ITAKULIZA, DK ZA MWISHO MARKO ALIVO INGIA KWENYE OPARATION, MAMA MDOGO ASIMULIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 85

  • @claraedwardmalingumu3565
    @claraedwardmalingumu3565 20 днів тому +7

    ❤wakati ukifika KILa mtu na njia yake ,nimekupenda mama umejibu kiroho na cyo kimwili ,,poleni sana KWa mcba huu

    • @Priscillamoses-qe5id
      @Priscillamoses-qe5id 15 днів тому

      Wakati ukifika kila mmoja ananjia yake,hakika kila nafsi itaonja mauti,Bwana ametoa Bwana ametwaa jina Bwana litukuzwe,Amina.

  • @VionaMuthoni289
    @VionaMuthoni289 15 днів тому +5

    Marko alikufia tu operation room sioni kama alikufia ICU ,waliona wamuweke ICU ndio wasigundue alikufaje juu mbona hakuna hata mtu moja alienda kumuona after operation??juu hiyo masaa yote mtu kuwa operation room ni ngumu mtu kuwa uhai juu dawa ya operation haidumu zaidi 3-4hrs na aliongezewa zaidi ya mara 3

  • @PeninaMisana-v4o
    @PeninaMisana-v4o 20 днів тому +5

    Mungu alitoa Mungu ametwaa jina la bwana lihimidiwe,pole sana ZABRON SINGERS

    • @berthabarozi
      @berthabarozi 19 днів тому

      MUNGU akubariki mamamdogo kwa neno la faraja

  • @millyqtr895
    @millyqtr895 20 днів тому +16

    Mama mdogo umeongea ukweli lakini inauma sana marco hayupo nasi tena ,mungu awajaze nguvu wana zebron kwa huu wakati mgumu ,jameni inauma sana hiyo sauti haipo tena .Marco ameniuma utadhani ni ndugu yangu wa damu.🕊️💔

  • @evertheobald1811
    @evertheobald1811 20 днів тому +7

    Shetani ni mbaya sana, Eee Yesu tujalie mwisho mwema

  • @LYDIAHNAIBEI-d5x
    @LYDIAHNAIBEI-d5x 19 днів тому +4

    Poleni Kwa familia, 😭 ni pigo Dunia nzima

  • @tinajoe5487
    @tinajoe5487 20 днів тому +6

    Mwandishi swali la uzembe wa madaktari umelikariri kweli yaani tafuta maswali tofauti bana.

  • @user-ch3db9wq1i
    @user-ch3db9wq1i 15 днів тому +2

    inaumiza san jamni mungu awatie nguvu

  • @AnnastaziaElias-f1s
    @AnnastaziaElias-f1s 20 днів тому +5

    Mama mdogo mungu akutie nguvu

  • @MacklinaWilliam
    @MacklinaWilliam 5 днів тому

    Jamani mama mdogo poleni sana kwakutokewa na Marco alikua mtu wawatu

  • @MercyMugalitsa
    @MercyMugalitsa 20 днів тому +2

    Rip Marco us Kenyans loved but God loved you more

  • @jamilahbilalisanalookssupe422
    @jamilahbilalisanalookssupe422 12 днів тому

    May Almighty God rest Marco's Joseph soul in eternal peace. Mwenyezi Mungu awape nguvu

  • @TausianaKilimtali
    @TausianaKilimtali 19 днів тому +2

    Mungu awatie nguvu kwa hiki kipindi kigum wanafamilia

  • @josephinemwacharo-gd2el
    @josephinemwacharo-gd2el 14 днів тому

    Maneno ya busara sana,Mungu alifanya kazi yake, Mungu aendelee kuwapa faraja

  • @Blessedfarida
    @Blessedfarida 20 днів тому +1

    Sauti yake ya kipekee. BWANA alitoa, na BWANA ametwaa, jina la BWANA libarikiwe🙏.

