Zama unahoji vitu vya maana na vya kuinspire mashaAllah sio wengine kila siku sijui beyonce wa buza,gigi,na hawana projects zozote wanazoonesha....shout out to u kajala pia
Akitoka Millard kwa kuhoji vizuri upande wa wanaume nazani wakike inafata zama yannnn yupo so smart sio maneno mengi anakua direct na kitu anachouliza waooh I do love her jmnnn🥰🥰
@@kimzymamy6594 Inauma sana wallahy, amefanya kila jitihada ya kumlinda mtoto wake, ila inakaa wa moja ni wa moja tu, hata ukimpa mbili, moja bora ipotee tu #Paula
Mungu apewe sifa kiukweli kwakuacha pombe maana ma stars wato munasumbuliwa sana na hilo pepo la kunywa pombe. Mungu awaguse nawengine tusikiye ushuhuda.
Umepitia mengi umestruggle a lot na umeweza kusimama Hongera Sana sbb sio rahisi mungu akuzidishie, na wanaokuongelea vibaya wayaseme na yao kama wanaweza
Da zamaradi mmeongea vizuri sana wewe na kajala ila swali muhimu sana hujauliza.... alivyo tolewa gerezani na WEMA SEPETU ..... tatoo yake ya wema.... yama ni matangazo tu ya byashara zake na blablablaaaa..... wengi hatuja furai kwa kweli na tujuane jamani.... but ilikua poa.....🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪
Ukiangalia nyuma alikuwa mwanamke wa maana tu lkn sasa hivi yupo na kukatika hovyo na watoto wadogo ht aibu haoni anaudhi sana tabia yake yaani amebadiĺika Kajala
Nampenda sana kajala yupo really anajielewa sio kama mikapuku mengine ya bongo movie huyo ndio beauty with brain banaa
Hayo ndo maisha yanavyotakiwa kajala hongera kwakubadili mwenendo wa maisha yako ❤️❤️❤️❤️
I real love Kajala She's pretty and intelligent go girl God is there all the time never give up😍😘
Nampenda sana huyu dada na mtoto wake.
Yaan napendaga kujifunza kutoka kwake pia napenda life style yake.
Awwwww kajala anaongea kiutu-uzima hadi raha, Mungu akuzidishie maisha marefu Kajala wetu! Zama ua the best💜
Kama unajuwa amemwelewa kajala piga like hapa
Ipo siku na Mimi nitakuwa Boss. Hongera Kajala
She inspires me much hard working woman
Mmmh .
Hii chai mdangaji tu kama anavyomtrain mwanae
nawapenda sana Paula na kajala
Uliza kapitia mboo ngapi mpaka kufikia hayo maendeleo😎
Hardworking woman @Kajalaa..💓💓🥂#Zamarad una hoji m2 vizurii hadii achokii jaman bigup 2 u✌🏽✌🏽
Hatamimi nampenda sana kajala, zaidi sana filamu zake, uzuri na urembo wake....hongera sana na kazi njema.
Nimerud hapa baada ya zile video 😥stay strong Mama Paula
Una upendo sana uvumilivu mungu huko nawa ubarikiwe wewe na family yako
Kajala we mzuri usiwe unaweka zile nywele fupi hapo umependeza sn, hongera kwa biashara kubwa na nzuri
Nakupendaga bure kajala you treat as matured
Hongera sana kajala kwanza kwa kuacha pombe lakini pili kuwa mwanamke imara mpambanaji, keep it up, Mungu akujalie afya njema na uzima yele.
