OMO alivyofunguka kuhusu yanayoendelea na hatma ya Zanzibar

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 5

  • @kassim1262
    @kassim1262 3 місяці тому

    Ccm wao uhuru wznzbar co lazima wao wnatuaminisha barabara namasoko ndio kila kitu 😅😅😅😅kuliko znzbr yenye uhuru wake

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 3 місяці тому

    Mimi nanukuu tu maneno ikiwa kudai huku ndo kuvunja muungano 😂😂nauvunjike😅😅

  • @HajiSultan-p7r
    @HajiSultan-p7r 3 місяці тому

    Omo kaka mm nakuelewa mno kuliko mtu yyte yle

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 місяці тому

    Viongozi wa Zanzibar wajifunze kupitia Kenya na Raisi wao Ruto

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 3 місяці тому

    Mungu awape matumaini yao kwa amani NA usalama NA ujirani mwema NA undugu NA wa tanganika zanzibari ni dola la kiislaam na tabia tafauti NA muongano sio kwa nguvu zanzibari etaendelea vizuri sana kwa manufaa ya tanganika