EPUKA MAFANIKIO YA HARAKA - JOEL NANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 83

  • @water_music40
    @water_music40 10 місяців тому +25

    kama mimi wakati mwingine naonyesha uwezo wangu kuvutia fursa nyingine kumbe kwa wengine nawakela wananiona me mjuaji. najikuta nainua vita ambayo sijawahi hifikilia mpaka najiuliza mimi ni raisi au mbunge au nani. maana hyo vita ingemfaa mtu mashuhuri na maarufu, najikuta nimeivaa mimi. SOMO LAKO ZURI SANA KAKA naendelea kujifunza kupata chakula cha ubongo. Hii video imenigusa sana.... UBARIKIWE

    • @dijohbanks4312
      @dijohbanks4312 9 місяців тому +1

      kaka hapo umenigusa sana nimeona kumbe unapo onyesha uwezo wako kwa watu ndipo unaongeza na idadi ya maadui

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 9 місяців тому +2

    Brother hiyo ya hasara ya kwanza umezungumzia vizur sana daah😢😢😢😢

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 10 місяців тому +3

    Yana umiza sana nilisha wahi kupambana nayo umenikumbusha maumivu.

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 9 місяців тому +1

    Daah yan KAKA umeongea point kubwa sana

  • @franciscamoshi7671
    @franciscamoshi7671 3 місяці тому

    Unaweza sana my son.Zidi kusaidia hiki kizazi.Ubarikiwe sana.

  • @user-iq1pd5rc4o
    @user-iq1pd5rc4o 9 місяців тому +2

    Thank you brother joel

  • @GoodluckMakona-jz5ob
    @GoodluckMakona-jz5ob 9 місяців тому +2

    Ni keep kabisa,mungu akubariki

  • @ussiussi3413
    @ussiussi3413 9 місяців тому +1

    Ahsante kwa masomo mwalimu.

  • @user-gy1lb9fo2b
    @user-gy1lb9fo2b 10 місяців тому +3

    Umenifurahisha usiishi maisha wale ambao wangekusaidia wanaomba msaada kwako

  • @user-on7cj1dn7n
    @user-on7cj1dn7n 5 місяців тому

    Kaka vitabu vyako vinapatikanaje mimi niko zanzibar

  • @tzmagaladiah5680
    @tzmagaladiah5680 4 місяці тому

    Asante nime kifunza kuti apa wakati natoka kwenye duka nilikuwa na fanya part time na kufungua langu nijioana naweza kila kitu bila ata msaada wa alie kuwa boss wangu lakin kadri nilivyo kuwa na zidi kufahamika ndio nilivyo zidi kupoteza mtaji ila kupitia speach zako nimeanza tena kunyanyuka asante sana ❤

  • @user-yb6vc3yq5s
    @user-yb6vc3yq5s 10 місяців тому +1

    Kazi nzuri naezaje kupata vitabu viako

  • @mchattachattanoga7795
    @mchattachattanoga7795 10 місяців тому +2

    Akika nilikuwa gizani mungu akuongezee umri mrefu kaka yetu

  • @robinsonrespicius2713
    @robinsonrespicius2713 10 місяців тому +2

    Thanks for taking your time to prepare this wonderful Clip,
    But mafanikio ni mafanikio Kaka Joel
    yawe ya haraka au ya mchakato
    ,
    sometimes Opportunity comes just once
    ukitafakar
    MHUBIRI 9:11 ,
    ITS ALL ABOUT TIME AND CHANCE
    Ila unavyo yamanage hayo mafanikio yako hapo ndipo Mr Joel Ninakubaliana nawewe

  • @TsidkenuTsidkenu-ep1yd
    @TsidkenuTsidkenu-ep1yd 7 місяців тому

    Asante sana mwl Joël Nami Nina pitiya hiyo kwasababu yaku onekana lkn Nina kamata mpango yaku kuwa silence😮

  • @wodeemma-pf9ug
    @wodeemma-pf9ug 10 місяців тому +2

    asnte sanaa mheshimiwa joel uko na elimu ambayo ata kijana ambae mindset yake ime athiriwa kiasi kikubwa kwa kiasi chake anabadilika asaneh sana broo mungu akubless

  • @joelngeleja5467
    @joelngeleja5467 10 місяців тому +2

    Silence is a power i like that.

