Maisha hàya jmn usikute ndugu nao hawana umoja bwana had ndugu wa mume kutoa kauli hawatak huenda waliwakataa hao watt ndugu wa mwanamke jmn tupendane mtt wa ndugu yako wakwako endapo anatabia nzur na wakiwa sio vibur
Ndugu zetu wa tz mnaroho mbaya sana ndg yako akienda nchi za nje kurea watto wa ndguzenu mnaona shida na ndiomana wariwazuiya meshindwa kuka nao,,,na we mwanaume unashindwa kurea watto wako wakanti mpo hai Nan hakurere watto wako mikojo yako ukojoe ww unataka kulelewa mbwa nyie wanaume mnashindwa kurea watto wenu
Apana aukukosea mahana watoto wanaitaji malezi ya baba na mama zao tatizo Ni mkeo kama kuna ugovi bayana yy mkeo sio kwa watoto au ndugu. Wengi wanakosea sn
Mm ninawawili na hangaika nao mwenyewe sitaki hata waende kwa baba yao. Huyo mama jinga sanaaaaa sio wanaume wote wanapenda watoto wao poleni sanaaaaa watoto wazuli mungu awe nanyi
Tatizo kubwa ni kuwa hao kina Mwamposa ni kama waganga wa kienyeji. Hawa matapeli wanatakiwa kudhibitiwa kwani wako mstari wa mbele kueneza ushirikina ambao hauko. Huyo baba inatakiwa nyanganywe hao watoto.
Dada Sina mengi yakuongea ninachokuomba Mimi hao watoto uwachukue na usikubali kuwarudisha tena Kwa hiyo mpumbavu na tena hiyo ni bahati pengine mpaka Sasa yangekuwa mengine
Jamani tatizo hali ya maisha ni ngumu mimi hapa nna watoto 5 nalia uck mchana kwn mda mwengine nashindwa hata huduma ila sijafikiria kuwapeleka kwa baba yao ila maisha ni magumu jmni
Ila wanaume wana maudhi haya mambo katika jamii yapo mengi mengi ni watoto kumi kwa mmmoja ndo wanakaa kwa upande wa baba kwa aman lkn mungu atausitiri na wenetu
Mm ndio maana wanangu bora niwaache na ndugu zangu kuliko kwa baba yao hapana kwa kweli inauma sana mwanao kufanywa kama hivi watu wana roho Zao kikatili kama nini@@mariamdullazy8166
@@marrypius576 nashangaa anasema tu huyo naona hajawahi kwenda nchini kwa watu kutafuta maisha atuulize sie sio kwamba tunaacha watoto zetu na watu tunapenda hapana Ila yote tunatafuta maisha kwa ajili ya hao watoto
iyo yababa kupiga pini mama asimuone mtoto imenikuta hiyo,nimelea mtoto kwa miaka tisa baba alikuwa na uhuru wa kumuona mtoto nikampa mtoto mwaka mmoja tu akanipiga pini,nimepora mtoto wangu na nina kesi mahakamani,ila nashkuru nimejifunza mtoto wangu ni mali yangu,kwenda kulelewa na mtu mwingine labda nikifa. wababa wa siku izi wana tabia za kishamba sana kama ukivyosema dada Ghea.
Kwa mwamposa huwez pigwa makofi jmn punguza uongo ww dada na hz sindano sijui nb hayo n mammbo y kidunia tu hata ww unaweza ukafanyiwa kikubwa kaeni na watt wenu
Daah poleni sn kwa mitahani migumu. Wanaume acheni izi shida tunzeni watoto kwa mahadili mema sio kuhuwa. Km una ongovi na mkeo au mpezi wako shida sio ndugu au watoto. Nakukoseana kupo sio vita jamani
Hii iko pande zote SEMA wanaume hawasemi Wala kwenda huko polisi,Ila hili tatizo liko pote pote..watu kuweni makini muwe na hofu ya Mungu,hapo inaonekana Kuna tatizo la msingi,japo haliwezi kuwa sababu tosha ya kuwatesa watoto.
