MAISHA YA DIAMOND NA WASAFI NDANI YA CARANTINI/CORONA NI TATIZO KUBWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • #wasafi #carantini

КОМЕНТАРІ • 865

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 4 роки тому +10

    Mnachonifurahisha ni kwamba mnatoa elimu kubwa sana ambayo hata Serikali haijatoa Kwa wananchi hususan ya kupima jotp Kwa vitendo na maelezo anayotoa Diamond!.Very creative guy ever...💪💪

  • @hamadharerimana8187
    @hamadharerimana8187 4 роки тому +91

    this guy is a STAR AND VERY CREATIVE NA ANAKILI KUBWA SANA SASA NDO NIMELEWA KWANINI ANAFANIKIWA ZAIDI

  • @evaingram7499
    @evaingram7499 4 роки тому +92

    natamani mungu akupe maisha marefu simba na corona boys wotee kama unaomba ivyo kwa wasafi gongs like tuendelee

    • @fardeennasser2963
      @fardeennasser2963 4 роки тому +2

      Apewe Maisha marefu ili aendelee kuwapoteza watu wajiandae na moto ee? Acheni kufagiria mashoga kutoka WCB.

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 4 роки тому +49

    Give credit when it is due! Diamond is a big brain, thinks fast and has the entrepreneurial spirit. Actually, he has single-handedly changed the Bongo Flava brand and taken it to new heights. He invests in himself and others. He has tremendously changed the music video business in Tanzania for good and created a lot of opportunities for young Tanzanians. Remember when he started he used South Africans to must the game. Now he uses his own people. Kudos to him and the Wasafi brand for being that dynamic.

  • @dominicmondia290
    @dominicmondia290 4 роки тому +80

    SO CREATIVE THATS ONE ASPECT DIAMOND PLATINUMZ HAS...social life programme love it man

    • @vertexxentertainment1547
      @vertexxentertainment1547 4 роки тому +5

      its kind of some awareness programme....yah it happens that of all entertainment media platforms this one is dope because which artist in AFRICA HAS COME UP WITH SUCH AN IDEA if not WASAFI MEDIA..keep up wasafi ..

  • @ains1122
    @ains1122 4 роки тому +61

    It's a very educational movie, I like their idea, ina mafunzo mazuri kama kipindi,

  • @hellenodhiambo7175
    @hellenodhiambo7175 2 роки тому +1

    how loving ,caring and friendly is this man...we have nothing to say about this guy apart from supporting him...big up brother!!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @geofreyelphjr3710
    @geofreyelphjr3710 4 роки тому +16

    Damn it🔥🔥Diamond Issa Creativity's

  • @Smartboy-wt1es
    @Smartboy-wt1es 4 роки тому +15

    Diamond kwa biashara daaaa hii nayo kaigeuza kua fursa na kutengeneza hela kupitia youtube😀😀😀

  • @primesultan1150
    @primesultan1150 4 роки тому +42

    Gonga like kama umeshajua Mond ni creativeness in mind he use every chance to prove his brand

  • @kabumbaaldjimmy4943
    @kabumbaaldjimmy4943 3 роки тому +8

    Kama uko shabike wake Diamond gonga like apa

  • @tumakhalifa3606
    @tumakhalifa3606 4 роки тому +74

    Corona geng 😂😂this hurts and at the same time funny

  • @collinschuwa8450
    @collinschuwa8450 4 роки тому +7

    I am not decieving but i am prayin for him long lyf🙏🙏🙏🙏

  • @prosperjohaness2089
    @prosperjohaness2089 4 роки тому +35

    nani kasikia "yani mmoja wetu akionesha dalili za kuwa zombi mmh tunamchoresha"

  • @styvoll2004
    @styvoll2004 4 роки тому +11

    This jamaa alianza tu right now the guy is a boss!! Man.. everything is possible.

