Tunaomba na zama aje siku moja aongee sabbu wote wanaongea ila yeye hata siku moja hajawahi kuongea halafu wale marafiki zako wote wanaunda time wanakuwa wao marafiki pamoja katika haya maisha usihitaji marafiki sabbu hutusaliti
Ila Zamaradi ana tatizo mahali maana ukiangalia faiza nae hawaongei shamsaford nae pia hawaongei haya na Iline nae sasa na hawaongei kuna sehem zamarad anashid na hata Dina morios wa EFM nao wanaugomvi wa toka enzi za Ruge yupo hadi leo yule Dina aliamua kuaa nae mbali Zama kuna sehem anataz kwa wenzie hawa
@@cherylcheryl7694 unauwakika mo haonewi wivu?mtu anaweza kukuonea wivu kwakitu cha kijinga tu ije kuwa Zama🤣mbona Yuko vizuri tu kipesa utamlinganisha na wanuka mikojo😅😅mm ndio nimeona wivu sijui kwaupande wako naukumbuke kila mtu namaono yake upo
Fahar wawil hawaishi zizi moja yeye na zamarad wote nimageniuos lazima wapite njia mbili tofaut big up
Hata wamseme vipi Zamaradi but kwangu ni the best on I appreciate her
Am Tz 🇹🇿💋dunia ni mapito samehe usamehewe ❤🍭
Huyu Diva sio journalist...ethics za journalism hana....
Ni mchonganishi uyu mama
Yaani kabisaaa🤦🏽♀️ anatakiwa awe neutral akiwa anauliza maswali.
Irene Paul she's like angelina jollie I like her
Wanafanana sana
Never ever
Usilinganishe Joe na kuku was tandale
🤣🤣🤣🤣
@@puregamers4215 😆😆😆
Irene❤️❤️❤️
Irene unanivutia sana
Do you miss her? “No” duh hapo tatizo ni Zamaradi au tatizo ni hao marafiki zake,
Zama alivyokuwa clouds alikosana na wengi ata Dina marios
Umeongea vzr sana
Beautiful Irene....uko Real
Nampenda Sana huyu Irene
Nimpole
Zamarad atakuwa anamatatizo haiwezakan kila mtu anamkataa Irene sio mtu Wa media
Ata mimi nimewaza zama ana shida itakua Maana kila kati ya watu 5 wa 3 haongei nao kuna shida sehemu
Hapa ukichunguza sana zamaradi hapendagi azidiwe anapenda yeye ndio awe kinara watu anaokuwa nao wawe nyuma kama mkia ndicho anachotaka.
Unauhakika
Ewaaaaa kuna shidaa Kwa zama na inaonekana anapenda kunyenyekewa na kua juu ya wenzake
Hii inawezekana kabisa kwasababu kila mtu akimzidi kidg lazima wagombane 😢😢
Kwenye group lenu mmoja akuwa na mafanikio lazima aonewe wivu hao ni wivu unann ww muongo
Tunaomba na zama aje siku moja aongee sabbu wote wanaongea ila yeye hata siku moja hajawahi kuongea halafu wale marafiki zako wote wanaunda time wanakuwa wao marafiki pamoja katika haya maisha usihitaji marafiki sabbu hutusaliti
Wewe ndio muelewa 🥰🥰🥰💗 wengine kazi kufuata mkumbo na wote hakuna hata mmoja aliyewahi kusema wanachogombea
Ila Zamaradi ana tatizo mahali maana ukiangalia faiza nae hawaongei shamsaford nae pia hawaongei haya na Iline nae sasa na hawaongei kuna sehem zamarad anashid na hata Dina morios wa EFM nao wanaugomvi wa toka enzi za Ruge yupo hadi leo yule Dina aliamua kuaa nae mbali Zama kuna sehem anataz kwa wenzie hawa
Hata wema na ant ezekiel nae hawana urafiki naye ana jiskia sana zamaradi
Alivyokuwa Clouds si unajua alikuwa mke wa boss ,watu wengi alikosana nao kipindi hicho,Dina Mario's pia walikosana
Anasifa sana anajifanya kila kitu anajua na wanae kila kitu wanajua na wanaakili sana ndio shida
Lamdha ana kiburi,ama majibu
kuna shida kwa zama sio bure tu zaidi ya watu 5 hawaongei nae
Wivu una wasumbua
Munywere kama kichaa ujapendeza pia wabongo bwana mnajifanya wangeleza mnazidiwa na bongo zozo anapenda kiswahili
Zako zikoje ?
Zionyeshe basi tuzione,
May be utaonekana kama mwenzawazimu kabisaaa !
Kinge raha bana sema tu sikijui
Do u miss her? No
Huyo anayo onewa wivu mumemuona 🤨
Tumtu twembamba tunashida sana
Do you miss her?.
💓👌
Zama atakuwa na tatizo sehemu
Hata mi nimewaza hivyo atakuwa anamatatizo sana haiwezekani Kila mtu agombane nae kapewa sura mbaya mpk roho mtihan
Hata wema na ant ezekiel nae hawana urafiki naye ana jiskia sana zamaradi
Ila zamaradi ajichunguze haiwezekani hawa wote awe na ugomvi nao, kwanini?
Kwakweli ana shida yule dada sehemu
Huyu zamaradi naye anamatatizo yaan yeye kila mtu anaugomvi naye
Mh
💓👌
Utajiri haujifichi wivu wenu tuu Kwa Zama
Zama anautajiri gani wanamuonea wivu
@@jackyluns8224 wewe haujauwona
Mh utajili? Mbona haonewi wivu mo na baresa ama yeye anautajili wa kipekee
@@cherylcheryl7694 unauwakika mo haonewi wivu?mtu anaweza kukuonea wivu kwakitu cha kijinga tu ije kuwa Zama🤣mbona Yuko vizuri tu kipesa utamlinganisha na wanuka mikojo😅😅mm ndio nimeona wivu sijui kwaupande wako naukumbuke kila mtu namaono yake upo