UBONGO WA MWANADAMU - JOEL NANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 148

  • @JosephKomba-zv5ed
    @JosephKomba-zv5ed Рік тому +25

    Siku yakwanza kukusikiliza ndio sikuniliyo badilisha maisha yangu japo bado nipo kwenyekujitafuta ila umenibadilisha xan adi mwanangu nimempa jina lako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Рік тому +4

      Ameen Ameen, nashukuru kusikia hivyo

    • @jovinbyserjb3532
      @jovinbyserjb3532 Рік тому +2

      Ukiwa bado unijitafuta bado mindset ina wasi wasi

    • @bma255
      @bma255 Рік тому +3

      even me my son anaitwa joel na nilimpa because of him! Amenifanya niwe Best Father to my family... MUNGU AMUWEKE OUR MENTOR

    • @JosephKomba-zv5ed
      @JosephKomba-zv5ed Рік тому

      @@jovinbyserjb3532 okay kiongozi apo unanisaidiaje mdau

    • @jonfredkewe3451
      @jonfredkewe3451 11 місяців тому

      Hata Mimi ni baba Joe kwasababu ya huyu mwamba

  • @NasserShayo-tn6vo
    @NasserShayo-tn6vo Рік тому +6

    Naumia sanaa kuona Channel kama hizi hazina wafuatiaji wengi kama kwenye Channels ambazo hazina maana yeyote katika maisha ya mtu😢😢😢😢😢

  • @user-gv1si9fq9v
    @user-gv1si9fq9v Рік тому +2

    Mimi ninaamini wew unatumika kama kinywa Cha Mungu ktk kututoa ukungu ktk maisha mom binafsi najifuilnza Sana kupitia wew.. Ila tatizo umezidi kuchanganya kingereza kwenye mafundisho yako wakati wengi tunaojifunza kupitia wew hatujui kingereza tumia kiswahili tukuelewe viziri ndugu

  • @user-sh8xp5dn3w
    @user-sh8xp5dn3w Рік тому +6

    Kaka Joel mimi naishi Dar ....ninatamani sana kukuona au kupata maelekezo fulani kutoka kwako ...naomba msaada kaka nawezaje kukuona hata kwa dakika 10 tu

  • @labanchayonga8103
    @labanchayonga8103 Рік тому +10

    Elim yako na uelewa wako katika kufafanua mambo mbali mbali umenisaidia sana umekuwa ukinipa mwanga hivyo kuwa na mtu kama wewe ni baraka kwenye maisha yetu wale ambao tunakufuatilia…! 🙏ahsante sana kwa kutusaidia kwa jins ambavyo mungu kakupatia maarifa hayo..🫡nanauka wewe ni mtu bora na mwenye uwezo mkubwa sana katika kufikisha ujumbe sahahi… safi sana na nashukuru sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Рік тому +1

      Ameen, Ahsante sana kwa maneno haya mazito 🙏🏼🙏🏼

  • @humbemusa3480
    @humbemusa3480 Рік тому +9

    Daaah sijakosea kutumia muda wangu asubuhi hii kumsikiliza brother Joel
    Mungu akubariki sana

  • @skataezer7487
    @skataezer7487 Рік тому +3

    We love you brother

  • @brayctech
    @brayctech Рік тому +3

    Mimi ni mtu ambae napenda sana kujifunza na ukwel ni kwamba Joel Nanauka ni the best speaker na ni mtu anaeonekana kuwa mtu bora ni kwa sabab ni mtu asiyechoka kujifunza zaidi kila siku na hii ndio real meaning ya neno msomi .
    Be blessed brother Joel Nanauka

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Рік тому +4

    Haya ni madini ya dhahabu Barikiwa sana Joel Sasa nao ngea na wa toto wangu maneno ya kuwa jenga

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Рік тому +3

    Ahsante

  • @mirajikombo5413
    @mirajikombo5413 Рік тому +3

    You are My Mentor ....video zako ni ushaur tosha kwangu katika kila hatua ya Maisha yangu be blessed forever
    My Mentor 🎉🎉✍️🙏🙏🙏

  • @sebastianmwita6148
    @sebastianmwita6148 Рік тому +1

    Kama ni kiingereza ongea kingereza na kama ni kiswahili ongea kiswahili sio kuchanganya rugha kuna wengine unatuchanganya.

