EXCLUSIVE: KAJALA: Natamani Paula aje ku-Date na Mtu Sahihi/Mume wangu alitaka nibaki jela/Iliniuma

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 298

  • @mimiapa8436
    @mimiapa8436 4 роки тому +37

    Nampenda sana kajala yupo really anajielewa sio kama mikapuku mengine ya bongo movie huyo ndio beauty with brain banaa

  • @faithsamson368
    @faithsamson368 4 роки тому +39

    Hayo ndo maisha yanavyotakiwa kajala hongera kwakubadili mwenendo wa maisha yako ❤️❤️❤️❤️

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 роки тому +15

    I real love Kajala She's pretty and intelligent go girl God is there all the time never give up😍😘

  • @tupilikemwanyemba2853
    @tupilikemwanyemba2853 4 роки тому +31

    Nampenda sana huyu dada na mtoto wake.
    Yaan napendaga kujifunza kutoka kwake pia napenda life style yake.

  • @jacklinemjema1368
    @jacklinemjema1368 4 роки тому +42

    Awwwww kajala anaongea kiutu-uzima hadi raha, Mungu akuzidishie maisha marefu Kajala wetu! Zama ua the best💜

  • @boscoboscoboy3100
    @boscoboscoboy3100 4 роки тому +16

    Kama unajuwa amemwelewa kajala piga like hapa

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 4 роки тому +14

    Ipo siku na Mimi nitakuwa Boss. Hongera Kajala

  • @jescamassawe2519
    @jescamassawe2519 4 роки тому +47

    She inspires me much hard working woman

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 4 роки тому

      Mmmh .

    • @ejtjr2647
      @ejtjr2647 4 роки тому

      Hii chai mdangaji tu kama anavyomtrain mwanae

    • @luisemrema3301
      @luisemrema3301 4 роки тому

      nawapenda sana Paula na kajala

    • @emmanuelzao
      @emmanuelzao 4 роки тому

      Uliza kapitia mboo ngapi mpaka kufikia hayo maendeleo😎

  • @josephinepatrick6026
    @josephinepatrick6026 4 роки тому +12

    Hardworking woman @Kajalaa..💓💓🥂#Zamarad una hoji m2 vizurii hadii achokii jaman bigup 2 u✌🏽✌🏽

  • @marcellinmarcellin109
    @marcellinmarcellin109 3 роки тому +1

    Hatamimi nampenda sana kajala, zaidi sana filamu zake, uzuri na urembo wake....hongera sana na kazi njema.

  • @heriethkusigwa8469
    @heriethkusigwa8469 3 роки тому +5

    Nimerud hapa baada ya zile video 😥stay strong Mama Paula

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 роки тому +7

    Una upendo sana uvumilivu mungu huko nawa ubarikiwe wewe na family yako

  • @emylialyela4890
    @emylialyela4890 4 роки тому +10

    Kajala we mzuri usiwe unaweka zile nywele fupi hapo umependeza sn, hongera kwa biashara kubwa na nzuri

  • @asifiwekitunga4655
    @asifiwekitunga4655 3 роки тому +3

    Nakupendaga bure kajala you treat as matured

  • @rehemayona5807
    @rehemayona5807 4 роки тому +2

    Hongera sana kajala kwanza kwa kuacha pombe lakini pili kuwa mwanamke imara mpambanaji, keep it up, Mungu akujalie afya njema na uzima yele.

  • @marykimotho8919
    @marykimotho8919 3 роки тому +3

    Feelings of a mother is alive.uliona haya

  • @zabibumwilelo853
    @zabibumwilelo853 3 роки тому +3

    Mwambiye nampenda sana yani ni mwanamke anajiheshim nakujitambua yeye ninani then she’s not show off like other movie artist

  • @awatiffhassan5983
    @awatiffhassan5983 4 роки тому +8

    Zama unahoji vitu vya maana na vya kuinspire mashaAllah sio wengine kila siku sijui beyonce wa buza,gigi,na hawana projects zozote wanazoonesha....shout out to u kajala pia

  • @rosechizor
    @rosechizor Рік тому +1

    Dada zamarad rkebisha sauti ipo chini sana pia ongera❤🎉

  • @winiemmary968
    @winiemmary968 4 роки тому +30

    Mimi interview ya zamaradi kama mtu hajalia siangalii nataka nikisoma comment nione zama weka tissue mezani jamani 😂 😂 😂 😂 🙈

