WATEJA WAMPIGIA SHANGWE SHILOLE, MTOTO WAKE KUFAULU 1 YA 7 FORM SIX, AFUNGUKA KUWEKA HATI APEWE ADA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 лип 2023

КОМЕНТАРІ • 143

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Рік тому +13

    Mwalimu wa hesabu hapa n wap the shishi voice ❤Penye Nia Pana njia MUNGU azidi kukupgania Zaid wababa saa hz nyuso chn kama mbuz wa kafara 😢

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Рік тому +23

    Huwa uko smart sana shishi kwenye malezi na unajitahidi mpz. Hongera

    • @eyabdimaha3698
      @eyabdimaha3698 Рік тому

      Yupo makini sana kwa watoto wake anahitaji pongezi

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Рік тому +8

    Nampenda sana my love shishi kwa hupambanaji wake na marezi yake mungu hambariki sana

  • @dabmagroup
    @dabmagroup Рік тому +10

    Wow! What a super woman pongezi kwako shishi 🎉

  • @dkt.fatmasalim
    @dkt.fatmasalim Рік тому +2

    Mwanamke mpambanaji, Hongera sna, Mungu amjaalie mschana aendelee kufaulu zaidi na zaidi..Amin

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Рік тому +40

    Kuna mzazi kama shilole ambaye hakufanikiwa kusoma na alidanga sana lakin kabadilika na kuwaonyesha wanake njia sahihi ambayo yeye hakupita na kuna mzaz kama kajala ambaye anampitisha mtoto wake njia ambazo yeye pia alipitia 😢 ila yote maisha kikubwa uhai nasemaje kikubwa uhai kuna mzaz pia anataman mtoto wake ambaye hayupo dunian arud hata awe mcharuko kama paula ila awepo tu duniani😢 Mungu ni Mwema tushukuru kwa kila jambo

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah7242 Рік тому +13

    Huwa nampenda Sana Zuena jmn♥️

  • @user-qq1yl1jz9o
    @user-qq1yl1jz9o Рік тому +2

    Hongera sana binti mzuri we are proud of you. You make your mom proud

  • @annaandrew3051
    @annaandrew3051 Рік тому +3

    Hongera dear.Mungu azidi kuwainua watoto wetu sisi tunaopambana

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 Рік тому +7

    Mimi nampendaga shishi kindakindaki💘💘💘💘💘💘💘💘🤲

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 Рік тому +6

    Nakupenda sana shishi

  • @maimunamnandowa5948
    @maimunamnandowa5948 Рік тому +2

    Hongera sana shishi Mungu aendelee kumbariki mtoto wako na kuwalinda

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Рік тому

    Hongera Sana! Endelea kuwatunza huku ukimshirikisha Mungu!Ila kuwa makini usimuache mwanao mtandaoni!

  • @rukiaahmed1291
    @rukiaahmed1291 Рік тому

    Shishi your the best dear .smart in head we love you to the fullest. Mungu azidi kukuzidishia

  • @thuraiyathuraiya401
    @thuraiyathuraiya401 Рік тому +4

    Mashaallah dada mungu akuzidishie ❤❤

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 Рік тому +4

    Shishi, you're so creative ❤

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +4

    Hongera sana, ata mimi najitafuta ada kabisaaa

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Рік тому +2

    Hongera sana shishi MUNGU azidi kukibariki wewe na wanao❤❤❤

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 8 місяців тому

    Shishi na kupenda m🇰🇪🇰🇪 mimi

  • @user-he3tv6ob6p
    @user-he3tv6ob6p Рік тому +1

    Allah akuzidishie nakupend sana shishi,mmmmwaaaaaaaas❤

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 Рік тому +1

    UKO JUU SAANA...#SHISHI....TUKO PAMOJA NAWE NA TUTAZIDI KUKUOMBEA MEMA SIKU ZOTE .....#HONGERA SAAAANA.... #SUPER WOMAN 💥💥💥🔥🔥🔥❤

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 Рік тому +1

    Shilole ongera na malezi yako mazuri ya watoto wako kwanza malezi ni mazuri endelea kufanya kazi kwa ajili wa watoto njo maisha yako ya kesho

