Msema kweli Mpenzi wa Mungu, tunapenda nidhamu , Pole saana Mhe Mkuu wa Mkoa, ila kuwa na Subra kwa Wananchi wako tumetofautiana shule, uelewa , kipato , hekma na busara, Ukiwa Mkuu waeza tamka lolote ila kazi unawapa wenzako kwenye kamati ya Ulinzi na Usalama
Acha kutisha Watu,cheo ni dhamana,muda wowote hiko cheo kinaondoka,si vyema kwa kuwa ni mkuu wa mkoa utishe Watu,kama mkuu wako wa wilaya akidhi au ameenda tofaut asiambiwe?
mkuu acha watu waongee,acha kuwatisha wape maiki waseme,kuna siku hata hayo magereza na hao polisi havita weza kukusaidia,mioyo ya wtu inamajonzi,waelimishe taratibu,hata ww ukisikia kuna mtu anataka kuharibu kazi yako utaumia,watu hapo wanafamilia,madeni benk na kazi ndio hiyo,acha hasira wape elimu
Sidhani kama vitisho ni sehemi ya kutatuwa matatizo watu wanataka kujuwa mitaji walito weka hapo sokoni kwa kuhakikishiwa hilo ni eneo la soko lakini leo vitisho hivi nini manake
Lazm mud mwngn ukiw kiongz uwe dictator au ww unatk aman ivunjik but sheria ishasem Ardh yote n ya serekali na pia serekali inawezo kuchukua ardhi yeyot ikiwa ardhi inatakiwa kwa maslahi ya Umma kama vile ujenzi wa barabara, hospital n.k
Mh.acha kuongea kwa kuwatisha wananchi, wanahaki ya kuzungumza pia kuwakilisha hoja zao.Hivyo vitisho si vizuri kwa wananchi ,na kweli leo umukuja na mihemko.Public ni nani?
SAF SANA HII DAR UKILEGEA WABONGO WANAWEZA KUKUSHIKA JICHON SOMETIME NA WE UNESHA UKALI WAKO ILI MAMBO YAENDE LA SIVYO YANAWEZA KUTOKEA KAMA YALE YA KENYA
Ndio hao mlio wapa elimi mkawafundisha Moja ongez Moja na wakaenda chuo wameludi mtaani hamujawapa kazi ni watoto wawakulima wamekuwa Kwa nguvu ya mungu alafu mtu unaongea utumbo ukiludi apo unaandikia ulikuwa na ziala unapewa posho na ela ya mafuta hadi lini mtawanyanyasa
Kuna kauli zinanichanganya,unaposema "muwe na adabu,mnaniletea mambo ya kisiasa hapa"anamaana hajui nini maana ya siasa au amesahau kuwa yeye pia ni Kiongozi mwenye cheo kinachotokana na Siasa siyo mwajiriwa kwa taaluma aliyosomea yeye ni mteuliwa na aliyemteua ni Kiongozi Mwanasiasa aliyechaguliwa kuwa Rais kupitia chama cha Siasa tena ni M/kiti wa Taifa wa Chama husika.Nafikiri kunaulazima wa kuwapa semina Viongozi wateuliwa waelewe kuwa hawawezi kujitoa kwenye Siasa.Kama tafsiri ya Siasa ni utapeli,unafiki au ni ulaghai wao pia wamo wasijitoe.
Usizarahu watualiyekupa cheo wew amempa machinga hao watu Hawa saminiwi kila mtu anawafanya daraja ungekuwa wew machinga sijui ungekuwa nahaligani watu kama nyie kwa magagufuri mlikuwa na hari ngumu saivi
Msema kweli Mpenzi wa Mungu, tunapenda nidhamu , Pole saana Mhe Mkuu wa Mkoa, ila kuwa na Subra kwa Wananchi wako tumetofautiana shule, uelewa , kipato , hekma na busara, Ukiwa Mkuu waeza tamka lolote ila kazi unawapa wenzako kwenye kamati ya Ulinzi na Usalama
Acha kutisha Watu,cheo ni dhamana,muda wowote hiko cheo kinaondoka,si vyema kwa kuwa ni mkuu wa mkoa utishe Watu,kama mkuu wako wa wilaya akidhi au ameenda tofaut asiambiwe?