Watoto kwenda kwa baba yao si kosa maana wana haki kwa pande zote ila cha msingi ni kama alivyosema da geah huyo mwanaume ni bora angekataa kama hakuweza kuwalea watoto kuliko kuwapiga hivyo watoto
Dah ndio maana Wana SEMA uchungu wa mwana aujuae mzazi na sio wazazi nitakomaa na mwanangu kokote nitakapo kuwepo baba anaweza kuzaa huko akaanzisha family yake na yako akaisahau 😢 Yani huyo baba muuaji kabisa doh
Ww dada kweli ulee wanao mpaka apo uwaache waende kwa mwanaume ambae muliachana kweli ulishindwa nn kuwaachia mamako mpuuzi ww umeenda South kufata nn haswa cha maana
We nawe Matako tu kama watu wengine kafwata nini hyo vipi kwani aliwaacha njiani sini kwa baba yao wewe unajuwa kaangaika nao vipi hadii wamefikya hapo Mbona asimkabidhi tangu wakiwa wa dogo kawalea kaona Maisha yamemuelemea na watoto wanazidi kukuwa wanahitaji kusoma kazi anaiyo ifanya Bongo haitakidhi kaamuwa kwenda mbele ilimradi tu wanae wasome na wapate maisha yanayo sitahili my dear kama hujapitya changamoto za kulea watoto wewe mwenyewe mshukuru Mungu Mimi hyo dda popote alipo siwezi kumlaumu kwa lolote Coz najuwa huko aliko yupo kwaajili ya Kutengeneza maisha ya wanae sizani kama Maisha ya pekeake ya ngemshinda hapa Dar kikubwa tu hyo baba yashughulikiwe na watoto wabaki sehemu usalama 😢 sngole Martha Tunapitya Mambo mengi sana nyau wa blue wewe unaropokwa tu 👌 ovyo
Hkik a dunia Ina viumbe vinaumiza sana Sasa watoto wanashida gani.mpqkq.uwqumize? Chuki kwa wtoto kwa ajili ya kumkomoq mzaz.mwenzio hasira unamalizia kwa.mtt😢
Aisee story imenikuna hii hatar. Mwanangu yanamkuta haya na mama wakambo kila leo mchawi ww anaenda kwa Mwamposa anabeba maji anampa mwanangu akanyage Astaghafilullah mm ni muislam hayo maji kwangu hayafai hata kidogo aisee sipo Tz kungechimbika bila jembe km uchawi ni yy ndy anao aliyekuja kuitawanya familia mpuuzi yule ananijua vizuri sana
Wanawake sometimes tujitafakari maamuzi yetu,inaonekana huyu mwanaume ni mshenzi tangu yuko nae,unawezaje kumpelekea watoto. Hii ni aina ya mijanaume ambayo linataka likunyanyase na ukiamua kuachana nalo linahamishia chuki kwa watoto,sasa unaanzaje kuliachia watoto bwana? We dada umenikera mfyuuu............ Haya ni majanaume yenye low self-esteem haliamini hata watoto kuhusiana na upande wa mama,Stupid cattle kabisa!
Mungu tujalie afya na uzima tulee watoto wetu.....semeni amiiiin🤲🤲🤲🤲
Amin 🙏
Amen
Maisha hàya jmn usikute ndugu nao hawana umoja bwana had ndugu wa mume kutoa kauli hawatak huenda waliwakataa hao watt ndugu wa mwanamke jmn tupendane mtt wa ndugu yako wakwako endapo anatabia nzur na wakiwa sio vibur
Ameen
Ndugu zetu wa tz mnaroho mbaya sana ndg yako akienda nchi za nje kurea watto wa ndguzenu mnaona shida na ndiomana wariwazuiya meshindwa kuka nao,,,na we mwanaume unashindwa kurea watto wako wakanti mpo hai Nan hakurere watto wako mikojo yako ukojoe ww unataka kulelewa mbwa nyie wanaume mnashindwa kurea watto wenu
Daaah 😭😭😭😭😭wamama leeni watoto wenu ndugu zangu 😭😭
Sio kwamba hatutaki kuishi nao ni mazingira ya utafutaji Tu ndugu yangu
@@anifamickidard4555kwakeweli tutafute tutakachokipata bac tuludi nyumban tukakaenawatoto wetu
😢dah! Ila wababa wengine ni shida
Wababa siwalezi jmn ukimpata mwanaume anakea watoto shukuru Mungu
