UTAPENDA MAISHA HALISI YA MUIGIZAJI ASHA BOKO \ NYUMBA NA GARI YA NDOTO YAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 122

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 2 роки тому +2

    Asha na kupenda kwa ugizaj wko nzuri. Allah akupe maisha yenye kheri na ww Ameen

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 роки тому +5

    Nampenda sana aise nilikuwa namfatilia toka niko vududu mbk ss uhuu umri wangu Allah azidi kukupa afya

  • @aizakhabib6373
    @aizakhabib6373 2 роки тому +1

    Sasa aunti yangu niiyozeshe huyo uliyomzaa 1999.Mungu akubariki na mchumba wangu piiya mungu ambariki ,asome apate kazi nzuri maisha yake yawe mazuri na apate mume mwema katika maisha yake atakae juwa thamani yake na kumjali .Amin amin amin🤲🤲🤲.Nisalimiwe mchumba wangu ❤❤❤.FROM JAMAICAN 🤟🤟🤟

  • @mahramarswad6041
    @mahramarswad6041 2 роки тому +2

    Viazi jamani najikuta nacheka hadi namsha watu wallahi mungu akupe miaka mia mbeleni ilove u so much😘😘😘

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 2 роки тому +18

    Nampenda sana huyu mama anajiheshimu cyo mtu wa mitandao.

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 Рік тому +1

    Asha boko nakupenda sana hali yako unanipendeza sana na hali yako

  • @suleimansalim8744
    @suleimansalim8744 2 роки тому

    da asha katuliaaa walllahi , anajuwa nafasi yakeee ktk jamnii na hapendi mitandao, lkn mwenye kipajii wallah, anawezaaa da asha

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya7421 2 роки тому +2

    Nampenda asha boko yaani anajiheshimu ma shaa allah

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 роки тому +2

    duh asha mtoto wako wa mwisho wa 1999mm niko darasa la pili maashaallah watoto wawili bac

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 Рік тому

    Mashaailaah kazi mamaasha

  • @marryg4235
    @marryg4235 2 роки тому +1

    Asha Boko♥️♥️♥️

  • @hussenyassin7453
    @hussenyassin7453 2 роки тому +2

    Huy mtangaz simuelewag kabx

  • @fatmamohd8647
    @fatmamohd8647 2 роки тому

    Uko vizuri dada Asha😘

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 2 роки тому

    Love her

  • @agneshaule4490
    @agneshaule4490 2 роки тому

    Nakupenda sana asha wangu

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 2 роки тому +5

    Mtangazaji akili finyoo😩😩

  • @florachogo243
    @florachogo243 2 роки тому +5

    Haaaaaaaa ,asha eti nilimzaa wakati wa mvua

  • @rossikirossiki6518
    @rossikirossiki6518 2 роки тому

    Maskini asha boko unapenda asley mungu amuinuwe asley

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 6 місяців тому

    Sijui anaingeaje mh

  • @asmabakar6762
    @asmabakar6762 2 роки тому +1

    Nampenda atar

  • @shabani6433
    @shabani6433 Рік тому

    Nimecheka waallh

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 роки тому

    Kuigiza pia anajua sana

  • @francesmpangwa8801
    @francesmpangwa8801 2 роки тому +1

    Love you Mom

  • @asmhatanzania8697
    @asmhatanzania8697 2 роки тому +4

    😂😂😂😂 daaaah eti nilimzaa wakati wamvua

  • @shaniashani7026
    @shaniashani7026 2 роки тому

    Yupo sawa na mwanangu wa kwanza

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 2 роки тому

    K Mziwanda anasauti nzuri ya kutangaza tuache utani

  • @juliusmasanja8401
    @juliusmasanja8401 2 роки тому +1

    Asha unaweza sana

  • @newahomwashiuya8858
    @newahomwashiuya8858 2 роки тому +6

    Huyu mtangazaji simkubaligi kbs na anavyojiweka ndo kabisaaaaa

  • @aishafahdi8355
    @aishafahdi8355 2 роки тому +1

    Nakupenda sana wajina wangu ❤️❤️❤️

  • @abdulgakunwa2693
    @abdulgakunwa2693 2 роки тому

    Nakubali huyu mama anajituma na kujiheshimu

  • @mikanzitv4485
    @mikanzitv4485 2 роки тому

    Dadaangu Asha boko big up sana nakuhusudu naomba namba zako

  • @preciousrobson3394
    @preciousrobson3394 2 роки тому +2

    Huyu mtangazaji vepe Tom boy nini

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 2 роки тому +1

    Hyu kweli ni mchekeshaji, hapo aliposema kilo zake zitakua kama za ngombe nimeisha hatarii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fatihyanassoro9707
    @fatihyanassoro9707 2 роки тому

