Subhana Llah! Kuna wafusi wa siasa kule Pemba walisha kuwa wanatia mavi ndani ya visima vya maji ambayo binadamu wenzao wakiyatumia kunywa, kupikia, kukogea, kufulia, kutilia Udhu...
Assaalm alaykum warahmatullah wabarakatu co kila kipindi lazima muhudhurie eneo hucka Masha'Allah kipindi kizuri lakin mazingira hapana maana kuna wengine hawapend kuonekana humu mitandaoni lakini ghafla ajiona tenah atoka choon subhanallah
Shukraan sana kaka ila hapa bongo wazazi wengi hawazingatii maswala ya madrasa au chuoni wanazidi na skuli tuu yaani dunia wanaipa kipao mbele kuliko akhera
Assalam Alaikum... Uyo Dada anaeanza kusema apo kbla hujaanza kutangaza apo kaka basi yy sauti yake ni shubha, hapakua na haja yakuweka sauti ya kike apo Hususan kwa Redio zote za kiislam. SHUKRAN
Kwani uliambiwa fanya machafu au inaelekeza usafi ulitaka nguruwe yesu pia alitawadha kwa hiyo ww ulimfata mlokole kwa hiyo ni muislam yesu mfaye yesu isa bin mariam ndugu wa mitume wote fatilia dini
@@ibnshaukhanuthaimin hakika maana tuliopo gulf kutawadha ni chooni tu nilikuwa najiuliza sana inakuwaje lkn nilifanya tu hakunasehem nyingine na wanaume harusiw kukuona
Nina swali mfano mm na mume wangu tuingie chooni tuoge hapo hapo mm na mume wangu tuingiliane chooni maana tumeoga pamoja na akatani na mm nikampa chooni jee ni Sawa au sio sawa
@@avitusmichael5 sio kiu ukunielewa yaani mfano naoga na mume wangu chooni ile arakati za kuoga pamoja atake kimapenzi basi nishajua ni kosa nimejifinza, vichakani haswa kuna nyoka miba nayatakiani
@@fauziamwakunena2681 ahahaaah! Poa samahan, ila vichakani ndo kuna raha zote hata nyoka akitokea anabaki kushangaa kisha anatimua mbio. Sisi tunaoishi vijijini ndo tunaijua raha ya kufanyia vichakani
Dini ya kislam ni dini ni ilio kamilika kama hujui hata yesu pia ni muislam ila Ww mpumpavu hujamfata yesu wa ukweli isa bin mariam alitawadha wakati wa kuabudu mmungu alikua msafi
Shukrani. Mashaallah❤❤❤. Mwenyezimungu akuzidishie uumri mrefu na akuzidishie Imani. Na akuepushe na husdazawatu na Wachawi
Asalam Alekm,shukran kwamafudisho mazuri .Allah azidi kukuogoza.
Mashaallah Masha Allah
Nashukuru Sana kwa Elim japo mimi ni mkristo
asante kwa kunielimisha ingawa mm mkristo 🇰🇪🇰🇪 Allah bless you.
Ukiamini hayo maanayake wee si mfuasi wa Kristo
@@filbertstephano8038 Hapan atabakibi kuwa mristo mpaka atamke shahada mbili
Karibu kwenye uislam
Subhana Llah! Kuna wafusi wa siasa kule Pemba walisha kuwa wanatia mavi ndani ya visima vya maji ambayo binadamu wenzao wakiyatumia kunywa, kupikia, kukogea, kufulia, kutilia Udhu...
MashaaAllah ❤️
Shukran❤❤
Alhamndulillah Shekhe kwa somo zuri ALLAAH Hakuzidishie Afya njema AMEEN Yallaabii Ameen 🤲🤲🤲
Allihamdulillah,,nimeelimika
Mashaala kwakwelu nimejifunza mengi mungu akubariki
Mansha'Allah 🙏🙏
Shukran sheikh ❤
Naamin katka Imani sjuwi kuhusu mapepo immani yangu itaniongoza
MashaAllah Tabaraka Allah
Kweli kbs brother mungu akubariki
Shukrani sana shekh ubarikiwe sanaaaaa
Shukuran jazakum Allah kheiran
Shukran Sana Ma Sheikh.
