kama mimi wakati mwingine naonyesha uwezo wangu kuvutia fursa nyingine kumbe kwa wengine nawakela wananiona me mjuaji. najikuta nainua vita ambayo sijawahi hifikilia mpaka najiuliza mimi ni raisi au mbunge au nani. maana hyo vita ingemfaa mtu mashuhuri na maarufu, najikuta nimeivaa mimi. SOMO LAKO ZURI SANA KAKA naendelea kujifunza kupata chakula cha ubongo. Hii video imenigusa sana.... UBARIKIWE
Asante nime kifunza kuti apa wakati natoka kwenye duka nilikuwa na fanya part time na kufungua langu nijioana naweza kila kitu bila ata msaada wa alie kuwa boss wangu lakin kadri nilivyo kuwa na zidi kufahamika ndio nilivyo zidi kupoteza mtaji ila kupitia speach zako nimeanza tena kunyanyuka asante sana ❤
Thanks for taking your time to prepare this wonderful Clip, But mafanikio ni mafanikio Kaka Joel yawe ya haraka au ya mchakato , sometimes Opportunity comes just once ukitafakar MHUBIRI 9:11 , ITS ALL ABOUT TIME AND CHANCE Ila unavyo yamanage hayo mafanikio yako hapo ndipo Mr Joel Ninakubaliana nawewe
asnte sanaa mheshimiwa joel uko na elimu ambayo ata kijana ambae mindset yake ime athiriwa kiasi kikubwa kwa kiasi chake anabadilika asaneh sana broo mungu akubless
Njia nne fedha ziliko jificha 1,idear 2,kwenye matatizo,,3,kipaji,4,network,Kuna wazo ninalo ila namna Gani naweza NJ ikatoa woga na kuanzisha Hilo wazo
Kaka naomba siku utusaidia kuusu usimamizi wa mirad kwasabab wengi tunatamani kufungua mirad nakuajir watu watusimamie lakin binafsi naogopa kuibiw kwasababu tu nilisikia kinamtu aliajir mtu akakimbia na bizaa, yan inshort tu naomba unifundishe namna gani naweza kusimamia ntakaye mwajil
kama mimi wakati mwingine naonyesha uwezo wangu kuvutia fursa nyingine kumbe kwa wengine nawakela wananiona me mjuaji. najikuta nainua vita ambayo sijawahi hifikilia mpaka najiuliza mimi ni raisi au mbunge au nani. maana hyo vita ingemfaa mtu mashuhuri na maarufu, najikuta nimeivaa mimi. SOMO LAKO ZURI SANA KAKA naendelea kujifunza kupata chakula cha ubongo. Hii video imenigusa sana.... UBARIKIWE
kaka hapo umenigusa sana nimeona kumbe unapo onyesha uwezo wako kwa watu ndipo unaongeza na idadi ya maadui
Brother hiyo ya hasara ya kwanza umezungumzia vizur sana daah😢😢😢😢
Yana umiza sana nilisha wahi kupambana nayo umenikumbusha maumivu.
Daah yan KAKA umeongea point kubwa sana
Unaweza sana my son.Zidi kusaidia hiki kizazi.Ubarikiwe sana.
Thank you brother joel
Ni keep kabisa,mungu akubariki
Ahsante kwa masomo mwalimu.
Umenifurahisha usiishi maisha wale ambao wangekusaidia wanaomba msaada kwako
Kaka vitabu vyako vinapatikanaje mimi niko zanzibar
Asante nime kifunza kuti apa wakati natoka kwenye duka nilikuwa na fanya part time na kufungua langu nijioana naweza kila kitu bila ata msaada wa alie kuwa boss wangu lakin kadri nilivyo kuwa na zidi kufahamika ndio nilivyo zidi kupoteza mtaji ila kupitia speach zako nimeanza tena kunyanyuka asante sana ❤
Kazi nzuri naezaje kupata vitabu viako
Akika nilikuwa gizani mungu akuongezee umri mrefu kaka yetu
Thanks for taking your time to prepare this wonderful Clip,
But mafanikio ni mafanikio Kaka Joel
yawe ya haraka au ya mchakato
,
sometimes Opportunity comes just once
ukitafakar
MHUBIRI 9:11 ,
ITS ALL ABOUT TIME AND CHANCE
Ila unavyo yamanage hayo mafanikio yako hapo ndipo Mr Joel Ninakubaliana nawewe
Asante sana mwl Joël Nami Nina pitiya hiyo kwasababu yaku onekana lkn Nina kamata mpango yaku kuwa silence😮
asnte sanaa mheshimiwa joel uko na elimu ambayo ata kijana ambae mindset yake ime athiriwa kiasi kikubwa kwa kiasi chake anabadilika asaneh sana broo mungu akubless
Silence is a power i like that.
