Ukiota Muna ngombana na bwanako Kisha unamkimbiza mbio sana Kisha kukawa na Barabara Iko juu Kisha chini Kuna kama maji magi na mawe Kisha akaniambia huwenda uka anguka chini Kisha akaendelea mbio sana za Kasi Mimi nikatuwa kwa mti juu Kisha chini kukawa na watu wawili waka nisaidia Kisha nikaamka
ماشاءالله تبارك الله sikuwa najua hilo Allah akubariki ustadh alafu swali hapa na ukiota ndugu wako tumbo moja awe wa kiume au wa kike amefariki inamaana gani
Niliota nikiwa nimeenda kumslalimia mama kisha wakionyesha mahali pa kulala dada zangu kitanda nilikuwa nimenunua mto mimi wakanitotela wa kanipa mzee nikaikataa nikaweka hiyo mpya ikawa ni kushindana wakitoa naweka na mum alikuwa kwa umbali anatuangali but tulishindia tu hivo
Asalaam alykum niliota ndoto (Kuna wanyama watatu (3) weupee wanafanana na swala ila wanaafya kuna dune,like,na mototo kwa bahati mm nikamkamata mtoto wakati naenda kumuhifadhi nika nikaamka
Kisha nikaona mpenzi wangu ambaye ni mchumba wangu tunatarajia kuoa hivi karibuni alikuwa ametangulia mahali na mi nikamfuata akafika mbele yangu nami nikiwa karibu naye nikakuta watoto wakawa wananivuta mguu nisifike kwake but nikawasukuma nikaenda kufika nikapata amekasirika akaondoka na akaacha kupokea simu nikalia sana kisha badae akapokea but akaongea kama ambaye hataki, hii ina maana gani
Niliota mke wangu anaumwa hati amechifua na inzi imenjaa kwake hati wanangu wamemusingira Jana vile Babu hivyio hivyio, tena niliota nimebeba maiti tena inanuka sana
Asalam alaikum me naomba nitfsiriwe ndoto hii. Nimeota mchumba wangu anaoa mwanamke mwengine me bila kujua nakuja TU kusikia kua ameoa na Wala hatukua na ugomvi wowote
Mimi niliota nyoka mukubwa ananikibiza yure nyoka nikamuacha lakini cha kushagaza wakati narundi nyubani nikamukuta yure nyoka aliye kuwa ananikibiza kasha fika nyubani tafazali naomba tafisili ya ndoto hiyo
Assalam alykum warahmatullah wabarkt ....shekh mm nilitak kujua man ya ndoto hii mm noat mara nying2 mmewang nilionay hnipnd anawanawak wengine..hii ndoto inamaan gan xhkh..
Bwana ndugu Mimi Nina penda video yako ina nielewesha sana kabisa. Ninataka unitafusilie ndoto hii. Mimi nimeota Pepo mahaba linaningilia matakoni halafu ubowangu ukadinda sana halafu nikamwanga mbengu imetokea malatatu
Niliota doto nyoka wawili wa green lkn mmoja ni mkubwa akajaribu kumesa mtoto wa mama mwingine lkn akummla alimpaka mate tu nikangana nikamgonga kicwa niambie nini nitsukuru sana
Aslm Alaykum km ukiota mkeo anaishi na wame wawili ktk nyumba moja ambayo sio yako nyumba hiyo yaana wewe mumewe wa halali na mume mwengine mnaishi ktk nyimba moja nini maana yake?
samah naitwa alvin kutoka morogoro....Sio mda kutoka sasa mida ya saa 9 na dakika zake Nimeota mama yangu mkwe kafa na walipomuifanzi (kuzikwa) ni sehemu unayoweza kwenda kufunia na ukamuona na nina lia sana nikikumbuka (ndan ya ndoto) nikamuona mtoto wa kaka wa marehemu nikamuelekeza nilichokiona ile namchukua nikamuoneshe nikashtuka usingizini...samahani naweza pata tafsili ya ndoto iyo?