kwanza anamuachiaje watt baba miaka hii wanaume hawaaminiki
Alipokosea mama yako kuwa peleka watoto kwa mzazi mwenzie wakati toka wadogo anawalea yeye pekee
Mwanamke mwenzangu umekosea kumkabidi watoto huyo baba ni bora ungewaacha kwa ndugu zako,inauma sana 😢
Apana aukukosea mahana watoto wanaitaji malezi ya baba na mama zao tatizo Ni mkeo kama kuna ugovi bayana yy mkeo sio kwa watoto au ndugu. Wengi wanakosea sn
Wazazi leeni watoto wenu
Eeee Mungu wangu.kwanini baadhi ya wazazi wamekua na roho zakishetwaniiii.Mungu nisaidie niwaleee wanangu mpaka wajitambue
Sio onyooo afungweeeee
Ni makatili sana hawa watu. yaani miezi mitatu 3 kawachoka. Jamani
Acha niteseke na watoto wangu,,,siamin mwanaume kwa chochote
Mm ninawawili na hangaika nao mwenyewe sitaki hata waende kwa baba yao. Huyo mama jinga sanaaaaa sio wanaume wote wanapenda watoto wao poleni sanaaaaa watoto wazuli mungu awe nanyi
😢😢😢 poleni Sana Kwa kweli mana njie hatari
Hiv watu hawajifunzi bado jaman mm mtt wangu haendi kukaa na ndugu bila mm 😢 nmekua siamini mtu akirud shule namuuliza kila kitu taratbu na nampekua
Huyo muuaji amekamatwa??
Mungu tusaidie wamama wote tunao lea watoto wetu maisha marefu yenye upendo
Mtihani wallah 😢😢
mhhh ee mungu wangu nais kuchanganyikiwa na wtt wangu wanaishi na baba yao😢😢
Muombe mungu kipenzi mm mwenyewe mtoto wangu yupo kwa baba yake ila anakeya sana watu awafanani
Tatizo kubwa ni kuwa hao kina Mwamposa ni kama waganga wa kienyeji. Hawa matapeli wanatakiwa kudhibitiwa kwani wako mstari wa mbele kueneza ushirikina ambao hauko. Huyo baba inatakiwa nyanganywe hao watoto.
😢
Mungu wangu inauma watoto wadogo
Khaaa mbona unyama huu.
Family yakichawi hiyo walikuwa wanawalazimisha kuwaunganisha katika uchawi , waulizeni zaidi hao watoto
Mpaka useme 😅
@@easternyerembe7271😀😀
Dada Sina mengi yakuongea ninachokuomba Mimi hao watoto uwachukue na usikubali kuwarudisha tena Kwa hiyo mpumbavu na tena hiyo ni bahati pengine mpaka Sasa yangekuwa mengine
Mm! Kesi ya upande mmoja nayo....
Wanawake tuna shida jamani umuangalie na baba au mzazi yukoje
Da Ghea umeongea ya ukweli, ila wengi sijuwi wana mashetani.
Mungu atujalie wanawake wote umri mrefu tuwalee wtt we2 baadhi ya wanaume wanaroho za kinyama🙆
Kulea watoto wanadhani ni kitu lahisi Mungu huyu
Mama kayataka utawatupaje watt wako sasa akisikia mambo kama hayo atakua anaenjoy vp huko aliko
😭😭😭 Subhana Allah
Kama hajalala nao Mungu mkubwa
Kulala nao unamaana gani si unyooshe maelezo tu
@@joycekalago532apo kamaanisha kuwabaka
SubhanaAllah 💔 😢 kuna watu wana roho mbaya mmh!
Jamani tatizo hali ya maisha ni ngumu mimi hapa nna watoto 5 nalia uck mchana kwn mda mwengine nashindwa hata huduma ila sijafikiria kuwapeleka kwa baba yao ila maisha ni magumu jmni
Kiukweli mimi na watoto wangu niko tayari kufa nao sehemu yeyote nitakayo kuwepo 😭
Usiseme hivo Tema mate chini ndugu na Omba Mungu yasikukute
Ila wanaume wana maudhi haya mambo katika jamii yapo mengi mengi ni watoto kumi kwa mmmoja ndo wanakaa kwa upande wa baba kwa aman lkn mungu atausitiri na wenetu
Mm ndio maana wanangu bora niwaache na ndugu zangu kuliko kwa baba yao hapana kwa kweli inauma sana mwanao kufanywa kama hivi watu wana roho Zao kikatili kama nini@@mariamdullazy8166
Sasa kam unaenda nchi nyingin utaenda nao?
