GARI LA KIFAHARI PALM VILLAGE, LIKO MOJA TU EAST AFRICA, LINAUZWA MILIONI 400+, MMLIKI AFUNGUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 671

  • @johnkyara8655
    @johnkyara8655 Рік тому +53

    This guy he very smart The way he is talking is show respect

  • @athanaswilliam6940
    @athanaswilliam6940 Рік тому +12

    Nice interview... Upo real Sana brother... Hakika tujifunze toka kwako... Hujisifu unaongea ukweli kutoa changamoto kwa vijana.... Safi Sana bro!

  • @alexlimo6959
    @alexlimo6959 Рік тому +4

    Nikisema unanipea ghani nakubali GTi VW ...I love it

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Рік тому +16

    Halina tofauti sana na gari kangu Hilo.. anyway karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️

    • @givembwilo141
      @givembwilo141 Рік тому +1

      Nasikia mashoga kibao huko 🤣🤣

    • @NassirMohammed-p1h
      @NassirMohammed-p1h Рік тому +1

      @@givembwilo141wee mwenyewe shoga

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 Рік тому

      ​@@givembwilo141Wako wengi kweli kweli, kila siku wanajazana kwenye maboti kutoka Tanganyika wakifika Zanzibar hawataki kurudi unyikani.

    • @matheobaha773
      @matheobaha773 Рік тому

      Utalii unacost shiling ngapi za kitanzania

    • @mirajijuma454
      @mirajijuma454 20 днів тому

      pambana

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 7 місяців тому +1

    Sio mchoyo uyu kaka,,inaonekana anaroho nzuri Sana,,Kila la heri kaka mungu akubaliki

  • @magrethkilua3601
    @magrethkilua3601 Рік тому +8

    Hongera sana, ni kweli ukipata tumia kakaangu ya kesho anayajua mungu

  • @gideon546
    @gideon546 Рік тому +5

    🙏 🇰🇪➕️🇹🇿 - REAL BUSINESSMAN. Hard Working Gentleman. "GOD" BLESS YOU BRO. & Help Others. 👍 🙏🙏🙏

  • @zitongwang6278
    @zitongwang6278 Рік тому +10

    Keep it up brother , Ur so genuine and details orientated person , huna roho ya kukunja ..., Muwazi na inaelekea msafi WA Roho ✌️🔥🇹🇿

    • @rosegideon336
      @rosegideon336 Рік тому +1

      Kab is a Ana one kana sio wa kukunja. Mungu huwaona watu hawa

    • @zitongwang6278
      @zitongwang6278 Рік тому

      @@rosegideon336 kabisa

  • @KHAMISKHAMIS-p6k
    @KHAMISKHAMIS-p6k Рік тому +5

    UNCLE,Mashaaallah UNATUHESHIMISHA 👍👍👍.
    11:25

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz 7 місяців тому +2

    Hasaa milioni 400 ndio est africa lipo moja watu hawajaamua tu kulimiliki

  • @davidcurtis175
    @davidcurtis175 Рік тому +6

    Gari hili ni zuri sana hongera bob, ila warabu huku Qatar wehu wanayapandisha juu zaidi ya hiyo na wasudani ndio hivyo tena wanabebea…

  • @ericpeter8900
    @ericpeter8900 Рік тому +5

    Hongera bro,niliona ukipita nalo hapa nyali mombsa bonge la gari

  • @Kikikikikiki723
    @Kikikikikiki723 Рік тому +11

    Kuna wanaoishi maisha bora na kuna sisi wa "heri uhai"..😎
    Now me and my friends here tunaishi exactly the opposite of what we thought our lives would turn out to be, when we were younger.😅

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 Рік тому +1

      Help ophans

    • @TheNdaki
      @TheNdaki Рік тому

      Vuta Picha unaamka hujui kesho utakula nini, au utapata Shingapi ya kula kwanza...mengine utajua mbele kws mbele.. 😢

    • @TheNdaki
      @TheNdaki Рік тому +1

      "Yote Kheri, tuzidi kupambana hatujui yajayo..... Maisha ni kama boksi, hayatabiliki kesho ukiingiza mkono utaibuka na nini"

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Рік тому +1

    Jamani . tunahangaika kutafuta pesa ya kila siku tukiipata tupo taabani. Lakin MTU ana gari LA milioni mia NNE .him mungu ambariki na ampe kwa wing I amin.

