Kuna mzazi kama shilole ambaye hakufanikiwa kusoma na alidanga sana lakin kabadilika na kuwaonyesha wanake njia sahihi ambayo yeye hakupita na kuna mzaz kama kajala ambaye anampitisha mtoto wake njia ambazo yeye pia alipitia 😢 ila yote maisha kikubwa uhai nasemaje kikubwa uhai kuna mzaz pia anataman mtoto wake ambaye hayupo dunian arud hata awe mcharuko kama paula ila awepo tu duniani😢 Mungu ni Mwema tushukuru kwa kila jambo
Hongera sana binty umeonyesha jitihada kubwa kwenye elimu baada ya kuona jinsi gani maamko alivyokuwa anafait 7bu kuna watoto wengine hawajali wala hawaoni wazazi wao jinsi wanavyo wahangaikia kwa faida yao wenyewe baadae
Ani skuizi elimu Ni kujitambua,kujiheshimu na kuitwa tu Fulani amesoma,,,sema skuiz wadogo zetyu wanafaulu Sana Ila ukimaliza chuo ndio utajua division one ni deal au connection Ni deal🤣🤣🤣🤣🤣🤣hongera mdogangu
Watu kusahvi wanafaulu sana mitaala ishabadilishwa masomo yote ni kuchagua ABCD... Elimu ya sahv ni mteremko mpka hesabu kuchagua lohhhh... Hakuna competition sahv ujinga tu
Acha wivu wewe dada, sawa imebadilishwa lakini mbona wapo wanaofeli?? Mtoto amefanya vizuri anastahili pongezi,, wewe kaa na wivu wako, mwanamke unajaka la moyo😏
kweli wazanzi wanaelewa iyo resque muzanzi anafanya anjili ya wayoto wasonge bali 😂😂shishi umenikubusha bali sana .ijapokuwa leo niko kwenye musimamo muzuri.ila ulipp ogeya risque mwanamuke anafanya anji ya watoto ni meliya maisha haya nisiri kubwa sana.shishi inarikiwe dada
Shishi hajajiachia rudi ukajifunze lugha mwili tu mungu kampa ila shishi anavyo pambana angekonda ila mola ndio aliempa afya huyu dada ni halali kutafuta kila kona yumo
@@mishikombowato1457 hamna kitu Kama hicho ni kujiachia akipunguza kula vyakula vya wanga na akifanya mazoezi atapungua tu siku hizi wanawake wengi wana vitambi
Mwalimu wa hesabu hapa n wap the shishi voice ❤Penye Nia Pana njia MUNGU azidi kukupgania Zaid wababa saa hz nyuso chn kama mbuz wa kafara 😢
Huwa uko smart sana shishi kwenye malezi na unajitahidi mpz. Hongera
Yupo makini sana kwa watoto wake anahitaji pongezi
Nampenda sana my love shishi kwa hupambanaji wake na marezi yake mungu hambariki sana
Wow! What a super woman pongezi kwako shishi 🎉
Mwanamke mpambanaji, Hongera sna, Mungu amjaalie mschana aendelee kufaulu zaidi na zaidi..Amin
Kuna mzazi kama shilole ambaye hakufanikiwa kusoma na alidanga sana lakin kabadilika na kuwaonyesha wanake njia sahihi ambayo yeye hakupita na kuna mzaz kama kajala ambaye anampitisha mtoto wake njia ambazo yeye pia alipitia 😢 ila yote maisha kikubwa uhai nasemaje kikubwa uhai kuna mzaz pia anataman mtoto wake ambaye hayupo dunian arud hata awe mcharuko kama paula ila awepo tu duniani😢 Mungu ni Mwema tushukuru kwa kila jambo
Hakika kunywa soda ndugu
Umeongea KWA UCHUNGU sana daahh haya maisha MUNGU ATUSAIDIE TU...
Mtakalia Ayo ayo
@@joycekaguo8476Sasa we ya Nini makasiliko
Yaani in kweli lakin,ila dah si kwa mchambo uwo kwa wenzko jmon,
Huwa nampenda Sana Zuena jmn♥️
Hongera sana binti mzuri we are proud of you. You make your mom proud
Hongera dear.Mungu azidi kuwainua watoto wetu sisi tunaopambana
Mimi nampendaga shishi kindakindaki💘💘💘💘💘💘💘💘🤲
Nakupenda sana shishi
Hongera sana shishi Mungu aendelee kumbariki mtoto wako na kuwalinda
Hongera Sana! Endelea kuwatunza huku ukimshirikisha Mungu!Ila kuwa makini usimuache mwanao mtandaoni!