    Hahahha asha da ww viazi tena 😄😄

  • @YasiniLiwanje
    @YasiniLiwanje Місяць тому

    Still bado

  • @barackaherry9262
    @barackaherry9262 2 роки тому +1

    asha buana

  • @abdallahmik7304
    @abdallahmik7304 2 роки тому

    Duh ndo munavyoboaga picha ya nyumbo tofauti na ya mmiliki

  • @damianomozesi9186
    @damianomozesi9186 2 роки тому +1

    Piga kereeeeee kwa wahaaaa vipaji vyote huko

  • @ketinahatari3039
    @ketinahatari3039 2 роки тому +1

    Nakupenda mama angu, mwaaaaa😚😚

  • @ashulamusin9811
    @ashulamusin9811 2 роки тому +1

    We mtangazaj mbeya sasa kajala anampost binti yake sasa simkubwa mbona anawauma sn nanyie simuwapost bc

  • @hafsanzori5911
    @hafsanzori5911 2 роки тому

    Asante

  • @dullahwago5360
    @dullahwago5360 2 роки тому

    Mm nakipaji mnisaidiye

  • @hemedyusuph7802
    @hemedyusuph7802 2 роки тому +1

    Still bado......

  • @tunsumejohn4913
    @tunsumejohn4913 2 роки тому

    Hiv hiki kishabiki chasimba ni kimwanamke kumbe😆😆😆

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Рік тому

    ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому

    Asha bw usichekeshe watu eti wakati wa mvua😁😁😁👍👍

  • @aishafahdi8355
    @aishafahdi8355 2 роки тому

    Wajina 😅😅😅😅eti ninakilo za Ng'ombe hahh

  • @fatmayusuph495
    @fatmayusuph495 2 роки тому

    Ahahahaha nimecheka hapo kwenye kilo za n'gombe

  • @fatumanasoro5057
    @fatumanasoro5057 2 роки тому

    Asha nigaiye namba yako nikurushie japo elfu 50 kwa vile nnavo kupenda

  • @Rahmah-dr9xd
    @Rahmah-dr9xd Рік тому

    Aisha boko kumbe umenizaa adi mimi jaman mbona baby fec

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 2 роки тому

    Jo Asha Boko mwenyemunasemaka

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 2 роки тому

    Hapo kwenye vias sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 роки тому +2

    Hahahahahahaaa Asha boko umenifurahisha kweli yaani umemzaa msimu wa mvuwa Hahahahahaaaa umenikumbusha wazee wetu zamani wanasema nimezaliwa mwaka wa kunde mwaka wa.nzige na jina anapewa nzige mwaka wa mvuwa nyingi anapewa jina mwamvuwa duu mungu akuweke miaka 100.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 роки тому

    ASHA. KAJARIWA SURA NI NZURI SANA. ANAONYESHA NA MOYO WAKE PIA NI SAFIII

  • @abdullahpina3573
    @abdullahpina3573 2 роки тому +1

    Mnatuzingua iyo ndo nyumba ya asha Boko kama mnataka views sio kiivyoo wasenge nyinyi

  • @mayroseclemence99
    @mayroseclemence99 2 роки тому +1

    😂😂😂😂kupatwa kwa viaaazi

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 роки тому

    Asha boko bhana hataki kupima uzito!😂😂😂😂😂😂😂

  • @binttsulu647
    @binttsulu647 2 роки тому +1

    Eti kilo za ngombe😃😃😃😃

  • @rehemamohamedy4007
    @rehemamohamedy4007 2 роки тому

    Sasa mbona hajamuelezea suala la viazii

  • @yussramushi7273
    @yussramushi7273 2 роки тому

    ❤❤❤💕

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 роки тому +2

    Asha Dada tumia tangawizi na ndimu lipungue hilo tumbo tu utajipata ni mwepesi

    • @yasintasamson9178
      @yasintasamson9178 2 роки тому

      My Matumizi yakoje?

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 2 роки тому

      @@yasintasamson9178 tangawizi utaifunda kipande kidogo na kukamulia ndimu nusu na maji ya moto kikombe cha chai kisha utakunywa kila asubuhi, upunguze kutumia sukari na mafuta kwenye chakula.