  • @dottohami
    @dottohami Рік тому +7

    Huyu kaka Yupo Smart sana mashaallh hajisikii kabisa 🥰

  • @roytv8276
    @roytv8276 Рік тому +158

    Nimeliendesha kitambo Sana kwenye GTA vice city mpaka nimelichoka

  • @alibinali_
    @alibinali_ Рік тому +3

    Watanzania wingi wanaishi Mombasa ❤❤❤❤❤

  • @collinsandrew3425
    @collinsandrew3425 Рік тому +11

    Very humble ,no arrogance no issues

  • @AgnesMsomi
    @AgnesMsomi Рік тому +2

    Kaka Rama ongera sana kwa kutuheshimisha Musoma kwa gari zuri Kubwa kuliko Tz.

  • @mombasaraha1502
    @mombasaraha1502 Рік тому +1

    Huyu jamaa yupo simple sna na hana kibri wala majivuno ingetokea ni hawa wabongo wenye viherehere wasanii 😂 umgetajiwa vitu hata hamna humo ndani kisha kweli huyu ametulia hana .majivuno wala hajuoni kuwa amewapita wanadamunwengine homgera kwa kazi nzuri

  • @SalimSalim-ec9jo
    @SalimSalim-ec9jo Рік тому +5

    Big up boss Ramos umetoka mbali Mombasa kisauni inakutambua

  • @sadickchakka3147
    @sadickchakka3147 Рік тому +2

    V2 alvyo navyo huju mshua kama mm vile jipende mwenyewe kwnz nawengne ndo watakupenda ukiwa nacho tumi wakat ni sas maisha hayard nyuma🙏🙏🙏🙏

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Рік тому +5

    Mtangazaji uko👍 jamaa Yuko vzr maisha mazur japo mafup , Mungu tumpe nafasi,👍

  • @rosegideon336
    @rosegideon336 Рік тому +1

    Daah natamani sana Magari makubwa. Hongera kk gari ya bei kubwa mno Big up.

  • @swibewilliam4939
    @swibewilliam4939 Рік тому +8

    Ukisha sema sio hapa tu Bali hata Nairobi..... Umemaliza .Anaye elewa ameelewa.. anajua standard ya wenzetu

  • @babybeast473
    @babybeast473 Рік тому +4

    Proud to say namjua personally

  • @gaspergasper9830
    @gaspergasper9830 6 місяців тому

    PESA IPO IZO GARI ALIZOTAJA ALAFU HANA MOJA MKUU sio powa zote ni mapesa 🙌🙌

  • @ramadhanihamisi5596
    @ramadhanihamisi5596 Рік тому +25

    Habari ya siku kadhaa rafiki yangu, Bila Shaka uko pouwa kabisa,leo naomba ufahamu *umuhimu wa kukanda maumbile*
    Hili ni zoezi la kuaandaa maji yenye uvugu na kitambaa laini, kisha kuukanda uume kama unauchua kutokea kwenye shina mpaka kwenye ncha kwa karudia Kwa muda kadhaa.
    *Zoezi hili husaidia sana*
    1 kuimarisha neuron transmitter ambazo husafirisha taarifa kuelekea kwenye Ubungo,hii husaidia utumwaji wa haraka wa taarifa kwahiyo humsaidia mwanaume aweze karudia tendo kwa haraka
    2 zoezi hili husaidia kurudisha uwezo wa ngozi ya uume kustahimili joto la tendo la ndoa wakati wa kwanza wa tendo,hivyo hupunguza sana Hali ya kufika kileleni mapema.
    3 kuimarisha mzunguko mzuri wa damu kwenye uume,zoezi hili husaidia sana damu kuweza kufika sehemu mbali mbali za uume mpaka kwenye ncha ya uume na kuufanya uweze kuwa na nguvu wakati wa tendo.
    4,inasaidia sana kupunguza seli mfu pamoja na mabaki ya oxygen,ambavyo vyote hivi hudhoofisha utendaji kazi wa misuli ya uume.
    *Muda mzuri wa zoezi hili ni Asubuhi unapoamka*
    Naomba nikutakie Siku njemaaa🙏🏻🙏🏻🙏🏻

    • @danielmkama24
      @danielmkama24 Рік тому +1

      Bro we ni mtaalam wa hayo mambo?
      Unisaidie kitu??