  • @gazamerlvaxmukwano5844
    @gazamerlvaxmukwano5844 3 роки тому +3

    Ndivyo unavyo sema akika mungu ammpe maisha marefu azidi kusaidia wengine, akika huyo Diamond nampenda sana anapo saidia wajiwezi ila tu maomba wanao saidiwa na Diamond wasijee kumzarahu... Akika mungu akupenye kila unapo fanya

  • @nassornaso7185
    @nassornaso7185 4 роки тому +11

    Bonge moja la idea.. Chibu unajua kutumia brand yko big up bro ✊

  • @martinaloo5444
    @martinaloo5444 4 роки тому +203

    This guy is business minded. He uses every opportunity to improve his brand and fame. No wonder his new songs hit 2 million views in a single day.

  • @josephhenry1274
    @josephhenry1274 4 роки тому +58

    Ila MONDI dingi wewe mtamu kila kitu keep it up hii ndio Tanzanian Art ninayemtaka Fabulous and fabulous bro

  • @mwajumabulugu4115
    @mwajumabulugu4115 4 роки тому +14

    Km unamini maneno ya juma lokole diamond kila anachofanya ni pesa gonga like

  • @mektidissalvatory9683
    @mektidissalvatory9683 4 роки тому +21

    Corona gang duuuuh Diamond umenishindaaaaa😂😂😂🤣🤣🤣

  • @cedricnitunga468
    @cedricnitunga468 4 роки тому +47

    huyu jamaa ni content creator tosha!! duuuuh

  • @elshaarawymuhabesh316
    @elshaarawymuhabesh316 4 роки тому +88

    Corona boys, Corona gang...
    Hata Ukipost Unacheka Tuh Mi Ntaangalia Tuh...

    • @mdgy7188
      @mdgy7188 4 роки тому +2

      Elshaarawy Muhabesh umetishaaaaaaaaaaaa sannaaaaaaa

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ 4 роки тому +1

      Elshaarawy Muhabesh 🤣🤣🤣🤣🤣💯

    • @rashfatyrashidi5499
      @rashfatyrashidi5499 4 роки тому +1

      Elshaarawy Muhabesh penda sana simba

    • @douglassotengo5551
      @douglassotengo5551 4 роки тому +1

      @@rashfatyrashidi5499 freshy

    • @djbensntz7981
      @djbensntz7981 4 роки тому

      Wewe acha2 nita kesha hata naangalia😍😍😍

  • @swalehthefinest
    @swalehthefinest 4 роки тому +65

    Yaani angekua msanii mwengine angenyamaza tu ndani hzo siku 14 lakini Huyu ni kama opportunity kila tukio.. Shikamoo Siimba 🙏🙏

  • @doktamathew
    @doktamathew 4 роки тому +27

    Hii karantini noma👌👌👌

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 4 роки тому +170

    Mond nilijuwa ni duka la nguo na biyato kumbe ni kwako😂😂😂🙌🙌

    • @ramaccr7525
      @ramaccr7525 4 роки тому +9

      Zabibu Nduwimana na mimi nilijua duka

    • @wambui4590
      @wambui4590 4 роки тому +5

      Weeeee, nimestajaab

    • @salumkombo7163
      @salumkombo7163 4 роки тому +4

      Zabibu Nduwimana hata Mimi nilijua dukan Loooh shikamooo mond

    • @halimamiss8878
      @halimamiss8878 4 роки тому +4

      hata mm nilijua duka mmmh pesa jamani

    • @kkkkftbbhgft9118
      @kkkkftbbhgft9118 4 роки тому +3

      Kwani hilo sio.duka?

  • @bernardmukinji3065
    @bernardmukinji3065 3 роки тому +4

    Kama wew nishabiki wasimba gonga like👊🔥

  • @twahabuiddy9612
    @twahabuiddy9612 4 роки тому +25

    Allah karim yataisha mpeni pole sallam sk

  • @graceannhendry6396
    @graceannhendry6396 4 роки тому +74

    "Jamaa akianza kuwa zombi tunamchoresha"😂😂😂😂😂

  • @iddiadam857
    @iddiadam857 4 роки тому +5

    Hizo thermometer mnanikumbusha nilipokuwa semester ya kwanza nikisoma heat na simple harmonic. Zinaitwa thermocouple. Mngetumia pyrometer ni nzuri haihitaji kugusa mwili.

  • @kbpfurniture4358
    @kbpfurniture4358 4 роки тому +10

    Mm nilijua kipindi hiki haupo ... Nikajuwa mb zegu zitapona, kumbe ndo kwanza kumekucha...

