NASORO FX: Mkali wa Forex Trading afunguka SIRI ya Mchezo ili ufanikiwe kama yeye

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 лис 2023
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
    whatsapp.com/channel/0029Va84...
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

КОМЕНТАРІ • 161

  • @user-ty7cf4ly2y
    @user-ty7cf4ly2y 6 місяців тому +3

    Huyu jamaa nilimfahamu 2017 anajuwa sana hiziii mambo halafu hana kelele asante sana sky kwa kutuletea huyu kijana tunaomba umualike tena kaka

  • @carterjordan4216
    @carterjordan4216 6 місяців тому +7

    Forex ni biashara kama biashara nyingine sema sisi watanzania tukishindwa kufanya vitu tunawachukia wale wenye uwezo wa kufanya na wanafanya. Kuna watu wengi tu mtaani wanaopiga biashara hii kama huyu jamaa na hawasemi na maisha yanaenda.Tukubali kujifunza.

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo7420 6 місяців тому +36

    Kama ndo unaanza kwenye forex pata elimi sahihi piga demo za kutosha ukiona upo vizur fund live account upime emotion na saikolojia Yako ukiona upo consistent unapata profit,najua mitaji Kwa TZ n challenge nenda nunua prop firm ukishapass zile challenge,ukawa funded pale ndo utaanza kuona utamu wa forex nunua hata account ya $100000

    • @afrodinova
      @afrodinova 6 місяців тому +6

      The industry needs 0% skills😂😂😂 100% discipline

    • @updatediq2203
      @updatediq2203 6 місяців тому +1

      kwa mfano prop firm ipi kaka

    • @epicart3351
      @epicart3351 6 місяців тому

      acha uongo kama huna hiyo skill ni zamu pia ni bure
      @@afrodinova

    • @infiniteabundance2024
      @infiniteabundance2024 6 місяців тому

      @@updatediq2203 FTMO

    • @infiniteabundance2024
      @infiniteabundance2024 6 місяців тому

      @@afrodinova 0% imekubadilishia maisha kiasi gani through trading?

  • @hansperson1012
    @hansperson1012 6 місяців тому +5

    Huyu jamaa akiongea na sura yake tofauti yani😂😂😂 ina namkubari sana mpe salamu zake nasoro

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami5389 6 днів тому

    Cyprus 🇨🇾 ✊

  • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
    @peteremmanuelymatwimatwiem3258 6 місяців тому +3

    Asante sana sns ikitu nilikua Siijui yani

  • @adeodatuskakorozya9064
    @adeodatuskakorozya9064 6 місяців тому

    Safi Nassoro👍

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 6 місяців тому +1

    mambo yetu haya! tuko pamoj jeshi! 🎉

  • @abdallaabdalla998
    @abdallaabdalla998 6 місяців тому +6

    Nimefanya Hii forex kuanzia 2009 ,nilikua nafanya Forex,na stock market but nimeacha nimejikita na US stock market na Crypto …i love it and you can make a lots of money but also you can loose lots of money .Hii game unatakiwa on top of game .

  • @Mr.romantictz
    @Mr.romantictz 6 місяців тому +5

    Hii ni kazi ni ya kiroho.ukiona Mtu anajitangaza bado yuko stage ya chini.wanao ijua hii vizuri wame connect vizuri na hawaongei maana kuna siri ya mafanikio ktk biashara yoyote baina ya mwanadamu na Mungu kama hujaconnect .presha inakuhusu

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 2 місяці тому

      Ukiona biashara yoyote mtu anapromote au anafundisha means hapati faida Bali wewe NI biashara😂😂😂😂

  • @jonathannjau9129
    @jonathannjau9129 6 місяців тому +5

    SNS natamani mngefanya mahojiano na team ya intelligence Fx ❤

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 6 місяців тому +9

    Tatzo la hii mishe huwa wapo kimya sanaaa hasa wale wanaojuwa

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 6 місяців тому +2

    trading in the zone by mark douglas

  • @mkoma49
    @mkoma49 6 місяців тому +4

    Hawa wenyew wanaishi kwa pesa za kuchangisha watu wapate mafunzo

  • @user-iw5mk2sw5z
    @user-iw5mk2sw5z 6 місяців тому +4

    Na nilitamani kuskia unamuuliza kuhusu elimu kwasababu huyu alishapitia uwalimu katika chuo cha UTC kipo Dar

  • @kadabra-one1007
    @kadabra-one1007 6 місяців тому +9

    Forex is life, lazima uwe na elimu nzur kuhusu soko

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 6 місяців тому +6

    Hapo me nakarbia kununua Range mje mnipokee airport soon natoka china.Price action ndio kila kitu kwenye forex.