    • @MpajiAlisoni
      @MpajiAlisoni 7 місяців тому

      Asante Kwa ushauli

  • @masanajoseph2335
    @masanajoseph2335 Рік тому +1

    Boss wangu huyo pindi Nafanya kazi regland hotel musoma jamaa mmoja mstarabu sana Tena sana boss hauna baya

  • @KHAMISKHAMIS-p6k
    @KHAMISKHAMIS-p6k Рік тому +3

    UNCLE,Mashaaallah UNATUHESHIMISHA 👍👍👍.

  • @hassanramadhan3418
    @hassanramadhan3418 Рік тому +6

    Napenda sana kumuona baba Kwenye TV ❤

  • @bANana-yf1qm
    @bANana-yf1qm Рік тому +1

    Nilikutana na hii beast Nairobi,, Weeh ni mnyama kweli.

  • @JensElm-k4k
    @JensElm-k4k Рік тому +4

    Vido vidox!!!! Upo vizuri sana katika fani yako you know how to ask questions Tena maswali ya maana. Big up vido

  • @ramakiliku6029
    @ramakiliku6029 Рік тому +2

    Mashaallah tabarakaallah Sheikh RAMA

  • @hassansaid3833
    @hassansaid3833 Рік тому +26

    Nimependa kajieleza kwake Yupo smart Hana kelele muwazi. Ila hizo gari hapa UAE wanazipenda Wafugaji mbuzi na ngamia kwakubebea mavyakula ya mifugo tena nyingine wanaziweka tail 4 nyuma

    • @isakatogoro4697
      @isakatogoro4697 Рік тому +14

      hata huyu mwamba pia ni mgugaji, huku Musoma ana mashamba yake ana 🙄ng'ombe zaidi ya 500 na mbuzi pia ndio maana kalipenda hilo gari

    • @AliMo-i8n
      @AliMo-i8n Рік тому +3

      😅😅😅😅

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no Рік тому +1

      ​@@isakatogoro4697😂😂😂

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 Рік тому +3

      Huyu jamaa ni mfugaji mkubwa sana hapa Tz. Analisha nyama bunge zima za tanzania na nchi nzima. Pia analitumia kubebea kondoo wa sufi . Kumbe haya magari ni kwa ajili ya shughuli hizo asee. Matajiri bwana

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 Рік тому +1

      Wewe unalo gari la bei gani unalomiliki?tusipende kutoa kasoro wakati wewe hata gari ya miln 10 huna

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 Рік тому +5

    Nikiwa Musoma napenda kulala sana hotel yako,, baada ya kuiacha hotel moja yapili kwa ukubwa baada ya yako,, ni mtu pekee ambae ninakuangalia sana ili siku moja nifike hapo,, tangu siku ulifanya ile sherehe yako pale Musoma sikiacha kutafakari namna ya kufika hapo ulipo fika,,

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 Рік тому +8

    Hongera sana kaka hauna majivuna kbsa katika maongezi yako

  • @aladizo3530
    @aladizo3530 Рік тому +4

    Oman kuna sehemu inaitwa Seeb, ukienda pale utakutana na gari kama hizo kazi zake ni kuvutia maboti tuu 😅😅

  • @khalidmusa1803
    @khalidmusa1803 Рік тому +2

    Huyo kaka mkarimu sana. Ma shaa Allah Mungu amuongeze zaidi

    • @aliissa2926
      @aliissa2926 Рік тому

      Mozambique 🇲🇿 hipo niliwai kuona Maputo moja rangi ya yellow

  • @Nickojunior
    @Nickojunior Рік тому +3

    Magari yote imemiliki Mpaka Bugatti😳😜

  • @alibinali_
    @alibinali_ Рік тому +1

    Ilikuwa Nairobi hiyo gari ikaja Mombasa jamaa kanunua hiyo GMC ni noma sana

  • @athumanikisoka2759
    @athumanikisoka2759 Рік тому +2

    Huyu jamaa katudanganya kasema kaagiza mwaka jana mwezi wa kuminamoja kalipata mwaka huu mwezi wa kwanza then kaja mwishon kusema kua lilikaa bandarini miezi nane mpaka kulichukua sijui n mimi tu ndo nimefatilia hili😂😂😂

