RAPCHA afunguka kuhusu bifu yake na Dizasta Vina, adai yeye na Young Lunya ni amani sasa!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лис 2023
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
    whatsapp.com/channel/0029Va84...
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

КОМЕНТАРІ • 36

  • @lucasthomas188
    @lucasthomas188 8 місяців тому +15

    Ila vina du, dizasta ni noma noma noma, yule jamaa ni international level. Pamoja na kutumia kiswahili da, yani yule jamaa ukae kumsikiliza na unatamani kila siku atoe ngoma

  • @miscous
    @miscous 8 місяців тому +4

    Rapcha...Disaster ni mfano wa askari monument😂😂

  • @stevenkaaya6495
    @stevenkaaya6495 8 місяців тому +2

    Kama unafanya betting huwez mwelewa dizasta😅😂😂

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 8 місяців тому +3

    Rapcha The Kid 99. Goma la #Uongo lamoto sana 🔥🔥🔥🔥

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 8 місяців тому +3

    Achia Jala by Dizasta vina ft Kaa la moto is out

  • @dismasmushi9328
    @dismasmushi9328 8 місяців тому +3

    Rapcha nakukubalii chali anguu ila kwa dizasta utakaanga sodaa

  • @user-xk7kq5ep8u
    @user-xk7kq5ep8u 2 місяці тому +1

    Kiukweli ukimtaja dizasta vina unaongelea dunia rapcha ni kimtaa

  • @poisongumzo1909
    @poisongumzo1909 2 місяці тому

    Na ubisho wote unaitwa cosimas😂😂😂

  • @Deadskytz
    @Deadskytz 8 місяців тому +3

    Cosmas anahekaheka huyu 😂

    • @NdituTV
      @NdituTV 8 місяців тому +1

      😂😂😂

    • @msakatonge.
      @msakatonge. 6 місяців тому

      😂😂🙌

  • @brianjulius255
    @brianjulius255 8 місяців тому +3

    Rapcha now kimashairi wamoto sana, 🔥

  • @dulladulayo2735
    @dulladulayo2735 7 місяців тому

    Uyu jamaa mbona bwiga follows kazaa ameanza kujiona bierber😂😂😂

  • @rusinaflow7239
    @rusinaflow7239 8 місяців тому

    King 99

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 8 місяців тому +7

    Mtaje dizasta uone kitakacho kukuta mtaje whozu na bonge la nyau ndo level zako usimtaje jini aloshindikana vina%

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 8 місяців тому +1

      Dizasta hamna kitu kwa Kid 99. Mziki ni biashara sio falsafa ya kukusanya mineno migumu ya kihistoria 😂

    • @stevenkaaya6495
      @stevenkaaya6495 8 місяців тому +1

      Dizasta Moto mwngne

    • @danielkenedy4357
      @danielkenedy4357 8 місяців тому +1

      @@BigZhumbe hujamsikiliza dizasta vina

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 8 місяців тому

      @@danielkenedy4357 Namsikiliza kila siku. Kuimba ugumu sio ubora

    • @edmondjr17
      @edmondjr17 8 місяців тому

      @@BigZhumbeEti Mineno migumu. Ukiwa na IQ ndogo uwezi kumuelewa dizasta. Rapcha bado sanaa kwa vina 😅

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 8 місяців тому +3

    Hawez kumtaja Vina, yule jamaa ni hatari

  • @Goalscorer12
    @Goalscorer12 8 місяців тому +3

    Go master your bets coz u don't flow proper 😂

  • @lucasthomas188
    @lucasthomas188 8 місяців тому

    Unajua ni nini kitakachotokea😅😅😅 unaelewa dogo mnyama, na umekubali kuachia Jala

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 місяці тому

    Toka akuchane Jini aloshindikana dzst ahh umepotea dogo

  • @danielkenedy4357
    @danielkenedy4357 8 місяців тому

    Tribulation

  • @user-cq5ys3zl9f
    @user-cq5ys3zl9f 7 місяців тому

    vina alimwambia kumutaja yeye ni kujalibu kujiua

  • @user-cq5ys3zl9f
    @user-cq5ys3zl9f 7 місяців тому

    vina alimwambia kumtaja yeye nikujalibu kujiua

  • @ismailmaulid1616
    @ismailmaulid1616 8 місяців тому +2

    Vina

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 8 місяців тому +2

    Achia jala dogo%

  • @mathayobmasunzu278
    @mathayobmasunzu278 8 місяців тому +1

    Achia Jala dogo...!?

  • @aronboy1
    @aronboy1 8 місяців тому +1

    Dizasta ni myamq jmn wamuache2

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 8 місяців тому

    Wasio mjua Rapcher wanamchukulia poa ila bnafs namkubal sana aseeh

  • @msakatonge.
    @msakatonge. 6 місяців тому

    COSMAS na pama ni kama mcheza Amapiano😂😂

  • @cosbytz2370
    @cosbytz2370 8 місяців тому +1

    Hawezi kumtaja vina anajua dogo achia jala 😅