Jealousy kills!! he's not showing you plzzzzzzzzzzz!!! you've just felt it important to follow n watch everything about him! He's got it all!If i were you,i would have just ask myself how he did it to be where he is today but not talk jealously!! Let's learn to appreciate others when they make it not call everything pride.
Daimondi I would like to advise you that you should bay a two big motorcycle to your bodyguard so they can protect you side by side sometime when you are driving your car. 👌🏾🙏❤️🥰
Ni sawa tu kuwa na magari, ya kifahari majumba ya kifahari. Ila hizo zote ni mapambo ya hapa hapa Duniana. Hishu kubwa na fahari kubwa nikumuogopa Mwenyezi Mungu na kuijenga nafsi ili akutengenezee Janatu Firdaus.
Hakuna ki2 kizur katika maisha yako ukawa na ndoto kubwa sana na ukakakamilisha ndoto yako kwakweli vijana tufanye kanye kaz kila k2 kinawezekana hongera sana Diamond wabongo tupunguze chuki diamond amewazid xana tena xana
Alafu daimond akili yake ninavyo ifahamu mimi kwa upeo wangu Akijua unakelekwa Basi jua ndio atakukela zaidi hahaaaa sio mtu mzuri uyu namkubali sana MATUKIO YAKE
Magari ya watu hayo ya kukodi kwenye shoruumu! Hakuna mtu anaeweza kutembea na gari mwezi hata mmoja bila usajiri! Na hio sio tanzania tu, ni duniani kote, Hizo gari diamondi huwa anazikodi shoruumu na kuomba kibali cha muda polisi ili azugie! Nadhani wengi mnatembea sana tu na mnaelewa, Hizo gari kama ni za kwake ni mwaka sasa! Mwambie aonyeshe pleti namba!
Mbona hayo magari mnayosema ni ya kifahari hayana vibao vya namba? au mkimalizia show mnayarudisha dukani? Sheria zetu Zina semaje kuhusu kuendesha gari barabarani bila ya kuwa na "registration number "
Mtangazi muongo kwa mfano kataja “location ya masaki” while sio thn akasema “Diamond yupo ndani ya Escalade” while yupo ndani ya rolls royce. Lastly aifanyie kazi pronunciation yke
Mara paaap BODABODA kachubua Rolls-Royce
Huyo bodaboda ashindwe na alegee!
@@subirajohn728 mmmh
Tobaaa.. 😂 😂 mchawi wewe
Gari za bei mbaya huwa azichubuliwi
Safi sanah 🌟🦁💫
Jaman tufanye kazi kwa bidii afu tuombe mungu atujaalie mana daaaah si mchezo pia vijana tusikate tamaa! Pia tusikubal kukatshwa tamaa!
Kutimiza ndoto kuna raha yake jaman. Hongera bro
Mimi mshabiki wako mkubwa sana nakukubali sana Diamond nakuombea sana kwa mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na mafanikio zaidi ya hapo❤️❤️
Neematullah,ALLAH akuongezee zaidi huna roho yakukunja
#diamond
#wcb 4life
#NLM
#IYO 🎶
Generale dangote, Simba bin raden....
ALLAH akubariki
ALLAHUMMA amin🙏
Hamna kitu apo ayo n mapambo ya dunia kajipangaje n akhera
Amina
@@patimabilali7820 tunajua niyampito! rakini kufurahi sio dhambi.Allah kaumba dunia na viliomo kwajili yetu binadamu.M/mungu akikuruzuku ukafurahi sio dhambi
Maskin tupunguze husda ndomana atufanikiwi ebwana mondi fulai ndugu ata ningekuwa mm ningefulai
Kabisa
Nikwel kabsa
Waelezeeeeee
This life is not about pride .. yesterday he didn't have and no one cared,today he has and that's why he has to tell us everything is possible
Nimekupenda
🙏 Amen
@@salmamganga6584 nashukuru
Jealousy kills!! he's not showing you plzzzzzzzzzzz!!! you've just felt it important to follow n watch everything about him! He's got it all!If i were you,i would have just ask myself how he did it to be where he is today but not talk jealously!! Let's learn to appreciate others when they make it not call everything pride.
Did said salim bakressa do that or he has no money?