  • @georgenyoni9879
    @georgenyoni9879 Рік тому +21

    Big up Broo,all I can say you have worked really hard

  • @agnerapius7244
    @agnerapius7244 Рік тому +2

    Umeoa baba nahitaji niwe mke wako hata nikiwa wa 100000 nimekupenda❤

  • @gracekisumo241
    @gracekisumo241 Рік тому

    Aweee boss wangu mwenyewe huna makuu na mtu mimi nafarijika sana ukiwa na furaha na unapendeza Mungu aendelee kukuweka @RamadhanMsomiBwana

  • @godfreymubumila3862
    @godfreymubumila3862 Рік тому

    Hiyo kitu ni noma nyingi sana mzee GENERAL MOTOR COPERARION G M C

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Рік тому +1

    Duuh aisee kumbe Tz hii hii kuna vijana wenye mkwanja sana aisee

  • @samirsaid2087
    @samirsaid2087 Рік тому +1

    Njoo congo uku zitele hzo twabebea matofali tu yakujengea

  • @AniriAmiri-gt8ul
    @AniriAmiri-gt8ul Рік тому +1

    keep it up blo unatuwakilisha vizuri blood

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo Рік тому +3

    Unatu especial sana broo ishaara mungu akuongezee.

  • @shafiqshine3983
    @shafiqshine3983 Рік тому +1

    Mchizi wangu ramaa congrats sanaa wahasbiallah

  • @DanielKanithi-n3q
    @DanielKanithi-n3q 6 місяців тому

    Uko na roho Safi nipe at Mimi probox juu mungu amekumbariki

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi5528 Рік тому

    Aaaah sijui Kuna uchawi ganii kwenye hela,,watu wanawaza magari ya bei kubwaaaa,wakatii Kuna magari makarii sana na yabei yakawaida kidogo.

  • @DumperClassic
    @DumperClassic 2 місяці тому

    Dumper classic
    Nakubalii ulicho kisema jipendee

  • @reginaldmushi9784
    @reginaldmushi9784 Рік тому +5

    ✨🌙🦅🤘🔥I real Aprriciety this guy

  • @LockenMunis
    @LockenMunis Рік тому +1

    Nimeliona changamwe ILO gari Mombasa pale ni zuri Sana na bonge yagari

  • @GeorgeEbake
    @GeorgeEbake Рік тому

    Uko vzuri ukilinganisha na maisha ya uko kwetu afrika. Japo hapa yeyote anauwezo wakuimiliki. Wanazitumiaga sana kuendea Shambani kisa muinuko na ugumu

    • @G-JMK69
      @G-JMK69 Рік тому

      Na wewe pia unayo kama hiyo ya kuendea shambani?

  • @mosesachoka121
    @mosesachoka121 Рік тому +2

    I see this car in Nairobi,kilimani area.. with another guy ..who claims to be the owner too..

  • @josephatmaruka4612
    @josephatmaruka4612 Рік тому +6

    Mmmh! Kuna sehem katupiga huyu jamaa Gar aliagiza mwezi wa kumi na moja na kaanza kuimiliki January. Chakushangaza Bandarini lilikaa miezi 8. ????

    • @khadijamwenda1851
      @khadijamwenda1851 Рік тому +1

      Wewe ndo hujaelewa Kasema kabisa bandari ilikaa miezi 8 kasikilize tena

    • @josephatmaruka4612
      @josephatmaruka4612 Рік тому +1

      Aliagiza mwezi wa kumi na moja mwaka jana, akaimiliki January,bandari ilikaa miezi nane. Hapo ndo nimepata shida kuelewa.

    • @mosseskahemela2969
      @mosseskahemela2969 Рік тому

      Kwan huyo c ni mbongo

  • @zakiaheriel9698
    @zakiaheriel9698 Рік тому +1

    Afu unasikia mtu anasema eti mond ndo anapesa east africa nzima, kitu nimependa mwamba hna matambo wala nini, safi sana , hii ndo gari ya ndoto zangu , inshallah Mungu atanipa kwa wakati wake

    • @selemanikinyonyi7163
      @selemanikinyonyi7163 Рік тому

      Sio kwamba yeye tu ndo mwenye pesa east Africa no ila pesa zinazidiana kuna numb moja, number 2 na kuendelea kuwa muelewa bro

  • @hubimogela9167
    @hubimogela9167 Рік тому +8

    Kuna gari nimeagiza Iringa wanaitengeneza zinaelekeana sanaaa so zitakuwa mbili soon God bless me.

