Ukifanya Haya Kila Usiku Wa 8 Utafanikiwa / Soma Nyiradi Hizi Ukiamka Usiku/Sheikh Hashimu Rusaganya
Вставка
- Опубліковано 28 лют 2024
- Ukifanya Haya Kila Usiku Wa 8 Utafanikiwa / Soma Nyiradi Hizi Ukiamka Usiku / Sheikh Hashimu Rusaganya
Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Ukifanya Haya Kila Usiku Wa 8 Utafanikiwa / Soma Nyiradi Hizi Ukiamka Usiku / Sheikh Hashimu Rusaganya
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
UA-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv - Розваги
Bismillah ya sheikh Allah ajaliye mwishomwema alhammdulillah kwwa drass namimi nimefanya iyo zikri mwikimijatu kwahuwizowrke(Allah)kanijibu sheikh Allah akuhifadhi❤
Mashallah hata mimi nimgeni wa hii dini lakini hua sheikh najifunza kutoka kwako
mashaa Allah karibu kujifunza zaid
Mashallah karibu
MAshallah mungu akuongze n karb Islam din y hki
Mashaallah
In Shaa Allah ingia haraka kwenye njia iliyonyooka
Merci ya shekhe rusaganya Allah akulipe kheri.
Aaameeen.
اللهم افرغ عليهم صبرا وثبت اقدمهم وانصرهم علل قوم ضلمين.
LAILA HAILA ALLAH wahdahu la sharika lahu lahul mulku walahul hamdu wahuwa ala kuli shain qadir .
Alhamdulillah wasubhana wallah walailahaila wallah wawahuakbar walahaula walakuwata ila bilah.
Shukran
Yaa rabbi tupe mwisho mwema kesho kiyama 😭😭😭🙏🙏🤲🤲☝️☝️🤝🤝
Assalamu alaykum
Maalim Rusaganya tumejifunza kwako tukiwa wadogo na tunajifunza kwako tukiwa wakubwa
Allah Aza wajah
Akuweke na waislamu wazidi kufaidika kwako
حافظك الله
ربي يحغظك
shukurani karibu
Mungu atujaliye wepesi kufanya na kufata maneno mazuri sana na mungu atujaliye mwisho mwema
Allah akulipe JANNAH sheikh. Tunanaskr sana sana sana kwa ELMU hii kubwa. Alhamdulh.
Manshaalla mnyezi mungu atuwezeshe inshaallaa
A w w shkh mimi niliolewa nilimpenda sana Tena sana mume wangu ila mume wangu hakuwa kweli Kumbe nimzinifu mbaya anakwenda kuzini na mke warafikiyake siku aliniowa hakunambiya cocote nilibijuwa ku watu yake alileta maneno anayatowa kwa ule mzinifu mwenzake eti mimi nilikuwa hawara ya ule alimziniya mke sikuwayi nikamuita dada wa huyo mwanaume mume wangu aliyezini na mke wa kaka yake dada alikata sa nilijuwa mume wangu nimzinifu nilichukiya sikumbenda Tena niliomba Talaka yangu sikuwa namapenzi nae Tena nilichukiya sana kumbe alitaka nijuwe kama nimzinifu akaniangaisha nilimtuka akanipa Tanaka nilifurahi sana ila mpaka sasa ananiuzi na mamemo sitak8 nifanye nini ju ninawstoto wa kike asije amazini na watoto wangu niombeye duwa stoke mu familie yangu sitaki Ata tujuwane aendeley na mzinifu mwenzake
Mashaala allah Mashaala allah Mashaala allah Mashaala allah 🙏 💖 ❤️ ♥️ 😢 😊 😊allah akupe mwisho mwema
Shukran jazallah kheri
Jazakah llah kheer shekh Rusaganya kwa kutuelimisha akupe kheer ktk maisha yako🤲
Jazakhallah khairan
Allah atuwezeshe inshaallah yarab
Jazakah allah kheri sheikh. Allah akupe kila la kheri. Katika. Maisha yako
Jazzallahu ghaira kwa ukumbusho sheikh wetu
Masha Allah
Aminii nakupenda kwa ajili ya Allah
Allah atupe wepes tuwe wenye kufata mafundisho ya viongozi wetu amin
Mwenyezimungu akusimamie kweny Kila jambo shekhe wangu
Alhamdulillah
Oooh allah tukinge waja wako nacwaovu na uturekebushe tunapo kosea mola wangu allah akulipe shekhe
Shekhe shukran mm nikiamka kusali usiku nikirudia kulala Huwa naota ndoto mbaya sana
Zidisha Dua huwenda shetani anakuchezea.
