Kuna wanaoishi maisha bora na kuna sisi wa "heri uhai"..😎 Now me and my friends here tunaishi exactly the opposite of what we thought our lives would turn out to be, when we were younger.😅
Jamani . tunahangaika kutafuta pesa ya kila siku tukiipata tupo taabani. Lakin MTU ana gari LA milioni mia NNE .him mungu ambariki na ampe kwa wing I amin.
Huyu jamaa yupo simple sna na hana kibri wala majivuno ingetokea ni hawa wabongo wenye viherehere wasanii 😂 umgetajiwa vitu hata hamna humo ndani kisha kweli huyu ametulia hana .majivuno wala hajuoni kuwa amewapita wanadamunwengine homgera kwa kazi nzuri
Habari ya siku kadhaa rafiki yangu, Bila Shaka uko pouwa kabisa,leo naomba ufahamu *umuhimu wa kukanda maumbile* Hili ni zoezi la kuaandaa maji yenye uvugu na kitambaa laini, kisha kuukanda uume kama unauchua kutokea kwenye shina mpaka kwenye ncha kwa karudia Kwa muda kadhaa. *Zoezi hili husaidia sana* 1 kuimarisha neuron transmitter ambazo husafirisha taarifa kuelekea kwenye Ubungo,hii husaidia utumwaji wa haraka wa taarifa kwahiyo humsaidia mwanaume aweze karudia tendo kwa haraka 2 zoezi hili husaidia kurudisha uwezo wa ngozi ya uume kustahimili joto la tendo la ndoa wakati wa kwanza wa tendo,hivyo hupunguza sana Hali ya kufika kileleni mapema. 3 kuimarisha mzunguko mzuri wa damu kwenye uume,zoezi hili husaidia sana damu kuweza kufika sehemu mbali mbali za uume mpaka kwenye ncha ya uume na kuufanya uweze kuwa na nguvu wakati wa tendo. 4,inasaidia sana kupunguza seli mfu pamoja na mabaki ya oxygen,ambavyo vyote hivi hudhoofisha utendaji kazi wa misuli ya uume. *Muda mzuri wa zoezi hili ni Asubuhi unapoamka* Naomba nikutakie Siku njemaaa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nimependa kajieleza kwake Yupo smart Hana kelele muwazi. Ila hizo gari hapa UAE wanazipenda Wafugaji mbuzi na ngamia kwakubebea mavyakula ya mifugo tena nyingine wanaziweka tail 4 nyuma
Huyu jamaa ni mfugaji mkubwa sana hapa Tz. Analisha nyama bunge zima za tanzania na nchi nzima. Pia analitumia kubebea kondoo wa sufi . Kumbe haya magari ni kwa ajili ya shughuli hizo asee. Matajiri bwana
Nikiwa Musoma napenda kulala sana hotel yako,, baada ya kuiacha hotel moja yapili kwa ukubwa baada ya yako,, ni mtu pekee ambae ninakuangalia sana ili siku moja nifike hapo,, tangu siku ulifanya ile sherehe yako pale Musoma sikiacha kutafakari namna ya kufika hapo ulipo fika,,
Huyu jamaa katudanganya kasema kaagiza mwaka jana mwezi wa kuminamoja kalipata mwaka huu mwezi wa kwanza then kaja mwishon kusema kua lilikaa bandarini miezi nane mpaka kulichukua sijui n mimi tu ndo nimefatilia hili😂😂😂
Uko vzuri ukilinganisha na maisha ya uko kwetu afrika. Japo hapa yeyote anauwezo wakuimiliki. Wanazitumiaga sana kuendea Shambani kisa muinuko na ugumu
Afu unasikia mtu anasema eti mond ndo anapesa east africa nzima, kitu nimependa mwamba hna matambo wala nini, safi sana , hii ndo gari ya ndoto zangu , inshallah Mungu atanipa kwa wakati wake
Watu ni washamba bana sasa mkijivunia nyinyi watu wa Kenya na hamtengenezi magari sasa ingekuwa mnatengeneza kama wale wanaotutengenezea na kutuuzia ,wacheni ushamba wa kujisifia Kwa vitu amabazo hatujui hata inaazwaje kitengeneza Sisi East africa bado sana ,tuko nyuma sijui kama nini ni mungu atusaidia tuwe na maujuzi kama ya wazungu
Hiyo siyo uliyoona wewe itakuwa niile Ford Ipo juu kama hii GMC iliyopo kwenye mgodi wa Ggm mara nyingine sana Huwa Mafundi wa Ggm wanaitumia na imebeba Tool box hapo nyuma
Uyu bwana Hana mbambamba maana kataja mwezi tu mwaka ajasema huwezi kumuhukumu.... HAWA CYO WALE WABONGO KAMA YULE MBILI KIMO TAPTA TAPTA ANATUMIAGA MAGARI YA WATU MUONGOMUONGO.UYU PIMA MAELEZO TU UTAJUA YUKO REAL
This guy he very smart The way he is talking is show respect
Kenya zipo
Nice interview... Upo real Sana brother... Hakika tujifunze toka kwako... Hujisifu unaongea ukweli kutoa changamoto kwa vijana.... Safi Sana bro!
