RAPCHA AJIBU KIUME BIFU LAKE NA DIZASTA VINA, DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI IMENIONGEZEA WATU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 сер 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

КОМЕНТАРІ • 57

  • @Kingazi_stories
    @Kingazi_stories День тому +1

    By the way alipoambiwa anaandikiwa mashairi akashindwa kuendelea "...sa nikudiss wewe, au nimdiss alokuchorea verse...😂😂😂

  • @andrewmulongo3087
    @andrewmulongo3087 Рік тому +4

    Huna mashairi ya kubato na dizasta

  • @fredrickf.8525
    @fredrickf.8525 Рік тому +7

    "Shave and clean your dreads man your not pretty..." Amenyoa rasta 😃

  • @Kev__opp
    @Kev__opp Рік тому +2

    Disasta ni legend 🐐🐐

  • @ombenimesso5119
    @ombenimesso5119 11 місяців тому +8

    Rapcha mkali ila kwa Dizasta bd sana

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 Рік тому +2

    Rapcha kajitahidi kumvaa con boi ktk kujibu masali halafu kampata kinoma noma yani

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 11 днів тому

    2024 watching

  • @bashiriwilliam5982
    @bashiriwilliam5982 11 місяців тому +2

    Mwee D kakafanya kawe kapooleee🤣

  • @MariamMfaume-kr7pb
    @MariamMfaume-kr7pb Рік тому +3

    Tuseme ukweli tu lapcha anajua ila kumfikia dizasta kikweli Bado sana Kwa mana anaupungufu wa mashair

    • @hamzerErasto
      @hamzerErasto 11 місяців тому +1

      😂😂😂 lazma amsikilize role model wake

  • @pascaltesha7329
    @pascaltesha7329 11 місяців тому +2

    Bora hata angemdiss mtu ambaye wanaweza kubatle kuliko kumtarget vina

  • @nyilawilabernard7268
    @nyilawilabernard7268 Рік тому +2

    Dizasta Vina ni moto sana hila mlichangamsha game

  • @jamesmatula7249
    @jamesmatula7249 11 місяців тому

    Ungejitoa ufahamu useme jambo ungefatwa na mawe kutoka kwa mnyama vina himself Mungu wa lap 🔥🔥🔥

  • @MbetoAthumani
    @MbetoAthumani 9 місяців тому

    ❤❤

  • @barakamangula
    @barakamangula 11 місяців тому +2

    Dizasta alisema utazama maji kweli umezama

  • @jamesmatula7249
    @jamesmatula7249 11 місяців тому

    Kwanza futa candy Crush kwenye simu 🤣🤣🤣

  • @boyflany2836
    @boyflany2836 Рік тому

    99🔥

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Рік тому +11

    Rapcha dizasta amekuuwa kabisa ata albam yako Haina mboga mitandaoni alivokuchana jamaa jina lako toka uchanwe ukwel limefifia#

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Рік тому

    Mwepesi mno

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Рік тому +3

    Hawezi kuongelea hiyo biff na Disaster sababu aligalagazwa mbaya😂

    • @Daniel_ivan.
      @Daniel_ivan. Рік тому

      Ni beef sio biff

    • @nyotamy3678
      @nyotamy3678 Рік тому

      😂😂😂

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 Рік тому

      @@Daniel_ivan. Hahaha ni kituko acha ujuaji unazungumzia beef ya ng'ombe au

    • @Daniel_ivan.
      @Daniel_ivan. Рік тому

      @@warakawayohana2896 hio inaitwa homonyms mshamba ww ......... Neno moja lenye maana mbili tofauti. Alf ata Ivo beef ni slang kwaiyo linaweza likawa na maana ya nyama na ugomvi at the same time,

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 Рік тому

      @@Daniel_ivan. Sasa unazngumza nini? Au ulikuwa unakosoa nini kama unajua biff ni slang mduanzi kweli wewe mimi nilikuwa sizungumzii nyama umezaliwa 2003 unaleta ujuaji

  • @emmanuelpius6387
    @emmanuelpius6387 7 місяців тому

    Label imekubeba na unasinzia road

  • @rashtz2785
    @rashtz2785 Рік тому +1

    Rapcha aliumizwa😂

  • @bizzleadam9895
    @bizzleadam9895 11 місяців тому

    Huyu Dogo Jamaa alimwambia atampoteza abaki Jina km KONKI FIRE..." Naona kweli kampoteza kweli na kabaki Jina

  • @eliqiula
    @eliqiula 8 місяців тому

    Mwamba rapcha waache utan

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 11 місяців тому

    Aaaha we umuez vna, k hukumbuk! Mwana michano Zaid ya kwenu!!!!

  • @amosithomas4714
    @amosithomas4714 3 місяці тому

    Mbona huyo dizasita naonaga anaongea ongea tu arafu watu nimegundua wanafata mkumbo tu

  • @ibraheemSaeed-wi8px
    @ibraheemSaeed-wi8px 11 місяців тому

    Dizasta yuasifiwa bure ila hamna ki2 ulegend sio kitu mm msanii anayetoka kwa bongo records najua kakua

    • @jameskahemele6209
      @jameskahemele6209 11 місяців тому

      😂😂😂 unajua mziki mzee? Ule moto wa dizasta ni hatari kubwa sana

  • @LomatakopaoBadboy-nl4uj
    @LomatakopaoBadboy-nl4uj Рік тому +2

    rapcha nakukubali sana uyo disaster simujuwi nikiwa congo 🇨🇩

    • @shenamtukufu1224
      @shenamtukufu1224 Рік тому

      Congo lumbar not real hip hop😂😂

    • @majirabonphace
      @majirabonphace Рік тому

      Haumjui wakati umemtaja

    • @rickierunyota3613
      @rickierunyota3613 Рік тому

      Congo masebene hip hop unaijulia wap bwn lo matako pao

    • @LomatakopaoBadboy-nl4uj
      @LomatakopaoBadboy-nl4uj Рік тому

      🤣🤣rapcha ni kiboko na mujuwa kwenye lile ngoma lake la monalisa alihuwa kinoma tatizo nikutobowa uku kwetu na ndo kwamana tumemjuwa

    • @felixnando9434
      @felixnando9434 Рік тому +4

      Mtafute na Dizasta vinna,, ana content, anatoa story telling lakn inakupeleka uone kama movie flan hvii lakn ni maisha halisi ya Wa Tanzania.. Anza na Hatia 1,2,3
      kanisa, nobody is safe, 1, 2, 3 , confession of a mad teacher, mad philosopher, mad son, mad man, alafu malizia na wimbo usio bora😮😮😮😮😮😮,,

  • @felixnando9434
    @felixnando9434 Рік тому +3

    Huyuu kijana mtafutieni kazi hataa ya umachinga,, Pigen promo ya Dizaster vinna,, anajuaa kupanga maneno, na punch line ndio tunataka, huyuu kaambiwa tuu anyoe rasta kanunaa,, anajifanya 99 sijui ndio makolokolo gan,,

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas Рік тому +1

    Ndio tatizo la kudiss mtu aliekuzidi mwisho interview yako unaulizwa kuhusu DIZASTA VINA

  • @abbymwangomile392
    @abbymwangomile392 Рік тому +1

    😂 dizasta vina

  • @kwoma_tz3334
    @kwoma_tz3334 11 місяців тому

    Dulla hiyo line ya ngosha inapatkana kwenye ngoma la propaganda

  • @kihombobadman938
    @kihombobadman938 6 місяців тому

    Dogo inabid atulie t kwa dizasta dogo pia anajuw akn amuach d