RC Chalamila awacharukia wamachinga, ataka waache mihemko, "Sijaja hapa kuchekeana"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 50

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 місяці тому +3

    Msema kweli Mpenzi wa Mungu, tunapenda nidhamu , Pole saana Mhe Mkuu wa Mkoa, ila kuwa na Subra kwa Wananchi wako tumetofautiana shule, uelewa , kipato , hekma na busara, Ukiwa Mkuu waeza tamka lolote ila kazi unawapa wenzako kwenye kamati ya Ulinzi na Usalama

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje 3 місяці тому +2

    Acha kutisha Watu,cheo ni dhamana,muda wowote hiko cheo kinaondoka,si vyema kwa kuwa ni mkuu wa mkoa utishe Watu,kama mkuu wako wa wilaya akidhi au ameenda tofaut asiambiwe?

  • @ramadhanikibalabala9518
    @ramadhanikibalabala9518 3 місяці тому

    Safi sana mkuu

  • @edwinlyimo5611
    @edwinlyimo5611 3 місяці тому +1

    mkuu acha watu waongee,acha kuwatisha wape maiki waseme,kuna siku hata hayo magereza na hao polisi havita weza kukusaidia,mioyo ya wtu inamajonzi,waelimishe taratibu,hata ww ukisikia kuna mtu anataka kuharibu kazi yako utaumia,watu hapo wanafamilia,madeni benk na kazi ndio hiyo,acha hasira wape elimu

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 3 місяці тому +1

    Chalamila ogea kwa busara haya ni maisha tu mkuu

  • @CotridaKigwile-d6p
    @CotridaKigwile-d6p 3 місяці тому +1

    Watu wa dar bila kupaza saut awasikii Pole sana mh.kuongoza wa2 wazima kaz kubwa sana

  • @SamsonBarazingiza
    @SamsonBarazingiza 3 місяці тому +1

    Acha kutisha watu wewr

  • @tisamokebulemasubugu6222
    @tisamokebulemasubugu6222 3 місяці тому +1

    Sidhani kama vitisho ni sehemi ya kutatuwa matatizo watu wanataka kujuwa mitaji walito weka hapo sokoni kwa kuhakikishiwa hilo ni eneo la soko lakini leo vitisho hivi nini manake

  • @EmanuelNicholaus-of1qg
    @EmanuelNicholaus-of1qg 3 місяці тому +1

    Kutisha watu tena

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 3 місяці тому +5

    Tatua matatizo ya watu,..acha kuwatishia watu!..hata we ni mwanadam ipo siku utaachia huo uongoz wako,..usitishie watu na povu lako

    • @rtxwalker
      @rtxwalker 3 місяці тому

      Usisem t toa ushauri afanye nini

    • @rtxwalker
      @rtxwalker 3 місяці тому

      Lazm mud mwngn ukiw kiongz uwe dictator au ww unatk aman ivunjik but sheria ishasem Ardh yote n ya serekali na pia serekali inawezo kuchukua ardhi yeyot ikiwa ardhi inatakiwa kwa maslahi ya Umma kama vile ujenzi wa barabara, hospital n.k

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 3 місяці тому

      Hahahaha 😅😅😅😅 hapana sio kwa vitisho hivi

  • @GeorgeSikazwe-mm7nn
    @GeorgeSikazwe-mm7nn 3 місяці тому +1

    Kutishiatishia t watu we mungu bhna..vinamwisho

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu 3 місяці тому +2

    Nahitaji frem ya duka hapo kariako.fukuza kabisa nipate frem

  • @esuthoby7865
    @esuthoby7865 3 місяці тому +1

    Mh.acha kuongea kwa kuwatisha wananchi, wanahaki ya kuzungumza pia kuwakilisha hoja zao.Hivyo vitisho si vizuri kwa wananchi ,na kweli leo umukuja na mihemko.Public ni nani?

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 місяці тому +1

    SAF SANA HII DAR UKILEGEA WABONGO WANAWEZA KUKUSHIKA JICHON SOMETIME NA WE UNESHA UKALI WAKO ILI MAMBO YAENDE LA SIVYO YANAWEZA KUTOKEA KAMA YALE YA KENYA

  • @ElikaNdelwa
    @ElikaNdelwa 3 місяці тому

    Ndio hao mlio wapa elimi mkawafundisha Moja ongez Moja na wakaenda chuo wameludi mtaani hamujawapa kazi ni watoto wawakulima wamekuwa Kwa nguvu ya mungu alafu mtu unaongea utumbo ukiludi apo unaandikia ulikuwa na ziala unapewa posho na ela ya mafuta hadi lini mtawanyanyasa

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 3 місяці тому +1

    kama kweli walimgomea mkuu wa wilaya kuzungumza nao wamekosea

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 3 місяці тому +1

    Ivi uyu jamaa iko sawa kweli

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 3 місяці тому +3

    Huyu jamaa akili hana

  • @oscar-pc6fz
    @oscar-pc6fz 2 місяці тому

    Unazani hapo kuna haki za watanzania,Dc yeye nani mbele ya watanzania wote,hitimisha hamna shida.