@@marrypius576 nashangaa anasema tu huyo naona hajawahi kwenda nchini kwa watu kutafuta maisha atuulize sie sio kwamba tunaacha watoto zetu na watu tunapenda hapana Ila yote tunatafuta maisha kwa ajili ya hao watoto
Nyie huyu baba afungwe tu
Ntakufa na pochi yangu
Mmm mmehalibu watoto we ndio chanzo
😢
Naombeni mamba ya Dada
Huyo ni mshamba Sana
ana mapepo huyo baba
😂😂
😢😢😢😢😢jmn inauma sn
iyo yababa kupiga pini mama asimuone mtoto imenikuta hiyo,nimelea mtoto kwa miaka tisa baba alikuwa na uhuru wa kumuona mtoto nikampa mtoto mwaka mmoja tu akanipiga pini,nimepora mtoto wangu na nina kesi mahakamani,ila nashkuru nimejifunza mtoto wangu ni mali yangu,kwenda kulelewa na mtu mwingine labda nikifa. wababa wa siku izi wana tabia za kishamba sana kama ukivyosema dada Ghea.
Sasa mama yao huko South anafanya nini?
Apo ndo atuji labda ana mme mwengine labda baba yao ana mengi moyoni Yana msibu
Anadanga huoni sign ya Mdogo mtu hapo triple A 😂😂😂
Sijui nikwambiaje we baba we roho mbaya
Namama yao hajielewi mjinga sana watoto ni mama
Matokeo ya kuweka ligi mnashindana halafu majuto baadae. Siku zote kicheko mwana ila majuto mjukuu.
Maskini😢😢
ongeeni habari z muhusika kutesa watoto mambo ya udini usituletee madame .. kwani alivyozaa na mkristo hakuona waislam wa kuzaa nao??
Kwa mwamposa huwez pigwa makofi jmn punguza uongo ww dada na hz sindano sijui nb hayo n mammbo y kidunia tu hata ww unaweza ukafanyiwa kikubwa kaeni na watt wenu
Naombeni namba ya dada geah
KAE NDANI HUMO ASITOKE KWANZA.
Daah poleni sn kwa mitahani migumu. Wanaume acheni izi shida tunzeni watoto kwa mahadili mema sio kuhuwa. Km una ongovi na mkeo au mpezi wako shida sio ndugu au watoto. Nakukoseana kupo sio vita jamani
Hiyo familia ni ya kichawii😢muwachukue hao watoto watawaua
Hapo Kuna ugomvi wa kidini!
Wala sio Dini, familia ya mwanaume Wana chuki na mama wa watoto hivyo hasira zimehamia Kwa watoto ili kumvuluga mama yao
Wa baba wasikuizi hawajiwezi kulea watoto 😢, wamama wanapitia mengi na watt. Mungu awape nguvu hawa watoto
Siyo kwamba hawawezi bali ni wavivu sana na roho ya kishamba sana
Hajamlawit??
Hii iko pande zote SEMA wanaume hawasemi Wala kwenda huko polisi,Ila hili tatizo liko pote pote..watu kuweni makini muwe na hofu ya Mungu,hapo inaonekana Kuna tatizo la msingi,japo haliwezi kuwa sababu tosha ya kuwatesa watoto.
Kwani mama uliyezaa watoto wako kwa uchungu wanakushindaje kuwalea dah
Jeshi la Police lichukuwe nafasi huyo akamatwe na akae ndani asiharibu Ushahidi Atawaua huyo Hilo ni Jini hilo
MIMI NAONA NI SHIDA TUU .