Nikisema unanipea ghani nakubali GTi VW ...I love it
Halina tofauti sana na gari kangu Hilo.. anyway karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️
Nasikia mashoga kibao huko 🤣🤣
@@givembwilo141wee mwenyewe shoga
@@givembwilo141Wako wengi kweli kweli, kila siku wanajazana kwenye maboti kutoka Tanganyika wakifika Zanzibar hawataki kurudi unyikani.
Utalii unacost shiling ngapi za kitanzania
pambana
Sio mchoyo uyu kaka,,inaonekana anaroho nzuri Sana,,Kila la heri kaka mungu akubaliki
Hongera sana, ni kweli ukipata tumia kakaangu ya kesho anayajua mungu
🙏 🇰🇪➕️🇹🇿 - REAL BUSINESSMAN. Hard Working Gentleman. "GOD" BLESS YOU BRO. & Help Others. 👍 🙏🙏🙏
Keep it up brother , Ur so genuine and details orientated person , huna roho ya kukunja ..., Muwazi na inaelekea msafi WA Roho ✌️🔥🇹🇿
Kab is a Ana one kana sio wa kukunja. Mungu huwaona watu hawa
@@rosegideon336 kabisa
UNCLE,Mashaaallah UNATUHESHIMISHA 👍👍👍.
11:25
Hasaa milioni 400 ndio est africa lipo moja watu hawajaamua tu kulimiliki
Gari hili ni zuri sana hongera bob, ila warabu huku Qatar wehu wanayapandisha juu zaidi ya hiyo na wasudani ndio hivyo tena wanabebea…
Wanabebea nn
Hongera bro,niliona ukipita nalo hapa nyali mombsa bonge la gari
Kuna wanaoishi maisha bora na kuna sisi wa "heri uhai"..😎
Now me and my friends here tunaishi exactly the opposite of what we thought our lives would turn out to be, when we were younger.😅
Help ophans
Vuta Picha unaamka hujui kesho utakula nini, au utapata Shingapi ya kula kwanza...mengine utajua mbele kws mbele.. 😢
"Yote Kheri, tuzidi kupambana hatujui yajayo..... Maisha ni kama boksi, hayatabiliki kesho ukiingiza mkono utaibuka na nini"
Jamani . tunahangaika kutafuta pesa ya kila siku tukiipata tupo taabani. Lakin MTU ana gari LA milioni mia NNE .him mungu ambariki na ampe kwa wing I amin.
Huyu kaka Yupo Smart sana mashaallh hajisikii kabisa 🥰
Nimeliendesha kitambo Sana kwenye GTA vice city mpaka nimelichoka
🤣🤣😂😂
😂😂😂😂😂😂hongera
Mwamba huyu hapa sasa 😂😂😂😂
Nakubali 👍
Hahahahaaa
Watanzania wingi wanaishi Mombasa ❤❤❤❤❤
Very humble ,no arrogance no issues
Kaka Rama ongera sana kwa kutuheshimisha Musoma kwa gari zuri Kubwa kuliko Tz.
Huyu jamaa yupo simple sna na hana kibri wala majivuno ingetokea ni hawa wabongo wenye viherehere wasanii 😂 umgetajiwa vitu hata hamna humo ndani kisha kweli huyu ametulia hana .majivuno wala hajuoni kuwa amewapita wanadamunwengine homgera kwa kazi nzuri
Big up boss Ramos umetoka mbali Mombasa kisauni inakutambua
V2 alvyo navyo huju mshua kama mm vile jipende mwenyewe kwnz nawengne ndo watakupenda ukiwa nacho tumi wakat ni sas maisha hayard nyuma🙏🙏🙏🙏
Mtangazaji uko👍 jamaa Yuko vzr maisha mazur japo mafup , Mungu tumpe nafasi,👍
Daah natamani sana Magari makubwa. Hongera kk gari ya bei kubwa mno Big up.