Shkran Sheikh Allah akulipe ujira mwema
Amiin sheghe kiongozi wety dini allah atakulipa akupe afya njm Ishaallah
Shukran jazakallah
Allah akulipe dunian na Ahella.Atujalie mwisho mwema Amin.🙏
Mungu ni mwema azidi kukupa malifa zaidi kher
Jazakallahu khery Sheikh kwa elimu unayotupatia
Jazakalahu kheiran
Ma Shaa Allah
Ameen ya rabbyli ala minn 🤲🤲🤲
Jazakallahu Khairan
Mashaa Allah
Jazakalahu kheri sheikh
Jazakallahu khayr ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ sheikh
Allah atusitiri yarabi na siku hiyo ngumu
Shukran🎉
Shukran sheh
شكران
Allah atujaalie tuwe ni miongoni mwa wenyr kusali sala za usiku
Subhaallah yarabb tujalie mwisho mwema
Asante ❤❤mashaallah ❤❤
Mashallah
Mashaallah
Asalaam alaykum kwa hiyo sunna ya jua linapochomoza ni dhuha au tofaut na dhuha
Sunnat asharak
Baraka Allah fikah
Subhanallah allah
Aaaamiiin sumaaaaaah aaamiiiin ❤❤
اللهم امين يارب العالمين، اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين، اللهم بلغنا رمضان وبارك لنا فيه اللهم انصر اخواننا في الفلسطينين
Shukran
Shukran 🙏
MASHALLAH
Alhamduliah ya Allah
Allahummah yarrab. Amin
Waslam wotee inshaallah
Allah akbar
maashallah
Manshaalla tabarakalla 💔
ALLAH Akuhifadh shekhe wetu❤
❤ Allah
Taja sura shekh
Ameen
Inshallah
Subuhaanallah
Ameen 🤲🏾🤲🏾
naomba mwenyezimungu utulinde namitihani yadunia nautupe mwisho mesma am
Shekh uradi huu lazima ulale ndipo ukishtuka usome na jee kwa wale wanaofanya kazi za usiku hawalali je wakisoma uradi huu pia ni sawa?ama lazima ulale kwanza
Uhsant sh kil la kher
emwenyezimungu tujalie wajawko 14:04
Ahmedi ndibalema
emwenyezimungu tujalie wajawko
Shehe nataka namba zako
+255715915008
Soma wewe shecke ufanikiwe wewe apo unaishi kwa sadaka za waumini😂😂 jameni kwani usiwafundîshe kutafuta pesa kwa jitahada wakupe na mipango ya kubana matumizi
Usilete mzaha kweny dini za watu utaangamia punde jiangalie sana
Unatoa hoja za kipuuzi sana kama huna cha kukomenti kaa kimya. Inaonyesha hata wewe sio mtu wa imani hii.
Wew hujtmbui hao mapadri wantgmea nn clez ww
@@user-zu7tn4gi1r wewe fanya hayo sasa tuone mazinge soon anakufa akiwa masikini siaende akamwambie afanye huo ujinga anafundisha yan waafrica bwana ndo maana wazungu wametutubisha ju akiri hamuna kufata upumbavu we kuna duna inayoleta maisha mazuri kenge wewe Muhammad mwenyewe kafa masikini why hakufanya ayo mambo 8 achen upumbavu
@@wearetogether8497 sio wa imani iyo ni kweli ila kwa kuwa amekuja mtandaoni lzm kucoment vinginevyo nendeni msikitini kwan hamna misikiti au
Mashallah
emwenyezimungu tujalie wajawko 14:04
emwenyezimungu tujalie wajawko
emwenyezimungu tujalie wajawko