Subhanallah, Allah akujaalie wewe na familia yako furaha ,elimu na Fahamu na mwisho mwema. Sheikh naphtali kujua mambo ya kheri mengi kwa kuangalia mawaidha yako. Jazakallah
Watu tunamuomba Mungu sana,ila tunafeli kwa kukosa mambo mawili ktk nyoyo zetu: YAQQIINI NA TAWAKKULI. Mungu akitujaalia tukawa nayo mambo haya,hakika tutakuwa watu miongoni mwa watu. Tumuombe ALLAAH aturuzuku mambo hayo na ziada👏 Inshaa ALLAAH. Aamiin.
Alhamdhulillah sheikh, adhkar ii nmajarabu, nilikua cna cha kukila Ramadhan ii, lkn nikafanya adhkar ii ,bc katokea mtu ananambia nikule kwake Ramadhan yte , asante sheikh, nmepanda daraja la imanikwa hili
Mm nilifanya shekhe uliposema ktk Crip yako iliyopita wallahi vileulivyotoa matokeo yake basi yalinitokea nivile vile Allah akujaze majazo mema inshallah.
Mashaallah, tunafuatilia sana vipindi vyako, wewe ni zaidi ya mwalimu maana huachi kitu katika kuelekea kwa utaratibu ambao mwanafunzi anaelewa moja kwa moja na kukosa maswali. Jaazakallah
Ma Sha Allah shekh Othman Allah akujaze Leo mpaka kesho kiayama tunafaidika wengine tuna mithihanii na atujui tutaitatua vip wallah jazzah Yako Iko kwa Allah🤲🤲🤲
Aslm alkm ya-ustathi Allah akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio ishaallah. Uzidi kutuelimisha na kutuongo njia iliyo nyoka. Mungu akuepushe na shari za Dunia ❤❤amin 🙏 😊 .
Laila aila anta subhanaka huwa inanivusha kwenye uzazi fasta sana ndio uradi wangu nikienda kujifungua..Asante sana Sheikh kwa ukumbusho na msisitizo sitaiacha .
Ushauri wangu shekhe andaa kitabu cha dua adhkar utakuwa umesaidia wa kiislam Na bei yake iwe tsh. 20,000 utakuwa umefanya kwa ajili ya uma wa kiislam.
Mashallah Mashallah..Sheikh Othman Humkuti kubishana na Ma sheikh. Bali mpole mtaratibu kwenye Da3wah Zake, na Zaidi anamsifu Allah na Mtume Wake, kutubidiisha kufanya adhkar na kumswalia mtume.. na namna ya kuwa na maisha mazuri.. kuswali Usiku tahajjud. Mashallah.. nimeona maajabu makubwa kwa kumfwatilia.. naendelea kujifunza na kujikumbusha kwa kuskiliza mawaidha yake.
Shekh othmn mungu akuhifadhi pamojanasisi nataka nitumie hii adhkar inakitu kinanitatiza Sana nasinafuraha lkn mungu anijaalie nitumie hii adhkar naiman kitakaa swa
Nimepita hapa kusema hii ni shirki Allah atakujibu ndani ya masaa fulani Allah atuhifadhi na Dhabi za shirki Ni dhambi pekee Allah asiyosamehe Allah a'alam
Alhamdulilahi dhikri ya nabii yunus haijawahi kuniangusha hata mara moja, Alhamdulilah maajabu makubwa
Mashallah shekh mungunakuhifadhi hapa Duniani kaburini mpaka kesho akhera..kwa jina naitwa mohamed niko kenya watamu naomba dua zako inshallah
Mashallah Mashallah tabarakaallah sheikh alhamdulillah umenifunza mengi na pia mungu akujalie elimu zaidi ya iyo inshallah 🙏🙏
Allahuma aameen
Mashaallah Allah aendelee kukupa Afya njema shekhe othuman
LAILAHA ILAA ANTAA SUBHANAKA INNI KUNTU MINADHWALIMIN.....
LAILAHA ILAALAHU WAHDAHU LAA SHARII KALLAHU LAHUL MULKU WALAHUL HAMDU YUHII WAYUMIITU WAHUWA ALAAKULII SHAYIIN QADIR
SUBHANALLAH WABIHAMDI
Alhamdulillah!
