Wadangaji wanakuulizia swali utaje wakali wako alafu wakati unataja wanakutajia wasanii wao..IT'S A SHAME. Who is kontawa kwenye art of story telling 🤣🤣🤣 Mina ni ZERO
@dizasta vina SIO BINADAMU,YAAN NI MNYAMA ATA FID Q HAMUWEZ NI ANAJUA SANA ADI NI LAANA..VINA KUMSHINDANISHA NA KONTAWA NI DHARAU SANA.....ATA 1% YA VINA HAIINGII UYO JAMAA NI LAANA
Acha ujinga wewe elewa anachokiongea fala wewe umekurupuka tu na hujui misingi ya hip hop umesikia kamponda disasta au anasema list ya wasanii wake wakali watano?
Kontawa kwa Dizasta mbona haingii kabisa, Dizasta apewe heshima yake
mimi bado nipo na dizasta kuna vitu namalizia kuskiliza😂😂
😂😂😂😂 very interesting and it actually the fact 😁
Yule jamaa humalizi ni fire
Dizasta Vina ni level nyingine kabisa huyo kontawa mfananisheni na akina Rapcha
Naweza mgeuza fid akawa sajina@dizasta vina!! Congratulation my hood boy
Dizasta ni moto kushinda jua
Dizasta Vina is on another level
Wanafosi kumpromote kontawa Kwa lazima,,aisee media Bana,,
Acha mwanangu... yan ukiwa bize na media, basi hata akili yako inakuwa ya hovyo
Dizasta nimtu mwengine kabisaaaaa yaan kabisaaaaa
Mm D kwenye list yangu ni no1
P mawenge
Dizasta vinna anatishaa ,, asantee asanteee maliziaa hyoo list umuweke namba 1 yakee,, hahahaaaa
weeee kaaak fid q lekebisha kauli kdg renounce plz D vina n namba 1
Asa unampangiaje mtu aisee 🤣🤣 wengine WANAWEZA wasimuweke kabisa Kila mtu na mtazamo wake mzee😁
Mueleweni fd anasema bdo kuna vitu anavikiliza kwa dizaster
Mi mwenyewe kuna vitu bado nataka kusikiliza kutoka kwake 😁😁😂🔥✊🙌
Dah angalau nmefurah mana kama hapewag heshima yake
Vinaaa
Game recognizes game🔥🔥
Mimi pia nipo na dizasta aiswear
Dizasta vina mzitoo sana
Wadangaji wanakuulizia swali utaje wakali wako alafu wakati unataja wanakutajia wasanii wao..IT'S A SHAME.
Who is kontawa kwenye art of story telling 🤣🤣🤣
Mina ni ZERO
Asikwambie mtu dizasta n mkaliii huyu jaamaa sjui ad ako nchi gan ako 2050😂😂
Namb 1 nan
Dizasata a really good man I feel boys.
D Legendary 🎉🎉
King recognise king @dizasta
Huyo ndo ngosha Ze DON 😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Dizasta vina nakubali sana
Mm bdo namsikiliza D,nkimaliza ndo ntamskiliza
Dizasta kuiludisha rap kwenye mstali
Sio Rapp Hip hop mzee
Dizasta atengwe kwa xx yule jamaa ni fire👩🏽🌾💥💥
Kwanza fizasta anakuwaje nambambili bana yani mnapo jipanga dizasta ndio anatakiwa awapange nyie maana hana wakushindanishwa
Moja yeye mbili dizasta
Dizasta vina wanamjua kwenye KANISA
Hizi media zakinafiki nafiki sizipendi kabisa....
namba moja nani?
vina yupo mwenyewe katika uwanja wake
fid q mwenyewe kwa dizasta hatambi hapo
mmmmh umevukaka Mipaka boy
@@Rolananabrand-dk9hd dizasta anawaelewesha sana tatizo 😂
halafu m2 bwege aezi muelewa fid
Ata mimi niko bado na dizasta blaza😂😂😂
Noma kwel
Nakubili no 1 wewe no 2 ni vina.ila akiojiwa yeye vina atasema fid no 2 na yeye vina no 1.uwezi jiludisha nyuma mzee
No. 1 ni nani?
Money work around
Dizasta vina😂😂😂😂
Brother hapo kontawa bado xana kwa dizasta vina Yani dizasta vina nikina kontawa milionimoja na nusu
DIZASTA NI LEVEL ZA AKINA NIKKI
Kabisa sana @dizasta vina
hapo penyewe
Dizasta vina 🔥🔥🔥
Bila ubishi tawa amgusi ata kdg vina
Kwanini d vina asiwe nambamoja afu ufate wewe fid
Fid q huwaga hakoseagi kwamaana hip hop anaijuwa
dizasta mnyama sn
Kwani kontena anafanya hiphop?
Dizasta sio mpya bwana tangu 2011
Ni katika watano wanaoenda mjini.
We unaona Kontawa ni mpya??
Dizasta is another level my Young
@dizasta vina SIO BINADAMU,YAAN NI MNYAMA ATA FID Q HAMUWEZ NI ANAJUA SANA ADI NI LAANA..VINA KUMSHINDANISHA NA KONTAWA NI DHARAU SANA.....ATA 1% YA VINA HAIINGII UYO JAMAA NI LAANA
Namba moja 1.MZEE MBUZI 2.DIZASTA VINA.
Fid Q
Duuuuu mbuzi😂
Mbuzi aende huko akabattle nawakna bonge la nyau cz hata kweny top ten hayupo
@@hamismasele767😂
Mweeeeeeeh 😅😅😅😅😅😅😅😅
Ilkua chanel gan hii niichek full
clouds media
Clouds
dizasta ana dunia yake msimsindanishe ni laana
Sasa contawa siumshindanishe na kina rapcha kwa dizasta bado sanaaa
Toa marasta machafu apa we mwenyew humzid chcht Vina
Acha ujinga wewe elewa anachokiongea fala wewe umekurupuka tu na hujui misingi ya hip hop umesikia kamponda disasta au anasema list ya wasanii wake wakali watano?
Wee ni mbugunyesi
Msitu wa vina
D hatar
😂
Fidi mwongo akuna hip hop Kama dizasta fudi ufiki
mtagi dizasta afu muulize kuhusu fid
uskurupuke mzee 😂
blood ana word economy dizasta ni hachoki utamsifu hapo ila fid muache tu
Fid kwa Sasa huna material bro kwa Sasa kizazi kipya na king Ni dizasta
Disaster
Dizasta vina mtu m bad kabisaa
Mm kwangu Rapcha no moja
Toa marasta machafu apa we mwenyew humzid chcht Vina