  • @dizzosukariyaoSukariyao
    @dizzosukariyaoSukariyao 3 місяці тому +2

    Chadema Peoples power😅😅😅😅 ondoka na hawo vijanaaaa😂😂

  • @CarlosHizza
    @CarlosHizza 17 днів тому

    Kuna kauli zinanichanganya,unaposema "muwe na adabu,mnaniletea mambo ya kisiasa hapa"anamaana hajui nini maana ya siasa au amesahau kuwa yeye pia ni Kiongozi mwenye cheo kinachotokana na Siasa siyo mwajiriwa kwa taaluma aliyosomea yeye ni mteuliwa na aliyemteua ni Kiongozi Mwanasiasa aliyechaguliwa kuwa Rais kupitia chama cha Siasa tena ni M/kiti wa Taifa wa Chama husika.Nafikiri kunaulazima wa kuwapa semina Viongozi wateuliwa waelewe kuwa hawawezi kujitoa kwenye Siasa.Kama tafsiri ya Siasa ni utapeli,unafiki au ni ulaghai wao pia wamo wasijitoe.

  • @ElikaNdelwa
    @ElikaNdelwa 3 місяці тому

    Usizarahu watualiyekupa cheo wew amempa machinga hao watu Hawa saminiwi kila mtu anawafanya daraja ungekuwa wew machinga sijui ungekuwa nahaligani watu kama nyie kwa magagufuri mlikuwa na hari ngumu saivi

  • @oscar-pc6fz
    @oscar-pc6fz 2 місяці тому

    Nao watanzania kimia eti mnamwogopa yeye mbona anamiemko na siasa.

  • @fidurashidi5781
    @fidurashidi5781 3 місяці тому +1

    Siasa ni uchumi

  • @LumumbaFarhani
    @LumumbaFarhani 3 місяці тому +1

    Hii sasa ndio inavyotakiwa kwa wasiojua mipaka yao

  • @HappyAgilityPuppy-lg8wg
    @HappyAgilityPuppy-lg8wg 3 місяці тому +1

    sema hili jambo litaleta ukakas kutpkana na kuwafokea watu

  • @amotvtz1302
    @amotvtz1302 3 місяці тому +1

    Ndio wew zuzu

  • @teteelius9600
    @teteelius9600 3 місяці тому +1

    😢😢😢😢

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangali 3 місяці тому +1

    Wanyooshe hao.. Another Ze Jembe at work.🏋️‍♀️

  • @MussaNsekela
    @MussaNsekela 3 місяці тому

    Hivi Tanzania machinga anachukuliwaje, kwa nn wasikae wakajadiriana kuliko kutishana na kufokea watu

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y 3 місяці тому +1

    Shangingi unalotembelea nikodi zetu alafu unatutukana katiba mpya ije hawa watu wakuteuliwa hapana tunaitaji watu wakuchaguliwa sio hawa

  • @Moses-s2x
    @Moses-s2x 3 місяці тому

    Aibu ndio viongozi wetu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 місяці тому

    Shida nini tena CHALAMILA WANGU.

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 3 місяці тому

    Kuna nn tena?

  • @Muhammedually
    @Muhammedually 3 місяці тому

    RC mkiwachekea hao ipo siku watawapanda kichwani,kaza mhe.

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 3 місяці тому

    Acha maneno mengi,..kwanini hujawataarfu mapema

  • @dizzosukariyaoSukariyao
    @dizzosukariyaoSukariyao 3 місяці тому

    Wamalize mda wao wafunge virago

  • @HappyAgilityPuppy-lg8wg
    @HappyAgilityPuppy-lg8wg 3 місяці тому

    tumetulizwa 😅

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 3 місяці тому

    Huyu mwehu atakuja kimbia hizo mic muacheni ajing'ang'afue tu

  • @rizikiminga3010
    @rizikiminga3010 3 місяці тому

    Mbona kama anatumia ubabe uyu Rc😂

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 3 місяці тому

    Daaaaa😂😂😂😂

  • @silverman6930
    @silverman6930 3 місяці тому

    Tumia busara kenge wewe … this guy is drunk … when your mouth doesn’t coordinate with your brain …..

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 3 місяці тому

    Acha kufanya mambo kibabe,..shrikisha wafanya biashara wanaohusika

  • @YonaMayenja
    @YonaMayenja 3 місяці тому

    😅😅😅