  • @Namtumbo
    @Namtumbo 20 днів тому

    AMINA ❤❤❤kila mtu ana safari yake ,marhemu aunt alimjibu mdogo wangu akipouua sana

  • @Neemasamweli-gj6xj
    @Neemasamweli-gj6xj 19 днів тому +2

    ❤❤polen saana jmn

  • @nancykemunto3893
    @nancykemunto3893 20 днів тому +4

    Dàah kila mtu amepangiwa kifo yake pole

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 20 днів тому +4

    Naama mama mdogo umeongea kitu sahihi kabisa wakat utakapo fika kila mtu ataondoka kwa njia yake 👏🏾👏🏾😥😥😥polen wafiwa 😢😢

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 15 днів тому

    Presha ya kushuka nimbaya Sana! Polen Sana wapendwa

  • @RebecaJustine
    @RebecaJustine 19 днів тому

    Mama mdogo Mungu Akutiye nguvu umeongea vzur kihekima

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 20 днів тому

    Mama mdogo wewe ni mama mnyenyekevu sana na una maiibu yasiyoumiza mtu yeyote.

  • @RizikiMakayaShabani
    @RizikiMakayaShabani 20 днів тому +1

    Mungu atusaidiye kabisa

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 20 днів тому

    Poleni sana wanafamilia pole sana kwa mke nawatoto wa marehem

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 20 днів тому +2

    Hapo kwenye kuwekewa chuma basi shida ilikuwa kubwa

  • @wariobamussa2462
    @wariobamussa2462 20 днів тому

    Pole sana Mama Mdogo......

  • @FloraOmollo
    @FloraOmollo 17 днів тому

    😢😢poleni sana mungu awatie nguvu

  • @FaridaMkunga
    @FaridaMkunga 19 днів тому +1

    Poleni wafiwa wote

  • @mwanaimamsangi971
    @mwanaimamsangi971 19 днів тому +1

    Vizur avidumu 😢

  • @samsonmutuiu3171
    @samsonmutuiu3171 18 днів тому

    I don't trust the particular hospital coz if indeed he ws serious why didn't they took him to Nairobi yet they were at kisumu a few kilometers to Nairobi...something it's not adding up there

  • @NovekaNovatus
    @NovekaNovatus 20 днів тому

    Poleni sana mungu awatie nguvu

  • @AgnessDaud-jk7ro
    @AgnessDaud-jk7ro 20 днів тому +3

    mama nimelia san na mwishon umeongea nimepat faraj ahsant na polen san msib ni wawot

  • @NellyKombe
    @NellyKombe 20 днів тому +2

    Amen ubarikiwe mum

  • @joycenyamwaka1884
    @joycenyamwaka1884 20 днів тому

    Very true Mama pole

  • @FlorenceAseru-rj1fv
    @FlorenceAseru-rj1fv 15 днів тому

    Poleni jamani!!