    • @catyedokigutu7366
      @catyedokigutu7366 4 роки тому

      Wewe kama mimi... Ukute hadi awepo studioni kwake

    • @roselazaro5631
      @roselazaro5631 4 роки тому

      Hongera kwa kwa kuacha pombe inarudisha maendeleo nyuma sana

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan1538 4 роки тому +11

    Kajala usijichubue Mbona we mzuri😘😘

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 роки тому +13

    Kajala she's so pretty🙌❤

  • @nurumanyota416
    @nurumanyota416 4 роки тому +3

    Hongera sana dada kajala office nzuri sana

  • @zuhuragwanko6318
    @zuhuragwanko6318 4 роки тому +3

    Akitoka Millard kwa kuhoji vizuri upande wa wanaume nazani wakike inafata zama yannnn yupo so smart sio maneno mengi anakua direct na kitu anachouliza waooh I do love her jmnnn🥰🥰

  • @joanitarita1568
    @joanitarita1568 4 роки тому +4

    She’s very beautiful and humble

  • @sarafinakadege3269
    @sarafinakadege3269 3 роки тому +3

    Nawapenda jamn zama na kajala

  • @veeJesus
    @veeJesus 4 роки тому +4

    Am inspired kajala uko vzr u're so politely my God give u strength

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 4 роки тому +16

    Hongera Sana mwanamke mwenzangu mungu akubariki daima, nawapenda kajala na bbygirl wetu

  • @nurumanyota416
    @nurumanyota416 4 роки тому +5

    Dada zamaradi na kupenda sana

  • @corandamisi9005
    @corandamisi9005 Рік тому

    Kajala❤❤ nakupenda kweli ntangu zamani ila leo pendo limeongezeka kwamaamuzi uliochukuwa kuacha pombe mungu akuwezeshe

  • @azizaosman6286
    @azizaosman6286 4 роки тому +4

    Nakupenda kajala mungu akujalie maisha marefu

  • @hanifahassan9138
    @hanifahassan9138 4 роки тому +5

    Mungu wa ajabu hongera kwa kuacha po oooooombe

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI 3 роки тому +7

    This interview forecasts everything happening today in Kajala's life. Her worst fears are confirmed, sadly

    • @ghalibally8252
      @ghalibally8252 3 роки тому +1

      Nimemuonea huruma😢

    • @kimzymamy6594
      @kimzymamy6594 3 роки тому +1

      duh😪

    • @hukuUJERUMANI
      @hukuUJERUMANI 3 роки тому

      @@ghalibally8252 kweli kabisa mimi pia tena zaidi. amewekeza sana kwa hali na mali kwa bintiye, ila binti mwenyewe kamponza

    • @hukuUJERUMANI
      @hukuUJERUMANI 3 роки тому

      @@kimzymamy6594 Inauma sana wallahy, amefanya kila jitihada ya kumlinda mtoto wake, ila inakaa wa moja ni wa moja tu, hata ukimpa mbili, moja bora ipotee tu #Paula

    • @kimzymamy6594
      @kimzymamy6594 3 роки тому +2

      @@hukuUJERUMANI kakangu mm mwenyewe nimeishiwa pozi lkn mungu yuko ni kweli walitaka kumkomoa dada wa watu pole snaa mam paula 😥🤲

  • @fei3668
    @fei3668 4 роки тому +9

    nalipenda hili lidada lizuri and bigup kwa kukua mam

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 4 роки тому +3

    Zamaradi you is the best😎

  • @lilyanmongi1946
    @lilyanmongi1946 4 роки тому +5

    Hongera zama na kajala interview nzuri ila kajala capital c kwa wasanii tuu watanzania wengi wanashindwa kufanya biashara kwa sababu ya capital.

    • @magiehermess9949
      @magiehermess9949 4 роки тому

      Kajala weusi wako mzuri jamani usijibadilishe rangi.

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 Рік тому +1

    Jamani namupendag kajala san💖💖🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮💋💋

  • @justineriziki8835
    @justineriziki8835 4 роки тому +3

    Mungu apewe sifa kiukweli kwakuacha pombe maana ma stars wato munasumbuliwa sana na hilo pepo la kunywa pombe. Mungu awaguse nawengine tusikiye ushuhuda.

  • @sarahmwakilasa3989
    @sarahmwakilasa3989 4 роки тому +4

    Hongera kajala unajielewa sana dear.

  • @marthajaden3555
    @marthajaden3555 Рік тому +1

    Kajala mpole sana sema mitandao inamponza nampenda sana

  • @evagervas7900
    @evagervas7900 4 роки тому +2

    Nampenda. Kajara hafek maisha nampenda sanaaaaaaa

  • @catherinehassan5174
    @catherinehassan5174 4 роки тому +7

    Nzuri sana nampenda pia sema siku nyingine atueleze kisa chote na jinsi alivyoweza kutoka jela .Asante Zamaradi show zuri.