    • @deuskazimil8721
      @deuskazimil8721 6 місяців тому +1

      Hongera kama ni kweli ilakama unadanganya unajidanganya mwenyewe

    • @Chrisblaze-beats
      @Chrisblaze-beats 6 місяців тому

      @@deuskazimil8721 Epuka matapeli mtu anaepata faida forex hawez kuuza mabot au kutaka vidola $50 vya watu au sjui account management. Wanaopata faida wapo kimya wanapiga ela hao mtaji wao ni wewe. Forex ni biashara kama biashara zingine lazima ukubali hasara na faida.

    • @user-pt3ih2el6y
      @user-pt3ih2el6y 6 місяців тому

      😂😂

  • @IbrahimMohamed-yy2il
    @IbrahimMohamed-yy2il 6 місяців тому +4

    Forex ni mentor ukiwa lucky kumpata mzuri, mwaka tu basics unapata ila experience ndo changamoto mziki unaweza fika hata miaka 5 hadi 10 kujifunza😂

    • @edigarcharles2012
      @edigarcharles2012 6 місяців тому

      Kabisa kaka

    • @martinemhina-ko8gb
      @martinemhina-ko8gb 10 днів тому

      Hakuna ukionq hivyo una nidhamu kama unaweza kuamka asubui mapaka jioni huko kwenye meza na pc pamoja na mtandao Wala haichukui muda kaka

  • @oscarchiwalala1745
    @oscarchiwalala1745 6 місяців тому +3

    Hello Sky Mambo Vp, Nimependa Sana Interview Yako Na Nasoro Hakika Limekuwa Ya Kuvutia Kwa Kwl Lakini Pande Tuh Kukumbushia Kuwa FOREX SIO MCHEZO NI BIASHARA INAYOJITEGEMEA, Ukisema Ni Mchezo Tunakuwa Unatoa Bado Mwongozo Ambao Sio Sahihi Ndg.

    • @felisteronesmo3091
      @felisteronesmo3091 6 місяців тому

      Tni mchezo .. maana operator behind it ndowana run soko indirect kupitia policy zao Hali zao za uchumi nk, .. it's something can be played

  • @brightontv8019
    @brightontv8019 6 місяців тому +1

    Adante sana brother sky kutuletea huyu mwamba. Nilipita kwenye training yake 2019. Niliona account yake1 anahold orders mwaka na kitu

  • @revocatuskato9474
    @revocatuskato9474 6 місяців тому +3

    biashara hii ni ngumu sana ,haina uhalisia,unaweza weka hela yako yote ikapotea,haina tofauti na kamali,tatizo la vijana wakiambiwa kuna mafanikio makubwa wanaamini kama wanavyoamini kuwa unaweza kupata mafanikio kwa kubet..,hawa wote wanaopromote ukipoteza wao wanagawio lao ndo maana muda wote wanashawishi watu kujiunga..,

    • @ezraezyofx
      @ezraezyofx 6 місяців тому +2

      Sio kwel mkuu fanya research vzur kabla ya kuongea 😅

    • @joelnoel2016
      @joelnoel2016 6 місяців тому +3

      Says someone with zero Trading knowledge.

    • @infiniteabundance2024
      @infiniteabundance2024 6 місяців тому +2

      na hapo una access ya internet unaongea upumbavu hivi...

