SIKILIZA MASWALI MAZITO YALIYO ULIZWA NA WANA CHUO KUHUSU UHALALI WA KUWASIMIKA WANAWAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 чер 2024
  • Sikiliza maswali Mazito yaliyo ulizwa na wana chuo cha CBC kuhusu uhalali wa kuwasimika wanawake kuwa Wachungaji

КОМЕНТАРІ • 106

  • @batholomewmshuzah3258
    @batholomewmshuzah3258 16 днів тому +6

    Ukwel upo wazi hekima ya mwanadamu n upumbavu kwa Mungu hii n saikolojia na sio neno la Mungu

    • @joshuakusena707
      @joshuakusena707 14 днів тому

      Bwana akubariki ndugu yangu. Hawa ni wanatheologia. Na theology zote ni za shetani

  • @victoranderelunyama4468
    @victoranderelunyama4468 12 днів тому +4

    ukweli n kwamba mwanamke harusiwi kusimama mbele ya wanaume.mwanaume ni utukufu kwa Mungu.mwanamke n utukufu kwa mumewe

  • @amosmakoba5042
    @amosmakoba5042 26 днів тому +8

    Mwl uko sawa sana...
    "Ukosefu wa maarifa umezuia mambo mengi yaliyo mema na muhimu sana".

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 17 днів тому +1

      Nyinyi Ndio mna elimu kuliko yesu?

  • @nikusekelakajumba7697
    @nikusekelakajumba7697 16 днів тому +4

    Mungu akubariki Sana mchungaji,umenifundisha kitu kikubwa sana

    • @StivinSapi-eg7kr
      @StivinSapi-eg7kr 7 днів тому

      Ni andiko gani linalo ruhusu mwanamke kubwa mtawala kwa nafasi zakifalme.

  • @GeorgeNsabi
    @GeorgeNsabi 17 днів тому +3

    Ukweli wa Mungu haubadilishwi na Elimu ya mwadamu

    • @Stonecity01
      @Stonecity01 16 днів тому

      Mwanadamu anatakiwa kufwata Mungu kupitia neno

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w 13 днів тому +1

    Asiyeweza kusimamia nyumba yake atawezaje kulisimamia kanisa la mungu? Pasta kaa upande wa nenp la mungu lisilo badiliko. Amina.

  • @gracemutheu3717
    @gracemutheu3717 10 днів тому +1

    Hakuna kanisa la mwanamke ambalo Lina simama Kwa utakatifu wa Mungu shetani anajua udhaifu wa mwanamke.

  • @WinfridaCreitus-bf3zn
    @WinfridaCreitus-bf3zn 26 днів тому

    Mkeka ukatema! Kiukweli nimekuelewa sana sana. Thanks for that true elaboration when preparing to ask a question

  • @venancezumba202
    @venancezumba202 13 днів тому +2

    Akikuchagua anakuwezesha 😊

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g 23 дні тому +4

    Hekima na busara, ni zaidi ya elimu ya kidunia !

  • @miriamluziro8315
    @miriamluziro8315 12 днів тому

    Yaani nimetapenda majibu ya Prof

  • @mussangao3164
    @mussangao3164 13 днів тому +1

    😂😂 wasomi wote peponi wanamjua sana Sir GOD😂😂

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd 22 дні тому +16

    Ndani ya kristo hakuna mwanaume wala mwanamke wako wana wa Mungu

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow 21 день тому +3

      Jichanganye mbona hawakwenda vitani wakati was daudi Joshua, kama mme na make ni sawa

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 20 днів тому +1

      ​@@JohnJoseph-qq7ow
      Alichokuambia ndio ukweli maana Mungu alitengeneza kizazi kingine baada cha kizazi cha kwanza kutoshika sheria zake, someni maandiko vizur.Agano jipya ni kwa wale watakao amini na kushika sheria zake ndio watafanyika kuwa watoto wake na ndio taifa lake teule.Haijalishi mwanamke au mwanaume.

