😂😂😂😂😂😂mbavu zangu jmn da geah anachosema kweli ishanikuta hiyo nikajuta kupangwa kwenye siti hiyo nimekojolewa kabisa nashuka nanuka kojo 😂😂😂😂tunapenda watt lkn vingine vyazidi
Daaah nimecheka lakini kiukweli na Mimi hiyo tabia inanikera kusafiri na mtu mwenye kuku na watoto wengi mtu ana mapacha na mwingine mmoja yaan safari yote unaiona chungu
Heee jmn hii kitu nimeirudia kwasababu yamenita jmn jn nimesafir iyo siti yng amekuma Mtu n watoto ni watundu jmn haa mala wamekuvuta nywele mala ukishika cm yko na wao wanataka waangalie unacho angalia jmn ni watund et
Usiombe mama awe amekata siti ya dirishani, mwanae anamkalisha katikati we mwenye siti ya pembeni unaachiwa kinafasi kidogo Cha kukaa!!! Kiukweli inakera.
Leo yamenikuta zai nimepanda gali za kigoma mm kapanda na wtt 3 tumefika seems inaitwa nguluka kanunuwa miogo katanga na vitumbuwa wamekula vyote kwa pamoja bwanawee ata do 5 hazijaisha acha wanted kutapika mmoja kamtapikia abilia wa mbele nimecheka kwanza arafu ndio nikawaulumia
Yaan nachokasirika unasafiri safari ya mbal na mama ana mitoto mitatu analazimisha akae kat ya ww na yy Sasa mm nalipa usafiri nikae kwa raha we unanijazia mitoto yako jaman s tabia nzur,,mama ukipewa nauli ya watoto wape Siri zao huko kunyanyasana
Na watoto wanavojuaga kwamba wakiingia ndani ya mabasi ni kama wameingia hotelini kula. Wauza karanga, mahindi sambusa wakipita wanajua ndio ma waiter sasa wa hoteli wanawaletea chakula😂😂😂
Pia mie ctaki hilo litabia,mtu na mijitoto yake,umekaa nae ct moja,anakuambia nisaidie kumpakata mmoja,gafla linakukojolea.Koma kunipakatisha Toto lako.
Mitto tena??? Siku hzi watu wengi jamani wamekua na roho mbaya??? Nakumbuka zamani tunapanda mabasi, maboti na magari ya kuelekea shamba mtu anakuomba umkamatie wtto wake unampakatia, akicheuka, akikuchafua, akikukojolea unajua mtto tu. Leo hii imekua mtu anakasirika mpaka kufikia kuita mitto??? Tahadharini jamani mwanzo wa uchawi ni roho mbaya! Na haswa kwa lugha hiyo yakuchukia mpaka kufikia neema ya mtto kuita mitoto.
Mimi sipendi kweli hiyo tabia jmn wamama🙆🏻♀🙆🏻♀tunakuwajeee tunawakosesha raha ya kusafili watu wengine🙌
Nakupenda Sana Dada yangu unaongea ukweli ila uwe unajifunika utapendeza zaidi
Point
Wanakera saana af wanakula kula ovyo wakipumua kama wameoza na kutapika kama wajawazito
😂😂anasema kweli yaan sipendi wazazi wa namna hiyo kata set ya watoto wako ila zai🤣
Yesuwee!😂😂 Mama nampenda uyu anaongeaga ukwel sana
I really love this lady
safiiiii zai eti gari inanuka mifugo
Zai mhh wallah mtihan
Wallahi vituko nacheka kama mazuri 😀😀😀
ZAI, jamani khaaaa 😂😂😂😂😂
Oyo maman afanye comedy tuu anaweza sana
😂😂😂😂😂😂mbavu zangu jmn da geah anachosema kweli ishanikuta hiyo nikajuta kupangwa kwenye siti hiyo nimekojolewa kabisa nashuka nanuka kojo 😂😂😂😂tunapenda watt lkn vingine vyazidi
Migari yakisambaa😅😅😅😅😅
Daaah nimecheka lakini kiukweli na Mimi hiyo tabia inanikera kusafiri na mtu mwenye kuku na watoto wengi mtu ana mapacha na mwingine mmoja yaan safari yote unaiona chungu
Zai nampenda
Hahaha Zai🥰🥰🔥
Kweli s uongo 😀zipo izo mambo
Zai nakukubali sana mimi
😀😀😀😀😀😀😀zai
Mm nawaambiaga kabisa makondo ukiniweka siti moja na mmama mwenyew watoto tiktiyangu
Kweli😂
Hahahaaaaaa Da! Zai jaman.