Assaalm alaykum warahmatullah wabarakatu co kila kipindi lazima muhudhurie eneo hucka Masha'Allah kipindi kizuri lakin mazingira hapana maana kuna wengine hawapend kuonekana humu mitandaoni lakini ghafla ajiona tenah atoka choon subhanallah
Mashallah♥️🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Shukraan jazakallahu lkheir Allah maalim
Mashaallah shukran
Mashallah mad nzr
Shukran kwa ukumbusho Allah akulipe
Asnt kaka
Mashallah
Shukraan sana kaka ila hapa bongo wazazi wengi hawazingatii maswala ya madrasa au chuoni wanazidi na skuli tuu yaani dunia wanaipa kipao mbele kuliko akhera
so wote ndugu yangu
Jazza kallah khair
Shukrn kaka kwa kutukumbusha
Maasha Allah shukran
Shukurani ustadhi nimejifunza vizuri na nimeelewa
MashaAllah shukran sheikh wetu
Shukran sana
Insha Allaha
Asante kwa mafundisho
Shukran kwa kutuelimisha ustadh. mungu akupe umri mrefu,uzidi kutuelimisha
Masha Allah shukran
Masha Allah
Manshallah 🙏
shukrani 🙏
Napenda tu salamu zenu,, sema niregelee siwezi😂😂,, thanks a lot bt mm ni mlokole
Sidhani km umeokoka halafu ukapenda uislamu
@@filbertstephano8038 usimnyime mtu uhuru wa kuelezea hisia zake
@@filbertstephano8038 hata yesu isa bin mariam alikua muislam kama hujui fatilia
Mashaa Allah
Shukran shekh
Shukrani shekh
Asante sana
Shukran sheikh
Shukran
Thanks you
Mashaalhwa
Manshaallaah
Asalam Alekum : je kabla sijaigia kwa choo nikasema Athubilahi minnashwetanirajim nikaigia kwa choo nimakosa
Allah akulipe memaduniani na akhela
Mashaalah
Mashaallah🙏
Mashaallah
A aleikum waramatulah wabarakatu samahani mm nina mwali nakutema mate choni ina mana gani na kama cho ndo bafu kama nyumba za siku hizi
Assalam Alaikum... Uyo Dada anaeanza kusema apo kbla hujaanza kutangaza apo kaka basi yy sauti yake ni shubha, hapakua na haja yakuweka sauti ya kike apo Hususan kwa Redio zote za kiislam. SHUKRAN
Waakumu ssalaam warahmatullah. Ukhty lkareem Khadija Mgambo, Issue hapo ni kupokea na kuufanyia kazi ujumbe ulopostiwa..
Mashallah 👏📿
mashallah jazakallah kheira
Mashhallah
Hpn nadhani vidio hii nimeangalia bahati mbaya siwez nikaamini mimi ni mlokole
Kwani uliambiwa fanya machafu au inaelekeza usafi ulitaka nguruwe yesu pia alitawadha kwa hiyo ww ulimfata mlokole kwa hiyo ni muislam yesu mfaye yesu isa bin mariam ndugu wa mitume wote fatilia dini
Duu kweli bila Yesu masharti kibao .