  • @senorinamwaluma9658
    @senorinamwaluma9658 4 роки тому +6

    Hahaaaaaa eti corona boy's you've made my day

  • @gatheewanjeri
    @gatheewanjeri 4 роки тому +12

    Simba changing Corona to business.... Opportunistic Corona boy. Chapa like hehe

  • @monicamassawe9397
    @monicamassawe9397 4 роки тому +50

    Huyu kaka ni bonge la mjanja hauna cha salam kuwa na korona wala nn hapa wametumia fursa tuu waingize hela noma sana

    • @onlytecna9498
      @onlytecna9498 4 роки тому +1

      Monica Massawe kweli kbx wametengeneza movie

    • @MosonVevo
      @MosonVevo 4 роки тому +4

      Navyowajua watz hata mtu akifa wanaweza sema ni uongo ila siku likikukuta ndo utajua ni uongo au ukweli na utajua Kama ni fursa au sio

    • @ExplorewithHedy
      @ExplorewithHedy 4 роки тому +2

      Very true Monica,cause doctors hawaend home kwa suspect wa ugonjwa cause it’s not safe for them what they do is to admit the patient Yan hawa kila kitu kwao fursa😅😅 no hate but ndo njia yao ya bread winning 😂😂

    • @aminakawawa5800
      @aminakawawa5800 4 роки тому

      Kweli aisee ana akili huyu baba lao

    • @limimangolyo625
      @limimangolyo625 4 роки тому

      Ana akili kinyama ndo maana anafanikiwa

  • @glorysilayo9810
    @glorysilayo9810 4 роки тому +3

    Dude your good for I appreciate all of u

  • @victorwilbard2585
    @victorwilbard2585 4 роки тому +35

    Hii trick kali kweli ila imekaa poa kibiashara.Nasib Abdallah ameona akikaa mwezi mzima bila kuvuta utayari itamgharimu sana ameona bora abuni Karantini boys.
    Daah..

  • @xclassic4068
    @xclassic4068 4 роки тому +16

    I wanna be in this Quarantine too 😭😂😂😂 trap house 🏠 food drinks and strictly invites ONLY

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 4 роки тому +47

    Eee Mungu wanguu....tupe nasisi ela..zenye kheri...nguo km dukaniii😭😭😭😭😭😭

    • @sabrinabakari5908
      @sabrinabakari5908 4 роки тому +1

      Thamiyuu Cute weweee mjinga umenichekesha

    • @thamiyuucute7098
      @thamiyuucute7098 4 роки тому +1

      @@sabrinabakari5908 sawaa😑😐

    • @mariumpius9014
      @mariumpius9014 4 роки тому +1

      Nikwel lakn 🤔

    • @musamsuya6033
      @musamsuya6033 4 роки тому

      Thamiyuu Cute hizo nguo sio na wala usizitamani mungu alituambia usitamani mali ya mtu 🖤

  • @susanruo8087
    @susanruo8087 4 роки тому +64

    Mmmmmh mbona quarantine yao ni raha 😂😂.... mpaka na guitar, na miziki.... Anyways, life is too short. Even with corona, life has to go on

    • @khadijaomar2723
      @khadijaomar2723 4 роки тому +2

      😄😄😄

    • @fortunatedominic7845
      @fortunatedominic7845 4 роки тому +2

      Sasa hilo guitar jmn litasababisha contamination na watu wa nyumbani....kwa sababu sasa anakutana na watu wa nyumbani. Au mi celewi jmn.

    • @susanruo8087
      @susanruo8087 4 роки тому +3

      @@fortunatedominic7845 yaani hawa jamaa waacha masiara na hii virus. Hii sasa ni quarantine ama ni vacation jameni 😕😕

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 4 роки тому +3

      Susan Ruo ulitaka wakakae kimya kama mcbani wanasubili maiti..!!??

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 роки тому +68

    Corona boys, simbaaaa baba laoooo yatapita tu, corona yakupita kama magonjwa mengine,

  • @zablonchesa1157
    @zablonchesa1157 4 роки тому +32

    Nilifkiri hiyo simu alopiga itakua..."Halo,, Tanasha......"