😂😂😂 kweli tuache hiyotabia akinamama
Yaani Zai umeongea point wasambaa tabia iyo wanayo nliwah kwenda Lushoto nilikoma 😂
🤣🤣🤣 weshu tulikukosea nini lakini?🤣🤣🤣🤣 sio kutusema huko kha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenifurahishaa kwakweli
Mikuku watto ni shda xan usafr wa mkoan ni majng 😂😂😂
Kweli zai 😂😂😂
Kweli anavyosema 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zai chizi sana yan😂😂
Zai kunywa Pepsi big ntalipia kwakweli huwa inankera sana hii tabia
Dazai mungu anakuona hahaha
Zai mwenzangu umenishinda tabia ila nakupenda buleee
Aiseee hiii kitu inakwaza Sana abiria wengine mnaowakatia watoto wenu Siti moja badilikeni
Zai jamani..😀😀😀
Zai jamani😂😂😂😂
Zai 🤣🤣🤣🤣umesema kwel mtu siti moja mitoto unapata tabu wewe jirani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mambo ya nishikie kuku kidogo hayo
Zai mbavu zangu mie
😂😂😂😂😂😂😂😂zai bhanaa
Huyu duniaa
😂😂😂😂😂 we Zai wewe
🤣🤣🤣🤣🤣 ZAI bwana
🤣🤣🤣Zay🙌🙌
🤣🤣🤣 izo nywele zako zai🤣🤣
Ukweli mtupu
Nimekua wa tatu jamani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yani unanichekeshaga
Heee jmn hii kitu nimeirudia kwasababu yamenita jmn jn nimesafir iyo siti yng amekuma Mtu n watoto ni watundu jmn haa mala wamekuvuta nywele mala ukishika cm yko na wao wanataka waangalie unacho angalia jmn ni watund et
Kwelikabisa
Leo nimewahi kijiwe nongwa😂
😅😅😅💃
Hahahaha,unaniua mbavu
Iyo inanikela ata mimi
Bora umeongea
Huyo anachekesha
😄😄😄😄
🤣🤣🤣 ina kera
Wapo Kama wote huku kwetu
Ki2 cha moto pwiiiii😂😂😂😂
😂😂😂😂
Usiombe mama awe amekata siti ya dirishani, mwanae anamkalisha katikati we mwenye siti ya pembeni unaachiwa kinafasi kidogo Cha kukaa!!! Kiukweli inakera.
😀😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Nimecheke kweli kabisa wakatiwe siti zao
Kuku 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Hakika umeongea kwa utani lakini umefundisha wengi. Wanakera bwana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Mitoto mikuku 😁😁😁😁
Tabia mbaya sana wengine hawajazoea safari wanatapika haifai
🤣😂😂😂😂😂😂
Yaani hili kwangu ni kerooo kubwa mnoooo nashindwa tu pakusemea ili nielewekeee......🥲
Mbavu Zang jaman🤣🤣🤣🤣
,🤣🤣🤣🤣🤣
siti moja mitoto mitatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣 bora useme ww
😂😂😅Basi Haya Ndo Mambo Tutafanyaje😂😂😅
wakatie siti wallah wanachosha watu tena wanakondoa macho kama unakula weee
Dada samahani siyo wasambaa tuu ata watu wabara piya wanatabiya hizooo sawa
Ila jamani mtu unabeba kuku na kero zote izo ambae analiwa siku moja tu. Ubaili gani huo? Mmh
😂😂😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣zai utaniuwa mbavu
😂😂 zai wasambaa 😂😂 wamekufanya nini jmn hahahahahahahaahaa
Yeye mwenyew si msambaa
Leo yamenikuta zai nimepanda gali za kigoma mm kapanda na wtt 3 tumefika seems inaitwa nguluka kanunuwa miogo katanga na vitumbuwa wamekula vyote kwa pamoja bwanawee ata do 5 hazijaisha acha wanted kutapika mmoja kamtapikia abilia wa mbele nimecheka kwanza arafu ndio nikawaulumia
Mitoto na mikuku 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 mbona mikuku
Hahahahaaa
Yaan nachokasirika unasafiri safari ya mbal na mama ana mitoto mitatu analazimisha akae kat ya ww na yy Sasa mm nalipa usafiri nikae kwa raha we unanijazia mitoto yako jaman s tabia nzur,,mama ukipewa nauli ya watoto wape Siri zao huko kunyanyasana
Duu umenikosha jamani umenena
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Abiria WA fasaha hao
Na watoto wanavojuaga kwamba wakiingia ndani ya mabasi ni kama wameingia hotelini kula. Wauza karanga, mahindi sambusa wakipita wanajua ndio ma waiter sasa wa hoteli wanawaletea chakula😂😂😂
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani nimecheka kupita maelezo...Eti Wasambaa na hizo ..Weshu! Weshu zao!
Ndio uite watoto mitoto? 😏Sijapenda
Pia mie ctaki hilo litabia,mtu na mijitoto yake,umekaa nae ct moja,anakuambia nisaidie kumpakata mmoja,gafla linakukojolea.Koma kunipakatisha Toto lako.
Nimecheka Kwa sauti😂😂😂
Daah 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu
Mitto tena??? Siku hzi watu wengi jamani wamekua na roho mbaya??? Nakumbuka zamani tunapanda mabasi, maboti na magari ya kuelekea shamba mtu anakuomba umkamatie wtto wake unampakatia, akicheuka, akikuchafua, akikukojolea unajua mtto tu. Leo hii imekua mtu anakasirika mpaka kufikia kuita mitto??? Tahadharini jamani mwanzo wa uchawi ni roho mbaya! Na haswa kwa lugha hiyo yakuchukia mpaka kufikia neema ya mtto kuita mitoto.
Tafuta hela
Tafuta hela upunguze makasrko
Tafuta hela usitupe shida na mitoto yako
Katia mtoto tiketi wewe acha kulazimisha kero kwa wengine
TIP POLYGRAPH
Nakupenda Sana Dada yangu unaongea ukweli ila uwe unajifunika utapendeza zaidi
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