Safi sana mkuu
mkuu acha watu waongee,acha kuwatisha wape maiki waseme,kuna siku hata hayo magereza na hao polisi havita weza kukusaidia,mioyo ya wtu inamajonzi,waelimishe taratibu,hata ww ukisikia kuna mtu anataka kuharibu kazi yako utaumia,watu hapo wanafamilia,madeni benk na kazi ndio hiyo,acha hasira wape elimu
Chalamila ogea kwa busara haya ni maisha tu mkuu
Watu wa dar bila kupaza saut awasikii Pole sana mh.kuongoza wa2 wazima kaz kubwa sana
Acha kutisha watu wewr
Sidhani kama vitisho ni sehemi ya kutatuwa matatizo watu wanataka kujuwa mitaji walito weka hapo sokoni kwa kuhakikishiwa hilo ni eneo la soko lakini leo vitisho hivi nini manake
Kutisha watu tena
Tatua matatizo ya watu,..acha kuwatishia watu!..hata we ni mwanadam ipo siku utaachia huo uongoz wako,..usitishie watu na povu lako
Usisem t toa ushauri afanye nini
Lazm mud mwngn ukiw kiongz uwe dictator au ww unatk aman ivunjik but sheria ishasem Ardh yote n ya serekali na pia serekali inawezo kuchukua ardhi yeyot ikiwa ardhi inatakiwa kwa maslahi ya Umma kama vile ujenzi wa barabara, hospital n.k
Hahahaha 😅😅😅😅 hapana sio kwa vitisho hivi
Kutishiatishia t watu we mungu bhna..vinamwisho
Nahitaji frem ya duka hapo kariako.fukuza kabisa nipate frem
Mh.acha kuongea kwa kuwatisha wananchi, wanahaki ya kuzungumza pia kuwakilisha hoja zao.Hivyo vitisho si vizuri kwa wananchi ,na kweli leo umukuja na mihemko.Public ni nani?
SAF SANA HII DAR UKILEGEA WABONGO WANAWEZA KUKUSHIKA JICHON SOMETIME NA WE UNESHA UKALI WAKO ILI MAMBO YAENDE LA SIVYO YANAWEZA KUTOKEA KAMA YALE YA KENYA
Ndio hao mlio wapa elimi mkawafundisha Moja ongez Moja na wakaenda chuo wameludi mtaani hamujawapa kazi ni watoto wawakulima wamekuwa Kwa nguvu ya mungu alafu mtu unaongea utumbo ukiludi apo unaandikia ulikuwa na ziala unapewa posho na ela ya mafuta hadi lini mtawanyanyasa
kama kweli walimgomea mkuu wa wilaya kuzungumza nao wamekosea
Ivi uyu jamaa iko sawa kweli
Huyu jamaa akili hana
Unazani hapo kuna haki za watanzania,Dc yeye nani mbele ya watanzania wote,hitimisha hamna shida.
Chadema Peoples power😅😅😅😅 ondoka na hawo vijanaaaa😂😂
Kuna kauli zinanichanganya,unaposema "muwe na adabu,mnaniletea mambo ya kisiasa hapa"anamaana hajui nini maana ya siasa au amesahau kuwa yeye pia ni Kiongozi mwenye cheo kinachotokana na Siasa siyo mwajiriwa kwa taaluma aliyosomea yeye ni mteuliwa na aliyemteua ni Kiongozi Mwanasiasa aliyechaguliwa kuwa Rais kupitia chama cha Siasa tena ni M/kiti wa Taifa wa Chama husika.Nafikiri kunaulazima wa kuwapa semina Viongozi wateuliwa waelewe kuwa hawawezi kujitoa kwenye Siasa.Kama tafsiri ya Siasa ni utapeli,unafiki au ni ulaghai wao pia wamo wasijitoe.
Usizarahu watualiyekupa cheo wew amempa machinga hao watu Hawa saminiwi kila mtu anawafanya daraja ungekuwa wew machinga sijui ungekuwa nahaligani watu kama nyie kwa magagufuri mlikuwa na hari ngumu saivi
Nao watanzania kimia eti mnamwogopa yeye mbona anamiemko na siasa.
Siasa ni uchumi
Hii sasa ndio inavyotakiwa kwa wasiojua mipaka yao
sema hili jambo litaleta ukakas kutpkana na kuwafokea watu
Ndio wew zuzu
😢😢😢😢
Wanyooshe hao.. Another Ze Jembe at work.🏋️♀️
Hivi Tanzania machinga anachukuliwaje, kwa nn wasikae wakajadiriana kuliko kutishana na kufokea watu
Shangingi unalotembelea nikodi zetu alafu unatutukana katiba mpya ije hawa watu wakuteuliwa hapana tunaitaji watu wakuchaguliwa sio hawa
ulio wachagua wamekusaidia nini ?
Aibu ndio viongozi wetu
Shida nini tena CHALAMILA WANGU.
Kuna nn tena?
RC mkiwachekea hao ipo siku watawapanda kichwani,kaza mhe.
Mazingira hufundisha zaidi.
Acha maneno mengi,..kwanini hujawataarfu mapema
Wamalize mda wao wafunge virago
tumetulizwa 😅
Huyu mwehu atakuja kimbia hizo mic muacheni ajing'ang'afue tu
Mbona kama anatumia ubabe uyu Rc😂
Daaaaa😂😂😂😂
Tumia busara kenge wewe … this guy is drunk … when your mouth doesn’t coordinate with your brain …..
Acha kufanya mambo kibabe,..shrikisha wafanya biashara wanaohusika
😅😅😅