Subhanallah, Allah akujaalie wewe na familia yako furaha ,elimu na Fahamu na mwisho mwema. Sheikh naphtali kujua mambo ya kheri mengi kwa kuangalia mawaidha yako. Jazakallah
Alhamdulilah, huyu shekh huyuu,basii tu,Allah ampe kheir
Wallah cheikh nakupendaka saaaaana na mawaidha yako na Dawa unazo zitowa Alhamdulillah ninzuri za kisunnah!
Watu tunamuomba Mungu sana,ila tunafeli kwa kukosa mambo mawili ktk nyoyo zetu:
YAQQIINI NA TAWAKKULI.
Mungu akitujaalia tukawa nayo mambo haya,hakika tutakuwa watu miongoni mwa watu.
Tumuombe ALLAAH aturuzuku mambo hayo na ziada👏 Inshaa ALLAAH.
Aamiin.
Ameen
Ameen
Aamin thumma aamiin
Amin inshallah 🤲🤲🤲❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹
Maashaallah maashaallah alhamdulillah hakika nimenufaika na elimu yako Allah akujaze khery nyingi inshaallah uzidi kutuelimisha zaidi na zaidi
mungu akujaalie kila zuli kupe na sisi atupe inshaallah
Alhamdhulillah sheikh, adhkar ii nmajarabu, nilikua cna cha kukila Ramadhan ii, lkn nikafanya adhkar ii ,bc katokea mtu ananambia nikule kwake Ramadhan yte , asante sheikh, nmepanda daraja la imanikwa hili
Mashallah
Allahuma Barik ❤🙏🏼
Allah Akujaz kher🎉
Ahsante kaka angu tunajifunza mengi wallah"
28:06
Alhamdulillah mashaallah 🙏🙏🙏🙏🙏yarabb zipokee dua zetu allahumma amiin🤲🤲🤲
Amiin
Assalamou mwaleykum warahmatullah wabarakatuu, MashaAllah Mwenyezi Mungu akuzidishiye na akupe ulinzi wewe na familiya yako nilipata jibu masaa 24, Alhamdulillah
Mm nilifanya shekhe uliposema ktk Crip yako iliyopita wallahi vileulivyotoa matokeo yake basi yalinitokea nivile vile Allah akujaze majazo mema inshallah.
Mashaallah, tunafuatilia sana vipindi vyako, wewe ni zaidi ya mwalimu maana huachi kitu katika kuelekea kwa utaratibu ambao mwanafunzi anaelewa moja kwa moja na kukosa maswali. Jaazakallah
Assalamalikum,hasante Sana kwaujumbe wako twakushkuru Sana Mungu atubariki soteni,atujalie muongozo mwema,inshaallah Amin,Amin,yarabbi.
Mie swali Sheikh Nikisoma dhikri napata usingizi na utulivu viungo vyote vinaonyyoka hii ni Moja ninapo soma mbali na mazuri mengi Allahmdulillah
Laillahaillallah haillallah annta subhanaka innikuntum minadhwalimina
Mashaallah . Shukran sana shekh wetu. Allah akujalie kila la kheri
LAAILAHA ILLA ANTA SUBHANAKA INNI KUNTUMINA DHWALIMIN
Amiin
LAILAH ILLAH ANTA SUBHANAKA INNI KUNTU MINADHWALIMIN🙏🙏 LAILLAH ILLAHU WAHDAHU LASHARIKALLAHU LAHULMULKI WALAHULHAMDU YUHII WAYUMIITUWAHUWA ALLAH KULII SHAIIIN QADIRU 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼ALLAH atufanyie wepesi kwenye dua zetu ishaALLAH🙏🏼🙏🏼
Ma Sha Allah shekh Othman Allah akujaze Leo mpaka kesho kiayama tunafaidika wengine tuna mithihanii na atujui tutaitatua vip wallah jazzah Yako Iko kwa Allah🤲🤲🤲
Sheikh Othman unatupa vitu vizuri sana mashaaallah wengi tunafaidika,shukran na Allah akujaalie kheri
Maashallah, Tabarakallah , Jazak Allah Khair
LAAILAHA.. ILLA.. LLAHU.. WAHDAU LA SHARIKALAH...LAHULMULKU WALAHUL... HAMDU.. YUHIYI WAYUMITU... WAHUALAKULLI... SHAIN QADIR
SUBHANA LLAHI WABIHAMDI SUBHANA LLAHI AL ADHIM
Asante
Ndio Mara 110?