Huyu jamaaa mnyama kwa kweli 🦁🦁🦁🦁🦁💯
Kuna watu roho zinawauma hapo ... Big up mond
Na wao wajiunge free nation tu..majuto mjukuu
Wenye wivu Sasa wajinyongeee!!SIMBA SIYO PAKAAAA!!!BIDII YAKE HIYO!! Always proud of this African 🦁🦁 PLATINUMZ you're the best wapende wasipendeee
Mashallah mwenyezi mungu akuzidishiye zaidi na zaidi ameen🥰
Vijana wenzangu tumuombe sana mungu, kama kusoma tusome kwa bidii na tufanye kazi kwa bidii na tusiwachukie waliofanikiwa
Wenye roho za kitu Bado waseme ni ushamba...washamba ni wao ..Simba Fanya kwa Raha zako
Ushamba tupu yan bado bado wasanii wetu awakui umaalufu wake tu unatosha ASA magali kama ndo nin anapambana na hamo ndo ushamba
Anapiga misele jaman ,,,,
Magari si yake
@@humphreynduye7573 ni za baba yako? Au zako? Fanya kazi kwa nguvu na wewe utapata na kuna watu wa roho chafu kama wewe hawata amini ni vyako
Ulimbukeni kuna watu wana miwe wametulia
Ni ushamba kweli
Hizi ndo Kiki ambazo mburukutu hawatoweza iga kirahisi rahisi labda tu wakaazime kwa mondi .Much Respect kwa Mtoto wa Tandale
Platinum umetisha Brother.!
Daah! Sijui hawa akina H-Mama sura zao watazificha wapi 🤣🤣🤣
Uyo mpuuuzi mwenye boda anajipitisha kando ya hiyo gari wacha aichubue halafu ajue maaana ya RR
🤣🤣🤣🤣
😃😃😃😃😃
😂😂😂😂
Tutamyooosha wewe heee asichubue gari ya boss wetu
🤣🤣unaonekan una asila🤣🤣
Half kuna watu wanadai ni feki kwan haya magari wachina wameshea kuunda au😆😃
Nakubaliiii, kiwasheeeeeeee
Kama umesikia harmonize chupi tuu tipia like hpa
Mash,Allah mungu akuzidishie vyahalali amn
Aisee sasa sisi maskin dunian shida na mbingu tunsikosa Mungu akulinde sima
Hapo sasa simba watakoma huu mwaka niwetu bado private jet tuwazime kabisa WCB for life more love from Doha Qatar 💖💖🇶🇦🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kwa Mara ya kwanza naiona gari kari naomben japo like zangu
Mashaallh mungu akuzindishie amiin
Nimesikia harmonize mfupi tu😂😂😂😂
Ila watu
Hahahah
Jamani huyu mtoto haweze kani
Jamani fanyeni kazi kwa bidiii, hongera sana 🎊 mondi
Diamond kwenye uborawake 💎💎💎💎❤❤❤💪💪💪🙏🙏🙏🇹🇿🇺🇸🇺🇸🇺🇸
SIO SIFA ILA NI KUONYESHA VIJANA UKITAKA KUTAFUTA UTAPATA MUHIMU NI MALENGO,TUTAFUTE PESA NA SI MAJUNGU
We umepata
Vzr una akili sana
Nimependa iyo Kwa kweli luu
Daimondi I would like to advise you that you should bay a two big motorcycle to your bodyguard so they can protect you side by side sometime when you are driving your car. 👌🏾🙏❤️🥰
Simba wa ukweli🥲🤑🤗....hongera platinumz
These cars with those Africa roads🤔🤔🤔🤔🤔🤔
SUVs
Minshar hasidin idha hasad
Nakubali boss wetu diamond sasa wanafiki waongee sasa kina Hbaba na mwijaku
Escarade ndani ina taa kwa ajili ya kupunguza mawazo hatari ...
Et taa ya kupunguza Mawazo😂😂😂😂
Diamond naomba unipe mie like gari ya zamani
Ungetenga muda wakushukuru mungu kuliko kuwaonyesha binadamu ungekuwa nazo tu wala hakuna shida ila ongera uko vizuri kijana umepewa na muumba wako
Big up mond...mwiteni mwijaku jamen 😁
Hyo ndo matumiz ya Pesa !! Ukizpata fanya kwel 🙏🏼,sio kukalia maneno ya h.baba na mwijaku 😜😜😜!!
Hata kazi jameni wengine wanatembea kwenye gari we wakimbizana nagari kwa miguu mondi anazarau sana jameni
Chuma zinatembea bila plate namba anii 🙌🙌 pesa nomaa
Hiyo ndo kz kijana
Bingo mnatisha kwa kazi nzuri
This show off is on another level nkt
Excellent 100%✓
Enjoy mondi, pesa yako mweyewe, why not, hongera sana, 🚘💎🎊💪👍👏👏👏👏
Baraza litengeneze bendera yao wampatie mond kokote anakoenda aweke kwa gar yake! Kaufanya mziki uende mbali sanaaaaa! He is talented man
Tufanye sana kaz wanetu wasifany kazi ya kukimbiza roll royce ya boss isichubuliwe na bodaboda
Mnyama mnyama kweli achana na wapika majugu
Barabara zenyewe ziko wapi za kuendeshea hayo magari
Wow! The guy has money
Ni sawa tu kuwa na magari, ya kifahari majumba ya kifahari. Ila hizo zote ni mapambo ya hapa hapa Duniana. Hishu kubwa na fahari kubwa nikumuogopa Mwenyezi Mungu na kuijenga nafsi ili akutengenezee Janatu Firdaus.