    • @mimubby8892
      @mimubby8892 4 роки тому

      Alitolewa na wema kwa Pesa lkn alikuwa afungwe miaka 7jela

    • @bellacaramella2196
      @bellacaramella2196 4 роки тому

      Alikuaga amefungwa kwa kosa gani dear

  • @hiki242
    @hiki242 Рік тому +1

    Nakupenda kajara maisha unayo ishi binty yako

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 4 роки тому +10

    Uyu dada anaakil Sana ya utafutaji,nakukubal kajala ata mm nmejifunza kutoka kwako soon nitafungua yang mng akipenda

  • @neemamticy6667
    @neemamticy6667 4 роки тому +11

    Waoooh such an incredible person with high vision ....God bless you kajala😘😘

  • @catherinekasege6503
    @catherinekasege6503 4 роки тому +4

    Hongera kajala

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 4 роки тому +10

    Congratulations Kajala

  • @anabmahmoud9072
    @anabmahmoud9072 4 роки тому +6

    Interview nzuri na sauti ni nzuri sana .big up kajala sauti Leo inasikika vzr

  • @umarsaid9912
    @umarsaid9912 4 роки тому +6

    Mashallah Mzuri Mama paula

  • @justineriziki8835
    @justineriziki8835 4 роки тому +5

    Mungu akuepushiye usirudi tena huko.

  • @babymai7211
    @babymai7211 4 роки тому +3

    Hongera zako kajala mungu akupe unalo lihitaji ameen inshaallah 🤲

    • @NdanoIsmaill-vo9ym
      @NdanoIsmaill-vo9ym Рік тому

      Hongera Na MUNGU AKUBARIKI kajala Kwa kuacha pombe na kusimama katka KAZI zako Insha,Allah 🙏 MUNGU AKUSIMAMIE

  • @kondoayetu5503
    @kondoayetu5503 4 роки тому +5

    Nice interview

  • @munisomiraji9879
    @munisomiraji9879 4 роки тому +4

    Nice Interview 👍 hongereni Wanawake wa Nguvu

  • @zuwenaalhaji8238
    @zuwenaalhaji8238 4 роки тому +6

    Hongera npe kibarua cha kufanya usafi 😘😘😘👌

  • @felizbonbonface8275
    @felizbonbonface8275 4 роки тому +3

    Waoo nice iko day nitafka hapo ulipo kajala

  • @wardmohamood5845
    @wardmohamood5845 2 роки тому +1

    Vile nampend kajala ' Mwanae paul😍 😍

  • @getrudakulaya5495
    @getrudakulaya5495 4 роки тому +6

    Da zama unapenda kutafuta watu machozi🤣🤣 sema unajua

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 Рік тому

    mungu akuzidishie

  • @marthadali2660
    @marthadali2660 3 роки тому +1

    Kajala is so pretty 🇰🇪

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi7756 4 роки тому +5

    Kajala nakupenda Sana my sister

  • @Juddy1017
    @Juddy1017 4 роки тому +10

    Very good conversation, very clever ladies

    • @mugishalahay6050
      @mugishalahay6050 4 роки тому

      Tuongee ukweli wasani sijui namatakwa yao ao hawaolewagi na wakiolewa basi ni kwaka 1 wala myaka 2 na akiza katoto kamoja nanjo basi

  • @maryemmanuel6764
    @maryemmanuel6764 4 роки тому +4

    Zama sijawahi jutia MB zangu kwenye interview zako

  • @mayaahmkunga8738
    @mayaahmkunga8738 4 роки тому +3

    Nami napenda sanaa

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 роки тому +5

    Mashallah, hongera sana kuwa mama bora

  • @serahrobath7685
    @serahrobath7685 2 роки тому

    Kuna kitu nimejifunza kupitia wewe,hongera sana

  • @HaroubAbdalla-fh6dh
    @HaroubAbdalla-fh6dh Рік тому

    Tukumbukeee hiii jmn tumempenda kajalaa tuendlee kumpndaa nakupndaa sna ni2023 bad naftlya ya nyuma

  • @elinapouljensen9244
    @elinapouljensen9244 2 роки тому

    Umepitia mengi umestruggle a lot na umeweza kusimama Hongera Sana sbb sio rahisi mungu akuzidishie, na wanaokuongelea vibaya wayaseme na yao kama wanaweza

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta2578 4 роки тому +4

    Hongera sana Kajala 😘

  • @everinemichael7457
    @everinemichael7457 4 роки тому +3

    Kajala kapendeza sana😍

  • @juhudiacademy2170
    @juhudiacademy2170 4 роки тому +3

    Congratulations Kajala along with Zamaradi

  • @winfridamdaki5699
    @winfridamdaki5699 4 роки тому +3

    Hongera Dada

  • @jacintasolonka2885
    @jacintasolonka2885 4 роки тому +1

    Okoka my sister..