    • @m404msigara7
      @m404msigara7 6 місяців тому +1

      😅😅😅😅😅 unajua nini.. knowledge is power

  • @user-iw5mk2sw5z
    @user-iw5mk2sw5z 6 місяців тому

    Asante sana kaka sky kwa kutuletea kijana huyu anaijuwa hii biashara nje na ndani na unaambiwa ukijifunza kwake na ukashindwa kuelewa basiii tafuta jembe ukalime

  • @omeraJR
    @omeraJR 6 місяців тому +6

    Forex sio kwa ajili ya wale wanajii ta Genius but wale waliamua ku dedicate muda wao kujifunza

  • @obedingilisho
    @obedingilisho 6 місяців тому +4

    Tatizo la awa madogo wanaacha kufanya trading na kunikita kunufaika na vikozi vya kuwafundisha wengine

    • @martinemhina-ko8gb
      @martinemhina-ko8gb 10 днів тому

      Huko sahihi kabisa wengi hawapati profit kwenye market wanapata kwa wanaowafundisha

  • @user-ty7cf4ly2y
    @user-ty7cf4ly2y 6 місяців тому +1

    Huyuuuuuu yupo kwenye hii industry muda mrefu na anacosistency sana mpaka leo kijana wa Tanga huyu kipindi hicho anajiita Chollo001 alwatan😅

  • @sylivestermwasile4203
    @sylivestermwasile4203 6 місяців тому +3

    Ngoja nimfollow mwamba mwenzangu huyoo anatumia jina gani instar

  • @user-iw5mk2sw5z
    @user-iw5mk2sw5z 6 місяців тому +2

    Huyuuu jamaaa anashambaaaa kubwa handeniiii nilimuona mwaka 2022

    • @meddy_upette9511
      @meddy_upette9511 6 місяців тому +2

      Wanapata hela kwenye fx wanawekeza kwenye maisha yakawaida namaisha yanaendelea

  • @iddikibwana9185
    @iddikibwana9185 6 місяців тому

    Hiii naijua tangu 2016.

  • @jumajames1767
    @jumajames1767 6 місяців тому

    Ausio

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 5 місяців тому

    MTFE makes life better😁😁😁, I'll never forget.

    • @salumucharles9655
      @salumucharles9655 5 місяців тому

      Mo dewiji. Bakhresa na hata aliko dangotee Wana fanya forex ndugu.

    • @amatoris_
      @amatoris_ 4 місяці тому

      Ukiona business inakuambia leta mtu utapata commission % flani .......kimbia kabisa but forex is real ni wewe mwenyewe

  • @brightontv8019
    @brightontv8019 6 місяців тому

    Jamaa anajuwa sana hlf hana mbwembwe za mitandao. Anajuwa price action kama kazaliwa nayoo😂. Anapata hizo dili kwasbb ni muaminifu na amenyooka sana huyu dogo. Yupo MTU 1 anamjuwea anasema dogo anapenda kuwekeza kweny ardhi half ni msiri sana😂 unaweza ukakutana nae hlf anakuwa mpole kama hajui kitu

  • @musachimbah6800
    @musachimbah6800 6 місяців тому

    Kama jux

  • @zackariamtunguja9435
    @zackariamtunguja9435 6 місяців тому

    Binance wamepigwa faini ya Mabilion. Huwezi kuweka hela kwa mtu usiyemjua wala mkataba.
    Biashara yoyote ina faida ukiifanya kwa uaminifu.
    Biashara yoyote ukiweka tamaa utapigwa tuu

  • @omarsalum4052
    @omarsalum4052 6 місяців тому +3

    Inabidi sky utuwekee kipindi speacial kwa trader wavute kina elikana Clinton wapo wengi

  • @rophusmsinga6749
    @rophusmsinga6749 6 місяців тому +3

    Sky Hawa wanaojiita forex trader watakuharibia channel Wana wengi matapeli uku Kenya tunawamulika Sanaa wanadanganya kua wanapiga hela ila wanatapeli watu tu .kua makini nao

    • @paolo4584
      @paolo4584 6 місяців тому +3

      Matatizo ya kenya msolve mkiwa kenya.. ya huku mtuachie, scammers are in every walks of life.