    • @okelotv4040
      @okelotv4040 19 днів тому +3

      Soma vizuri ilo andiko haliusu uongozi ila namna ya kuokoka

    • @Fidelismlawa-wn2bw
      @Fidelismlawa-wn2bw 17 днів тому +1

      Itakuwa siku za mwisho asema bwana nitamimina roho wangu ,juu ya wote wenye mwili, kwahiyo,hata wanawake ,wanawajibu wa kumtangaza kristo, roho mtakatifu kamiminwa kwa wote wenye mwili,nao ni mwili

    • @eugeniuslugangira7899
      @eugeniuslugangira7899 17 днів тому

      Kwa hiyo katika Kristo wako huyo unayemuamini hakuna jinsia?
      Kumbe hata ndoa hazitambui jinsia..?

  • @qamdiayboay-gv3by
    @qamdiayboay-gv3by 26 днів тому +2

    Kusimikwa ni kuwekwa wakfu,kutengwa Kwa ajili ya kazi maalum

  • @emmenuelmwalembe-yd1cz
    @emmenuelmwalembe-yd1cz 16 днів тому +2

    Mtazamo wa kiungu unahitajika sio kukaa na kuaanzaa kubishana

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 5 днів тому

    Huyu Dr bado

  • @anorderick7162
    @anorderick7162 16 днів тому +1

    Wana wake mmeisha sahau majukumu yao Shetani anajua jinsi ya kuteka hizo ni Roho za Lilith za kutaka kuwa sawa na wanaume....!!

  • @beatricenangale5439
    @beatricenangale5439 26 днів тому +1

    Wanawake walikuwa na nafasi Yao ya mambo mengi kwa mfano
    1. Bikira Maria,
    kina Maria Magdalena
    2. Kina Eunice kina Rhoda,
    Dlorica, n.k kila mtu na majukumu yake.

  • @masindelubengo4129
    @masindelubengo4129 12 днів тому

    Prof alikutuma haya unajua mwenyewe, lakini hawezi kuwa Mungu Muumba wa vitu vyote!

  • @polepolelucas
    @polepolelucas 22 дні тому +1

    Nimempenda bule

  • @ezrageorge2369
    @ezrageorge2369 6 днів тому

    Acha upagani ndo maana mmeliuwa kanisa kiroho elimu hiyo potovu

  • @kephasymotela9390
    @kephasymotela9390 26 днів тому

    Safi sana elimuiko sawa

  • @georgiabuchukundi5146
    @georgiabuchukundi5146 23 дні тому +1

    Asante sana mtumishi

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 20 днів тому +6

    Shetani kateka kila kona, mwanamke asimikwe hili iweje

  • @leonardnalasa
    @leonardnalasa 4 дні тому

    Ordination is not physical but spiritual.

  • @frankfaustine6658
    @frankfaustine6658 2 дні тому

    Mbna tunatumia nguvu kubwa kupotosha ukweli mwanamke anayehisi anayaweza ya kiume bas na afanye ila akumbuke wajibu wake kwa mume na familia bas

  • @sylviatemba6645
    @sylviatemba6645 15 днів тому

    Mungu alijua udhaifu uliopo ndani ya mwanamke,Naam hata Sasa 50/50 imeshindwa kuwaleta katika katika kile wao waliami kukipata.Doctor unalazimisha mtazamo wako uwe sahihi maana Tangu mwanzo haikuwa hivyo

  • @user-dy9ue8yf5b
    @user-dy9ue8yf5b 18 днів тому +1

    Ukweli IKO wazi hakuna mtume mwanamke hakuna kiongozi mwanamke

    • @Nelsonmtimba
      @Nelsonmtimba 17 днів тому

      Umewai kumsoma Deborah alikuwa Ni Nani?
      Na unamfahamu mke wa Nabii Eliya alikuwa Ni Nani?