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 Рік тому

    Mashaalah alhamdulilah hata mimi nina ardhi alhamdulilah Allah akbar

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Рік тому

    Shishi kama shishi mama mpambanaji ninanye muelewa sana Tz hongera zako mwaya😂😂 I love u from Mombasa ❤

  • @hawasham908
    @hawasham908 Рік тому +1

    Yaani yotenayote namefurahi pia kwa mtoto kufauli vzuri hongera mwanangu hongera shishi

  • @lightinesssarakiky7367
    @lightinesssarakiky7367 Рік тому +4

    Mam shishi love you ❤❤❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Рік тому +1

    Hongera sna shilole

  • @user-bn8qx9kg7w
    @user-bn8qx9kg7w Рік тому

    honger kwakupamban mungu yupo pamoj naw

  • @fatmakhatib2935
    @fatmakhatib2935 Рік тому

    Hongera sana binty umeonyesha jitihada kubwa kwenye elimu baada ya kuona jinsi gani maamko alivyokuwa anafait 7bu kuna watoto wengine hawajali wala hawaoni wazazi wao jinsi wanavyo wahangaikia kwa faida yao wenyewe baadae

  • @azizasaid5255
    @azizasaid5255 Рік тому +1

    Ongera shilole. Wameendana na mwanangu, yeye kapata 1 ya 7 .sayasi.

  • @latifamlipano5286
    @latifamlipano5286 Рік тому +2

    Hongera sana mpambanaji

  • @anisia4390
    @anisia4390 Рік тому

    Congrat sana Dada hayo ndo malezi yanastahili kwa watoto

  • @florampayo6593
    @florampayo6593 Рік тому +1

    Hongera sana shilole

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Рік тому +2

    Nimefrahi Sana kuwaona wahaya wenzangu🙏🙏🙏

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Рік тому

    Hongera sana shishi

  • @upendojoseph7912
    @upendojoseph7912 Рік тому

    Dada WA taifa wewe, nakupenda nikiwa ruvuma💕💕💕💕

  • @sakinaomary7207
    @sakinaomary7207 Рік тому +1

    nimependa vibe

  • @marywairimu5682
    @marywairimu5682 Рік тому

    Shishi InshaAllah mola aku fanyie. Wepesii

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Рік тому +3

    Mashallah ❤ ngoja Nami nooambane wanangu wasome

  • @mrsab303
    @mrsab303 Рік тому +2

    We love you ❤❤❤❤❤

  • @user-ip6ei8zt1u
    @user-ip6ei8zt1u Рік тому +1

    Nikikuangalia napata nguvu yakufanya kaz kwa bidii sana

  • @rosejoely4518
    @rosejoely4518 Рік тому

    Hongera shishi

  • @abdiathumani919
    @abdiathumani919 Рік тому +2

    Namkubali shishi

  • @mossyjoseph7212
    @mossyjoseph7212 Рік тому +1

    Nakupenda sana dada Zuwena Mungu akupe maisha marefu dada ❤❤❤

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 Рік тому

    Shishi ❤❤❤

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 Рік тому +4

    Ongera sana mwanawane kwa binti yetu kufaulu sio mchezo mwanawane

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 Рік тому

      Kweli kabisa Mi na kubali Sana shish

  • @user-jz2su4co4d
    @user-jz2su4co4d 5 місяців тому

    Hongera mama wa mama ilove you

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Рік тому +1

    Dada ukopoa sana

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Рік тому +3

    Pongeziii kwa Wa MAMA wote wanaosomesha watoto wao kwa Mazingira yote 🙏🙏

    • @asiamohd5516
      @asiamohd5516 Рік тому +1

      Mungu akubariki sana. Asante sana

  • @user-tn1wr6zm4t
    @user-tn1wr6zm4t Рік тому

    Penda shishi❤❤

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 місяців тому

    Majina ya z udongo nyota wanausika na kilimo pia na sisi

  • @anifamango6756
    @anifamango6756 Рік тому

    Na kababy face kake... Nampedaga shishi sana

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 Рік тому +10

    Wachaga hatuna baya na mtu hata tukifa hatuozi😊

  • @jade75798
    @jade75798 5 місяців тому

    My dear sio kurisk ni kusacdifise

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 10 місяців тому

    Sifa kweli wanao.