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Рік тому +10

    MashaAllah hongera yake gari kali saana 🇶🇦

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql Рік тому +1

    Hahaha mamae nafikiri mwaka kesho anakuwa nayo dah😂😂😂huyu mwamb kwel atamiliki

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 Рік тому +5

    Hapana sio kweli Hilo gari kama hilo nililiona mnazi mmoja tena lenyewe ni dabo tire nyuma nilishuka ktk daladala nikarishangaa sana.

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Рік тому +1

    Dah mtihani kweli
    Magari mengi hayo
    Ila kwa bongo linaonekana geni

  • @KHAMISKHAMIS-p6k
    @KHAMISKHAMIS-p6k Рік тому

    UNCLE,Mashaaallah UNATUHESHIMISHA 👍👍👍.

  • @toprankmedia1984
    @toprankmedia1984 Рік тому +2

    Wow great.. 👍

  • @Cyprian_infomer
    @Cyprian_infomer Рік тому +18

    Kenya is the capital city of Africa 🇰🇪💪🇰🇪💪

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 Рік тому +2

    Gari za kawaida tuu hizo sema wanalishwa matango pori

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 9 місяців тому

    Safi sana kaka mungu akuzidishie neema

  • @peteradamu4081
    @peteradamu4081 Рік тому +1

    Hilo la kwake tu.yaan niache kujenga gorofa ninunuwe gari la mil 400.mmh!!!😢😢😢😢

  • @willzcloh9485
    @willzcloh9485 Рік тому +4

    come to Rwanda you will find more of GMC cars

  • @abuuslater9242
    @abuuslater9242 Рік тому +2

    Hongera Tajili Rama wa Musoma Allah akueke kaka mkubwa🙏🙏

  • @stainerwakwao5275
    @stainerwakwao5275 Рік тому +2

    Kenyan plate numbers 😊😊🇰🇪🇰🇪

    • @moriz254
      @moriz254 Рік тому

      Anatoka Mombasa 2:51

  • @daveodie1575
    @daveodie1575 Рік тому +2

    Mike Sonko na Kabogo ndio wa kwanza kuwa na gari aina hii Kenya. Wewe ni wa tatu Kenya na wa kwanza TZ😅😅

    • @ruwaruwa1
      @ruwaruwa1 Рік тому

      Hawajawahi kuwa na hii gari

  • @ONEdreamfilmtz
    @ONEdreamfilmtz Рік тому +15

    Sijui nikwanini watu wenye Hela wanajiamini sana na hawana mambo ya kujisifu na maelezo yao yamenyooka sana

    • @givembwilo141
      @givembwilo141 Рік тому +3

      😢angekuwa chief godlove hapo sasa

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 Рік тому +1

      ​@@givembwilo141😂😂😂

    • @benedictruthi2113
      @benedictruthi2113 Рік тому

      😂😂😂😂😂@givembwilo141 oya yule msenge anajikutaga keshaaaa malza Kila ki2 Yan manyoko zake 😅

  • @LuckyMusyki
    @LuckyMusyki 10 місяців тому

    Watu ni washamba bana sasa mkijivunia nyinyi watu wa Kenya na hamtengenezi magari sasa ingekuwa mnatengeneza kama wale wanaotutengenezea na kutuuzia ,wacheni ushamba wa kujisifia Kwa vitu amabazo hatujui hata inaazwaje kitengeneza Sisi East africa bado sana ,tuko nyuma sijui kama nini ni mungu atusaidia tuwe na maujuzi kama ya wazungu

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 Рік тому +9

    Siku moja nilikuwa Kahama nikapishana na gari ya hivi, pale Kuna wazee wa dhahabu. So Tanzania zipo

    • @reginaldmushi9784
      @reginaldmushi9784 Рік тому

      Hiyo siyo uliyoona wewe itakuwa niile Ford Ipo juu kama hii GMC iliyopo kwenye mgodi wa Ggm mara nyingine sana Huwa Mafundi wa Ggm wanaitumia na imebeba Tool box hapo nyuma

  • @AlphablondieAlpha-dx1ql
    @AlphablondieAlpha-dx1ql Рік тому +4

    Kenya one of the reachest country in Africa

  • @abdullahsalim6508
    @abdullahsalim6508 Рік тому +3

    Hlo gari ni gari la 5 kwa ubora duniani,narudia Tena GMC ni gari la 5 kwa ubora duniani

