Subhanallah, Allah akujaalie wewe na familia yako furaha ,elimu na Fahamu na mwisho mwema. Sheikh naphtali kujua mambo ya kheri mengi kwa kuangalia mawaidha yako. Jazakallah
Alhamdhulillah sheikh, adhkar ii nmajarabu, nilikua cna cha kukila Ramadhan ii, lkn nikafanya adhkar ii ,bc katokea mtu ananambia nikule kwake Ramadhan yte , asante sheikh, nmepanda daraja la imanikwa hili
Mashaallah, tunafuatilia sana vipindi vyako, wewe ni zaidi ya mwalimu maana huachi kitu katika kuelekea kwa utaratibu ambao mwanafunzi anaelewa moja kwa moja na kukosa maswali. Jaazakallah
Ma Sha Allah shekh Othman Allah akujaze Leo mpaka kesho kiayama tunafaidika wengine tuna mithihanii na atujui tutaitatua vip wallah jazzah Yako Iko kwa Allah🤲🤲🤲
Watu tunamuomba Mungu sana,ila tunafeli kwa kukosa mambo mawili ktk nyoyo zetu: YAQQIINI NA TAWAKKULI. Mungu akitujaalia tukawa nayo mambo haya,hakika tutakuwa watu miongoni mwa watu. Tumuombe ALLAAH aturuzuku mambo hayo na ziada👏 Inshaa ALLAAH. Aamiin.
Laila aila anta subhanaka huwa inanivusha kwenye uzazi fasta sana ndio uradi wangu nikienda kujifungua..Asante sana Sheikh kwa ukumbusho na msisitizo sitaiacha .
Mm nilifanya shekhe uliposema ktk Crip yako iliyopita wallahi vileulivyotoa matokeo yake basi yalinitokea nivile vile Allah akujaze majazo mema inshallah.
Mashallah Mashallah..Sheikh Othman Humkuti kubishana na Ma sheikh. Bali mpole mtaratibu kwenye Da3wah Zake, na Zaidi anamsifu Allah na Mtume Wake, kutubidiisha kufanya adhkar na kumswalia mtume.. na namna ya kuwa na maisha mazuri.. kuswali Usiku tahajjud. Mashallah.. nimeona maajabu makubwa kwa kumfwatilia.. naendelea kujifunza na kujikumbusha kwa kuskiliza mawaidha yake.
Aslm alkm ya-ustathi Allah akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio ishaallah. Uzidi kutuelimisha na kutuongo njia iliyo nyoka. Mungu akuepushe na shari za Dunia ❤❤amin 🙏 😊 .
Ushauri wangu shekhe andaa kitabu cha dua adhkar utakuwa umesaidia wa kiislam Na bei yake iwe tsh. 20,000 utakuwa umefanya kwa ajili ya uma wa kiislam.
Mashallah shekh mungunakuhifadhi hapa Duniani kaburini mpaka kesho akhera..kwa jina naitwa mohamed niko kenya watamu naomba dua zako inshallah
Mashallah Mashallah tabarakaallah sheikh alhamdulillah umenifunza mengi na pia mungu akujalie elimu zaidi ya iyo inshallah 🙏🙏
Allahuma aameen
Mashaallah Allah aendelee kukupa Afya njema shekhe othuman
Subhanallah, Allah akujaalie wewe na familia yako furaha ,elimu na Fahamu na mwisho mwema. Sheikh naphtali kujua mambo ya kheri mengi kwa kuangalia mawaidha yako. Jazakallah
LAILAHA ILAA ANTAA SUBHANAKA INNI KUNTU MINADHWALIMIN.....
LAILAHA ILAALAHU WAHDAHU LAA SHARII KALLAHU LAHUL MULKU WALAHUL HAMDU YUHII WAYUMIITU WAHUWA ALAAKULII SHAYIIN QADIR
SUBHANALLAH WABIHAMDI
Alhamdulillah!
Maashaallah maashaallah alhamdulillah hakika nimenufaika na elimu yako Allah akujaze khery nyingi inshaallah uzidi kutuelimisha zaidi na zaidi
Alhamdulilah, huyu shekh huyuu,basii tu,Allah ampe kheir
Mashaallah . Shukran sana shekh wetu. Allah akujalie kila la kheri
Wallah cheikh nakupendaka saaaaana na mawaidha yako na Dawa unazo zitowa Alhamdulillah ninzuri za kisunnah!
Alhamdhulillah sheikh, adhkar ii nmajarabu, nilikua cna cha kukila Ramadhan ii, lkn nikafanya adhkar ii ,bc katokea mtu ananambia nikule kwake Ramadhan yte , asante sheikh, nmepanda daraja la imanikwa hili
Mashallah
Allahuma Barik ❤🙏🏼
Allah Akujaz kher🎉
Ahsante kaka angu tunajifunza mengi wallah"
28:06
Mashaallah, tunafuatilia sana vipindi vyako, wewe ni zaidi ya mwalimu maana huachi kitu katika kuelekea kwa utaratibu ambao mwanafunzi anaelewa moja kwa moja na kukosa maswali. Jaazakallah
Shukran sana sheikh
Mashallah.allah akujaliiee🙏🙏
Ma Sha Allah shekh Othman Allah akujaze Leo mpaka kesho kiayama tunafaidika wengine tuna mithihanii na atujui tutaitatua vip wallah jazzah Yako Iko kwa Allah🤲🤲🤲
Watu tunamuomba Mungu sana,ila tunafeli kwa kukosa mambo mawili ktk nyoyo zetu:
YAQQIINI NA TAWAKKULI.