  • @InosentSilaa-jm5oe
    @InosentSilaa-jm5oe 10 місяців тому +3

    Kaka Joel nashindwa kusema ww ni mtu wa namna Gani naona kuseme mungu asikupungukie maarifa🎉

  • @jamesdonasian9954
    @jamesdonasian9954 5 місяців тому

    Asante Sana somo zuri

  • @evansmayuro8038
    @evansmayuro8038 9 місяців тому

    Hii nimeipenda

  • @GanstaNiga
    @GanstaNiga 10 місяців тому +8

    Asante sana kwa darasa lako umenifanya nijiamini sana mungu akubariki🤲

  • @Yonzomc01
    @Yonzomc01 5 місяців тому

    Hasante 🙏

  • @HeriethSylvester-dm3nb
    @HeriethSylvester-dm3nb 10 місяців тому +1

    Ahsante kaka hii hata kwenye maisha ya kawaida mtu anaishi tofauti na level yke mpk cku akishikwa hajui nani amuendee kwa ajili ya msaada ni hatar

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz9420 10 місяців тому +1

    Ukweli mtupu

  • @robertjisandu56
    @robertjisandu56 10 місяців тому

    Yes is true

  • @goodluckmringo2265
    @goodluckmringo2265 9 місяців тому

    Nimefanikiwa kupanda kwa kasi na kupotea kwa kasi pia. Cku famham hata vita zilitokea wap
    Nimejifunza sana

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 10 місяців тому +1

    Hakika Yani

  • @johnfabian-xg3sq
    @johnfabian-xg3sq 10 місяців тому

    Asante sana broo

  • @danchibomnyama5461
    @danchibomnyama5461 10 місяців тому +1

    Asante san kaka Joel umenifungua akili daaah mungu akubariki sana

  • @hakizimanagerome9274
    @hakizimanagerome9274 10 місяців тому

    Joel I love you , Joel I love you mdda mwingine nasikia uoga wakutaja jina lako

  • @eliamalila3106
    @eliamalila3106 9 місяців тому

    Njia nne fedha ziliko jificha 1,idear 2,kwenye matatizo,,3,kipaji,4,network,Kuna wazo ninalo ila namna Gani naweza NJ ikatoa woga na kuanzisha Hilo wazo