  • @JeniphaHillo
    @JeniphaHillo 20 днів тому

    Daah mungu awatie nguvu poleni

  • @VailethSwai-u1m
    @VailethSwai-u1m 20 днів тому

    Poleni sana kwa msiba mzito jamani mbele yetu sisi nyuma yake

  • @LeilaSaidi-rk2uk
    @LeilaSaidi-rk2uk 15 днів тому

    daah inasikitsha san jmn polen san ndug walioguswa inaum san apumzk kwa amn 😭😭😭

  • @marydaud6799
    @marydaud6799 16 днів тому

    Poleni sana wana Zabron wote

  • @CeciliapiterWangwe
    @CeciliapiterWangwe 19 днів тому

    Eee. Mungu wape faraja familia hii Maana wanawakati mgumu sana

  • @AdiliMkonge
    @AdiliMkonge 10 днів тому

    umeumaliza mwendo imani umeilinda

  • @ChristinaStanley97-r9c
    @ChristinaStanley97-r9c 20 днів тому

    Mungu awatie nguvu zaidi ndungu wote

  • @NicholausJoseph-y9c
    @NicholausJoseph-y9c 20 днів тому +1

    Mazishi marko

  • @MonicahMareri
    @MonicahMareri 9 днів тому

    😢

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 20 днів тому +1

    🙏🙏🙏💔

  • @MelleJoshua
    @MelleJoshua 18 днів тому

    Kaz ya mungu umefanya akupokee mungi mwenyew

  • @PerediaKisongora
    @PerediaKisongora 19 днів тому

    Polen sana jaman kwakwer kwa msiba

  • @user-gx3gl9tw7q
    @user-gx3gl9tw7q 20 днів тому

    Pole kwa family

  • @MagdalenaZephania
    @MagdalenaZephania 19 днів тому

    Daah? Marco 😭😭😭

  • @VAILETHCHAULA-z3n
    @VAILETHCHAULA-z3n 20 днів тому +1

    Pumzika kwa amani😢

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 20 днів тому +2

    NA NYIE C MNGEMWACHA KUMFANYIA OPARASHENI?MWEEE INAUMA SANA

    • @colethacharles548
      @colethacharles548 19 днів тому

      Kama umemsikiliza Dr asingefanyiwa angekufa usingizini au popote ghafla,nami nimewaza asingefanyiwa huenda siku zingesogea lakini bado alikuwa anateseka hadi anashindwa kulala so operesheni ilikuwa ni lazima😢😢
      Mungu amlaze pema nasi tusubiri zamu yetu😢😢

  • @AmidaOmary-b9s
    @AmidaOmary-b9s 16 днів тому

    Polenta sana

  • @angelakalonzo9513
    @angelakalonzo9513 16 днів тому

    Tangu lini chuma ikawekwa kwenye mshipa? Tzania hawasomangi . Mungeleta mgojwa kenya

  • @SeciliaHegeli
    @SeciliaHegeli 20 днів тому

    Poleni jamani

  • @VailethSwai-u1m
    @VailethSwai-u1m 20 днів тому

    😂😂😂inaumiza sana jamani nimelia nimechoka

  • @Roseline-ld8ed
    @Roseline-ld8ed 20 днів тому

    Pumzika kwa Amani 😭😭😭

  • @wanjorowanjoro
    @wanjorowanjoro 19 днів тому

    😭😭😭💔

  • @faridabilly379
    @faridabilly379 15 днів тому

    😭😭😭

  • @AvityLuuta-z4y
    @AvityLuuta-z4y 8 днів тому

    Avity Luuta

  • @rachelrodgers5080
    @rachelrodgers5080 20 днів тому +1

    mungu ampumzishe salama

  • @MaryKwamboka-x7x
    @MaryKwamboka-x7x 20 днів тому

    Rip

  • @PriscaJohn-y8s
    @PriscaJohn-y8s 19 днів тому

    Kwanin marco joseph asihifadhiwe kwake kama nyumba ya milele na sio makaburin i mean azikwe kwake nyumban polen sana familia ya zabron singers

  • @AdiliMkonge
    @AdiliMkonge 10 днів тому

    pumzik kwa amani

  • @user-xb2xu3sp9x
    @user-xb2xu3sp9x 20 днів тому

    Polen sana mungu amulaze mahali pema peponi

  • @JaseMwamilanga
    @JaseMwamilanga 15 днів тому

    Poeren wanafamiry

  • @farajatete9762
    @farajatete9762 19 днів тому

    Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

  • @josephineochieng3682
    @josephineochieng3682 18 днів тому

    Yaani shetani akiua kila mtu anachanganyikiwa

  • @florahdaud6018
    @florahdaud6018 20 днів тому

    Mwendo amemaliza lmani ameilinda àpumzke kwa amani

  • @ElibarikiMashambo
    @ElibarikiMashambo 20 днів тому +1

    Nanyie waandishi hamuoni huruma kuwachosha na maswali wafiwa?

  • @MosesLeverie
    @MosesLeverie 17 днів тому

    😢😂😢😂😢😂

  • @user-qm5un9yc8r
    @user-qm5un9yc8r 19 днів тому

    Poleni sana mungu awatie nguvu

  • @MadamOrida
    @MadamOrida 20 днів тому

    😢😢😢

  • @janetmlulla374
    @janetmlulla374 20 днів тому

    😢😢😢

  • @loveness.official5346
    @loveness.official5346 20 днів тому

    😢😢😢😢

  • @cartasjefer-sd4lp
    @cartasjefer-sd4lp 20 днів тому

    😢😢😢😢