Dada wachukue wanao uyo baba ni katiri sana
Siji kumpa mtu MWANANGU jmn
Wapojamani waume wahivyo kunammoja nimezaa nae mie yukombezi Inn huko mndendeule mmoja anaitwa juma
Mama ndio mlezi sahihi nasio baba nitakufa nawanangu siwez kumkabizi baba yao
Watoto kwenda kwa baba yao si kosa maana wana haki kwa pande zote ila cha msingi ni kama alivyosema da geah huyo mwanaume ni bora angekataa kama hakuweza kuwalea watoto kuliko kuwapiga hivyo watoto
Na lifungwe ilo libaba 😏😏
Na nyie ndugu mnawaachia watoto kwenye ukatili kama huu kweli kisa mama anaenda kutafuta hela
Dah ndio maana Wana SEMA uchungu wa mwana aujuae mzazi na sio wazazi nitakomaa na mwanangu kokote nitakapo kuwepo baba anaweza kuzaa huko akaanzisha family yake na yako akaisahau 😢 Yani huyo baba muuaji kabisa doh
Ww dada kweli ulee wanao mpaka apo uwaache waende kwa mwanaume ambae muliachana kweli ulishindwa nn kuwaachia mamako mpuuzi ww umeenda South kufata nn haswa cha maana
We nawe acha mihemko ya kipumbavu. Sasa una faida gani kuzalisha bila kulea. Wanaume mnapenda sana mserereko hamtaki kulea mbegu zenu wakati mko hai
We nawe Matako tu kama watu wengine kafwata nini hyo vipi kwani aliwaacha njiani sini kwa baba yao wewe unajuwa kaangaika nao vipi hadii wamefikya hapo Mbona asimkabidhi tangu wakiwa wa dogo kawalea kaona Maisha yamemuelemea na watoto wanazidi kukuwa wanahitaji kusoma kazi anaiyo ifanya Bongo haitakidhi kaamuwa kwenda mbele ilimradi tu wanae wasome na wapate maisha yanayo sitahili my dear kama hujapitya changamoto za kulea watoto wewe mwenyewe mshukuru Mungu Mimi hyo dda popote alipo siwezi kumlaumu kwa lolote Coz najuwa huko aliko yupo kwaajili ya Kutengeneza maisha ya wanae sizani kama Maisha ya pekeake ya ngemshinda hapa Dar kikubwa tu hyo baba yashughulikiwe na watoto wabaki sehemu usalama 😢 sngole Martha Tunapitya Mambo mengi sana nyau wa blue wewe unaropokwa tu 👌 ovyo
Ni kweli angewaweka Kwa mamayake akipata anamtumia mamayake
Hkik a dunia Ina viumbe vinaumiza sana Sasa watoto wanashida gani.mpqkq.uwqumize? Chuki kwa wtoto kwa ajili ya kumkomoq mzaz.mwenzio hasira unamalizia kwa.mtt😢
Atawang Mie anatabia Iyo yaan mpk Wanang wananimis😢😢
Kwanini usiwachukue
@@user-ur8cq1ye3b nasubili wamalize wete la saba
Waangalie kama hawajawaingililia tu
Kabisa inatia mashaka.
Huyo mama wa hao watt ana kiranga tuu umuhimu wa baba kuwalea anauna sasa? Si mwehu huyo
Duuu mwanaume unakuwa katili kissing hicho??????
Wanawake maamuzi yaliyokosa busara kamati hayo muyawache. Unapofanya maamuzi ya mihemko matokeo yake umeyaona ?
Aisee story imenikuna hii hatar. Mwanangu yanamkuta haya na mama wakambo kila leo mchawi ww anaenda kwa Mwamposa anabeba maji anampa mwanangu akanyage Astaghafilullah mm ni muislam hayo maji kwangu hayafai hata kidogo aisee sipo Tz kungechimbika bila jembe km uchawi ni yy ndy anao aliyekuja kuitawanya familia mpuuzi yule ananijua vizuri sana
Watawaingilia hao wachukueni
Wanawake sometimes tujitafakari maamuzi yetu,inaonekana huyu mwanaume ni mshenzi tangu yuko nae,unawezaje kumpelekea watoto. Hii ni aina ya mijanaume ambayo linataka likunyanyase na ukiamua kuachana nalo linahamishia chuki kwa watoto,sasa unaanzaje kuliachia watoto bwana? We dada umenikera mfyuuu............ Haya ni majanaume yenye low self-esteem haliamini hata watoto kuhusiana na upande wa mama,Stupid cattle kabisa!
Watoto,watabadilishwa dini,rudisheni watoto,wa islaam mungu awaangamize,ikiwa hamtorudisha,, Allah alinde,hao watoto,
Huna hoja ya msingi hapo hoja ya msingi ni malezi ya watoto wenu acheni ukatili wa kutesa watoto hiyo ndo hoja