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 4 роки тому +3

    Kajala nakupenda sana

  • @enockkabango8564
    @enockkabango8564 Рік тому

    Kabisa. kajala uko naakili mutu mwenye anakata mutoto Uwo si mama

  • @neemalazaro985
    @neemalazaro985 3 роки тому +1

    zama unajua sana kuhoji

  • @pinahoscar6735
    @pinahoscar6735 4 роки тому +2

    Kajala nakupenda dha! Zamaradi mpz safi sana bonge la interview

  • @barkembarak9270
    @barkembarak9270 4 роки тому +5

    U are really my dear

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 4 роки тому +3

    I love you kajala

  • @faizaabdalla5759
    @faizaabdalla5759 4 роки тому +1

    Interview nzuri Sana. Lakini hatukujua Kajala alifungwa jela kwa sababu gani.

  • @lovenesslucas9496
    @lovenesslucas9496 4 роки тому +1

    So beauty mamy

  • @aminachingwalu2850
    @aminachingwalu2850 4 роки тому +3

    da zamaradi we nimstarabu Sana onaonekana unahekima mungu akulinde

  • @ndaganoanastazia2658
    @ndaganoanastazia2658 4 роки тому +6

    Da zamaradi mmeongea vizuri sana wewe na kajala ila swali muhimu sana hujauliza.... alivyo tolewa gerezani na WEMA SEPETU ..... tatoo yake ya wema.... yama ni matangazo tu ya byashara zake na blablablaaaa..... wengi hatuja furai kwa kweli na tujuane jamani.... but ilikua poa.....🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪

    • @angelkimaro9851
      @angelkimaro9851 4 роки тому +1

      yan mm pia nilitaman kujua hilo kwann walihitilafiana

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 роки тому +1

      Mbona alishaisema kipindi chanyuma kwamba hajafuta anayo

    • @ndaganoanastazia2658
      @ndaganoanastazia2658 4 роки тому

      @@m.mmarckus6298 but kipindi cha nyuma ndia....anaweza badilisha mawazo ....lol....

  • @wairimumosha9655
    @wairimumosha9655 4 роки тому +3

    I love her💞💞💞

  • @imelda6495
    @imelda6495 Рік тому

    Nakupenda sana..lakin napenda zaid ukiwa na konde

  • @fatmakiruwasha2378
    @fatmakiruwasha2378 4 роки тому +2

    Nampenda sana kajala

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 роки тому +3

    Kaz nzr mama paula

  • @wendyeliezer6419
    @wendyeliezer6419 4 роки тому +3

    Hongera sana

  • @nasramasimba3532
    @nasramasimba3532 4 роки тому +3

    plz tuletee wema zama we miss her alot....

  • @kibibisherrysherry5660
    @kibibisherrysherry5660 4 роки тому +2

    Kajala kama uliwacha tembo swadakta kbsa👌

  • @annapanga8627
    @annapanga8627 4 роки тому +1

    Umenifunza kajala

  • @bijouxnicky5060
    @bijouxnicky5060 Рік тому

    Liception ndo nini ??

  • @chimwanakasanda3952
    @chimwanakasanda3952 4 роки тому +4

    Yaani ukinyoa unapendeza zaidi

  • @supaCinema1
    @supaCinema1 Рік тому

    Kajala radisha nywele❤

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 4 роки тому +1

    Ongera shogaangu upo vizuri

  • @sophiejosephat9806
    @sophiejosephat9806 4 роки тому +7

    dada ana akili uyuu

  • @effiekirui4312
    @effiekirui4312 4 роки тому +2

    Nakupenda Sana kajala mwanamke mpambanaji hongera

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 роки тому +2

    Zamarad ur the best

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Рік тому

    Ukiangalia nyuma alikuwa mwanamke wa maana tu lkn sasa hivi yupo na kukatika hovyo na watoto wadogo ht aibu haoni anaudhi sana tabia yake yaani amebadiĺika Kajala

  • @baenimuhimafabrice
    @baenimuhimafabrice 3 роки тому

    Kajala kwa ukweli hata watu wa ongee vibaya kwaajili ya ya Paula ila tambuwa kama plan yetu Sisi ni kuja kumuowa

  • @janethkilonzi4260
    @janethkilonzi4260 4 роки тому +20

    Kajala anafanana na bahat bukuku sijui ni macho yangu?