    • @rophusmsinga6749
      @rophusmsinga6749 6 місяців тому

      @@paolo4584 Aya endeleni kuupiga mwingi

  • @freakboy1804
    @freakboy1804 2 місяці тому

    Mtaji wa Dola 10 sio tatizo kaka kikubwa risk management ratio akili ndio mtaji

  • @martinemhina-ko8gb
    @martinemhina-ko8gb 10 днів тому

    Kama unahitaji mtu akufundishe ndio utengeneze pesa acha haikufai hiyo trade

  • @user-lt3iz5kb8v
    @user-lt3iz5kb8v 6 місяців тому +3

    Tuletee matraders wengi zaidi watu wapate kufahamu...i love forex

  • @DBIRobotics
    @DBIRobotics 6 місяців тому +1

    Forex ni hardwork,jiandae kujifunza hata miaka 3,kabla hujaanza kuona mafanikio

  • @salummihengo896
    @salummihengo896 6 місяців тому +3

    Mzee fafanua vizur nn maana ya forex 😂forex is more than buying and selling currencies😂

  • @thronemoneyfx9730
    @thronemoneyfx9730 6 місяців тому

    Ukitaka ufaidike na trading lazima ujikane na ufuate trading inavyoitaji najivunia kujuwa trading kwa mtaji wangu wa usd kwa mwezi sikosi chini ya 50prcnt return

    • @fpcttz
      @fpcttz 6 місяців тому

      Mtaji wa USD ndio mtaji wa Tsh ngapi ndugu yangu, mbona unayumba ?

  • @BNT05
    @BNT05 6 місяців тому +3

    Very interesting...
    However, I am always trying to think what would be the impact of AI on Forex trading.
    Would we need to pay for a trainer like Nassor in the future or you just pay for an AI App and let it do everything for you in a more precise manner?
    Things are moving very fast with technology!
    Mind the gap!

    • @diodoruskyomya9328
      @diodoruskyomya9328 6 місяців тому

      AI doesn’t deal with forex

    • @BNT05
      @BNT05 6 місяців тому

      @@diodoruskyomya9328 That is as for NOW?!...but who can predict about tomorrow with the pace the technology has set?! Don't delude yourself mate...if it is not there yet, it's around the corner! I hope you read the news around the world from the politicians to the AI gurus about AI and the "fear" it creates!

    • @BNT05
      @BNT05 6 місяців тому

      @@diodoruskyomya9328 Someone is living in a bubble here!...I am not and out here!

    • @raicharts1222
      @raicharts1222 6 місяців тому

      Can be used period

    • @arafatibrahim1921
      @arafatibrahim1921 6 місяців тому

      bots zipo mzee

  • @ramateo_tz5220
    @ramateo_tz5220 6 місяців тому +1

    Trader kavaa maherenii😢

  • @AbdulHalis-zu4lw
    @AbdulHalis-zu4lw 2 місяці тому

    Naipata vp no yake

  • @Zenny89
    @Zenny89 6 місяців тому +5

    Embu tuweni serious..Hawa Jamaa wanakujaga kuzungumzia Forex trading ni choka mbaya tuu kama mie..hakuna kupiga hela hapa zaidi ya kupigwa hela..wanatakiwa wajikomboe wenyewe kwanza Ndo waje kwa watu. Yaani unamwangali mtu alivyo na anachosema ni Kama unataka kwenda kigoma lakini upo kwenye treni ya kwenda Mara.

    • @user-lt3iz5kb8v
      @user-lt3iz5kb8v 6 місяців тому

      Kama huna skills utapigwa tuu...watanzania wanataka hela za haraka ila kusoma hawataki. Soma sana utapata tuu hela...hela ipoooo...😂😂😂😂

    • @Theson-eh3ms
      @Theson-eh3ms 6 місяців тому

      Kama hauko inspired usiwavunje wenzio moyo

    • @pheninhojr5875
      @pheninhojr5875 22 дні тому

      Wamesoma wengi na wapo bench wanasubil sub kama guede bro usikate tamaa ingali bado upo hai na elimu c kila kitu​@@user-lt3iz5kb8v

  • @Nestob
    @Nestob 6 місяців тому

    Nilijua hii ni zamu ya Tanzania...hili wimbi la matrader lilianza Afrika kusini likaja kenya sasa Tanzania na hatuna bodi ya regulate forex....wanasaidiwa na platform kubwa,,mtapigwaaaa

  • @Groupe_Musicien
    @Groupe_Musicien 6 місяців тому

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @ahmedmassoud0806
    @ahmedmassoud0806 6 місяців тому