Kaka Joel nashindwa kusema ww ni mtu wa namna Gani naona kuseme mungu asikupungukie maarifa🎉
Asante Sana somo zuri
Hii nimeipenda
Asante sana kwa darasa lako umenifanya nijiamini sana mungu akubariki🤲
Hasante 🙏
Ahsante kaka hii hata kwenye maisha ya kawaida mtu anaishi tofauti na level yke mpk cku akishikwa hajui nani amuendee kwa ajili ya msaada ni hatar
Ukweli mtupu
Yes is true
Nimefanikiwa kupanda kwa kasi na kupotea kwa kasi pia. Cku famham hata vita zilitokea wap
Nimejifunza sana
Hakika Yani
Asante sana broo
Asante san kaka Joel umenifungua akili daaah mungu akubariki sana
Joel I love you , Joel I love you mdda mwingine nasikia uoga wakutaja jina lako
Njia nne fedha ziliko jificha 1,idear 2,kwenye matatizo,,3,kipaji,4,network,Kuna wazo ninalo ila namna Gani naweza NJ ikatoa woga na kuanzisha Hilo wazo
Nijitaidi nielewe somo hili lakini sijaelewa hili somo kabisa
Somo limeeleweka mheshimiwa brkw sana
Shukran kwa Somo Zuri,kaka Joel 🙏
Asante Sana Joel nimejifunza Mambo mengi sana kupitia kwako
Ubarikiwe Sana
Barikiwa zaidi kaka Joel
Content imejitosheleza👏... Asanteee sana
amina amina asante sana
Mr Nanauka, Thanksgiving, 😢😢❤❤❤
Thanks uncle joel Mungu akupe wepesi kwenye kaz zako
Asante kwa onyo ✍️🇨🇩
Nakuelewa sana kaka
Kweli kabisa,nimekuelewa mheshimiwa
Asante sana kaka nakuelewa sana
Nimekuelewa sana mwanazuoni
Be blessed bro
Kaka j nakuelewa sana yaan Toka nimeanza kukufuatilia kiukweli na barikiwa
Uko vizur
Ubarikiwe sana
Fantastic
Sure my mentor
Awamu hiyapo wanajipandisha sana
Yaani nakukubali sana hiyo tabia inawatu wengi na hawaendi mbali
Thanks mentor
Excellent
Asante kwa darasa huru,❤ 10:06
Asante sana
Real 💯
Thanks bro
Asantee umenigusa
Asante MUNGU ambaye amekutuma wewe leo kunusuru hatua zangu na kunipa subira, Mungu akutunze sana mwalimu wangu.
Dah cjui ata niseme nini Mr @joelnanauka but mungu akupe mda mrefu
Asante
Ni rais sana kuelewa kwa kile ulichoongea na ni ngumu sana kuelewa (Umeongea zaidi KIROHO) na nimekuelewa zaidi Kaka
nikwiri kabisa
You never disappoint... thanks for the knowledge.
❤❤❤
2000 generation 🗿
👍
Umenielimisha zaidi ya kuingia darasanii😂😂
Nikweli kwa unachokisema
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii imeenda
Yer
ubarikiwe kwa kaz nzuri
3:27❤️
✍️✍️✍️✌️
Kaka naomba siku utusaidia kuusu usimamizi wa mirad kwasabab wengi tunatamani kufungua mirad nakuajir watu watusimamie lakin binafsi naogopa kuibiw kwasababu tu nilisikia kinamtu aliajir mtu akakimbia na bizaa, yan inshort tu naomba unifundishe namna gani naweza kusimamia ntakaye mwajil
Ndiyo maana mafanikio ukiyapata ghafla yanaondoka ghafla
@Chief godlove 😂