Shukraan
Allah akupe umri mrefu sheikh wetu maana sina lakuongea zaidi ya alhamdulillah
Allah atufanyie wepc mamb yet
Mashallah.allah akujaliiee🙏🙏
Allah azidi kukupa imri mrefu wenye kher daima
MashaAllah,jazakAllahu Kheir
Allah akubariki nami namtihan naomba mungu anisaidie
Ustaaz.shukran.mpaka.sasa.nimeitwa.kazini.
Mashaallah naenda kufanya hivyo usiku huu bi idhni llah ALLAH ni mwing wa rehma
Shekh kama tutasoma aalhhuma swally allah Muhammad ya_rabby swala allyeh waswallim tuttkua tupo pamoja au ❤❤
Aslm alkm ya-ustathi Allah akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio ishaallah. Uzidi kutuelimisha na kutuongo njia iliyo nyoka. Mungu akuepushe na shari za Dunia ❤❤amin 🙏 😊 .
Mola akujalie Kila lenye kher shekhe
Shukran, Allah Akujaze killa lakheri.Na mashekhe wengine nao wachukue mfano wako.Wasiwe wachoyo.
Mashaallah
JAZAQALLAHU KHAIR
AHSANTE SHEIKH
ALLAH AKULINDE
Mashaallah shekhe othman ahsnte kwa ujumbe huu Allah atutaqabalie dua zetu kupitia nyiradi hzi inshaallah
Ammin Allahuma Ammin 🙏
Amin 🕊🙏
Alhamndulillah ,Dua nzuri Amiina Kumdhukulu Allah na swala ya Mtume Muhammad S A W A miina.Namuomba Allah Akupe Mambo Mema Unayoomba.Amiina.
Alhamndulillah Alhamndulillah mashaallah mashaallah mashaallah
mashallah mwenyezi mungu anifanyie wepesi niwe mwenye kudumu nazo adhkar
MashaAllah mwenyezi mungu akubariki akujalie kila la heri kwa kutuelimisha
Alhamndulillah, Namuomba Mungu ALLAH Akujalie Kupata Malengo Uliyokudia.Allahuma Amiina.
Mashaallah Allah akulipe kwa darasa hizi. Binasfi Alhamdul lah na nufaika kwazo.
Laila aila anta subhanaka huwa inanivusha kwenye uzazi fasta sana ndio uradi wangu nikienda kujifungua..Asante sana Sheikh kwa ukumbusho na msisitizo sitaiacha .
Aaah hii mi pia imenivusha wallah
Shukran saana sheikh wetu, kupitia mawaidha yako tunafaidika na mambo meeengi , Allah azidi kukulipa kheri na akujaalie mwisho mwema ❤
Mashallah shukran wajazKallahul kheyr
Mashaallah Mwenyezi Mungu akuzidishiye
Wallah wabillah Allh nishahid kwa hili unayo yasema nikweli ukimswalia mtume kwa yaqin unafanikiwa mm mwenyewe ninakili Allh akulipe kher zaid
Ushauri wangu shekhe andaa kitabu cha dua adhkar utakuwa umesaidia wa kiislam
Na bei yake iwe tsh. 20,000 utakuwa umefanya kwa ajili ya uma wa kiislam.
onload zero moja 2000 i mean
Subhanallah, ma Shaa Allah
Alihamdulila shekhe osman mungu azidi kukubariki we simchoyo
Jazakallah kheyran sheikh.
Masha Allah nakuombea kila la kheri sheikh allah akupe umri mrefu wenye kheir nawewe
Ya Allah muhifadhi kaka yetu uyu Umupe Afya Umujalie pepo ya firdaus
Shukran sheikh allh atutakabalie dua zetu amiin
Mashallah Mashallah..Sheikh Othman Humkuti kubishana na Ma sheikh. Bali mpole mtaratibu kwenye Da3wah Zake, na Zaidi anamsifu Allah na Mtume Wake, kutubidiisha kufanya adhkar na kumswalia mtume.. na namna ya kuwa na maisha mazuri.. kuswali Usiku tahajjud. Mashallah.. nimeona maajabu makubwa kwa kumfwatilia.. naendelea kujifunza na kujikumbusha kwa kuskiliza mawaidha yake.