    • @veronicasteven1731
      @veronicasteven1731 4 роки тому

      Mwanaume akiwa karibu sanaaaaa na mama ake huna chako

    • @salmaalimusa547
      @salmaalimusa547 4 роки тому +1

      @@veronicasteven1731 YaAni lkn ndo haizuiliki mumy

    • @rubyshamlaha2181
      @rubyshamlaha2181 4 роки тому

      @@veronicasteven1731 mi napenda niishi ivo na mwanngu raha sn

    • @halimalawa3901
      @halimalawa3901 4 роки тому +2

      @@rubyshamlaha2181 yaan wanawake wote tunataman kuish hvy na watoto wetu lkn hatutaman waume zet wawe hvy na mama zao😁😂😂😂😂😂dunia n kigeugeu🏃‍♂️

    • @farajajuddy3871
      @farajajuddy3871 4 роки тому

      Hapo ndipo huwa namuekewa Nasib mpk basiii!mama kwanza bwanaaa!mahusiano tunakutana nayo tu lkn mama nilikuwa nae na nitakuwa nae mpk mwisho

  • @nurumaulid2462
    @nurumaulid2462 4 роки тому +26

    Diamond mtu imara wewe 🌠

  • @omanatr8729
    @omanatr8729 3 роки тому +1

    Allah nijarie na mimi nipate mme wa kuniowa na anijarie nipate watoto wakunieshim na kunijari

  • @promaxemweli
    @promaxemweli 4 роки тому +13

    You yourself too can keep distance from each other,
    Either of you might be carrying the virus and is yet to show the symptoms but can spread.

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 4 роки тому +16

    Hiv hawa kwenye ile hesabu ya watu 22 wapo au ndy wamejipa wenyewe.quarantine yao.

  • @melkiorgodfrey6980
    @melkiorgodfrey6980 4 роки тому +12

    Mmmhhh Mondi Dermark Dortmund.... Apa umetuchota mzee😁😁😁😁

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 4 роки тому +5

    All the best Abdul,,, love you mdogo wangu👍👏👏👏

  • @kgmillionaire
    @kgmillionaire 4 роки тому +2

    Thank you for the story 👌👌👌👏👏

  • @remiusmayeye7557
    @remiusmayeye7557 4 роки тому +4

    Diamond please hold on please cause I want to become asinger in future and sing with u course ur the most special and good ❤️ singer in Tanzania so the I worship won't let u guys have corona please trust me I pray for u guys to the end

  • @sarahhamisi2070
    @sarahhamisi2070 4 роки тому +71

    mond pima vizur/ twakupenda" ujue usitufanye tukaliaaaaa mungu mlinde/,huyu kiumbe

  • @akibarahamadi5058
    @akibarahamadi5058 4 роки тому +64

    akil kubwa simbaaaa anacheza na fursa uyu njo msani kubwa sasa simbaaaaa

  • @mazootboyofficialchanel
    @mazootboyofficialchanel 4 роки тому +8

    Kamaa du anakuwa zombi...hehehe my pain killer umeweza...natunga wimboo nayoo hio

  • @amranitz2897
    @amranitz2897 4 роки тому +91

    Alie onaa hiloo duka la guoo hapo like

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 4 роки тому +59

    Ety mmoja wenu akionyesha dalili km zombi mnamcholesha 😂😂😂😂😂 fala sana

    • @chrissymahunja5248
      @chrissymahunja5248 4 роки тому

      Hahahahahahaha ulivo ierezea imenijia muvi ya BRAD PIT WORLD WAR Z walivo kua wanacholeshana

  • @rukiasalim2512
    @rukiasalim2512 4 роки тому +22

    Eeeeh nimesahau sasa mimi hata simsikilizi naangalia tu kwenye kabati la manguo na viatu nilifikiri duka la Esma tobaaaa corona umeleta balaa weweee

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 4 роки тому +7

    Hapa ni movie tu imetengenezwa tu ili watu waingize hela lakini hakuna cha Corona wala Karantini

  • @husseinhassan6226
    @husseinhassan6226 4 роки тому +1

    Yes .... No......