Shishi your the best dear .smart in head we love you to the fullest. Mungu azidi kukuzidishia
Mashaallah dada mungu akuzidishie ❤❤
Shishi, you're so creative ❤
Hongera sana, ata mimi najitafuta ada kabisaaa
Hongera sana shishi MUNGU azidi kukibariki wewe na wanao❤❤❤
Shishi na kupenda m🇰🇪🇰🇪 mimi
Allah akuzidishie nakupend sana shishi,mmmmwaaaaaaaas❤
UKO JUU SAANA...#SHISHI....TUKO PAMOJA NAWE NA TUTAZIDI KUKUOMBEA MEMA SIKU ZOTE .....#HONGERA SAAAANA.... #SUPER WOMAN 💥💥💥🔥🔥🔥❤
Shilole ongera na malezi yako mazuri ya watoto wako kwanza malezi ni mazuri endelea kufanya kazi kwa ajili wa watoto njo maisha yako ya kesho
Mashaalah alhamdulilah hata mimi nina ardhi alhamdulilah Allah akbar
Shishi kama shishi mama mpambanaji ninanye muelewa sana Tz hongera zako mwaya😂😂 I love u from Mombasa ❤
Yaani yotenayote namefurahi pia kwa mtoto kufauli vzuri hongera mwanangu hongera shishi
Mam shishi love you ❤❤❤
Hongera sna shilole
honger kwakupamban mungu yupo pamoj naw
Hongera sana binty umeonyesha jitihada kubwa kwenye elimu baada ya kuona jinsi gani maamko alivyokuwa anafait 7bu kuna watoto wengine hawajali wala hawaoni wazazi wao jinsi wanavyo wahangaikia kwa faida yao wenyewe baadae
Ongera shilole. Wameendana na mwanangu, yeye kapata 1 ya 7 .sayasi.
Hongera sana mpambanaji
Congrat sana Dada hayo ndo malezi yanastahili kwa watoto
Hongera sana shilole
Nimefrahi Sana kuwaona wahaya wenzangu🙏🙏🙏
Hongera sana shishi
Dada WA taifa wewe, nakupenda nikiwa ruvuma💕💕💕💕
nimependa vibe
Shishi InshaAllah mola aku fanyie. Wepesii
Mashallah ❤ ngoja Nami nooambane wanangu wasome
We love you ❤❤❤❤❤
Nikikuangalia napata nguvu yakufanya kaz kwa bidii sana
Hongera shishi
Namkubali shishi
Nakupenda sana dada Zuwena Mungu akupe maisha marefu dada ❤❤❤
Shishi ❤❤❤
Ongera sana mwanawane kwa binti yetu kufaulu sio mchezo mwanawane
Kweli kabisa Mi na kubali Sana shish
Hongera mama wa mama ilove you
Dada ukopoa sana
Pongeziii kwa Wa MAMA wote wanaosomesha watoto wao kwa Mazingira yote 🙏🙏
Mungu akubariki sana. Asante sana
Penda shishi❤❤
Majina ya z udongo nyota wanausika na kilimo pia na sisi
Na kababy face kake... Nampedaga shishi sana
Wachaga hatuna baya na mtu hata tukifa hatuozi😊
My dear sio kurisk ni kusacdifise
Sifa kweli wanao.
Ongera zikufikie mbili kwakusomesha pamoja na akili ya kazi umejiongeza dada saluti kwako
Natamani kufanya kazi nawe dada nahitaji kufata nyayo zako
Wachaga oyeeee 🔥🔥🔥🔥 rudia Kweli wengine tulikosaa
Shilole nakupenda natamani nikuone
❤❤❤
Wanafaulu elimu za darasani Ila ubunifu wao hawaujui baadae maisha yanawasumbua
❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂nimejikuta nacheka❤❤
Nataman nifanye kama ww ila najua ntafanya tu.
Huyu dada anajielewa mnoo! Mungu akutangulie
Wahaya na waganda wanaita matoke
Nakipenda
Yani mm sisemi kwa shishi
Modo wangu❤
Hongera una kashifa na watoto wako anawapa madilisha mazuri
Wewe mpampanaji
Malkia wa nguvu
Wewe mfano kwa wasanini wa kike
@@magrthmakandi7224 sana sana
❤
arrrot of things😂nimeipata iyo
Ni furaha kama Mama
Furaha nackia mm
"Yaliyoomo yaaamo"
Na siku hii nilibahatika Kuwepo hapo palijaaaa hadi pakupaki gari hapakuwepoo
Ikifikaa siku ya chakulaa cha wanyakyusa mnijulisheeeee.