    • @khamiskiuta6824
      @khamiskiuta6824 2 роки тому

      Iyoo tangawiz nandimu inakuajee nielekeze bidada fatmaa

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 2 роки тому

      @@khamiskiuta6824 Tangawizi mbichi utakata kipande kidogo utakiblend kisha utakamulia nusu ya ndimu kwenye maji ya moto kisha utakunywa asubuhi baada ya chai ya asubuhi

    • @thommwangoka5516
      @thommwangoka5516 2 роки тому

      Asha boko safi

  • @mengifrank7238
    @mengifrank7238 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣 VIAZI

  • @tifaahkhamis3091
    @tifaahkhamis3091 2 роки тому

    Mnafafa ni mamayakonn??

  • @daudipetro2994
    @daudipetro2994 2 роки тому

    Nak penda sana Asha boko

  • @veroncawaziri912
    @veroncawaziri912 2 роки тому

    Eti viaaziii😂😂😂😂😂😂😂

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 2 роки тому

    Mziwanda upo moyoni mwangu sana tu

  • @linahcharles3981
    @linahcharles3981 2 роки тому

    Wote kamuona Kajala 😜🥺🥺

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 2 роки тому +1

    MUNGU AKUBALIKI

  • @mariethasteve4359
    @mariethasteve4359 2 роки тому

    Still bado ,,ndio nn sasa

  • @eshaomari6363
    @eshaomari6363 Рік тому

    Asha boko tunakupenda na isitoshe waambie suna ya mtume

  • @aminamfupi7948
    @aminamfupi7948 2 роки тому

    Ilove yuu may dada❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @munatwalib2808
    @munatwalib2808 2 роки тому

    Mimi nampendaga da asha sana kwanza akiyachezea mabubu yake

  • @buddahmakucha6848
    @buddahmakucha6848 2 роки тому

    viaziiii😀😀😀😀

  • @abdulmalikaudreykaipa4007
    @abdulmalikaudreykaipa4007 2 роки тому

    Mtangazaji anavuta bagi au vp

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 2 роки тому +4

    🤣🤣🤣🤣Viazi

  • @zainabuabasi2331
    @zainabuabasi2331 2 роки тому

    K mziwanda we ni dume au jike unajitahidi kutafuta kazi nsimba

  • @aminatakhamis3390
    @aminatakhamis3390 2 роки тому +2

    Shikamoo viazi

  • @ngwerefilmlab1990
    @ngwerefilmlab1990 2 роки тому

    acheni uwongo wenu nyinyi

  • @nourambarak6297
    @nourambarak6297 2 роки тому

    huyu mama namupend san

  • @juliennenzeyimana3274
    @juliennenzeyimana3274 2 роки тому

    Magumegume mutangazaji

  • @estherimbotsi7553
    @estherimbotsi7553 2 роки тому

    😂😂😂😂😂😂😂viaazi🤔🤔🤔🤔🤔

  • @mankamush5057
    @mankamush5057 2 роки тому

    Nice mom

  • @fatmasoud
    @fatmasoud 2 роки тому

    Viaziiiiii😂😂😂😂😂😂

  • @leylasalim9380
    @leylasalim9380 2 роки тому

    Hhhhhh

  • @officialmk.mpemba343
    @officialmk.mpemba343 2 роки тому

    Mmanyema huyu.na sio muha

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @sarashaffi9304
    @sarashaffi9304 2 роки тому

    😂😂😂😂viazi

  • @abdulmalikaudreykaipa4007
    @abdulmalikaudreykaipa4007 2 роки тому

    Mschana mzir mama mzur lakn muonekana ma mavaz yako hayafanani unakuwa kama kichaa

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 роки тому

    😂😂😂😂😂

  • @doublec8422
    @doublec8422 2 роки тому

    😲😲😲😲watching from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪👊poa sana huyu mother ila tizama hii nayo
    ua-cam.com/video/Rd_SAS3WLcs/v-deo.html

  • @fatumafundi1300
    @fatumafundi1300 2 роки тому

    Dd

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣

  • @emanuelandronicus2574
    @emanuelandronicus2574 2 роки тому

    Viazi!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @stellamwakatulile3202
    @stellamwakatulile3202 2 роки тому

    Viazi 😂😂😂😂😂

  • @geofreyj.1986
    @geofreyj.1986 2 роки тому +1

    Your content is different with your video it's scam

  • @nicasamuel9667
    @nicasamuel9667 2 роки тому

    Viazi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @priscakissa1142
    @priscakissa1142 2 роки тому

    Viazi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @yassinshekh2936
    @yassinshekh2936 Рік тому

    Yaani uigizaji wa asha boko na mwene nawapenda Sana nyie akina dada

  • @mariamhussein7620
    @mariamhussein7620 2 роки тому

    Kipindi cha mvua🤣🤣🤣🤣

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 Рік тому

    Ashaboko nakuku bali sana