    • @nazirimassawe-fm8eh
      @nazirimassawe-fm8eh 8 днів тому +1

      ​@@Nelsonmtimba SOMA BIBLIA YAKO VIZURI TATIZO MNAJICHUKULIA VIPANDE VIPANDE VYA MANENO NA KUVITAFSIRI KIMHEMKO
      BIBLIA INANIAMBIA KUWA UKIONA MWANAMKE ANATAWALA ZAIDI YA MWANAUME KATIKA SEHEMU ZA IBADA ATA KIUONGOZI YUPO JUU YA MWANAUME BASI SEHEMU HIYO AU TAIFA HILO LIPO KATIKA HUKUMU YA MUNGU
      RUDI KASOME KUHUSU DEBORA ,ALIPOKUWA MUAMIZI TAYARI HUKUMU YA MUNGU ILIKUA INAPITISHWA KATIKA TAIFA LA ISRAELI.
      TENA BIBLIA INANIAMBIA,"NA NITAMFANYA MWANAMKE AKUTAWALE" YAANI KATIKA HUKUMU YA MUNGU MWANAUME ATATAWALIWA NA MWANAMKE

  • @Jonathan-gf9lj
    @Jonathan-gf9lj 17 днів тому

    Huyu ni mpinga Kristo!
    Mwanamke hawezi kuwa mchungaji, wala kuwa mwalimu ama mwinjilisiti au kuwa shemasi!
    Lete maandiko siyo Siasa!

  • @victorkalolo5350
    @victorkalolo5350 8 днів тому

    Mm huyu mwalim sjapataga kumuelewa hata sku moja

  • @menyosami9713
    @menyosami9713 4 дні тому

    1Timoteo 2:11-17 yasema je?

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w 13 днів тому

    Yesu alisema Luka 16:8 Wana wa ulimwengu huu katika kizaz chao Huwa na busala na maalifa kuliko Wana wa Nuru. Ndio huyu profesa.

  • @menyosami9713
    @menyosami9713 4 дні тому

    Pia I Wakorinto 14:32-34

  • @FrankAloyce-ic6rq
    @FrankAloyce-ic6rq 22 дні тому +1

    Wape ukweli kabsaaaa

  • @elitv7
    @elitv7 6 днів тому

    Jihadhalini sana ndugu wapendwa wakristo!!! Hizi ni siku za mwisho ambapo shetani anapambana sana kuvuruga akili na ukristo wetu.

  • @Deborah-dl4ug
    @Deborah-dl4ug 22 дні тому +1

    Hiyo pole mimi mmh! Ninachojua ni kuwa Roho mt hana upendeleo, yeyote aliyemwamini Yesu anaweza kufanya mambo yote ktk Jina la Yesu kristo. TUNAYAWEZA MAMBO YOTE KTK YEYE ATUTIAE NGUVU. Hata wewe mwanaume kumbuka u bibiarusi wa kristo, ijapokuwa kwa sasa unapenda kuitwa BWANA ARUSI

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow 21 день тому +1

      Mwanamke AFAI kuwa kiongozi

    • @salumrobert4413
      @salumrobert4413 20 днів тому

      unatoaje majibu bila ushaihidi wa mandiko

    • @geofkabo7843
      @geofkabo7843 17 днів тому

      Bibi harusi ni kanisa kimaandiko

    • @tp-kh8hl
      @tp-kh8hl 4 дні тому

      Soma bibilia vizuri wakointho14:33-35 nyie mmeambiwa mnyamaze kanisani a mtakiwi kufundisha