Ukisha sema sio hapa tu Bali hata Nairobi..... Umemaliza .Anaye elewa ameelewa.. anajua standard ya wenzetu
Proud to say namjua personally
PESA IPO IZO GARI ALIZOTAJA ALAFU HANA MOJA MKUU sio powa zote ni mapesa 🙌🙌
Habari ya siku kadhaa rafiki yangu, Bila Shaka uko pouwa kabisa,leo naomba ufahamu *umuhimu wa kukanda maumbile*
Hili ni zoezi la kuaandaa maji yenye uvugu na kitambaa laini, kisha kuukanda uume kama unauchua kutokea kwenye shina mpaka kwenye ncha kwa karudia Kwa muda kadhaa.
*Zoezi hili husaidia sana*
1 kuimarisha neuron transmitter ambazo husafirisha taarifa kuelekea kwenye Ubungo,hii husaidia utumwaji wa haraka wa taarifa kwahiyo humsaidia mwanaume aweze karudia tendo kwa haraka
2 zoezi hili husaidia kurudisha uwezo wa ngozi ya uume kustahimili joto la tendo la ndoa wakati wa kwanza wa tendo,hivyo hupunguza sana Hali ya kufika kileleni mapema.
3 kuimarisha mzunguko mzuri wa damu kwenye uume,zoezi hili husaidia sana damu kuweza kufika sehemu mbali mbali za uume mpaka kwenye ncha ya uume na kuufanya uweze kuwa na nguvu wakati wa tendo.
4,inasaidia sana kupunguza seli mfu pamoja na mabaki ya oxygen,ambavyo vyote hivi hudhoofisha utendaji kazi wa misuli ya uume.
*Muda mzuri wa zoezi hili ni Asubuhi unapoamka*
Naomba nikutakie Siku njemaaa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Bro we ni mtaalam wa hayo mambo?
Unisaidie kitu??
Asante Kwa ushauli
Boss wangu huyo pindi Nafanya kazi regland hotel musoma jamaa mmoja mstarabu sana Tena sana boss hauna baya
UNCLE,Mashaaallah UNATUHESHIMISHA 👍👍👍.
Napenda sana kumuona baba Kwenye TV ❤
Nilikutana na hii beast Nairobi,, Weeh ni mnyama kweli.
Vido vidox!!!! Upo vizuri sana katika fani yako you know how to ask questions Tena maswali ya maana. Big up vido
Mashaallah tabarakaallah Sheikh RAMA
Nimependa kajieleza kwake Yupo smart Hana kelele muwazi. Ila hizo gari hapa UAE wanazipenda Wafugaji mbuzi na ngamia kwakubebea mavyakula ya mifugo tena nyingine wanaziweka tail 4 nyuma
hata huyu mwamba pia ni mgugaji, huku Musoma ana mashamba yake ana 🙄ng'ombe zaidi ya 500 na mbuzi pia ndio maana kalipenda hilo gari
😅😅😅😅
@@isakatogoro4697😂😂😂
Huyu jamaa ni mfugaji mkubwa sana hapa Tz. Analisha nyama bunge zima za tanzania na nchi nzima. Pia analitumia kubebea kondoo wa sufi . Kumbe haya magari ni kwa ajili ya shughuli hizo asee. Matajiri bwana
Wewe unalo gari la bei gani unalomiliki?tusipende kutoa kasoro wakati wewe hata gari ya miln 10 huna
Nikiwa Musoma napenda kulala sana hotel yako,, baada ya kuiacha hotel moja yapili kwa ukubwa baada ya yako,, ni mtu pekee ambae ninakuangalia sana ili siku moja nifike hapo,, tangu siku ulifanya ile sherehe yako pale Musoma sikiacha kutafakari namna ya kufika hapo ulipo fika,,
Hongera sana kaka hauna majivuna kbsa katika maongezi yako
Oman kuna sehemu inaitwa Seeb, ukienda pale utakutana na gari kama hizo kazi zake ni kuvutia maboti tuu 😅😅
Huyo kaka mkarimu sana. Ma shaa Allah Mungu amuongeze zaidi
Mozambique 🇲🇿 hipo niliwai kuona Maputo moja rangi ya yellow
Magari yote imemiliki Mpaka Bugatti😳😜
Ilikuwa Nairobi hiyo gari ikaja Mombasa jamaa kanunua hiyo GMC ni noma sana
Huyu jamaa katudanganya kasema kaagiza mwaka jana mwezi wa kuminamoja kalipata mwaka huu mwezi wa kwanza then kaja mwishon kusema kua lilikaa bandarini miezi nane mpaka kulichukua sijui n mimi tu ndo nimefatilia hili😂😂😂
Wewe ndio huelewi kitu
Big up Broo,all I can say you have worked really hard
U don't know him ask us who knows him. He didn't work hard
Xxix to
Umeoa baba nahitaji niwe mke wako hata nikiwa wa 100000 nimekupenda❤
Pambana kutafuta hela
Duuuuh😂😂😂 Umetisha
Hhhh😂😂🤩
Aweee boss wangu mwenyewe huna makuu na mtu mimi nafarijika sana ukiwa na furaha na unapendeza Mungu aendelee kukuweka @RamadhanMsomiBwana
Hiyo kitu ni noma nyingi sana mzee GENERAL MOTOR COPERARION G M C
Duuh aisee kumbe Tz hii hii kuna vijana wenye mkwanja sana aisee
Tafuta pesa mzeeee
Njoo congo uku zitele hzo twabebea matofali tu yakujengea
keep it up blo unatuwakilisha vizuri blood
Unatu especial sana broo ishaara mungu akuongezee.