  • @jonhsoncrispo2462
    @jonhsoncrispo2462 4 роки тому +82

    Kama umeona mondi akizima taa juu ya bili ya umeme ngonga like

    • @sittianya5749
      @sittianya5749 4 роки тому

      acha ufala aogope bili ya umeme apo umelipa ww

    • @5facts60
      @5facts60 4 роки тому

      Kwani kiwanda hicho kiwe Na bill ya Umeme hapa luku tu

  • @marywambia2476
    @marywambia2476 4 роки тому +13

    😂😂😂😂👍All the Best guys❤️

  • @sixbertkigomakwetu7742
    @sixbertkigomakwetu7742 4 роки тому +16

    Jaama nnachomkubali ni mpambanaji na anatumia fursa vizuri akiipata haipotezii beast simba

  • @oscarmick8027
    @oscarmick8027 4 роки тому +200

    Corona boys kama umeskia like hapa

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 4 роки тому +18

    🤣🤣🤣🤣 37.2 eheee siniliwambiya lukamba bhana🤣

  • @mamumiyaskitchenvlogs5858
    @mamumiyaskitchenvlogs5858 3 роки тому +2

    Mama's boy MashaAllah Naseeb n her mom feels me with ma boys So free this is what we call building good relations with our kids

  • @maggiewambui8768
    @maggiewambui8768 4 роки тому +46

    Yaani siku tisa simbaaa bila mwanamke,,,,itavunja rekodi hii

  • @fatmarashim6353
    @fatmarashim6353 4 роки тому +29

    Mungu awasimamie musiwe na Mr Corona 😢🙏

  • @yassinlisa6168
    @yassinlisa6168 4 роки тому +2

    Wow I’m inlove

  • @aminaramdan3283
    @aminaramdan3283 4 роки тому +51

    Mie nilijua ni duka la nguo na viatu.kumbe kwa baba lao home kwake 😷

  • @mayaaymaan5980
    @mayaaymaan5980 4 роки тому +2

    Huku nikikuwatch love bado na soma na comment yani ata nikikereka sijue kabadili wasichana just love u Diamond ila settle down insha Allah na zari km bdo inawezekana ila sahau kbs mobeto nice time keratin 😌😌iko saw hiyo keratin

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 4 роки тому +185

    Kama umesikia corona gang gonga like apo

  • @fatimamohammed2332
    @fatimamohammed2332 4 роки тому +1

    hahahahaah mama dangote anataka apimwe korona hahaaha

  • @debbycharles2862
    @debbycharles2862 4 роки тому +37

    Mungu awasaidie mdikutwe na virusi Inshaalah 🙏🙏nawaombea

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 4 роки тому +16

    Hii ni deal kutoka (WHO) diamond anapiga hela

  • @rwehumbizajonathan8689
    @rwehumbizajonathan8689 4 роки тому +2

    Daaaah, Hawa jamaa creative sana..mpaka janga wanalipigia hela. Maamae sana. 🤣🤣🤣

  • @lynnatasha6014
    @lynnatasha6014 4 роки тому +13

    DIAMOND ni bingwa ,na atafanikiwa vyema.simba!!!!!

    • @alibell5246
      @alibell5246 3 роки тому

      Wallah nilzani duka kumbe nyumban kwa simba duh hatar aiseee

  • @njikumkenji3676
    @njikumkenji3676 4 роки тому +7

    Nakubali wcb 4 life

  • @sayunmartin588
    @sayunmartin588 4 роки тому +11

    Mbona atariiii✨✨

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 роки тому +2

    Diamond show us your home one day please. Ipo so so amazing jamani

  • @paulgilbert4869
    @paulgilbert4869 4 роки тому +7

    Watu weusi dio taifa la mwenyezi mungu ngozinyeusi ni ngumu lakini hungonjwa unashika mungu atushidie shida hii na dada lili za corona ni zipi niambien nijue vizuri sana baba lao

