Dizasta tunakuomba uanze kufanya videos zako uziweke UA-cam za kuchambua tuelimike zaidi kuhusu mustari umoja umoja na nyingine kuhusu maisha yetu na nyingine topic .weka kwenye channel yako utatuelimisha zaidi
Nashauri tusome zaidi vitabu,, maarifa mengi ya kweli tumefichwa sana. Dizasta anaongea vitu vya kawaida kabisa hapo ni vile tu asilimia kubwa ya watu ni wavivu wa kujifunza
Ndoa ingekua social construct isingekua universal. Kuna jamii zingeazisha na nyingine kuzifuata. Pia wanyama na ndege wengine (Like wolves and some eagle species) wasingekua mating habits zinazolingana na ndoa hii ina maana kuna kitu deeper katika saikolojia na baiolojia ya mwanadamu na sio watu waligundua ndoa kama walivogundua moto. Watu wa sasa wamekua na mtindo wa kutumia "Social construct" kupunguza significance ya mambo fulani fulani. Wasema dini, ndoa mpaka jinsia kwamba eti ni social construct pasi na kujiuliza "Kama ni social construct, kwa nini jamii karibu zote zimefanana katika hayo bila kuambizana kwa millenia nenda rudi?"
Just because impulses are involuntary doesn't mean free will is non existent. Free will comes one comes when someone's consciousness choose what to do about what happens inside or outside his mind and body. Though it might be more of a case for those who are not aware of themselves or their surrounding and tend to drift around with animalistic instincts which is the manner of chronical criminals and addicts.
Dizasta tunakuomba uanze kufanya videos zako uziweke UA-cam za kuchambua tuelimike zaidi kuhusu mustari umoja umoja na nyingine kuhusu maisha yetu na nyingine topic .weka kwenye channel yako utatuelimisha zaidi
Genius, jamaa ana akili sana. bora sana naskiza nyimbo zake
Jamaa ana hakiri kubwa sanaa 💪
Sio kila sehem polini kina nyoka lakn huko ndo nyoka wanakoishi, mh!!!
Dizasta kichwani kwako kuna vitu vingi jamii tunavihitaji bro unatuelimisha Ila bado elimu yako haitutoshi
Genius
Vinaaa✍️✍️
Nashauri tusome zaidi vitabu,, maarifa mengi ya kweli tumefichwa sana. Dizasta anaongea vitu vya kawaida kabisa hapo ni vile tu asilimia kubwa ya watu ni wavivu wa kujifunza
🤦♂️ Cyo fyakawaida mkuu. Unkitaka kujua kuwa c fyakawaida njoo huku kwenye hivo vtabu Afu uone.
@@alliymohamedalliy6524 " my be my simple things are out of ya simple mind" hata yeye mwenyewe dizasta kashalisema sana hili
Ndoa ingekua social construct isingekua universal. Kuna jamii zingeazisha na nyingine kuzifuata. Pia wanyama na ndege wengine (Like wolves and some eagle species) wasingekua mating habits zinazolingana na ndoa hii ina maana kuna kitu deeper katika saikolojia na baiolojia ya mwanadamu na sio watu waligundua ndoa kama walivogundua moto.
Watu wa sasa wamekua na mtindo wa kutumia "Social construct" kupunguza significance ya mambo fulani fulani. Wasema dini, ndoa mpaka jinsia kwamba eti ni social construct pasi na kujiuliza "Kama ni social construct, kwa nini jamii karibu zote zimefanana katika hayo bila kuambizana kwa millenia nenda rudi?"
The Verteller .
Just because impulses are involuntary doesn't mean free will is non existent. Free will comes one comes when someone's consciousness choose what to do about what happens inside or outside his mind and body. Though it might be more of a case for those who are not aware of themselves or their surrounding and tend to drift around with animalistic instincts which is the manner of chronical criminals and addicts.
Genius
Elimu yako tugawiye kidogo unatuongeleya mustari umoja unauchambua na mifano ata dakika tano saafiii Mukubwa Vina. Mengine atuelewi
Tujifunza APA kwa mwanazuoni . The Verteller
Vina noma sana
Reo gono kesho utapata ngoma ivyoo vinaa
Vina
Yessir
SALUTE SANA 🔥🔥🔥
Hii ya maji kurudi sehemu yake umenikumbusha mh Chalamila alipozungumzia mafuriko Dar. Genius
🎉🎉
mwambaaaa xanaaaa
Fact
gineous
Unyamaaa
Nakupata rasta
iQ