  • @user-dy5fn6qj1q
    @user-dy5fn6qj1q 17 днів тому

    Ebu tuangalie Kuna pahali mnamke alikwazuna na mitume au Kirsto lakini waliotenda mauwaji ugomvi ni. Wanaume na hata Sasa wanauume tuwafundisha wanawake unyama uuwaji kuwaingiza majeshini kuuwa B; damu kwa bunduki zamani haikua wanawake walikwa na huruma wanauume tuwafundisha wanawake unyama uuwaji na mwisho wanatafsiri hakuna tena wasiloliweza wanauume mliambiwa ishini nao kwa akili selemani. : Goliath; Ibrahim Esta kuingia kwa mflme waliangushwa na wanawake ndio neno ishini nawo kwa Akiliiiiiii likatimia

  • @EPHRAIMRAMADHANI-is1du
    @EPHRAIMRAMADHANI-is1du 17 днів тому

    Kweli tujifunze zaidi bible

  • @isaackusupa9635
    @isaackusupa9635 11 днів тому

    Anafundisha uongo mwingi sana mawazo yako

  • @user-le1rc7oc6u
    @user-le1rc7oc6u 14 днів тому

    HAKUNA 😮😮😮

  • @KedrickMalila-lk6xh
    @KedrickMalila-lk6xh 15 днів тому

    Walisha sema hawa ni viumbe dhaifu

  • @musabarnabas7628
    @musabarnabas7628 18 днів тому +1

    Samahani sana kusema hivi: Doctor hajajibu maswali kisomi. Kama alitaka kujibu maswali kwa njia ya kuhubiri basi haikuwa na haja ya kufanya utafiti.

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 5 днів тому

    Anaongea mitazamo yake tu

  • @dottomanyesha9692
    @dottomanyesha9692 18 днів тому

    Wakati ule 🎉kukiwa na watu 100 wanawaje 50 na wanawake 50 iliku 9:36 wa inatamkwa kun umati wa watu 50 wanawake walikuwa hawahesabiwi.

    • @yamungummungulo633
      @yamungummungulo633 12 днів тому

      Sabab ilikua mwanamke alihesabika kwa mwanaaume, mume na mke pamoj ndio mtu

  • @tp-kh8hl
    @tp-kh8hl 4 дні тому

    Uyu ameongea kulingana na mtazamo wake ila bibilia iko clear imesema wanawake awatakiwi kuongoza kanisani ni maandiko yameeleza wazi!...kuwa holy wala kuwa na roho mtakatifu ni tofauti na kuwa mchungaji!....

    • @victornzowa5138
      @victornzowa5138 День тому

      Hivi deborah alikuwa mwamuzi na bado ni mwanamke
      Je hapo ni nani aliyemupa hayo mamlaka ya kuongoza

  • @awitness9020
    @awitness9020 15 днів тому

    Weka number ya vhuo

  • @eagtmwangazachurchdodoma
    @eagtmwangazachurchdodoma 15 днів тому

    Amen

  • @furahinimrutu3085
    @furahinimrutu3085 8 днів тому

    anafundisha ambacho biblia haifundishi

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 19 днів тому

    Aliyeumba naMungu niMwanaume kwamfanowa waMungu meanamuke hakuumbwa baalialitolewa kwenye mwiliwamwanaume hivyo kwamujibuwabibiria meanamuke lazima kuleaeatoto kwakuwayeye ndiye alilala namtototumboni make aitu binadamu baali hata iumbewrngine mbona binadamu hashangai mbuzi nang'ombe hatahayawaniwengine anayeleawatoto nidumenijike?? haohayawaninao wananyanyapaa wanawakewao? huonimpangowaMungu tangu mwanzo Mungu hanachaelimu sijuiprofesa hanamssidizi alichofanyakikosahihi elimu yote ikokwake hakunamwanadamu anayewezakusahihishaMungu tusipotezane mudabure kamabibilia ikokwenyetamaduni zaidi kwanini hatakabla ya bibiria mbonadunianzima mwanamuke alizaanakuleawatoto mpakawatoke kwenye utoto naMungu walimtambua kwanamunayao kalimba kwajinsiwalivyomujua.