Mungu akitujaalia tukawa nayo mambo haya,hakika tutakuwa watu miongoni mwa watu.
Tumuombe ALLAAH aturuzuku mambo hayo na ziada👏 Inshaa ALLAAH.
Aamiin.
Ameen
Ameen
Aamin thumma aamiin
Amin inshallah 🤲🤲🤲❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹
Alhamdulilahi dhikri ya nabii yunus haijawahi kuniangusha hata mara moja, Alhamdulilah maajabu makubwa
Assalamou mwaleykum warahmatullah wabarakatuu, MashaAllah Mwenyezi Mungu akuzidishiye na akupe ulinzi wewe na familiya yako nilipata jibu masaa 24, Alhamdulillah
Assalamalikum,hasante Sana kwaujumbe wako twakushkuru Sana Mungu atubariki soteni,atujalie muongozo mwema,inshaallah Amin,Amin,yarabbi.
Alhamdulillah mashaallah 🙏🙏🙏🙏🙏yarabb zipokee dua zetu allahumma amiin🤲🤲🤲
Amiin
Inshaallah.....
Nitafanya kuanzia leo❤❤
Laillahaillallah haillallah annta subhanaka innikuntum minadhwalimina
Shekh kama tutasoma aalhhuma swally allah Muhammad ya_rabby swala allyeh waswallim tuttkua tupo pamoja au ❤❤
Shekhe Allah akulipe kheri akutenge na adhabu za kabri na moto wa Jahannamu akupe afya njema na mwisho mwema Amiin
Allah atufanyie wepc mamb yet
Allah akupe umri mrefu sheikh wetu maana sina lakuongea zaidi ya alhamdulillah
Allah akubariki nami namtihan naomba mungu anisaidie
Sheikh Othman unatupa vitu vizuri sana mashaaallah wengi tunafaidika,shukran na Allah akujaalie kheri
Mie swali Sheikh Nikisoma dhikri napata usingizi na utulivu viungo vyote vinaonyyoka hii ni Moja ninapo soma mbali na mazuri mengi Allahmdulillah
Laila aila anta subhanaka huwa inanivusha kwenye uzazi fasta sana ndio uradi wangu nikienda kujifungua..Asante sana Sheikh kwa ukumbusho na msisitizo sitaiacha .
Aaah hii mi pia imenivusha wallah
Maashallah, Tabarakallah , Jazak Allah Khair
Ustaaz.shukran.mpaka.sasa.nimeitwa.kazini.
In Sha Allah Allahuma Ameen Shukran sheikh
Alhamdulilahi rabilahalamina ahsante shekhe
Mashaallah naenda kufanya hivyo usiku huu bi idhni llah ALLAH ni mwing wa rehma
Shukran saana sheikh wetu, kupitia mawaidha yako tunafaidika na mambo meeengi , Allah azidi kukulipa kheri na akujaalie mwisho mwema ❤
MashaAllah mwenyezi mungu akubariki akujalie kila la heri kwa kutuelimisha
LAILAH ILLAH ANTA SUBHANAKA INNI KUNTU MINADHWALIMIN🙏🙏 LAILLAH ILLAHU WAHDAHU LASHARIKALLAHU LAHULMULKI WALAHULHAMDU YUHII WAYUMIITUWAHUWA ALLAH KULII SHAIIIN QADIRU 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼ALLAH atufanyie wepesi kwenye dua zetu ishaALLAH🙏🏼🙏🏼
Alhamdulillah 🙏🙏🙏
MashaAllah,jazakAllahu Kheir
Allah azidi kukupa imri mrefu wenye kher daima
Mm nilifanya shekhe uliposema ktk Crip yako iliyopita wallahi vileulivyotoa matokeo yake basi yalinitokea nivile vile Allah akujaze majazo mema inshallah.
Mashaallah shukrani Allah akujaalie umri mrefu na wenye baraka
LAAILAHA.. ILLA.. LLAHU.. WAHDAU LA SHARIKALAH...LAHULMULKU WALAHUL... HAMDU.. YUHIYI WAYUMITU... WAHUALAKULLI... SHAIN QADIR
SUBHANA LLAHI WABIHAMDI SUBHANA LLAHI AL ADHIM
Asante
Ndio Mara 110?
Shukraan
Mashaa Allah wa jazakallahul khaira kathiran wa kabiran.
Nitajikita katika hizo adhkar aamin.
In sha Allah
Mashallah allah ndo mjuz wa yot najitahid kuomb shekh namuomb allah anifanyie weprc
Mashaallah Allah akulipe kwa darasa hizi. Binasfi Alhamdul lah na nufaika kwazo.
