Zai nakupenda sana lakini haya masuala ya kufanyia utani wanawake kupigwa sio mazuri, Nawaombeni tusiyashadidie, Kuna Wanawake wengi wamepoteza maisha kutokana na kuchekea tabia za wanawake kupigwa, Naomba tukemee tabia za upigaji wa Wanawake, Na upigaji wa watoto, sio sahihi tunacheka na kufanya mzaha kwenye suala zima la upigaji, Tabia ya kupiga inatokana na ugonjwa wa akili, naomba tusilichekee hili jambo
Inasikitisha sana. Kama serikali haisaidii kwa nini wanawake hawa fight back? Learn from our neighbor - Kenya. Ukora wa wanaume zao unapungua kwa vile wanawake wameamka na kuanza kujitetea. Wanawapiga mpaka wengine wanauliwa. Sio jambo jema kufikia huko ila kama hamna msaada kwa wanawake kilichobakia ni kujitetea. Fight back.
Zai nakupenda sana lakini haya masuala ya kufanyia utani wanawake kupigwa sio mazuri,
Nawaombeni tusiyashadidie, Kuna Wanawake wengi wamepoteza maisha kutokana na kuchekea tabia za wanawake kupigwa,
Naomba tukemee tabia za upigaji wa Wanawake,
Na upigaji wa watoto, sio sahihi tunacheka na kufanya mzaha kwenye suala zima la upigaji,
Tabia ya kupiga inatokana na ugonjwa wa akili, naomba tusilichekee hili jambo
Zai hajafanyia utani suala la wanawake kupigwa ila tu ni namna anayotumia kuelezea ndo inafanya tuone n kama mzaha ila anachokiongea n cha ukweli..
Dagaa zimetoka baharini😂😂😂😂
Zai anaongea utumbo mtupu lakini nampenda sana WALLAH 🤣🤣🤣
Ndo uswahilin palivyo lakn😅
Zai mungu anakuon sura imeingiy kweny nyavu
Huyu mama aende kuwa msanii ataweza sana.🤣🤣🤣
Anaigiza mbona
Mjume yes wekuweza😂😂😂😂
Yaani mm namsachi zai Ili stress ziishe
Yaani we Ma Mdogo mii nakupenda Sana. Maana unayoongea, ni ya ukweli na ndo maisha yetu.
I love this lady hahahahha Zai you're just awesome 👌
Hapo kwamjumbe ndio balaa si kwayes hiyo😃😃
.masha Allah Rangi yake nzuri sana zai
Zai aiseee I just love you,
Nikiwa na huzuni nakuja zangu kwa geah hapa namsikilza zai na vituko vyake
Chizi fresh wangu nakupenda bure..yaani kila nikisikiliza story zako daa zai hata stress za maisha zinanitoroka
Zai kwa kutunga mambo! Yaani utafikiri hadithi hadithi, hadithi njoo kuna siku moja Sungura akamlisha Simba jiwe la Moto mdomoni🤣🤣🤣🤣🤣
Da geah naona ukimis kucheka unaenda kwa da zai Mana huondok bila kucheka hapo 🤣
yaan anampenda hatar
Mjumbe yes Mjumbe kriiiiii akiayamungu Zai ww
Da zai unanifurahisha sana
Mwanzo nilikua napenda TikTok ila saivi napenda sana UA-cam
Inasikitisha sana. Kama serikali haisaidii kwa nini wanawake hawa fight back? Learn from our neighbor - Kenya. Ukora wa wanaume zao unapungua kwa vile wanawake wameamka na kuanza kujitetea. Wanawapiga mpaka wengine wanauliwa. Sio jambo jema kufikia huko ila kama hamna msaada kwa wanawake kilichobakia ni kujitetea. Fight back.
Mjumbe Yes yes
Hahaha 😂😂😂 da zai unaniuwa mbavu zangu wallah billah
Mjumbee yes Mjumbee krekrekreeee
Wa pili love you da zay
Jamani Da Geah, Zai atatuua na vicheko.
😂😂😂😂😂😂 Dagaa limetoka baharini zikaja kukaangwa!! Jamani
Mjumbee,YES!