  • @musatalange4587
    @musatalange4587 Рік тому +2

    Naweza nikasema wewe Ni zaidi ya life coach mana kunavitu vingi Sana huwa najifunza kwako navinanipa kuendelea sana

  • @midazanzibar1283
    @midazanzibar1283 Рік тому +5

    🎉🎉Kaka ubarikiwe sana🎉🎉❤

  • @zainilkanji9141
    @zainilkanji9141 Рік тому +1

    Ahsante brother

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Рік тому +2

    Asante sana mwalimu

  • @therepublicofgreatthinkers
    @therepublicofgreatthinkers Рік тому +2

    Wa kwanza kukomment leo😂😂

  • @RegnethSangwa-jv6gr
    @RegnethSangwa-jv6gr Рік тому +1

    Wewe ni genius, nataman niwe kama wewe jmn

  • @gayatiryoba4478
    @gayatiryoba4478 Рік тому +4

    Mungu akutunze sana

  • @user-kb1xk5cs2z
    @user-kb1xk5cs2z 11 місяців тому +1

    Nayapenda sana mafundisho yako MUNGU akubariki sana uendelee kutufundisha MUNGU akupe maisha marefu nafurahia uwepo wako duniani

  • @user-sh8xp5dn3w
    @user-sh8xp5dn3w Рік тому +1

    Kaka naomba kukuona niko dar

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 9 місяців тому +1

    ❤❤❤ ubarikiwe😊

  • @richardvalson4313
    @richardvalson4313 Рік тому +4

    ✊✊✊💯Nanauka

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Рік тому +1

    Ongera Joel Mimi nikiweka clip zako watot wangu nawasogeza wasikilize iwasaidie angalau badae nikiwa nipo au sipo,

  • @ElineAngel
    @ElineAngel Рік тому +6

    Siku yangu imekuwa njema sana , mungu akubariki kaka Joel.. nakupenda adi mungu anajua...
    Unanisaidia sana,.. ila Kuna tabia ninayo ambayo siiipenda ninataka kuacha nifanye Nini jamni😢

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Рік тому +4

      Asante sana Eline, nashukuru. Kuna kitabu kinaitwa Sayansi ya Tabia nimeeleza kwa mapana, Jinsi ya kuacha tabia usiyoipenda. Kitafute bookshop kinapatikana, mawasiliano 0762 31 2171

  • @fatmasoud
    @fatmasoud Рік тому +1

    Mimi ni mschana wa miaka 22 nilipat matatzo sana katika masomo yangu hadi nikakata tamaa na kuamua kukaa nyumbani kwani nilikuwa nafeli sana…baada ya hapo nikaja kufuatilia masomo yako na nikasoma vitabu vinne miongoni mwa hvo ni #timiza malengo yako# ni kapata nguvu ya kurudi shule nikarisit mtihan baada ya kufeli mara 2 nimefaulu na nimepta division 2..na nimechaguliwa kujiunga na chuo coz ya uphamasia…Asante sana kaka Joel

  • @ZindunaAthumani
    @ZindunaAthumani 3 дні тому

    Unatupa sana chakula cha ubongo kaka

  • @asiliyetuafrika9542
    @asiliyetuafrika9542 Рік тому +1

    Allah akulipe kheri

  • @nelsonpatricioestanislaus7144
    @nelsonpatricioestanislaus7144 Рік тому +4

    Kazi yako ni nzuri sana Mungo akubariki.