Alvi Chen ndoto cio ya kawaida omba kuzuia roho ya mauti juu ya hio jinsia anawez asife yey lkn akaf mtu WA Kam umri wake umeoneshwa Ili uzuie Kam ucipoomba hio ndoto itatimia Kingine Kam ni mama mkwe htjui unaish nae vp ama yko na tbia zpi maan nyngne huenda Kuna mahal kafungwa nafsi yake imekamatw nyie mnaon tuko nae kmbe Kuna mahala mtu halisi yupo Omba juu ya hayo 🙏🙌🙌
Nikiota anaongea na msichan?siku ingine nikaota ameomb nmb mtu mwengine na pia kuna sku niliota anafnya mapenz na nsichana alfu nikamfumania aatoroka maan nilimfum kwa ndoto wakifnya mapenzi uchi iyo inaaaanisha nini lkn hizo mbili zlkuw ukwl maana kuna venye alinijibu nikajua n ukwl
Ukiota Muna ngombana na bwanako Kisha unamkimbiza mbio sana Kisha kukawa na Barabara Iko juu Kisha chini Kuna kama maji magi na mawe Kisha akaniambia huwenda uka anguka chini Kisha akaendelea mbio sana za Kasi Mimi nikatuwa kwa mti juu Kisha chini kukawa na watu wawili waka nisaidia Kisha nikaamka
Dah mi naota kila siku ndoto moja mme wangu namfumania na wanawake tofauti tofaut kila sik. Nimeota zaidi ya mala 3. Hiyo inamaanisha nn
Ndoto nirioota kunamtu anatembea NAMKEWANGU nikamuota nimempazawad nini tafsili
Nimeota mtoto wa mama yangu mdogo anaolewa gafura mwanaume amegari akataka kunioa mm na mm nikaburi inamaana gani🙏🙏
Nikiota mume wangu amejungua nguo ya ndani na stepmother na kufuka uchawi ndani ninamaana gani
ماشاءالله تبارك الله sikuwa najua hilo Allah akubariki ustadh alafu swali hapa na ukiota ndugu wako tumbo moja awe wa kiume au wa kike amefariki inamaana gani
Mimi nimeota mama yangu anafanya harusi na amekuwa kijana mdogo
Niliota nikiwa nimeenda kumslalimia mama kisha wakionyesha mahali pa kulala dada zangu kitanda nilikuwa nimenunua mto mimi wakanitotela wa kanipa mzee nikaikataa nikaweka hiyo mpya ikawa ni kushindana wakitoa naweka na mum alikuwa kwa umbali anatuangali but tulishindia tu hivo
Mimi nimeota amempost mpenzi wake wa zamani
Nataka utafsiri kulala mchana ukaota kama niusiku uko kwa ndugu zako
DOCTOR NIMEOTA mpenzi wangu anamwanamke mwingine kisiri
nimeota natoa michang sikio langu la kulia jamanii sina Aman nasisiamka mda wote natesekaaa😭😭😭😭😭😭😭😭msaadaaa jaman anaejuaa
Mfuate inbox
Asalaam alykum niliota ndoto (Kuna wanyama watatu (3) weupee wanafanana na swala ila wanaafya kuna dune,like,na mototo kwa bahati mm nikamkamata mtoto wakati naenda kumuhifadhi nika nikaamka
Docta nimeota mpenzi wangu anachepuka anfanya mapenzi na wanaume wengine na nikamkamata je inamaana gani
Je doctor ukiota mbwa anachinjwa hii ina maana gani!?
+0
ww una sumbulia na wachawi ktk familiana ww huna utakuwa huna thamani maishani mwako mpk mauti yk
@@salummzee9739 😭😭😭😭😭Allah aninusuru na imani ataniepusha na hayo yote amiin
Nimeota nimemfumania mme wangu na mchepuko nkamchukua yule mchepuko nikampiga nikawa namburuza chini huku akiomba msamaha
Kisha nikaona mpenzi wangu ambaye ni mchumba wangu tunatarajia kuoa hivi karibuni alikuwa ametangulia mahali na mi nikamfuata akafika mbele yangu nami nikiwa karibu naye nikakuta watoto wakawa wananivuta mguu nisifike kwake but nikawasukuma nikaenda kufika nikapata amekasirika akaondoka na akaacha kupokea simu nikalia sana kisha badae akapokea but akaongea kama ambaye hataki, hii ina maana gani
Je ukiota unafukuzwa na m'mbwa alafu wakuome mikono yote miwili uku m'mbwa nahuku m'mbwa
First to like n comment, dr.hud unifanyie offer nitakuimbia wassup nikueleze tatizo langu, na km huna ngombe ndoto hii
Inshaallah
Niliota mke wangu anaumwa hati amechifua na inzi imenjaa kwake hati wanangu wamemusingira Jana vile Babu hivyio hivyio, tena niliota nimebeba maiti tena inanuka sana
Ukiota ndugu anafanyiwa sherehe na wewe ukaenda kula wal utumbo na kinywaji
Naomba kutafsiriwa ndoto ya kulima na nog'ombe na pia kuota kundi la ng'ombe
Asalam alaikum me naomba nitfsiriwe ndoto hii. Nimeota mchumba wangu anaoa mwanamke mwengine me bila kujua nakuja TU kusikia kua ameoa na Wala hatukua na ugomvi wowote
Warda adam inaamana gani ndoto iyo uloota
Naitwa Anne Marie nime hota mume wangu amepokea ma Ali yangu kama baba yangu
Mimi niliota nyoka mukubwa ananikibiza yure nyoka nikamuacha lakini cha kushagaza wakati narundi nyubani nikamukuta yure nyoka aliye kuwa ananikibiza kasha fika nyubani tafazali naomba tafisili ya ndoto hiyo
Ukiota bibiako Alie kufa zaman ukaota anakupa chakula sa ili uanze Kura unajikuta unaamka unamanisha nn😊
naitaji unitafasitiye doto ya mfano nimejituta Nina siriki na mme ambaye sija rara nae kitandani nanikaoneswa kuwa nimtu naemju maana yake mini
Mashallha
Asante sana 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Assalam alykum warahmatullah wabarkt ....shekh mm nilitak kujua man ya ndoto hii mm noat mara nying2 mmewang nilionay hnipnd anawanawak wengine..hii ndoto inamaan gan xhkh..