  • @dicksonjohnbosco6477
    @dicksonjohnbosco6477 4 роки тому +11

    Wcb akili Mingi 😝😝

  • @anuarguni8492
    @anuarguni8492 4 роки тому +2

    Good creativity

  • @dokta_suley
    @dokta_suley 4 роки тому +37

    tujuanee kama una mkubali
    simbaaaaaaaa

  • @danielkiarie9847
    @danielkiarie9847 4 роки тому

    Daaaa! Nlidhani n duka la nguo kube nyumba jamani mungu tulimkosea wap kabariki wengine......... Shukuru

  • @lionelly5718
    @lionelly5718 3 роки тому +2

    Simba God bless u ,,,😍😍😍😍

  • @abigailnkansah5435
    @abigailnkansah5435 4 роки тому +15

    I love this guy so much,in my head he is my husband and the father of my kids 😀. I love him too bad I can’t understand anything but I don’t care though, I still love him 🥰🥰😘😍

    • @jayzablon7281
      @jayzablon7281 4 роки тому +2

      abigail nkansah 😂😂😂 I’m sure he love you too

    • @georgegodfrey4776
      @georgegodfrey4776 4 роки тому

      Ila sio chaguo la Mungu kwako

    • @ininahazweelvis3185
      @ininahazweelvis3185 4 роки тому

      😁😁😁😁😁

    • @gking7836
      @gking7836 4 роки тому +6

      My sister trust me you love his fame side and his money 💰 because if he was poor in tandale you wouldn’t even smell him. Asante Mimi mupita njiya tu 🚶🏿🚶🏿🚶🏿🚶🏿

    • @benn300
      @benn300 4 роки тому

      Goodluck

  • @amshlynebaby8495
    @amshlynebaby8495 4 роки тому +16

    nampenda mondi jamani😍

  • @tettiancaroll
    @tettiancaroll 4 роки тому +11

    Simba anaitana corona boys😂😂😂😂😂😂

  • @josephabel7654
    @josephabel7654 4 роки тому +5

    Nipe chengine😂😂😂

  • @assiakwinnj4910
    @assiakwinnj4910 4 роки тому +32

    Mmejitenga au mmetengwa NA serikal

    • @anuarguni8492
      @anuarguni8492 4 роки тому +2

      Jamn wamejiteng ili kama walikuw n ugonjwa wasisambaze

  • @anitaelias9984
    @anitaelias9984 Рік тому

    Mashallah mm nishabiki wa mond jaman

  • @Mwita._v
    @Mwita._v 3 роки тому +2

    Diamond anasoma temperature na amevaa sunglasses 😂😂🎃

  • @shabelbashil4855
    @shabelbashil4855 4 роки тому

    Mashabiki mwa muombeaje super star Wa tz

  • @masoudjuma8153
    @masoudjuma8153 4 роки тому +4

    kama umesikia chafya boy gonga like hapa

  • @innocentsimika1937
    @innocentsimika1937 4 роки тому +4

    Genius

  • @kercidezkasiem6889
    @kercidezkasiem6889 4 роки тому +3

    Man said corona boys and corona gang legend

  • @abduljvo5549
    @abduljvo5549 4 роки тому +51

    Yani mmoja wetu akionesha dalili tu kama mmmh!! Ebana anakuwa zombie.. tunamchoresha

  • @zuhenambelenje6370
    @zuhenambelenje6370 4 роки тому +41

    Mimi mwenyewe nilijua Duka kumbe mkabati wa Simba..somchezoo

    • @frolentfelix2059
      @frolentfelix2059 4 роки тому

      Mond we noma kuwa na mziki mpya basi ukahuite karantini

    • @ruthurassa2230
      @ruthurassa2230 4 роки тому +1

      Hata Mimi nilijua duka la nguo kumbe ni za mnyama Simba mwenyewe😂😂😂😂 hatari sanaaa

    • @brendaatieno905
      @brendaatieno905 4 роки тому

      Diamond😘😘

  • @zaikhanmfinanga5469
    @zaikhanmfinanga5469 4 роки тому +2

    Mungu awaepushie kwahilo🙏

  • @essymbithe2905
    @essymbithe2905 4 роки тому +1

    Simba is a good storyteller

  • @Bantushine_film
    @Bantushine_film 4 роки тому +6

    Dah diamond anajuwa kazi ya u doctor na kupima wagojwa

  • @zakariasandi9398
    @zakariasandi9398 3 роки тому

    Nice