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    SoMo zuri,Ila kinanda kipunguzwe😊

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 Рік тому +4

    Mungu akupe nguvu sana... Unatupa madini amazing

  • @ElizabethLizzysingano
    @ElizabethLizzysingano Рік тому +4

    All is mind,,,,,,,
    What you think you become
    What you feel you attract
    What you imagine you create
    Nashukuru mungu nimejua ukweli wa maisha bado mdogo
    Wengi wetu tunaishi maisha ambayo hatuyapendi bila kutambua sisi ndio wahusika wala sio mungu😂

  • @songolomeshake6206
    @songolomeshake6206 Рік тому +4

    Ubarikiwe kaka joele

  • @Meruhoodfilms
    @Meruhoodfilms 4 місяці тому

    Happy to meet you today joel,from morning up to 1 pm I have been going through your videos and in need you have bring big positive impact in my life

  • @EmilyMwalongo-sg4ru
    @EmilyMwalongo-sg4ru 2 місяці тому

    Bro joel nanauka umechangiya kwa 100% kubadili maisha na fomla nzima ya maisha yangu na shukuru sana kwa kazi nzuri unayo ifanya ya kuandaa hizi content na vitabu vyako vyenye Quality ya juu vinavyo nifanya niwe imara kwenye hatua za kukamilisha ndoto yangu so thank you bro. (If this knowledge I have, if I manage to penetrate and reach even a quarter of Africans, I am sure we will become strong nations or Africa very strong economically. See you at the top my brother.

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 Рік тому +2

    Daah, Mungu akubariki sana mkuu kwa mafundisho haya mazuri sana ❤

  • @johnmaduhu9435
    @johnmaduhu9435 Рік тому +1

    Asante sana kaka.Mungu akuinue

  • @erickukula5331
    @erickukula5331 Рік тому +2

    nanauka ni mtu makini sana

  • @imanihaitv6682
    @imanihaitv6682 Рік тому +2

    Hongera sana kaka yangu, Mungu azidi kukuongoza. Fr Joseph Nkusi

  • @edsonedmond6919
    @edsonedmond6919 Рік тому +1

    Asante sana kaka joel kwa mafundisho ,
    mimi kuna kitu ambacho kinanisumbuaga nikiamua kukiamini sio raisi mimi kubadilika
    Sasa inakuwa shida kwa watu wanao nizunguuka wanakuwa wanani shambulia kwamba nina jifanyaga nina imani sana ,ni fanyeje kwa kuwarizisha watu ao wanao ninzunguuka ao marafiki zangu na ndugu zangu

    • @edsonedmond6919
      @edsonedmond6919 Рік тому

      Napia naitaji sana kupata vitabu vya aina tofauti tofauti kwa kupata elimu zaidi

    • @edsonedmond6919
      @edsonedmond6919 Рік тому

      HILA NATOKEA DALLAS TEXAS MAREKANI

  • @hadidjaissa9154
    @hadidjaissa9154 Рік тому +1

    🙏🙏🙏kwa somo nzr limenisaidi sn

  • @zabronmarco1430
    @zabronmarco1430 Рік тому +1

    God bless you

  • @mikenimubona127
    @mikenimubona127 Рік тому +7

    That's good mzee Nanauka i like what you doing ❤

  • @a.p.monlinetv3561
    @a.p.monlinetv3561 Рік тому +1

    SoMo zuri hakka ✨💪💪

  • @harunaathumani1672
    @harunaathumani1672 Рік тому

    Daaah mlemlee

  • @HaniyaKisingo
    @HaniyaKisingo Рік тому +2

    Joel Nanauka mungu wa mbinguni akulinde sana

  • @bushiryulaya1843
    @bushiryulaya1843 Рік тому

    ubarikiwe

  • @rizikylaizer1602
    @rizikylaizer1602 Рік тому +1

    Je nikitaka kuacha tabia ambayo ninayo na siipendi hiyo tabia unafanyaje

  • @user-rm7lc4kc9k
    @user-rm7lc4kc9k Рік тому

    Wewe ni mwalimu Bora nataman niwe Kama wewe brother

  • @eliastanda9825
    @eliastanda9825 Рік тому

    Joel na mm reply nakubali elimu yako na inaaminika

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Рік тому +3

    Acha tu nikupe maua yako, sauti inasikika vizuri sana

  • @emmanuelpeter9022
    @emmanuelpeter9022 Рік тому +1

    Samhan kidg kiongozi jaribu kufafanua& kuelezea kiswahili zaidi tupate kuelewa maan wengn elimu zetu ni za chini na tunaitaji mafundisho yako zaidi Asante

