Ukiona mtu anatoboa sehemu siyo ya kawaida kwa mfano juu ya jicho, ulimi, mdomo n.k au kujichora matatoo ujuwe hajiamini kwa uzuri aliyoumbwa na Mungu, na Ndiyo maana anatoboa sehemu siyo sahihi au kujichora mwili na matatoo ili apate attention za watu 😏😣
Nilitoboa mdomo ham sina nilivimba nikawa sitok nje aibu😅 mme wangu akawa haelew kila siku nasemwa na nilitoboa jwa sonara sh 5000 ham sina nilijiuguza kwa 50 elfu sindano z pawasef na madawa mengine mdg kuja kupona ukawa mwembamba😂 yan hd umerud kwenye hali yangu y kawaida n miez ham sina kuiga huku hapana
Mimi pia nimetoboa ,,,hapo mdomon na pua kwa sonara ila maumivu yake usisikie hadi nimepona nashukur mtu anakwambia umependeza ila tunauguliaga maumivu sio ya nchi hii 😂😂😂
Hizi kutoboa toboa bora zinipite tu kwa kweli😫🙌🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Atamm sipendi
Ukiona mtu anatoboa sehemu siyo ya kawaida kwa mfano juu ya jicho, ulimi, mdomo n.k au kujichora matatoo ujuwe hajiamini kwa uzuri aliyoumbwa na Mungu, na Ndiyo maana anatoboa sehemu siyo sahihi au kujichora mwili na matatoo ili apate attention za watu 😏😣
Kaa kwa kutulia
Hayo ni mawazo yako. Kama huwezi kutoboa acha , stop judging people with stupid reasons.
Nilitoboa mdomo ham sina nilivimba nikawa sitok nje aibu😅 mme wangu akawa haelew kila siku nasemwa na nilitoboa jwa sonara sh 5000 ham sina nilijiuguza kwa 50 elfu sindano z pawasef na madawa mengine mdg kuja kupona ukawa mwembamba😂 yan hd umerud kwenye hali yangu y kawaida n miez ham sina kuiga huku hapana
😂😂😂😂😂
Umependeza Zai ila me hapana 🙌
Ulembo huo mm apana Bola nibaki na ushamba wangu😀😀🙌
Yaani me hata masikio ya kiziba sitatoboa abadani
@@ashavitalis4504 😀😀wewe ndio mm kabisa wasingenitoboa utotoni nisingevaa hereni kabisa
Mm nilijaribu kujitoboa sikio weee sindano ilingia robo yake nikaitoa ila nitaenda kutoboa kama Ambar Lulu napenda 😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁
@@dorcaskidoti249 🤣🤣🤣utaumia Sana acha tuu mwenzangu
@@hanifaomar7438 mwenye kilanga hapewi poleee😂😂😂😂😂😂😂
Nakupenda bure da zai
Kidoo Cha maji wendechooni, nimecheka kwakweli
Mm ningekaa karibu na dazai haki y Mungu ningecheka kila siku jmn😂😂 da geah anachekaa mwenyewe kw shoga ake zai😂
Zai umetisha wekiboko 😁😁
😃😃Gooooozii
Yan zai nataman niwe nakuja kukaa tu na wewe🤣🤣🤣🤣
Hee mtihani, puani naogopa
Zai wewe una mambo
Nimetomboa hivyo vikwasukwasu wara haviumi
Mimi hapana🙌🙌🤣
Hahaa. Zai noma
Geh nataka namba nashughur
Mjini kunafanywa mengi Zai sasa ukiendekeza kuigaiga utakuja kuiga yasiyoigwa
😂😂😂😂KWASUKWASU LAZMA UPUMUE😂😂😂zai Una tabu wew
Umependeza sana 🤣
Zai kiboko
Umependeza sana
Mimi pia nimetoboa ,,,hapo mdomon na pua kwa sonara ila maumivu yake usisikie hadi nimepona nashukur mtu anakwambia umependeza ila tunauguliaga maumivu sio ya nchi hii 😂😂😂
🤣🤣zai bwana
Mm nilijitoboa pua🤣🤣🤣
😂😂😂Zai ww jmn
😂😂 siwezi
Na hata ww pia una roho ngumu tn sana, Allah nihifadhi mm na kizazi changu. Mwengine ya nipite.
🤣🤣🤣🤣nampenda zai ananitoa stress 🤣🤣
nipeni number nataka Product za chuga nipo Burundi
Zai zai wajina nakupenda sana
Duh kumbe Uswahili kutoboa buku 🤣🤣😂muend kwa matob bhn ana toboa shiling 50
Za amependeza
Nyie 😂😂😂
😄
Gumu kama kwasukwasu😅😅😅😅😅😅😅
Mtatoboa kila sehemu ila hamtoboi maisha
Hahahaaa
🤣🤣🤣🤣 poleni
Ya nini mie😐
Mimi nilijaribu kujitoboa sikio sindano ikaingia robo nikaichomoa weeeeee😂😂😂😂😂😂🙈🙈🙈🙈🙈🙈
Hahahha
😅😅😅😅😅
Zaiii unanifurahisha sana
😂😂😂
😆😀😀😀😀😀😀😀😀😀
😂😂😂😂😂
😂😂🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tetenasi hamuogopi
Hahahahhahha
,🤣🤣🤣🤣😂😂😂
😂😂🤣Zai nyei
Piercing 1000 😂😂😂nyie nyie
Wakati kwa Dr matobo 30000😂 vya rahisi vinaponza😂
Sisi aina utaaramu 😂😂😂😂😂😂😂
Zai penda sana wewe
Nakupenda bure da zai
kwhy lazma ukanyeee ukitobolewa
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😂