Feelings of a mother is alive.uliona haya
Mwambiye nampenda sana yani ni mwanamke anajiheshim nakujitambua yeye ninani then she’s not show off like other movie artist
Zama unahoji vitu vya maana na vya kuinspire mashaAllah sio wengine kila siku sijui beyonce wa buza,gigi,na hawana projects zozote wanazoonesha....shout out to u kajala pia
🤣🤣🤣🤣
hahahaha
Dada zamarad rkebisha sauti ipo chini sana pia ongera❤🎉
Mimi interview ya zamaradi kama mtu hajalia siangalii nataka nikisoma comment nione zama weka tissue mezani jamani 😂 😂 😂 😂 🙈
Wewe kama mimi... Ukute hadi awepo studioni kwake
Hongera kwa kwa kuacha pombe inarudisha maendeleo nyuma sana
Kajala usijichubue Mbona we mzuri😘😘
Kajala she's so pretty🙌❤
Munira Ahmed aise munira kila kona upo mh
Mungu akujaalie jmn we dada kajala nakupendaga sana nimim zulfa
Hongera sana dada kajala office nzuri sana
Akitoka Millard kwa kuhoji vizuri upande wa wanaume nazani wakike inafata zama yannnn yupo so smart sio maneno mengi anakua direct na kitu anachouliza waooh I do love her jmnnn🥰🥰
She’s very beautiful and humble
Nawapenda jamn zama na kajala
Am inspired kajala uko vzr u're so politely my God give u strength
Hongera Sana mwanamke mwenzangu mungu akubariki daima, nawapenda kajala na bbygirl wetu
Dada zamaradi na kupenda sana
Kajala❤❤ nakupenda kweli ntangu zamani ila leo pendo limeongezeka kwamaamuzi uliochukuwa kuacha pombe mungu akuwezeshe
Nakupenda kajala mungu akujalie maisha marefu
Mungu wa ajabu hongera kwa kuacha po oooooombe
This interview forecasts everything happening today in Kajala's life. Her worst fears are confirmed, sadly
Nimemuonea huruma😢
duh😪
@@ghalibally8252 kweli kabisa mimi pia tena zaidi. amewekeza sana kwa hali na mali kwa bintiye, ila binti mwenyewe kamponza
@@kimzymamy6594 Inauma sana wallahy, amefanya kila jitihada ya kumlinda mtoto wake, ila inakaa wa moja ni wa moja tu, hata ukimpa mbili, moja bora ipotee tu #Paula
@@hukuUJERUMANI kakangu mm mwenyewe nimeishiwa pozi lkn mungu yuko ni kweli walitaka kumkomoa dada wa watu pole snaa mam paula 😥🤲
nalipenda hili lidada lizuri and bigup kwa kukua mam
Zamaradi you is the best😎
Hongera zama na kajala interview nzuri ila kajala capital c kwa wasanii tuu watanzania wengi wanashindwa kufanya biashara kwa sababu ya capital.
Kajala weusi wako mzuri jamani usijibadilishe rangi.
Jamani namupendag kajala san💖💖🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮💋💋
Mungu apewe sifa kiukweli kwakuacha pombe maana ma stars wato munasumbuliwa sana na hilo pepo la kunywa pombe. Mungu awaguse nawengine tusikiye ushuhuda.
Hongera kajala unajielewa sana dear.
Kajala mpole sana sema mitandao inamponza nampenda sana
Nampenda. Kajara hafek maisha nampenda sanaaaaaaa
Nzuri sana nampenda pia sema siku nyingine atueleze kisa chote na jinsi alivyoweza kutoka jela .Asante Zamaradi show zuri.
Alitolewa na wema kwa Pesa lkn alikuwa afungwe miaka 7jela
Alikuaga amefungwa kwa kosa gani dear
Nakupenda kajara maisha unayo ishi binty yako
Uyu dada anaakil Sana ya utafutaji,nakukubal kajala ata mm nmejifunza kutoka kwako soon nitafungua yang mng akipenda
Amiin🙏🏼😍
Waoooh such an incredible person with high vision ....God bless you kajala😘😘
Hongera kajala
Congratulations Kajala
Interview nzuri na sauti ni nzuri sana .big up kajala sauti Leo inasikika vzr
Ila miziwadumu
Mashallah Mzuri Mama paula
Mungu akuepushiye usirudi tena huko.