kaka bora uandike kiswahil 😂
Mchizi wangu ramaa congrats sanaa wahasbiallah
Uko na roho Safi nipe at Mimi probox juu mungu amekumbariki
Aaaah sijui Kuna uchawi ganii kwenye hela,,watu wanawaza magari ya bei kubwaaaa,wakatii Kuna magari makarii sana na yabei yakawaida kidogo.
Dumper classic
Nakubalii ulicho kisema jipendee
✨🌙🦅🤘🔥I real Aprriciety this guy
Nimeliona changamwe ILO gari Mombasa pale ni zuri Sana na bonge yagari
Uko vzuri ukilinganisha na maisha ya uko kwetu afrika. Japo hapa yeyote anauwezo wakuimiliki. Wanazitumiaga sana kuendea Shambani kisa muinuko na ugumu
Na wewe pia unayo kama hiyo ya kuendea shambani?
I see this car in Nairobi,kilimani area.. with another guy ..who claims to be the owner too..
Mmmh! Kuna sehem katupiga huyu jamaa Gar aliagiza mwezi wa kumi na moja na kaanza kuimiliki January. Chakushangaza Bandarini lilikaa miezi 8. ????
Wewe ndo hujaelewa Kasema kabisa bandari ilikaa miezi 8 kasikilize tena
Aliagiza mwezi wa kumi na moja mwaka jana, akaimiliki January,bandari ilikaa miezi nane. Hapo ndo nimepata shida kuelewa.
Kwan huyo c ni mbongo
Afu unasikia mtu anasema eti mond ndo anapesa east africa nzima, kitu nimependa mwamba hna matambo wala nini, safi sana , hii ndo gari ya ndoto zangu , inshallah Mungu atanipa kwa wakati wake
Sio kwamba yeye tu ndo mwenye pesa east Africa no ila pesa zinazidiana kuna numb moja, number 2 na kuendelea kuwa muelewa bro
Kuna gari nimeagiza Iringa wanaitengeneza zinaelekeana sanaaa so zitakuwa mbili soon God bless me.
Kitakua kipembe icho
@@emanuelgavile3503 😂😂😂
😂😂
MashaAllah hongera yake gari kali saana 🇶🇦
Hahaha mamae nafikiri mwaka kesho anakuwa nayo dah😂😂😂huyu mwamb kwel atamiliki
Hapana sio kweli Hilo gari kama hilo nililiona mnazi mmoja tena lenyewe ni dabo tire nyuma nilishuka ktk daladala nikarishangaa sana.
Dah mtihani kweli
Magari mengi hayo
Ila kwa bongo linaonekana geni
UNCLE,Mashaaallah UNATUHESHIMISHA 👍👍👍.
Wow great.. 👍
Kenya is the capital city of Africa 🇰🇪💪🇰🇪💪
Have you been to South Africa, Nigeria and the north Africa?
