haraka haraka na tusonge mbele
Wangp wamechukizwa n kelvin kumuona huyu Christine jmn mm sijapenda nngekua n uwezo nngeingia apa ndani nngemkomesha wifi yangu loveness jmn😂😂nawapenda nikiwa Riyadh 🇰🇪🇸🇦🥰
😏😏😏😏☝️☝️
@@aaminaasljbgbvf745 nn
Wa kwanza leo nawapend wotee kwa ajili ya Allah ❤❤❤
Yaani miyee binafsi nimechukizwa na kevi kumuoa uyu mmbwaaaa😂😂😂😂😂
Wewe hujachukizwa yaani hasira kama kweli vile
Leo me ndo wa kwanza naombeni like zangu
Daaaah hichi kipindi cha leo kimenitoa machozi jamaniii love and kelvin nawapenda sana😢
Number 1🎉🎉💃💃💃💃💃💃naomba likes jameni
Walio furahia kumuona nyuki apa tujuane Kwa likes na tukisonga mbele Kwa mbele.....alafu wanao Amin kwmba Tina ataachna na Kelvin....na loveness kuingia kwnye penzi jipya na kevoo😅😅
Assalam alaykum Bwana yesu asifiwe
Mdugu zangu tusisahau kuswali na mungu atufishe tukiwa na Imani zetu.
Walaikum salam 🙏
Nipen like zangu nimekuwa wa kwannza
Kazi Iko poa
Nawapenda hasa kevi
Wakwaza mim naomba like ata moja inatosha 🇧🇮
Wanyarutse
Wa kwanza leo kutoka Kenya naombeni like ata Tano plz
Like zangu 🇹🇿 kama unamkuba Kelvin wajina wa Mdogo wangu 💓💓💓
Mungu awabariki nyote mnaotazama film hii
Ila mmetupiga n kitu kizito babake Tina siyo yule tuliyeanza naye
Toka nianze kutazama hii sijawai pata like ata moja naomba like 5 tu
Umeshampa Kelvin like au unaomba t zako
😂ah muda sana @@AnnyGerald
@@-kagerayetubw9jx vizuri
Nipewe like zangu jmn
Waoooo MBNA unachelewa kaka wangu kev japo tunafrah kwa Kaz zako
Leo na mm nimewah ila tyr watu mshajaa😂😂 kaz nzur kaka kevi
Daa kwel watu mnlikua mnasubir hii movii mana dk 12 tuu watu washajaa coment section
Duh ila loveness anateseka Hadi uruma jaman
Watatu Leo naombeni like 🎉
Leo mm ni wa kwanza naombeni like hata 5
Leo wakwanza kutoka 🇫🇷🇫🇷🇫🇷🇫🇷gongeni like
Mko vizuli jamon tunawapenda 🎁💃🏼💐🇹🇿
Ulijichanganya kumuoa kabx sijapenda
Kama ulikuwa unaisubiri kwa ham gonga like
Mnachelewesha kazi zenu Sana aki
Wakwanza leo kevin hongera sana kwa kaz yako❤❤❤
Mimi Leo ndo wa kwanza na nahomba like zenu
Mi ndo wakwanza like zangu
Asante Kelvin ila sikupendezwa nukumuowa tina shabiki wako kutoka Congo 🇨🇩
Wakwanza Mimi like apo jomn
Wa kwanza leo😊..KAZI nzuri team Donta Tv burudani kwa wote
Leo nimewahi nawapenda Sana donta tv🥰
Wakwanza naomba like kama 10 hv
Nikafikiri ntakuwa wa Kwanza dah😢❤ila poa tu❤🎉
Nyuki big up sanaa, bro Kelvin umefanyaaa vizuri kuwa na nyuki maanaa anajuwaa na kujua sanaa
Nimewahi leo like jaman
Gonga like apa kama unapenda move hi
Mimi wa kwanza Leo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kubwa kuliko 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 watching from kenya
Wakwanza leo naomba like wakuu
Jitaid muwe na ratiba maalum ili watu wawe wanajua tuweze kubalance na mabando
Hahaha
Loveness siawachane na hii kazi ya dharau☹️
Waaa kaa mwanzo vile hii movie kwa maana utamu ndo unaanza kutiririka aisei waigizaji n mashabiki wenzangu pokeen 🎉🎉🎉🎉n nawatakia weekend njema
Movie ya maana kabisa big up Kevin
Leo wa 89 jmn nimewah maan kil siku wa 600 na ktu🎉🎉
Hellow..!! Hellow.!!!! Wakwanza mie mauwa yangu nipewe❤
Naomba mjitahidi kila baada ya siku moja make mambo yamekuwa hot yaan fire🔥🔥🔥 moto unawaka
Sih hata mnipee like moja
Loveness ungekubali kupangiwa chumba yote hayo yasingetokea
Boss tulikuwa tunasubiria kwa hamu kama mkopo wa bank😂😂😂🎉
Oyooo eee wanaoona kuwa hii movie kila siku inazid kuwa ya moto em like apa kama season flani ivi ya kihind love story daaah kelvin baba 🎉🎉🎉🎉🎉 Yako ayo
Wa Kwanzaa naomba like
walai leo nataka likes
Kazi nzuri nawapenda from🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much ❤❤❤❤ Ni wa kwanza
Wa pili kutoka kenya 🇰🇪 naomba like
Nakubal xan kazi zenu ila muwe munawai muendelezo❤❤
Waliomiss nyuki gongeni like hapa🎉🎉❤
Mm wa kwanza likes zangu
Nimefurahi yangu yote...Shukrani sana kwa kutuandalia hili part...❤🤛🤝
Ningekua mim uyo tina ananijib jibu ovyo namchezesha vitasa
Wa kwanza mimi nipe like zangu 1000❤❤❤❤❤❤❤
Wakwanza leo kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sijawahi pata like hata moja nioneeni huruma
Jamani mm leo
Nakupenda sana loveness na ningependa uolewe na kelvin
jmn mtu mmoja ajitokeze anisaidie kumwelewesha bibi kuwa hata ukifuta sms ya mpesa hela zake bado zipo maana amewaka kinyama anasema nimetoa hela kwenye simu.😭😭
Hahaha
Nilidhani peke yangu 😂😂😂😂
Leo nimerauka sana,naomba likes pia mimi❤