This is SIMBAAA brother
The cars seems to have no number plates 🙄🙄🙄
Lazima wanyooke shenz type 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna ki2 kizur katika maisha yako ukawa na ndoto kubwa sana na ukakakamilisha ndoto yako kwakweli vijana tufanye kanye kaz kila k2 kinawezekana hongera sana Diamond wabongo tupunguze chuki diamond amewazid xana tena xana
Nomasana chibu🦁🦁👍
Big up?
Big up?
Naomba tu mchango wa wheelbarrow ya kubeba maji , kichwa kime Choka kubeba na Nina toa mbali maji yenyewe
Kwel simba gar ata nmba hazina na unatembea road
Unazid kunipa nguvu ya kufanya Kaz usiku na mchana. Majungu pemben sasa
sasa PLATNUMZ anaenda wap na foleni ya DSM 😁😁😁
Furaha ndugu yangu hata ningekuwa Mimi ningefanya zaidi ya hivi wabaya wangu wote waungue
Ushamba tu 😤😏
Respect to this guy
Alafu daimond akili yake ninavyo ifahamu mimi kwa upeo wangu Akijua unakelekwa Basi jua ndio atakukela zaidi hahaaaa sio mtu mzuri uyu namkubali sana MATUKIO YAKE
Mwijaku sema Sasa Domo kubwa H.MANYAU SEMA NA WEWE FARA ACHA SIMBA AITWE SIMBA
Siku moja nitaendesha Cadillac
Simbaaa baba lao
Kikukuu Baba lao
Watanyooka tu
😂
Brother big up
Is this Ginimbi?
MOD 🤝🤝🤝🇹🇿🔥🔥
Yani uje nakigar chako ugonge hiyo RR tunakiuza kwanza ili tupate hela yakufungulia jalada
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@zuberiismail2972 hhahahhaaaa
Magari ya watu hayo ya kukodi kwenye shoruumu! Hakuna mtu anaeweza kutembea na gari mwezi hata mmoja bila usajiri! Na hio sio tanzania tu, ni duniani kote, Hizo gari diamondi huwa anazikodi shoruumu na kuomba kibali cha muda polisi ili azugie! Nadhani wengi mnatembea sana tu na mnaelewa, Hizo gari kama ni za kwake ni mwaka sasa! Mwambie aonyeshe pleti namba!
Tunyoshe akiri zitukaye sawa
Arisistoteeeeeeee mamnyenyoooo 1k likes
Mbona hayo magari mnayosema ni ya kifahari hayana vibao vya namba? au mkimalizia show mnayarudisha dukani?
Sheria zetu Zina semaje kuhusu kuendesha gari barabarani bila ya kuwa na "registration number "
Alafu mjiulize kwanini zo gari hajaziwekea plate number?
Hamna haja, gari yenyewe inatosha kuwa kitambulisho bila namba.
Ushamba Mwingine Ni hatari sana. Mambo ya kukulia Mbagala hata mtu azeeke au awe na pesa still Ushamba hautoki.
kweli wabongo washamba jaman daa
Convoy imeshinda ya mama samia kwa umbali sana
Da! mwamba anajeuri Kwa kweli
🤣🤣🤣
Kumbe na ww umeona
Wanyooshe simbaa iyo iyo
Diamond platnumz kwakweli sasa yupo mjini Ameni swahili nation
Pamoja simba never give up
Matakoma watanzania Mondi ndio anawaweza
Simbaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥
Hili ni tatizo kubwa sana, sasa sijui ni ulimbukeni, Ushamba au jeuri?
Jaman s2kizzy yuko mbele
RR Mimi sijuii kwann sipend Kama Escalade
Mtangazi muongo kwa mfano kataja “location ya masaki” while sio thn akasema “Diamond yupo ndani ya Escalade” while yupo ndani ya rolls royce. Lastly aifanyie kazi pronunciation yke
Shida iko wp au wivu tu c ushaelewa yupo kweny rolls msenge nn
Wivuuu tuu
Ulimi hauna mfupa ndo mana hata ww umetuandkia pronunciation axa cjui ndo kirundi .🤣🤣🤣
Mwamba bishoo kinyama namkubali saaana
Mkali wao, Simba 🦁
Kula maisha mwanangu umehangaika sana nani asie jua watu wamekutukana sana kiukweli NAKUPENDA TUU SIJALI MATUSI YAO WANAFKI
#mwijaku hapo veepe? Mbona hutembei uchi?
Shida mnapita njia za washua njooni uku tandale
Safi Sana dogo akina mwinjaku walikuwa hawaamini na walikuwa Wana diss mpaka plate namba pumbavu zao mtu anamiliki mark X anamdiss mond
Mondi umetisha
Mashaallah waminsharin hasad
Duh kapita nyumbani lakini sijamuona
Mbona magari yake hayana plate namba
Tambaa Simbaa wasikupangie maishaa
Weeeh kweli....pesa ni tamu sana