    Duh Idea Debata usinikumbushe😂

  • @eliezerwamungu4614
    @eliezerwamungu4614 6 місяців тому +1

    Ebu naomb siku moja umulete Sirjef Denis

    • @mginatv.
      @mginatv. 4 місяці тому

      Nenda ITV ...katafute video UA-cam ... Inahusu Masoko ya Kifedha ya Dunia. Utamuona sirjeff aliitwa huko

    • @mginatv.
      @mginatv. 4 місяці тому

      Ingia account ya ITV .humu humu UA-cam

  • @musso238
    @musso238 6 місяців тому

    Ingizo jipya La Upigaji si ndio kutoka franco kaja yeye😅sio

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 6 місяців тому +1

    Mbona kagoma kusema kiasi kikubwa Cha fedha alicho wahi kuingiza ..

    • @inesstibenda2832
      @inesstibenda2832 3 місяці тому

      Ili ukamkabe? Jua forex hela ipo,cha msingi ni kupambana. Kuna watu wanapiga mpk dola 1000 kwa cku

  • @samsuyatv4594
    @samsuyatv4594 6 місяців тому

    Price action ndo unatumia kwel unasafari ndefu ndogo

    • @inesstibenda2832
      @inesstibenda2832 3 місяці тому

      Price action ni how the price is moving katika soko,so kila strategy ni lazima utaitumia. Watu wengi wanajua price action ni trendline pamoja na support and resistance.
      Huyu jamaa yuko vizuri nimemfatilia,hayuko shallow.

  • @danielmkumbo6895
    @danielmkumbo6895 6 місяців тому +1

    Huwa najiuliza Kwa nn mafunzo Yao wanatoza Hela nying kama kwel wanapiga pesa kweny forex

    • @lee_marley5050
      @lee_marley5050 6 місяців тому

      Kwasabab watu wanahitaji kusaidiwa kufundishwa na mtu hawezi kutoa mda wake bure.
      Kingine ni kama side hustle, unahisi kwanini matajiri wana biashara mbalimbali? Kwann asiridhike na chanzo kimoja cha mapato. Mfano azam kwann asitulie kwenye vyakula ? Ana diversify

    • @heriethmsambili5711
      @heriethmsambili5711 15 днів тому

      Wenyewe pia wametumia nguvu nyingi sana ikiwa ni pamoja na Akili kubwa sana,Pesa nyingi sana na Muda mwingi sana mpaka kufika hapo alipo

  • @imakimaro69
    @imakimaro69 6 місяців тому +15

    Forex Inahitaji patient kubwa sana kinyume na Mungu alivyotuumba wanadamu Ushauri wangu Fanya biashara zingine na utafuraia sana maisha lkn si forex ni mateso ya hali ya juu sana

    • @johnsonjoshua6707
      @johnsonjoshua6707 6 місяців тому +4

      Maneno ya aliyeshindwa na kukata tamaa...usiwambukize wenzako ujinga

    • @kelvinnyonyi9082
      @kelvinnyonyi9082 6 місяців тому

      Umekata tamaa ww, jifunze unapokosea utanikumbuka

    • @salummihengo896
      @salummihengo896 6 місяців тому +2

      Usipotoshe watu sema mim nimeshindwa siiwez😅😅

    • @learnforex127
      @learnforex127 6 місяців тому

      Mbona mimi nafanya

    • @heriethmsambili5711
      @heriethmsambili5711 15 днів тому

      😂😂😂😂yaani mwamba yuko chali taabani anapumlia mpira amekula za uso sana

  • @BlessedCreature-kf4hm
    @BlessedCreature-kf4hm 6 місяців тому +1

    @sns wewe ni trader wa chinichini🙂😂

  • @Aleckieofficial254
    @Aleckieofficial254 6 місяців тому

    Hii ni kwa Watanzania wote hiyo mchezo ni wizi tu hamna kitu eti mafanikio hapo

    • @JingiClassic
      @JingiClassic 3 місяці тому

      Wewe umejuaje kama niwizi usishutumu kitu usichokijua uliza ufundishe siokukatisha wenzako tamaa kama hutaki kujifunza siunaacha acha wajifunze wanaotaka

  • @yusuphsemwaiko3765
    @yusuphsemwaiko3765 6 місяців тому

    hujawahi kukosea kaka bigger up

  • @Bonnie__1
    @Bonnie__1 6 місяців тому

    😂😂😂😂😂jichanganyeee

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 6 місяців тому

    Mi nauliza; hivi kwanini mnataka kulipwa pesa wkt ukiangalia maelezo yenu ni kwamba mnapiga pesa nyingi sana! Hii ya kwamba mtu alipie kujifunza inakuwaje hii!?