Mm nimeota mume wng ameowa alaf baada ya kuowa ananidharau san sjui itakua na maan gani
Bwana ndugu Mimi Nina penda video yako ina nielewesha sana kabisa. Ninataka unitafusilie ndoto hii. Mimi nimeota Pepo mahaba linaningilia matakoni halafu ubowangu ukadinda sana halafu nikamwanga mbengu imetokea malatatu
Mpigie
Daaah! C mchezo ndugu lkn iyo ndoto yako wewe ata aitaki kutafsiliwa ipo open ndugu wewe jitaalishe na kufirwa ktk maisha yako
Allah Akupe Afya
Mimi naota ngombe ikiwa inanilimbiza lakini ni ngombe zenye nakuta mahali pengine
Mm nimeota mwanaume wangu yuko na mtu mwengine ambaye namjua yani naumia sana
Mimi nimeota nimemfumania mume na mwanamke ambae sijamjua nikafanya fojo sana maana yake nini
Nime ota naongeleya bibi yangu baharini hiyonini baba
Ukiota mtu anakukojolea maana yake ni nini?
Niliota doto nyoka wawili wa green lkn mmoja ni mkubwa akajaribu kumesa mtoto wa mama mwingine lkn akummla alimpaka mate tu nikangana nikamgonga kicwa niambie nini nitsukuru sana
Mpigie ila ndoto iyo saa nyengne ni uchawi saa nyengne ni utajir
Aslm Alaykum km ukiota mkeo anaishi na wame wawili ktk nyumba moja ambayo sio yako nyumba hiyo yaana wewe mumewe wa halali na mume mwengine mnaishi ktk nyimba moja nini maana yake?
Niliota nimepelekwa ukweni na mzazi mwenzie alikuepo inamaana gan hii kupelekwa ukweni??
Shukran.ila ndoto ya nazi inamaana gani
🙏🤝💖
Wengine tunaelekea kuzeka sijawai kuota
ndoto ya ngombe
Asalam aleykum . Ukiota haupo inchin kwako upo inch nyingne kwa utaftaj inamana gan
Asante
Yes 🤞
Je mwanaume akiota ameangusha bakuli na imevijika iyo inamahana ngani?
Ukiota Unafanya mapenzi na babako mzazi nashakufa manake nni kakaangu plz
Mi piya nishaota sana hivyo
Asalam Alykm ostaz
Ukiota umechotwa unyayo
Asalaam aleykum
ukiota unampakulia chakula mait lkn hujampa maana yk ni nn?
Na je ukiota unafukuzwa na ng'ombe ina maana gani
samah naitwa alvin kutoka morogoro....Sio mda kutoka sasa mida ya saa 9 na dakika zake Nimeota mama yangu mkwe kafa na walipomuifanzi (kuzikwa) ni sehemu unayoweza kwenda kufunia na ukamuona na nina lia sana nikikumbuka (ndan ya ndoto) nikamuona mtoto wa kaka wa marehemu nikamuelekeza nilichokiona ile namchukua nikamuoneshe nikashtuka usingizini...samahani naweza pata tafsili ya ndoto iyo?