  • @AmeenaTanzania
    @AmeenaTanzania Рік тому

    Ongera zikufikie mbili kwakusomesha pamoja na akili ya kazi umejiongeza dada saluti kwako

  • @user-wz9no5wx3g
    @user-wz9no5wx3g Рік тому +1

    Natamani kufanya kazi nawe dada nahitaji kufata nyayo zako

  • @Ohhvio
    @Ohhvio Рік тому

    Wachaga oyeeee 🔥🔥🔥🔥 rudia Kweli wengine tulikosaa

  • @biubwaabdalla9750
    @biubwaabdalla9750 Рік тому

    Shilole nakupenda natamani nikuone

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m 7 місяців тому

    ❤❤❤

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj Рік тому +1

    Wanafaulu elimu za darasani Ila ubunifu wao hawaujui baadae maisha yanawasumbua

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Рік тому +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @user-tn1wr6zm4t
    @user-tn1wr6zm4t Рік тому

    😂😂😂😂😂nimejikuta nacheka❤❤

  • @sarahbenard5493
    @sarahbenard5493 Рік тому +2

    Nataman nifanye kama ww ila najua ntafanya tu.

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 Рік тому +5

    Huyu dada anajielewa mnoo! Mungu akutangulie

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 місяців тому

    Wahaya na waganda wanaita matoke

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 місяців тому

    Nakipenda

  • @sarasaraz-vn1vl
    @sarasaraz-vn1vl Рік тому +1

    Yani mm sisemi kwa shishi

  • @irenemacha5661
    @irenemacha5661 Рік тому +6

    Modo wangu❤

  • @user-fr3sq9qu8g
    @user-fr3sq9qu8g Рік тому

  • @shemsaali5961
    @shemsaali5961 Рік тому

    arrrot of things😂nimeipata iyo

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 Рік тому

    Ni furaha kama Mama

  • @naimasaid4608
    @naimasaid4608 Рік тому

    Furaha nackia mm

  • @ruttaking6906
    @ruttaking6906 Рік тому

    "Yaliyoomo yaaamo"

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 Рік тому

    Na siku hii nilibahatika Kuwepo hapo palijaaaa hadi pakupaki gari hapakuwepoo

  • @tecratzmwakyambomwakyambo7243

    Ikifikaa siku ya chakulaa cha wanyakyusa mnijulisheeeee.

  • @kudanatz9943
    @kudanatz9943 Рік тому

    Sasa shishi nikuombe kitu fanya chakula cha kimasai nyama mtori na damu mbichi watakuja wengi sana

  • @lusajoabel5496
    @lusajoabel5496 Рік тому

    Shishi anavibe la kwenda sio poa

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 Рік тому

    Ila sio kila kitu muwe mnatangaza maana hujui mmbaya wako ninani, wengine unakuta baada ya siku chake tu mtoto haoni

  • @mama_mlezi7744
    @mama_mlezi7744 Рік тому

    Ani skuizi elimu Ni kujitambua,kujiheshimu na kuitwa tu Fulani amesoma,,,sema skuiz wadogo zetyu wanafaulu Sana Ila ukimaliza chuo ndio utajua division one ni deal au connection Ni deal🤣🤣🤣🤣🤣🤣hongera mdogangu

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p 6 місяців тому

    wewe.ndio mama.bora sasa.sio yule . anae vaa.chupi pamoja na.mtoto.wake

  • @beatricemrisho8431
    @beatricemrisho8431 Рік тому +3

    Watu kusahvi wanafaulu sana mitaala ishabadilishwa masomo yote ni kuchagua ABCD... Elimu ya sahv ni mteremko mpka hesabu kuchagua lohhhh... Hakuna competition sahv ujinga tu

    • @amourhemed2950
      @amourhemed2950 Рік тому +3

      Acha wivu jifunze kufurahia mafanikio ya wengine

    • @salvatorypaul6113
      @salvatorypaul6113 Рік тому +1

      Acha bangi fara ww A level Kuna kuchagua ABCD

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Рік тому +1

      Mjinga ni wewe nawe tuletee matokeo ya mwanao aliefaulu. Pumbavu wee! Roho mbaya shwain wee nyooooo!