Ovyooo
The owner is Tanzanian
Its the pride of Africa
@@abdulkareemchande7204 nop,its owned most by Indians,the perhaps Agikuyu tribe
Gari za kawaida tuu hizo sema wanalishwa matango pori
Safi sana kaka mungu akuzidishie neema
Hilo la kwake tu.yaan niache kujenga gorofa ninunuwe gari la mil 400.mmh!!!😢😢😢😢
come to Rwanda you will find more of GMC cars
Hongera Tajili Rama wa Musoma Allah akueke kaka mkubwa🙏🙏
Kenyan plate numbers 😊😊🇰🇪🇰🇪
Anatoka Mombasa 2:51
Mike Sonko na Kabogo ndio wa kwanza kuwa na gari aina hii Kenya. Wewe ni wa tatu Kenya na wa kwanza TZ😅😅
Hawajawahi kuwa na hii gari
Sijui nikwanini watu wenye Hela wanajiamini sana na hawana mambo ya kujisifu na maelezo yao yamenyooka sana
😢angekuwa chief godlove hapo sasa
@@givembwilo141😂😂😂
😂😂😂😂😂@givembwilo141 oya yule msenge anajikutaga keshaaaa malza Kila ki2 Yan manyoko zake 😅
Watu ni washamba bana sasa mkijivunia nyinyi watu wa Kenya na hamtengenezi magari sasa ingekuwa mnatengeneza kama wale wanaotutengenezea na kutuuzia ,wacheni ushamba wa kujisifia Kwa vitu amabazo hatujui hata inaazwaje kitengeneza Sisi East africa bado sana ,tuko nyuma sijui kama nini ni mungu atusaidia tuwe na maujuzi kama ya wazungu
Siku moja nilikuwa Kahama nikapishana na gari ya hivi, pale Kuna wazee wa dhahabu. So Tanzania zipo
Hiyo siyo uliyoona wewe itakuwa niile Ford Ipo juu kama hii GMC iliyopo kwenye mgodi wa Ggm mara nyingine sana Huwa Mafundi wa Ggm wanaitumia na imebeba Tool box hapo nyuma
Kenya one of the reachest country in Africa
Hlo gari ni gari la 5 kwa ubora duniani,narudia Tena GMC ni gari la 5 kwa ubora duniani
Sio kweli kuwa ni moja East Africa, hata Kanda ya ziwa Kuna jamaa wawili wanazo
Nikweri Mwanza zipo
Haifiki million 400 .hii gari ni used halafu ni ya mwaka 2017 .nasema ivi sababu mimi ninayo hii na nina ford f2.. usikutishe ukubwa wa gari
Boss,,,speak of Tanzania not East Africa,,,,Kenya is Europe......400M is merely 20M KSH,,,,so acheni ushamba
Bro nasema gari limekaa bandarini for 8 months, aliagiza gari mnano mwezi wa kumi na moja. Ila, aliipata January 😮😅 sielewi
😂😂 mwenyewe sijaelew
Uyu bwana Hana mbambamba maana kataja mwezi tu mwaka ajasema huwezi kumuhukumu.... HAWA CYO WALE WABONGO KAMA YULE MBILI KIMO TAPTA TAPTA ANATUMIAGA MAGARI YA WATU MUONGOMUONGO.UYU PIMA MAELEZO TU UTAJUA YUKO REAL
Yaan ukiligonga ilooo millard ayoo. Atauzaa mic zotee izoo mlipeee
Huna majivno wala hujikwezi hongera sana
Yanatengenezwa hapa canada tena city nayo ishi mume wangu analo na mimi ninalo la kampuni hiyo ila kuwa nalo Tanzania kiukweli tumpe maua yake
🎉🎉
Vipi bei Canada?
Mmmh ! Maviiijj.
Kwanza hata kirefu cha GMC haujui 😂😂😂😂😂
Awesome
Gari ya kawaida hafu pick up ingekua wagon angalau hafu sio luxury mbona chuma la kazi ngumu ndomana liko juu
Uyo kaka fala sana aje mombasa aona ma GMC .WACHA UFALA WW UMBU WALA HUKAI NAIROBI
Musoma stand up🔥🔥🔥🔥🔥
Sema jamaa hana mbambamba🙌
Inaitwa G M C siela dinari ultimate naipenda sana hii truck one day yes
Siela dinari, duh sio mchezo
Wenzetu pesa mnazipataje mbona mi natamani kuwa na boxa nashindwa? mtungi wa gas nilinunua kwa kucheza mchezo "Upatu" yaan navurugwa hata celewi😢
Toa kafara
Gari hiyo Nisha iona kabla , tena kasulu Kigoma, kwenye ofisi Moja kubwa pale kasulu. Tena mwaka 2020.
Hongera kaka .am a professional driver anaweza niajiri? From Nairobi
Ila Kenya kuna jamaa mmoja mwenye hilo gari. Anaitwa SPIKES.
Nimemshangaa sana akisema hakna mwenye nalo East Africa na ukitembea mombasa mitaa ya Tudor Mombasa liko moja la black
@@hashimshaqur9363ndio hili mnaloliona n mwamba ndio huyu 😂😂😂 nimecheka kishenz
Ndio hilii gari lenywe😂😂
Hii ndyo nzuri kiboko ya wezi
Mike sonko na wengineo,angalieni mtu simple bila show
Naona pembeni imepaki IST naiona kama imesujudu hivi unaomba msamaha