  • @lilianmolel9965
    @lilianmolel9965 10 місяців тому

    Nijitaidi nielewe somo hili lakini sijaelewa hili somo kabisa

  • @Olomy907
    @Olomy907 10 місяців тому

    Somo limeeleweka mheshimiwa brkw sana

  • @zubedajumanne8819
    @zubedajumanne8819 10 місяців тому +1

    Shukran kwa Somo Zuri,kaka Joel 🙏

  • @FELISTERPETER-jf9jv
    @FELISTERPETER-jf9jv 10 місяців тому +1

    Asante Sana Joel nimejifunza Mambo mengi sana kupitia kwako

  • @Patrick-rf6ro
    @Patrick-rf6ro 10 місяців тому

    Ubarikiwe Sana

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 10 місяців тому +1

    Barikiwa zaidi kaka Joel

  • @challengesinthewild4193
    @challengesinthewild4193 10 місяців тому +1

    Content imejitosheleza👏... Asanteee sana

  • @damaridaudi9785
    @damaridaudi9785 10 місяців тому

    amina amina asante sana

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl 10 місяців тому +1

    Mr Nanauka, Thanksgiving, 😢😢❤❤❤

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 10 місяців тому +1

    Thanks uncle joel Mungu akupe wepesi kwenye kaz zako

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain9618 10 місяців тому

    Asante kwa onyo ✍️🇨🇩

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 10 місяців тому

    Nakuelewa sana kaka

  • @user-qk1th5mb6z
    @user-qk1th5mb6z 10 місяців тому

    Kweli kabisa,nimekuelewa mheshimiwa

  • @julianmadosh2951
    @julianmadosh2951 10 місяців тому

    Asante sana kaka nakuelewa sana

  • @mgangamjita8657
    @mgangamjita8657 10 місяців тому

    Nimekuelewa sana mwanazuoni

  • @ahz6907
    @ahz6907 10 місяців тому

    Be blessed bro

  • @user-uj7dt8br3z
    @user-uj7dt8br3z 10 місяців тому

    Kaka j nakuelewa sana yaan Toka nimeanza kukufuatilia kiukweli na barikiwa

  • @venancezumba202
    @venancezumba202 10 місяців тому

    Uko vizur

  • @user-ef2om7ep1z
    @user-ef2om7ep1z 10 місяців тому

    Ubarikiwe sana

  • @AYUBMWANGOKA
    @AYUBMWANGOKA 10 місяців тому

    Fantastic

  • @194summer
    @194summer 10 місяців тому

    Sure my mentor

  • @vitarismujuni6889
    @vitarismujuni6889 10 місяців тому

    Awamu hiyapo wanajipandisha sana

  • @saumuyahaya8959
    @saumuyahaya8959 10 місяців тому

    Yaani nakukubali sana hiyo tabia inawatu wengi na hawaendi mbali

  • @josephpartson6053
    @josephpartson6053 10 місяців тому +1

    Thanks mentor

  • @brightdaudi2908
    @brightdaudi2908 10 місяців тому

    Excellent

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika7538 10 місяців тому

    Asante kwa darasa huru,❤ 10:06

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 10 місяців тому

    Asante sana

  • @prospersanga7942
    @prospersanga7942 10 місяців тому

    Real 💯

  • @moneyfollowme737
    @moneyfollowme737 10 місяців тому

    Thanks bro

  • @ebenezeryngajilo-luvonike7741
    @ebenezeryngajilo-luvonike7741 10 місяців тому

    Asantee umenigusa

  • @user-zr8fu9fl8k
    @user-zr8fu9fl8k 10 місяців тому

    Asante MUNGU ambaye amekutuma wewe leo kunusuru hatua zangu na kunipa subira, Mungu akutunze sana mwalimu wangu.

  • @user-vz8it8bt1b
    @user-vz8it8bt1b 10 місяців тому

    Dah cjui ata niseme nini Mr @joelnanauka but mungu akupe mda mrefu

  • @user-fv7mi7qx9j
    @user-fv7mi7qx9j 10 місяців тому

    Asante

  • @richardkirongo4835
    @richardkirongo4835 10 місяців тому +2

    Ni rais sana kuelewa kwa kile ulichoongea na ni ngumu sana kuelewa (Umeongea zaidi KIROHO) na nimekuelewa zaidi Kaka

  • @albertchales9459
    @albertchales9459 10 місяців тому

    nikwiri kabisa

  • @yunussani3871
    @yunussani3871 10 місяців тому +2

    You never disappoint... thanks for the knowledge.

  • @januarybayo6216
    @januarybayo6216 10 місяців тому +1

    ❤❤❤

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 10 місяців тому +1

    2000 generation 🗿

  • @hijakuyu8738
    @hijakuyu8738 9 місяців тому

    👍

  • @user-kt1ts1db4b
    @user-kt1ts1db4b 10 місяців тому

    Umenielimisha zaidi ya kuingia darasanii😂😂

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 10 місяців тому

    Nikweli kwa unachokisema

  • @FrolaJoram-eg1ng
    @FrolaJoram-eg1ng 10 місяців тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @geofreysimon6421
    @geofreysimon6421 10 місяців тому

    Hii imeenda

  • @emmanuelmalele1439
    @emmanuelmalele1439 10 місяців тому

    3:27❤️

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 10 місяців тому

    ✍️✍️✍️✌️

  • @yonasamweli1420
    @yonasamweli1420 10 місяців тому

    Kaka naomba siku utusaidia kuusu usimamizi wa mirad kwasabab wengi tunatamani kufungua mirad nakuajir watu watusimamie lakin binafsi naogopa kuibiw kwasababu tu nilisikia kinamtu aliajir mtu akakimbia na bizaa, yan inshort tu naomba unifundishe namna gani naweza kusimamia ntakaye mwajil

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 10 місяців тому +1

    Ndiyo maana mafanikio ukiyapata ghafla yanaondoka ghafla

  • @deniesdmn2126
    @deniesdmn2126 9 місяців тому

    @Chief godlove 😂