Allah Akupe Pepo ya daraja ya juu wewe na Family yako .
Shekh othmn mungu akuhifadhi pamojanasisi nataka nitumie hii adhkar inakitu kinanitatiza Sana nasinafuraha lkn mungu anijaalie nitumie hii adhkar naiman kitakaa swa
Mashaa Allah wa jazakallahul khaira kathiran wa kabiran.
Nitajikita katika hizo adhkar aamin.
In sha Allah
Maansha Allah Aĺah akuhifadhi shek osmaan❤❤❤❤
Mashaallah shukrani Allah akujaalie umri mrefu na wenye baraka
Mashaa Allah, Allah akupe kher sheikh
Ma sha allah nimepata faida .Allah akumiminie rehma zake na akuzidishie elimu na hekima.
Shukran sana sheikh
MashaAllah Allah akujaalie umri mrefu sheikh uzidi kutuelimisha zaid
Mashallah allah ndo mjuz wa yot najitahid kuomb shekh namuomb allah anifanyie weprc
Maashallah mungu akutangulie katika maisha yako yoote inshallah
Maashaallah shekh Allah akuzidishie kwa elim unayotupatia
Mashaallah shehe unanifurahisha wallah
Shukran ustadh kwa kutufunza adhkaar vile tutaisoma
Shukran kwa darsa zako nzuri zenye manufaa Allah akujaalie kila lakheri
Jaazakallahu lkheri. Allah wazidishie kheri❤️
Shekhe Allah akulipe kheri akutenge na adhabu za kabri na moto wa Jahannamu akupe afya njema na mwisho mwema Amiin
Shukran sana shekh kwa dua nzuri sana huwezi kutuandikia ili tujifunze zaidi pls
MAA SHAA LLAH ALLAH AKULIPE MEMA NA AKUZIDISHIE KATIKA MIZANI YAKO YA KHERI NA AIFANYE KUWA NZITO
Ihbn
Shukrani ziende kwako
Allah akbar Alhamdulilah
Barakallah fiku
Allah akulipe kila kheri dunia na akhera na akupe mwisho mwema
Asante sana shekhe kwamaelekezo yako,, Mwenyezi Mungu akulipe naskuondolee mazito yako inshaallah,
Masha Allah Hakika wewe ni sheikh mwema sana
Allah akutunze sana baba yangu,, yah Allah mpe maisha malefu
Mancha'allah Allah akuzidishiye ilmu
Mashaa Allah bismillahi Mashaa Allah Sheikh ❤
Asante shekh Alhah akubariki
shukran sheikh tunafaidika na mawaidha yaan Mie mwenyewe nimetumia ule muchanganyiko wa mafuta mengi
Nimepita hapa kusema hii ni shirki
Allah atakujibu ndani ya masaa fulani
Allah atuhifadhi na Dhabi za shirki
Ni dhambi pekee Allah asiyosamehe
Allah a'alam
Mashaallah mungu azidi kukuongoza uzidi kutufunza inshaallah
Allah AKUJALIE KILA LA KHERI HAPA DUNIANI NA AKHERA
Mashaallah allahu bariq
Alhamdulillah nakushkuru sana shekh mwenyez akuweke undelee kutufundisha ishaallah 🙏
مشاءالله تبارك الرحمن. جزاك الله خير الجزاء
M/Mungu akufanyie wepesi insha'allah
Maa shaa Allah, JazakAllah kheri
Shukran jazakallahul kheir
ماشاء الله وجزاك الله خيرا
SWADAKTA SHEKH HATA MIMI
NDO DUA YANGU HIYO NA LAHAULA WALA QUWATA ,,NIKIKWAZIKA SANA
KUSEMA UKWELI NAJIKUTA
NAFURAHI TU
Mashallah
Allhamdulilh
SubhanaAllah hata mimi pia naitaja sanaa hiyo dua
Wallah hata mie nikisoma LAHAULA WALA QUWATA ILLA BILLLAH Alhamdulillah hata rizki pia zinakuwa nyepesi
Subhana Allah Allahu Akbar ❤
Alhamdullah 🙏 shekh Allah akulipe