Hahahahahahahahahaaaaa Zai kijiwe nongwa unanichekesha kwa kweli umeyabana makalio Hahahahaaa
Jamani huyu zai kiboko
🤣🤣🤣🤣 yes
Mjumbe yes mjumbe yes
Yani nacheka mpaka nimestopsha hii video Kwanzaa kaaa
Tulikumiss bizai 😄😄
Mjumbe yeees see you tomorrow alright
Geah kesi ka hizi c za kuchekA kabisa. Matokea yake ndo unauwawa. Lazima vitu namna hii serkari ingilie na kuchukua hatua
Jamani Zai Zai mbavu zangu mie. Nimecheka mpaka machozi na makamasi yamenitoka. Yalabi
nakupenda buree zai wangu 😘
Mjumbe yes 😄
Zai zai zai nakuita mara tatu jamani mbavu zangu mimi 🤣🤣🤣🤣
Zai mungu anakuona 😃😃😃
Daah 🔥🔥🔥
😂😂😂zai muongo huyu kama kweli jaman😂😂😂
😀😀😀zai noma
😀zai jamani
Zai wawa ni zaidi ya movie
Mjumbe YEEES OI YEEESS
Zai me sauti yako jamani..
Zai msenge sana. Et kafumua uzazi 😂😂😂😂😂😂😂😂
huyu kina joti hawamuoni? au cheka tu
🤣🤣🤣Zai ww jmn nakupenda
Tulikumiss jamn dada ukowap nije kukutemberea
daaaah aise
Ha hahaaaaaa hahaaaaaa jamaniii Zai weweeee
Nampenda bure Huyu dada 😂😂😂
Taqbiliii😂😂😂 shenzi sana huyu
🤣🤣🤣Mjumbe kriiiii
😀😀😀😀mjumbe" Yes"😀😀😀😀
Ila zai ww 😂😂😂 et zimetoka baharini
🤣🤣🤣🤣 dah hizi sio story za kwenye kahawa kweli
Da zai jamani 🤣
Jamani Zai Zai Zai mbavu zangu utaniua jamani
Yaani Geah nacheka kama wewe apa, Zai kiboko yake
Sasa kwann naww hujibu ivyo
Zai we mbavu zangu mi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nachekaaaaa xaaaana jamaaani zai
Da zai atar
Geah sio fresh ulicho post leo sio ulicho post IG mchana 😳
Alafu kweli
Mpemba wawatu😀😀😀
Kama aujafa kimbia 😂😂😂😂😂
Khaaa zai amezd 😁😁😁
Zai anatuchekesha sana lakini yeye yupo mkavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mjumbe ,Yes 😂😂😂😂😂
😀😀😀😀
Zai ananifanya nimecheka kifala kama mweuu..
Mjumbe yes mjumbe yes 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbio za mbali 😂😂😂✌️
Wakwanz leo
Takbiri 😆😆😆😆
😀😀😀
😀😀
Zai bhana 🤣🤣🤣🤣🤣
Mjumbe yes😂😂😂😂
Hahahah stress zote kwisha 🤣🤣
Anautapika uzazi😂😂😂
3
Wee zai😄😄😄
😁😁😁
Wajinaa wang 🤣🤣🤣napenda san saut yake
Zai zai zai muongo sana wewe jaman🤣🤣🤣🤣😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Mjumbe asilale😂😂
Bibi kimbia kama hujafa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mjumbee, yes😂😂😂😂😂
😂😂😂zai muongo
sasa kwa nn useme limetoka baharin limekaangwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Hahahahaha
NYIEEEEEE NYIEEEEE MNAPIGWA AKATI WATETEZI WAPO hahah haha
🤣🤣🤣🤣zai jamani
🤣🤣🤣Yalabi 😁😁
Mjumbe iiiyeees mjumbe iiiyeesss😂😂😊😅😅
Kisha zai huwa hacheki yupo siliaz hatar 🤣🤣🤣🙌
Mjumbeee Yes Mjumbeee Yes 😂😂😂
🤣Mjumbe 🤣YES.
Nimecheka hadi machozi
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimechek akii
Hahahahahahahahahahahhaha..Yan zai jmn muongo ww sipat picha ungekuwa mwanaume jmn mbavu zangu
Jmn jmn