Shukran ustadh kwa kutufunza adhkaar vile tutaisoma
Mashallah Mashallah..Sheikh Othman Humkuti kubishana na Ma sheikh. Bali mpole mtaratibu kwenye Da3wah Zake, na Zaidi anamsifu Allah na Mtume Wake, kutubidiisha kufanya adhkar na kumswalia mtume.. na namna ya kuwa na maisha mazuri.. kuswali Usiku tahajjud. Mashallah.. nimeona maajabu makubwa kwa kumfwatilia.. naendelea kujifunza na kujikumbusha kwa kuskiliza mawaidha yake.
Allah Akupe Pepo ya daraja ya juu wewe na Family yako .
Alhamndulillah ,Dua nzuri Amiina Kumdhukulu Allah na swala ya Mtume Muhammad S A W A miina.Namuomba Allah Akupe Mambo Mema Unayoomba.Amiina.
Shukran sheikh allh atutakabalie dua zetu amiin
Mancha'allah Allah akuzidishiye ilmu
Mola akujalie Kila lenye kher shekhe
Maansha Allah Aĺah akuhifadhi shek osmaan❤❤❤❤
Maashallah mungu akutangulie katika maisha yako yoote inshallah
mashallah mwenyezi mungu anifanyie wepesi niwe mwenye kudumu nazo adhkar
Aslm alkm ya-ustathi Allah akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio ishaallah. Uzidi kutuelimisha na kutuongo njia iliyo nyoka. Mungu akuepushe na shari za Dunia ❤❤amin 🙏 😊 .
LAAILAHA ILLA ANTA SUBHANAKA INNI KUNTUMINA DHWALIMIN
Amiin
JAZAQALLAHU KHAIR
AHSANTE SHEIKH
ALLAH AKULINDE
mungu akujaalie kila zuli kupe na sisi atupe inshaallah
Alhamndulillah, Namuomba Mungu ALLAH Akujalie Kupata Malengo Uliyokudia.Allahuma Amiina.
MashaAllah Allah akujaalie umri mrefu sheikh uzidi kutuelimisha zaid
Mashallah shukran wajazKallahul kheyr
Alihamdulila shekhe osman mungu azidi kukubariki we simchoyo
Alhamdullah 🙏 shekh Allah akulipe
Shukran kwa darsa zako nzuri zenye manufaa Allah akujaalie kila lakheri
Mashaallah Mwenyezi Mungu akuzidishiye
shukran sheikh tunafaidika na mawaidha yaan Mie mwenyewe nimetumia ule muchanganyiko wa mafuta mengi
Barakallah fiku
Subhanallah, ma Shaa Allah
Jaazakallahu lkheri. Allah wazidishie kheri❤️
Mashaa Allah, Allah akupe kher sheikh
Mashaallah mungu azidi kukuongoza uzidi kutufunza inshaallah
Jazakallah kheyran sheikh.
ماشاء الله وجزاك الله خيرا
Masha Allah nakuombea kila la kheri sheikh allah akupe umri mrefu wenye kheir nawewe
MAA SHAA LLAH ALLAH AKULIPE MEMA NA AKUZIDISHIE KATIKA MIZANI YAKO YA KHERI NA AIFANYE KUWA NZITO
Ihbn
Shukran sana shekhe wangu kipenz
Mashaallah shekhe othman ahsnte kwa ujumbe huu Allah atutaqabalie dua zetu kupitia nyiradi hzi inshaallah
Ammin Allahuma Ammin 🙏
Amin 🕊🙏
Maashaallah shekh Allah akuzidishie kwa elim unayotupatia
Mashaallah shehe unanifurahisha wallah
Alhamdulillah nakushkuru sana shekh mwenyez akuweke undelee kutufundisha ishaallah 🙏
Allah AKUJALIE KILA LA KHERI HAPA DUNIANI NA AKHERA
Allah akulipe kila kheri dunia na akhera na akupe mwisho mwema
Allah akupe kila la kheri sheykh
Shukrani ziende kwako
Alhamdulillah allah ukulipe kila laher
Shukran jazakallahul kheir
Allah akulipe kheri na akuzidishiye ilimu
Ya Allah muhifadhi kaka yetu uyu Umupe Afya Umujalie pepo ya firdaus
Allaah akupe kil la kher shekh
Alhamndulillah Alhamndulillah mashaallah mashaallah mashaallah
Asante shekh Alhah akubariki
Allah akutunze sana baba yangu,, yah Allah mpe maisha malefu
Masha Allah Hakika wewe ni sheikh mwema sana
Ushauri wangu shekhe andaa kitabu cha dua adhkar utakuwa umesaidia wa kiislam
Na bei yake iwe tsh. 20,000 utakuwa umefanya kwa ajili ya uma wa kiislam.
onload zero moja 2000 i mean
Shukran sana shekh kwa dua nzuri sana huwezi kutuandikia ili tujifunze zaidi pls
Shekh mungu akulinde akupe umndri wa kheir
Allah akuhifadhi sheikh
Jazzakallahu khayran brother
Asante sana shekhe kwamaelekezo yako,, Mwenyezi Mungu akulipe naskuondolee mazito yako inshaallah,
Shehe mungu akuweke