    • @yollamniko5090
      @yollamniko5090 Рік тому

      Napenda Sana kukufatilia Kaka nanauka,,lakini jitahidi kua unatumia kiswahili zaidi,wengi tutakuelewa zaidi natutafaidika namengi,

  • @daprince7545
    @daprince7545 Рік тому +3

    Bro congratulations 🎉🎉🎉 be blessed 🙏🙏🙏

  • @neemasempombe1853
    @neemasempombe1853 11 місяців тому

    Ubarikiwe This is real
    Let us impact our kids Positive things ata watavyoenda uko nje ile Positive mind iko strong
    Realy good and bad this mostly start in the Family
    Family its big industry
    👏👏👏 Mungu azid kukuinua

  • @bushiryj8537
    @bushiryj8537 Рік тому

    Genius

  • @mwajabuhoza9919
    @mwajabuhoza9919 Рік тому +2

    You are my Mentor and My role model🙏🙏.. Nasaidika sana mafundisho yako. Yesu akutunze

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Рік тому

    ASANTE SANA

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Рік тому

    Hapa nisomo nzuri sana mienzi mitatu utakuwa ushashikanisha vizuri saa

  • @rajeshmajesh
    @rajeshmajesh Рік тому

    True

  • @kevinalfredythebrainyprobl8925

    Mbegu unazopandaa kwa vichwa vyetu ni ya MILELE Kaka excellent good speech

  • @franklukazula
    @franklukazula Рік тому

    ❤️ from MALAWI 🇲🇼 home 🇧🇮 Burundi

  • @bensontemu9356
    @bensontemu9356 Рік тому

    Ahsante, Barikiwa

  • @MeripaMusa
    @MeripaMusa 4 місяці тому

    Be blessed mr

  • @Yonzomc01
    @Yonzomc01 Рік тому

    Hasante kwa somo zuri nimejifunza sana nanitatendea kazi

  • @NasserShayo-tn6vo
    @NasserShayo-tn6vo Рік тому

    Shukrani sanaaa umebadilisha maisha yangu kiasi kiasi kikubwa sanaaaa❤❤❤❤

  • @gilionintellectual9312
    @gilionintellectual9312 Рік тому

    This is it

  • @harrislaston3710
    @harrislaston3710 11 місяців тому

    God bless you brother for a good work to us

  • @user-je2qo8cp9e
    @user-je2qo8cp9e 11 місяців тому

    Maneno yote yametimia tubarikiwe sote wenye kujifunza na mafunzo ya kaka joel

  • @husseinmwakasala7565
    @husseinmwakasala7565 Рік тому

    thanks Joel

  • @eliwitnessjoseph4350
    @eliwitnessjoseph4350 Рік тому

    I like it

  • @user-ipallangyo
    @user-ipallangyo Рік тому

    I appreciate, I should build my mind set

  • @BARAKAMGINA
    @BARAKAMGINA Рік тому +1

    THANKS ALOT BRO JOEL

  • @gaspalcharles4865
    @gaspalcharles4865 Рік тому

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @daudkanyelele4862
    @daudkanyelele4862 Рік тому

    Kaka Joel wewe umekuwa mjibu maswali yangu ..
    Last month..
    Nilikuwa nawaza mawazo negative juu ya biashara yangu
    Kuhsu maeneo nilipo. Lakini nmepata wazo hapa..nifikili namna ya kufanikiwa hapa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Рік тому

      Hongera sana, namshukuru Mungu.