Sasa shishi nikuombe kitu fanya chakula cha kimasai nyama mtori na damu mbichi watakuja wengi sana
Shishi anavibe la kwenda sio poa
Ila sio kila kitu muwe mnatangaza maana hujui mmbaya wako ninani, wengine unakuta baada ya siku chake tu mtoto haoni
Ani skuizi elimu Ni kujitambua,kujiheshimu na kuitwa tu Fulani amesoma,,,sema skuiz wadogo zetyu wanafaulu Sana Ila ukimaliza chuo ndio utajua division one ni deal au connection Ni deal🤣🤣🤣🤣🤣🤣hongera mdogangu
wewe.ndio mama.bora sasa.sio yule . anae vaa.chupi pamoja na.mtoto.wake
Watu kusahvi wanafaulu sana mitaala ishabadilishwa masomo yote ni kuchagua ABCD... Elimu ya sahv ni mteremko mpka hesabu kuchagua lohhhh... Hakuna competition sahv ujinga tu
Acha wivu jifunze kufurahia mafanikio ya wengine
Acha bangi fara ww A level Kuna kuchagua ABCD
Mjinga ni wewe nawe tuletee matokeo ya mwanao aliefaulu. Pumbavu wee! Roho mbaya shwain wee nyooooo!
Acha wivu wewe dada, sawa imebadilishwa lakini mbona wapo wanaofeli?? Mtoto amefanya vizuri anastahili pongezi,, wewe kaa na wivu wako, mwanamke unajaka la moyo😏
Acha roho mbaya ww ulifauru au wtt wako wamefauru nenda zako, Hongeraa sana Shishi
Usimlete mtoto mtandaoni atapotea
waje.wasambaa.uapikie.ugali.wa.muogo.kama.hamta.pinda.migongo
Apo ata kama baba yao alikua napambana huwezi sikia hata nukta
Me nikajua amefuzu kuingia peponi kumbe Division tyu.Kitu cha kawaida Ni bora angesoma Dini.
Eeeh makubwa
😅😅😅😅
hahahaha
Kabila kubwa sukuma kada ya ziwa shishi kikwe tu zaid
Ebitoke ndani ya sahani
kweli wazanzi wanaelewa iyo resque muzanzi anafanya anjili ya wayoto wasonge bali 😂😂shishi umenikubusha bali sana .ijapokuwa leo niko kwenye musimamo muzuri.ila ulipp ogeya risque mwanamuke anafanya anji ya watoto ni meliya maisha haya nisiri kubwa sana.shishi inarikiwe dada
😂hii comment imenichekesha
But why🤦🏽♀️😂😂😂sio rahisi wew😂😂😂
Huwezi kuwa serious 😁😁😁
Hapa ni wapi? Mbna najikuta nacheka tu 😂😂😂
Nitafsirieni jmn 😢
Mtoto kichuna
acha upumbavu kumueka mitandaoni mtoto Wako
Mwerevu usiejielewa shishi unae muona mpumbavu kujitafuta kajipata na anabidika kusomesha wanawe na watoto wanampa mama yao moyo
Wewe dada punguza maisha ya mtandao , hv unadhan watu wanafurahi??hv ujui kuwa unawezapgwa ni jicho la roho mbaya??
Wa kwanza utakuwa wewe mwanga
Alopewa kapewa punguza makasiriko
@@lifeinmiddleeast8179 😁🤣😁🤣😆😆😆😆😆😆
@@user-sq7pz9ex5g 😁🤣😆😁😆🤣😁😁
@meshackkulinda1753: ukiamini ushirikina na ushenzi lazima ukushike
Huyu dada angepunguza huu unene maana alivyonenepeana daah amejiachia kihasara 😅unaweza kunenepeana watu wakafikiri unakula mavi 😊
Apunguze unene kwani unampa wewe kula loh!
Shishi hajajiachia rudi ukajifunze lugha mwili tu mungu kampa ila shishi anavyo pambana angekonda ila mola ndio aliempa afya huyu dada ni halali kutafuta kila kona yumo
@@mishikombowato1457 hamna kitu Kama hicho ni kujiachia akipunguza kula vyakula vya wanga na akifanya mazoezi atapungua tu siku hizi wanawake wengi wana vitambi
@@salmahalfani6307 na wewe una kitambi nini maana siku hizi ni kawaida wanawake wana vitambi 😂😂😂
@@kabwelasutiviraka4765 h
❤❤❤
❤
❤