Mmmmh! Hujui ulisemalo
Sawa sawa
Alhamdhullih shukran jazila
Oh good
Mashalah
Ma sha Allah
Nashukur
Nina lindwa na Mungu kwa njia ya imani
Aminaaa
Mungu ana utaratibu na sheria zake soma dada dunia ina mengi
Naonba niulize mimi natatizo la kutoka mkojo mala kwa mala je navoenda msikitin nakuwa si hesabiwi sala yangu? Naomba sheeh nijuze
Pole ndugu yang je ulienda hospital kwanza
Shukra Allah akujaze ilmu
Mashaallah
Samahani ni kwa waislamu tu ama
Asante sheikh
Duhiiiiiii
ndiyo nini mnawazalilisha watu hapo mlangoni kwani hamkuweza kisimama sehemu nyingine.hadi msimame kwenye milango ya choo. ovyoooo
Shehe wetu kama ukiweka udhu choni inakuwaje nahusomi duwa ebu tujuilishe
inasihi kuchukua udhu choon dua utaisoma moyoni bila kutoa sauti kubwa
@@ibnshaukhanuthaimin hakika maana tuliopo gulf kutawadha ni chooni tu nilikuwa najiuliza sana inakuwaje lkn nilifanya tu hakunasehem nyingine na wanaume harusiw kukuona
Ndo nn mmekaa katikati ya mlango mnawapa wasiwasi wanaoingia chooni
😂😂😂😂kabisaa
Dua ya kuingia nyumbani
mashaallah shukurani
Hatupo chini ya sheria
Asee nimemwona anko anatoka kunya humo chooni, nimempigia simu kakiri ni yy mwenyewe
🤣🤣🤣🤣
🤔🤔🤔
Mungu ndye muweza wa yote mashart mengi sana,
Hakuna mashart ni elimu tu.
Bass haya
Kwani lazima muweke mapicha maelezo pekeyake hayatoshi?
Kuna baadhi ya viumbe wazito kweli kweli
Darsazuuuri ilamsiwaonyeshe wasiohusika
Mashallah jazakallah kheir
😁masharti kama waganga wakienyeji
Hapo wengi wanafeli
Nina swali mfano mm na mume wangu tuingie chooni tuoge hapo hapo mm na mume wangu tuingiliane chooni maana tumeoga pamoja na akatani na mm nikampa chooni jee ni Sawa au sio sawa
🤣😂🤣😂 hapana cct hilinalo nikosa kubwa sana
Asee una kiu kikali sana cha mapenzi, hadi chooni? Bora mwende vichakani
@@avitusmichael5 sio kiu ukunielewa yaani mfano naoga na mume wangu chooni ile arakati za kuoga pamoja atake kimapenzi basi nishajua ni kosa nimejifinza, vichakani haswa kuna nyoka miba nayatakiani
@@shangazshangaz4222 Asantee daa nimeelewa ni makosa kuanzia leo kila mtu aoge pekeake sasa
@@fauziamwakunena2681 ahahaaah! Poa samahan, ila vichakani ndo kuna raha zote hata nyoka akitokea anabaki kushangaa kisha anatimua mbio. Sisi tunaoishi vijijini ndo tunaijua raha ya kufanyia vichakani
,
Yesu Ni bwana....na kwa maana hiyo mm siyo mganga wa kienyeji..niingie chooni na masharti...najirusha niwezavyo maadam Niko na Yesu😂😂😂
Humu hujaalikwa vo! Wala hakujakukhusu hasa! Kajirushe huko huko, sie tuache na yetu
Aliekulzmsh ufate ni nani we jirushe na yesu wako na sis tuwache na sharti Zetu na mambo yetu
Elia Thomas, wewe humpendiyesu kabisa wala yesu hakupendi kabisaaaa tafakari hayo🙄
Hakuna sheria ya kuingia popote
Hujawahi kuwa na Yesu ww wala hakutambui subiri mauti yakukute ndo utaelewa
Jifunz quran kusom na kuandik gusa p
Mtakuwa mapumbavu tu ywnu ni vyooni tu hata akili zenu ni vyooni tu!
Dini ya kislam ni dini ni ilio kamilika kama hujui hata yesu pia ni muislam ila Ww mpumpavu hujamfata yesu wa ukweli isa bin mariam alitawadha wakati wa kuabudu mmungu alikua msafi
Wewe una kiburi Pengine ni afya uliyonayo inakudanganya kama huna cha kuongea nyamaza
Shukran sana
Masha Allah
Shukran
Shukran shekh🇹🇿🇹🇿
Mashaallah
Mashaallah
Shukran