    • @upendopeter8078
      @upendopeter8078 Рік тому +1

      Acha wivu wewe dada, sawa imebadilishwa lakini mbona wapo wanaofeli?? Mtoto amefanya vizuri anastahili pongezi,, wewe kaa na wivu wako, mwanamke unajaka la moyo😏

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Рік тому

      Acha roho mbaya ww ulifauru au wtt wako wamefauru nenda zako, Hongeraa sana Shishi

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali8883 Рік тому +1

    Usimlete mtoto mtandaoni atapotea

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p 6 місяців тому

    waje.wasambaa.uapikie.ugali.wa.muogo.kama.hamta.pinda.migongo

  • @rajababdallah9791
    @rajababdallah9791 Рік тому

    Apo ata kama baba yao alikua napambana huwezi sikia hata nukta

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Рік тому

    Me nikajua amefuzu kuingia peponi kumbe Division tyu.Kitu cha kawaida Ni bora angesoma Dini.

  • @aureliadidas1531
    @aureliadidas1531 Рік тому

    😅😅😅😅

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Рік тому

    hahahaha

  • @khamisrashid9645
    @khamisrashid9645 Рік тому +1

    Kabila kubwa sukuma kada ya ziwa shishi kikwe tu zaid

  • @justice607
    @justice607 Рік тому +1

    Ebitoke ndani ya sahani

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Рік тому +2

    kweli wazanzi wanaelewa iyo resque muzanzi anafanya anjili ya wayoto wasonge bali 😂😂shishi umenikubusha bali sana .ijapokuwa leo niko kwenye musimamo muzuri.ila ulipp ogeya risque mwanamuke anafanya anji ya watoto ni meliya maisha haya nisiri kubwa sana.shishi inarikiwe dada

  • @azizasaid5255
    @azizasaid5255 Рік тому

    Mtoto kichuna

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Рік тому +1

    acha upumbavu kumueka mitandaoni mtoto Wako

    • @mishikombowato1457
      @mishikombowato1457 Рік тому

      Mwerevu usiejielewa shishi unae muona mpumbavu kujitafuta kajipata na anabidika kusomesha wanawe na watoto wanampa mama yao moyo

  • @meshackkulinda1753
    @meshackkulinda1753 Рік тому

    Wewe dada punguza maisha ya mtandao , hv unadhan watu wanafurahi??hv ujui kuwa unawezapgwa ni jicho la roho mbaya??

    • @user-sq7pz9ex5g
      @user-sq7pz9ex5g Рік тому +9

      Wa kwanza utakuwa wewe mwanga

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Рік тому +3

      Alopewa kapewa punguza makasiriko

    • @bernadetamodest6170
      @bernadetamodest6170 Рік тому

      @@lifeinmiddleeast8179 😁🤣😁🤣😆😆😆😆😆😆

    • @bernadetamodest6170
      @bernadetamodest6170 Рік тому

      @@user-sq7pz9ex5g 😁🤣😆😁😆🤣😁😁

    • @svt3
      @svt3 Рік тому +2

      @meshackkulinda1753: ukiamini ushirikina na ushenzi lazima ukushike

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Рік тому

    Huyu dada angepunguza huu unene maana alivyonenepeana daah amejiachia kihasara 😅unaweza kunenepeana watu wakafikiri unakula mavi 😊

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Рік тому

      Apunguze unene kwani unampa wewe kula loh!

    • @mishikombowato1457
      @mishikombowato1457 Рік тому

      Shishi hajajiachia rudi ukajifunze lugha mwili tu mungu kampa ila shishi anavyo pambana angekonda ila mola ndio aliempa afya huyu dada ni halali kutafuta kila kona yumo

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Рік тому

      @@mishikombowato1457 hamna kitu Kama hicho ni kujiachia akipunguza kula vyakula vya wanga na akifanya mazoezi atapungua tu siku hizi wanawake wengi wana vitambi

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Рік тому

      @@salmahalfani6307 na wewe una kitambi nini maana siku hizi ni kawaida wanawake wana vitambi 😂😂😂

    • @johnstephene3112
      @johnstephene3112 Рік тому

      @@kabwelasutiviraka4765 h

  • @user-mo6tr3yt3m
    @user-mo6tr3yt3m 7 місяців тому

    ❤❤❤

  • @user-fr3sq9qu8g
    @user-fr3sq9qu8g Рік тому

  • @user-fr3sq9qu8g
    @user-fr3sq9qu8g Рік тому