    • @saidmalik6714
      @saidmalik6714 6 місяців тому

      No free lunch in economy
      Hakuna kitu Cha bure duniani

    • @seifseni5050
      @seifseni5050 6 місяців тому

      Ww ungeweza kufundisha bure?

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 6 місяців тому +1

    Kenya watu wanalizwa sana in the name of Forex trading 😂😂

    • @victormwita5943
      @victormwita5943 6 місяців тому +1

      Kafuri FX
      Sijui Kenyan prince
      Sijui thee pluto
      Sijui Nani na Nani ma scammers 😂😂😂

    • @omarsirleem7105
      @omarsirleem7105 6 місяців тому

      😂😂 Kafuri ni legit ww uyo ata ni arif wangu

  • @ramadhaniayoub8171
    @ramadhaniayoub8171 6 місяців тому +3

    Wa Nigeria wengi wamefanikiwa kwenye forex kwasababu ya juju

    • @meddy_upette9511
      @meddy_upette9511 6 місяців тому

      Kwaio wanairoga forex ili wapate pesa

    • @Nestob
      @Nestob 6 місяців тому

      scammers...wanauuza lifestyle

  • @WilliamMConnel
    @WilliamMConnel Місяць тому

    Naam ninahatarisha 1% kwa kila biashara. Nikiwa na akaunti ya $500 ninapata $2,500 kwa mwezi, kimkakati mwongozo wa kitaalamu hulipa sana.

    • @BarbaraDMcRae
      @BarbaraDMcRae Місяць тому

      Unamaanisha nini? Nimekuwa nikifanya biashara kwa muda sasa na kusema kweli ni balaa haswa forex.

    • @PedroAraujoB-bj1eb
      @PedroAraujoB-bj1eb Місяць тому

      Ninakubali kwa kiasi fulani, kufanya biashara kwenye soko kunaweza kuthawabisha sana, lakini hali yake changamano na ufundi hupinga mapato, tatizo ni wapi na jinsi gani tunaweza kupata wakala/meneja mzuri.

    • @NicoleSantosCunha
      @NicoleSantosCunha Місяць тому

      Nimekuwa nikifanya biashara kwa muda sasa, nilipoteza pesa nyingi. Nilipoteza sana kwa ishara mbalimbali zisizoaminika. Ikiwa haujali, ningependa unipendekeze mtu kwa ajili yangu?

    • @CharlesHarcus
      @CharlesHarcus Місяць тому

      Naam, nilijikuta nikipata mapato mara kwa mara kutokana na mfumo ulioletwa kwangu na Bi. CARITA BURIS, wakala mashuhuri kitaaluma.

    • @RonaldHamilton-ts2ub
      @RonaldHamilton-ts2ub Місяць тому

      Ni vizuri kuwa na mtu anayekuongoza jinsi ya kupata faida, lakini swali lazima liwe, je, anaaminika?

  • @spicyjam9051
    @spicyjam9051 6 місяців тому

    Ma broker wengi ni matapeli

  • @youngpaincompany1440
    @youngpaincompany1440 6 місяців тому

    Mwamba anavaa helen daah😢😢

  • @reganmbigili9406
    @reganmbigili9406 6 місяців тому +1

    Uyu mwana aliiiba hela zangu na kusepa

    • @lowbudgetcreation.
      @lowbudgetcreation. 6 місяців тому

      Njoo whatsapp kaka nkusaidie namjua uyu

    • @hanschid941
      @hanschid941 6 місяців тому

      Ni kweli au nawewe unaleta unafiki2

  • @user-qi6wy6kl4g
    @user-qi6wy6kl4g 3 місяці тому

    Jamaa linajua kuchez na akili za watu hili😂😂😂

  • @user-vm4qp8uf4f
    @user-vm4qp8uf4f 2 місяці тому

    2pe link ya group la wasap nasoro