Hongera zako kajala mungu akupe unalo lihitaji ameen inshaallah 🤲
Hongera Na MUNGU AKUBARIKI kajala Kwa kuacha pombe na kusimama katka KAZI zako Insha,Allah 🙏 MUNGU AKUSIMAMIE
Nice interview
Nice Interview 👍 hongereni Wanawake wa Nguvu
Hongera npe kibarua cha kufanya usafi 😘😘😘👌
Waoo nice iko day nitafka hapo ulipo kajala
Vile nampend kajala ' Mwanae paul😍 😍
Da zama unapenda kutafuta watu machozi🤣🤣 sema unajua
mungu akuzidishie
Kajala is so pretty 🇰🇪
Kajala nakupenda Sana my sister
Very good conversation, very clever ladies
Tuongee ukweli wasani sijui namatakwa yao ao hawaolewagi na wakiolewa basi ni kwaka 1 wala myaka 2 na akiza katoto kamoja nanjo basi
Zama sijawahi jutia MB zangu kwenye interview zako
Nami napenda sanaa
Mashallah, hongera sana kuwa mama bora
Kuna kitu nimejifunza kupitia wewe,hongera sana
Tukumbukeee hiii jmn tumempenda kajalaa tuendlee kumpndaa nakupndaa sna ni2023 bad naftlya ya nyuma
Umepitia mengi umestruggle a lot na umeweza kusimama Hongera Sana sbb sio rahisi mungu akuzidishie, na wanaokuongelea vibaya wayaseme na yao kama wanaweza
Hongera sana Kajala 😘
Kajala kapendeza sana😍
Congratulations Kajala along with Zamaradi
Hongera Dada
Okoka my sister..
Kajala nakupenda sana
Kabisa. kajala uko naakili mutu mwenye anakata mutoto Uwo si mama
zama unajua sana kuhoji
Kajala nakupenda dha! Zamaradi mpz safi sana bonge la interview
U are really my dear
I love you kajala
Interview nzuri Sana. Lakini hatukujua Kajala alifungwa jela kwa sababu gani.
Dhuluma km ckosei
So beauty mamy
da zamaradi we nimstarabu Sana onaonekana unahekima mungu akulinde
Da zamaradi mmeongea vizuri sana wewe na kajala ila swali muhimu sana hujauliza.... alivyo tolewa gerezani na WEMA SEPETU ..... tatoo yake ya wema.... yama ni matangazo tu ya byashara zake na blablablaaaa..... wengi hatuja furai kwa kweli na tujuane jamani.... but ilikua poa.....🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪
yan mm pia nilitaman kujua hilo kwann walihitilafiana
Mbona alishaisema kipindi chanyuma kwamba hajafuta anayo
@@m.mmarckus6298 but kipindi cha nyuma ndia....anaweza badilisha mawazo ....lol....
I love her💞💞💞
Nakupenda sana..lakin napenda zaid ukiwa na konde
Nampenda sana kajala
Kaz nzr mama paula
Hongera sana
plz tuletee wema zama we miss her alot....
Kajala kama uliwacha tembo swadakta kbsa👌
Umenifunza kajala
Liception ndo nini ??
Yaani ukinyoa unapendeza zaidi
Kajala radisha nywele❤
Ongera shogaangu upo vizuri
dada ana akili uyuu
Nakupenda Sana kajala mwanamke mpambanaji hongera
Zamarad ur the best
Ukiangalia nyuma alikuwa mwanamke wa maana tu lkn sasa hivi yupo na kukatika hovyo na watoto wadogo ht aibu haoni anaudhi sana tabia yake yaani amebadiĺika Kajala
Kajala kwa ukweli hata watu wa ongee vibaya kwaajili ya ya Paula ila tambuwa kama plan yetu Sisi ni kuja kumuowa
Kajala anafanana na bahat bukuku sijui ni macho yangu?
Ni kweli wanafanana sana
Kwel kabisa sikufuatilia imebid nimchunguze