Alvi Chen ndoto cio ya kawaida omba kuzuia roho ya mauti juu ya hio jinsia anawez asife yey lkn akaf mtu WA Kam umri wake umeoneshwa Ili uzuie Kam ucipoomba hio ndoto itatimia
Kingine Kam ni mama mkwe htjui unaish nae vp ama yko na tbia zpi maan nyngne huenda Kuna mahal kafungwa nafsi yake imekamatw nyie mnaon tuko nae kmbe Kuna mahala mtu halisi yupo
Omba juu ya hayo 🙏🙌🙌
Naomba Tafsiri,, nimeota nagongewa muhuri mwekundu ktk passport na alienigongea ni mtu ananifahamu.
Mpigie cm
Mwanamke akinyamba Na ni Rafiki inamaanisha nini
Sikuwa najua asante sana
Nikiota anaongea na msichan?siku ingine nikaota ameomb nmb mtu mwengine na pia kuna sku niliota anafnya mapenz na nsichana alfu nikamfumania aatoroka maan nilimfum kwa ndoto wakifnya mapenzi uchi iyo inaaaanisha nini lkn hizo mbili zlkuw ukwl maana kuna venye alinijibu nikajua n ukwl
huyo nijini mahaba we we unalo lonakugomnanisha n.a. mumeo
Sadaka Ni sh ngapi
Nimeota mpenzi wangu ana mke mwingine
Naomba unambie Kama mtu akiota ndoton ameona vitumbua mtu amevibeba akamwomba akampa inamaana gan hiyo ndoto
🤪🤪🤪🤪🤪
Umeota umekoswa na kijiwe kidogo maeneo ya usoni
Ukiota watu wanafanya sherehe ya kuzaliwa mtu (birthday).Na watu hao unawafahamu ni familia ya upande wa baba .Maana yake ni nini?
Nimeota ndoto na gongwa natreni maan Nini kiongoz
Ndoto ya kuchinjwa na kisu ameona amekuua kumbe bado amemwendea dadako nae anachinjwa
Ndoto ya uadui omba Mungu akuepushe
Napia nilishawahi kuota nilisimama juu yaukuta lakini ndoto hii ilmuhusisha had padre labda ndoto hii ilikuwa na maana gani?
Ukiota unapigiwa saluti naupo nawalinzi kulia nakushoto naomba tafusili hiyo
Ukiota mkeo anamimba ya mtu mwingine iko na maana gani
Nimeota nagombaniwa na waume.... Inamaanisha nini
Nini maana ya ndoto uko unawalisha njiwa au unawalisha wakiwa na makinda yao
Nimeota kikundi chawatu wananizomea
Ukiota ndoto unacheza mpira maana yake nini
Ukota ndota upo na ex wa zamani inamana gan
Doctor,nini maana ya kuona takataka?
Nilijifungua mtoto wa kike, nikaota anauliwa na ng'ombe mke, nikiwa kwenye arobaini haijaisha. Nn maana yake?
Nahitaji. Tafsiri. Yandoto. Yapesa. Kuharibika. Kuwavumbi. Shekhe
Ukiota unapewa pesa maana yake ni ipi
Mimi.naulizandoto.yambwa.kulala.kwenye.nguo.nyepe
Docter kam ukiota unafukuzwa kazi maanayake nin?
Ukiota umeachwa na mume wko inamaana gni
Mtu mara kwa mara unaota kuwa make wako ana mtu mwengine.Ina maana Gani?
Ukiota mmeo ameamia kwa nyumba nyingine
Mwanaum akiota mke amezaa wakati han mimba
Ndoto ninataka Moira kiwanjani
Nimeota nang'oa mihogo maana yake nn
Kuota unakimbizwa na ng'ombo
Kama huna ngombe jeee
Ukiota wanaume usiowajua wanapigana
Kuona shamba kubwa la miwa
Kuota miezi miwili imeandama
nataka utafsiri ukiota umevaa vazi la dhahabu
Hi
Ukiota ndoto make kuchepuka na mtu
Je ukiota upo chin ya bahar na kuna haruc je ndot hii maana yke nn
Nmeota ng"ombe ananikimbiza nikvunja pembe zake zote mbili akaniachia...inshort na wanyama wengine na mpaka panzi wamanishambulia lkn nikawakimbia...
Naot
NDIO
Je nini, maana ya kuota mtoto wako ana jinsia mbili ikiwa yy wakike lakn unaota ana jinsia ya kiume na kike
Meota nimekiona kisogochangu sijuwi inamaana gani
Nimeota mpenzi wangu anataka kunioa
Ukiota unao wajua wamefunga ndoa?