    • @daudkanyelele4862
      @daudkanyelele4862 Рік тому

      Naomba soft copy za vitabu vyako...core genius and Timiza malengo..no ya whatsapp..naktaftaga lakini sms hujibu najuwa unamambo meng

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Рік тому

    Asante sana

  • @eliasmugume254
    @eliasmugume254 Рік тому

    Asante Sana kwaushauri Mkubwa

  • @sefumwelasefumwela
    @sefumwelasefumwela 2 місяці тому

    Emu elewen vitu vingine aviongeleki kwa lukha moj lazima uchanganye so kam uwelew lakn kam kinaongelewa kitu sahihi utapat isia tuu

  • @user-yq1eo9od4t
    @user-yq1eo9od4t Рік тому +5

    Watching from Namibia this time, congulatulations for your lesson me i use to call you the Dr of mind set formation!!

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Рік тому +2

      Thank you so much kwa kuendelea kufuatilia

  • @YoungsHilary-xd2ml
    @YoungsHilary-xd2ml Рік тому

    Asantee sana,,,

  • @cymornymurheegue5165
    @cymornymurheegue5165 Рік тому +2

    God bless you,, kaka your words are so wise

  • @gloriakawago6223
    @gloriakawago6223 Рік тому

    Jaman mm nilisha ambiwa na baba wa watoto wangu kuwa siwezi biashara, na maneno ya kunivunja moyo, lkn nilipo amua kuachana nae nimefungua biashara, nasimamia mwenyewe na nimeweza kufanya mambo mengi kweli utakacho semeshwa mara kwa mara ubongo unaamin hivyo lkn kumbe sivyo see you at the top.

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 Рік тому

    Asateee bro❤❤❤❤

  • @ngubwene
    @ngubwene Рік тому +1

    Thank you

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Рік тому

    I've added something in my mind be blessed myself brother Joel 🙏

  • @bestroyaltv
    @bestroyaltv Рік тому

    Very powerful

  • @robbyman6213
    @robbyman6213 Рік тому

    Amen

  • @davidmkonyi7474
    @davidmkonyi7474 Рік тому

    Be blessed brother ur genius🙌

  • @ridhonemkaikuta8628
    @ridhonemkaikuta8628 Рік тому

    Perfect speech

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Рік тому

    Amina

  • @sifaisack7470
    @sifaisack7470 Рік тому +2

    Yaan nikwel kabisa hasaa hyo sehem ya pil (wanafunzi wenzangu) na ya tano vmenitesa sana hata nikawa najiona si chchte lkn kuptia haya mafundsho yako nayafatlia sana nayamenibadlsha mnoo najiamin na ninaiman ktk kila nakifanya hata nmeanza kuziish ndoto zangu zle nliona siwez kufkia kulngana na nilvokua najiona kuptia mazngra nmeptia

  • @Lily-xw6hg
    @Lily-xw6hg Рік тому

    Thankx

  • @paulpeter4684
    @paulpeter4684 Рік тому

    Gratitude for your good lesson I learned how Icwn create My mind set thanks Brother J.. Nanaula since you provides good fertilizer to Us

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan9466 10 місяців тому

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @prof.golden5424
    @prof.golden5424 Рік тому +1

    You are a treasure of the nation

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Рік тому

      Ameen, remember me in your prayers

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Рік тому

    Thank you so much

  • @jkayombo_jr858
    @jkayombo_jr858 Рік тому

    Asante sana kaka Joel

  • @sekeyifabian9517
    @sekeyifabian9517 11 місяців тому

    🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому

    ❤❤

  • @mayombotz
    @mayombotz Рік тому +1

    Nini cha kufanya sasa kama boss wako ni mtu wa kukuvunja moyo na kukukatisha tamaa??

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Рік тому

      Tafuta video yangu ya MABOSI WAKOROFI itakusaidia, nimeeleza kila aina ya bosi na namna ya kudeal naye

  • @henryenock1617
    @henryenock1617 Рік тому

    great but use simple language ili kuwafikia wengi