  • @shillahmbogo5556
    @shillahmbogo5556 20 днів тому

    Research ya Kuelekezwa

  • @magdalenamkelemi54
    @magdalenamkelemi54 24 дні тому +1

    Nimekuelewa baba

    • @dicksonsambala7756
      @dicksonsambala7756 15 днів тому

      Zawadi ya wito mtu anazaliwa nayo sio wakati wa kusimikwa...

  • @furahinimrutu3085
    @furahinimrutu3085 8 днів тому

    kama hawa ndio walim wa biblia tumekwisha

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph1106 17 днів тому

    Amekuta talaka zinatolewa akaziacha ivyoivyo😮😢

    • @dicksonsambala7756
      @dicksonsambala7756 15 днів тому

      Hakuziacha hivyo hivyo alikosoa kwa kusema tangubmwanzo haikuwa hivyo...

    • @edmundmwanawima3873
      @edmundmwanawima3873 14 днів тому

      Yes alukosoa na wala hakuziacha Hivyo Hivyo,huyu dokta anajibu kisiasa

  • @user-mp6iw8ph5j
    @user-mp6iw8ph5j 6 днів тому

    The church that compromise,so sad. Jesus is the head of the church (bridegroom) and the church being the bride, that's final. To ordain a woman as the head of the church is to practice homosexuality.
    Prof.is preaching a different gospel

  • @peterenos2627
    @peterenos2627 9 днів тому

    Apostle is not Missionary and vice versa

  • @user-ch8zc3bg9b
    @user-ch8zc3bg9b 23 дні тому

    Ameen🙏🙏

  • @bravebrain642
    @bravebrain642 17 днів тому +2

    Kama wanawake ni sawa na wanaume basi wapeni kuongoza familia zao, wanaume wawe chini.
    Kama kuhani anaweza kuwa mtu yeyote basi tuseme wachungaji, maaskofu nk siyo special
    Haya mafundisho yanaagenda ya feminism, imebaki kuwatetea mashoga ni swala la wakati....
    Mafundisho mabaya sana ..

    • @dicksonsambala7756
      @dicksonsambala7756 15 днів тому +1

      Maandiko yanapo sema Baba ni kichwa cha familia je? Haijatenganisha kabisa hadhi ya mwanamke na mwanaume kimajukumu. Be careful Dr.

  • @thenewhanangphotostudio6857
    @thenewhanangphotostudio6857 18 днів тому

    mi naamini yaliyoandikwa kwenye biblia yako straight forward kuyarekebisha kwa maneno matupu ni ngumu sana. Naamini kwa hekima, elimu na utafiti wa kibinadamu wako sahihi ndio maana tukija kibinadamu mashoga pia ni haki yao kupata wanacho kitaka maana miili yao wengine inahitaji hivyo. Mi naona kuna ugumu tusirahisishe tuendelee kumsihi MUNGU atupe kujua zaidi kusudi lake.

  • @Zeti-kf1bt
    @Zeti-kf1bt 16 днів тому

    Mwanamke hakubaliwi

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol 20 днів тому

    Bado wachanga hawa vijana Mungu ataendelea kuwanoa taratibu.

  • @user-mp6iw8ph5j
    @user-mp6iw8ph5j 6 днів тому

    ......Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri,na alaaniwe.....(Wagalatia 1:6-10)
    Pseudo Prof preaching a different gospel,twisting the gospel. Anawashawishi na kuwafurahisha wanadamu sio Mungu

  • @peterenos2627
    @peterenos2627 9 днів тому

    This is purely world teachings and not Godly doctrine.
    You are misleading the Bible doctrines.

  • @isaackusupa9635
    @isaackusupa9635 11 днів тому

    Herminutics anayoifundisha haiwelewi kabisa usitowe tafsiri zako ukaingiza ndani ya biblia

  • @isaackusupa9635
    @isaackusupa9635 11 днів тому

    Herminutics anayoifundisha haiwelewi kabisa usitowe tafsiri zako ukaingiza ndani ya biblia