  • @sarahclement3599
    @sarahclement3599 Рік тому +2

    Sio kweli kuwa ni moja East Africa, hata Kanda ya ziwa Kuna jamaa wawili wanazo

  • @lina53996
    @lina53996 Рік тому +1

    Haifiki million 400 .hii gari ni used halafu ni ya mwaka 2017 .nasema ivi sababu mimi ninayo hii na nina ford f2.. usikutishe ukubwa wa gari

  • @kingriggy5744
    @kingriggy5744 Рік тому +2

    Boss,,,speak of Tanzania not East Africa,,,,Kenya is Europe......400M is merely 20M KSH,,,,so acheni ushamba

  • @andrewkibeliveradio
    @andrewkibeliveradio Рік тому +2

    Bro nasema gari limekaa bandarini for 8 months, aliagiza gari mnano mwezi wa kumi na moja. Ila, aliipata January 😮😅 sielewi

    • @tinanamalombe4444
      @tinanamalombe4444 Рік тому

      😂😂 mwenyewe sijaelew

    • @kaluluu2011
      @kaluluu2011 Рік тому

      Uyu bwana Hana mbambamba maana kataja mwezi tu mwaka ajasema huwezi kumuhukumu.... HAWA CYO WALE WABONGO KAMA YULE MBILI KIMO TAPTA TAPTA ANATUMIAGA MAGARI YA WATU MUONGOMUONGO.UYU PIMA MAELEZO TU UTAJUA YUKO REAL

  • @dularwambo3243
    @dularwambo3243 8 місяців тому

    Yaan ukiligonga ilooo millard ayoo. Atauzaa mic zotee izoo mlipeee

  • @priscillawilliam3603
    @priscillawilliam3603 7 місяців тому

    Huna majivno wala hujikwezi hongera sana

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 Рік тому +11

    Yanatengenezwa hapa canada tena city nayo ishi mume wangu analo na mimi ninalo la kampuni hiyo ila kuwa nalo Tanzania kiukweli tumpe maua yake

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222 Рік тому +1

    Awesome

  • @noahmadali7150
    @noahmadali7150 Рік тому +3

    Gari ya kawaida hafu pick up ingekua wagon angalau hafu sio luxury mbona chuma la kazi ngumu ndomana liko juu

  • @neelamfarouk7762
    @neelamfarouk7762 Рік тому

    Uyo kaka fala sana aje mombasa aona ma GMC .WACHA UFALA WW UMBU WALA HUKAI NAIROBI

  • @MassTown_Online
    @MassTown_Online Рік тому +1

    Musoma stand up🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mtakabiruyassin
    @mtakabiruyassin Рік тому +1

    Sema jamaa hana mbambamba🙌

  • @fulugutidaniel4675
    @fulugutidaniel4675 Рік тому +2

    Inaitwa G M C siela dinari ultimate naipenda sana hii truck one day yes

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Рік тому +2

    Wenzetu pesa mnazipataje mbona mi natamani kuwa na boxa nashindwa? mtungi wa gas nilinunua kwa kucheza mchezo "Upatu" yaan navurugwa hata celewi😢

  • @pitosjuma7224
    @pitosjuma7224 Рік тому +2

    Gari hiyo Nisha iona kabla , tena kasulu Kigoma, kwenye ofisi Moja kubwa pale kasulu. Tena mwaka 2020.

  • @rosewangui5340
    @rosewangui5340 Рік тому +4

    Hongera kaka .am a professional driver anaweza niajiri? From Nairobi

  • @manuelbaraka2813
    @manuelbaraka2813 Рік тому +8

    Ila Kenya kuna jamaa mmoja mwenye hilo gari. Anaitwa SPIKES.

    • @hashimshaqur9363
      @hashimshaqur9363 Рік тому

      Nimemshangaa sana akisema hakna mwenye nalo East Africa na ukitembea mombasa mitaa ya Tudor Mombasa liko moja la black

    • @jamalmullerjordan
      @jamalmullerjordan Рік тому +1

      ​@@hashimshaqur9363ndio hili mnaloliona n mwamba ndio huyu 😂😂😂 nimecheka kishenz

    • @jamalmullerjordan
      @jamalmullerjordan Рік тому

      Ndio hilii gari lenywe😂😂

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Рік тому +1

    Hii ndyo nzuri kiboko ya wezi

  • @jameschristperson9309
    @jameschristperson9309 Рік тому

    Mike sonko na wengineo,angalieni mtu simple bila show

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 Рік тому +1

    Naona pembeni imepaki IST naiona kama imesujudu hivi unaomba msamaha